Ads: info@gazetini.co.tz |
24.2 C
Dar es Salaam

Burudani

MANCHESTER, Uingereza MKONGWE wa Manchester United, Paul Scholes, amesema haioni Arsenal ikitetea ubingwa, na badala yake itamaliza msimu ujao wa Ligi Kuu ya England (EPL) ikiwa nafasi ya nne kwenye msimamo. Wakati huo huo, kiungo huyo wa zamani...
NEW YORK, Marekani MSIMU uliopita wa fainali za Kombe la Dunia za mwaka 2022 zilizofanyika Qatar, Kylian Mbappe ndiye aliyeibuka mfungaji bora, licha ya timu yake ya Taifa ya Ufaransa kukosa ubingwa baada ya kufungwa na Argentina. Je,...

Akon: Wanamuziki wana majina, hawana pesa

LOS ANGELES, Marekani SUPASTAA wa muziki raia wa Marekani mwenye asili ya Senegal, Akon, amesema wasanii wengi wa sanaa hiyo wana majina makubwa lakini hawana...

Maisha ya Diddy gerezani yanasikitisha, rufaa bado kizungumkuti

LOS ANGELES, Marekani TIMU ya mawakili wa Sean Combs 'Diddy' inapambana kupinga hukumu aliyopewa rapa huyo anayeendelea kusota gerezani tangu Oktoba, 2025, akitumikia kifungo cha...

Staa Nigeria apoteza uwezo wa kuona

LAGOS, Nigeria MWANAMUZIKI maarufu wa Nigeria, Remi Aluko, amefichua kuwa macho yake yamepoteza uwezo wa kuona. Katika mahojiano yake na kituo cha runinga cha Oyinmomo, amesema...

Mr Flavour: Siwezi kutulia na mwanamke mmoja

LAGOS, Nigeria STAA wa muziki nchini Nigeria, Chinedu Okoli, maarufu kwa jina la Mr Flavour, ameweka wazi kuwa ni ngumu kwake kuwa kwenye mahusiano na...

Mke wa Paul wa P-Square afunguka, asema hakufuata pesa

LAGOS, Nigeria IVY Ifeoma ambaye ni mke wa pacha wa P-Square, Paul Okoye, amesema hakufuata pesa kwa staa huyo wa muziki. Ifeoma ameyasema hayo, huku akiwataka...

Mrembo aliyekaribia kuvunja ndoa ya Jay Z, Beyonce

LOS ANGELES, Marekani RAPA Jay Z na staa wa Malkia wa muziki wa R&B na Pop, Beyonce Knowles, ni moja ya 'kapo' za muda mrefu...

Rema afunguka sababu ya kumkimbia mpenzi wake

LAGOS, Nigeria MWANAMUZIKI wa Afrobeats, Divine Ikubor, maarufu kwa jina la Rema, amesema mpenzi wake alikuwa mkorofi na msumbufu, hivyo akaamua kuachana naye na kubaki...

Davido: Wasanii simameni na wananchi, siyo wanasiasa

LAGOS, Nigeria SUPASTAA wa muziki wa Afrobeats, David Adeleke, maarufu Davido, amekiri kuwa wasanii, akiwamo yeye, hawajafanya vya kutosha kusimama na wananchi katika changamoto zinazowakabili. Wakati...

Eminem; Kutoka maisha magumu mtaani hadi ustaa

LOS ANGELES, Marekani ANAITWA Marshall Bruce Mathers III lakini mashabiki wake wanamfahamu kwa jina la Eminem, ambaye ni mmoja ya mastaa wakubwa na wa muda...

Búlamu ya Sela Mulonda yazidi kupeta

Na Christopher Msekena, Gazetini MSANII wa muziki wa Injili anayeishi Ireland, Sela Mulonda, amewashukuru mashabiki kwa mapokezi makubwa wimbo wake mpya ya Búlamu. Sela Mulonda mwenye...

Miaka 17 baada ya kifo, filamu ‘yamrudisha’ Michael Jackson

LOS ANGELES, Marekani NI miaka 17 imepita tangu staa wa muziki wa Pop, Michael Jackson, alipofariki Juni 25, 2009, lakini sasa ni kama amezaliwa upya...

50 Cent, Diddy uadui wao tangu kitambo!

LOS ANGELES, Marekani SIO jambo geni kwamba mastaa wa Hip hop nchini Marekani, Curtis Jackson '50 Cent' na Sean Combs 'Diddy', wamekuwa kwenye uhusiano mbaya...

Recent articles