Ads: info@gazetini.co.tz |
24.4 C
Dar es Salaam

Samatta na viatu vyake, Mwakinyo na glovu zake

Samatta na viatu vyake, Mwakinyo na glovu zake Na Hassan Mwasha, Gazetini SAFARI ya Mbwana Samatta na timu ya soka ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars'...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na mwandishi wetu, Gazetini Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, George Masaju, ameshauri Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuendelea kufanya ukaguzi wa mifumo ya usalama na afya katika maeneo ya kazi nchini yakiwemo...

Joto lasababisha vifo 1,000 nchini Hispania

MADRID, Hispania WATU zaidi ya 1,000 wamepoteza maisha kutokana na magonjwa yanayohusiana na kuongezeka kwa joto nchini Hispania. Taarifa hiyo inakuja wakati Hispania ikiwa imepata ongezeko kubwa zaidi la joto kuwahi kutokea kwa miaka ya hivi karibuni. Kwa mujibu...

Huyu ndiye tapeli hatari zaidi sekta ya Afya

LOS ANGELES, Marekani HIVI karibuni, Shirika la Ujasusi la Marekani (FBI) lilimtia mkononi mfanyabiashara maarufu, Ibrahim Khaldoon Hilmi, aliyekuwa akikimbia kukamatwa kwa miaka mingi. Khaldoom Hilmi aliyekamatwa akiwa Uturuki, anatajwa kujiingizia mabilioni ya fedha kwa njia za utapeli...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

DAKAR, Senegal MAPEMA wiki hii, Bunge la Senegal lilipitisha mabadiliko ya Katiba yaliyozua utata, yakimuondoshea madaraka makubwa aliyonayo Rais. Hatua hiyo iliibua mgogoro mkubwa, hata polisi kulazimika kutumia mabomunya machozi kurejesha hali ya utulivu nje ya ofisi za...

Urafiki uliogeuka uadui Trump, Waziri Mkuu wa Italia

WASHINGTON DC, Marekani UHUSIANO kati ya Rais wa Marekani, Donald Trump, na Waziri Mkuu wa Italia, Giorgia Meloni, umeendelea kuwa gumzo na hata kuibua mjadala wa aina yake kwenye duru za kisiasa ulimwenguni. Trump na Meloni walikuwa marafiki...

Israel, Marekani ‘zimechafua’ Uchaguzi Colombia?

BOGOTA, Colombia RAIS aliyeondoka madarakani nchini Colombia, Gustavo Petro, ameendelea kutokuyatambua matokeo yaliyompa ushindi Abelardo de la Espriella. De la Espriella (47), ameingia Ikulu akimpiku Ivan Cepeda katika Uchaguzi ulioanza Mei 31, 2026, na kurudiwa siku chache zilizopita...

Elimu

Wanafunzi 36 bado wanashikiliwa na watekaji

LAGOS, Nigeria WANAFUNZI 36, pamoja na mfanyakazi wa shule, bao hawajaachiwa na kikundi cha waasi, kwa mujibu wa Polisi nchini Nigeria. Mapema wiki hii, waasi hao wakiwa na silaha waliwateka wanafunzi na mwalimu wa Shule ya Sekondari ya...
Na Hassan Mwasha, Gazetini HIKI ni kipindi ambacho wazazi wako 'bize' na maandalizi ya shule kwa wanafunzi wanaokwenda kuianza safari ya elimu kwa masomo ya Kidato cha Tano nchini. Mwaka wa Masomo utaanza Julai, 2026. Ubize unatofautiana kati...

Mkenda: Hakuna mtoto atakayeachwa nyuma katika elimu

Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Serikali itaendelea kuhakikisha hakuna mtoto anayekosa haki ya kupata elimu, ikiwemo mabinti waliopata ujauzito, kama sehemu ya juhudi za kuimarisha usawa na ujumuishi...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Samatta na viatu vyake, Mwakinyo na glovu zake

Samatta na viatu vyake, Mwakinyo na glovu zake Na Hassan Mwasha, Gazetini SAFARI ya Mbwana Samatta na timu ya soka ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars'...

Sikia hii kuhusu Fury, Joshua

LONDON, Uingereza MWAKA huu haiushi. Huenda Tyson Fury na Muingereza mwenzake wa ngumi za uzito wa juu, Anthony Joshua, wakazichapa kama si Oktoba, basi Novemba,...

Huyu hapa daktari anayeua wagonjwa

BERLIN, Ujerumani MAHAKAMA nchini Ujerumani imemuhukumu kifo cha maisha gerezani daktari aliyebainika kuua wagonjwa wake 15, wakiwamo wanawake 12. Mwanaume huyo aliyefahamika kwa jina la Johannes...

Pogba afunguliwa mlango Monaco

MONACO, Ufaransa MTENDAJI Mkuu wa klabu ya soka ya Monaco, Thiago Scuro, amesema wako tayari kumruhusu kiungo Paul Pogba kuondoka klabuni hapo. Kwa mujibu wa Scuro,...

Yamal awaaga Ronaldo, Neymar

MIAMI, Marekani BAADA ya timu za soka za taifa za Ureno na Brazil, staa wa Hispania, Lamine Yamal, amewatumia ujumbe wa pole Cristiano Ronaldo na...

Mbeya City yabaki Ligi Kuu, kocha  afunguka changamoto waliyopitia

Na Mwandishi Wetu Klabu ya Mbeya City imefanikiwa kusalia Ligi kuu ya soka ya NBC Tanzania bara kufuatia ushindi wa jumla wa 2-0 dhidi ya...

Mkurugenzi Mkuu Halotel atembelea Sabasaba avutiwa na huduma

Na Imani Nathaniel, Gazetini Mkurugenzi Mkuu wa Halotel Tanzania, Bui Van Thang, ametembelea banda la kampuni hiyo katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa...

Trump atishia kuishambulia tena Iran leo usiku

WASHINGRON, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema Marekani inaweza kuanzisha mashambulizi mengine makubwa dhidi ya Iran, akidai kuwa operesheni za kijeshi zilizofanyika usiku uliopita...

Baadhi ya maneno Morogoro na Tanga kukosa umeme

Na mwandishi wetu, Gazetini SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limetangaza kukatika kwa huduma ya umeme katika baadhi ya maeneo ya mikoa ya Morogoro na Tanga...

Kane, Alvarez nani kuziba pengo la Lewandowski?

CATALUNYA, Barcelona BADO mabosi wa Barcelona wanaumiza vichwa kujua ni straika yupi sahihi kati ya Julian Alvarez wa Atletico Madrid na Harry Kane wa Bayern...

Mahrez saini yake dili Serie A

MILAN, Italia JINA la winga wa kimataifa wa Algeria, Riyad Mahrez, limeingia kwenye rada za mabosi wa klabu kubwa za Ligi Kuu ya Italia (Serie...

Maajabu ya uwanja huu wa Kombe la Dunia 2026

MEXICO CITY, Mexico UWANJA wa Azteca unaopatikana Kusini mwa Mji Mkuu wa Mexico, Mexico City. Ni moja ya viwanja vya soka vyenye historia ya aina...