Ads: info@gazetini.co.tz |
23.3 C
Dar es Salaam

Ajali ya pikipiki yaua staa wa muziki

DUBLIN, Ireland SUPASTAA wa muziki nchini Ireland, Glen Hansard, amepoteza Maisha katika ajali ya pikipiki mjini Dublin. Hansard (56), ambaye ni mshindi wa tuzo za Oscar,...

Habari Kuu

Jamii

Afya

KINSHASA, DRC WATU zaidi ya 1,000 wameshapoteza maisha ndani ya miezi miwili ya ugonjwa wa Ebola nchini DRC, idadi kubwa zaidi, ikilinganishwa na mlipuko wa mwaka 2014 na 2016. Katika ripoti ya Wizara ya Afya ya DRC, visa...

Tanzania yaidhinisha ombi la Sh trilioni 1.5 kupambana na UKIMWI…

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMATI ya Kitaifa ya Kuratibu na Kusimamia Fedha za Mfuko wa Dunia nchini Tanzania (TNCM) imeidhinisha rasmi ombi la Tanzania la ufadhili wa Mzunguko wa Nane wa Mfuko wa Dunia (Global Fund Grant...

Dc Temeke avitaka vyombo vya dola kuchunguza showroom za magari

Na mwandishi wetu, Gazetini MKUU wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda, amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama kufanya uchunguzi katika showroom za magari wilayani humo ili kubaini kama baadhi yake zinatumika kutakatisha fedha zinazotokana na biashara haramu...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

Na mwandishi wetu, Gazetini MSEMO wa 'vita ni akili' umedhihirishwa na namna mataifa mengi, hasa makubwa kiuchumi, yanavyotumia akili-unde (Artificial Intelligence - AI) kuwadhibiti wapinzani wake. Tofauti na kutegemea silaha nzito kama ilivyokuwa miaka mingi iliyopita, sasa vikosi...

Keiko Fujimori: Binti wa dikteta aliyekwepa njia za baba yake

LIMA, Peru KEIKO Fujimori ndiye Rais mpya wa Peru na anakuwa mwanamke wa kwanza katika historia ya nchi hiyo ya Kusini mwa Amerika kushika wadhifa huo. Si jina geni. Keiko ni binti mkubwa wa Rais wa zamani wa...

Familia inayomlilia mwanasiasa wa upinzani anayesota gerezani

TUNIS, Tunisia BADO hakuna taarifa rasmi za mamlaka juu ya anakotibiwa mwanasiasa maarufu wa upinzani nchini Tunisia, Rached Ghannouchi. Wapo wanaosema yuko hospitali ya umma na wengine wanadai alipelekwa hospitali ya jeshi. Serikali haijathibitisha wala kukanusha taarifa yoyote...

Elimu

Binti aliyefaulu Kidato cha Tano aokolewa kabla ya kuozeshwa Shinyanga

Na Mwandishi Wetu, Shinyanga JUHUDI za Serikali za kupambana na ndoa za utotoni zimezaa matunda mkoani Shinyanga baada ya operesheni maalumu kumuokoa binti aliyekuwa amefaulu kujiunga na Kidato cha Tano, lakini akawa ameozeshwa kabla ya kuanza masomo. Operesheni...
LAGOS, Nigeria MAHAKAMA nchini Nigeria imewahukumu kifungo cha maisha jela wanaume watatu baada ya kupatikana na hatia ya makosa yanayohusiana na utekaji wa makumi ya wanafunzi na walimu katika Jimbo la Oyo, kusini-magharibi mwa nchi. Watuhumiwa hao walikiri...

Wananchi wengi wanaisikia Dira 2050, lakini…

Na mwandishi wetu, Gazetini Licha ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kuendelea kujadiliwa katika ngazi mbalimbali, bado wananchi wengi hawajaielewa kwa kina, jambo linaloonyesha umuhimu wa kuendelea kutoa elimu kwa umma. Mchumi kutoka Tume ya Taifa ya...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Ajali ya pikipiki yaua staa wa muziki

DUBLIN, Ireland SUPASTAA wa muziki nchini Ireland, Glen Hansard, amepoteza Maisha katika ajali ya pikipiki mjini Dublin. Hansard (56), ambaye ni mshindi wa tuzo za Oscar,...

Kesi kifo cha Tupac bado ya moto

LOS ANGELES, Marekani MAHAKAMA mjini Nevada, Marekani, imetaka mahojiano ya mtuhumiwa wa mauaji ya rapa Tupac Shakur, Duane Davis 'Keffe D' yawasilishwe kama ushahidi wakati...

Klabu 5 zinazomsubiri Ferran Torres

LONDON, Uingereza KATIKA fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zilizomalizika hivi karibuni, Ferran Torres ndiye aliyefunga bao pekee lililoipa ubingwa timu ya...

Vita vinavyozitajirisha kampuni za AI

Na mwandishi wetu, Gazetini MSEMO wa 'vita ni akili' umedhihirishwa na namna mataifa mengi, hasa makubwa kiuchumi, yanavyotumia akili-unde (Artificial Intelligence - AI) kuwadhibiti wapinzani...

Italia ya ‘mababu’ Mancini, Ranieri itavuna nini?

MILAN, Italia ROBERTO Mancini ameajiriwa na kuikuta timu ya soka ya Taifa ya Italia ikiwa kwenye hali mbaya. Haijafuzu Kombe la Dunia kwa misimu yote...

Umeipata hii? J-Lo ndani ya penzi jipya

LOS ANGELES, Marekani BIBIYE mwenye jina na mafanikio makubwa kwenye soko la muziki nchini Marekani, Jennifer Lopez 'J-Lo', amenasa kwa mshikaji anayefahamika kwa jina la...

Keyshia Cole, Skrilla mambo kwa ushahidi!

LOS ANGELES, Marekani PICHA zinazowaonesha mastaa wa muziki Keyshia Cole na Skrilla zimeibua tetesi kuwa huenda wawili hao sasa ni wapenzi. Katika moja ya picha alizoposti...

Keiko Fujimori: Binti wa dikteta aliyekwepa njia za baba yake

LIMA, Peru KEIKO Fujimori ndiye Rais mpya wa Peru na anakuwa mwanamke wa kwanza katika historia ya nchi hiyo ya Kusini mwa Amerika kushika wadhifa...

Amorim: Sikuwa peke yangu kuifelisha United

MANCHESTER, Uingereza KOCHA wa zamani wa Manchester United, Ruben Amorim, amedai kuwa hapaswi kulaumiwa kwa kufeli kwake klabuni hapo. Kwa mujibu wake, lawama zinapaswa kuelekezwa kwa...

Binti aliyefaulu Kidato cha Tano aokolewa kabla ya kuozeshwa Shinyanga

Na Mwandishi Wetu, Shinyanga JUHUDI za Serikali za kupambana na ndoa za utotoni zimezaa matunda mkoani Shinyanga baada ya operesheni maalumu kumuokoa binti aliyekuwa amefaulu...

Peter Shalulile amekuja na viatu vyake vya mabao?

Na Hassan Mwasha KATIKATI ya ushindani wa Kaizer Chiefs, Orlando Pirates, Scottland FC na Pyramids, Yanga imeweza kumnyakua straika aliyeondoka Mamelodi Sundowns, Peter Shalulile. Yanga wameishitua...

Familia inayomlilia mwanasiasa wa upinzani anayesota gerezani

TUNIS, Tunisia BADO hakuna taarifa rasmi za mamlaka juu ya anakotibiwa mwanasiasa maarufu wa upinzani nchini Tunisia, Rached Ghannouchi. Wapo wanaosema yuko hospitali ya umma na...