Ads: info@gazetini.co.tz |
20.2 C
Dar es Salaam

Siasa

TEHRAN, Iran SIKU chache tu baada ya Marekani kutangaza vikwazo vipya kwa Iran, uhaba wa mafuta umeripotiwa kuyakabili maeneo mengi ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu. Hilo limethibitishwa na foleni kubwa katika vituo vya mafuta katika mitaa nchini...
LONDON, Uingereza DIRISHA kubwa la usajili wa kiangazi Ligi Kuu ya England lilifungwa Septemba 1, 2026, huku kiungo aliyetoka Chelsea na kutua Manchester City, Enzo Fernandez, akiandika historia mpya. Manchester City walitumia Pauni milioni 125 kumng’oa Stamford...

Usiyoyajua kuhusu mauaji ya halaiki ya Rwanda 1994 (4)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya tatu ya makala haya, tuliona kilichotokea Aprili 8, 1994, ambapo Spika wa Bunge, Theodore Sindikubwabo, alitangazwa kuwa Rais...

Nani kumaliza vita vya Putin, Ukraine?

MOSCOW, Urusi WAZIRI Mkuu wa India, Narendra Modi, amemshauri mshirika wake mkubwa, Vladimir Putin, kumaliza vita vinavyoendelea kati ya nchi yake ya Urusi na majirani...

Vijana Afrika wanavyotumika vita vya Urusi, Ukraine

YOUNDE, Cameroon CAMEROON inatajwa kuwa moja ya nchi zinazotoa vijana wengi walioko vitani kulisaidia jeshi la Urusi dhidi ya Ukraine. Mbaya zaidi, vijana hao hawaendi...

Usiyoyajua kuhusu mauaji ya halaiki ya Rwanda 1994 (3)

Na mwandishi wetu, Gazetini UHASAMA mkubwa wa jamii ya Wahutu na Watutsi ulishuhudiwa tena mwaka 1990. Ni baada ya kundi la Rwandan Patriotic Front (RPF)...

Usiyoyajua kuhusu mauaji ya halaiki ya Rwanda 1994 (2)

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMA tulivyoanza katika sehemu iliyopita, mauaji ya halaiki yaliyotokea Rwanda mwaka 1994 yaliwahusisha Wahutu na Watutsi, ambayo ndiyo makabila makubwa zaidi...

Usiyoyajua kuhusu mauaji ya halaiki ya Rwanda 1994 (1)

Na mwandishi wetu, Gazetini SIKU chache zilizopita, Mahakama mjini The Hague, Uholanzi, ilimuhukumu kifungo cha maisha mwanaume aliyetambulika kwa jina la Eugene N baada ya...

Trump: Tunakwenda ‘kuipelekea moto’ zaidi Iran

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema wanajeshi wake watafanya mashambulizi makali dhidi ya Iran baada ya kile walichokifanya wenzao hao. Hivi karibuni, Iran...

Kigogo wa jeshi Marekani ajiuzulu

WASHINGTON DC, Marekani KATIBU wa jeshi la Marekani, Dan Driscoll, amewasilisha barua ya kujiuzulu nafasi hiyo ikiwa ni miezi 18 tu imepita tangu alipoteuliwa. Taarifa za...

Mawaziri Iran, China wakutana

BEIJING, China MATAIFA ya Iran na China yameendeleza uhusiano wao mzuri wa kidiplomasia baada ya viongozi wake wa ngazi za juu serikalini kukutana mjini Bishkek. Waziri...

Utata wa kifo, uhai wa Mojtaba Khamenei

TEHRAN, Iran NI miezi sita sasa tangu Mojtaba Khamenei alipoteuliwa kuwa kiongozi mpya wa Iran baada ya baba yake kuuawa katika shambulizi la kwanza lililofanywa...

Mambo 5 kuhusu vita vya Iran, Marekani

WASHINGTON DC, Marekani IKIWA ni miezi sita imepita tangu vilipoanza vita kati ya Iran na Marekani inayoshirikiana na Israel, mambo yamezidi kuwa magumu kwa pande...

Mwandishi aliyemfuata mafichoni Osama bin Laden (3)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya pili ya makala haya, tuliona Osama akihojiwa na Miller akieleza chanzo cha uhusiano wake mbaya na Marekani, ambapo...

Recent articles