Ads: info@gazetini.co.tz |
23.6 C
Dar es Salaam

Burudani

NAIROBI, Kenya WAZIRI wa Usalama wa Ndani wa Kenya, Kipchumba Murkomen, ameagiza vyombo vya usalama nchini humo kufanya uchunguzi wa kina kuhusu madai ya vurugu zilizotokea wakati wa uchaguzi mdogo wa ubunge katika eneo bunge la Ol...
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limeeleza kuwa limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 188 wa makosa mbalimbali ya jinai, huku mmoja akihukumiwa kunyongwa hadi kufa na mwingine akipewa kifungo cha maisha jela kwa makosa ya...

Kim, Eminem walianza utotoni, ndoa ikawashinda

LOS ANGELES, Marekani  MOJA ya stori zilizotikisa tasnia ya burudani nchini Marekani ni hii ya mke wa zamani wa rapa Eminem, Kim Scott, kukimbizwa hospitali. Katika tukio hilo...

Wageni walivyoendeleza moto Bongo Star Search 2026

Na mwandishi wetu, Gazetini HATIMAYE msimu huu 16 wa Shindano maarufu la vipaji la Bongo Star Search umefikia ukomo kwa mwimbaji Praise Wisdom kuibuka mshindi. Mwanamuziki...

Miaka 30 ya Bongo Fleva ni zaidi ya ubunifu, burudani

Na Hassan Mwasha, Gazetini UNAWEZA kufikiria kuhusu shoo nyingi za muziki zilizowahi kufanyika hapa nchini lakini 'Miaka 30 ya Bongo Fleva' imekuja na upekee mkubwa. Ni...

Katie Price; Alikaribia kujinyonga baada ya kubakwa

LOS ANGELES, Marekani MAKALA ya maisha ya mwanamitindo Katie Price imejaa simulizi yenye huzuni juu ya maisha ya bibiye huyo mwenye jina kubwa katika tasnia...

Mama yake Burna Boy ataka mkwe, wajukuu

LAGOS, Nigeria MAMA yake Burna Boy ambaye pia ndiye meneja wake, Bose Ogulu, amemtaka staa huyo wa muziki kuoa na kupata watoto. Ujumbe huo umekuja baada...

Drake kwa ‘kubeti’ humwambii kitu

TORONTO, Canada NJE ya kazi ya muziki, rapa Drake ana dunia yake nyingine. Ni miongoni mwa 'walevi' wa kamari ya kubashiri matokeo ya michezo (kubeti). Hivi...

Ndoa ya Taylor Swift inavyoitikisa Marekani

LOS ANGELES, Marekani GUMZO kubwa katika tasnia ya burudani nchini Marekani ni ndoa ya bibiye Taylor Swift na mpenzi wake, Travis Kelce, huku mashabiki wa...

Mambo yasiwe mengi! Mastaa hawa walifunga ndoa kimyakimya

LONDON, Uingereza KWA fedha nyingi na umaarufu mkubwa walionao, wangeweza kuifanya siku ya ndoa zao kufahamika duniani kote. Hata hivyo, waliona mambo yasiwe mengi. Wakaamua kufunga...

Mastaa wa muziki, filamu walivyoibukia Kombe la Dunia 2026

CALIFORNIA, Marekani KWA miaka mingi, soka limekuwa likiwaunganisha si tu wachezaji, bali pia mastaa wa tasnia ya burudani, kama ilivyoshuhudiwa wakati wa ufunguzi wa msimu...

Amber Rose hapindui kwa marapa wa kiume

LOS ANGELES, Marekani UMARURU wake ulianza mwaka 2008 baada ya kutumika kama mrembo wa video katika ngoma ya rapa Young Jeezy iitwayo 'Put On'. Ni wimbo...

Ebola DRC yaua ndugu watano wa Mwimbaji Jonathan Budju

Na Christopher Msekena, Gazetini JANGA la ugonjwa wa Ebola limeendelea kuwa tishio nchini Kongo baada ya ndugu wa watano wa mwimbaji wa Injili Jonathan Budju,...

Staa wa filamu: Mwanaume masikini hawezi kukupa furaha

LAGOS, Nigeria MWIGIZAJI maarufu wa soko la filamu la Nigeria (Nollywood), Nancy Isime, amesema haoni kama anaweza kufurahia ndoa akiwa na mwanaume asiye na kipato...

Recent articles