NAIROBI, Kenya
WAZIRI wa Usalama wa Ndani wa Kenya, Kipchumba Murkomen, ameagiza vyombo vya usalama nchini humo kufanya uchunguzi wa kina kuhusu madai ya vurugu zilizotokea wakati wa uchaguzi mdogo wa ubunge katika eneo bunge la Ol...
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro
JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limeeleza kuwa limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 188 wa makosa mbalimbali ya jinai, huku mmoja akihukumiwa kunyongwa hadi kufa na mwingine akipewa kifungo cha maisha jela kwa makosa ya...
Na Esther Mnyika, Gazetini
KWA Watanzania wengi, kuweka fedha benki ni njia salama ya kutunza akiba, kufanya miamala na kupanga mustakabali wa kifedha. Hata hivyo,...
Na mwandishi wetu, Gazetni
VIJANA wa Tanzania wametajwa kuwa kundi litakalobeba mafanikio makubwa ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, huku wakihimizwa kuanza kujijengea uwezo...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WANANCHI wametakiwa kutambua kuwa utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 hauitegemei Serikali pekee, bali unahitaji ushiriki wa kila Mtanzania...
na mwandishi wetu, Gazetini
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limepokea malori 214 kutoka kampuni ya Isuzu East Africa kupitia Al Mansour Auto EA Tanzania kwa...
MOSCOW, Urusi
HALI ni mbaya mjini Moscow juu ya upatikanaji wa nishati ya mafuta. Foleni katika vituo vya mafuta (sheli) imeshuhudiwa kwenye maeneo mengi.
Mrundikano huo...
LONDON, Uingereza
MEI, 2026, Gazeti la Sunday Times lilimtaja David Beckham kuwa ndiye mwanamichezo pekee wa Uingereza aliyefikia hadhi ya kuitwa bilionea.
Kwa mujibu wa chanzo...
Na mwandishi wetu, Gazetini
UKWELI ulio wazi ni kwamba vita kati ya Marekani na Iran vimekuwa na athari kubwa katika uchumi wa dunia.
Vita hivyo vimesababisha...
Na Mwandishi wetu, Gazetini
MKUU wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, ametoa siku 90 kwa vikundi vyote vilivyonufaika na mikopo ya asilimia 10 kutoka halmashauri...
Na mwandishi wetu, Gazetini
Rais Samia Suluhu Hassan ameisifu Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kufikia kiwango cha kujitegemea kifedha, akisema taasisi hiyo...
LAGOS, Nigeria
LICHA ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kuipa onyo, Serikali ya Nigeria imepiga hatua moja mbele katika mpango wake wa kukopa kiasi...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
KUNA msemo unaosema, "Viongozi wakubwa hawazaliwi, hujengwa." Katika ulimwengu wa biashara, kauli hiyo inajidhihirisha kupitia watu wanaoanza katika nafasi za kawaida,...
Na mwanishi wetu, Gazetini
KATIKA utekelezaji wa Dira 2050, Mfumo mpya wa Kitaifa wa kusimamia Mipango na Miradi ya Maendeleo wa e-Delivery wa Tume ya...