Ads: info@gazetini.co.tz |
24.3 C
Dar es Salaam

Halotel, Samsung wazindua huduma mikopo ya simu janja yenye vifurushi

Na Imani Nathaniel, Gazetini Kampuni ya Mawasiliano ya Halotel Tanzania kwa kushirikiana na Samsung Electronics, imezindua huduma ya mikopo ya simu janja inayokwenda sambamba na...

Habari Kuu

Jamii

Afya

LOS ANGELES, Marekani HIVI karibuni, Shirika la Ujasusi la Marekani (FBI) lilimtia mkononi mfanyabiashara maarufu, Ibrahim Khaldoon Hilmi, aliyekuwa akikimbia kukamatwa kwa miaka mingi. Khaldoom Hilmi aliyekamatwa akiwa Uturuki, anatajwa kujiingizia mabilioni ya fedha kwa njia za utapeli...

Ufaransa yatangaza daktari wake kupata Ebola

PARIS, Ufaransa MAMLAKA za afya nchini Ufaransa zimetangaza kisa cha kwanza cha maambukizi ya Ebola kwa daktari wake aliyetokea DRC. Daktari hyo alikuwa DRC katika programu ya Ufaransa kutoa msaada wa kibinadamu katika kukabiliana na ugonjwa huo. Kwa mujibu...

Ebola DRC yaua ndugu watano wa Mwimbaji Jonathan Budju

Na Christopher Msekena, Gazetini JANGA la ugonjwa wa Ebola limeendelea kuwa tishio nchini Kongo baada ya ndugu wa watano wa mwimbaji wa Injili Jonathan Budju, kupoteza maisha mapema mwezi huu. Jonathan Budju ambaye kwasasa anaishi nchini Canada, ameweka...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

DAKAR, Senegal MAPEMA wiki hii, Bunge la Senegal lilipitisha mabadiliko ya Katiba yaliyozua utata, yakimuondoshea madaraka makubwa aliyonayo Rais. Hatua hiyo iliibua mgogoro mkubwa, hata polisi kulazimika kutumia mabomunya machozi kurejesha hali ya utulivu nje ya ofisi za...

Urafiki uliogeuka uadui Trump, Waziri Mkuu wa Italia

WASHINGTON DC, Marekani UHUSIANO kati ya Rais wa Marekani, Donald Trump, na Waziri Mkuu wa Italia, Giorgia Meloni, umeendelea kuwa gumzo na hata kuibua mjadala wa aina yake kwenye duru za kisiasa ulimwenguni. Trump na Meloni walikuwa marafiki...

Israel, Marekani ‘zimechafua’ Uchaguzi Colombia?

BOGOTA, Colombia RAIS aliyeondoka madarakani nchini Colombia, Gustavo Petro, ameendelea kutokuyatambua matokeo yaliyompa ushindi Abelardo de la Espriella. De la Espriella (47), ameingia Ikulu akimpiku Ivan Cepeda katika Uchaguzi ulioanza Mei 31, 2026, na kurudiwa siku chache zilizopita...

Elimu

Wanafunzi 36 bado wanashikiliwa na watekaji

LAGOS, Nigeria WANAFUNZI 36, pamoja na mfanyakazi wa shule, bao hawajaachiwa na kikundi cha waasi, kwa mujibu wa Polisi nchini Nigeria. Mapema wiki hii, waasi hao wakiwa na silaha waliwateka wanafunzi na mwalimu wa Shule ya Sekondari ya...
Na Hassan Mwasha, Gazetini HIKI ni kipindi ambacho wazazi wako 'bize' na maandalizi ya shule kwa wanafunzi wanaokwenda kuianza safari ya elimu kwa masomo ya Kidato cha Tano nchini. Mwaka wa Masomo utaanza Julai, 2026. Ubize unatofautiana kati...

Mkenda: Hakuna mtoto atakayeachwa nyuma katika elimu

Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Serikali itaendelea kuhakikisha hakuna mtoto anayekosa haki ya kupata elimu, ikiwemo mabinti waliopata ujauzito, kama sehemu ya juhudi za kuimarisha usawa na ujumuishi...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Halotel, Samsung wazindua huduma mikopo ya simu janja yenye vifurushi

Na Imani Nathaniel, Gazetini Kampuni ya Mawasiliano ya Halotel Tanzania kwa kushirikiana na Samsung Electronics, imezindua huduma ya mikopo ya simu janja inayokwenda sambamba na...

Drake kwa ‘kubeti’ humwambii kitu

TORONTO, Canada NJE ya kazi ya muziki, rapa Drake ana dunia yake nyingine. Ni miongoni mwa 'walevi' wa kamari ya kubashiri matokeo ya michezo (kubeti). Hivi...

Urusi, Ukraine piga nikupige inaendelea

KYIV, Ukraine VIKOSI vya jeshi la Urusi vimetekeleza shambulizi la ndege zisizo na rubani nchini Ukraine na kusababisha vifo vya watu 13. Mamlaka za Ukraine zimethibitisha...

Ni England au Mexico tiketi ya robo fainali?

MEXICO CITY, Mexico FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zinaendelea kuchanja mbuga, huku baadhi ya timu zikiwa zimeshatinga hatua ya 16 Bora. Baadhi...

Iran: Marekani itakiona cha moto

TEHRAN, Iran MAKAO Makuu ya Jeshi la Iran yamekuja na tamko zito, kwamba Marekani itaingia kwenye shida endapo itaendelea kuingilia udhibiti wa Mlango-Bahari wa Hormuz. Kauli...

Syria yawaita mezani Hezbollah

BEIRUT, Lebanon WAZIRI wa Mambo ya Nje ya Syria, Asaad al-Shaibani, yuko nchini Lebanon, ambapo amesema wako tayari kukaa mwezani na wapiganaji wa Kundi la...

Mwili wa Khamenei wazua gumzo

TEHRAN, Iran MAMLAKA za Iran zimetangaza Julai 9, 2026 kuwa ndiyo siku za maziko ya Kiongozi wa zamani wa Taifa hilo, Ali Khamenei, huku ukiibuka...

Arsenal yatia nanga kwa kipa huyu

LONDON, Uingereza KLABU ya Arsenal iko kwenye hatua nzuri ya kukamilisha usajili wa kipa aliyeondoka Leeds United baada ya kumaliza mkataba wake, Illan Meslier. Kocha wa...

Mshambuliaji anayesakwa na vigogo EPL

LONDON, Uingereza NI nahodha wa West Ham United, Jarrod Bowen, ambaye si tu Manchester United, bali pia Liverpool na Chelsea nazo zinaimezea mate saini yake. Mshambuliaji...

Kocha Ubelgiji amtaja aliyeiua Senegal

MIAMI, Marekani KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Ubelgiji, Rudi Garcia, amesema nahodha wake, Youri Tielemans, ndiye mchezaji aliyekuwa na mchango mkubwa katika...

Weah: Yamal? Mbappe habari nyingine

TORONTO, Canada MKONGWE wa soka la Liberia, George Weah, ambaye ni Mwafrika pekee kuwahi kubeba Ballon d'Or, amesema Kylian Mbappe ni bora kuliko Lamine Yamal. Weah...

Miaka 250 ya Uhuru: Rais Trump alivyoigawa Marekani

WASHINGTON DC, Marekani JULAI 4, 2026, Marekani itasherehekea miaka 250 tangu ilipopata uhuru wake mwaka 1776 kutoka kwa Uingereza. Hata hivyo, 'birthday' inakuja wakati Taifa hilo...