Ads: info@gazetini.co.tz |
23.5 C
Dar es Salaam

FIFA: Trump atakuwepo fainali Kombe la Dunia

NYON, Uswis RAIS wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, ametangaza kuwa Donald Trump atakuwepo uwanjani siku ya fainali ya msimu huu wa...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na Christopher Msekena, Gazetini JANGA la ugonjwa wa Ebola limeendelea kuwa tishio nchini Kongo baada ya ndugu wa watano wa mwimbaji wa Injili Jonathan Budju, kupoteza maisha mapema mwezi huu. Jonathan Budju ambaye kwasasa anaishi nchini Canada, ameweka...

Huyu ndiye Dk. Suzanne wa Kombe la Dunia 2026

CALIFORNIA, Marekani FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zimeshuhudia historia nyingi zikiandikwa lakini moja ya hizo ni uwepo wa Dk. Suzanne Huurman. Katika mabenchi ya timu zote 48 zinazoshiriki michuano ya msimu huu, Dk. Suzanne...

Marekani yajitoa mapambano dhidi ya Ukimwi Afrika Kusini

WASHINGTON DC, Marekani SERIKALI ya Marekani imetangaza kusitisha ufadhili wa programu zote za mapambano dhidi ya Ukimwi nchini Afrika Kusini. Afrika Kusini inaongoza duniani kwa kuwa na waathirika wengi wa ugonjwa huo, wakitajwa kufikia zaidi ya milioni nane. Hatua...

Makala

Infographics

Siasa

LONDON, Uingereza WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ameachia ngazi ikiwa ni miaka isiyotimia miwili tangu alipoingia madarakani kupitia Chama cha Labour. Hatua hiyo imekuja baada ya shinikizo kubwa la kutaka ajiuzulu, wakosoaji wake wakisema amefeli katika mambo...

Yametimia! Waziri Mkuu Uingereza abwaga manyanga

LONDON, Uingereza BAADA ya tetesi za muda mrefu, hatimaye Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, ametangaza kujiuzulu. Kwa wiki kadhaa za hivi karibuni, Starmer amekuwa kwenye shinikizo la kujiuzulu hata kutoka ndani ya Chama chake cha Labour. Katika hotuba...

Iran yafunga tena Hormuz, yaitaja Israel

TEHRAN, Iran MAMLAKA za Iran zimetangaza hatua yake ya kuufunga kwa mara nyingine Mlango-Bahari wa Hormuz, huku ikilaani mashambulizi ya Israel nchini Lebabon. Hatua hiyo ya Iran inakuja licha ya kutangaza kuufungua Mlango-Bahari huo baada ya makubaliano yake...

Elimu

Mkenda: Hakuna mtoto atakayeachwa nyuma katika elimu

Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Serikali itaendelea kuhakikisha hakuna mtoto anayekosa haki ya kupata elimu, ikiwemo mabinti waliopata ujauzito, kama sehemu ya juhudi za kuimarisha usawa na ujumuishi...
Na Hassan Mwasha, Gazetini UNAJIULIZA kwanini hujapigiwa simu ya kuitwa kazini licha ya kuhisi ulifanya vizuri Siku ya usahili (interview)? Tulia. Huenda tatizo si uwezo wako wa kufiti katika nafasi uliyoomba. Unaweza kuwa ni mtaalamu mzuri tu wa...

Uholanzi ilivyofanikiwa mfumo wa elimu, ajira kwa vijana

AMSTERDAM, Uholanzi KWA mujibu wa sheria za Uholanzi, ni lazima kwa watoto wenye umri kati ya miaka mitano hadi 16 kuwa shuleni. Pia, ni lazima kubaki shule au kwenye mafunzo ya ufundi hadi watakapotunukiwa vyeti au kutimiza...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

FIFA: Trump atakuwepo fainali Kombe la Dunia

NYON, Uswis RAIS wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, ametangaza kuwa Donald Trump atakuwepo uwanjani siku ya fainali ya msimu huu wa...

‘Uswahili’ ulivyotawala kambi ya wachezaji Senegal huko Marekani

NEW JERSEY, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Senegal iliingia kwenye fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) ikiwa inapewa nafasi kubwa...

Ufaransa yatangaza daktari wake kupata Ebola

PARIS, Ufaransa MAMLAKA za afya nchini Ufaransa zimetangaza kisa cha kwanza cha maambukizi ya Ebola kwa daktari wake aliyetokea DRC. Daktari hyo alikuwa DRC katika programu...

Aliyemtesa mkewe kwa miaka 12 akamatwa

ISLAMABAD, Pakistan POLISI nchini Pakistan wanamshikilia mwanaume mmoja kwa kosa la kumtesa mkewe, ikiwamo kumpiga na kumfungia kwenye chumba maalum, akifanya hivyo kwa miaka 12...

Shambulizi la Ukraine lakata umeme Crimea

KYIV, Ukraine SHAMBULIZI la anga la Ukraine limesababisa sehemu kubwa ya eneo linaloshikiliwa na Urusi nchini humo kukosa huduma ya umeme. Kwa mujibu wa taarifa, shambulizi...

Yanga yazima jeuri ya Azam, Simba yaiachia maumivu Mtibwa Sugar

Na mwandishi wetu, Gazetini LICHA ya kuonekana ungekuwa mchezo mgumu, Azam FC imekubali kichapo kizito cha mabao 3-0 kutoka kwa Yanga, ambayo sasa imejishindilia kileleni...

Macho yote Zenji … Yanga kisasi, Azam inasaka heshima

Na Hassan Mwasha, Gazetini ACHANA na kuzihitaji pointi tatu. Yanga wataivaa Azam wakiwa na hasira baada ya matajiri hao wa Chamazi kuwafunga katika mchezo wa...

Steve Barker: Hao Mtibwa Sugar waje tu

Na mwandishi wetu, Gazetini KOCHA wa Simba, Steve Barker, amesema vijana wake wamejiandaa kimwili na kisaikolojia kukabiliana na Mtibwa Sugar. Simba wako mkoani Morogoro kwa ajili...

Kwanini Wapalestina wamechagua kuishangilia Hispania?

JERUSALEM, Palestina KATIKATI ya maisha magumu wanayopitia raia wa Palestina katika Ukanda wa Gaza, burudani ya fainali za Kombe la Dunia imepenya na kupata nafasi...

Mabao mawili ya Ronaldo yaweka rekodi tatu

HOUSTON, Marekani AMEKASIRIKA! Baada ya kupondwa kwa kiwango alichokionesha katika mchezo wa kwanza dhidi ya DRC, straika wa timu ya soka ya Taifa ya Ureno,...

Deschamps afiwa na mama yake, aondoka Kombe la Dunia

NEW YORK, Marekani KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Didier Deschamps, amerejea jijini Paris baada ya taarifa za kifo cha mama yake...

Croatia njiapanda, Modric afikisha mechi 200

TORONTO, Canada TIMU ya soka ya Taifa ya Croatia sasa inahitaji ushindi tu mbele ya Ghana ili kufuzu hatua inayofuata (32 Bora) ya msimu huu...