Ads: info@gazetini.co.tz |
22.4 C
Dar es Salaam

Burudani

Na mandishi wetu, Gazetini SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema Mkandarasi  amekamilisha  kwa mafanikio awamu ya kwanza ya kazi za uvutaji wa nyaya katika eneo la Mkambarani, Mkoa wa Morogoro, ikiwa ni sehemu ya hatua za mwisho...
Na mwandishi wetu, Gazetini RAIS wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan amesema Afrika inapaswa kuwekeza zaidi katika elimu, ujuzi wa ufundi na uwezo wa kidijitali ili kuwawezesha vijana kuwa wabunifu, wavumbuzi na wazalishaji wa suluhisho, badala ya...

Ajali ya pikipiki yaua staa wa muziki

DUBLIN, Ireland SUPASTAA wa muziki nchini Ireland, Glen Hansard, amepoteza Maisha katika ajali ya pikipiki mjini Dublin. Hansard (56), ambaye ni mshindi wa tuzo za Oscar,...

Kesi kifo cha Tupac bado ya moto

LOS ANGELES, Marekani MAHAKAMA mjini Nevada, Marekani, imetaka mahojiano ya mtuhumiwa wa mauaji ya rapa Tupac Shakur, Duane Davis 'Keffe D' yawasilishwe kama ushahidi wakati...

Umeipata hii? J-Lo ndani ya penzi jipya

LOS ANGELES, Marekani BIBIYE mwenye jina na mafanikio makubwa kwenye soko la muziki nchini Marekani, Jennifer Lopez 'J-Lo', amenasa kwa mshikaji anayefahamika kwa jina la...

Keyshia Cole, Skrilla mambo kwa ushahidi!

LOS ANGELES, Marekani PICHA zinazowaonesha mastaa wa muziki Keyshia Cole na Skrilla zimeibua tetesi kuwa huenda wawili hao sasa ni wapenzi. Katika moja ya picha alizoposti...

Harmonize, Kajala wanaelea anga za Cardi B, Offset

Na Hassan Mwasha MIONGONI wa strori zinazoshika nafasi kubwa mitandaoni ni hii ya staa wa Bongo Fleva, Rajab Abdul Kahali 'Harmonize', kuachana na bibiye wa...

Shatta Wale afunguka ugomvi wake na Burna Boy

ACCRA, Ghana STAAA wa muziki nchini Ghana, Shatta Wale, ameeleza kilichosababisha uhusiano wake mbaya na mkali wa Afrobeats, Burna Boy. Wawili hao waliwahi kuwa washikaji wakubwa,...

YouTube inavyolibeba soko la tamthilia Bongo

Na Hassan Mwasha KAMA ni mfuatiliaji wa tamthilia za Tanzania zinazorushwa kupitia vituo vya televisheni pekee, basi ni wazi unapitwa na mengi. Jiongeze! Kwa sasa, mtandao...

New Bell: Gereza lenye lebo ya muziki kwa ajili ya wafungwa

YOUNDE, Cameroon NEW Bell ni moja ya magereza makubwa na maarufu si tu Younde na miji mingine jirani, bali Cameroon kwa ujumla. Wakati fulani, Shirika...

Hao ni wachambuzi au ‘wachafuzi’ wa Bongo Fleva?

Na Hassan Mwasha, Gazetini KICHEFUCHEFU! Ndicho unachoweza kuhisi pindi tu unapoingia kwenye mitandao ya kijamii na kukutana na hao wanaojiita 'wachambuzi' wa muziki wa kizazi...

Chris Brown anukia jela miaka mitatu

LOS ANGELES, Marekani SUPASTAA wa muziki wa R&B, Chris Brown, amekutwa na hatia katika kesi ya kumshambulia mtu kwenye ukumbi wa starehe nyakati za usiku. Brown...

Meneja wa muziki ataka kujiua

LAGOS, Nigeria MENEJA maarufu wa wasanii wa muziki nchini Nigeria, Ubi Franklin, amefichua kuwa aliwahi kukaribia kujiua kwa kujirusha darajani jijini Lagos. Franklin ameanika hayo kupitia...

Mwanaume anayetaka nipike hanifai

LAGOS, Nigeria ALIYEWAHI kuwa mshindi wa Shindano la Big Brother Naija, Mercy Eke, amezua mjadala mzito mitandaoni kwa kauli yake ya kusema hawezi kuolewa na...

Recent articles