Na mandishi wetu, Gazetini
SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema Mkandarasi amekamilisha kwa mafanikio awamu ya kwanza ya kazi za uvutaji wa nyaya katika eneo la Mkambarani, Mkoa wa Morogoro, ikiwa ni sehemu ya hatua za mwisho...
Na mwandishi wetu, Gazetini
RAIS wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan amesema Afrika inapaswa kuwekeza zaidi katika elimu, ujuzi wa ufundi na uwezo wa kidijitali ili kuwawezesha vijana kuwa wabunifu, wavumbuzi na wazalishaji wa suluhisho, badala ya...
DUBLIN, Ireland
SUPASTAA wa muziki nchini Ireland, Glen Hansard, amepoteza Maisha katika ajali ya pikipiki mjini Dublin.
Hansard (56), ambaye ni mshindi wa tuzo za Oscar,...
LOS ANGELES, Marekani
MAHAKAMA mjini Nevada, Marekani, imetaka mahojiano ya mtuhumiwa wa mauaji ya rapa Tupac Shakur, Duane Davis 'Keffe D' yawasilishwe kama ushahidi wakati...
LOS ANGELES, Marekani
BIBIYE mwenye jina na mafanikio makubwa kwenye soko la muziki nchini Marekani, Jennifer Lopez 'J-Lo', amenasa kwa mshikaji anayefahamika kwa jina la...
LOS ANGELES, Marekani
PICHA zinazowaonesha mastaa wa muziki Keyshia Cole na Skrilla zimeibua tetesi kuwa huenda wawili hao sasa ni wapenzi.
Katika moja ya picha alizoposti...
Na Hassan Mwasha
MIONGONI wa strori zinazoshika nafasi kubwa mitandaoni ni hii ya staa wa Bongo Fleva, Rajab Abdul Kahali 'Harmonize', kuachana na bibiye wa...
ACCRA, Ghana
STAAA wa muziki nchini Ghana, Shatta Wale, ameeleza kilichosababisha uhusiano wake mbaya na mkali wa Afrobeats, Burna Boy.
Wawili hao waliwahi kuwa washikaji wakubwa,...
Na Hassan Mwasha
KAMA ni mfuatiliaji wa tamthilia za Tanzania zinazorushwa kupitia vituo vya televisheni pekee, basi ni wazi unapitwa na mengi. Jiongeze!
Kwa sasa, mtandao...
YOUNDE, Cameroon
NEW Bell ni moja ya magereza makubwa na maarufu si tu Younde na miji mingine jirani, bali Cameroon kwa ujumla. Wakati fulani, Shirika...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
KICHEFUCHEFU! Ndicho unachoweza kuhisi pindi tu unapoingia kwenye mitandao ya kijamii na kukutana na hao wanaojiita 'wachambuzi' wa muziki wa kizazi...
LOS ANGELES, Marekani
SUPASTAA wa muziki wa R&B, Chris Brown, amekutwa na hatia katika kesi ya kumshambulia mtu kwenye ukumbi wa starehe nyakati za usiku.
Brown...
LAGOS, Nigeria
MENEJA maarufu wa wasanii wa muziki nchini Nigeria, Ubi Franklin, amefichua kuwa aliwahi kukaribia kujiua kwa kujirusha darajani jijini Lagos.
Franklin ameanika hayo kupitia...
LAGOS, Nigeria
ALIYEWAHI kuwa mshindi wa Shindano la Big Brother Naija, Mercy Eke, amezua mjadala mzito mitandaoni kwa kauli yake ya kusema hawezi kuolewa na...