24.6 C
Dar es Salaam

‘Makomandoo’ wazitia hasara Simba na Yanga

Na Mwandishi Wetu,Gazetini KLABU za Simba na Yanga zimetozwa faini ta sh.5,000,000 kila moja kwa kosa la walinzi wake kugombana na kutoleana lugha za matusi...

Habari Kuu

Jamii

spot_img

Afya

Na mwandishi wetu, Gazetini KUKAMATWA kwa chupa 1,795 za dawa tiba zenye asili ya kulevya katika basi la abiria lililokuwa likitokea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kupitia mpaka wa Mutukula si tukio la kawaida. Ni ishara ya...

Usichokijua kuhusu saratani ya utumbo mpana

Na mwandishi wetu, Gazetini SARATANI ya utumbo mpana inatajwa kuwa ndiyo aina ya saratani inayoongoza kwa idadi kubwa ya vifo kwa watu wenye umri chini ya miaka 50 nchini Marekani. Mbaya zaidi, watatu kati ya wagonjwa wanne wa...

Simulizi ya wanandoa wanaoishi na UKIMWI

KIGALI, Rwanda ILIKUWA ni Januari, 2020, ambapo akiwa anatoka saluni katika mitaa ya mjini Kigali, Janvier Igabe alikutana na mwanadada Josiane Tuyishimire. Baada ya mazungumzo, walikubaliana kuanzisha uhusiano wa kimapenzi, ingawa Tuyishimire alimuweka wazi Igabe kuwa ni mwathirika...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

Na mwandishi wetu, Gazetini FEBRUARI 28, 2026 imeingia kwenye kumbukumbu baada ya kuwa ndiyo siku aliyouawa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei, ambaye aliuawa katika  mashanbulizi ya kijeshi ya Marekani na Israel yanayoendelea nchini humo. Kwa upande mwingine,...

Kwa nini Urusi haiingilii kati kuisaidia Iran dhidi ya Marekani, Israel?

TEHRAN, Iran SAA chache baada ya Iran kuanza kushambuliwa makombora ya Marekani na Israel, Serikali ya Urusi ilitoa tamko zito. Mwakilishi wa Urusi ndani ya Umoja wa Mataifa (UN), Vassily Nebenzia, alilaani mashambulizi hayo akiyaita kuwa ni ubabe...

Uingereza yatoa msimamo wake vita ya Iran

LONDON, Uingereza WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Sir Keir Starmer, amesema serikali yake itashirikiana kwa karibu na sekta zilizoathirika pamoja na washirika wa kimataifa ili kukabiliana na athari zozote zinazoweza kujitokeza kutokana na mvutano wa kisiasa unaoendelea duniani. Akizungumza...
spot_imgspot_img

Elimu

Mwangwi wa sheria| Mambo usiyoyajua kisheria kuhusu kesi za mauaji-1

Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale MAUAJI yanafafanuliwa kisheria, si kwa maoni ya jamii, na kifungu husika ni cha 196. 'Murder' hutokea pale mtu anaposababisha kifo cha mwingine kwa nia ovu (malice aforethought). Bila nia hiyo, kosa halisimami...
spot_img
JERUSALEM, Palestina MIAKA miwili iliyopita, Sarah Qanan alikuwa miongoni mwa wanafunzi waliokuwa wakifanya vizuri darasani. Ndoto ya kuwa daktari ilikuwa kichwani kwake na kumuongezea morali ya kusoma kwa bidii. Ikiwa imebaki miezi michache kufanya mtihani wake wa mwisho...

Maajabu ya kitabu cha ‘Istilahi za Uhalifu na Usalama’

Na Christopher Cyrillo FIKIRIA wewe ni mtumishi wa taasisi au mamlaka fulani ya kisiasa, na zaidi ya hapo wewe ni shushushu wa kuaminiwa na taasisi hiyo. Mke wako anaugua saratani au ugonjwa mwingine hatari na nchini kwako hakuna...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

‘Makomandoo’ wazitia hasara Simba na Yanga

Na Mwandishi Wetu,Gazetini KLABU za Simba na Yanga zimetozwa faini ta sh.5,000,000 kila moja kwa kosa la walinzi wake kugombana na kutoleana lugha za matusi...

Visual| Marais ving’ang’anizi wa madaraka duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini FEBRUARI 28, 2026 imeingia kwenye kumbukumbu baada ya kuwa ndiyo siku aliyouawa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei, ambaye aliuawa katika ...

Mwamuzi aliyekataa bao la Simba Zanzibar afungiwa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MWAMUZI Kassim Mpanga Mpanga wa Dar es Salaam, amefungiwa miezi sita  kosa la kukataa bao halali la Simba wakati wa mchezo...

Vunjabei, Sara kuisaka heshima ya Tanzania One ulingoni

Na Winfrida Mtoi MABONDIA wa ngumi za kulipwa, Halima Ramadhani maarufu Vunjabei na Sara Alex wanatarajia kupanda ulingoni Machi 21, 2026 kusaka heshima ya Tanzania...

Kwa nini Urusi haiingilii kati kuisaidia Iran dhidi ya Marekani, Israel?

TEHRAN, Iran SAA chache baada ya Iran kuanza kushambuliwa makombora ya Marekani na Israel, Serikali ya Urusi ilitoa tamko zito. Mwakilishi wa Urusi ndani ya Umoja...

Mwangwi wa sheria| Mambo usiyoyajua kisheria kuhusu kesi za mauaji-1

Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale MAUAJI yanafafanuliwa kisheria, si kwa maoni ya jamii, na kifungu husika ni cha 196. 'Murder' hutokea pale mtu anaposababisha kifo...

Mufti asisitiza upendo, kupuuza wanaoeneza chuki

Na mwandishi wetu, Gazetini MUFTI na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ally ametoa rai dhidi ya vitendo vya kueneza chuki za kidini...

Julian Ryerson: Beki, mkali wa ‘asisti’ anayewatoa udenda Man United

MANCHESTER, Uingereza RADA za maskauti wa Manchester United zimemnasa beki wa pembeni wa Borussia Dortmund, Julian Ryerson. Anatakiwa Old Trafford kwa ajili ya msimu ujao. Ryerson...

Arsenal kumbakiza beki wa mkopo

LONDON, Uingereza KLABU ya Arsenal imeanza harakati za kumsajili moja kwa moja beki wake wa mkopo, Piero Hincapie. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 24, amekuwa...

Klopp ataibukia wapi msimu ujao?

LONDON, Uingereza AMEKIRI mara kadhaa kuwa ipo siku atarejea kwenye kazi ya ukocha. Kwa sasa, Jurgen Klopp ni Mkuu wa Maendeleo ya Soka wa Kampuni...

Mabosi wa Liverpool kumpa mikoba Alonso

MERSEYSIDE, Uingereza KUNA uwezekano mkubwa huu ukawa msimu wa mwisho kwa kocha raia wa Uholanzi, Arne Slot, kuliongoza benchi la ufundi la Liverpool. Wamiliki wa klabu...

Lebo zilivyogeuka ‘jeneza’ la Bongo Fleva

Na mwandishi wetu, Gazetini MIAKA ya hivi karibuni imeshuhudia migogoro mingi ya wanamuziki wa Bongo Fleva na mabosi wa lebo zao. Mfano wa hivi karibuni ni...