29.1 C
Dar es Salaam

Makocha wanaosikilizia kibarua Chelsea

LONDON, Uingereza CHELSEA haina kocha mkuu baada ya kumfungashia virago Liam Rosenior, ambaye aliajiriwa Januari, 2026 kuchukua nafasi ya Enzo Maresca. Rosenior amefutwa kazi akiwa ameiongoza...

Habari Kuu

Jamii

spot_img

Afya

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MWIMBAJI maarufu duniani, Céline Dion, ametangaza rasmi kurejea jukwaani, miaka minne baada ya kugundulika kuwa na ugonjwa sugu uliomuathiri sauti yake ya uimbaji pamoja na uwezo wa kutembea. Dion, anayefahamika kwa nyimbo maarufu kama...

Hiki ndicho kilichomuua Lukuvi

Na mwandishi wetu, Gazetini RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, ametangaza kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Lukuvi. Taarifa kwa umma kupitia...

Ugonjwa unaomtesa Lil Wayne

NEW YORK, Marekani TAHARUKI imezuka juu ya hali ya afya ya rapa maarufu wa Marekani, Lil Wayne, ambaye inaelezwa kuwa staa huyo hayuko sawa. Hivi karibuni, ziliibuka ripoti kuwa mwanamuziki huyo anasumbuliwa na ugonjwa hatari wa saratani ya...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

WASHINGTON, Marekani Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema wawakilishi wa nchi hiyo wanaelekea Islamabad kwa ajili ya mazungumzo yanayolenga kupunguza mvutano kati ya Marekani na Iran. Kupitia ujumbe aliouandika kwenye mitandao ya kijamii, Trump amesema ujumbe huo unatarajiwa...

Trump aitishia kuiangamiza Iran ikiwa Hormuz haitafunguliwa

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameionya Iran kuwa inaweza “kuangamizwa ndani ya usiku mmoja” endapo haitafikia makubaliano kabla ya muda wa mwisho alioweka wa kufunguliwa tena kwa Mlango-Bahari wa Hormuz, njia muhimu kwa usafirishaji...

Ripoti: Trump anaweza kusitisha mashambulizi dhidi ya Iran

WASHINGTON, Marekani JARIDA la Wall Street Journal linaripoti kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump, amewaambia wasaidizi wake kuwa yuko tayari kusitisha operesheni ya kijeshi dhidi ya Iran hata kama Mlango wa Bahari wa Hormuz utaendelea kufungwa. Kwa mujibu...
spot_imgspot_img

Elimu

Sehemu 10 pesa zilikojificha

Na Benjamin Madaha KATIKA kipindi hiki cha tatizo la ajira, watu wanatafuta pesa kila kukicha -wengine usiku na mchana na wengine hujaribu kuhama eneo moja kwenda eneo jingine kutafuta pesa. Wengine wamekuwa ombaomba, wengine wanalalamikia Serikali kubana hela...
spot_img
Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale SHERIA ya Tanzania haitambui kila kifo cha mtoto tumboni kama murder. Ili kosa la murder lisimame, lazima marehemu awe ametambulika kisheria kama mtu aliyezaliwa hai. Hapo ndipo kifungu cha 204 kinaingia. Kifungu cha...

Mambo usiyoyajua kisheria kuhusu kesi za mauaji-5

Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale KWA mujibu wa kifungu cha 15, mtoto aliye chini ya umri wa miaka 18 hawezi kushikiliwa kikamilifu kwa adhabu zinazohusiana na uhalifu mkubwa, ikiwa ni pamoja na adhabu ya kifo. Kifungu cha 26(2)...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Makocha wanaosikilizia kibarua Chelsea

LONDON, Uingereza CHELSEA haina kocha mkuu baada ya kumfungashia virago Liam Rosenior, ambaye aliajiriwa Januari, 2026 kuchukua nafasi ya Enzo Maresca. Rosenior amefutwa kazi akiwa ameiongoza...

Amorim kurudi EPL kuinoa Palace

LONDON, Uingereza HUENDA kocha wa zamani wa Manchester United, Ruben Amorim, akawa na timu nyingine msimu ujao wa Ligi Kuu ya England (EPL). Mreno huyo alifungashiwa...

Chelsea, United zamng’ang’ania Adeyemi

LONDON, Uingereza VIGOGO wa Ligi Kuu ya England, Chelsea na Manchester United, wamejikuta kwenye njia moja wakiiwania saini ya mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Karim Adeyemi. Gazeti...

Merino aongeza ‘mzuka’ Arsenal

LONDON, Uingereza KATIKA kipindi hiki ambacho Arsenal inapaswa kushinda mechi tano zilizobaki msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL), nyota wake muhimu aliyekuwa majeruhi...

Mainoo anukia mkataba mpya United

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester United itatangaza kumpa mkataba mpya nyota wake, Kobbie Mainoo, kabla ya msimu huu kumalizika. Mainoo (21), alianza katika mchezo uliopita dhidi...

Slot bado yupo sana Liverpool

MERSEYSIDE, Uingereza LIVERPOOL haina mpango wa kumfuta kazi kocha wake raia wa Uholanzi, Arne Slot, na badala yake atainoa timu hiyo msimu ujao. Baada ya kuanza...

Ndoto za ubingwa: Arsenal tabu iko pale pale?

LONDON, Uingereza KICHAPO cha mabao 2-1 kutoka kwa Manchester City kimeibua hofu kubwa kwa mashabiki wa Arsenal na sasa wanaiona hatari ya timu yao kuambulia...

Rais Samia akabidhi 94.1 bilioni mikopo ya wanawake, vijana

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SERIKALI imekabidhi hundi ya shilingi 94.1 bilioni kwa ajili ya mikopo ya wanawake, vijana, watu wenye ulemavu, wafanyabiashara wadogo, wakiwemo mamalishe...

Wadau wahimiza  ujenzi wa miundombinu ya mchezo wa kuogelea kuendeleza vipaji

Na Winfrida Mtoi WADAU  wa mchezo wa kuogelea nchini, wamefurahishwa na viwango vilivyooneshwa na watoto katika mashindano ya Afrika Mashariki, huku wakiomba  serikali  kuharakisha ujenzi...

Changamoto zinazomsubiri bosi mpya wa Apple

NEW YORK, Marekani KAMPUNI kubwa ya teknolojia dunini ya Apple Inc. imetangaza kuwa mtendaji wake wa muda mrefu, John Ternus, atachukua nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji...

Tanzania yajipanga kuandika historia mpya duniani, wenyeji Miss World 2027

Na Winfrida Mtoi TANZANIA imethibishwa rasmi kuwa mwenyeji wa mashindano makubwa la urembo duniani ‘Miss World 2027’, huku Serikali ikisema imejipanga kuhakikisha linafanyika kwa mtindo...

Simbu ang’ara tena Boston Marathon, ashika nafasi ya pili

Na Mwandishi Wetu Mwanariadha nyota wa Tanzania, Sajinitaji Alphonce Simbu, ameendelea kufanya vizuri Boston Marathon baada ya kushika nafasi ya pili kwa mwaka wa pili...