LONDON, Uingereza
KATIKA dakika ya 89 ya mchezo wa Championship dhidi ya Millwall, kiungo wa West Ham United, Mohamadou Kante, alifanya aliwakosha mashabiki na wachezaji wenzake baada ya kucheza rafu iliyomsababishia kadi nyekundu.
Ikiwa ni 'derby ya London',...
MERSEYSIDE, Uingereza
KLABU ya Liverpool iko mbioni kumpa mkataba mpya kiungo wake raia wa Ujerumani, Florian Wirtz, licha ya kusuasua kwa kiwango chake.
Nyota huyo hajafunga bao katika mechi 12 alizocheza hivi karibuni akiwa na Liverpool na timu...
MADRID, Hispania
WASHIKA Bunduki wa London, Arsenal, wanamtolea macho mshambuliaji wa Real Madrid, Endrick, wakipanga kumfuata wakati wa usajili wa dirisha dogo la Januari, 2026.
Endrick...
CATALUNYA, Hispania
MSHAMBULIAJI wa Barcelona, Raphinha, amefunga 'hat-trick' yake ya pili katika michezo miwili mfululizo, safari hii akifnya hivyo dhidi ya Sevilla.
Barcelona wakiwa ugenini kwenye...
LAGOS, Nigeria
TIMU ya soka ya Taifa ya Nigeria 'Super Eagles' itamkosa straika wake tishio, Victor Osimhen, katika mechi mbili zijazo za kufuzu fainali za...
MANCHESTER, Uingereza
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Manchester City, Sergio Aguero, amempa onyo kocha wa Arsenal, Mikel Arteta, akimtaka kuwa makini na mtindo wake wa kubadili...
PARIS, Ufaransa
KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Zinedine Zidane, amefunga mlango kwa straika mkongwe, Karim Benzema, kurejea kikosini, licha ya kukiri...
MANCHESTER, Uingereza
MSHAMBULIAJI chipukizi wa Manchester United, JJ Gabriel, ameingia kwenye rada za klabu kubwa nne barani Ulaya, ikiwamo Barcelona.
Kwa mujibu wa kituo cha televisheni...
LONDON, Uingereza
BAADA ya kufungwa mabao 3-2 na Aston Villa, Tottenham imefikisha mechi tano za msimu huu wa Ligi Kuu ya England bila kupata ushindi.
Kwa...
LONDON, Uingereza
MSHAMBULIAJI wa Arsenal, Viktor Gyokeres, anahusishwa na klabu nne za Ulaya, zikiwamo za Ligi Kuu ya Italia .
Katika msimu wake wa kwanza Emirates,...
LOS ANGELES, Marekani
KAMA utataja wasanii wa Hip hop wakubwa nchini Marekani na duniani kwa ujumla, basi hutoacha kulitaja jina la William Leonard Roberts II,...
MANCHESTER, Uingereza
STRAIKA mwenyewe ni huyu; Ronaldo Nazario, ambaye ametimiza umri wa miaka 50. Mshambuliaji mwenye historia ya kubeba tuzo mbili za Ballons d'Or na...
MANCHESTER, Uingereza
KOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amefunguka juu ya tetesi zinazodai kuwa mabosi wa klabu hiyo watamfungashia virago.
Taarifa zilizopo, ambazo hata hivyo hazijathibitishwa...
RIO, Brazil
MKONGWE wa soka la Brazil, Marcelo, amemchagua tena Cristiano Ronaldo alipoulizwa ni nani mkali wa muda wote kati ya Mreno huyo na Lionel...