TORONTO, Canada
HERVE Renard ametangaza kujiuzulu katika kibarua chake cha kuinoa timu ya soka ya Taifa ya Tunisia.
Mfaransa huyo ametema kibarua zikiwa ni siku 18 tu tangu alipoajiriwa kuchukua nafasi ya Sabri Lamouchi.
Lamouchi alifungashiwa virago baada ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
UKWELI ulio wazi ni kwamba vita kati ya Marekani na Iran vimekuwa na athari kubwa katika uchumi wa dunia.
Vita hivyo vimesababisha uhaba wa mafuta, hivyo kupanda kwa bei ya nishati hiyo katika soko...
BOGOTA, Colombia
RAIS aliyeondoka madarakani nchini Colombia, Gustavo Petro, ameendelea kutokuyatambua matokeo yaliyompa ushindi Abelardo de la Espriella.
De la Espriella (47), ameingia Ikulu akimpiku Ivan...
LONDON, Uingereza
BAADA ya Keir Starmer kujiuzulu siku chache zilizopita, majina kadhaa ndani ya Chama tawala cha Labour yameanza kuhusishwa na kiti cha Waziri Mkuu...
LONDON, Uingereza
WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ameachia ngazi ikiwa ni miaka isiyotimia miwili tangu alipoingia madarakani kupitia Chama cha Labour.
Hatua hiyo imekuja baada...
LONDON, Uingereza
BAADA ya tetesi za muda mrefu, hatimaye Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu.
Kwa wiki kadhaa za hivi karibuni, Starmer amekuwa kwenye...
TEHRAN, Iran
MAMLAKA za Iran zimetangaza hatua yake ya kuufunga kwa mara nyingine Mlango-Bahari wa Hormuz, huku ikilaani mashambulizi ya Israel nchini Lebabon.
Hatua hiyo ya...
TEHRAN, Iran
MAMLAKA za Iran zimetangaza kuwa kiongozi wake Mkuu aliyeuawa Februari, 2026, Ali Khamenei, atazikwa mwezi ujao, Julai 9, mjini Mashhad.
Awali, Ali Khamenei alitarajiwa...
JERUSALEM, Israel
WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, atawania tena nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu ujao, Chama chake cha Likud kimeeleza.
Kwamba mwanasiasa huyo mwenye umri...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KWA miaka ya hivi karibuni, baada ya kufuatilia chaguzi za Afrika, wachambuzi wa siasa wameibua kile wanachokiita mdororo wa afya ya...
HAVANA, Cuba
SERIKALI ya Marekani imetangaza vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Rais wa Cuba, Miguel Diaz-Canel, pamoja na familia yake.
Taarifa ya vikwazo hivyo pia inaihusu...
BOGOTA, Colombia
RAIS aliyemaliza muda wake nchini Colombia, Gustavo Petro, amemnyooshea kidole Donald Trump wa Marekani kwa hatua yake ya kumuunga mkono mgombea wa urais Abelardo...
BEIJING, China
WABUNGE nne wa New Zealand wamewekewa katazo la kuingia China baada ya ziara yao nchini Taiwan.
Kwa mujibu wa taarifa, ziara hiyo iliwahusisha wabunge...