Ads: info@gazetini.co.tz |
23.1 C
Dar es Salaam

AFYA

LOS ANGELES, Marekani MOJA ya makundi yaliyoacha katika mapinduzi ya muziki wa Hip hop nchini Marekani na duniani kwa ujumla ni N.W.A lililoasisiwa mwishoni mwa miaka ya 1980. Kundi lililoundwa mwaka 1978 na marapa Arabian Prince, Dr. Dre,...
Na Mwandishi Wetu,Gazetini WAKATI maelfu ya vijana wa Kitanzania wakiendelea kuingia katika soko la ajira kila mwaka huku nafasi rasmi za ajira zikibaki finyu, wataalamu wa masuala ya kazi na ajira wameonya kuwa uhamiaji wa wafanyakazi umeendelea...

‘Nilitumia dawa za kulevya kuongeza nguvu za kiume, nikaishia pabaya’

Na Hassan Mwasha MAISHA ya Juma Mgota, mkazi wa Mtaa wa Muhalitan, Tandale jijini Dar es Salaam, yanaweza kuwa sehemu ndogo tu ya madhila wanayopitia...

Wanawake hatarini zaidi Ebola, maambukizi yafika Brazil

KINSHASA, DRC WATAALAMU wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) wameonya kuwa wanawake ndilo kundi lililo hatarini zaidi kupata maambukizi ya virusi vya...

Virusi hivi vya Ebola vimeshindikana, havina chanzo wala tiba

Na mwandishi wetu, Gazetini MAAMBUKIZI ya virusi vya Ebola yameendelea kuripotiwa huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kama ilivyo kwa majirani zao, Uganda, huku...

Taasisi ya OSHA yapata Bodi mpya

Na mwandishi wetu, Gazetini Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu ameitaka Bodi Mpya ya Wakala wa Usalama na Afya...

Nchi 10 hatarini kuathiriwa na ebola wakati mlipuko ukizidi DRC na Uganda

KINSHASA, DRC WAKATI Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Uganda zikiendelea kuripoti ongezeko la visa vya maambukizi ya Ebola, nchi 10 za Afrika zimetakiwa...

Mama mzazi wa Hayati Magufuli afariki dunia Chato

Na mwandishi wetu, Gazetini MAMA mzazi wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dk. John Pombe Magufuli, Mama...

Mbu watajwa kuongoza vifo vya binadamu duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini HIYO ni kwa mujibu wa takwimu za tovuti ya Our World in Data, kwamba mbu ndiyo wadudu/wanyama wanaosababisha vifo vingi vya...

Usiyoyajua kuhusu ugonjwa wa mkwe wa Rais Trump

WASHINGTON DC, Marekani ALIYEWAHI kuwa mke wa mtoto wa Rais Donald Trump aitwaye Donald Trump Jr, Vanessa, amegundulika kuwa na ugonjwa wa saratani ya matiti. Vanessa...

WHO: Unywaji wa pombe chanzo cha vifo milioni 2 kila mwaka

NEW YORK, Marekani SHIRIKA la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) limeeleza katika ripoti yake ya hivi karibuni, kwamba unywaji wa pombe husababisha vifo milioni...

Marekani yawataka akina Mayele kukaa karantini

WASHINGTON DC, Marekani TAARIFA kutoka Ikulu ya Marekani imeeleza kuwa wachezaji wa timu ya soka ya Taifa ya DRC watatakiwa kukaa karantini kwa siku 21...

Maambukizi ya Ebola yaongezeka DRC, vifo vyafikia 160

KINSHASA, DRC VISA vya maambukizi ya ugonjwa wa Ebola vineripotiwa kuongezeka na kuiweka kwenye hali mbaya sekta ya afya chini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo...

Introducing Hemoperfusion Technology in Tanzania: A Registered Dialysis Nurse’s Journey

By: Benjamin Emmanuel Meshack, RN Registered Dialysis Nurse & Dialysis Applications Specialist (Hemoperfusion Technology), Tanzania In many low- and middle-income countries, access to advanced blood...

Recent articles