Ads: info@gazetini.co.tz |
25.2 C
Dar es Salaam

Marekani yamwekea vikwazo Rais wa Cuba, familia yake

HAVANA, Cuba SERIKALI ya Marekani imetangaza vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Rais wa Cuba, Miguel Diaz-Canel, pamoja na familia yake. Taarifa ya vikwazo hivyo pia inaihusu...

Habari Kuu

Jamii

Afya

KINSHASA, DRC WATAALAMU wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) wameonya kuwa wanawake ndilo kundi lililo hatarini zaidi kupata maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Ebola nchini DRC. Wakati huo huo, zipo taarifa kuwa visa viwili...

Virusi hivi vya Ebola vimeshindikana, havina chanzo wala tiba

Na mwandishi wetu, Gazetini MAAMBUKIZI ya virusi vya Ebola yameendelea kuripotiwa huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kama ilivyo kwa majirani zao, Uganda, huku wataalamu wa afya wakizitahadharisha nchi zingine za Afrika. Idadi ya vifo kwa upande...

Taasisi ya OSHA yapata Bodi mpya

Na mwandishi wetu, Gazetini Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu ameitaka Bodi Mpya ya Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuendeleza mafanikio yaliyofikiwa na Taasisi hiyo katika kutekeleza...

Makala

Infographics

Siasa

HAVANA, Cuba SERIKALI ya Marekani imetangaza vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Rais wa Cuba, Miguel Diaz-Canel, pamoja na familia yake. Taarifa ya vikwazo hivyo pia inaihusu familia ya Rais wa zamani wa Cuba, Raul Castro, licha ya kwamba...

Kiongozi wa upinzani Guinea aendelea kushikiliwa

BISSAU, Guinea Bissau MAHAKAMA ya kijeshi ya Guinea Bissau imeagiza kiongozi wa siasa za upinzani nchini humo, Domingos Simoes Pereira, kuendelea kushikiliwa. Mwanasiasa huyo anayetumikia kifungo cha ndani anakabiliwa na mashitaka ya kusuka mpango wa kuipindua Serikali. Pereira, kiongozi...

Rais mstaafu Colombia amjia juu Trump

BOGOTA, Colombia RAIS aliyemaliza muda wake nchini Colombia, Gustavo Petro, amemnyooshea kidole Donald Trump wa Marekani kwa hatua yake ya kumuunga mkono mgombea wa urais Abelardo de la Espriella. De la Espriella (47), amemzidi kura Seneta Ivan Cepeda katika...

Elimu

Samia aitahadharisha Afrika kuhusu mapinduzi ya AI

Na mwandishi wetu, Gazetini Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema hakuna taifa linaloweza kubaki nyuma katika dunia ya sasa inayotawaliwa na teknolojia, akili bandia (AI), sayansi ya data, roboti na ubunifu wa kisasa. Akizungumza Juni 4, 2026...
Na mwandishi wetu, Gazetini MATUMIZI ya mirungi yana historia ndefu barani Afrika, yakitajwa kuanza miaka mingi iliyopita katika nchi za Ethiopia, Eritrea, Kenya na Somalia. Mirungi ni aina ya dawa ya kulevya inayotokana na mmea unaoitwa 'Catha edulis',...

Kilimo cha bangi, uvutaji na madhara yake

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA tafsiri ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya hapa nchini (DCEA), bangi ni aina ya dawa ya kulevya inayotokana na mmea unaoitwa 'Cannabis sativa', ambapo majani na maua yake...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Marekani yamwekea vikwazo Rais wa Cuba, familia yake

HAVANA, Cuba SERIKALI ya Marekani imetangaza vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Rais wa Cuba, Miguel Diaz-Canel, pamoja na familia yake. Taarifa ya vikwazo hivyo pia inaihusu...

Kocha mpya Liverpool mshahara wake bil. 35/-

MERSEYSIDE, Uingereza LIVERPOOL imemtangaza Andoni Iraola kuwa kocha wake mpya kwa ajili ya msimu ujao, akichukua nafasi iliyoachwa wazi na Arne Slot. Ripoti zinaeleza kuwa Iraola...

Temeke yaanzisha “ukanda wa kijani” Mandela, miti 500 yapandwa

Na wandishi wetu, Gazetini Mpango huo umetajwa kuwa sehemu ya mkakati wa Green Corridor Initiative unaolenga kuunganisha njia za kijani katika maeneo ya mijini ili...

Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: HAITI

LONDON, Uingereza MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada. Kuelekea michuano...

Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: BOSNIA

SARAYEVO, Bosnia MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada. Kuelekea michuano...

Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: QATAR

DOA, Qatar MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada. Kuelekea michuano...

Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: USWIS

ZURICH, Uswis MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada. Kuelekea michuano...

Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: MOROCCO

RABAT, Morocco MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada. Kuelekea michuano...

Kiongozi wa upinzani Guinea aendelea kushikiliwa

BISSAU, Guinea Bissau MAHAKAMA ya kijeshi ya Guinea Bissau imeagiza kiongozi wa siasa za upinzani nchini humo, Domingos Simoes Pereira, kuendelea kushikiliwa. Mwanasiasa huyo anayetumikia kifungo...

Rais mstaafu Colombia amjia juu Trump

BOGOTA, Colombia RAIS aliyemaliza muda wake nchini Colombia, Gustavo Petro, amemnyooshea kidole Donald Trump wa Marekani kwa hatua yake ya kumuunga mkono mgombea wa urais Abelardo...

Waandamanaji Libya wavamia, wafanya fujo ofisi za UN

TRIPOLI, Libya WANANCHI wa Libya walioingia barabarani kupinga taarifa za nchi yao kupokea wahamiaji kutoka Marekani wameingia na kufanya vurugu katika ofisi za Umoja wa...

Hezbollah yasema haiko tayari kusitisha vita

NABATIEH, Lebanon Pande mbili hizo zimeingia kwenye mapigano ya muda mrefu sasa, hasa tangu Hezbollah ilipoamua kuisaidia Iran ilipoanza kushambuliwa na Marekani na Israel mwanzoni...