Ads: info@gazetini.co.tz |
23.6 C
Dar es Salaam

Uchumi

NAIROBI, Kenya WAZIRI wa Usalama wa Ndani wa Kenya, Kipchumba Murkomen, ameagiza vyombo vya usalama nchini humo kufanya uchunguzi wa kina kuhusu madai ya vurugu zilizotokea wakati wa uchaguzi mdogo wa ubunge katika eneo bunge la Ol...
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limeeleza kuwa limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 188 wa makosa mbalimbali ya jinai, huku mmoja akihukumiwa kunyongwa hadi kufa na mwingine akipewa kifungo cha maisha jela kwa makosa ya...

DIB ilivyojenga imani ya wananchi kwenye benki hata zinapofilisika

Na Esther Mnyika, Gazetini KWA Watanzania wengi, kuweka fedha benki ni njia salama ya kutunza akiba, kufanya miamala na kupanga mustakabali wa kifedha. Hata hivyo,...

Vijana ndio wahusika wakuu wa Dira 2050, washauriwa kujipanga sasa

Na mwandishi wetu, Gazetni VIJANA wa Tanzania wametajwa kuwa kundi litakalobeba mafanikio makubwa ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, huku wakihimizwa kuanza kujijengea uwezo...

Dira 2050 siyo ya Serikali pekee, kila Mtanzania ana nafasi ya kuijenga

Na mwandishi wetu, Gazetini WANANCHI wametakiwa kutambua kuwa utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 hauitegemei Serikali pekee, bali unahitaji ushiriki wa kila Mtanzania...

Tanesco yapokea malori 214 kutoka Isuzu kuboresha huduma ya umeme nchini

na mwandishi wetu, Gazetini SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limepokea malori 214 kutoka kampuni ya Isuzu East Africa kupitia Al Mansour Auto EA Tanzania kwa...

Uhaba wa mafuta wamfikisha pabaya Rais Putin

MOSCOW, Urusi HALI ni mbaya mjini Moscow juu ya upatikanaji wa nishati ya mafuta. Foleni katika vituo vya mafuta (sheli) imeshuhudiwa kwenye maeneo mengi. Mrundikano huo...

Beckham na mitego yake ya pesa inayompa maisha ya kibosi

LONDON, Uingereza MEI, 2026, Gazeti la Sunday Times lilimtaja David Beckham kuwa ndiye mwanamichezo pekee wa Uingereza aliyefikia hadhi ya kuitwa bilionea. Kwa mujibu wa chanzo...

Nchi zinazotegemea zaidi mafuta kutoka Mashariki ya Kati

Na mwandishi wetu, Gazetini UKWELI ulio wazi ni kwamba vita kati ya Marekani na Iran vimekuwa na athari kubwa katika uchumi wa dunia. Vita hivyo vimesababisha...

RC Katavi atoa siku 90 kurejesha mikopo, Tanganyika yapongezwa

Na Mwandishi wetu, Gazetini MKUU wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, ametoa siku 90 kwa vikundi vyote vilivyonufaika na mikopo ya asilimia 10 kutoka halmashauri...

Samia aisifu TPA kwa kujitegemea, yakabidhi gawio la Sh bilioni 205.53

Na mwandishi wetu, Gazetini Rais Samia Suluhu Hassan ameisifu Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kufikia kiwango cha kujitegemea kifedha, akisema taasisi hiyo...

Nigeria ilivyopuuzia onyo la IMF kuhusu madeni

LAGOS, Nigeria LICHA ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kuipa onyo, Serikali ya Nigeria imepiga hatua moja mbele katika mpango wake wa kukopa kiasi...

Aisha Mohamed: Kutoka Mhasibu hadi kuiongoza GSM Group

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KUNA msemo unaosema, "Viongozi wakubwa hawazaliwi, hujengwa." Katika ulimwengu wa biashara, kauli hiyo inajidhihirisha kupitia watu wanaoanza katika nafasi za kawaida,...

Mfumo wa E-Delivery kutathmini matokeo ya miradi utekelezaji wa Dira 2050

Na mwanishi wetu, Gazetini KATIKA utekelezaji wa Dira 2050, Mfumo mpya wa Kitaifa wa kusimamia Mipango na Miradi ya Maendeleo wa e-Delivery wa Tume ya...

Recent articles