Ads: info@gazetini.co.tz |
21.2 C
Dar es Salaam

Apandikiziwa figo ya nguruwe, yamsogeza siku 271

LOS ANGELES, Marekani FIGO ya nguruwe iliyopandikizwa kwa mgonjwa imemsaidia kuishi siku 271, kwa mujibu wa madaktari nchini Marekani. Kwa mujibu wa mgonjwa huyo aliyefahamika kwa...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na mwandishi wetu, Gazetini KULALA kwa saa moja au mbili za ziada katika siku za mapumziko ya wiki (wikiendi) kunapunguza hatari ya kupata shinikizo la damu, utafiti umebaini. Katika hatua nyingine, wataalamu wameenda mbali zaidi wakishauri kuwa ni...

DC Chato: Huduma za OSHA ni muhimu kwa ukuaji wa uchumi

Na mwandishi wetu, Gazetini Mkuu wa Wilaya ya Chato, mkoani Geita, Louis Bura, amesema kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi katika Mkoa wa Geita imepelekea uhitaji wa huduma za usalama na afya mahali pa kazi kuongezeka ambapo...

Kamati ya Bunge yaishauri Serikali kuiongeza wataalam OSHA

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeishauri Serikali kuiongezea wataalam Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ili Taasisi hiyo iweze kuimarisha afya, usalama na ustawi...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

LOS ANGELES, Marekani TANGU Bill Clinton alipomaliza majukumu yake ya urais wa Marekani mwaka 2001, amekuwa akiishi Chappaqua, New York, makazi yaliyozungukwa na miti, na kama haitoshi, ni mbali na kamera na macho ya umma ili kupata...

Uchaguzi kuinasua Libya iliyopasuka vipande viwili?

TRIPOLI, Libya BAADA ya mvutano wa muda mrefu kati ya kati ya serikali mbili, walau wananchi wa Libya wameanza kuona mwanga wa kurejea kwa amani baada ya pande hizo kukubaliana kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu. Kwa msaada wa Umoja...

Wapiga kura milioni 15 kuamua hatima ya wagombea 700

RABAT, Morocco KUELEKEA Uchaguzi wa Wabunge wa Septemba 23, 2026, wanasiasa nchini Morocco wataanza mikutano ya kampeni ifikapo Septemba 10. Wagombea zaidi ya 700 kutoka vyama vya siasa 27 wamechukua fomu, kwa mujibu wa kile kilichoelezwa na Wizara...

Elimu

Msigwa atoa onyo kutumia vibaya vitambulisho vya NIDA

Na Esther Mnyika, Gazetini MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amewaonya wananchi dhidi ya kukabidhi vitambulisho au namba zao za Taifa kwa watu wengine kwa ajili ya kusajili laini za simu, akisema matumizi hayo yanaweza kuwaweka wamiliki...
Na Esther Mnyika, Gazetini BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imewataka wasanii, waandaaji wa burudani, watayarishaji wa maudhui na wadau wengine wenye ushawishi kwa jamii kutumia majukwaa yao kuwa mabalozi wa elimu ya fedha, ikiwemo kuhamasisha utunzaji sahihi...

Afrika na kigezo cha ‘digrii’ kuwania urais

Na mwandishi wetu, Gazetini KENYA imetangaza kuondosha kigezo cha kuwa na Shahada ya chuo kikuu kama kigezo cha mgombea wa kiti cha urais. Hii ni pamoja pia na wagombea wa Ugavana na Ubunge kuanzia Uchaguzi Mkuu ujao...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Apandikiziwa figo ya nguruwe, yamsogeza siku 271

LOS ANGELES, Marekani FIGO ya nguruwe iliyopandikizwa kwa mgonjwa imemsaidia kuishi siku 271, kwa mujibu wa madaktari nchini Marekani. Kwa mujibu wa mgonjwa huyo aliyefahamika kwa...

Sura 8 tofauti vita ya Yanga, Wabotswana

Na mwandishi wetu, Gazetini YANGA watashuka dimbani katika ardhi ya ugenini mjini Gaborone, Botswana, kesho Septemba 5, 2026, kwa mchezo wa hatua ya awali ya...

Bill Clinton na nyumba zake za bei mbaya Marekani

LOS ANGELES, Marekani TANGU Bill Clinton alipomaliza majukumu yake ya urais wa Marekani mwaka 2001, amekuwa akiishi Chappaqua, New York, makazi yaliyozungukwa na miti, na...

Enzo; Kutoka kununua mitumba hadi mchezaji ghali

MANCHESTER, Uingereza GUMZO kubwa wakati wa usajili wa dirisha kubwa barani Ulaya uliofungwa Septemba 1, 2026, ni uhamisho wa kiungo Enzo Fernandez kwenda Manchester City...

Tanesco kutumia bilioni 63.19 kujenga njia ya umeme Mpomvu–GGM

Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI kupitia Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) imeanza utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa...

Klabu zilizovunja rekodi usajili wa kiangazi 2026

LONDON, Uingereza MANCHESTER City imevunja rekodi yake ya usajili majira haya ya kiangazi kwa kumchukua kiungo Enzo Fernandez kwa ada ya Pauni milioni 125. Nyota...

Mke wa Beckham ‘alivyotusua’ tasnia ya urembo

LOS ANGELES, Marekani HIVI karibuni, mke wa David Beckham, Victoria, alitangaza faida ya Pauni milioni 7.3 kupitia kampuni yake ya mitindo na urembo, ambapo mauzo...

Wizi wa nyeti ulisababisha vifo 80, aliyenusurika afunguka

Na mwandishi wetu, Gazetini WATU zaidi ya 80 walipoteza maisha kati ya Oktoba, 2025, hadi Julai, 2026, chanzo kikiwa ni uvumi wa taarifa za upotoshaji...

Usisahau kuhusu dili hizi za usajili EPL

LONDON, Uingereza UMESHAWAHI kusikia msemo maarufu katika soka usemao ‘usajili ni kamari?’ Si kila mchezaji anayesajiliwa, iwe hata kwa pesa nyingi, ataweza kung’ara katika klabu...

Uchaguzi kuinasua Libya iliyopasuka vipande viwili?

TRIPOLI, Libya BAADA ya mvutano wa muda mrefu kati ya kati ya serikali mbili, walau wananchi wa Libya wameanza kuona mwanga wa kurejea kwa amani...

Wapiga kura milioni 15 kuamua hatima ya wagombea 700

RABAT, Morocco KUELEKEA Uchaguzi wa Wabunge wa Septemba 23, 2026, wanasiasa nchini Morocco wataanza mikutano ya kampeni ifikapo Septemba 10. Wagombea zaidi ya 700 kutoka vyama...

Uhaba wa mafuta wazua balaa Iran

TEHRAN, Iran SIKU chache tu baada ya Marekani kutangaza vikwazo vipya kwa Iran, uhaba wa mafuta umeripotiwa kuyakabili maeneo mengi ndani ya nchi hiyo ya...