27.2 C
Dar es Salaam

Watoto

    PRETORIA, Afrika Kusini KWA sasa, Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini anakabiliwa na tishio la kupigiwa kura ya kutokuwa na imani na rais. Amekuwa madarakani tangu mwaka 2018. Ramaphosa, kiongozi wa zamani wa Chama cha Wachimbaji wa Madini cha...
    LONDON, Uingereza FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu ziko njiani. Zitaanza Juni 11 na kufanyika kwa mwezi mmoja hadi Julai 19, 2026, huku mechi ya ufunguzi ikizikutanisha Mexico na Afrika Kusini. Timu ya Taifa ya England...

    WHO: Vita vya Iran ‘pasua kichwa’ sekta ya afya

    TEHRAN, Iran WIZARA ya Afya ya Iran imeeleza kuwa watu zaidi ya 1,300 wamefariki na wengine zaidi ya 9,000 kujeruhiwa tangu nchi hiyo ilipoingia kwenye...

    Hatua za Tanzania katika kutokomeza Malaria

    Na mwandishi wetu, Gazetini TANZANIA imepiga hatua kubwa katika kupunguza athari za malaria, huku takwimu za hivi karibuni zikionyesha kupungua kwa vifo, maambukizi na wagonjwa...

    Watoto 75,500 nchini kuchunguzwa Sikoseli

    Na mwandishi wetu, Gazetini JUMLA ya watoto na vijana wapatao 75,500 wanatarajiwa kufanyiwa uchunguzi wa ugonjwa wa selimundu (sikoseli) ili kubaini mapema hali zao za...

    Unavyoweza kumkuza mtoto mwenye upendo na kujali wengine

    Na mwandishi wetu, Gazetini MALEZI ya mtoto hayahusu chakula, mavazi au elimu pekee, bali pia maadili anayojifunza akiwa mdogo. Wazazi wengi hutamani kuona watoto wao...

    Changamoto wanazopitia wanafunzi Ukanda wa Gaza

    JERUSALEM, Palestina MIAKA miwili iliyopita, Sarah Qanan alikuwa miongoni mwa wanafunzi waliokuwa wakifanya vizuri darasani. Ndoto ya kuwa daktari ilikuwa kichwani kwake na kumuongezea morali...

    UN: Wasichana milioni 4.5 hatarini kukeketwa mwaka 2026

    NEW YORK, Marekani RIPOTI mpya ya Umoja wa Mataifa (UN) inaonesha kuwa wasichana takribani milioni 4.5 duniani kote wako kwenye hatari ya kufanyiwa ukeketaji kwa...

    Watoto waliotekwa waachiwa

    LAGOS, Nigeria WATOTO wengine 130 waliokuwa wametekwa na waasi mwezi uliopita nchini Nigeria wameachiwa na kuungana na familia zao. Ikumbukwe, watoto hao ni miongoni mwa wanafunzi...

    Utafiti: Ni hatari watoto kuachiwa ‘smartphone’

    Na mwandishi wetu, Gazetini HUKU ikionekana kuwa ni kwenda na wakati, utamaduni wa watoto kuachiwa 'simu-janja' (smartphone) una madhara mkubwa kwao, utafiti wa hivi karibuni...

    UNICEF: Kipindupindu kimeua watoto 340 DRC

    KINSHASA, DRC SHIRIKA la Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) limeeleza kuwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) inapitia kipindi kigumu zaidi kuwahi kutokea kutokana...

    Utafiti: Midoli ya plastiki hatari kwa watoto

    Na mwandishi wetu, Gazetini HIYO ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na wataalamu wa afya wanaojihusisha na masuala ya homoni nchini Ujerumani. Katika utafiti wao, wamebaini...

    UNICEF: Vikwazo vya umri pekee havitoshi kuwalinda watoto mitandaoni

    Na mwandishi wetu, Gazetini ULIMWENGUNI kote, serikali zinaendelea kujadili umri unaofaa kuruhusu matumizi ya mitandao ya kijamii, huku baadhi zikianzisha vikwazo vipya vya umri ili...

    Dk. Mwigulu: Mafaili yamfuate mjamzito kitandani, marufuku

    Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba leo Novemba 15, 2025 amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma...

    Recent articles

    spot_img