Ads: info@gazetini.co.tz |
24.5 C
Dar es Salaam

Mbu watajwa kuongoza vifo vya binadamu duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini HIYO ni kwa mujibu wa takwimu za tovuti ya Our World in Data, kwamba mbu ndiyo wadudu/wanyama wanaosababisha vifo vingi vya...

Habari Kuu

Jamii

Afya

WASHINGTON DC, Marekani ALIYEWAHI kuwa mke wa mtoto wa Rais Donald Trump aitwaye Donald Trump Jr, Vanessa, amegundulika kuwa na ugonjwa wa saratani ya matiti. Vanessa amesema alifanyiwa vipimo mapema wiki hii na ndipo alipogundulika kuwa na ugonjwa...

WHO: Unywaji wa pombe chanzo cha vifo milioni 2 kila mwaka

NEW YORK, Marekani SHIRIKA la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) limeeleza katika ripoti yake ya hivi karibuni, kwamba unywaji wa pombe husababisha vifo milioni 2.6 kila mwaka. WHO imeeleza hayo, huku utumiaji wa kilevi hicho ukiendelea kushika...

Marekani yawataka akina Mayele kukaa karantini

WASHINGTON DC, Marekani TAARIFA kutoka Ikulu ya Marekani imeeleza kuwa wachezaji wa timu ya soka ya Taifa ya DRC watatakiwa kukaa karantini kwa siku 21 kabla ya kuingia nchini humo kwa ajili ya fainali za Kombe la...

Makala

Infographics

Siasa

DAKAR, Senegal RAIS WA Senegal, Bassirou Diomaye Faye, amemfuta kazi Waziri Mkuu wake, Ousmane Sonko, sambamba na kulivunja Baraza la Mawaziri. Aidha, taarifa za Waziri Mkuu kufutwa kazi zinakuja wakati Serikali ya Senegal ikitajwa kuelemewa na madeni ya...

Kwa nini Putin, Trump wanapishana angani kuikimbilia China?

BEIJING, China ZIARA ya Vladmir Putin nchini China inakuja zikiwa ni siku chache tu tangu Donald Trump wa Marekani alipomaliza mkutano wake na Rais Xi Jinping mjini Beijing. Tangu Urusi ilipojitenga na nchi za Magharibi baada ya kuivamia...

Nani Rais mpya wa Marekani baada ya Trump kutoka 2028?

WASHINGTON DC, Marekani MJADALA wa nani atakuwa Rais ajaye wa Marekani umepamba moto si tu nje, bali hata ndani ya korido za Ikuku ya Marekani. Ni Katibu Mkuu wa Ikulu, Marco Rubio, au Makamu wa Rais, JD...

Elimu

Usiyoyajua kuhusu Siku ya Fistula itokanayo na uzazi

Na mwandishi wetu, Gazetini MEI 23, kama ambavyo hufanyika kila mwaka, Dunia inaadhimisha Siku ya Fistula itokanayo na uzazi, ambayo husababisha kwa asilimia 90 visa vya watoto wanaozaliwa wakiwa wameshafariki. Aidha, fistula ya uzazi huchangia asilimia 8% ya...
Na Hassan Mwasha MEI 27, 2026, waumini wa Dini ya Uislam wa Tanzania Bara na Visiwani Zanzibar wataungana na wenzao duniani kote kusherehekea Sikukuu ya 'Al-Adha'. Wengi wanaifahamu kwa jina la 'Sikukuu ya Kuchinja' kutokana na asili yake,...

Mbunge ataka shule jumuishi kila mkoa

Na Ramadhan Hassan, Gazetini Mbunge wa Viti Maalum anayewakilisha kundi la watu wenye ulemavu, Nasria Nasri Ally, ameishauri Serikali kujenga shule jumuishi katika kila mkoa ili kurahisisha upatikanaji wa elimu kwa watoto wenye ulemavu. Akichangia mjadala wa bajeti...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Mbu watajwa kuongoza vifo vya binadamu duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini HIYO ni kwa mujibu wa takwimu za tovuti ya Our World in Data, kwamba mbu ndiyo wadudu/wanyama wanaosababisha vifo vingi vya...

Ni kweli Iran inafadhili ugaidi au ni propaganda za Marekani?

TEHRAN, Iran MAREKANI inaitaja Iran kama mfadhili wa vikundi vyote vya kigaidi vilivyopo Mashariki ya Kati. Kwamba tangu ilipofanya mapinduzi mwaka 1979, imekuwa chanzo cha...

Majeraha yalivyochangia anguko la Tottenham

LONDON, Uingereza ALIPOTEULIWA kuinoa Tottenham, kocha Roberto De Zerbi alikiri wazi mbele ya waandishi wa habari, kwamba ana bahati mbaya kuajiriwa wakati ambao timu timu...

Bao la Mpanzu laishusha Yanga kileleni

Na Hassan Mwasha, Gazetini BAO pekee la Elie Mpanzu katika mchezo dhidi ya Dodoma Jiji limeiwezesha Simba kushika usukani wa msimamo wa Ligi Kuu Bara...

Sajili hizi zimelipa, zimerudisha chenji EPL 2025-26

LONDON, Uingereza UKIWEKA kando Arsenal kutwaa ubingwa, msimu huu wa Ligi Kuu ya England (EPL) umeshuhudia viwango bora vya wachezaji waliosajiliwa na klabu mbalimbali. Nyota hao...

Guardiola atatua wapi akiondoka Man City?

MANCHESTER, Uingereza PEP Guardiola amekamilisha projekti aliyopewa wakati anaajiriwa na Manchester City mwaka 2016. Kuifanya klabu hiyo kuwa tishio barani Ulaya. Amefanikiwa. Wakati huu akijiandaa kuondoka,...

Ujerumani kuendeleza mkosi wa kuaga mapema Kombe la Dunia?

MUNICH, Ujerumani MABINGWA mara nne wa fainali za Kombe la Dunia, timu ya soka ya Taifa ya Ujerumani imekuwa na mkosi wa kuondoshwa mapema kwenye...

Maajabu ya ‘hat-trick’ za Kombe la Dunia

NYON, Uswis HIVI unafahamu kuwa zimeshafungwa 'hat-trick' 54 katika historia ya michuano ya soka ya Kombe la Dunia kwa wanaume tangu ilipoanza mwaka 1930? Chukua hiyo....

Usiyoyajua kuhusu ugonjwa wa mkwe wa Rais Trump

WASHINGTON DC, Marekani ALIYEWAHI kuwa mke wa mtoto wa Rais Donald Trump aitwaye Donald Trump Jr, Vanessa, amegundulika kuwa na ugonjwa wa saratani ya matiti. Vanessa...

Vita vya Iran vinavyochochea uharamia wa meli Somalia

MOGADISHU, Somalia MAHARAMIA wanaoteka meli nchini Somalia wameripotiwa kunufaika na mgogoro unaoendelea Mashariki ya Kati ukizihusisha Marekani na Israel kwa upande mmoja na na Iran...

Nani kumrithi Guterres kiti cha Katibu Mkuu UN?

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Antonio Guterres, atamaliza muda wake Desemba, 2026, na tayari mbio za kusaka mrithi wake...

Casillas hataki hata kumsikia huyo Mourinho

MADRID, Hispania KIPA wa zamani wa Real Madrid, Iker Casillas, ameibuka na majina ya makocha 10, ambao amesema wanastahili kuajiriwa na klabu hiyo kuliko kumpa...