Ads: info@gazetini.co.tz |
23.2 C
Dar es Salaam

Uchumi

LOS ANGELES, Marekani HIVI karibuni, Shirika la Ujasusi la Marekani (FBI) lilimtia mkononi mfanyabiashara maarufu, Ibrahim Khaldoon Hilmi, aliyekuwa akikimbia kukamatwa kwa miaka mingi. Khaldoom Hilmi aliyekamatwa akiwa Uturuki, anatajwa kujiingizia mabilioni ya fedha kwa njia za utapeli...
JERUSALEM, Israel WANAHARAKATI wa haki za binadamu duniani wanataka kuona Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) ikiichunguza Israel juu ya uhalifu dhidi ya binadamu kwa raia wa Palestina. Kwa mujibu wa wanaharakati, vikosi vya jeshi la...

RFB: Tozo za mafuta ndizo mhimili wa matengenezo ya barabara nchini

Na mwandishi wetu, Gazetini MFUKO wa Barabara (RFB) umesema tozo zinazotozwa kwenye mafuta ya petroli na dizeli ndizo chanzo kikuu cha fedha zinazowezesha matengenezo ya...

Utajiri wa Musk unatosha kila mtu duniani kupewa 300,000/-

LOS ANGELES, Marekani ACHANA na milionea. Sahau pia kuhusu bilionea. Mfanyabiashara maarufu wa Marekani, Elon Musk, amekuwa trilionea kwa kwanza hapa duniani. Musk amefikia hadhi hiyo...

‘Maisha ya Nigeria magumu kuliko Marekani’

LAGOS, Nigeria HIYO ni kauli ya staa wa soko la muziki wa Nigeria, Daniel Benson, maarufu kwa jina la BNXN, baada ya kuwasili akitokea Los...

Waziri wa Fedha: Zaidi ya asilimia 70 ya bajeti itatekelezwa kwa mapato ya ndani

Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma WAZIRI wa Fedha, Khamis Mussa Omar, amesema Serikali itaendelea kutegemea mapato ya ndani kama chanzo kikuu cha kugharamia matumizi ya kawaida...

Uhamiaji wa kazi waibua fursa, hofu kwa wafanyakazi

Na Mwandishi Wetu,Gazetini WAKATI maelfu ya vijana wa Kitanzania wakiendelea kuingia katika soko la ajira kila mwaka huku nafasi rasmi za ajira zikibaki finyu, wataalamu...

Siku 100 tangu vita vya Marekani, Iran vilipoanza

WASHINGTON DC, Marekani JUNI 7, 2026) zilitimia siku 100 tangu Marekani kwa kushirikiana na Israel zilipoanzisha mashambulizi dhidi ya Iran, vita vilivyosababisa kupanda kwa bei...

Ripoti: Kiwango cha umasikini kimeongezeka Ujerumani

MUNICH, Ujerumani KIWANGO cha umasikini nchini Ujerumani kimeongezeka kwa kasi, ikilinganishwa na takwimu za mwaka 2020, kwa mujibu wa utafiti wa Taasisi ya Parity Welfare...

Vijana 100 wasonga mbele Vijana Uchumi Challenge 2026

Na Ramadhan Hassan, Dodoma KAMATI ya Kitaifa ya Shindano la Vijana Uchumi Challenge imetangaza rasmi majina ya vijana 100 bora waliofanikiwa kuingia hatua inayofuata ya...

Asali sasa dili Marekani, uzalishaji wapungua

NEW YORK, Marekani KUNA uhitaji mkubwa wa asali nchini Marekani baada ya kiwango cha uzalishaji kushika kwa kiwango kikubwa zaidi kuwahi kutokea, kwa mujibu wa...

Petroli yashuka Dar, dizeli yapanda

Na mwandishi wetu, Gazetini HATIMAYE bei ya mafuta ya petroli imeshuka wa Shilingi 29 kwa Dar es Salaam, ambapo sasa lita moja itauzwa kwa Shilingi...

Udhibiti wa mitumba umekwama wapi Afrika Mashariki?

NAIROBI, Kenya MUONGO mmoja uliopita, Jumuhiya ya Afrika Mashariki (EAC), ilikiri kuwapo kwa utitiri wa nguo za mitumba na kutangaza mkakati wa kuweka mazingira magumu...

Mabilionea wenye umri mdogo zaidi duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini TAKRIBANI nusu ya mabilionea wenye umri mdogo duniani (chini ya miaka 30) walipata utajiri huo kupitia biashara walizorithi kutoka katika familia...

Recent articles