Ads: info@gazetini.co.tz |
24.4 C
Dar es Salaam

Watoto

LONDON, Uingereza KIUNGO wa zamani wa klabu za Valencia, Manchester United na Chelsea, Juan Mara, yumo kwenye orodha hii, akiwa na Shahada (Digrii) mbili. Digrii yake ya kwanza ni ya Masomo, kabla ya kuchukua nyingine ya Sayansi ya...
RIO, Brazil UNAMKUMBUKA Alexandre Pato, kiungo wa zamani wa timu ya soka ya Taifa ya Brazil 'Selecao'? Alianza safari yake ya soka la kulipwa akiwa Internacional ya Brazil mwaka 2000, kabla ya kutua Ulaya akiwa na miaka 18...

Changamoto ya afya ya akili kwa wajawazito

Na mwandishi wetu, Gazetini CHANGAMOTO ya afya ya akili ni moja ya maeneo nyeti kwa sasa, ikipewa umuhimu mkubwa kutokana na athari zake si tu...

WHO: Vita vya Iran ‘pasua kichwa’ sekta ya afya

TEHRAN, Iran WIZARA ya Afya ya Iran imeeleza kuwa watu zaidi ya 1,300 wamefariki na wengine zaidi ya 9,000 kujeruhiwa tangu nchi hiyo ilipoingia kwenye...

Hatua za Tanzania katika kutokomeza Malaria

Na mwandishi wetu, Gazetini TANZANIA imepiga hatua kubwa katika kupunguza athari za malaria, huku takwimu za hivi karibuni zikionyesha kupungua kwa vifo, maambukizi na wagonjwa...

Watoto 75,500 nchini kuchunguzwa Sikoseli

Na mwandishi wetu, Gazetini JUMLA ya watoto na vijana wapatao 75,500 wanatarajiwa kufanyiwa uchunguzi wa ugonjwa wa selimundu (sikoseli) ili kubaini mapema hali zao za...

Unavyoweza kumkuza mtoto mwenye upendo na kujali wengine

Na mwandishi wetu, Gazetini MALEZI ya mtoto hayahusu chakula, mavazi au elimu pekee, bali pia maadili anayojifunza akiwa mdogo. Wazazi wengi hutamani kuona watoto wao...

Changamoto wanazopitia wanafunzi Ukanda wa Gaza

JERUSALEM, Palestina MIAKA miwili iliyopita, Sarah Qanan alikuwa miongoni mwa wanafunzi waliokuwa wakifanya vizuri darasani. Ndoto ya kuwa daktari ilikuwa kichwani kwake na kumuongezea morali...

UN: Wasichana milioni 4.5 hatarini kukeketwa mwaka 2026

NEW YORK, Marekani RIPOTI mpya ya Umoja wa Mataifa (UN) inaonesha kuwa wasichana takribani milioni 4.5 duniani kote wako kwenye hatari ya kufanyiwa ukeketaji kwa...

Watoto waliotekwa waachiwa

LAGOS, Nigeria WATOTO wengine 130 waliokuwa wametekwa na waasi mwezi uliopita nchini Nigeria wameachiwa na kuungana na familia zao. Ikumbukwe, watoto hao ni miongoni mwa wanafunzi...

Utafiti: Ni hatari watoto kuachiwa ‘smartphone’

Na mwandishi wetu, Gazetini HUKU ikionekana kuwa ni kwenda na wakati, utamaduni wa watoto kuachiwa 'simu-janja' (smartphone) una madhara mkubwa kwao, utafiti wa hivi karibuni...

UNICEF: Kipindupindu kimeua watoto 340 DRC

KINSHASA, DRC SHIRIKA la Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) limeeleza kuwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) inapitia kipindi kigumu zaidi kuwahi kutokea kutokana...

Utafiti: Midoli ya plastiki hatari kwa watoto

Na mwandishi wetu, Gazetini HIYO ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na wataalamu wa afya wanaojihusisha na masuala ya homoni nchini Ujerumani. Katika utafiti wao, wamebaini...

UNICEF: Vikwazo vya umri pekee havitoshi kuwalinda watoto mitandaoni

Na mwandishi wetu, Gazetini ULIMWENGUNI kote, serikali zinaendelea kujadili umri unaofaa kuruhusu matumizi ya mitandao ya kijamii, huku baadhi zikianzisha vikwazo vipya vya umri ili...

Recent articles