NEW YORK, Marekani
TAASISI ya Tafiti za Amani ya Stockholm nchini Sweden (SIPRI) imebaini kuwa manunuzi ya silaha za kivita duniani yamekuwa makubwa zaidi kuwahi kutokea.
Katika utafiti wake, SIPRI imebaini kuwa manunuzi ya silaha yaligharimu Dola za...
WASHINGTON DC, Marekani
UMOJA wa Falme za Kiarabu (UAE) umetangaza kujitoa katika Umoja wa nchi zinazozalisha mafuta duniani (OPEC), hatua inayotafsiriwa kuwa ni ushindi mkubwa kwa Rais wa Marekani, Donald Trump.
UAE, moja ya nchi zinazozalisha na kuuza...
WASHINGTON DC, Marekani
SAKATA la mtuhumiwa wa tukio la kufyatua risasi katika halfa aliyokuwemo Rais Donald Trump limechukua sura mpya.
Mwanaume huyo mwenye umri wa miaka...
WASHINGTON, Marekani
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema wawakilishi wa nchi hiyo wanaelekea Islamabad kwa ajili ya mazungumzo yanayolenga kupunguza mvutano kati ya Marekani na...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameionya Iran kuwa inaweza “kuangamizwa ndani ya usiku mmoja” endapo haitafikia makubaliano kabla ya muda wa mwisho...
WASHINGTON, Marekani
JARIDA la Wall Street Journal linaripoti kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump, amewaambia wasaidizi wake kuwa yuko tayari kusitisha operesheni ya kijeshi dhidi...
LONDON, Uingereza
Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, amesema wazi kuwa nchi yake haitapeleka wanajeshi nchini Iran, akisisitiza kuwa Uingereza haitajiingiza moja kwa moja katika...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KWA sasa ndiye 'Katibu wa Vita', jina ambalo amepewa na Rais Donald Trump. Kiuhalisia, Pete Hegseth ni Katibu wa Wizara ya...
Washington, D.C.
MKUU wa Kituo cha Taifa cha Kupambana na Ugaidi nchini Marekani, Joseph Kent, amejiuzulu wadhifa wake akipinga vikali vita vinavyoendelea dhidi ya Iran,...
Na mwandishi wetu, Gazetini
FEBRUARI 28, 2026 imeingia kwenye kumbukumbu baada ya kuwa ndiyo siku aliyouawa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei, ambaye aliuawa katika ...
TEHRAN, Iran
SAA chache baada ya Iran kuanza kushambuliwa makombora ya Marekani na Israel, Serikali ya Urusi ilitoa tamko zito.
Mwakilishi wa Urusi ndani ya Umoja...
LONDON, Uingereza
WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Sir Keir Starmer, amesema serikali yake itashirikiana kwa karibu na sekta zilizoathirika pamoja na washirika wa kimataifa ili kukabiliana...
TEL AVIV, Israel
SERIKALI ya Israel imeweka wazi kuwa itamshambulia kijeshi, ikiwamo kumuua, kiongozi yeyote atakayeingia madarakani kuiongoza Iran.
Ujumbe huo wa tishio unalenga kiongozi atakayechukua...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS wa zamani wa Marekani, Bill Clinton, amesema hakuwahi kujua maovu ya Jeffrey Epstein hadi pale aliposikia mashitaka yake.
Epstein, mmoja ya matajiri...