Ads: info@gazetini.co.tz |
23.6 C
Dar es Salaam

Siasa

NIAMEY, Niger WANASHERIA wa Rais wa zamani wa Niger, Mohamed Bazoum, wameomba kiongozi huyo aachiwe huru, ikiwa ni miaka mitatu tangu aliposhikiliwa na jeshi. Bazoum mwenye umri wa miaka 66, alichaguliwa mwaka 2021, kabla ya mapinduzi ya kijeshi...
NEW DELHI, India MAANDAMANO makubwa ya vijana wa Gen-Z nchini India yamemlazimisha Waziri wa Elimu, Dharmendra Pradhan, kuachia ngazi. Hatua ya vijana, wengi wao wakiwa ni wanafunzi, kuingia barabarani ilikuja baada ya Wizara ya Elimu kufuta mitihani kwa...

Wagombea sita, nani Katibu Mkuu UN?

NEW YORK, Marekani BAADA ya miaka 10 ya kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Antonio Guterres, atakabidhi kijiti hicho kwa mtu mwingine ifikapo...

Kigogo ICC ang’olewa kisa unyanyasaji wa kingono

HAGUE, Uswis ALIYEKUWA Mwendesha Mashitaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), Karim Khan, ameondoshwa kwenye nafasi hiyo. Ni baada ya nchi wanachama kukutana jana...

Urusi v Ukraine: Mawaziri, wakuu wa majeshi viti havikaliki

KYIV, Ukraine HIVI karibuni, Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, alimfuta kazi Mkuu wa Majeshi, jenerali Oleksandr Syrskii, siku chache baada ya 'kumtumbua' Waziri wa Ulinzi,...

Urusi inasiaidia Iran kuitandika Marekani?

WASHINGTON DC, Marekani HIVI karibuni, Katibu Mkuu wa Ikulu ya Marekani, Marco Rubio, alikuwa Manila, Ufilipino, ambako alikutana na kufanya mazungumzo na Katibu wa Wizara...

Matajiri wanapoiomba Serikali iwatoze kodi zaidi

LONDON, Uingereza WAKATI ikiwapo dhana kuwa wafanyabiashara wakubwa wamekuwa na kawaida ya kukwepa kodi za serikali katika nchi zao, kwa Uingereza imekuwa tofauti. Kundi la mamilionea...

Nini kiliwakutanisha Trump, Rais wa Lebanon?

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Lebanon, Joseph Aoun, alikutana na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake nchini Marekani, Donald Trump, mapema wiki hii. Ziara ya Rais Aoun...

Serikali yatoa masharti ya kurejea kwa mikutano ya hadhara

Na Ramadhan Hassan, Dodoma SERIKALI imesema uamuzi wa kusitisha kwa muda mikutano ya hadhara umetokana na sababu za kiusalama baada ya vyombo vya ulinzi na...

ICC yakomalia uhalifu dhidi ya binadamu Sudan

HAGUE, Uholanzi MAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) imeendelea kulaani kinachoendelea Sudan, ikisema upo ushahidi wa uwepo wa matukio ya uhalifu dhidi ya...

Kiwango cha umasikini duniani

NEW YORK, Marekani MIAKA 10 iliyopita, Umoja wa Mataifa ulipitisha azimio la kumaliza aina zote za umasikini, kuhakikisha usawa katika jamii, pamoja na kudhibiti majanga...

‘Mende’ wa India wanavyompasua kichwa Waziri Mkuu

NEW DELHI, India MAANDAMANO makubwa ya vijana nchini India yanaipa wakati mgumu Serikali ya Waziri Mkuu, Narendra Modi. Gen-Z hao kupitia Chama chao cha 'Vijana wa...

Aliyefariki mikononi mwa polisi aibua maandamano

MILAN, Italia MAELFU ya raia wa Italia wameingia barabarani kulaani taarifa za kifo cha mwenzao aliyefariki akiwa anashikiliwa na polisi huko Kaskazini mwa Mji wa...

Trump kuibiwa kura: Madai yake yana ukweli kiasi gani?

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA hotuba yake ya Julai 17, 2026, Rais Donald Trump aliishutumu China kwa kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Marekani wa mwaka 2020. Trump...

Recent articles