Na mwandishi wetu, Gazetini
SERIKALI imesema jumla ya watu 3,557 wamepata ajali wakiwa kazini katika kipindi cha miaka mitatu kuanzia 2023 hadi 2025, huku watu 169 wakipoteza maisha kutokana na matukio hayo, hali inayoonesha ukubwa wa changamoto...
Na mwandishi wetu, Gazetini
JUMLA ya watoto na vijana wapatao 75,500 wanatarajiwa kufanyiwa uchunguzi wa ugonjwa wa selimundu (sikoseli) ili kubaini mapema hali zao za kiafya na kuwapatia huduma stahiki, kupitia mradi wa miaka mitatu unaotekelezwa kwa...
Na Mwandishi Wetu
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amesema deni la Serikali limeongezeka na kufikia sh. trilioni 110, hali...
Na mwadishi wetu, Gazetini
RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imebaini kuwa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limeendelea kupata hasara...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde, amesema makaa ya mawe yana nafasi ya kimkakati katika kuharakisha mageuzi ya uchumi wa Tanzania kuelekea...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Crispin Chalamila, amesema uchunguzi wa awali umebaini kuwapo kwa mtandao...
Na Benjamin Madaha
WAFANYABIASHARA, vijana na hata waajiriwa kuna kanuni moja ya uchumi wa kipato ambayo watu wengi hawaielewi mapema.
Utajiri haujengwi kwa kipato cha...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KONGAMANO la Uwekezaji Afrika Mashariki la mwaka 2026 (East Africa Investment Forum – EAIF 2026) linatarajiwa kufanyika kesho na kesho kutwa...
Na Benjamin Madaha
KATIKA kipindi hiki cha tatizo la ajira, watu wanatafuta pesa kila kukicha -wengine usiku na mchana na wengine hujaribu kuhama eneo moja...
Na Benjamin Madaha
WAFANYABIASHARA, waajiriwa na vijana wanaojitafuta - kuna ukweli mgumu kidogo kwenye elimu ya fedha ambao watu wengi hawafundishwi. Akaunti yako ya kuhifadhi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
NAIBU Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Ummy Nderiananga, amewahimiza watumishi wa ofisi hiyo kuongeza...
Na mwandishi wetu, Gazetini
TANZANIA imeendelea kuimarisha nafasi yake kama kivutio kikubwa cha uwekezaji wa kimataifa katika sekta ya madini, baada ya kuorodheshwa miongoni mwa...
Na Iman Nathaniel, Gazetini
KUELEKEA sikukuu ya Eid El Fitr, Kampuni ya Halotel kupitia HaloPesa imetoa msaada wa mahitaji muhimu kwa familia zaidi ya 60...