Na Hassan Mwasha, Gazetini
MOJA ya hatua kubwa zilizopigwa na Shirika la Reli nchini (TRC) ni kuondokana na utegemezi kwa Serikali, ambapo katika Mwaka wa Fedha wa 2026-27 litaanza kujitegemea katika ulipaji wa mishahara ya waajiriwa wake.
Hayo...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
KASI kubwa ya maendeleo imeshuhudiwa katika bandari za mwambao wa Bahari ya Hindi na Maziwa Makuu, ikiwamo uboreshaji wa miundombinu unaochagiza utoaji wa huduma unaokidhi viwango vya kitaifa na kimataifa.
Katika kipindi cha Julai,...