Ads: info@gazetini.co.tz |
27.9 C
Dar es Salaam

Kibabage aipa mzuka Serengeti Boys kuelekea fainali ya AFCON

Na Winfrida Mtoi, Gazetini BEKI wa timu ya Taifa (Taifa Stars), Nickson Kibabage  amesema kitendo cha vijana wa timu ya Serengeti Boys kufika  fainali ya...

Habari Kuu

Jamii

Afya

KINSHASA, DRC WATAALAMU wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) wameonya kuwa wanawake ndilo kundi lililo hatarini zaidi kupata maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Ebola nchini DRC. Wakati huo huo, zipo taarifa kuwa visa viwili...

Virusi hivi vya Ebola vimeshindikana, havina chanzo wala tiba

Na mwandishi wetu, Gazetini MAAMBUKIZI ya virusi vya Ebola yameendelea kuripotiwa huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kama ilivyo kwa majirani zao, Uganda, huku wataalamu wa afya wakizitahadharisha nchi zingine za Afrika. Idadi ya vifo kwa upande...

Taasisi ya OSHA yapata Bodi mpya

Na mwandishi wetu, Gazetini Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu ameitaka Bodi Mpya ya Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuendeleza mafanikio yaliyofikiwa na Taasisi hiyo katika kutekeleza...

Makala

Infographics

Siasa

Na mwandishi wetu, Gazetini MWISHONI mwa mwaka 2025, Madagascar ilitikiswa na maandamano makubwa ya vijana wa Gen-Z walioingia barabarani wakipinga hali mbaya ya kiuchumi, wakati huo wakishuhudia Serikali yao ikitawaliwa na vitendo vau rushwa. Mbali na mengine juu...

Ndugu, ‘washikaji’ wanavyomfelisha Waziri Mkuu Hispania

MADRID, Hispania WAZIRI Mkuu wa Hispania, Pedro Sanchez, ametimiza miaka nane tangu alipoingia madarakani, huku skendo za rushwa zikichukua nafasi kubwa katika uongozi wake kwa miaka ya hivi karibuni. Wakati Waziri Sanchez akionekana msafi na asiye na makandokando,...

Mgombea urais wa zamani Venezuela ataka Uchaguzi Mkuu

CARACAS, Venezuela ALIYEWAHI kuwa mgombea wa urais wa upinzani nchini Venezuela, Edmundo Gonzalez Urrutia, ametaka kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu ikiwa ni miezi mitano imepita tangu Rais Nicolas Maduro alipoondoshwa madarakani na jeshi la Marekani. Gonzalez ni mwanasiasa maarufu...

Elimu

Viongozi 16,000 wa elimu kunufaika na mafunzo ya uongozi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Mwanza Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais-TAMISEMI imezindua rasmi programu ya mafunzo ya uongozi kwa viongozi wa elimu katika shule za sekondari nchini. Programu hiyo inayotekelezwa na...
GILGIL, Kenya MOTO ambao chanzo chake hakijafahamika umeripotiwa kusababisha vifo vya watu 16, wengi wao wakiwa ni wanafunzi, katika shule ya bweni ya Sekondari ya Wasichana ya Utumishi mjini Gilgil. Kwa mujibu wa Shirika la Habari la AFP,...

Usiyoyajua kuhusu Siku ya Fistula itokanayo na uzazi

Na mwandishi wetu, Gazetini MEI 23, kama ambavyo hufanyika kila mwaka, Dunia inaadhimisha Siku ya Fistula itokanayo na uzazi, ambayo husababisha kwa asilimia 90 visa vya watoto wanaozaliwa wakiwa wameshafariki. Aidha, fistula ya uzazi huchangia asilimia 8% ya...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Kibabage aipa mzuka Serengeti Boys kuelekea fainali ya AFCON

Na Winfrida Mtoi, Gazetini BEKI wa timu ya Taifa (Taifa Stars), Nickson Kibabage  amesema kitendo cha vijana wa timu ya Serengeti Boys kufika  fainali ya...

‘Nilitumia dawa za kulevya kuongeza nguvu za kiume, nikaishia pabaya’

Na Hassan Mwasha MAISHA ya Juma Mgota, mkazi wa Mtaa wa Muhalitan, Tandale jijini Dar es Salaam, yanaweza kuwa sehemu ndogo tu ya madhila wanayopitia...

Wanawake hatarini zaidi Ebola, maambukizi yafika Brazil

KINSHASA, DRC WATAALAMU wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) wameonya kuwa wanawake ndilo kundi lililo hatarini zaidi kupata maambukizi ya virusi vya...

Arteta kulamba mkataba mpya Arsenal

LONDON, Uingereza MABOSI wa Arsenal wanataka kumpa mkataba mpya kocha wao raia wa Hispania, Mikel Arteta, kabla ya timu hiyo kuanza kambi ya 'pre-season'. Haraka hiyo...

Sura mpya siasa za Madagascar baada ya maandamano ya Gen-Z

Na mwandishi wetu, Gazetini MWISHONI mwa mwaka 2025, Madagascar ilitikiswa na maandamano makubwa ya vijana wa Gen-Z walioingia barabarani wakipinga hali mbaya ya kiuchumi, wakati...

Ndugu, ‘washikaji’ wanavyomfelisha Waziri Mkuu Hispania

MADRID, Hispania WAZIRI Mkuu wa Hispania, Pedro Sanchez, ametimiza miaka nane tangu alipoingia madarakani, huku skendo za rushwa zikichukua nafasi kubwa katika uongozi wake kwa...

Luis Enrique alivyotimiza ndoto ya matajiri wa Qatar

PARIS, Ufaransa MWAKA 2011, matajiri wa kampuni ya Qatar Sports Investments ya Qatar walikuwa mezani na mabosi wa klabu ya kawaida tu, PSG. Matajiri wa...

Meja Jenerali wa jeshi, mkewe watekwa

LAGOS, Nigeria MEJA Jenerali Mstaafu wa jeshi nchini Nigera, Rabe Abubakar, ametekwa na watu wasiojulikana akiwa na mkewe kwenye gari wakati wakiwa safarini katika Jimbo...

Mrembo aliyekaribia kuvunja ndoa ya Jay Z, Beyonce

LOS ANGELES, Marekani RAPA Jay Z na staa wa Malkia wa muziki wa R&B na Pop, Beyonce Knowles, ni moja ya 'kapo' za muda mrefu...

Depu na kivuli cha Dube: Yanga inahitaji straika mpya?

Na mwandishi wetu, Gazetini MJADALA wa kiwango cha mashambuliaji wa kimataifa wa Angola, Depu, tangu asajiliwe na Yanga umeshika kasi mitandaoni na hata vijiweni, wengi...

Shangwe la ubingwa lawaponza mashabiki wa PSG

PARIS, Ufaransa POLISI nchini Ufaransa wanawashikikia mashabiki zaidi ya 400 wa PSG waliosababisha vurugu katika maeneo mbalimbali nchini humo baada ya timu yao kutwaa taji...

Rema afunguka sababu ya kumkimbia mpenzi wake

LAGOS, Nigeria MWANAMUZIKI wa Afrobeats, Divine Ikubor, maarufu kwa jina la Rema, amesema mpenzi wake alikuwa mkorofi na msumbufu, hivyo akaamua kuachana naye na kubaki...