MANCHESTER, Uingereza
MKONGWE wa Manchester United, Paul Scholes, amesema haioni Arsenal ikitetea ubingwa, na badala yake itamaliza msimu ujao wa Ligi Kuu ya England (EPL) ikiwa nafasi ya nne kwenye msimamo.
Wakati huo huo, kiungo huyo wa zamani...
NEW YORK, Marekani
MSIMU uliopita wa fainali za Kombe la Dunia za mwaka 2022 zilizofanyika Qatar, Kylian Mbappe ndiye aliyeibuka mfungaji bora, licha ya timu yake ya Taifa ya Ufaransa kukosa ubingwa baada ya kufungwa na Argentina.
Je,...
LOS ANGELES, Marekani
SUPASTAA wa muziki raia wa Marekani mwenye asili ya Senegal, Akon, amesema wasanii wengi wa sanaa hiyo wana majina makubwa lakini hawana...
LOS ANGELES, Marekani
TIMU ya mawakili wa Sean Combs 'Diddy' inapambana kupinga hukumu aliyopewa rapa huyo anayeendelea kusota gerezani tangu Oktoba, 2025, akitumikia kifungo cha...
LAGOS, Nigeria
MWANAMUZIKI maarufu wa Nigeria, Remi Aluko, amefichua kuwa macho yake yamepoteza uwezo wa kuona.
Katika mahojiano yake na kituo cha runinga cha Oyinmomo, amesema...
LAGOS, Nigeria
STAA wa muziki nchini Nigeria, Chinedu Okoli, maarufu kwa jina la Mr Flavour, ameweka wazi kuwa ni ngumu kwake kuwa kwenye mahusiano na...
LAGOS, Nigeria
IVY Ifeoma ambaye ni mke wa pacha wa P-Square, Paul Okoye, amesema hakufuata pesa kwa staa huyo wa muziki.
Ifeoma ameyasema hayo, huku akiwataka...
LAGOS, Nigeria
MWANAMUZIKI wa Afrobeats, Divine Ikubor, maarufu kwa jina la Rema, amesema mpenzi wake alikuwa mkorofi na msumbufu, hivyo akaamua kuachana naye na kubaki...
LAGOS, Nigeria
SUPASTAA wa muziki wa Afrobeats, David Adeleke, maarufu Davido, amekiri kuwa wasanii, akiwamo yeye, hawajafanya vya kutosha kusimama na wananchi katika changamoto zinazowakabili.
Wakati...
LOS ANGELES, Marekani
ANAITWA Marshall Bruce Mathers III lakini mashabiki wake wanamfahamu kwa jina la Eminem, ambaye ni mmoja ya mastaa wakubwa na wa muda...
Na Christopher Msekena, Gazetini
MSANII wa muziki wa Injili anayeishi Ireland, Sela Mulonda, amewashukuru mashabiki kwa mapokezi makubwa wimbo wake mpya ya Búlamu.
Sela Mulonda mwenye...
LOS ANGELES, Marekani
NI miaka 17 imepita tangu staa wa muziki wa Pop, Michael Jackson, alipofariki Juni 25, 2009, lakini sasa ni kama amezaliwa upya...
LOS ANGELES, Marekani
SIO jambo geni kwamba mastaa wa Hip hop nchini Marekani, Curtis Jackson '50 Cent' na Sean Combs 'Diddy', wamekuwa kwenye uhusiano mbaya...