Ads: info@gazetini.co.tz |
26.1 C
Dar es Salaam

Saba wafariki baada ya ‘drone’ kugonga basi la abiria

KYIV, Ukraine WATU saba wameripotiwa kupoteza maisha na wengine 11 kujeruhiwa baada ya ndege isiyo na rubani (drone) kugonga basi la abiria nchini Ukraine. Kwa mujibu...

Habari Kuu

Jamii

Afya

KINSHASA, DRC WATAALAMU wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) wameonya kuwa wanawake ndilo kundi lililo hatarini zaidi kupata maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Ebola nchini DRC. Wakati huo huo, zipo taarifa kuwa visa viwili...

Virusi hivi vya Ebola vimeshindikana, havina chanzo wala tiba

Na mwandishi wetu, Gazetini MAAMBUKIZI ya virusi vya Ebola yameendelea kuripotiwa huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kama ilivyo kwa majirani zao, Uganda, huku wataalamu wa afya wakizitahadharisha nchi zingine za Afrika. Idadi ya vifo kwa upande...

Taasisi ya OSHA yapata Bodi mpya

Na mwandishi wetu, Gazetini Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu ameitaka Bodi Mpya ya Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuendeleza mafanikio yaliyofikiwa na Taasisi hiyo katika kutekeleza...

Makala

Infographics

Siasa

Na Hassan Mwasha,Gazetini KADA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mchungaji Peter Msigwa, amesema kuimarika kwa Chama hicho chini ya Mwenyekiti Tundu Lisu ndiyo sababu ya kurudi kwake kundini. Aidha, Mchungaji Msigwa ameeleza kuwa aliondoka CHADEMA baada...

Sintofahamu mauaji ya wanasiasa wa upinzani Msumbiji

MAPUTO, Msumbiji KWA siku za hivi karibuni, yamezuka matukio ya wanasiasa wa upinzani nchini Msumbiji kuuawa kwa kupigwa risasi. Mei 9, 2026, Anselmo Vicente, ambaye ni mratibu wa Chama cha National Alliance for a Free and Autonomous Mozambique...

Sura mpya siasa za Madagascar baada ya maandamano ya Gen-Z

Na mwandishi wetu, Gazetini MWISHONI mwa mwaka 2025, Madagascar ilitikiswa na maandamano makubwa ya vijana wa Gen-Z walioingia barabarani wakipinga hali mbaya ya kiuchumi, wakati huo wakishuhudia Serikali yao ikitawaliwa na vitendo vau rushwa. Mbali na mengine juu...

Elimu

Kilimo cha bangi, uvutaji na madhara yake

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA tafsiri ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya hapa nchini (DCEA), bangi ni aina ya dawa ya kulevya inayotokana na mmea unaoitwa 'Cannabis sativa', ambapo majani na maua yake...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Mwanza Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais-TAMISEMI imezindua rasmi programu ya mafunzo ya uongozi kwa viongozi wa elimu katika shule za sekondari nchini. Programu hiyo inayotekelezwa na...

Moto shule ya wasichana wasababisha vifo 16

GILGIL, Kenya MOTO ambao chanzo chake hakijafahamika umeripotiwa kusababisha vifo vya watu 16, wengi wao wakiwa ni wanafunzi, katika shule ya bweni ya Sekondari ya Wasichana ya Utumishi mjini Gilgil. Kwa mujibu wa Shirika la Habari la AFP,...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Saba wafariki baada ya ‘drone’ kugonga basi la abiria

KYIV, Ukraine WATU saba wameripotiwa kupoteza maisha na wengine 11 kujeruhiwa baada ya ndege isiyo na rubani (drone) kugonga basi la abiria nchini Ukraine. Kwa mujibu...

Kilimo cha bangi, uvutaji na madhara yake

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA tafsiri ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya hapa nchini (DCEA), bangi ni aina ya dawa ya...

Usiyoyajua kuhusu mrithi wa Okello anayewindwa Msimbazi

Na mwandishi wetu, Gazetini KIUNGO wa Vipers SC ya Uganda, Abdu Karim Watambala, ameingia kwenye rada za klabu ya Simba, inayompigia hesabu za kumsajili kwa...

Serengeti Boys yapoteza fainali, yasubiri Kombe la Dunia

RABAT, Morocco LICHA ya kufungwa na Senegal, bado timu ya soka ya vijana wa U-17 ya Tanzania 'Serengeti Boys' ina tiketi ya kushiriki fainali za...

Israel kuiteka Ngome ya Beaufort kuna maana gani kwa Hezbollah?

BEIRUT, Lebanon HIVI karibuni, vikosi vya jeshi la Israel viliitaja kuwa ni mafanikio makubwa hatua ya kuiteka Ngome ya Beaufort iliyoko Lebanon. Kwamba ni hatua kubwa...

Petroli yashuka Dar, dizeli yapanda

Na mwandishi wetu, Gazetini HATIMAYE bei ya mafuta ya petroli imeshuka wa Shilingi 29 kwa Dar es Salaam, ambapo sasa lita moja itauzwa kwa Shilingi...

Gilberto Mora: Kinda wa kihistoria Kombe la Dunia 2026

LONDON, Uingereza KUELEKEA fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu zitakazoanza Juni 11, 2026, macho yote ni kwa kiungo wa timu ya Taifa ya...

Msigwa: Sikufuata cheo CCM, Lisu amenirudisha CHADEMA

Na Hassan Mwasha,Gazetini KADA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mchungaji Peter Msigwa, amesema kuimarika kwa Chama hicho chini ya Mwenyekiti Tundu Lisu ndiyo...

Sintofahamu mauaji ya wanasiasa wa upinzani Msumbiji

MAPUTO, Msumbiji KWA siku za hivi karibuni, yamezuka matukio ya wanasiasa wa upinzani nchini Msumbiji kuuawa kwa kupigwa risasi. Mei 9, 2026, Anselmo Vicente, ambaye ni...

Kibabage aipa mzuka Serengeti Boys kuelekea fainali ya AFCON

Na Winfrida Mtoi, Gazetini BEKI wa timu ya Taifa (Taifa Stars), Nickson Kibabage  amesema kitendo cha vijana wa timu ya Serengeti Boys kufika  fainali ya...

‘Nilitumia dawa za kulevya kuongeza nguvu za kiume, nikaishia pabaya’

Na Hassan Mwasha MAISHA ya Juma Mgota, mkazi wa Mtaa wa Muhalitan, Tandale jijini Dar es Salaam, yanaweza kuwa sehemu ndogo tu ya madhila wanayopitia...

Wanawake hatarini zaidi Ebola, maambukizi yafika Brazil

KINSHASA, DRC WATAALAMU wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) wameonya kuwa wanawake ndilo kundi lililo hatarini zaidi kupata maambukizi ya virusi vya...