Ads: info@gazetini.co.tz |
26 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

WASHINGTON DC, Marekani INAFAHAMIKA kuwa bado uhusiano kati ya Marekani na Iran haujakaa sawa. Mataifa hayo yanaendelea kushambuliana kijeshi, licha ya makubaliano ya hivi karibuni ya kusitisha vita vyao vilivyoanza Februari 28, 2026. Sasa, 'bifu' la nchi hizo...
Na Hassan Mwasha HATIMAYE Yanga wamethibitisha ubabe wao Ligi Kuu Bara baada ya kumaliza msimu huu wa 2025-26 kwa kutwaa ubingwa wao wa tano mfululizo. Yanga wamenyakua taji hilo leo Juni 30, 2026, kwa kuitandika JKT Tanzania mabao...

Marekani, Iran ‘kimenuka’ tena

WASHINGTON DC, Marekani JESHI la Marekani limeishambulia Iran, zikiwa ni saa chache tu tangu Rais Donald Trump aliposema wenzao hao wamekiuka makubaliano ya Juni 17,...

DR Congo yafungua kesi dhidi ya Rwanda ICJ

DRC, Congo JAMHURI ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imefungua kesi dhidi ya Rwanda katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) iliyoko The Hague, Uholanzi, ikiitaka...

Yanayowakuta Wapalestina magereza ya Israel yanatisha

JERUSALEM, Israel WANAHARAKATI wa haki za binadamu duniani wanataka kuona Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) ikiichunguza Israel juu ya uhalifu dhidi ya...

Kisa maandamano, polisi Kenya wafunga njia kuu Nairobi

NAIROBI, Kenya JIJI la Nairobi limeingia katika tahadhari kubwa ya kiusalama huku polisi wakiweka vizuizi katika barabara kuu na maeneo muhimu ya kuingia katikati ya...

Trump: Nimeridhishwa na hatua za Irani, ila…

WASHINGTON, Marekani Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema ameridhishwa na mwenendo wa mazungumzo ya maelewano kati ya Marekani na Iran, akidai kuwa Tehran inaonesha ushirikiano...

Matetemeko mawili makubwa yatikisa Venezuela

CARACAS, Venezuela MJI mkuu wa Venezuela, Caracas, mapema leo umetikiswa na matetemeko mawili makubwa ya ardhi yaliyotokea kwa tofauti ya sekunde chache, hali iliyozua taharuki...

FIFA: Trump atakuwepo fainali Kombe la Dunia

NYON, Uswis RAIS wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, ametangaza kuwa Donald Trump atakuwepo uwanjani siku ya fainali ya msimu huu wa...

Shambulizi la Ukraine lakata umeme Crimea

KYIV, Ukraine SHAMBULIZI la anga la Ukraine limesababisa sehemu kubwa ya eneo linaloshikiliwa na Urusi nchini humo kukosa huduma ya umeme. Kwa mujibu wa taarifa, shambulizi...

Familia ya Rais Lungu yashinda kesi

LUSAKA, Zambia UKIWA ni mwaka mmoja tu tangu kifo cha Rais Edgar Lungu, familia yake imeshinda kesi baada ya Mahakama kuamuru ipewe mwili kwa ajili...

Rais Trump afichua Waziri Mkuu wa Uingereza kujiuzulu

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amedai kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, anajiandaa kujiuzulu. “Keir Starmer atajiuzulu katika nafasi yake ya Waziri...

Mabeberu, majirani wanavyopishana ‘kuchota utajiri’ wa DRC

Na mwandishi wetu, Gazetini WAKATI wengine wakiamini DRC imefeli katika diplomasia na ulinzi, vita vinavyoendelea nchini humo vinahusishwa pia na hila za mataifa makubwa duniani. Kwamba...

Mke wa Waziri Mkuu azuiwa kusafiri nje ya nchi

MADRID, Hispania BEGONA Gomez ambaye ni mke wa Waziri Mkuu wa Hispania, Pedro Sanchez, amewekewa zuio la kusafiri nje ya nchi wakati huu akikabiliwa na...

Recent articles