29.2 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Na mwandishi wetu, Gazetini BUNGE la Jamhuru ya Muungano wa Tanzania, limeridhia na kupitisha bajeti ya Wizara ya Madini ya sh bilioni 174.9 kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027 ili kuiwezesha Wizara ya Madini kufanikisha ukusanyaji wa maduhuli...
Na mwandishi wetu, Gazetini CHANGAMOTO ya afya ya akili ni moja ya maeneo nyeti kwa sasa, ikipewa umuhimu mkubwa kutokana na athari zake si tu kwa mtu binafsi, bali pia kwa jamii na Taifa kwa ujumla. Katika mataifa...

Aliyetaka kumuua Trump aliacha ujumbe kwa familia

WASHINGTON DC, Marekani SAKATA la mtuhumiwa wa tukio la kufyatua risasi katika halfa aliyokuwemo Rais Donald Trump limechukua sura mpya. Mwanaume huyo mwenye umri wa miaka...

Rooney: Saka amerudi kuipa ubingwa Arsenal

LONDON, Uingereza MKONGWE wa Manchester United, Wayne Rooney, anaamini kurejea dimbani kwa Bukayo Saka kutaipa nguvu kubwa Arsenal katika mbio zake za ubingwa wa Ligi...

Becker akaribia kutua Juventus

MERSEYSIDE, England MLINDA mlango wa Liverpool, Alisson Becker, yuko kwenye hatua nzuri ya kujiunga na vigogo wa Serie A, Juventus. Juventus wanampigia hesabu Mbrazil huyo mwenye...

WHO: Vita vya Iran ‘pasua kichwa’ sekta ya afya

TEHRAN, Iran WIZARA ya Afya ya Iran imeeleza kuwa watu zaidi ya 1,300 wamefariki na wengine zaidi ya 9,000 kujeruhiwa tangu nchi hiyo ilipoingia kwenye...

Hapatoshi! Ni nusu fainali ya wanawake Ligi ya Mabingwa Ulaya

BERLIN, Ujerumani TIMU ya soka ya wanawake ya Arsenal ndiyo mabingwa watetezi na sasa wataivaa Lyon katika hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa...

Minaj kuibukia sherehe ya waandishi wa Ikulu

WASHINGTON DC, Marekani KIPENZI cha Rais Donald Trump, Nicki Minaj ni miongoni mwa mastaa wa muziki watakaohudhuria halfa ya chakula cha jioni itakayofanyika kesho Aprili...

Gallas: Simeone ataipa mataji Chelsea

LONDON, Uingereza BEKI wa kati wa zamani wa Chelsea, William Gallas, anaamini Diego Simeone ndiye kocha sahihi wa kupewa mikoba ya kuinoa timu hiyo. Chelsea wanahitaji...

Mkakati wa kutokomeza saratani ya kizazi

EDINBURGH, Scotland SARATANI ya kizazi ni moja ya saratani nne zinazotesa wanawake duniani, ikihusishwa pia na vifo vingi kwa jinsia hiyo. Hata hivyo, hadithi ni tofauti...

Vita vya Iran vilivyotikisa usafiri wa anga Afrika

CAIRO, Misri WIKI sita za vita kati ya Marekani na Israel zinazoishambulia Iran imesababisha mtikisiko mkubwa katika sekta ya usafiri wa anga barani Afrika. Makala...

Sababu 3 za Chelsea kumtimua Rosenior

LONDON, Uingereza BAADA ya mfululizo wa matokeo mabaya na kiwango kisichoridhisha cha timu yao, mabosi wa Chelsea walimfuta kazi kocha Liam Rosenior hivi karibuni. Alifukuzwa baada...

Vifo vya watoto vyapungua Afrika

KINSHASA, DRC BARA la Afrika limepiga hatua kubwa tangu mwaka 2000 katika kukabiliana na vifo vya watoto wachanga, kwa mujibu wa utafiti wa Shirika la...

Makocha wanaosikilizia kibarua Chelsea

LONDON, Uingereza CHELSEA haina kocha mkuu baada ya kumfungashia virago Liam Rosenior, ambaye aliajiriwa Januari, 2026 kuchukua nafasi ya Enzo Maresca. Rosenior amefutwa kazi akiwa ameiongoza...

Recent articles

spot_img