MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester United imekamilisha usajili wa kiungo wa kimataifa wa Cameroon, Carlos Baleba baada ya kukubali ada ya Pauni milioni 70.
Kwa mujibu wa ripoti, Man United wameitangulizia Brighton kiasi cha Pauni milioni 65 kumnasa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA sehemu ya tisa, tuliishia pale bi. Madina alipomuomba Yoweri Museveni amruhusu Idi Amin kurudi Uganda. Rais huyo akasema ‘Idi Amin atalipia dhambi zote alizofanya’, akimaanisha kuwa angefunguliwa mashitaka na kufungwa. Endelea …
Baada...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SEKTA hii itachukua nafasi muhimu katika kuendesha maendeleo ya Tanzania, hususan katika maeneo ya biashara, huduma za ukarimu, na huduma zingine...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KAMA zilivyo zingine, sekta hii nayo itakuwa kichocheo muhimu cha mageuzi ya kiuchumi ifikapo mwaka 2050. Kwanini?
Mahitaji ya huduma za kifedha,...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SEKTA hizo zina uwezo mkubwa ambao haujatumiwa kikamilifu katika kuchochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Sekta hizi zinatoa fursa muhimu kwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SEKTA ya Uchumi wa Buluu unaozingatia matumizi endelevu ya rasilimali za bahari na maji baridi, utakuwa na mchango mkubwa katika kuleta...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeishauri Serikali kuiongezea wataalam Wakala wa Usalama na Afya Mahali...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SEKTA ya Madini nchini Tanzania imevutia uwekezaji wenye thamani ya Sh trilioni 9 ndani ya kipindi cha miaka minne, hatua ambayo...
Na Mwandishi wetu, Gazetini
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) Agosti 22, 2026, katika eneo...
Na mwandishi wetu, Gazetini
NI moja ya sekta muhimu yenye fursa kubwa ya kuchangia maendeleo ya nchi. Hii inatokana na utajiri wa rasilimali za madini,...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SEKTA hizi zitakuwa kiini cha ukuaji wa miji ya Tanzania, zikikidhi mahitaji yanayoongezeka ya makazi, miundombinu na huduma za umma, huku...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KUTEGEMEA kilimo pekee kwa muda mrefu ni changamoto kwa kuwa mabadiliko ya tabianchi, kuyumba kwa bei, misukosuko ya masoko duniani kunaweza...
Na mwandishi wetu, Gazetini
Kama ilivyo kilimo, utalii ni sekta nyingine nyeti katika uchumi wa Tanzania. Kwa takwimu halisi, inachangia asilimia 25 ya mapato ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
DIRA 2050 inaanisha vigezo vitano vya kuchagua sekta za mageuzi. Vigezo hivyo vinatokana na umuhimu na mchango ambao umekuwa ukitolewa na...