LOS ANGELES, Marekani
HIVI karibuni, Shirika la Ujasusi la Marekani (FBI) lilimtia mkononi mfanyabiashara maarufu, Ibrahim Khaldoon Hilmi, aliyekuwa akikimbia kukamatwa kwa miaka mingi.
Khaldoom Hilmi aliyekamatwa akiwa Uturuki, anatajwa kujiingizia mabilioni ya fedha kwa njia za utapeli...
JERUSALEM, Israel
WANAHARAKATI wa haki za binadamu duniani wanataka kuona Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) ikiichunguza Israel juu ya uhalifu dhidi ya binadamu kwa raia wa Palestina.
Kwa mujibu wa wanaharakati, vikosi vya jeshi la...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MFUKO wa Barabara (RFB) umesema tozo zinazotozwa kwenye mafuta ya petroli na dizeli ndizo chanzo kikuu cha fedha zinazowezesha matengenezo ya...
LOS ANGELES, Marekani
ACHANA na milionea. Sahau pia kuhusu bilionea. Mfanyabiashara maarufu wa Marekani, Elon Musk, amekuwa trilionea kwa kwanza hapa duniani.
Musk amefikia hadhi hiyo...
Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma
WAZIRI wa Fedha, Khamis Mussa Omar, amesema Serikali itaendelea kutegemea mapato ya ndani kama chanzo kikuu cha kugharamia matumizi ya kawaida...
Na Mwandishi Wetu,Gazetini
WAKATI maelfu ya vijana wa Kitanzania wakiendelea kuingia katika soko la ajira kila mwaka huku nafasi rasmi za ajira zikibaki finyu, wataalamu...
WASHINGTON DC, Marekani
JUNI 7, 2026) zilitimia siku 100 tangu Marekani kwa kushirikiana na Israel zilipoanzisha mashambulizi dhidi ya Iran, vita vilivyosababisa kupanda kwa bei...
MUNICH, Ujerumani
KIWANGO cha umasikini nchini Ujerumani kimeongezeka kwa kasi, ikilinganishwa na takwimu za mwaka 2020, kwa mujibu wa utafiti wa Taasisi ya Parity Welfare...
Na Ramadhan Hassan, Dodoma
KAMATI ya Kitaifa ya Shindano la Vijana Uchumi Challenge imetangaza rasmi majina ya vijana 100 bora waliofanikiwa kuingia hatua inayofuata ya...
NEW YORK, Marekani
KUNA uhitaji mkubwa wa asali nchini Marekani baada ya kiwango cha uzalishaji kushika kwa kiwango kikubwa zaidi kuwahi kutokea, kwa mujibu wa...
NAIROBI, Kenya
MUONGO mmoja uliopita, Jumuhiya ya Afrika Mashariki (EAC), ilikiri kuwapo kwa utitiri wa nguo za mitumba na kutangaza mkakati wa kuweka mazingira magumu...
Na mwandishi wetu, Gazetini
TAKRIBANI nusu ya mabilionea wenye umri mdogo duniani (chini ya miaka 30) walipata utajiri huo kupitia biashara walizorithi kutoka katika familia...