30.2 C
Dar es Salaam

Teknolojia

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imesema kuwa jumla ya watu 518 walipoteza maisha katika ghasia zilizotokea kipindi hicho.Akizungumza wakati...
LONDON, Uingereza CHELSEA haina kocha mkuu baada ya kumfungashia virago Liam Rosenior, ambaye aliajiriwa Januari, 2026 kuchukua nafasi ya Enzo Maresca. Rosenior amefutwa kazi akiwa ameiongoza timu hiyo katika mechi 23 pekee. Hatua ya kufukuzwa imekuja baada ya...

Je, wewe unatumia teknolojia gani ya mtandao; 2G, 3G, 4G au 5G?

Na mwandishi wetu, Gazetini TANZANIA inaendelea kupiga hatua katika upatikanaji wa huduma za mawasiliano kupitia teknolojia mbalimbali za mitandao ya simu. Kwa mujibu wa ripoti ya...

Hizi ndizo ‘drone’ za bei rahisi inazotumia Iran kuzibomoa Marekani, Iran

TEHRAN, Iran WAKATI Marekani ilipoanza kuishambulia Iran wiki chache zilizopita, Donald Trump alijitamba kuwa wataangamiza viwanda vyote vya silaha nchini humo. Hata hivyo, Rais Trump alisahau...

Wagonjwa wa ‘AI’ kutumika mafunzo ya udaktari

Na mwandishi wetu, Gazetini DUNIA inakwenda kasi. Maendeleo ya sayansi na teknolojia yanaibua gunduzi zinazorahisha na kuleta ufanisi wa shughuli mbalimbali. Kwa sasa, fani ya udaktari...

WhatsApp yapigwa kufuli Urusi

MOSCOW, Urusi SERIKALI ya Urusi imeagiza kufutwa kwa matumizi ya WhatsApp nchini humo, huku ikiwa na mbadala wa mtandao huo wa kijamii. Mamkala zimetoa agizo hilo...

Dk. Mwigulu: Serikali kununua matrekta 10,000 kuinua kilimo

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imepanga kununua matrekta 10,000 na kuanzisha vituo jumuishi 1,000 vya huduma za zana za...

Apple yaiburuza Samsung mauzo ya simu

BEIJING, China BAADA ya miaka 14 ya kuwa nyuma ya Samsung kwa mauzo ya simu, kampuni ya Apple imeamka na kushika nafasi ya kwanza duniani. Kwa...

Watafiti waonesha teknolojia ya 6G yenye kasi mara 9,000 zaidi ya 5G

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Watafiti wamefanikiwa kuonesha teknolojia ya mawasiliano ya 6G ambayo inaweza kuwa hadi mara 9,000 zaidi ya kasi ya 5G ya sasa,...

Halopesa yatoa mafunzo ya utafiti wa masoko kwa wanafunzi wa chuo Zanzibar

Na Mwandishi Wetu Kampuni ya Halotel kupitia huduma ya HaloPesa ikishirikiana na timu ya Halotel Business Zanzibar, wamefanya mafunzo ya utafiti wa masoko na kutoa...

Magari ya umeme kutengezwa Tanzania

Na Mwandishi Wetu Tanzania inatarajia kunufaika na matumizi ya magari yanayotumia umeme na gesi yanayotarajiwa kutengenezwa nchinj kupitia kiwanda cha kampuni GF kilichopo Kibaha mkoani...

Kiwanda cha GFA chasheherekea uundaji magari 4000 nchini

Na Mwandishi Wetu Kiwanda cha kwanza kutengeneza na kuunganisha magari Tanzania cha GF Vehicles Assemblers (GFA), kilichopo Kibaha mkoani Pwani , kimesheherekea kufikia utengenezaji wa...

Waziri Mkuu awataka wanahabari kutumia Akili Mnemba kama nyenzo na si kikwazo

Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka  waandishi wa habari nchini kutumia Akili Mnemba (IA) kama nyenzo ya kuwawezesha kutekeleza majukumu yao ipasavyo na...

Huawei and Vodacom Empower Tanzania Startups with Transformative Learning Tour

By Our Correspondent Huawei, in partnership with Vodacom, has successfully concluded a week-long exchange learning program for seven promising Tanzanian startups. This initiative, part of...

Recent articles

spot_img