Ads: info@gazetini.co.tz |
23.5 C
Dar es Salaam

Aliyefariki mikononi mwa polisi aibua maandamano

MILAN, Italia MAELFU ya raia wa Italia wameingia barabarani kulaani taarifa za kifo cha mwenzao aliyefariki akiwa anashikiliwa na polisi huko Kaskazini mwa Mji wa...

Habari Kuu

Jamii

Afya

KINSHASA, DRC KUNDI la waasi la M23 linajivunia idadi ndogo ya maambukizi ya Ebola katika maeneo yake, likidai kuwa hilo linathibitisha uwezo wake mkubwa wa kuongoza. M23 wanashikilia maeneo mengi ya Kaskazini na Kusini mwa majimbo ya Kivu,...

Kakurwa: OSHA ni taasisi muhimu katika kuchochea maendeleo ya Taifa

Na mwandishi wetu, Gazetini OFISI ya Msajili wa Hazina imesema Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ni miongoni mwa Taasisi muhimu kwa maendeleo ya Tanzania kutokana na jukumu lake la msingi la kusimamia masuala...

Mtanzania anyakua tuzo ya uandishi bora wa filamu ya malaria Marekani

Na mwandishi wetu, Gazetini MTANZANIA, Gloria Majule, ameendelea kuiwakilisha vyema Tanzania katika jukwaa la kimataifa la sanaa baada ya kuibuka mshindi wa tuzo ya uandishi bora wa filamu inayohusu ugonjwa wa malaria nchini Marekani. Gloria, ambaye ni mwanafunzi...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

MILAN, Italia MAELFU ya raia wa Italia wameingia barabarani kulaani taarifa za kifo cha mwenzao aliyefariki akiwa anashikiliwa na polisi huko Kaskazini mwa Mji wa Bologna. Maadamano hayo ni ya kushinikiza uchunguzi wa haki juu ya kifo cha...

Trump kuibiwa kura: Madai yake yana ukweli kiasi gani?

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA hotuba yake ya Julai 17, 2026, Rais Donald Trump aliishutumu China kwa kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Marekani wa mwaka 2020. Trump anaamini China ilichezea mfumo wa upigaji kura, hivyo kusababisha abwagwe na Joe...

Maswali yanayomsubiri Waziri Mkuu mpya wa Uingereza 

LONDON, Uingereza  ATAANZA majukumu yake kama Waziri Mkuu kesho Julai 20, 2026. Andy Burnham aliyekuwa Meya wa Manchester, Jiji lililoko Kaskazini mwa England.  Amekuwa Meya wa Manchester kwa miaka tisa na sasa anahamia Downing Street akiwa Waziri Mkuu...

Elimu

Wananchi wengi wanaisikia Dira 2050, lakini…

Na mwandishi wetu, Gazetini Licha ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kuendelea kujadiliwa katika ngazi mbalimbali, bado wananchi wengi hawajaielewa kwa kina, jambo linaloonyesha umuhimu wa kuendelea kutoa elimu kwa umma. Mchumi kutoka Tume ya Taifa ya...
Na Esther Mnyika, Gazetini MFUMO wa fedha ulio salama na unaoaminika ni nguzo muhimu ya ukuaji wa uchumi na kuvutia uwekezaji. Hata hivyo, mafanikio hayo yanaweza kuhatarishwa ikiwa taasisi za kifedha zitatumiwa kutakatisha fedha haramu au kufadhili...

Ajali ya basi yaua wanafunzi 20, mmiliki wa shule 

KAMPALA, Uganda AJALI ya basi la shule imesababisha vifo vya wanafunzi 20, pamoja na mtu mzima mmoja, katika eneo la Kapchorwa, Mashariki mwa Uganda. Taarifa ya polisi imeeleza kuwa basi hilo lilibeba wanafunzi wa Shule ya King David, ikisadiki kuwa...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Aliyefariki mikononi mwa polisi aibua maandamano

MILAN, Italia MAELFU ya raia wa Italia wameingia barabarani kulaani taarifa za kifo cha mwenzao aliyefariki akiwa anashikiliwa na polisi huko Kaskazini mwa Mji wa...

Zidane rasmi kocha mpya Ufaransa

PARIS, Ufaransa KOCHA wa zamani wa Real Madrid, Zinedine Zidane, amesaini mkataba wa kuliongoza benchi la ufundi la timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa. Zidane...

Dembele atabiriwa kuibeba Ballon d’Or

MUNICH, Ujerumani MKONGWE wa soka la Ujerumani, Lothar Matthaus, amemtabiria staa wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Ousmane Dembele, kutwaa tuzo ya mwaka...

Barca yanasa winga Ubelgiji

CATALUNYA, Hispania KLABU ya Barcelona imekamilisha usajili wa winga kutoka Club Brugge ya Ligi Kuu nchini Ubelgiji, Jesse Bisiwu. Aliyefichua kukamilika kwa dili hilo ni mwandishi...

Trump kuibiwa kura: Madai yake yana ukweli kiasi gani?

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA hotuba yake ya Julai 17, 2026, Rais Donald Trump aliishutumu China kwa kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Marekani wa mwaka 2020. Trump...

‘Mitandao ya kijamii siyo daktari, chukua tahadhari’

Na mwandishi wetu, Gazetini UTAFITI uliochapishwa katika Jarida la JAMA unaoonesha kuwa mmoja kati ya watu watano nchini Marekani wanafanya maamuzi ya kinga na tiba...

Hispania ilivyojenga utawala wake soka la Ulaya

LONDON, Uingereza MIAKA 16 tangu ilipotwaa Kombe la Dunia, timu ya soka ya Taifa ya Hispania imerudisha ufalme wake baada ya kuwa mabingwa wa msimu...

Kwanini Chelsea imemsajili Morgan Rogers?

LONDON, Uingereza MAPEMA wiki hii, klabu ya Chelsea ilitumia kitita cha Pauni milioni 117 kuinasa saini ya mshambuliaji wa kimataifa England kutoka Aston Villa, Morgan...

Kwanini vijana China wanakimbilia vijijini?

BEIJING, China KATIKA nchi nyingi duniani, maeneo ya mijini yameonekana kuwa ndiyo fursa ya kukimbilia, hasa kwa vijana wenye ndoto za kuishi maisha mazuri. Kwa Beijing,...

Mjadala mzito timu 64 kushiriki Kombe la Dunia

NYON, Uswis MOJA ya alama za uongozi wa Gianni Infantino katika miaka yake 10 ndani ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) ni kuongeza timu...

Mambo 10 usiyoyajua kuhusu Kevin Keegan

LONDON, Uingereza HIVI karibuni, tasnia ya soka duniani ilishitushwa na kifo cha lejendari wa klabu za Liverpool na Newcastle United, Kevin Keegan. Amefariki akiwa na...

Mbappe mfungaji bora, aweka rekodi

MIAMI, Marekani STRAIKA wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Kyian Mbappe, ndiye aliyeibua na tuzo ya Mfungaji Bora wa msimu huu wa fainali...