Na Hassan Mwasha
ZIPO sababu nyingi za kukufanya uchukue hatua sasa ya kuachana kabisa na mkaa au kuni na kuhamia nishati safi ya kupikia katika matumizi yako ya kila siku hapo nyumbani.
Ukiachana na gharama kubwa, uchafuzi wa...
RABAT, Morocco
MSIMU huu wa fainali za Mataifa ya Afrika kwa soka la Wanawake utafikia ukomo Jumapili hii, yaani Agosti 16, 2026. Michuano hiyo inafanyika Morocco.
Safari hii, ni timu ya soka ya Taifa ya Wanawake ya Cameroon...
DAMASCUS, Syria
KAMA ilivyoelezwa katika sehemu ya kwanza ya makala haya, Assad hakutarajiwa kuwa kiongozi wa Syria. Hakuonekana kupenda siasa na kufuata nyayo za baba...
DAMASCUS, Syria
MAHAKAMA Kuu ya Syria imemuhukumu kifo aliyekuwa Rais wa Taifa hilo, Bashar al-Assad, baada ya kumkuta na hatia katika mashitaka ya uhalifu dhidi ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SAYANSI na Teknolojia zinachochea ubunifu na kuongeza tija na ushindani. Hivyo basi, sayansi na teknolojia ni vichocheo muhimu vinavyoleta tija, ufanisi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
UPATIKANAJI wa nishati ya uhakika ni kichocheo kikubwa cha ukuaji wa uchumi na maendeleo ya jamii. Umuhimu wa nishati unajidhihirisha kuanzia...
Na mwandishi wetu, Gazetini
VICHOCHEO vya maendeleo ni nyenzo muhimu katika kuongeza kasi ya kufikia malengo ya Dira 2050. Kwa kutambua hilo, Dira hii imebainisha...
BAMAKO, Mali
WANAJESHI zaidi ya 10 wameripotiwa kuuawa baada ya kambi yao kushambuliwa na kikundi cha waasi wikiendi iliyopita.
Jama'at Nusrat al-Islam wal-Muslimin (JNIM), ambalo ni...
LUSAKA, Zambia
UCHAGUZI Mkuu nchini Zambia utafanyika Alhamisi ya wiki hii, yaani Agosti 13, 2026, na macho ya wengi yameeelekezwa katika kinyang'anyiro cha urais.
Ifahamike kuwa...
VATICAN CITY, Vatican
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, amehimiza kupatikana kwa amani nchini Sudan katika hotuba yake ya jana Agosti 9, 2026,...
MOSCOW, Urusi
SHAMBULIZI la ndege isiyo na rubani linalotajwa kufanywa na Ukraine nchini Urusi limesababisha vifo vya watu 13, akiwamo mtoto.
Kwa mujibu wa taarifa zilizothibitishwa...
JERUSALEM, Israel
WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema wamkataa ombi la Rais wa Marekani, Donald Trump, kuhusu mgogoro wa Gaza.
Kwa mujibu wa Netanyahu, hawakubaliani...
Na Hassan Mwasha
SERIKALI za Mitaa hapa nchini zimepitia mabadiliko mbalimbali kwa nyakati tofauti. Mathalan, mwaka 1962, Serikali ilifuta utawala wa kimila na kuanzisha Serikali...