Ads: info@gazetini.co.tz |
28.9 C
Dar es Salaam

Europe

Na mwandishi wetu, Gazetini MKUU wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando, amekipongeza Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) kwa kuendelea kuandika na kuibua changamoto za uharibifu wa mazingira, akisisitiza umuhimu wa vyombo vya habari...
MANCHESTER, Uingereza KOCHA wa Manchester City, Enzo Maresca, yuko mbioni kutangaza nahodha mpya wa kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao wa 2026-27. Man City inahitaji nahodha wa kuvaa kitambaa cha Bernardo Silva ambaye ameondoka klabuni hapo majira...

FIFA yalaani mpango wa kumng’oa Infantino

NYON, Uswis SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA) limelaani mpango wowote unaolenga kumng'oa kwenye kiti Rais wake, Gianni Infantino. Infantino anakabiliwa na shinikizo la kutakiwa kujiuzulu...

Arsenal bado wamkomalia Guimaraes

LONDON, Uingereza ARSENAL hawajarudi nyuma katika mpango wao wa kumsajili nahodha wa kikosi cha Newcastle United, Bruno Guimaraes. Taarifa zinaeleza kuwa Washika Bunduki wako kwenye meza...

Barcelona yaambiwa imchukue Osimhen

CATALUNYA, Hispania NI ushauri wa mkongwe Andres Iniesta, akiitaka klabu yake ya zamani ya Barcelona kumsajili straika wa Galatasaray, Victor Osimhen. Kwa mujibu wa Iniesta, nyota...

Wenger amkana Infantino, asema asihusishwe

NYON, Uswis MKONGWE wa Arsenal, Arsene Wenger, amekana kuhusika katika uliokuwa mpango wa Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, kuuza hisa...

Caicedo hataki Enzo aondoke Chelsea

LONDON, Uingereza KIUNGO wa Chelsea, Moises Caicedo, amekiri kuwa hatamani kuona staa mwenzake, Enzo Fernandez, akiondoka klabuni hapo kama inavyoelezwa na vyombo vya habari. Caicedo ameeleza...

Kwanini Venezuela imejitoa ICC?

CARACAS, Venezuela SIKU chache zilizopita, Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela, Felix Plasencia, alitangaza uamuzi wa nchi hiyo kuondosha uanachama wake katika Mahakama ya...

Wawili wafariki ajali ya helikopta

ATHENS, Ugiriki AJALI ya helikopta mbili za kukabiliana na majanga ya moto zilizogongana nchini Ugiriki imesababisha vifo vya wafanyakazi wake wawili. Katika ajali hiyo iliyotokea wakati...

Wales yatangaza kutokumtambua Infantino

CARDIFF, Wales WALES imekuwa nchi ya kwanza kutangaza kutokumuunga mkono Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, katika mpango wake wa kuwania...

Liverpool yamaliza vibaya ‘pre-season’

CHICAGO, Marekani LIVERPOOL chini ya kocha mpya, Andoni Iraola, imetandikwa mabao 4-2 na Leeds United katika mchezo wao wa mwisho wa maandalizi ya msimu ujao...

Semenyo amvulia kofia Enzo Maresca

MANCHESTER, Uingereza MSHAMBULIAJI wa Manchester City, Antoine Semenyo, amesifia aina ya uchezaji wa timu hiyo chini ya kocha mpya raia wa Italia, Enzo Maresca. Semenyo ametoa...

Kocha atimka Man United kisa ‘ubahili’ sokoni

MANCHESTER, Uingereza PIGO zito! Kocha wa timu ya soka ya wanawake ya klabu ya Manchester United, Marc Skinner, amejiuzulu, zikiwa zimebaki wiki chache kabla ya...

Infantino anyoosha mikono, aachana na mpango wake

NYON, Uswis HATIMAYE Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, ametangaza kuachana na mpango wake wa kuuza hisa za Kombe la Dunia...

Recent articles