Ads: info@gazetini.co.tz |
22.4 C
Dar es Salaam

Penzi la ujana hadi ndoa; kapo za mastaa zilizodumu miaka mingi

LOS ANGELES, Marekani KUDUMU muda mrefu kwenye mahusiano ya kimapenzi au hata ndoa si jambo rahisi, hasa unapokuwa na jina na mafanikio makubwa. Mastaa wengi...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na mwandishi wetu, Gazetini WATU takribani 795,000 hupata kiharusi (kupooza) kila mwaka nchini Marekani, huku wataalamu wakionya juu ya mtindo wa maisha, pia wakishauri aina ya vyakula vya kuzingatia ili kuepukana na maradhi hayo. Ni vyakula vinavyopunguza uwezekano...

Sikia hii ya unga wa protini kujenga mwili, kupunguza uzito

Na mwandishi wetu, Gazetini MARA kadhaa baadhi ya wataalamu wa mazoezi ya viungo huko mitandaoni, hasa TitTok na Instagram wamekuwa wakihimiza matumizi ya protini kwa wingi. Ushauri huo umeongeza idadi ya bidhaa za protini, ukiwamo unga, ambao vijana...

Besigye alazwa ICU baada ya kuanguka mahakamani

KAMPALA, Uganda KIONGOZI mkongwe wa upinzani nchini Uganda, Dk. Kizza Besigye, amelazwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi (ICU) mjini Kampala baada ya kuanguka na kupoteza fahamu wakati wa kusikilizwa kwa kesi inayomkabili ya uhaini. Besigye, mwenye umri wa...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

LONDON, Uingereza 'MALVINA ni Argentina' ni ujumbe uliosomeka katika bango walilobeba wachezaji wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina baada ya kuifunga England katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Dunia mwaka huu (2026). Malvina kwa...

Rais aliyehukumiwa miaka 15 gerezani aachiwa

LIMA, Peru MAHAKAMA ya Katiba ya Peru imeamuru kuachiwa huru kwa Rais wa zamani wa Taifa hilo, Ollanta Humala, ambaye alihukumiwa kifungo cha miaka 15 gerezani. Humala (64), alikumbana na hukumu hiyo katika kesi yake ya rushwa, ikielezwa...

Saudia ilivyobaki njiapanda vita vya Iran

RIYADH, Saudi Arabia SAUDI Arabia imebaki njiapanda. Tangu Marekani na Israel zilipoungana kuishambulia Iran, Saudia ilijiweka mbali na mgogoro huo. Haikutaka kujihusisha wala kuhusishwa. Hata hivyo, ukaribu wake na Marekani umeiponza na kujikuta ikishambuliwa na Iran, pamoja na...

Elimu

Binti aliyefaulu Kidato cha Tano aokolewa kabla ya kuozeshwa Shinyanga

Na Mwandishi Wetu, Shinyanga JUHUDI za Serikali za kupambana na ndoa za utotoni zimezaa matunda mkoani Shinyanga baada ya operesheni maalumu kumuokoa binti aliyekuwa amefaulu kujiunga na Kidato cha Tano, lakini akawa ameozeshwa kabla ya kuanza masomo. Operesheni...
LAGOS, Nigeria MAHAKAMA nchini Nigeria imewahukumu kifungo cha maisha jela wanaume watatu baada ya kupatikana na hatia ya makosa yanayohusiana na utekaji wa makumi ya wanafunzi na walimu katika Jimbo la Oyo, kusini-magharibi mwa nchi. Watuhumiwa hao walikiri...

Wananchi wengi wanaisikia Dira 2050, lakini…

Na mwandishi wetu, Gazetini Licha ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kuendelea kujadiliwa katika ngazi mbalimbali, bado wananchi wengi hawajaielewa kwa kina, jambo linaloonyesha umuhimu wa kuendelea kutoa elimu kwa umma. Mchumi kutoka Tume ya Taifa ya...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Penzi la ujana hadi ndoa; kapo za mastaa zilizodumu miaka mingi

LOS ANGELES, Marekani KUDUMU muda mrefu kwenye mahusiano ya kimapenzi au hata ndoa si jambo rahisi, hasa unapokuwa na jina na mafanikio makubwa. Mastaa wengi...

Watu milioni tatu hatarini kupata Ukimwi mwaka 2030

RIO, Brazil KWA mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa kupitia Programu yake ya Ukimwi (UNAIDS), watu zaidi ya milioni tatu watakuwa na maambukizi ya...

Vyakula hivi kiboko ya ugonjwa wa kiharusi

Na mwandishi wetu, Gazetini WATU takribani 795,000 hupata kiharusi (kupooza) kila mwaka nchini Marekani, huku wataalamu wakionya juu ya mtindo wa maisha, pia wakishauri aina...

Sikia hii ya unga wa protini kujenga mwili, kupunguza uzito

Na mwandishi wetu, Gazetini MARA kadhaa baadhi ya wataalamu wa mazoezi ya viungo huko mitandaoni, hasa TitTok na Instagram wamekuwa wakihimiza matumizi ya protini kwa...

Argentina, Uingereza zinagombea Visiwa hivi

LONDON, Uingereza 'MALVINA ni Argentina' ni ujumbe uliosomeka katika bango walilobeba wachezaji wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina baada ya kuifunga England katika...

Usajili unaoakisi uchumi wa klabu au mfuko wa tajiri?

Na Hassan Mwasha NIMEFUATILIA ubize wa vigogo wa soka la Tanzania, Yanga na Simba, katika soko la usajili wa dirisha kubwa kuelekea msimu mpya wa...

Nyota sita Argentina kupigwa ‘stop’ Kombe la Dunia

NYON, Uswis WACHEZAJI wapatao sita wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina huenda wakafungiwa kushiriki fainali zijazo za Kombe la Dunia za mwaka 2030. Kwa...

Davido kuibukia uigizaji wa ‘muvi’

LAGOS, Nigeria SUPASTAA wa muziki wa Afrobeats, Davido, ameeleza nia yake ya kuwa mwigizaji kwenye soko la filamu nchini Nigeria (Nollywood). Katika mahojiano yake ya hivi...

Infantino anyoosha mikono, aachana na mpango wake

NYON, Uswis HATIMAYE Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, ametangaza kuachana na mpango wake wa kuuza hisa za Kombe la Dunia...

Rais aliyehukumiwa miaka 15 gerezani aachiwa

LIMA, Peru MAHAKAMA ya Katiba ya Peru imeamuru kuachiwa huru kwa Rais wa zamani wa Taifa hilo, Ollanta Humala, ambaye alihukumiwa kifungo cha miaka 15...

Kocha Bafana Bafana aachia ngazi

PRETORIA, Afrika Kusini LICHA ya kuiwezesha timu ya soka ya Taifa ya Afrika Kusini 'Bafana Bafana' kufika hatua ya mtoano katika fainali za Kombe la...

Dk. Mwigulu atoa siku 14 kituo cha Oparesheni kuanza kazi

Na Faraja Mulungu, Gazetini WAZIRI MKUU wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mwigulu Nchemba, ametoa siku 14 kwa wizara na taasisi zote zinazohusika na...