Ads: info@gazetini.co.tz |
23.3 C
Dar es Salaam

Kuziona Yanga, Azam buku tano tu Zanzibar

Na mwandishi wetu, Gazetini YANGA imetangaza viingilio vya uwanjani katika mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam, huku bei ya chini ikiwa Sh...

Habari Kuu

Jamii

Afya

CALIFORNIA, Marekani FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zimeshuhudia historia nyingi zikiandikwa lakini moja ya hizo ni uwepo wa Dk. Suzanne Huurman. Katika mabenchi ya timu zote 48 zinazoshiriki michuano ya msimu huu, Dk. Suzanne...

Marekani yajitoa mapambano dhidi ya Ukimwi Afrika Kusini

WASHINGTON DC, Marekani SERIKALI ya Marekani imetangaza kusitisha ufadhili wa programu zote za mapambano dhidi ya Ukimwi nchini Afrika Kusini. Afrika Kusini inaongoza duniani kwa kuwa na waathirika wengi wa ugonjwa huo, wakitajwa kufikia zaidi ya milioni nane. Hatua...

Kamanda wa polisi Mkoa wa Tabora afariki dunia

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Abwao, amefariki dunia leo Juni 20, 2026 akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam. Kifo...

Makala

Infographics

Siasa

LONDON, Uingereza WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ameachia ngazi ikiwa ni miaka isiyotimia miwili tangu alipoingia madarakani kupitia Chama cha Labour. Hatua hiyo imekuja baada ya shinikizo kubwa la kutaka ajiuzulu, wakosoaji wake wakisema amefeli katika mambo...

Yametimia! Waziri Mkuu Uingereza abwaga manyanga

LONDON, Uingereza BAADA ya tetesi za muda mrefu, hatimaye Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu. Kwa wiki kadhaa za hivi karibuni, Starmer amekuwa kwenye shinikizo la kujiuzulu hata kutoka ndani ya Chama chake cha Labour. Katika hotuba...

Iran yafunga tena Hormuz, yaitaja Israel

TEHRAN, Iran MAMLAKA za Iran zimetangaza hatua yake ya kuufunga kwa mara nyingine Mlango-Bahari wa Hormuz, huku ikilaani mashambulizi ya Israel nchini Lebabon. Hatua hiyo ya Iran inakuja licha ya kutangaza kuufungua Mlango-Bahari huo baada ya makubaliano yake...

Elimu

Mkenda: Hakuna mtoto atakayeachwa nyuma katika elimu

Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Serikali itaendelea kuhakikisha hakuna mtoto anayekosa haki ya kupata elimu, ikiwemo mabinti waliopata ujauzito, kama sehemu ya juhudi za kuimarisha usawa na ujumuishi...
Na Hassan Mwasha, Gazetini UNAJIULIZA kwanini hujapigiwa simu ya kuitwa kazini licha ya kuhisi ulifanya vizuri Siku ya usahili (interview)? Tulia. Huenda tatizo si uwezo wako wa kufiti katika nafasi uliyoomba. Unaweza kuwa ni mtaalamu mzuri tu wa...

Uholanzi ilivyofanikiwa mfumo wa elimu, ajira kwa vijana

AMSTERDAM, Uholanzi KWA mujibu wa sheria za Uholanzi, ni lazima kwa watoto wenye umri kati ya miaka mitano hadi 16 kuwa shuleni. Pia, ni lazima kubaki shule au kwenye mafunzo ya ufundi hadi watakapotunukiwa vyeti au kutimiza...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Kuziona Yanga, Azam buku tano tu Zanzibar

Na mwandishi wetu, Gazetini YANGA imetangaza viingilio vya uwanjani katika mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam, huku bei ya chini ikiwa Sh...

England v Ghana: Refa wa kadi nyingi kusimamia shoo

NEW YORK, Marekani UKIWA ni mchezo wa Kundi L, timu ya soka ya Taifa ya England itaivaa Ghana leo Juni 23, 2026 kwenye Uwanja wa...

Duh! Huyu ni Lionel Messi au ‘AI’?

NEW YORK, Marekani LIONEL Messi ameendelea kuthibitisha upekee wake katika ulimwengu wa mchezo wa kandanda, licha ya umri mkubwa wa miaka 38 alionao. Katika mechi yao...

Haaland naye hacheki, hachekeshi Kombe la Dunia

MEXICO CITY, Mexico STRAIKA wa Manchester City, Erling Haaland, ameendeleza moto wake msimu huu wa Kombe la Dunia baada ya kufunga mara mbili katika ushindi...

Kiti hakikaliki nafasi ya Waziri Mkuu Uingereza

LONDON, Uingereza WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ameachia ngazi ikiwa ni miaka isiyotimia miwili tangu alipoingia madarakani kupitia Chama cha Labour. Hatua hiyo imekuja baada...

Mashabiki Atletico wachoma moto jezi ya Alvarez

TEXAS, Marekani Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Argentina, aliweka wazi nia yake ya kuondoka Atletico muda mfupi baada ya kuiongoza Argentina kupata ushindi wa mabao...

Ebola DRC yaua ndugu watano wa Mwimbaji Jonathan Budju

Na Christopher Msekena, Gazetini JANGA la ugonjwa wa Ebola limeendelea kuwa tishio nchini Kongo baada ya ndugu wa watano wa mwimbaji wa Injili Jonathan Budju,...

Watoto wa mitaani, ‘mateja’, machangudoa; mfupa uliozishinda mamlaka?

Na Hassan Mwasha, Gazetini UKIKATIZA mitaa miwili hadi mitatu, hasa katika majiji makubwa kama ilivyo kwa hapa Dar es Salaam, ni jambo lisilowezekana kukutana na...

Rekodi ya Misri yamuibua Salah

CAIRO, Misri WINGA wa timu ya soka ya Taifa ya Misri, Mohamed Salah, ameeleza kufurahishwa na rekodi waliyoiweka msimu huu wa fainali za Kombe la...

Arsenal yaipiga bao Liverpool ikinasa kipa

LONDON, Uingereza ARSENAL imefanikiwa kuinasa saini ya kipa wa Phoenix Blayney, ambaye pia alikuwa kwenye rada za Liverpool. Kipa huyo mwenye umri wa miaka 16, amekuwa...

Mkongwe aibuka, ataka Ronaldo asisumbuliwe

LISBON, Ureno LEJENDARI wa timu ya soka ya Taifa ya Ureno, Bruno Alves, amewasikia wanaoponda kiwango cha Cristiano Ronaldo msimu huu wa fainali za Kombe...

Mbappe acharuka akimkingia kifua Dembele

MEXICO CITY, Mexico NAHODHA wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Kylian Mbappe, amesema si sahihi kwa Ousmane Dembele kukosolewa kwa kiwango alichokionesha katika...