28.7 C
Dar es Salaam

Featured

United yamtaka Tonali, yampotezea Guimaraes

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester United imeelekeza nguvu zake kwa Sandro Tonali na kuachana na staa mwenzake wa Newcastle United, Bruno Guimaraes. Hata hivyo, kumshawishi Tonali...

Liverpool kung’oa straika Ureno

MERSEYSIDE, England KINARA wa upachikaji mabao wa Sporting Lisbon ya Ureno, Luis Suarez Charris, ameingia kwenye rada za vigogo wa Ligi Kuu ya England, Liverpool. Liverpool...

Lewandowski kukatwa mshahara Barcelona

CATALUNYA, Hispania MABOSI wa Barcelona wamempa sharti la kukubali kupunguziwa mshahara mshambuliaji wao raia wa Poland, Robert Lewandowski. Ofa waliyofika nayo mezani kwake ni ya mkataba...

Straika wa mabao 17 aibukia Arsenal

LONDON, Uingereza ARSENAL wako mstari wa mbele katika mbio za kuinasa saini ya mshambuliaji tishio wa Ligi Kuu ya Ubelgiji, Nicolo Tresoldi. Nyota huyo wa U-21...

Beckham amtolea uvivu Tuchel

LONDON, Uingereza KIUNGO wa zamani wa timu ya taifa ya England, David Beckham, amesema haelewi sababu ya kocha Thomas Tuchel kutomuita kikosini beki Trent Alexander-Arnold. Tuchel...

Israel kazi wanayo, magaidi Yemen waingia vitani

TEHRAN, Iran KIKUNDI kinachohusishwa na ugaidi cha Houthis cha nchini Yemen kimeanzisha mashambulizi dhidi ya Israel. Siasa za kimataifa zinakitaja kikundi hicho kupata ufadhili wa fedha,...

Sinner atinga fainali Miami Open

MIAMI, Marekani NYOTA anayeshika nafasi ya pili kwa ubora duniani, Jannik Sinner, ameingia fainali ya michuano ya Miami Open baada ya kumtandika Alexander Zverev. Sinner ameshinda...

Tiger Woods aachiwa kwa dhamana

LOS ANGELES, Marekani STAA wa mchezo wa gofu, Tiger Woods, amerejea uraiani tangu alipokamatwa kwa kesi ya kuendesha gari akiwa amelewa pombe. Woods, bingwa wa dunia...

United kumsajili Torres?

MANCHESTER, Uingereza µ BARCELONA iko tayari kukaa mezani na Manchester United na kujadili dili la mshambuliaji raia wa Hispania, Ferran Torres. Torres aliyewahi kukipiga Manchester City,...

Raphinha ang’olewa kikosini Brazil

RIO, Brazil MSHAMBULIAJI wa Barcelona, Raphinha, amerejea klabuni hapo akitokea katika kambi ya timu ya taifa ya Brazil. Raphinha amelazimika kurejea Barcelona kwa ajili ya matibabu...

Uganda: Tutaishambulia Iran kuilinda Israel

KAMPALA, Uganda MKUU wa majeshi wa Uganda amesema wako tayari muda wowote kuisaidia Israel endapo itazidiwa nguvu katika vita dhidi ya Iran. Hata hivyo, Jenerali Muhoozi...

Basi laingia mtoni, watu 24 wafariki

DHAKA, Bangladesh WATU takribani 24 wamepoteza maisha baada ya basi walilokuwamo kupinduka na kuingia mtoni mjini Dhaka, Bangladesh. Ajali hiyo imetokea leo Machi 26, 2026 wakati...

Recent articles

spot_img