Ads: info@gazetini.co.tz |
21.2 C
Dar es Salaam

City yampa Enzo jezi ya De Bruyne

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester City imethibitisha jezi namba 17 kuwa itavaliwa na nyota wao mpya kutoka Chelsea, Enzo Fernandes. Jezi namba 17 katika klabu ya...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na mwandishi wetu, Gazetini Mkuu wa Wilaya ya Chato, mkoani Geita, Louis Bura, amesema kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi katika Mkoa wa Geita imepelekea uhitaji wa huduma za usalama na afya mahali pa kazi kuongezeka ambapo...

Kamati ya Bunge yaishauri Serikali kuiongeza wataalam OSHA

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeishauri Serikali kuiongezea wataalam Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ili Taasisi hiyo iweze kuimarisha afya, usalama na ustawi...

Tume yabainisha matamanio ya Serikali kulinda afya na usalama wa watumishi wa umma

Na mwandishi wetu, Gazetini TUME ya Utumishi wa Umma imesema serikali ina nia ya dhati ya kuhakikisha watumishi wa umma wanakuwa salama na wenye afya njema na hivyo kutekeleza wajibu wao wa kuwahudumia wananchi ipasavyo. Kauli hiyo imeelezwa...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

JERUSALEM, Palestina WATU zaidi ya 900, wakiwamo watoto 301, wameuawa katika Ukanda wa Gaza na idadi hiyo ni kwa mwaka 2026 pekee. Takwimu hizo zimetolewa na Wizara ya Afya ya inayoongozwa na Serikali ya Kundi la Hamaz. Kwa ujumla,...

Usiyoyajua kuhusu mauaji ya halaiki ya Rwanda 1994 (4)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya tatu ya makala haya, tuliona kilichotokea Aprili 8, 1994, ambapo Spika wa Bunge, Theodore Sindikubwabo, alitangazwa kuwa Rais wa Mpito, kabla ya kuapishwa siku iliyofuata. Endelea … Miezi michache iliyofuata, vikundi...

Nani kumaliza vita vya Putin, Ukraine?

MOSCOW, Urusi WAZIRI Mkuu wa India, Narendra Modi, amemshauri mshirika wake mkubwa, Vladimir Putin, kumaliza vita vinavyoendelea kati ya nchi yake ya Urusi na majirani zao wa Ulaya Mashariki, Ukraine. "Kila siku inayotumika vitani hurudisha nyuma ubinadamu na...

Elimu

Msigwa atoa onyo kutumia vibaya vitambulisho vya NIDA

Na Esther Mnyika, Gazetini MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amewaonya wananchi dhidi ya kukabidhi vitambulisho au namba zao za Taifa kwa watu wengine kwa ajili ya kusajili laini za simu, akisema matumizi hayo yanaweza kuwaweka wamiliki...
Na Esther Mnyika, Gazetini BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imewataka wasanii, waandaaji wa burudani, watayarishaji wa maudhui na wadau wengine wenye ushawishi kwa jamii kutumia majukwaa yao kuwa mabalozi wa elimu ya fedha, ikiwemo kuhamasisha utunzaji sahihi...

Afrika na kigezo cha ‘digrii’ kuwania urais

Na mwandishi wetu, Gazetini KENYA imetangaza kuondosha kigezo cha kuwa na Shahada ya chuo kikuu kama kigezo cha mgombea wa kiti cha urais. Hii ni pamoja pia na wagombea wa Ugavana na Ubunge kuanzia Uchaguzi Mkuu ujao...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

City yampa Enzo jezi ya De Bruyne

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester City imethibitisha jezi namba 17 kuwa itavaliwa na nyota wao mpya kutoka Chelsea, Enzo Fernandes. Jezi namba 17 katika klabu ya...

Ferdinand ataja usajili bora England

LONDON, Uingereza NAHODHA wa zamani wa Manchester United, Rio Ferdinand, amesema usajili bora wa kipindi hiki cha kiangazi ni ule wa winga mpya wa Arsenal,...

Waliouawa Gaza wafikia 900, watoto 301

JERUSALEM, Palestina WATU zaidi ya 900, wakiwamo watoto 301, wameuawa katika Ukanda wa Gaza na idadi hiyo ni kwa mwaka 2026 pekee. Takwimu hizo zimetolewa na...

Straika aondoka United, atua Uholanzi

MANCHESTER, Uingereza STRAIKA Chido Obi ameondoka rasmi katika klabu ya Manchester United na kujiunga na Willem II ya Uholanzi kwa mkataba wa mkopo wa msimu...

Tiger Woods apigwa marufuku kuendesha gari

LOS ANGELES, Marekani STAA wa mchezo wa gofu nchini Marekani, Tiger Woods, amefungiwa miaka mitano kuendesha gari baada ya ajali aliyopata Machi, 2026. Adhabu hiyo imekuja...

Usiyoyajua kuhusu mauaji ya halaiki ya Rwanda 1994 (4)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya tatu ya makala haya, tuliona kilichotokea Aprili 8, 1994, ambapo Spika wa Bunge, Theodore Sindikubwabo, alitangazwa kuwa Rais...

Nani kumaliza vita vya Putin, Ukraine?

MOSCOW, Urusi WAZIRI Mkuu wa India, Narendra Modi, amemshauri mshirika wake mkubwa, Vladimir Putin, kumaliza vita vinavyoendelea kati ya nchi yake ya Urusi na majirani...

Baada ya Tupac, sasa ni msako wa aliyemuua B.I.G.?

LOS ANGELES, Marekani UTATA uliodumu wa miaka 30 umepatiwa ufumbuzi hivi karibuni baada ya Duane Davis, maarufu kwa jina la Keffe D, kukutwa na hatia...

Vijana Afrika wanavyotumika vita vya Urusi, Ukraine

YOUNDE, Cameroon CAMEROON inatajwa kuwa moja ya nchi zinazotoa vijana wengi walioko vitani kulisaidia jeshi la Urusi dhidi ya Ukraine. Mbaya zaidi, vijana hao hawaendi...

Nini hatima ya Novak Djokovic?

NEW YORK, Marekani STAA huyo wa tenesi raia wa Serbia anapitia wakati mgumu. Ametoka kutolewa katika raundi ya kwanza ya msimu huu wa michuano ya...

Messi hana deni Argentina, akapumzike tu!

BUENOS AIRES, Argentina ‘NIMETOA kila kitu, sina nilichobakiza.’ Ni kauli ya Lionel Messi wakati alipotangaza hivi karibuni, kwamba amestaafu kuitumikia timu ya soka ya Taifa...

Lionel Richie; Mtoto wa mwanajeshi aliyeacha uchungaji kisa muziki

LOS ANGELES, Marekani LEJENDARI wa muziki wa Soul na R&B nchini Marekani, Lionel Richie, alikimbizwa hospitali wikiendi iliyopita, kisha kuwekwa ‘ICU’ mjini St. Louis. Richie (77),...