Na mwandishi wetu, Gazetini
MWANDISHI wa habari wa kituo cha televisheni cha ABC cha Marekani, John Miller, anasimulia mahojiano aliyofanya Mei, 1998, na aliyekuwa kiongozi wa Al-Qaeda wakati huo, Osama Bin Laden.
Mahojiano yaliyofanyika kwa dakika 60 baada...
Na mwandishi wetu, Gazetini
PAUL Biya wa Cameroon ana umri wa miaka 93. Amekuwa Ikulu tangu mwaka 1982 na sasa anatumikia muhula wake wa nane aliouanza mwaka 2025. Atamaliza Novemba 6, 2032, miezi michache kabla ya kusherehekea...
MADRID, Hispania
KOCHA wa Real Madrid, Jose Mourinho, amesema mshambuliaji wake raia wa Ufaransa, Kylian Mbappe, anastahili tuzo ya mwaka huu ya Ballon d’Or.
Akizungumza kuelekea...
LONDON, Uingereza
KOCHA wa Tottenham, Roberto De Zerbi, amefichua kuwa mastaa wake watatu kikosini wameomba kuondoka klabuni hapo.
Zerbi raia wa Italia, ameenda mbali zaidi na...
MIAMI, Marekani
NAHODHA wa Inter Miami ya Ligi Kuu ya Marekani (MLS), Lionel Messi, ameingia kambani mara nne katika ushindi wa mabao 7-1 walioupata dhidi...
LONDON, Uingereza
WASHIKA Bunduki wa London, Arsenal, wameingia kwenye mazungumzo ya kumsajili staa wa Lille ya Ufaransa, Matias Fernandez-Pardo.
Licha ya Arsenal kuitaka saini yake, pia...
LONDON, Uingereza
KLABU ya Sunderland imeanza kuiwinda saini ya winga wa kimataifa wa England, Jack Grealish, kwa mujibu wa mtandao wa Football Insider.
'Black Cats' wanaitaka...
MERSEYSIDE, Uingereza
KOCHA wa Everton, David Moyes, ameungana na mashabiki wa timu hiyo akisema walikuwa sahihi kwa kile walichokifanya wakati wa mchezo wao wa sare...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester City imeanza mazungumzo na Liverpool ikijaribu kuishawishi iwauzie winga raia wa Ureno, Cody Gakpo.
Man City imechukua hatua huku dirisha kubwa...
LONDON, Uingereza
MPACHIKAJI mabao wa Arsenal raia wa Brazil, Gabriel Jesus, yuko mbioni kujiunga na wakongwe wa La Liga, Atletico Madrid.
Mtaalamu wa habari za usajili...
BERLIN, Ujerumani
MAHAKAMA Kuu nchini Ujerumani imemuhukumu kifungo cha maisha mwanaume mwenye umri wa miaka 81 kwa mashitaka ya kubaka na kuua.
Kwa mujibu wa taarifa,...
MONACO, Ufaransa
DROO ya ratiba ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu wa 2026-27 ilichezeshwa jana, Agosti 27, 2026 mjini Monaco, Ufaransa. Ligi hiyo kwa...
LONDON, Uingereza
LEJENDARI wa Chelsea, Marcel Desailly, amesema kama kuna mchezaji asiyetakiwa kuingia tena kwenye kikosi cha timu hiyo, basi ni kipa Robert Sanchez.
Kauli ya...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester United imejiweka kwenye nafasi nzuri ya kuinasa saini ya beki wa Chelsea, Tosin Adarabioyo.
Katika dirisha kubwa hili la usajili wa...