Ads: info@gazetini.co.tz |
24.1 C
Dar es Salaam

Hii ndiyo sababu ya ingia, toka ya wanawake kwa Diamond?

Na mwandishi wetu, Gazetini HIVI karibuni, mwanamuziki nyota kutoka Wasafi Classic Baby (WCB), Zuchu, alifichua kuachana na supastaa wa Bongo Fleva na bosi wa Lebo...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na Ramadhan Hassan, Dodoma HOSPITALI ya Benjamin Mkapa (BMH), kwa kushirikiana na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), imeandika historia kwa kufanikisha kwa mara ya kwanza kambi maalumu ya upasuaji wa moyo kwa watoto kutoka Burundi, hatua...

Huyu hapa daktari anayeua wagonjwa

BERLIN, Ujerumani MAHAKAMA nchini Ujerumani imemuhukumu kifo cha maisha gerezani daktari aliyebainika kuua wagonjwa wake 15, wakiwamo wanawake 12. Mwanaume huyo aliyefahamika kwa jina la Johannes M. ana umri wa miaka 41 na ametajwa na Mahakama kufanya kosa...

Jaji Mkuu: Kazi tunazofanya hazipaswi kuhatarisha maisha

Na mwandishi wetu, Gazetini Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, George Masaju, ameshauri Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuendelea kufanya ukaguzi wa mifumo ya usalama na afya katika maeneo ya kazi nchini yakiwemo...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

Na mwandishi wetu, Gazetini JULAI 18 ya kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya kumbukizi ya mchango mkubwa alioutoa Nelson Mandela katika ulimwengu wa siasa, hasa kwa mapambano na ushindi wake dhidi ya ubaguzi wa rangi nchini...

Mnyukano unaoendelea kati ya Bunge, Rais Senegal

DAKAR, Senegal MAPEMA wiki hii, Bunge la Senegal lilipitisha mabadiliko ya Katiba yaliyozua utata, yakimuondoshea madaraka makubwa aliyonayo Rais. Hatua hiyo iliibua mgogoro mkubwa, hata polisi kulazimika kutumia mabomunya machozi kurejesha hali ya utulivu nje ya ofisi za...

Urafiki uliogeuka uadui Trump, Waziri Mkuu wa Italia

WASHINGTON DC, Marekani UHUSIANO kati ya Rais wa Marekani, Donald Trump, na Waziri Mkuu wa Italia, Giorgia Meloni, umeendelea kuwa gumzo na hata kuibua mjadala wa aina yake kwenye duru za kisiasa ulimwenguni. Trump na Meloni walikuwa marafiki...

Elimu

Gazetini, Iwpg waingia makubaliano ya kukuza elimu ya amani Tanzania

Na mwandishi wetu, Gazetini GAZETINI Communication, kupitia chombo chake cha habari cha Gazetini, imeingia makubaliano ya ushirikiano na International Women's Peace Group (IWPG) ya Korea Kusini yatakayolenga kuimarisha elimu ya amani, uwezeshaji wa wanawake na vijana, pamoja...
LAGOS, Nigeria WANAFUNZI 36, pamoja na mfanyakazi wa shule, bao hawajaachiwa na kikundi cha waasi, kwa mujibu wa Polisi nchini Nigeria. Mapema wiki hii, waasi hao wakiwa na silaha waliwateka wanafunzi na mwalimu wa Shule ya Sekondari ya...

Unamsaidiaje mtoto wako kuchagua tahasusi Kidato cha Tano?

Na Hassan Mwasha, Gazetini HIKI ni kipindi ambacho wazazi wako 'bize' na maandalizi ya shule kwa wanafunzi wanaokwenda kuianza safari ya elimu kwa masomo ya Kidato cha Tano nchini. Mwaka wa Masomo utaanza Julai, 2026. Ubize unatofautiana kati...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Hii ndiyo sababu ya ingia, toka ya wanawake kwa Diamond?

Na mwandishi wetu, Gazetini HIVI karibuni, mwanamuziki nyota kutoka Wasafi Classic Baby (WCB), Zuchu, alifichua kuachana na supastaa wa Bongo Fleva na bosi wa Lebo...

Joshua atapona kwa huyu mwamba?

LOS ANGELES, Marekani BONDIA wa ngumi za uzito wa juu ambaye pia ni mshindi wa medali ya dhahabu katika michuano ya Olimpiki, Anthony Joshua, atapanda...

Andrey Santos; Jembe jipya ndani ya Old Trafford

MANCHESTER, Uingereza USAJILI wake umekamilika baada ya Manchester United kuipa Chelsea kitita cha Pauni milioni 48. Ni kiungo wa Kibrazil, Andrey Santos. Man United imeachana na...

Hii ndiyo Siku ya Nelson Mandela

Na mwandishi wetu, Gazetini JULAI 18 ya kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya kumbukizi ya mchango mkubwa alioutoa Nelson Mandela katika ulimwengu wa siasa,...

Steve Barker kuendeleza alipoishia?

Na mwandishi wetu, Gazetini NDANI ya muda wake mfupi ndani ya soka la Tanzania, Steve Barker 'amesepa na kijiji', akithibitisha kuwa ni kocha wa daraja...

Yanga, Simba katikati ya Mamelodi inayosaka rekodi CAF

Na mwandishi wetu, Gazetini SHIRIKISHO la Soka barani Afrika (CAF) hivi karibuni lilianika kalenda ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa msimu ujao wa 2026-27, ukiwa...

Bangi yamzimisha mbwa, azinduka siku ya pili

LONDON, Uingereza TIMU ya waokoaji wa Mlima Ben Nevis imelazimika kumuokoa mbwa aliyepoteza fahamu baada ya kutumia kilevi aina ya bangi. Tukio hilo lilitokea wikiendi iliyopita,...

Japan silaha ya Urusi dhidi ya Ukraine?

NEW YORK, Marekani URUSI imekuwa ikiitegemea Japan katika teknolojia na udukuzi wakati huu wa vita vyake na Ukraine, kwa mujibu wa ripoti ya Gazeti la...

Majanga ya moto tishio maeneo ya starehe

BANGKOK, Thailand TUKIO la baa kuwaka moto na kuua watu 27, sambamba na kujeruhi wengine kadhaa, mjini Bangkok, Thailand, limeteka vichwa vya habari duniani. Wakati huo...

JAB yawatambua wanahabari wakongwe

Na mwandishi wetu, Gazetini Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeanzisha utaratibu wa kutoa ithibati ya uanachama wa maisha kwa waandishi wa habari...

Ufaransa v Hispania: Nusu fainali ya heshima Kombe la Dunia 2026

TEXAS, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Ufaransa itamenyana na Hispania katika mchezo wa nusu fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia. Mechi...

Isabel wa Haaland naye siyo kinyonge

LONDON, Uingereza NJE ya soka, Erling Haaland ni baba wa mtoto mmoja wa kiume aliyezaliwa Desemba, 2024. Pia, mwanasoka huyo ni mpenzi wa mrembo Isabel...