Na Faraja Mulungu, Gazetini
WAZIRI MKUU wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mwigulu Nchemba, ametoa siku 14 kwa wizara na taasisi zote zinazohusika na Kituo cha Kitaifa cha Pamoja cha Oparesheni kupeleka wawakilishi wake ili kituo...
LONDON, Uingereza
HUENDA kocha wa Newcastle United, Eddie Howe, akaachia ngazi katika benchi la ufundi la timu hiyo, kwa mujibu wa mwandishi wa habari maarufu, David Ornstein.
Kwa mujibu wa Ornstein, tayari kocha huyo wa kimataifa wa England...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WANANCHI wametakiwa kutambua kuwa utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 hauitegemei Serikali pekee, bali unahitaji ushiriki wa kila Mtanzania...