Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA toleo la kwanza lililopita, tuliona Lungu akikaimu urais baada ya Michael Sata kwenda nje ya nchi kwa ajili ya matibabu. Ni kuanzia mwaka 2013 hadi 2014.
Pia, tukaona kifo cha Sata kilichotokea Oktoba...
LOS ANGELES, Marekani
UMARURU wake ulianza mwaka 2008 baada ya kutumika kama mrembo wa video katika ngoma ya rapa Young Jeezy iitwayo 'Put On'.
Ni wimbo ambao mbali ya Amber kuwa 'video vixen', ameshirikishwa pia Kanye West, hivyo...
LAGOS, Nigeria
MWIGIZAJI maarufu wa soko la filamu la Nigeria (Nollywood), Nancy Isime, amesema haoni kama anaweza kufurahia ndoa akiwa na mwanaume asiye na kipato...
Na Christopher Msekena
MWIMBAJI wa muziki wa Injili nchini, Bernard Mwambungu, amewashukuru mashabiki kwa mapokezi makubwa ya albamu yake The Living Testimony.
Mwambungu ameanza kuachia nyimbo...
LOS ANGELES, Marekani
PRODYUZA aliyewahi kuwania tuzo za Grammy, Tay Keith, ameripotiwa kufariki akiwa na umri wa miaka 29.
Tay mkazi wa Nashville alijijengea jina kubwa...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
HIVI karibuni, rapa wa Marekani, Nicki Minaj, alitoa kauli tata kuhusu soko la muziki, akisema limejaa vishawishi vinavyoweza kukutoa kwenye imani...
TEXAS, Marekani
WIKI hii imekuwa mbaya kwa mashabiki wa rapa Michael Lawrence Tyler maarufu kama Mystikal baada ya staa huyo kuhukumiwa kifungo cha miaka 20...
LOS ANGELES, Marekani
MIAKA mitano iliyopita, ndipo wanamuziki wawili maarufu, Rihanna na A$AP Rocky, walipoianza safari yao ya mapenzi iliyozalisha familia ya baba, mama na...
BOGOTA, Colombia
JINA la Shakira si geni kwa wapenzi wa muziki duniani. Ni mrembo mzaliwa wa Colombia, ambaye hivi karibuni alitumbuiza katika hafla ya ufunguzi...
MEXICO CITY, Mexico
KUTUMBUIZA katika ufunguzi wa Kombe la Dunia, kama walivyofanya Shakira na Burna Boy, kunaweza kutafsiriwa kuwa ni dili linalowapa pesa nyingi wanamuziki...
LAGOS, Nigeria
PACHA wa Kundi la P-Square ambalo limeshavunjika, Peter Okoye, amesema hapendi kuona akifananishwa na kaka yake, Paul.
Wawili hao amekuwa maadui wakubwa kwa siku...
NAIROBI, Kenya
KWA miaka mingi, wanamuziki wa Kenya wamekuwa wakifanya vizuri kwa Ukanda huu wa Afrika Mashariki, licha ya upinzani mkali kutoka kwa wenzao wa...
LOS ANGELES, Marekani
PESA siyo tatizo. Kwa miaka aliyofanya kazi ya muziki, Chris Brown ameweza kujikusanyia utajiri wa Dola za Marekani milioni 50, huku vyanzo...