Na Hassan Mwasha,Gazetini
KWA mashabiki wa soka wa Tanzania, macho na masikio yao yameelekezwa katika vita mbili kubwa. Ubingwa wa Ligi Kuu Bara na ile ya Ligi Kuu ya England (EPL).
Kote huko, tofauti ni pointi mbili tu...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
KATIKA moja ya nukuu zake maarufu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliwahi kutaja maradhi kuwa ni moja ya maadui watatu wa Taifa hili, akigusia pia umasikini na ujinga.
Kwa kulitambua hilo, Serikali ya Awamu ya...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
KWA mujibu wa Serikali hadi Aprili 2026 jumla ya nyumba 2,512 zimeunganishwa na huduma ya gesi asilia katika mikoa ya Mtwara,...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limezindua rasmi zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi wanaopisha utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa njia...
WASHINGTON DC, Marekani
UMOJA wa Falme za Kiarabu (UAE) umetangaza kujitoa katika Umoja wa nchi zinazozalisha mafuta duniani (OPEC), hatua inayotafsiriwa kuwa ni ushindi mkubwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
BUNGE la Jamhuru ya Muungano wa Tanzania, limeridhia na kupitisha bajeti ya Wizara ya Madini ya sh bilioni 174.9 kwa Mwaka...
CAIRO, Misri
WIKI sita za vita kati ya Marekani na Israel zinazoishambulia Iran imesababisha mtikisiko mkubwa katika sekta ya usafiri wa anga barani Afrika. Makala...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri Ardhini, LATRA, imewataka wasafirishaji nchini kuwa watulivu na kuepuka kupandisha nauli kiholela kutokana na ongezeko la bei...
Na Mwandishi Wetu
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amesema deni la Serikali limeongezeka na kufikia sh. trilioni 110, hali...
Na mwadishi wetu, Gazetini
RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imebaini kuwa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limeendelea kupata hasara...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde, amesema makaa ya mawe yana nafasi ya kimkakati katika kuharakisha mageuzi ya uchumi wa Tanzania kuelekea...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Crispin Chalamila, amesema uchunguzi wa awali umebaini kuwapo kwa mtandao...
Na Benjamin Madaha
WAFANYABIASHARA, vijana na hata waajiriwa kuna kanuni moja ya uchumi wa kipato ambayo watu wengi hawaielewi mapema.
Utajiri haujengwi kwa kipato cha...