Ads: info@gazetini.co.tz |
30.3 C
Dar es Salaam

PSSSF yawaandaa waandishi wa habari kuijenga jamii

Na mwandishi wetu, Gazetini MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umeendesha mafunzo maalum kwa waandishi wa habari kuhusu masuala ya hifadhi...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na mwandishi wetu, Gazetini TUME ya Utumishi wa Umma imesema serikali ina nia ya dhati ya kuhakikisha watumishi wa umma wanakuwa salama na wenye afya njema na hivyo kutekeleza wajibu wao wa kuwahudumia wananchi ipasavyo. Kauli hiyo imeelezwa...

Wachimbaji Namungo waomba mafunzo ya OSHA

Na mwandishi wetu, Gazetini WACHIMBAJI wadogo wa Mgodi wa Namungo wameiomba Serikali kupitia Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuwapatia mafunzo ya usalama na afya mahali pa kazi mara kwa mara ili waweze kutekeleza...

Wakazi wa Nyambili walalamikia ukosefu wa zahanati

Na Malima Lubasha, Gazetini WAKAZI wa Kijiji cha Nyambili, Kata ya Sirori Simba, Wilaya ya Butiama mkoani Mara, wameiomba Serikali kujenga zahanati ya kijiji hicho na kuboresha huduma za afya katika Zahanati ya Rwasereta ili kupunguza adha...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

WASHINGTON DC, Marekani VIGOGO wote 57 walioteuliwa na Rais Donald Trump katika awamu yake ya pili madarakani ni matajiri wa kutupwa. Kila mmoja ana utajiri usiopungua Dola milioni 100, kwa mujibu wa Taasisi ya Public Citizen. Wanasiasa hao...

Waziri Mkuu wa Uingereza: Tutaendelea kuiunga mkono Ukraine

LONDON, Uingereza WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Andy Burnham, amesema Serikali yake inaiunga mkono Ukraine kwa asilimia 100 na itaendelea kufanya hivyo. Kauli yake hiyo inakuja baada ya taarifa zinazodai kuwa Ukraine ilitumia ndege zisizo na rubani zilizotengenezwa Uingereza...

Rais Trump atishia kuilipua Oman

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameionya Oman akisema hatosita kutuma jeshi lake kuishambulia kwa mabomu endapo itaendelea kujihisha na mgogoro wa Iran. Wakati huo huo, Rais Trump amedai kuwa yapo mazungumzo mazuri yanayoendelea kati ya...

Elimu

UNESCO: Watoto wa kike wanazuiwa kwenda sekondari Afghanistan

NEW YORK, Marekani  SHIRIKA la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limeeleza katika ripoti yake kuwa wasichana takribani milioni 2.4 nchini Afghanistan wamenyimwa haki ya kupata elimu ya sekondari. Kwa mujibu wa UNESCO, kizingiti hicho kwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini CHUO Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeendelea kuthibitisha nafasi yake kama kitovu cha utafiti, ubunifu na teknolojia nchini baada ya kuwasilisha bunifu mbalimbali zinazolenga kutatua changamoto za jamii katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea jijini...

WMA yawafundisha watoto vipimo, Naibu waziri apongeza

na mwandishi wetu, Gazetini NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Chande, amefurahishwa na uelewa mkubwa ulioonyeshwa na wanafunzi waliopata elimu ya vipimo katika banda la Wakala wa Vipimo - (WMA), kwenye Maonesho ya 33 ya Wakulima...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

PSSSF yawaandaa waandishi wa habari kuijenga jamii

Na mwandishi wetu, Gazetini MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umeendesha mafunzo maalum kwa waandishi wa habari kuhusu masuala ya hifadhi...

Wadau watakiwa kuwawezesha wanawake wajasiriamali Serengeti

Na Malima Lubasha, Gazetini WADAU mbalimbali wa maendeleo pamoja na taasisi wilayani Serengeti, mkoani Mara, wametakiwa kuwawezesha wanawake wajasiriamali wanaofanya biashara katika Soko Kuu la...

DATA CHECK: Tangazo la “Uajiri TANAPA 2026” ni la uongo

Na mwandishi wetu, Gazetini DAI: Tangazo linalosambaa mitandaoni likiwaalika wananchi kuomba ajira TANAPA mwaka 2026 kupitia kiunganishi kinachodaiwa kuwa cha uajiri wa Shirika ni tangazo...

Rais Trump na Baraza la Mawaziri la mabilionea

WASHINGTON DC, Marekani VIGOGO wote 57 walioteuliwa na Rais Donald Trump katika awamu yake ya pili madarakani ni matajiri wa kutupwa. Kila mmoja ana utajiri...

Rooney aitaka United kumsajili staa wa Arsenal

LONDON, Uingereza MKONGWE wa Manchester United, Wayne Rooney, ameishauri klabu hiyo kumsajili 'fasta' nyota wa Arsenal mwenye umri wa miaka 19, Myles Lewis-Skelly. Rooney anaamini ujio...

Barca yampa Rodri jezi namba 16

CATALUNYA, Hispania KIUNGO wa kimataifa wa Hispania aliyejiunga na Barcelona akitokea Manchester City, Rodri, amepewa jezi namba 16 katika kikosi cha Wacatalunya hao. Aliyefichua hayo si...

Waziri Mkuu wa Uingereza: Tutaendelea kuiunga mkono Ukraine

LONDON, Uingereza WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Andy Burnham, amesema Serikali yake inaiunga mkono Ukraine kwa asilimia 100 na itaendelea kufanya hivyo. Kauli yake hiyo inakuja baada...

Wananchi wanasemaje kuhusu JNHPP?

Na mwandishi wetu, Gazetini NI safari ya miaka takribani saba, ikianza kama ndoto iliyobeba maono makubwa ya kuimarisha hali ya upatikaji wa huduma ya uhakika...

Adebayor aibuka kumtetea Salah

LONDON, Uingereza BAADA ya kuondoka Liverpool mwishoni mwa msimu uliopita (2025-26), Mohamed Salah amesaini mkataba wa miaka miwili na Trabzonspor ya Ligi Kuu ya Uturuki. Uamuzi...

Rais Trump atishia kuilipua Oman

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameionya Oman akisema hatosita kutuma jeshi lake kuishambulia kwa mabomu endapo itaendelea kujihisha na mgogoro wa Iran. Wakati...

Sekta za Mageuzi zinazoibeba Dira 2050: Huduma

Na mwandishi wetu, Gazetini SEKTA hii itachukua nafasi muhimu katika kuendesha maendeleo ya Tanzania, hususan katika maeneo ya biashara, huduma za ukarimu, na huduma zingine...

Sekta za Mageuzi zinazoibeba Dira 2050: Fedha

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMA zilivyo zingine, sekta hii nayo itakuwa kichocheo muhimu cha mageuzi ya kiuchumi ifikapo mwaka 2050. Kwanini? Mahitaji ya huduma za kifedha,...