LOS ANGELES, Marekani
GUMZO kubwa katika tasnia ya burudani nchini Marekani ni ndoa ya bibiye Taylor Swift na mpenzi wake, Travis Kelce, huku mashabiki wa 'kapo' hiyo wakibaki njiapanda juu ya siku ya sherehe hiyo.
Swift, mwanamuziki tajiri...
PYONGYANG, Korea ya Kaskazini
RAIS wa China, Xi Jinping, yuko Korea ya Kaskazini kwa ziara ya siku mbili, Juni 8-9, 2026, ikilenga kutanua mahusiano mazuri yaliyopo kati ya mataifa hayo ya barani Asia.
Hii ni ziara yake ya...
BOGOTA, Colombia
RAIS aliyemaliza muda wake nchini Colombia, Gustavo Petro, amemnyooshea kidole Donald Trump wa Marekani kwa hatua yake ya kumuunga mkono mgombea wa urais Abelardo...
TRIPOLI, Libya
WANANCHI wa Libya walioingia barabarani kupinga taarifa za nchi yao kupokea wahamiaji kutoka Marekani wameingia na kufanya vurugu katika ofisi za Umoja wa...
NABATIEH, Lebanon
Pande mbili hizo zimeingia kwenye mapigano ya muda mrefu sasa, hasa tangu Hezbollah ilipoamua kuisaidia Iran ilipoanza kushambuliwa na Marekani na Israel mwanzoni...
KYIV, Ukraine
RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amemuomba mwenzake wa Urusi, Vladimir Putin, wakutane na kuzungumza juu ya kumaliza vita vinavyoendelea kati ya mataifa mawili...
LONDON, Uingereza
KUELEKEA fainali za Kombe la Dunia zitakazoanza Juni 11, 2026, umekuwapo wasiwasi mkubwa juu ya uwezekano wa kutokea kwa mashambulizi ya kigaidi viwanjani.
Michuano...
KYIV, Ukraine
WATU saba wameripotiwa kupoteza maisha na wengine 11 kujeruhiwa baada ya ndege isiyo na rubani (drone) kugonga basi la abiria nchini Ukraine.
Kwa mujibu...
BEIRUT, Lebanon
HIVI karibuni, vikosi vya jeshi la Israel viliitaja kuwa ni mafanikio makubwa hatua ya kuiteka Ngome ya Beaufort iliyoko Lebanon.
Kwamba ni hatua kubwa...
MAPUTO, Msumbiji
KWA siku za hivi karibuni, yamezuka matukio ya wanasiasa wa upinzani nchini Msumbiji kuuawa kwa kupigwa risasi.
Mei 9, 2026, Anselmo Vicente, ambaye ni...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MWISHONI mwa mwaka 2025, Madagascar ilitikiswa na maandamano makubwa ya vijana wa Gen-Z walioingia barabarani wakipinga hali mbaya ya kiuchumi, wakati...
LAGOS, Nigeria
MEJA Jenerali Mstaafu wa jeshi nchini Nigera, Rabe Abubakar, ametekwa na watu wasiojulikana akiwa na mkewe kwenye gari wakati wakiwa safarini katika Jimbo...
ANKARA, Uturuki
MAELFU ya wananchi wa Uturuki wameingia barabarani kupinga uamuzi wa Mahakama kutokumtambua kiongozi wa upinzani, Ozgur Ozel.
Ozel ameondoshwa katika nafasi yake ya uongozi...