Ads: info@gazetini.co.tz |
26.2 C
Dar es Salaam

UNESCO: Watoto wa kike wanazuiwa kwenda sekondari Afghanistan

NEW YORK, Marekani  SHIRIKA la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limeeleza katika ripoti yake kuwa wasichana takribani milioni 2.4 nchini Afghanistan wamenyimwa...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na mwandishi wetu, Gazetini WACHIMBAJI wadogo wa Mgodi wa Namungo wameiomba Serikali kupitia Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuwapatia mafunzo ya usalama na afya mahali pa kazi mara kwa mara ili waweze kutekeleza...

Wakazi wa Nyambili walalamikia ukosefu wa zahanati

Na Malima Lubasha, Gazetini WAKAZI wa Kijiji cha Nyambili, Kata ya Sirori Simba, Wilaya ya Butiama mkoani Mara, wameiomba Serikali kujenga zahanati ya kijiji hicho na kuboresha huduma za afya katika Zahanati ya Rwasereta ili kupunguza adha...

Marekani ilivyoiweka ‘ICU’ sekta ya afya Cuba

HAVANA, Cuba KWA miaka mingi, Cuba imekuwa ikisifika kwa ubora wa sekta yake ya afya, huku raia wake wakifurahia huduma ya matibabu bila malipo kwa Serikali kubeba gharama zote. Hata hivyo, kwa sasa mambo yamebadilika na sekta ya...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

DAMASCUS, Syria WAKATI hali ya utulivu ikiwa haijatengamaa, Syria iliingia katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2021 na Assad kushinda kwa muhula wake wa nne madarakani. Ni Uchaguzi uliompa ushindi wa asilimia 95 ya kura. Hata hivyo, kama ilivyokuwa katika...

Bashar al-Assad: Rais ‘dikteta’ aliyeangukia hukumu ya kifo (3)

DAMASCUS, Syria KATIKA sera za mambo ya nje, utawala wa Assad haukuwa na tofauti yoyote na ule wa baba yake. Kama alivyokuwa baba, naye aliendeleza uhusiano mbaya na Marekani, Israel na mataifa ya Ulaya Magharibi. Assad alisisitiza mara...

Bashar al-Assad: Rais ‘dikteta’ aliyeangukia hukumu ya kifo (2)

DAMASCUS, Syria  KAMA ilivyoelezwa katika sehemu ya kwanza ya makala haya, Assad hakutarajiwa kuwa kiongozi wa Syria. Hakuonekana kupenda siasa na kufuata nyayo za baba yake, Hafez al-Assad.  Tuanzie hapa; Assad alizaliwa Septemba 11,1965 akiwa mtoto wa pili wa...

Elimu

UNESCO: Watoto wa kike wanazuiwa kwenda sekondari Afghanistan

NEW YORK, Marekani  SHIRIKA la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limeeleza katika ripoti yake kuwa wasichana takribani milioni 2.4 nchini Afghanistan wamenyimwa haki ya kupata elimu ya sekondari. Kwa mujibu wa UNESCO, kizingiti hicho kwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini CHUO Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeendelea kuthibitisha nafasi yake kama kitovu cha utafiti, ubunifu na teknolojia nchini baada ya kuwasilisha bunifu mbalimbali zinazolenga kutatua changamoto za jamii katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea jijini...

WMA yawafundisha watoto vipimo, Naibu waziri apongeza

na mwandishi wetu, Gazetini NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Chande, amefurahishwa na uelewa mkubwa ulioonyeshwa na wanafunzi waliopata elimu ya vipimo katika banda la Wakala wa Vipimo - (WMA), kwenye Maonesho ya 33 ya Wakulima...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

UNESCO: Watoto wa kike wanazuiwa kwenda sekondari Afghanistan

NEW YORK, Marekani  SHIRIKA la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limeeleza katika ripoti yake kuwa wasichana takribani milioni 2.4 nchini Afghanistan wamenyimwa...

Ronaldo afunga ndoa na Georgina

LISBON, Ureno BAADA ya miaka 10 ya uchumba, hatimaye staa wa soka, Cristiano Ronaldo amefunga ndoa na mpenzi wake, Georgina Rodriguez. Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa...

Kifo cha baba kumstaafisha Messi?

MIAMI, Marekani  SUPASTAA wa soka, Lionel Messi, amesema kifo cha baba yake, Jorge, kinamfanya asijione akiendelea kucheza kwa muda mrefu. Jorge alifariki wiki iliyopita akiwa na...

Chelsea yanasa mwingine, yafikisha saba 

LONDON, Uingereza  KLABU ya Chelsea imemtambulisha beki wa pembeni kutoka Rayo Vallecano ya Hispania, Pep Chavarria. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 28 anakuwa mchezaji wa saba kusajiliwa na...

Bashar al-Assad: Rais ‘dikteta’ aliyeangukia hukumu ya kifo (4)

DAMASCUS, Syria WAKATI hali ya utulivu ikiwa haijatengamaa, Syria iliingia katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2021 na Assad kushinda kwa muhula wake wa nne madarakani. Ni...

Bashar al-Assad: Rais ‘dikteta’ aliyeangukia hukumu ya kifo (3)

DAMASCUS, Syria KATIKA sera za mambo ya nje, utawala wa Assad haukuwa na tofauti yoyote na ule wa baba yake. Kama alivyokuwa baba, naye aliendeleza...

Bashar al-Assad: Rais ‘dikteta’ aliyeangukia hukumu ya kifo (2)

DAMASCUS, Syria  KAMA ilivyoelezwa katika sehemu ya kwanza ya makala haya, Assad hakutarajiwa kuwa kiongozi wa Syria. Hakuonekana kupenda siasa na kufuata nyayo za baba...

Bashar al-Assad: Rais ‘dikteta’ aliyeangukia hukumu ya kifo (1)

DAMASCUS, Syria  MAHAKAMA Kuu ya Syria imemuhukumu kifo aliyekuwa Rais wa Taifa hilo, Bashar al-Assad, baada ya kumkuta na hatia katika mashitaka ya uhalifu dhidi ya...

Vichocheo vya kufikia malengo ya Dira 2050: Sayansi na Teknolojia

Na mwandishi wetu, Gazetini SAYANSI na Teknolojia zinachochea ubunifu na kuongeza tija na ushindani. Hivyo basi, sayansi na teknolojia ni vichocheo muhimu vinavyoleta tija, ufanisi...

Vichocheo vya kufikia malengo ya Dira 2050: Nishati

Na mwandishi wetu, Gazetini UPATIKANAJI wa nishati ya uhakika ni kichocheo kikubwa cha ukuaji wa uchumi na maendeleo ya jamii. Umuhimu wa nishati unajidhihirisha kuanzia...

Vichocheo vya kufikia malengo ya Dira 2050: Usafirishaji fungamanishi 

Na mwandishi wetu, Gazetini VICHOCHEO vya maendeleo ni nyenzo muhimu katika kuongeza kasi ya kufikia malengo ya Dira 2050. Kwa kutambua hilo, Dira hii imebainisha...

Ronald Araujo: Beki wa kadi nyekundu aliyetua Liver akitokea La Liga

MERSEYSIDE, Uingereza NYOTA huyo wa eneo la ulinzi ameondoka Barcelona na kujiunga na Liverpool majira haya ya kiangazi. Alikuwa nahodha wakati Wacatalunya hao wakitwaa ubingwa...