Ads: info@gazetini.co.tz |
23.1 C
Dar es Salaam

Ken Bates: Bosi mtata aliyeiuza Chelsea kwa Abramovich

LONDON, Uingereza  SIKU chache zilizopita, ulimwengu wa soka ulimpoteza binadamu aitwaye Ken Bates, ambaye alifariki akiwa na umri wa miaka 94. Bates aliwahi kuimiliki Chelsea kwa...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na mwandishi wetu, Gazetini OFISI ya Msajili wa Hazina imesema Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ni miongoni mwa Taasisi muhimu kwa maendeleo ya Tanzania kutokana na jukumu lake la msingi la kusimamia masuala...

Mtanzania anyakua tuzo ya uandishi bora wa filamu ya malaria Marekani

Na mwandishi wetu, Gazetini MTANZANIA, Gloria Majule, ameendelea kuiwakilisha vyema Tanzania katika jukwaa la kimataifa la sanaa baada ya kuibuka mshindi wa tuzo ya uandishi bora wa filamu inayohusu ugonjwa wa malaria nchini Marekani. Gloria, ambaye ni mwanafunzi...

WHO yaanza majaribio ya dawa ya kuzuia maambukizi ya ebola

DRC, Congo SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuanza kwa majaribio ya kwanza ya kitabibu ya dawa inayolenga kuzuia maambukizi ya Ebola kwa watu waliokaribiana na wagonjwa walioambukizwa virusi hivyo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC)...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

LONDON, Uingereza  ATAANZA majukumu yake kama Waziri Mkuu kesho Julai 20, 2026. Andy Burnham aliyekuwa Meya wa Manchester, Jiji lililoko Kaskazini mwa England.  Amekuwa Meya wa Manchester kwa miaka tisa na sasa anahamia Downing Street akiwa Waziri Mkuu...

Rais Hungary anyoosha mikono, akubali kujiuzulu

BUDAPEST, Hungary RAIS wa Hungary, Tamas Sulyok, hatimaye amekubali kujiuzulu baada ya shinikizo kubwa kutoka bungeni. Hatua yake ya kujiweka kando inakuja baada ya Chama cha Waziri Mkuu, Peter Magyar, kutaka Bunge lipitishe sheria ya kumng'oa Sulyok. Hata hivyo, wachambuzi wa siasa...

Mpasuko jeshini baada ya Waziri ‘kutumbuliwa’

KYIV, Ukraine HATUA ya Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, kumuweka kando aliyekuwa Waziri wa Ulinzi, Mykhailo Fedorov, imezua mjadala ndani ya jeshi la nchi hiyo. Baadhi ya wanajeshi hawajavutiwa na kukubaliana na uamuzi huo wa kumwacha Fedorov katika...

Elimu

Wananchi wengi wanaisikia Dira 2050, lakini…

Na mwandishi wetu, Gazetini Licha ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kuendelea kujadiliwa katika ngazi mbalimbali, bado wananchi wengi hawajaielewa kwa kina, jambo linaloonyesha umuhimu wa kuendelea kutoa elimu kwa umma. Mchumi kutoka Tume ya Taifa ya...
Na Esther Mnyika, Gazetini MFUMO wa fedha ulio salama na unaoaminika ni nguzo muhimu ya ukuaji wa uchumi na kuvutia uwekezaji. Hata hivyo, mafanikio hayo yanaweza kuhatarishwa ikiwa taasisi za kifedha zitatumiwa kutakatisha fedha haramu au kufadhili...

Ajali ya basi yaua wanafunzi 20, mmiliki wa shule 

KAMPALA, Uganda AJALI ya basi la shule imesababisha vifo vya wanafunzi 20, pamoja na mtu mzima mmoja, katika eneo la Kapchorwa, Mashariki mwa Uganda. Taarifa ya polisi imeeleza kuwa basi hilo lilibeba wanafunzi wa Shule ya King David, ikisadiki kuwa...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Ken Bates: Bosi mtata aliyeiuza Chelsea kwa Abramovich

LONDON, Uingereza  SIKU chache zilizopita, ulimwengu wa soka ulimpoteza binadamu aitwaye Ken Bates, ambaye alifariki akiwa na umri wa miaka 94. Bates aliwahi kuimiliki Chelsea kwa...

Ebola katikati ya Serikali, waasi wa M23

KINSHASA, DRC KUNDI la waasi la M23 linajivunia idadi ndogo ya maambukizi ya Ebola katika maeneo yake, likidai kuwa hilo linathibitisha uwezo wake mkubwa wa...

Maswali yanayomsubiri Waziri Mkuu mpya wa Uingereza 

LONDON, Uingereza  ATAANZA majukumu yake kama Waziri Mkuu kesho Julai 20, 2026. Andy Burnham aliyekuwa Meya wa Manchester, Jiji lililoko Kaskazini mwa England.  Amekuwa Meya wa...

Ufaransa yaweka rekodi mbaya Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani  KATIKA kipigo cha mabao 6-4 kutoka kwa England, timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa imeweka rekodi mbaya zaidi kuwahi kuwakuta katika miaka...

Leverkusen wafanya balaa ‘pre-season’ 

MUNICH, Ujerumani  BAYERN Leverkusen ya Bundesliga imeyaanza vizuri maandalizi ya msimu ujao (pre-season) kwa ushindi wa mabao 7-0 dhidi ya Sportfreunde Baumberg. Katika mchezo huo, straika...

Olise avunja rekodi ya Pele

MIAMI, Marekani MSHAMBULIAJI wa timu ya soka ya Ufaransa, Michael Olise, ameivunja rekodi ya mkongwe wa Brazil, Pele. Nyota huyo wa Bayern Munich ameandika historia mpya,...

Mastaa hawa Kombe la Dunia limewapa kiki Instagram

MIAMI, Marekani KWA kipindi cha mwezi mmoja wa michuano ya Kombe la Dunia msimu huu wa 2026, Erling Haaland ameongeza wafuasi milioni 29 katika akaunti yake...

Rais Hungary anyoosha mikono, akubali kujiuzulu

BUDAPEST, Hungary RAIS wa Hungary, Tamas Sulyok, hatimaye amekubali kujiuzulu baada ya shinikizo kubwa kutoka bungeni. Hatua yake ya kujiweka kando inakuja baada ya Chama cha Waziri...

Mamba kutumika kudhibiti wafungwa

JERUSALEM, Israel MAMLAKA za Israel zimepitisha utaratibu wa kutumia mamba katika magereza yake, lengo likiwa ni kudhibiti wafungwa wanaotaka kutoroka. Awali, Waziri wa Ulinzi wa Israel, Itamar...

Kris Jenner atangaza kifo cha ‘bi mkubwa’ wake

LOS ANGELES, Marekani MAMA mzazi wa mrembo anayetokea familia ya Kardashian, Kris Jenner, Mary Jo, amefariki akiwa na umri wa miaka 91. Kris (70), ndiye aliyetangaza...

Safari ya Hispania kutinga fainali

MIAMI, Marekani HISTORIA inarudisha kilichotokea miaka 16 iliyopita, ambapo timu ya soka ya taifa ya Hispania ilitwaa ubingwa wa Kombe la Dunia ikiwa kwenye ardhi...

Safari ya Argentina kutinga fainali

MIAMI, Argentina ARGENTINA ya kocha Lionel Scaloni itaingia katika mchezo huo wa fainali dhidi ya Hispania ikiwa bingwa mtetezi kwa taji lake la miaka minne...