30 C
Dar es Salaam

Burudani

Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI imesema jumla ya watu 3,557 wamepata ajali wakiwa kazini katika kipindi cha miaka mitatu kuanzia 2023 hadi 2025, huku watu 169 wakipoteza maisha kutokana na matukio hayo, hali inayoonesha ukubwa wa changamoto...
Na mwandishi wetu, Gazetini JUMLA ya watoto na vijana wapatao 75,500 wanatarajiwa kufanyiwa uchunguzi wa ugonjwa wa selimundu (sikoseli) ili kubaini mapema hali zao za kiafya na kuwapatia huduma stahiki, kupitia mradi wa miaka mitatu unaotekelezwa kwa...

Tamasha la Wireless lafutwa baada ya Uingereza kumzuia Kanye West

LONDON, Uingereza WAANDAAJI wa Tamasha la Wireless wametangaza kufutwa kwa tamasha la mwaka huu kufuatia uamuzi wa serikali ya Uingereza kumzuia msanii maarufu YE, anayejulikana...

Céline Dion kurejea jukwaani baada ya miaka minne

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MWIMBAJI maarufu duniani, Céline Dion, ametangaza rasmi kurejea jukwaani, miaka minne baada ya kugundulika kuwa na ugonjwa sugu uliomuathiri sauti yake...

Jay-Z alikwepa ‘bifu’ la Drake, Lamar

LOS ANGELES, Marekani LEJENDARI wa muziki wa Hip hop, Jay-Z, amesema hana upande katika bifu linaloendelea kati ya marapa Drake na Kendrick Lamar. Kwa kauli hiyo,...

Davido azifungia vioo tuzo za Grammy

LAGOS, Nigeria SUPASTAA wa muziki wa Nigeria, David Adeleke 'Davido', amefunguka mengi juu ya safari ya mafanikio yake katika sanaa hiyo. Miongoni mwa aliyoyayasema ni kwamba...

Ugonjwa unaomtesa Lil Wayne

NEW YORK, Marekani TAHARUKI imezuka juu ya hali ya afya ya rapa maarufu wa Marekani, Lil Wayne, ambaye inaelezwa kuwa staa huyo hayuko sawa. Hivi karibuni,...

Maisha, mikasa ya Bob Marley (2)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA chapisho lililopita, ambalo ni sehemu ya kwanza ya Simulizi ya maisha ya gwiji wa muziki wa Reggae, Bob Marley, tuliona...

Lebo zilivyogeuka ‘jeneza’ la Bongo Fleva

Na mwandishi wetu, Gazetini MIAKA ya hivi karibuni imeshuhudia migogoro mingi ya wanamuziki wa Bongo Fleva na mabosi wa lebo zao. Mfano wa hivi karibuni ni...

Jay Z; Kutoka ‘uswazi’, kukimbizana na polisi hadi bilionea wa Hip hop

Na mwandishi wetu, Gazetini NI rahisi kuona watu wakikuwekea chuki na wivu kwa vile tu umefanikiwa, bila kujua umepitia shida nyingi kufika hapo ulipo. Wanachukulia...

Kofi Olomide aaga ukapera, amuoa Cindy

KINSHASA, DRC BAADA ya miaka 20 ya kuwa kwenye mahusiano, hatimaye lejendari wa muziki nchini DRC, Koffi Olomide, amefunga ndoa na Cindy Le Coeur Koffi ana...

Mtoto wa Beckham ‘atatoboa’ kimuziki?

MIAMI, Marekani ANAITWA Cruz Beckham. Ni mtoto wa mwisho wa kiume wa staa wa soka, David Beckham. Kwake, soka halijawa njia sahihi, na badala yake...

Britney Spears sasa siyo mmiliki wa kazi zake

LOS ANGELES, Marekani BIBIYE mwenye jina na mafanikio makubwa katika muziki wa Pop duniani, Britney Spears, kwa sasa hamiliki haki zozote za kazi alizofanya baada...

Wizkid ampasukia 2Baba kisa Burna Boy

LAGOS, Nigeria STAA wa Afrobeat, Wizkid, amemjibu mkongwe wa muziki huo, 2Baba, akimwita 'babu' kutokana na maoni yake ya hivi karibuni. 2Baba aliulizwa maoni yake juu...

Recent articles

spot_img