Ads: info@gazetini.co.tz |
23.6 C
Dar es Salaam

Waziri aagiza uchunguzi vurugu za uchaguzi

NAIROBI, Kenya WAZIRI wa Usalama wa Ndani wa Kenya, Kipchumba Murkomen, ameagiza vyombo vya usalama nchini humo kufanya uchunguzi wa kina kuhusu madai ya vurugu...

Habari Kuu

Jamii

Afya

DRC, Congo SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuanza kwa majaribio ya kwanza ya kitabibu ya dawa inayolenga kuzuia maambukizi ya Ebola kwa watu waliokaribiana na wagonjwa walioambukizwa virusi hivyo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC)...

WHO yaonya kuhusu kasi ya saratani

NEW YORK, Marekani SARATANI ni ugonjwa unaosababisha vifo 26,000 kila mwaka lakini idadi hiyo inatarajiwa kuongezeka mara mbili ifikapo mwaka 2050. Hiyo ni kwa mujibu wa ripoti mpya iliyotolea hivi karibuni na Shirika la Afya la Umoja wa...

Tanzania yaandika historia kwa upasuaji wa moyo kwa watoto wa Burundi

Na Ramadhan Hassan, Dodoma HOSPITALI ya Benjamin Mkapa (BMH), kwa kushirikiana na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), imeandika historia kwa kufanikisha kwa mara ya kwanza kambi maalumu ya upasuaji wa moyo kwa watoto kutoka Burundi, hatua...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

NAIROBI, Kenya WAZIRI wa Usalama wa Ndani wa Kenya, Kipchumba Murkomen, ameagiza vyombo vya usalama nchini humo kufanya uchunguzi wa kina kuhusu madai ya vurugu zilizotokea wakati wa uchaguzi mdogo wa ubunge katika eneo bunge la Ol...

Joto halijapoa Rais kuongezewa muda Zimbabwe

HARARE, Zimbabwe RAIS wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa, ameendelea kutetea hatua ya Bunge kubadilisha Katiba na kumpa nyongeza ya kubaki madarakani hadi mwaka 2030. Wakati huo huo, wanaharakati, demokrasia na wanasiasa wa upinzani na hata baadhi ya wananchi  hawajaacha...

Hii ndiyo Siku ya Nelson Mandela

Na mwandishi wetu, Gazetini JULAI 18 ya kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya kumbukizi ya mchango mkubwa alioutoa Nelson Mandela katika ulimwengu wa siasa, hasa kwa mapambano na ushindi wake dhidi ya ubaguzi wa rangi nchini...

Elimu

Gazetini, Iwpg waingia makubaliano ya kukuza elimu ya amani Tanzania

Na mwandishi wetu, Gazetini GAZETINI Communication, kupitia chombo chake cha habari cha Gazetini, imeingia makubaliano ya ushirikiano na International Women's Peace Group (IWPG) ya Korea Kusini yatakayolenga kuimarisha elimu ya amani, uwezeshaji wa wanawake na vijana, pamoja...
LAGOS, Nigeria WANAFUNZI 36, pamoja na mfanyakazi wa shule, bao hawajaachiwa na kikundi cha waasi, kwa mujibu wa Polisi nchini Nigeria. Mapema wiki hii, waasi hao wakiwa na silaha waliwateka wanafunzi na mwalimu wa Shule ya Sekondari ya...

Unamsaidiaje mtoto wako kuchagua tahasusi Kidato cha Tano?

Na Hassan Mwasha, Gazetini HIKI ni kipindi ambacho wazazi wako 'bize' na maandalizi ya shule kwa wanafunzi wanaokwenda kuianza safari ya elimu kwa masomo ya Kidato cha Tano nchini. Mwaka wa Masomo utaanza Julai, 2026. Ubize unatofautiana kati...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Waziri aagiza uchunguzi vurugu za uchaguzi

NAIROBI, Kenya WAZIRI wa Usalama wa Ndani wa Kenya, Kipchumba Murkomen, ameagiza vyombo vya usalama nchini humo kufanya uchunguzi wa kina kuhusu madai ya vurugu...

Polisi Kilimanjaro wakamata watuhumiwa 188, mmoja ahukumiwa kifo

Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limeeleza kuwa limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 188 wa makosa mbalimbali ya jinai, huku mmoja akihukumiwa kunyongwa...

Marekani yashambulia tena meli ya mafuta

TEHRAN, Iran Mvutano kati ya Marekani na Iran umechukua sura mpya baada ya jeshi la Marekani kushambulia meli ya mafuta katika Ghuba ya Uajemi, huku...

Mtanzania anyakua tuzo ya uandishi bora wa filamu ya malaria Marekani

Na mwandishi wetu, Gazetini MTANZANIA, Gloria Majule, ameendelea kuiwakilisha vyema Tanzania katika jukwaa la kimataifa la sanaa baada ya kuibuka mshindi wa tuzo ya uandishi...

Norway yatoa Sh bilioni 8 kuchochea matumizi ya nishati safi nchini

Na mwandishi wetu, Gazetini Tanzania imepata nyongeza ya nguvu katika jitihada za kuhamia kwenye matumizi ya nishati safi baada ya TaTEDO – Sustainable Energy Services...

Serikali yatoa Sh milioni 400 kwa vijana Ludewa

Na mwandishi wetu, Ludewa SERIKALI imetoa mkopo usio na riba wenye thamani ya Shilingi milioni 400 kwa vijana 117 kutoka vikundi vinne vya Kata ya...

Messi anacheka kwa dharau, atuma ujumbe

MIAMI, Marekani  NAHODHA wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi, amezipuuza taarifa zinazodai kuwa wanabebwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA). Messi...

Ibrahimovic aanika kilichoiua England kwa Argentina

MIAMI, Marekani LEJENDARI wa soka, Zlatan Ibrahimovic, ameibuka baada ya timu ya soka ya Taifa ya England kufungwa mabao 2-1 na Argentina katika mchezo wa usiku...

Akon afunguka kumtema Drake kisa Wizkid

LOS ANGELES, Marekani SUPASTAA wa muziki raia wa Marekani mwenye asili ya Senegal, Akon, amefichua sababu ya kuachana na Drake na kumsaini Wizkid kwenye lebo...

Mshindi Big Brother Naija kulamba Mil. 305/-

LAGOS, Nigeria WARATIBU wa Shindano la Big Brother Naija wametangaza msimu mpya wa 2026, huku wakitaja zawadi iliyovunja rekodi ya miaka iliyopita. Kwa msimu huu wa...

Joto halijapoa Rais kuongezewa muda Zimbabwe

HARARE, Zimbabwe RAIS wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa, ameendelea kutetea hatua ya Bunge kubadilisha Katiba na kumpa nyongeza ya kubaki madarakani hadi mwaka 2030. Wakati huo huo,...

Kim, Eminem walianza utotoni, ndoa ikawashinda

LOS ANGELES, Marekani  MOJA ya stori zilizotikisa tasnia ya burudani nchini Marekani ni hii ya mke wa zamani wa rapa Eminem, Kim Scott, kukimbizwa hospitali. Katika tukio hilo...