Ads: info@gazetini.co.tz |
25.1 C
Dar es Salaam

Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: UFARANSA

PARIS, Ufaransa MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada. Kuelekea michuano...

Habari Kuu

Jamii

Afya

LONDON, Uingereza TANGU alipoanguka uwanjani wakati wa fainali za EURO 2020, straika wa timu ya Taifa ya Denmark, Christian Eriksen, amekuwa akivaa kifaa maalumu cha kusaidia mapigo ya moyo (implantable cardioverter defibrillator - ICD). Eriksen amekuwa na kifaa...

‘Nilitumia dawa za kulevya kuongeza nguvu za kiume, nikaishia pabaya’

Na Hassan Mwasha MAISHA ya Juma Mgota, mkazi wa Mtaa wa Muhalitan, Tandale jijini Dar es Salaam, yanaweza kuwa sehemu ndogo tu ya madhila wanayopitia vijana wengi walio kwenye urahibu wa dawa za kulevya 'unga'. Mgota (36), amebeba...

Wanawake hatarini zaidi Ebola, maambukizi yafika Brazil

KINSHASA, DRC WATAALAMU wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) wameonya kuwa wanawake ndilo kundi lililo hatarini zaidi kupata maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Ebola nchini DRC. Wakati huo huo, zipo taarifa kuwa visa viwili...

Makala

Infographics

Siasa

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA miaka ya hivi karibuni, baada ya kufuatilia chaguzi za Afrika, wachambuzi wa siasa wameibua kile wanachokiita mdororo wa afya ya demokrasia barani humu. Chaguzi zilizoharibiwa na sura za vitendo vya rushwa, hali ya...

Marekani yamwekea vikwazo Rais wa Cuba, familia yake

HAVANA, Cuba SERIKALI ya Marekani imetangaza vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Rais wa Cuba, Miguel Diaz-Canel, pamoja na familia yake. Taarifa ya vikwazo hivyo pia inaihusu familia ya Rais wa zamani wa Cuba, Raul Castro, licha ya kwamba...

Kiongozi wa upinzani Guinea aendelea kushikiliwa

BISSAU, Guinea Bissau MAHAKAMA ya kijeshi ya Guinea Bissau imeagiza kiongozi wa siasa za upinzani nchini humo, Domingos Simoes Pereira, kuendelea kushikiliwa. Mwanasiasa huyo anayetumikia kifungo cha ndani anakabiliwa na mashitaka ya kusuka mpango wa kuipindua Serikali. Pereira, kiongozi...

Elimu

Uholanzi ilivyofanikiwa mfumo wa elimu, ajira kwa vijana

AMSTERDAM, Uholanzi KWA mujibu wa sheria za Uholanzi, ni lazima kwa watoto wenye umri kati ya miaka mitano hadi 16 kuwa shuleni. Pia, ni lazima kubaki shule au kwenye mafunzo ya ufundi hadi watakapotunukiwa vyeti au kutimiza...
Na mwandishi wetu, Gazetini Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema hakuna taifa linaloweza kubaki nyuma katika dunia ya sasa inayotawaliwa na teknolojia, akili bandia (AI), sayansi ya data, roboti na ubunifu wa kisasa. Akizungumza Juni 4, 2026...

Usiyoyajua kuhusu matumizi ya mirungi

Na mwandishi wetu, Gazetini MATUMIZI ya mirungi yana historia ndefu barani Afrika, yakitajwa kuanza miaka mingi iliyopita katika nchi za Ethiopia, Eritrea, Kenya na Somalia. Mirungi ni aina ya dawa ya kulevya inayotokana na mmea unaoitwa 'Catha edulis',...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: UFARANSA

PARIS, Ufaransa MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada. Kuelekea michuano...

Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: URUGUAY

NEW YORK, Marekani MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada. Kuelekea...

Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: SENEGAL

DAKAR, Senegal MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada. Kuelekea michuano...

Kombe la Dunia 2026: Karata ya mwisho kwa Cristiano Ronaldo

LISBON, Ureno KAMA kuna mchezaji anayezitamani zaidi fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu, 2026, basi ni nahodha wa timu ya Taifa ya Ureno,...

Kwa mastaa hawa, pesa siyo shida zao kabisa

NAIROBI, Kenya KWA miaka mingi, wanamuziki wa Kenya wamekuwa wakifanya vizuri kwa Ukanda huu wa Afrika Mashariki, licha ya upinzani mkali kutoka kwa wenzao wa...

Chris Brown: Bishoo, tajiri asiyekauka mikononi mwa polisi

LOS ANGELES, Marekani PESA siyo tatizo. Kwa miaka aliyofanya kazi ya muziki, Chris Brown ameweza kujikusanyia utajiri wa Dola za Marekani milioni 50, huku vyanzo...

Wenger aibuka na utabiri wake Kombe la Dunia 2026

PARIS, Ufaransa KOCHA wa zamani wa Arsenal, Arsène Wenger, ameanza kwa kuitaja timu ya Taifa ya Ufaransa, akiipa nafasi katika zile anazoamini zitatwaa ubingwa wa...

‘Maisha ya Nigeria magumu kuliko Marekani’

LAGOS, Nigeria HIYO ni kauli ya staa wa soko la muziki wa Nigeria, Daniel Benson, maarufu kwa jina la BNXN, baada ya kuwasili akitokea Los...

Uadui unaozaliwa katikati ya urafiki wa Marekani, Israel

WASHINGTON DC, Marekani VYOMBO vya habari vya Marekani vimeripoti taarifa inayoashiria kuwapo kwa hali ya kutokuamiana kati ya Taifa hilo na Israel, ambao ni washirika...

Rais Trump alivyozima ndoto, rekodi ya refa wa Somalia

MOGADISHU, Somalia GUMZO kubwa kuelekea fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu ni mwamuzi wa kati raia wa Somalia, Omar Artan, kurejea nchini kwao...

Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: SAUDI ARABIA

NEW YORK, Marekani MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada. Kuelekea...

Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: CAPE VERDE

NEW YORK, Marekani MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada. Kuelekea...