Ads: info@gazetini.co.tz |
23.3 C
Dar es Salaam

Featured

Mwalimu, mwanafunzi wake walipokutana fainali Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani SAHAU kabisa kuhusu matokeo. Fainali ya Kombe la Dunia iliyochezwa jana iliwakutanisha makocha wawili, Luis de la Fuente wa Hispania na Lionel Scaloni...

Adidas ilivyopiga bao Kombe la Dunia

Miami, Marekani KAMPUNI ya utengenezaji na usambazaji wa vifaa vya michezo ya Adidas ndiyo iliyoongoza kwa kuhudumia timu nyingi wakati wa fainali za Kombe la...

Timu zilizopigwa marufuku kucheza Kombe la Dunia

NYON, Uswis ZIPO sababu kuu tatu zinazoweza kuisukuma FIFA (Shirikisho la Soka la Kimataifa) kuipiga 'stop' timu ya taifa iliyo sehemu ya wanachama wake kushiriki...

Mabao ya nje ya boksi yaweka rekodi

MIAMI, Marekani HATA kabla ya fainali kuchezwa, tayari idadi ya mabao yaliyofungwa kwa mashuti ya nje ya boksi ilishavunja rekodi ya fainali za Kombe la...

Ken Bates: Bosi mtata aliyeiuza Chelsea kwa Abramovich

LONDON, Uingereza  SIKU chache zilizopita, ulimwengu wa soka ulimpoteza binadamu aitwaye Ken Bates, ambaye alifariki akiwa na umri wa miaka 94. Bates aliwahi kuimiliki Chelsea kwa...

Ebola katikati ya Serikali, waasi wa M23

KINSHASA, DRC KUNDI la waasi la M23 linajivunia idadi ndogo ya maambukizi ya Ebola katika maeneo yake, likidai kuwa hilo linathibitisha uwezo wake mkubwa wa...

Maswali yanayomsubiri Waziri Mkuu mpya wa Uingereza 

LONDON, Uingereza  ATAANZA majukumu yake kama Waziri Mkuu kesho Julai 20, 2026. Andy Burnham aliyekuwa Meya wa Manchester, Jiji lililoko Kaskazini mwa England.  Amekuwa Meya wa...

Ufaransa yaweka rekodi mbaya Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani  KATIKA kipigo cha mabao 6-4 kutoka kwa England, timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa imeweka rekodi mbaya zaidi kuwahi kuwakuta katika miaka...

Leverkusen wafanya balaa ‘pre-season’ 

MUNICH, Ujerumani  BAYERN Leverkusen ya Bundesliga imeyaanza vizuri maandalizi ya msimu ujao (pre-season) kwa ushindi wa mabao 7-0 dhidi ya Sportfreunde Baumberg. Katika mchezo huo, straika...

Olise avunja rekodi ya Pele

MIAMI, Marekani MSHAMBULIAJI wa timu ya soka ya Ufaransa, Michael Olise, ameivunja rekodi ya mkongwe wa Brazil, Pele. Nyota huyo wa Bayern Munich ameandika historia mpya,...

Mastaa hawa Kombe la Dunia limewapa kiki Instagram

MIAMI, Marekani KWA kipindi cha mwezi mmoja wa michuano ya Kombe la Dunia msimu huu wa 2026, Erling Haaland ameongeza wafuasi milioni 29 katika akaunti yake...

Rais Hungary anyoosha mikono, akubali kujiuzulu

BUDAPEST, Hungary RAIS wa Hungary, Tamas Sulyok, hatimaye amekubali kujiuzulu baada ya shinikizo kubwa kutoka bungeni. Hatua yake ya kujiweka kando inakuja baada ya Chama cha Waziri...

Recent articles