23.1 C
Dar es Salaam

Burudani

Na mwandishi wetu, Gazetini MWENYEKITI na Mtendaji Mkuu wa Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote, ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, kwa kutatua changamoto za uwekezaji nchini. Mazungumzo hayo yalilenga kuimarisha ushirikiano...
CATALUNYA, Hispania MSHAMBULIAJI mkongwe wa Barcelona, Robert Lewandowski, ataondoka klabuni hapo mwishoni mwa Juni, 2026. Lewandowski (37), alijiunga na Barcelona mwaka 2022 akitokea Bayern Munich na ameshawafungia Wacatalunya hao jumla ya mabao 119 na kutoa 'asisti' 24 katika...

Minaj kuibukia sherehe ya waandishi wa Ikulu

WASHINGTON DC, Marekani KIPENZI cha Rais Donald Trump, Nicki Minaj ni miongoni mwa mastaa wa muziki watakaohudhuria halfa ya chakula cha jioni itakayofanyika kesho Aprili...

Nyuma ya pazia ‘bifu’ zito la Peter, Paul wa P-SQUARE

LAGOS, Nigeria MAMBO yamezidi kuwa mabaya kwa mapacha waliowahi kutikisa soko la muziki barani Afrika kupitia Kundi la P-Square, Peter na Paul Okoye. Okoye ametangaza rasmi...

Tamasha la Wireless lafutwa baada ya Uingereza kumzuia Kanye West

LONDON, Uingereza WAANDAAJI wa Tamasha la Wireless wametangaza kufutwa kwa tamasha la mwaka huu kufuatia uamuzi wa serikali ya Uingereza kumzuia msanii maarufu YE, anayejulikana...

Céline Dion kurejea jukwaani baada ya miaka minne

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MWIMBAJI maarufu duniani, Céline Dion, ametangaza rasmi kurejea jukwaani, miaka minne baada ya kugundulika kuwa na ugonjwa sugu uliomuathiri sauti yake...

Jay-Z alikwepa ‘bifu’ la Drake, Lamar

LOS ANGELES, Marekani LEJENDARI wa muziki wa Hip hop, Jay-Z, amesema hana upande katika bifu linaloendelea kati ya marapa Drake na Kendrick Lamar. Kwa kauli hiyo,...

Davido azifungia vioo tuzo za Grammy

LAGOS, Nigeria SUPASTAA wa muziki wa Nigeria, David Adeleke 'Davido', amefunguka mengi juu ya safari ya mafanikio yake katika sanaa hiyo. Miongoni mwa aliyoyayasema ni kwamba...

Ugonjwa unaomtesa Lil Wayne

NEW YORK, Marekani TAHARUKI imezuka juu ya hali ya afya ya rapa maarufu wa Marekani, Lil Wayne, ambaye inaelezwa kuwa staa huyo hayuko sawa. Hivi karibuni,...

Maisha, mikasa ya Bob Marley (2)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA chapisho lililopita, ambalo ni sehemu ya kwanza ya Simulizi ya maisha ya gwiji wa muziki wa Reggae, Bob Marley, tuliona...

Lebo zilivyogeuka ‘jeneza’ la Bongo Fleva

Na mwandishi wetu, Gazetini MIAKA ya hivi karibuni imeshuhudia migogoro mingi ya wanamuziki wa Bongo Fleva na mabosi wa lebo zao. Mfano wa hivi karibuni ni...

Jay Z; Kutoka ‘uswazi’, kukimbizana na polisi hadi bilionea wa Hip hop

Na mwandishi wetu, Gazetini NI rahisi kuona watu wakikuwekea chuki na wivu kwa vile tu umefanikiwa, bila kujua umepitia shida nyingi kufika hapo ulipo. Wanachukulia...

Kofi Olomide aaga ukapera, amuoa Cindy

KINSHASA, DRC BAADA ya miaka 20 ya kuwa kwenye mahusiano, hatimaye lejendari wa muziki nchini DRC, Koffi Olomide, amefunga ndoa na Cindy Le Coeur Koffi ana...

Mtoto wa Beckham ‘atatoboa’ kimuziki?

MIAMI, Marekani ANAITWA Cruz Beckham. Ni mtoto wa mwisho wa kiume wa staa wa soka, David Beckham. Kwake, soka halijawa njia sahihi, na badala yake...

Recent articles

spot_img