Na mwandishi wetu, Gazetini
SERIKALI imesema jumla ya watu 3,557 wamepata ajali wakiwa kazini katika kipindi cha miaka mitatu kuanzia 2023 hadi 2025, huku watu 169 wakipoteza maisha kutokana na matukio hayo, hali inayoonesha ukubwa wa changamoto...
Na mwandishi wetu, Gazetini
JUMLA ya watoto na vijana wapatao 75,500 wanatarajiwa kufanyiwa uchunguzi wa ugonjwa wa selimundu (sikoseli) ili kubaini mapema hali zao za kiafya na kuwapatia huduma stahiki, kupitia mradi wa miaka mitatu unaotekelezwa kwa...
LONDON, Uingereza
WAANDAAJI wa Tamasha la Wireless wametangaza kufutwa kwa tamasha la mwaka huu kufuatia uamuzi wa serikali ya Uingereza kumzuia msanii maarufu YE, anayejulikana...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
MWIMBAJI maarufu duniani, Céline Dion, ametangaza rasmi kurejea jukwaani, miaka minne baada ya kugundulika kuwa na ugonjwa sugu uliomuathiri sauti yake...
LOS ANGELES, Marekani
LEJENDARI wa muziki wa Hip hop, Jay-Z, amesema hana upande katika bifu linaloendelea kati ya marapa Drake na Kendrick Lamar.
Kwa kauli hiyo,...
LAGOS, Nigeria
SUPASTAA wa muziki wa Nigeria, David Adeleke 'Davido', amefunguka mengi juu ya safari ya mafanikio yake katika sanaa hiyo.
Miongoni mwa aliyoyayasema ni kwamba...
NEW YORK, Marekani
TAHARUKI imezuka juu ya hali ya afya ya rapa maarufu wa Marekani, Lil Wayne, ambaye inaelezwa kuwa staa huyo hayuko sawa.
Hivi karibuni,...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA chapisho lililopita, ambalo ni sehemu ya kwanza ya Simulizi ya maisha ya gwiji wa muziki wa Reggae, Bob Marley, tuliona...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MIAKA ya hivi karibuni imeshuhudia migogoro mingi ya wanamuziki wa Bongo Fleva na mabosi wa lebo zao.
Mfano wa hivi karibuni ni...
Na mwandishi wetu, Gazetini
NI rahisi kuona watu wakikuwekea chuki na wivu kwa vile tu umefanikiwa, bila kujua umepitia shida nyingi kufika hapo ulipo. Wanachukulia...
KINSHASA, DRC
BAADA ya miaka 20 ya kuwa kwenye mahusiano, hatimaye lejendari wa muziki nchini DRC, Koffi Olomide, amefunga ndoa na Cindy Le Coeur
Koffi ana...
LOS ANGELES, Marekani
BIBIYE mwenye jina na mafanikio makubwa katika muziki wa Pop duniani, Britney Spears, kwa sasa hamiliki haki zozote za kazi alizofanya baada...
LAGOS, Nigeria
STAA wa Afrobeat, Wizkid, amemjibu mkongwe wa muziki huo, 2Baba, akimwita 'babu' kutokana na maoni yake ya hivi karibuni.
2Baba aliulizwa maoni yake juu...