Na mwandishi wetu, Gazetini
MWENYEKITI na Mtendaji Mkuu wa Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote, ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, kwa kutatua changamoto za uwekezaji nchini.
Mazungumzo hayo yalilenga kuimarisha ushirikiano...
CATALUNYA, Hispania
MSHAMBULIAJI mkongwe wa Barcelona, Robert Lewandowski, ataondoka klabuni hapo mwishoni mwa Juni, 2026.
Lewandowski (37), alijiunga na Barcelona mwaka 2022 akitokea Bayern Munich na ameshawafungia Wacatalunya hao jumla ya mabao 119 na kutoa 'asisti' 24 katika...
WASHINGTON DC, Marekani
KIPENZI cha Rais Donald Trump, Nicki Minaj ni miongoni mwa mastaa wa muziki watakaohudhuria halfa ya chakula cha jioni itakayofanyika kesho Aprili...
LAGOS, Nigeria
MAMBO yamezidi kuwa mabaya kwa mapacha waliowahi kutikisa soko la muziki barani Afrika kupitia Kundi la P-Square, Peter na Paul Okoye.
Okoye ametangaza rasmi...
LONDON, Uingereza
WAANDAAJI wa Tamasha la Wireless wametangaza kufutwa kwa tamasha la mwaka huu kufuatia uamuzi wa serikali ya Uingereza kumzuia msanii maarufu YE, anayejulikana...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
MWIMBAJI maarufu duniani, Céline Dion, ametangaza rasmi kurejea jukwaani, miaka minne baada ya kugundulika kuwa na ugonjwa sugu uliomuathiri sauti yake...
LOS ANGELES, Marekani
LEJENDARI wa muziki wa Hip hop, Jay-Z, amesema hana upande katika bifu linaloendelea kati ya marapa Drake na Kendrick Lamar.
Kwa kauli hiyo,...
LAGOS, Nigeria
SUPASTAA wa muziki wa Nigeria, David Adeleke 'Davido', amefunguka mengi juu ya safari ya mafanikio yake katika sanaa hiyo.
Miongoni mwa aliyoyayasema ni kwamba...
NEW YORK, Marekani
TAHARUKI imezuka juu ya hali ya afya ya rapa maarufu wa Marekani, Lil Wayne, ambaye inaelezwa kuwa staa huyo hayuko sawa.
Hivi karibuni,...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA chapisho lililopita, ambalo ni sehemu ya kwanza ya Simulizi ya maisha ya gwiji wa muziki wa Reggae, Bob Marley, tuliona...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MIAKA ya hivi karibuni imeshuhudia migogoro mingi ya wanamuziki wa Bongo Fleva na mabosi wa lebo zao.
Mfano wa hivi karibuni ni...
Na mwandishi wetu, Gazetini
NI rahisi kuona watu wakikuwekea chuki na wivu kwa vile tu umefanikiwa, bila kujua umepitia shida nyingi kufika hapo ulipo. Wanachukulia...
KINSHASA, DRC
BAADA ya miaka 20 ya kuwa kwenye mahusiano, hatimaye lejendari wa muziki nchini DRC, Koffi Olomide, amefunga ndoa na Cindy Le Coeur
Koffi ana...