Ads: info@gazetini.co.tz |
23.5 C
Dar es Salaam

Siasa

Na Hassan Mwasha ZIPO sababu nyingi za kukufanya uchukue hatua sasa ya kuachana kabisa na mkaa au kuni na kuhamia nishati safi ya kupikia katika matumizi yako ya kila siku hapo nyumbani. Ukiachana na gharama kubwa, uchafuzi wa...
RABAT, Morocco MSIMU huu wa fainali za Mataifa ya Afrika kwa soka la Wanawake utafikia ukomo Jumapili hii, yaani Agosti 16, 2026. Michuano hiyo inafanyika Morocco. Safari hii, ni timu ya soka ya Taifa ya Wanawake ya Cameroon...

Bashar al-Assad: Rais ‘dikteta’ aliyeangukia hukumu ya kifo (3)

DAMASCUS, Syria KATIKA sera za mambo ya nje, utawala wa Assad haukuwa na tofauti yoyote na ule wa baba yake. Kama alivyokuwa baba, naye aliendeleza...

Bashar al-Assad: Rais ‘dikteta’ aliyeangukia hukumu ya kifo (2)

DAMASCUS, Syria  KAMA ilivyoelezwa katika sehemu ya kwanza ya makala haya, Assad hakutarajiwa kuwa kiongozi wa Syria. Hakuonekana kupenda siasa na kufuata nyayo za baba...

Bashar al-Assad: Rais ‘dikteta’ aliyeangukia hukumu ya kifo (1)

DAMASCUS, Syria  MAHAKAMA Kuu ya Syria imemuhukumu kifo aliyekuwa Rais wa Taifa hilo, Bashar al-Assad, baada ya kumkuta na hatia katika mashitaka ya uhalifu dhidi ya...

Vichocheo vya kufikia malengo ya Dira 2050: Sayansi na Teknolojia

Na mwandishi wetu, Gazetini SAYANSI na Teknolojia zinachochea ubunifu na kuongeza tija na ushindani. Hivyo basi, sayansi na teknolojia ni vichocheo muhimu vinavyoleta tija, ufanisi...

Vichocheo vya kufikia malengo ya Dira 2050: Nishati

Na mwandishi wetu, Gazetini UPATIKANAJI wa nishati ya uhakika ni kichocheo kikubwa cha ukuaji wa uchumi na maendeleo ya jamii. Umuhimu wa nishati unajidhihirisha kuanzia...

Vichocheo vya kufikia malengo ya Dira 2050: Usafirishaji fungamanishi 

Na mwandishi wetu, Gazetini VICHOCHEO vya maendeleo ni nyenzo muhimu katika kuongeza kasi ya kufikia malengo ya Dira 2050. Kwa kutambua hilo, Dira hii imebainisha...

Waasi waua wanajeshi Mali

BAMAKO, Mali WANAJESHI zaidi ya 10 wameripotiwa kuuawa baada ya kambi yao kushambuliwa na kikundi cha waasi wikiendi iliyopita. Jama'at Nusrat al-Islam wal-Muslimin (JNIM), ambalo ni...

Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Zambia

LUSAKA, Zambia UCHAGUZI Mkuu nchini Zambia utafanyika Alhamisi ya wiki hii, yaani Agosti 13, 2026, na macho ya wengi yameeelekezwa katika kinyang'anyiro cha urais. Ifahamike kuwa...

Papa Leo alia na amani Sudan

VATICAN CITY, Vatican KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, amehimiza kupatikana kwa amani nchini Sudan katika hotuba yake ya jana Agosti 9, 2026,...

Shambulizi la Ukraine laua Warusi 13

MOSCOW, Urusi SHAMBULIZI la ndege isiyo na rubani linalotajwa kufanywa na Ukraine nchini Urusi limesababisha vifo vya watu 13, akiwamo mtoto. Kwa mujibu wa taarifa zilizothibitishwa...

Israel yakataa ombi la Marekani kuhusu Gaza

JERUSALEM, Israel WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema wamkataa ombi la Rais wa Marekani, Donald Trump, kuhusu mgogoro wa Gaza. Kwa mujibu wa Netanyahu, hawakubaliani...

Nafasi ya Serikali za Mitaa katika utekelezaji wa Dira 2050

Na Hassan Mwasha SERIKALI za Mitaa hapa nchini zimepitia mabadiliko mbalimbali kwa nyakati tofauti. Mathalan, mwaka 1962, Serikali ilifuta utawala wa kimila na kuanzisha Serikali...

Recent articles