Na mwandishi wetu, Gazetini
MKUU wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando, amekipongeza Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) kwa kuendelea kuandika na kuibua changamoto za uharibifu wa mazingira, akisisitiza umuhimu wa vyombo vya habari...
MANCHESTER, Uingereza
KOCHA wa Manchester City, Enzo Maresca, yuko mbioni kutangaza nahodha mpya wa kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao wa 2026-27.
Man City inahitaji nahodha wa kuvaa kitambaa cha Bernardo Silva ambaye ameondoka klabuni hapo majira...
BUNIA, DRC
MLIPUKO wa ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) umeathiri kwa kiasi kikubwa utaratibu wa wajawazito kwenda kliniki, kama anavyoeleza...
MONROVIA, Liberia
KATIKA mitaa ya Mji Mkuu, Monrovia, utumizi wa dawa za kulevya aina ya bangi si jambo linalohitaji utafiti mkubwa kulibaini, na badala yake...
RIO, Brazil
KWA mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa kupitia Programu yake ya Ukimwi (UNAIDS), watu zaidi ya milioni tatu watakuwa na maambukizi ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WATU takribani 795,000 hupata kiharusi (kupooza) kila mwaka nchini Marekani, huku wataalamu wakionya juu ya mtindo wa maisha, pia wakishauri aina...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MARA kadhaa baadhi ya wataalamu wa mazoezi ya viungo huko mitandaoni, hasa TitTok na Instagram wamekuwa wakihimiza matumizi ya protini kwa...
KAMPALA, Uganda
KIONGOZI mkongwe wa upinzani nchini Uganda, Dk. Kizza Besigye, amelazwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi (ICU) mjini Kampala baada ya kuanguka na kupoteza...
Na mwandishi wetu, Gazetini
NI utafiti uliofanywa na wanasayansi nchini Uingereza, ukibaini kuwa changamoto za kiuchumi zina athari kubwa katika afya ya ubongo.
Utafiti huo umefanywa...
KINSHASA, DRC
WATU zaidi ya 1,000 wameshapoteza maisha ndani ya miezi miwili ya ugonjwa wa Ebola nchini DRC, idadi kubwa zaidi, ikilinganishwa na mlipuko wa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KAMATI ya Kitaifa ya Kuratibu na Kusimamia Fedha za Mfuko wa Dunia nchini Tanzania (TNCM) imeidhinisha rasmi ombi la Tanzania la...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MKUU wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda, amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama kufanya uchunguzi katika showroom za magari wilayani humo...
MUNICH, Ujerumani
IDADI ya vifo vya vijana vitokanavyo na utumizi wa dawa za kulevya imeripotiwa kuongezeka kwa kipindi kifupi cha mwaka mmoja nchini Ujerumani.
Kwa mwaka...