Ads: info@gazetini.co.tz |
23.3 C
Dar es Salaam

Rais wa Senegal azindua chama chake

DAKAR, Senegal RAIS wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, amezindua chama kipya cha kisiasa kiitwacho Kiiray (Chama cha Wazalendo wa Jamhuri), hatua inayotajwa kuimarisha mgawanyiko...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMATI ya Kitaifa ya Kuratibu na Kusimamia Fedha za Mfuko wa Dunia nchini Tanzania (TNCM) imeidhinisha rasmi ombi la Tanzania la ufadhili wa Mzunguko wa Nane wa Mfuko wa Dunia (Global Fund Grant...

Dc Temeke avitaka vyombo vya dola kuchunguza showroom za magari

Na mwandishi wetu, Gazetini MKUU wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda, amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama kufanya uchunguzi katika showroom za magari wilayani humo ili kubaini kama baadhi yake zinatumika kutakatisha fedha zinazotokana na biashara haramu...

Dawa za kulevya ‘zamaliza’ vijana Ujerumani

MUNICH, Ujerumani IDADI ya vifo vya vijana vitokanavyo na utumizi wa dawa za kulevya imeripotiwa kuongezeka kwa kipindi kifupi cha mwaka mmoja nchini Ujerumani. Kwa mwaka 2025, vijana waliopoteza maisha kwa magonjwa yatokanayo na dawa za kulevya walifikia...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

DAKAR, Senegal RAIS wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, amezindua chama kipya cha kisiasa kiitwacho Kiiray (Chama cha Wazalendo wa Jamhuri), hatua inayotajwa kuimarisha mgawanyiko wa kisiasa kati yake na mshirika wake wa zamani, Ousmane Sonko. Uzinduzi huo...

Waisrael washutumiwa kuchoma misikiti ya Wapalestina

JERUSALEM, Palestina RAIA wa Israel wanaoishi West Bank wameripotiwa kuchomo moto misikiti, magari na mashamba ya Wapalestina katika eneo hilo. Madai hayo yanakuja zikiwa ni siku mbili tangu yalipozuka mapigano makali kati ya raia hao wa Israel na...

Karim Khan: Kuigusa Israel kumemfukuzisha kazi ICC?

Na mwandishi wetu, Gazetini HATIMAYE Karim Khan ameondoshwa katika kiti cha Mwendesha Mashitaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC). Kashfa ya unyanyasaji wa kingono ndiyo iliyomng'oa kwenye kiti hicho. Kwamba Khan alimnyanyasa kingono, ikiwamo kumshika bila...

Elimu

Watekaji wa wanafunzi Nigeria wafungwa maisha

LAGOS, Nigeria MAHAKAMA nchini Nigeria imewahukumu kifungo cha maisha jela wanaume watatu baada ya kupatikana na hatia ya makosa yanayohusiana na utekaji wa makumi ya wanafunzi na walimu katika Jimbo la Oyo, kusini-magharibi mwa nchi. Watuhumiwa hao walikiri...
Na mwandishi wetu, Gazetini Licha ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kuendelea kujadiliwa katika ngazi mbalimbali, bado wananchi wengi hawajaielewa kwa kina, jambo linaloonyesha umuhimu wa kuendelea kutoa elimu kwa umma. Mchumi kutoka Tume ya Taifa ya...

BoT inavyolinda mfumo wa fedha dhidi ya utakatishaji

Na Esther Mnyika, Gazetini MFUMO wa fedha ulio salama na unaoaminika ni nguzo muhimu ya ukuaji wa uchumi na kuvutia uwekezaji. Hata hivyo, mafanikio hayo yanaweza kuhatarishwa ikiwa taasisi za kifedha zitatumiwa kutakatisha fedha haramu au kufadhili...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Rais wa Senegal azindua chama chake

DAKAR, Senegal RAIS wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, amezindua chama kipya cha kisiasa kiitwacho Kiiray (Chama cha Wazalendo wa Jamhuri), hatua inayotajwa kuimarisha mgawanyiko...

Brazil yawapiga ‘stop’ viongozi wa Marekani

RIO, Brazil SERIKALI ya Brazil imewanyima vibali vya kuingia nchini humo viongozi wawili waandamizi wa Serikali ya Rais Donald Trump. Viongozi hao waliomba viza ya kuingia...

Meli ya mizigo yazama, watu 23 hawajulikani walipo

BEIJING, China MELI ya mizigo ya Vietnam imeripotiwa kuzama jirani na Mwamba wa Yongshu katika Bahari ya South China. Vyombo vya habari vya China vimeripotiwa taarifa...

Waisrael washutumiwa kuchoma misikiti ya Wapalestina

JERUSALEM, Palestina RAIA wa Israel wanaoishi West Bank wameripotiwa kuchomo moto misikiti, magari na mashamba ya Wapalestina katika eneo hilo. Madai hayo yanakuja zikiwa ni siku...

IWPG: Tusikubali vita kuwa jambo la kawaida

Na mwandishi wetu, Gazetini VIONGOZI wa wanawake kutoka Afrika, Ulaya na maeneo mengine duniani wametoa wito wa kuimarishwa kwa juhudi za kujenga amani duniani, wakisisitiza...

Hao ni wachambuzi au ‘wachafuzi’ wa Bongo Fleva?

Na Hassan Mwasha, Gazetini KICHEFUCHEFU! Ndicho unachoweza kuhisi pindi tu unapoingia kwenye mitandao ya kijamii na kukutana na hao wanaojiita 'wachambuzi' wa muziki wa kizazi...

Karim Khan: Kuigusa Israel kumemfukuzisha kazi ICC?

Na mwandishi wetu, Gazetini HATIMAYE Karim Khan ameondoshwa katika kiti cha Mwendesha Mashitaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC). Kashfa ya unyanyasaji wa...

Maeneo wanayokimbilia wahamiaji nchini Marekani

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA mwaka 2025, idadi ya wahamiaji nchini Marekani ilipungua kutoka milioni 2.7 hadi milioni 1.3, idadi ndogo zaidi katika historia ya...

Rais Trump na maswali yanayokosa majibu kuhusu Iran

TEHRAN, Iran VITA vinaendelea. Si Marekani wala Iran, kila upande umekiuka makubaliano ya kusitisha vita yaliyoingiwa na pande mbili hizo wiki chache zilizopita. Wakati vita vinaanza...

Unaitumiaje wikiendi yako?

Na mwandishi wetu, Gazetini UTAFITI wa Shirika la Takwimu za Kazi la Marekani umefichua namna watu nchini humo wanavyozitumia siku zao mbili za mapumziko ya...

Netanyahu kukamatwa Marekani, kupelekwa ICC?

WASHINGTON DC, Marekani WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, atakuwa Ikulu ya Marekani Jumanne ya wiki ijayo alikoalikwa na mwenyeji wake, Rais Donald Trump. Netanyahu amealikwa...

Joshua amtwanga mtu kwa ‘KO’

RIYADH, Saudi Arabia BONDIA wa ngumi za uzito wa juu, Anthony Joshua, amempiga kwa KO ya raundi ya pili Kristian Prenga, pambano lililopigwa mjini Jeddah,...