Ads: info@gazetini.co.tz |
28.3 C
Dar es Salaam

Simba kuzima moto, rekodi ya Mighty Wanderers?

Na mwandishi wetu, Gazetini SIMBA iko ugenini mjini Blantyre, Malawi, ambako kesho Septemba 6, 2026, itaumana na Mighty Wanderers katika mchezo wa hatua ya awali...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na mwandishi wetu, Gazetini KULALA kwa saa moja au mbili za ziada katika siku za mapumziko ya wiki (wikiendi) kunapunguza hatari ya kupata shinikizo la damu, utafiti umebaini. Katika hatua nyingine, wataalamu wameenda mbali zaidi wakishauri kuwa ni...

DC Chato: Huduma za OSHA ni muhimu kwa ukuaji wa uchumi

Na mwandishi wetu, Gazetini Mkuu wa Wilaya ya Chato, mkoani Geita, Louis Bura, amesema kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi katika Mkoa wa Geita imepelekea uhitaji wa huduma za usalama na afya mahali pa kazi kuongezeka ambapo...

Kamati ya Bunge yaishauri Serikali kuiongeza wataalam OSHA

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeishauri Serikali kuiongezea wataalam Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ili Taasisi hiyo iweze kuimarisha afya, usalama na ustawi...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

WASHINGTON DC, Marekani VIGOGO wawili wa serikali ya Marekani, Steve Witkoff na Jared Kushner, wamezitembelea Urusi na Ukraine wikiendi hii. Ripoti zinaeleza kuwa ziara hiyo imelenga kuleta upatanishi kati ya nchi mbili hizo zilizo kwenye vita kwa miaka...

Mlipuko kambi ya jeshi waua wawili

LA PAZ, Bolivia WATU wawili wamepoteza maisha katika mlipuko uliotokea katika kambi ya jeshi nchini Bolivia, ingawa mamlaka zinadai kuwa huenda idadi ya vifo ni kubwa zaidi. Aliyethibitisha kutokea kwa mlipuko huo ni Waziri wa Ulinzi wa Bolivia,...

Mahakama yaagiza mwandishi kukamatwa

TUNIS, Tunisia MAHAKAMA nchini Tunisia imetoa agizo la kukamatwa na kushikiliwa kwa mwandishi wa habari maarufu, Mohamed Yousfi, jana Septemba 4, 2026. Aidha, mahakama ilieleza kuwa Yousfi anakabiliwa na mashitaka mbalimbali, yakiwamo ya utakatishaji wa fedha. Katika kutii agizo,...

Elimu

Msigwa atoa onyo kutumia vibaya vitambulisho vya NIDA

Na Esther Mnyika, Gazetini MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amewaonya wananchi dhidi ya kukabidhi vitambulisho au namba zao za Taifa kwa watu wengine kwa ajili ya kusajili laini za simu, akisema matumizi hayo yanaweza kuwaweka wamiliki...
Na Esther Mnyika, Gazetini BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imewataka wasanii, waandaaji wa burudani, watayarishaji wa maudhui na wadau wengine wenye ushawishi kwa jamii kutumia majukwaa yao kuwa mabalozi wa elimu ya fedha, ikiwemo kuhamasisha utunzaji sahihi...

Afrika na kigezo cha ‘digrii’ kuwania urais

Na mwandishi wetu, Gazetini KENYA imetangaza kuondosha kigezo cha kuwa na Shahada ya chuo kikuu kama kigezo cha mgombea wa kiti cha urais. Hii ni pamoja pia na wagombea wa Ugavana na Ubunge kuanzia Uchaguzi Mkuu ujao...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Simba kuzima moto, rekodi ya Mighty Wanderers?

Na mwandishi wetu, Gazetini SIMBA iko ugenini mjini Blantyre, Malawi, ambako kesho Septemba 6, 2026, itaumana na Mighty Wanderers katika mchezo wa hatua ya awali...

Watoto wa wanasoka wanaofuata nyayo za wazee zao

LONDON, Uingereza MAJI hufuata mkondo! Ni msemo maarufu na uliojidhirisha wazi katika ulimwengu wa soka kwa baadhi ya wanasoka waliostaafu kurithisha vipaji kwa watoto wao. Kwa...

Unamlindaje mtoto wako dhidi unyanyasaji mitandaoni?

Na mwandishi wetu, Gazetini SHIRIKA la Watoto la Umoja wa Mataifa limefanya utafiti wake na kubaini ongezeko kubwa la vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia...

City yahamishia silaha kwa ‘mido’ Atletico

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester City imeripotiwa kuanza mapema mikakati ya kuinasa saini ya mshambuliaji wa Atletico Madrid, Alex Baena. Kwa mujibu wa ripoti, usajili wa...

Bissouma bado kidogo tu atue Chelsea

LONDON, Uingereza CHELSEA ilikuwa na nafasi ya kumsajili Yves Bissouma baada ya kiungo wake, Enzo Fernandez, kutimkia kwa washindano wao wa Ligi Kuu ya England,...

Vigogo wa Marekani waingia Urusi, Ukraine

WASHINGTON DC, Marekani VIGOGO wawili wa serikali ya Marekani, Steve Witkoff na Jared Kushner, wamezitembelea Urusi na Ukraine wikiendi hii. Ripoti zinaeleza kuwa ziara hiyo imelenga...

Mlipuko kambi ya jeshi waua wawili

LA PAZ, Bolivia WATU wawili wamepoteza maisha katika mlipuko uliotokea katika kambi ya jeshi nchini Bolivia, ingawa mamlaka zinadai kuwa huenda idadi ya vifo ni...

Mahakama yaagiza mwandishi kukamatwa

TUNIS, Tunisia MAHAKAMA nchini Tunisia imetoa agizo la kukamatwa na kushikiliwa kwa mwandishi wa habari maarufu, Mohamed Yousfi, jana Septemba 4, 2026. Aidha, mahakama ilieleza kuwa...

Andy Ruiz arejea kwa kichapo ulingoni

LOS ANGELES, Marekani ALIYEWAHI kuwa bingwa wa dunia kwa ngumi za uzito wa juu, Andy Ruiz Jr, amepoteza pambano lake la kwanza tangu alipopona majeraha. Andy...

Pellegrini aibuka kumjibu Mourinho

MADRID, Hispania KOCHA wa Real Betis, Manuel Pellegrini, hajafurahishwa na kauli ya Jose Mourinho baada ya mchezo wa La Liga wa jana Septemba 4, 2026. Baada...

Yamal hatihati kuivaa Valencia

CATALUNYA, Hispania MSHAMBULIAJI wa Barcelona, Lamine Yamal, amekosekana katika mazoezi ya mwisho ya timu hiyo kuelekea mchezo wao dhidi ya Valencia. Timu hizo zitakwaana kesho Septemba...

Aliyeondoka Bayern kutua AS Roma

ROMA, Italia ZIPO taarifa zinazodai kuwa klabu ya AS Roma iko mbioni kumchukua beki aliyeachana na Bayern Munich, Raphael Guerreiro. Kwa mujibu wa ripoti, kocha wa...