Ads: info@gazetini.co.tz |
23.2 C
Dar es Salaam

Burudani

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA toleo la kwanza lililopita, tuliona Lungu akikaimu urais baada ya Michael Sata kwenda nje ya nchi kwa ajili ya matibabu. Ni kuanzia mwaka 2013 hadi 2014. Pia, tukaona kifo cha Sata kilichotokea Oktoba...
LOS ANGELES, Marekani UMARURU wake ulianza mwaka 2008 baada ya kutumika kama mrembo wa video katika ngoma ya rapa Young Jeezy iitwayo 'Put On'. Ni wimbo ambao mbali ya Amber kuwa 'video vixen', ameshirikishwa pia Kanye West, hivyo...

Staa wa filamu: Mwanaume masikini hawezi kukupa furaha

LAGOS, Nigeria MWIGIZAJI maarufu wa soko la filamu la Nigeria (Nollywood), Nancy Isime, amesema haoni kama anaweza kufurahia ndoa akiwa na mwanaume asiye na kipato...

The Living Testimony ya Bernard Mwambungu yazidi kupaa

Na Christopher Msekena MWIMBAJI wa muziki wa Injili nchini, Bernard Mwambungu, amewashukuru mashabiki kwa mapokezi makubwa ya albamu yake The Living Testimony. Mwambungu ameanza kuachia nyimbo...

Prodyuza wa Grammy akutwa amefariki

LOS ANGELES, Marekani PRODYUZA aliyewahi kuwania tuzo za Grammy, Tay Keith, ameripotiwa kufariki akiwa na umri wa miaka 29. Tay mkazi wa Nashville alijijengea jina kubwa...

Bongo Fleva v Ushetani: Nicki Minaj amegusa walipopita V Money, BillNass

Na Hassan Mwasha, Gazetini HIVI karibuni, rapa wa Marekani, Nicki Minaj, alitoa kauli tata kuhusu soko la muziki, akisema limejaa vishawishi vinavyoweza kukutoa kwenye imani...

Missy Elliott: Safari ya ustaa na baba alivyotaka kumpiga risasi

LOS ANGELES, Marekani JINA lake ni Melissa Arnette lakini wapenzi wa muziki wa R&B na Hip hop, hasa katika miaka ya 1990, wanamfahamu kwa jina...

Usiyoyajua kuhusu rapa aliyehukumiwa jela miaka 20

TEXAS, Marekani WIKI hii imekuwa mbaya kwa mashabiki wa rapa Michael Lawrence Tyler maarufu kama Mystikal baada ya staa huyo kuhukumiwa kifungo cha miaka 20...

Rihanna alivyozama mazima penzi la A$AP Rocky

LOS ANGELES, Marekani MIAKA mitano iliyopita, ndipo wanamuziki wawili maarufu, Rihanna na A$AP Rocky, walipoianza safari yao ya mapenzi iliyozalisha familia ya baba, mama na...

Shakira na mkasa wa kudaiwa na ‘ex’ wake bil. 263/-

BOGOTA, Colombia JINA la Shakira si geni kwa wapenzi wa muziki duniani. Ni mrembo mzaliwa wa Colombia, ambaye hivi karibuni alitumbuiza katika hafla ya ufunguzi...

Kumbe wanamuziki hawalipwi kutumbuiza Kombe la Dunia

MEXICO CITY, Mexico KUTUMBUIZA katika ufunguzi wa Kombe la Dunia, kama walivyofanya Shakira na Burna Boy, kunaweza kutafsiriwa kuwa ni dili linalowapa pesa nyingi wanamuziki...

Peter wa P-Square ageuka mbogo kuhusu kaka yake

LAGOS, Nigeria PACHA wa Kundi la P-Square ambalo limeshavunjika, Peter Okoye, amesema hapendi kuona akifananishwa na kaka yake, Paul. Wawili hao amekuwa maadui wakubwa kwa siku...

Kwa mastaa hawa, pesa siyo shida zao kabisa

NAIROBI, Kenya KWA miaka mingi, wanamuziki wa Kenya wamekuwa wakifanya vizuri kwa Ukanda huu wa Afrika Mashariki, licha ya upinzani mkali kutoka kwa wenzao wa...

Chris Brown: Bishoo, tajiri asiyekauka mikononi mwa polisi

LOS ANGELES, Marekani PESA siyo tatizo. Kwa miaka aliyofanya kazi ya muziki, Chris Brown ameweza kujikusanyia utajiri wa Dola za Marekani milioni 50, huku vyanzo...

Recent articles