Na mwandishi wetu, Gazetini
SERIKALI imesaini mkataba wa Sh bilioni 198.67 kwa ajili ya ujenzi wa njia mpya ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovoti 220 (220kV) kutoka Iganjo mkoani Mbeya hadi Saza mkoani Songwe, pamoja na...
CATALUNYA, Hispania
KOCHA wa Barcelona, Hansi Flick, amefichua kuwa kiungo wake, Frenkie de Jong, atakuwa fiti wiki chache zijazo.
Flick amezungumzia hayo kuelekea mchezo wao wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Feyenoord ya Uholanzi.
De Jong...
LAGOS, Nigeria
CHANZO cha kifo cha rafiki wa karibu wa staa Davido, Ego, kimetajwa kuwa ni operesheni ya kuongeza ukubwa wa umeme wake aliyofanyiwa Machi,...
LOS ANGELES, Marekani
HIVI karibuni, mke wa David Beckham, Victoria, alitangaza faida ya Pauni milioni 7.3 kupitia kampuni yake ya mitindo na urembo, ambapo mauzo...
LAGOS, Nigeria
SUPASTAA wa muziki wa Afrobeats, Davido, amefichua kuwa atastaafu hivi karibuni ili apate muda mwingi wa kutengeneza mabilioni.
Davido amekuja na kauli hiyo kupitia...
LOS ANGELES, Marekani
UTATA uliodumu wa miaka 30 umepatiwa ufumbuzi hivi karibuni baada ya Duane Davis, maarufu kwa jina la Keffe D, kukutwa na hatia...
LOS ANGELES, Marekani
LEJENDARI wa muziki wa Soul na R&B nchini Marekani, Lionel Richie, alikimbizwa hospitali wikiendi iliyopita, kisha kuwekwa ‘ICU’ mjini St. Louis.
Richie (77),...
LOS ANGELES, Marekani
MAHAKAMA nchini Marekani imemkuta na hatia kiongozi wa zamani wa genge la uhalifu, Duane Davis 'Keffe D', katika kesi ya mauaji ya...
LOS ANGELES, Marekani
MKONGWE wa muziki wa Country, Dolly Parton, amezikwa Ijumaa ya wiki iliyopita, Agosti 29, 2026 mjini Tennessee, Marekani.
Taarifa zinaeleza kuwa Dolly aliyefariki...
LOS ANGELES, Marekani
UNAMFAFAMU Selena Gomez? Bibiye anayefanya vizuri kwenye soko la muziki nchini Marekani, pia akiwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na staa wa...
LOS ANGELES, Marekani
MAMILIONI ya wapenzi wa muziki wa Country kutoka pande zote za dunia wameguswa na kifo cha nguli Dolly Parton aliyefariki hivi karibuni...
Douala, Cameroon
MMREMBO anayekuja kwa kasi kwenye muziki wa Injili nchini Cameroon, Relie M, amewakosha wapenzi wa muziki huo baada ya kuachia wimbo mpya wenye...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SUPASTAA wa muziki wa R&B nchini Marekani, Trey Songz, alikuwa katika Viwanja vya Posta, Kijitonyama jijini Dar es Salaam jana Agosti...