Ads: info@gazetini.co.tz |
24.2 C
Dar es Salaam

Yanga yaipigisha kwata JKT, yaitandika ‘4G’

Na mwandishi wetu, Gazetini USHINDI wa tatu mfululizo. Yanga imeibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa leo Agosti 24,...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeishauri Serikali kuiongezea wataalam Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ili Taasisi hiyo iweze kuimarisha afya, usalama na ustawi...

Tume yabainisha matamanio ya Serikali kulinda afya na usalama wa watumishi wa umma

Na mwandishi wetu, Gazetini TUME ya Utumishi wa Umma imesema serikali ina nia ya dhati ya kuhakikisha watumishi wa umma wanakuwa salama na wenye afya njema na hivyo kutekeleza wajibu wao wa kuwahudumia wananchi ipasavyo. Kauli hiyo imeelezwa...

Wachimbaji Namungo waomba mafunzo ya OSHA

Na mwandishi wetu, Gazetini WACHIMBAJI wadogo wa Mgodi wa Namungo wameiomba Serikali kupitia Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuwapatia mafunzo ya usalama na afya mahali pa kazi mara kwa mara ili waweze kutekeleza...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu iliyopita, tuliona Israel, Uingereza na hata India zikisitisha mahusiano ya kidiplomasia na Uganda ya Idi Amin, huku Libya, Umoja wa Kisoviet na Marekani zikibaki kuiunga mkono Serikali yake. Unajiuliza kwanini Umoja wa...

Idi Amin; Utata wa ‘birthday’, usaliti, na udikteta wake (6)

Na mwandishi wetu, Gazetini TULIISHIA wapi? Katika sehemu ya tano ya makala haya, tuliishia tukio la Juni 25, 1976, ambapo Baraza la Ulinzi la Uganda lilimtangaza Idi Amin kuwa Rais wa milele. Katika sehemu ya leo, tunaangazia mahusiano...

Ukweli uliojificha kuhusu uwezo wa kijeshi wa Iran

TEHRAN, Iran JESHI la Mapinduzi ya Kiislam la Iran (IRGC) limejipanga kujibu mapigo kwa Marekani iliyotangaza 'kiama cha uchumi' kwa nchi hiyo ya Mashariki ya Kati. Marekani imeweka wazi kuwa inataka kuangusha uchumi wa Iran kwa kuziwekea vikwazo,...

Elimu

UNESCO: Watoto wa kike wanazuiwa kwenda sekondari Afghanistan

NEW YORK, Marekani  SHIRIKA la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limeeleza katika ripoti yake kuwa wasichana takribani milioni 2.4 nchini Afghanistan wamenyimwa haki ya kupata elimu ya sekondari. Kwa mujibu wa UNESCO, kizingiti hicho kwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini CHUO Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeendelea kuthibitisha nafasi yake kama kitovu cha utafiti, ubunifu na teknolojia nchini baada ya kuwasilisha bunifu mbalimbali zinazolenga kutatua changamoto za jamii katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea jijini...

WMA yawafundisha watoto vipimo, Naibu waziri apongeza

na mwandishi wetu, Gazetini NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Chande, amefurahishwa na uelewa mkubwa ulioonyeshwa na wanafunzi waliopata elimu ya vipimo katika banda la Wakala wa Vipimo - (WMA), kwenye Maonesho ya 33 ya Wakulima...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Yanga yaipigisha kwata JKT, yaitandika ‘4G’

Na mwandishi wetu, Gazetini USHINDI wa tatu mfululizo. Yanga imeibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa leo Agosti 24,...

Relie M atamba na ‘Gospel Hip hop’ East Africa

Douala, Cameroon MMREMBO anayekuja kwa kasi kwenye muziki wa Injili nchini Cameroon, Relie M, amewakosha wapenzi wa muziki huo baada ya kuachia wimbo mpya wenye...

Bibi wa miaka 101 akamatwa kwa kuuza bangi

LAGOS, Nigeria KIKONGWE mwenye umri wa miaka 101, bi. Esther Ogunmabo, anashikiliwa na polisini nchini Nigeria kwa kosa la kuuza dawa za kulevya aina ya...

Idi Amin; Utata wa ‘birthday’, usaliti, na udikteta wake (7)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu iliyopita, tuliona Israel, Uingereza na hata India zikisitisha mahusiano ya kidiplomasia na Uganda ya Idi Amin, huku Libya, Umoja...

Idi Amin; Utata wa ‘birthday’, usaliti, na udikteta wake (6)

Na mwandishi wetu, Gazetini TULIISHIA wapi? Katika sehemu ya tano ya makala haya, tuliishia tukio la Juni 25, 1976, ambapo Baraza la Ulinzi la Uganda...

Umeme kufika vitongoji vyote nchini mwaka 2030

Na mwandishi wetu, Gazetini USAMBAZAJi wa umeme unaotekelezwa na Wakala wa Nishati nchini (REA) umeendelea kubadilisha maisha ya wananchi, wakiwamo wa vitongojini. Mpango uliopo ni kuhakikisha...

Umeme kutoka Chalinze hadi Dodoma sasa asilimia 99

Na mwandishi wetu, Gazetini SASA wananchi wa Dodoma watapata umeme unaozalishwa katika Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) kupitia njia ya usafirishaji wa nishati hiyo kutoka...

Ukweli uliojificha kuhusu uwezo wa kijeshi wa Iran

TEHRAN, Iran JESHI la Mapinduzi ya Kiislam la Iran (IRGC) limejipanga kujibu mapigo kwa Marekani iliyotangaza 'kiama cha uchumi' kwa nchi hiyo ya Mashariki ya...

Jaji Lila: Tume yetu imepewa jukumu la kubaini wahusika wa ghasia

MWENYEKITI wa Tume ya Uchunguzi wa Wahusika wa Ghasia na Ukiukwaji wa Sheria Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, Jaji Mstaafu...

Maxi Nzengeli ndiye ‘x-factor’ Yanga

Na Hassan Mwasha, Gazetini KWA miaka mitatu mfululizo tangu aliposajiliwa mwaka 2023, amekuwa kwenye kiwango kile kile kutoka mechi moja hadi nyingine. Na inapotokea siku...

Salah kazi imeanza, atupia mawili Uturuki

ISTANBUL, Uturuki MSHAMBULIAJI wa zamani wa Liverpool, Mohamed Salah, amefunga mabao mawili katika mechi yake ya kwanza aliyoingia 'first eleven' akiwa na timu yake mpya...

ANC imepoteza ushawishi siasa za Afrika Kusini?

Na mwandishi wetu, Gazetini VURUGU na chuki dhidi ya wageni zina uhusiano wa moja kwa moja na maisha magumu walionao wananchi wa Afrika Kusini katika...