Ads: info@gazetini.co.tz |
22.2 C
Dar es Salaam

Msigwa atoa onyo kutumia vibaya vitambulisho vya NIDA

Na Esther Mnyika, Gazetini MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amewaonya wananchi dhidi ya kukabidhi vitambulisho au namba zao za Taifa kwa watu wengine kwa...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na mwandishi wetu, Gazetini Mkuu wa Wilaya ya Chato, mkoani Geita, Louis Bura, amesema kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi katika Mkoa wa Geita imepelekea uhitaji wa huduma za usalama na afya mahali pa kazi kuongezeka ambapo...

Kamati ya Bunge yaishauri Serikali kuiongeza wataalam OSHA

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeishauri Serikali kuiongezea wataalam Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ili Taasisi hiyo iweze kuimarisha afya, usalama na ustawi...

Tume yabainisha matamanio ya Serikali kulinda afya na usalama wa watumishi wa umma

Na mwandishi wetu, Gazetini TUME ya Utumishi wa Umma imesema serikali ina nia ya dhati ya kuhakikisha watumishi wa umma wanakuwa salama na wenye afya njema na hivyo kutekeleza wajibu wao wa kuwahudumia wananchi ipasavyo. Kauli hiyo imeelezwa...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

Na mwandishi wetu, Gazetini UHASAMA mkubwa wa jamii ya Wahutu na Watutsi ulishuhudiwa tena mwaka 1990. Ni baada ya kundi la Rwandan Patriotic Front (RPF) kutoka Uganda kuivamia Rwanda. Ni kundi la waasi likiongozwa na Watutsi. Inaelezwa kuwa...

Usiyoyajua kuhusu mauaji ya halaiki ya Rwanda 1994 (2)

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMA tulivyoanza katika sehemu iliyopita, mauaji ya halaiki yaliyotokea Rwanda mwaka 1994 yaliwahusisha Wahutu na Watutsi, ambayo ndiyo makabila makubwa zaidi nchini humo. Kabila la tatu kwa ukubwa ni Twa lakini linachangia asilimia moja...

Usiyoyajua kuhusu mauaji ya halaiki ya Rwanda 1994 (1)

Na mwandishi wetu, Gazetini SIKU chache zilizopita, Mahakama mjini The Hague, Uholanzi, ilimuhukumu kifungo cha maisha mwanaume aliyetambulika kwa jina la Eugene N baada ya kukutwa na hatia ya kushiriki mauaji ya halaiki dhidi ya Watutsi katika...

Elimu

Msigwa atoa onyo kutumia vibaya vitambulisho vya NIDA

Na Esther Mnyika, Gazetini MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amewaonya wananchi dhidi ya kukabidhi vitambulisho au namba zao za Taifa kwa watu wengine kwa ajili ya kusajili laini za simu, akisema matumizi hayo yanaweza kuwaweka wamiliki...
Na Esther Mnyika, Gazetini BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imewataka wasanii, waandaaji wa burudani, watayarishaji wa maudhui na wadau wengine wenye ushawishi kwa jamii kutumia majukwaa yao kuwa mabalozi wa elimu ya fedha, ikiwemo kuhamasisha utunzaji sahihi...

Afrika na kigezo cha ‘digrii’ kuwania urais

Na mwandishi wetu, Gazetini KENYA imetangaza kuondosha kigezo cha kuwa na Shahada ya chuo kikuu kama kigezo cha mgombea wa kiti cha urais. Hii ni pamoja pia na wagombea wa Ugavana na Ubunge kuanzia Uchaguzi Mkuu ujao...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Msigwa atoa onyo kutumia vibaya vitambulisho vya NIDA

Na Esther Mnyika, Gazetini MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amewaonya wananchi dhidi ya kukabidhi vitambulisho au namba zao za Taifa kwa watu wengine kwa...

Usiyoyajua kuhusu mauaji ya halaiki ya Rwanda 1994 (3)

Na mwandishi wetu, Gazetini UHASAMA mkubwa wa jamii ya Wahutu na Watutsi ulishuhudiwa tena mwaka 1990. Ni baada ya kundi la Rwandan Patriotic Front (RPF)...

Usiyoyajua kuhusu mauaji ya halaiki ya Rwanda 1994 (2)

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMA tulivyoanza katika sehemu iliyopita, mauaji ya halaiki yaliyotokea Rwanda mwaka 1994 yaliwahusisha Wahutu na Watutsi, ambayo ndiyo makabila makubwa zaidi...

Usiyoyajua kuhusu mauaji ya halaiki ya Rwanda 1994 (1)

Na mwandishi wetu, Gazetini SIKU chache zilizopita, Mahakama mjini The Hague, Uholanzi, ilimuhukumu kifungo cha maisha mwanaume aliyetambulika kwa jina la Eugene N baada ya...

EU yapiga marufuku nyama kutoka Brazil

RIO, Brazil UMOJA wa Ulaya (EU) umeweka katazo kwa nchi zake kuingiza nyama kutoka Brazil, ikieleza kuwa hatua hiyo inatokana na sababu za kiafya. Kwa mujibu...

Mahakama: Keffe D ndiye aliyemuua Tupac

LOS ANGELES, Marekani MAHAKAMA nchini Marekani imemkuta na hatia kiongozi wa zamani wa genge la uhalifu, Duane Davis 'Keffe D', katika kesi ya mauaji ya...

Benzema avunjiwa mkataba Saudi Arabia

RIYADH, Ureno KLABU ya Al Hilal imethibitisha kuachana rasmi na straika wake raia wa Ufaransa, Karim Benzema, ikieleza kuwa ni makubaliano ya pande mbili. Benzema aliyewahi...

De Paul: Tunamshukuru, tutamkumbuka Messi

MIAMI, Marekani BAADA ya Lionel Messi kutangaza kustaafu kuitumikia timu ya Taifa ya Argentina, beki wa kikosi hicho, Rodrigo De Paul, ameibuka na ujumbe wa...

Henry: Sijaona wa kuizuia Arsenal

LONDON, Uingereza MKONGWE wa Arsenal, Thierry Henry, anaiona timu hiyo ikienda kubeba tena taji la Ligi Kuu ya England msimu huu wa 2026-27. Henry raia wa...

Trump: Tunakwenda ‘kuipelekea moto’ zaidi Iran

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema wanajeshi wake watafanya mashambulizi makali dhidi ya Iran baada ya kile walichokifanya wenzao hao. Hivi karibuni, Iran...

Mosimane kupewa mikoba Bafana Bafana

CAPE TOWN, Afrika Kusini MWANDISHI wa habari maarufu wa Afrika Kusini, Robert Marawa, amefichua kuwa kocha mkongwe, Pitso Mosimane, ndiye atakayeinoa timu ya soka ya...

Arteta afika ‘levo’ za Ferguson, Wenger

LONDON, Uingereza KOCHA Mikel Arteta ameingia kwenye orodha ya makocha wachache waliowahi kufikisha mechi 250 za Ligi Kuu ya England wakiwa na klabu moja. Orodha hiyo...