TEHRAN, Iran
NI miezi sita sasa tangu Mojtaba Khamenei alipoteuliwa kuwa kiongozi mpya wa Iran baada ya baba yake kuuawa katika shambulizi la kwanza lililofanywa na Marekani na Israel.
Tangu hapo, Mojtaba hajaonekana hadharani wala kusikika, jambo linaloibua...
WASHINGTON DC, Marekani
IKIWA ni miezi sita imepita tangu vilipoanza vita kati ya Iran na Marekani inayoshirikiana na Israel, mambo yamezidi kuwa magumu kwa pande mbili hizo kufikia mwafaka wa kuweka silaha chini.
Iran, ambayo ilionekana ingeshindwa mapema,...