Ads: info@gazetini.co.tz |
25.9 C
Dar es Salaam

Neymar mzigoni kuivaa Scotland

MEXICO CITY, Mexico KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Brazil, Carlo Ancelotti, amethibitisha kuwa mshambuliaji wake, Neymar, anaweza kuwa fiti kuivaa Scotland katika...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Abwao, amefariki dunia leo Juni 20, 2026 akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam. Kifo...

Mjamzito anusurika kuuawa na tembo

Na Malima Lubasha, Gazetini- Serengeti MWANAMKE mmoja mjamzito, Bhoke Mahumo (28), mkazi wa Kijiji cha Mbirikili, Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, amenusurika kufa baada ya kukutana uso kwa uso na tembo ambaye alimshika kwa mkonga na kumfukia...

Ebola kuzitikisa fainali za Kombe la Dunia 2026?

KINSHASA, DRC MLIPUKO wa ugonjwa wa Ebola umeendelea kuwa gumzo si tu DRC ulikoanzia, bali pia nchi jirani za Afrika, ikiwamo Uganda, na sasa unatishia fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu. Michuano hiyo itaanza Juni 11,...

Makala

Infographics

Siasa

TEHRAN, Iran MAMLAKA za Iran zimetangaza hatua yake ya kuufunga kwa mara nyingine Mlango-Bahari wa Hormuz, huku ikilaani mashambulizi ya Israel nchini Lebabon. Hatua hiyo ya Iran inakuja licha ya kutangaza kuufungua Mlango-Bahari huo baada ya makubaliano yake...

Miezi mitatu baada ya kifo, Khamenei kuzikwa Julai

TEHRAN, Iran MAMLAKA za Iran zimetangaza kuwa kiongozi wake Mkuu aliyeuawa Februari, 2026, Ali Khamenei, atazikwa mwezi ujao, Julai 9, mjini Mashhad. Awali, Ali Khamenei alitarajiwa kuzikwa Machi, 2026 lakini ilishindikana kutokana na vita vinavyoendelea kati ya Iran...

Netanyahu kurejea au kung’oka madarakani Oktoba?

JERUSALEM, Israel WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, atawania tena nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu ujao, Chama chake cha Likud kimeeleza. Kwamba mwanasiasa huyo mwenye umri wa miaka 76, ambaye ameiongoza Israel tangu mwaka 2009, atawania kiti hicho...

Elimu

Mkenda: Hakuna mtoto atakayeachwa nyuma katika elimu

Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Serikali itaendelea kuhakikisha hakuna mtoto anayekosa haki ya kupata elimu, ikiwemo mabinti waliopata ujauzito, kama sehemu ya juhudi za kuimarisha usawa na ujumuishi...
Na Hassan Mwasha, Gazetini UNAJIULIZA kwanini hujapigiwa simu ya kuitwa kazini licha ya kuhisi ulifanya vizuri Siku ya usahili (interview)? Tulia. Huenda tatizo si uwezo wako wa kufiti katika nafasi uliyoomba. Unaweza kuwa ni mtaalamu mzuri tu wa...

Uholanzi ilivyofanikiwa mfumo wa elimu, ajira kwa vijana

AMSTERDAM, Uholanzi KWA mujibu wa sheria za Uholanzi, ni lazima kwa watoto wenye umri kati ya miaka mitano hadi 16 kuwa shuleni. Pia, ni lazima kubaki shule au kwenye mafunzo ya ufundi hadi watakapotunukiwa vyeti au kutimiza...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Neymar mzigoni kuivaa Scotland

MEXICO CITY, Mexico KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Brazil, Carlo Ancelotti, amethibitisha kuwa mshambuliaji wake, Neymar, anaweza kuwa fiti kuivaa Scotland katika...

Marekani yajitoa mapambano dhidi ya Ukimwi Afrika Kusini

WASHINGTON DC, Marekani SERIKALI ya Marekani imetangaza kusitisha ufadhili wa programu zote za mapambano dhidi ya Ukimwi nchini Afrika Kusini. Afrika Kusini inaongoza duniani kwa kuwa...

Tunawataka! Simba yatangulia ikiisubiri Yanga fainali FA

Na mwandishi wetu, Gazetini SIMBA SC imekuwa ya kwanza kutanguliza mguu fainali ya Kombe la FA na sasa inasubiri mshindi kati ya Yanga na Azam...

Iran yafunga tena Hormuz, yaitaja Israel

TEHRAN, Iran MAMLAKA za Iran zimetangaza hatua yake ya kuufunga kwa mara nyingine Mlango-Bahari wa Hormuz, huku ikilaani mashambulizi ya Israel nchini Lebabon. Hatua hiyo ya...

Ronaldinho arudi uwanjani, asajiliwa Daraja la Tatu

MILAN, Italia IKIWA ni miaka 11 imepita tangu alipotangaza kustaafu, kiungo wa zamani wa Barcelona, Ronaldinho, amerejea dimbani. Ronaldinho (46), amesajiliwa na klabu ya Ravenna inayoshiriki...

Mke wa Waziri Mkuu azuiwa kusafiri nje ya nchi

MADRID, Hispania BEGONA Gomez ambaye ni mke wa Waziri Mkuu wa Hispania, Pedro Sanchez, amewekewa zuio la kusafiri nje ya nchi wakati huu akikabiliwa na...

Japan, Tunisia kufikisha mechi ya 1,000

MEXICO CITY, Mexico JAPAN na Tunisia zitavaana Jumapili ya Julai 21, 2026 katika mchezo wa Kundi F msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia. Upekee...

Prodyuza wa Grammy akutwa amefariki

LOS ANGELES, Marekani PRODYUZA aliyewahi kuwania tuzo za Grammy, Tay Keith, ameripotiwa kufariki akiwa na umri wa miaka 29. Tay mkazi wa Nashville alijijengea jina kubwa...

Kamanda wa polisi Mkoa wa Tabora afariki dunia

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Abwao, amefariki dunia leo Juni 20, 2026 akiwa...

Nyuma ya Cristiano Ronaldo kuna mrembo Katia Aveiro

CALIFORNIA, Marekani BAADA ya timu ya soka ya Taifa ya Ureno kulazimishwa sare ya bao 1-1 na DRC, lawama zote zilielekezwa kwa nahodha wa kikosi,...

Ibenge aficha silaha za kuibana Yanga

Na mwandishi wetu, Gazetini KOCHA wa Azam FC, Florent Ibenge, amegoma kuanika mbinu za kiufundi atakazozitumia katika mchezo wao dhidi ya Yanga. Timu hizo zitakutana kesho...

Kocha Yanga: Kwa Azam tunataka fainali tu

Na mwandishi wetu, Gazetini MKUU wa benchi la ufundi la Yanga, Abdihamid Moallin, amesema kufika fainali ya FA ni moja ya mipango yao, licha ya...