Ads: info@gazetini.co.tz |
23.7 C
Dar es Salaam

Makocha waliotimuliwa mapema Kombe la Dunia

NEW YORK, Marekani BAADA ya kufukuzwa katika benchi la ufundi la timu ya soka ya Tunisia, Sabri Lamouchi hajawa kocha wa kwanza kutimuliwa mapema katika...

Habari Kuu

Jamii

Afya

KINSHASA, DRC MLIPUKO wa ugonjwa wa Ebola umeendelea kuwa gumzo si tu DRC ulikoanzia, bali pia nchi jirani za Afrika, ikiwamo Uganda, na sasa unatishia fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu. Michuano hiyo itaanza Juni 11,...

Hii ndiyo ICD, mashine ya moyo anayovaa Eriksen akiwa uwanjani

LONDON, Uingereza TANGU alipoanguka uwanjani wakati wa fainali za EURO 2020, straika wa timu ya Taifa ya Denmark, Christian Eriksen, amekuwa akivaa kifaa maalumu cha kusaidia mapigo ya moyo (implantable cardioverter defibrillator - ICD). Eriksen amekuwa na kifaa...

‘Nilitumia dawa za kulevya kuongeza nguvu za kiume, nikaishia pabaya’

Na Hassan Mwasha MAISHA ya Juma Mgota, mkazi wa Mtaa wa Muhalitan, Tandale jijini Dar es Salaam, yanaweza kuwa sehemu ndogo tu ya madhila wanayopitia vijana wengi walio kwenye urahibu wa dawa za kulevya 'unga'. Mgota (36), amebeba...

Makala

Infographics

Siasa

TEHRAN, Iran MAMLAKA za Iran zimetangaza kuwa kiongozi wake Mkuu aliyeuawa Februari, 2026, Ali Khamenei, atazikwa mwezi ujao, Julai 9, mjini Mashhad. Awali, Ali Khamenei alitarajiwa kuzikwa Machi, 2026 lakini ilishindikana kutokana na vita vinavyoendelea kati ya Iran...

Netanyahu kurejea au kung’oka madarakani Oktoba?

JERUSALEM, Israel WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, atawania tena nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu ujao, Chama chake cha Likud kimeeleza. Kwamba mwanasiasa huyo mwenye umri wa miaka 76, ambaye ameiongoza Israel tangu mwaka 2009, atawania kiti hicho...

Siasa za Afrika na kitendawili cha demokrasia

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA miaka ya hivi karibuni, baada ya kufuatilia chaguzi za Afrika, wachambuzi wa siasa wameibua kile wanachokiita mdororo wa afya ya demokrasia barani humu. Chaguzi zilizoharibiwa na sura za vitendo vya rushwa, hali ya...

Elimu

Mkenda: Hakuna mtoto atakayeachwa nyuma katika elimu

Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Serikali itaendelea kuhakikisha hakuna mtoto anayekosa haki ya kupata elimu, ikiwemo mabinti waliopata ujauzito, kama sehemu ya juhudi za kuimarisha usawa na ujumuishi...
Na Hassan Mwasha, Gazetini UNAJIULIZA kwanini hujapigiwa simu ya kuitwa kazini licha ya kuhisi ulifanya vizuri Siku ya usahili (interview)? Tulia. Huenda tatizo si uwezo wako wa kufiti katika nafasi uliyoomba. Unaweza kuwa ni mtaalamu mzuri tu wa...

Uholanzi ilivyofanikiwa mfumo wa elimu, ajira kwa vijana

AMSTERDAM, Uholanzi KWA mujibu wa sheria za Uholanzi, ni lazima kwa watoto wenye umri kati ya miaka mitano hadi 16 kuwa shuleni. Pia, ni lazima kubaki shule au kwenye mafunzo ya ufundi hadi watakapotunukiwa vyeti au kutimiza...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Makocha waliotimuliwa mapema Kombe la Dunia

NEW YORK, Marekani BAADA ya kufukuzwa katika benchi la ufundi la timu ya soka ya Tunisia, Sabri Lamouchi hajawa kocha wa kwanza kutimuliwa mapema katika...

Kombe la Dunia 2026: Ufaransa ilivyokomesha mazoea ya Afrika

NEW YORK, Marekani MABAO mawili ya Kylian Mbappe na moja la Bradley Barcola yalitosha kuipa timu ya soka ya Ufaransa ushindi wa 3-1 dhidi ya...

Mazito yafichuka ‘urafiki’ wa M23, Rwanda

NAIROBI, Kenya RWANDA inashirikiana kwa karibu na wapiganaji wa M23 kuteka raia, hasa vijana na watoto, na kuwaingiza katika kundi hilo linalopigana na wanajeshi wa...

Rekodi 5 zilizochomoza Kombe la Dunia 2026

NEW YORK, Marekani FAINALI za Kombe la Dunia zina siku chache tu tangu zianze Juni 11, 2026, zikifanyika katika mataifa matatu; Marekani, Canada na Mexico. Licha...

Alonso aanza kuisuka Chelsea tishio

LONDON, Uingereza CHELSEA walimaliza msimu wa 2025-26 wakiwa na machungu ya kukosa tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya (2026-27). Sasa, baada ya kumaliza msimu huo...

Tottenham ya msimu ujao tamu balaa

LONDON, Uingereza BAADA ya kunusurika kushuka daraja msimu wa 2025-26 wa Ligi Kuu ya England uliomalizika hivi karibuni, Tottenham imeanza maandalizi ya kuja kivingine. Chini ya...

Renard apewa mikoba ya kocha Tunisia

MEXICO CITY, Mexico SHIRIKISHO la Soka la Tunisia limemtangaza Herve Renard kuwa kocha mpya wa timu yake ya Taifa. Renard (57), amepewa ajira hiyo akichukua nafasi...

Ndidi kuondoka Uturuki, kutua Saudia

ISTANBUL, Uturuki NAHODHA wa timu ya soka ya Taifa ya Nigeria (Super Eagles), Wilfred Ndidi, ataondoka Besiktas ya Uturuki na kujiunga na moja ya klabu...

Pogba atoa neno kuhusu Yamal

PARIS, Ufaransa KIUNGO wa zamani wa Manchester United, Paul Pogba, amemtaja Lamine Yamal wa Barcelona katika orodha yake ya wachezaji bora watano duniani. Pogba amayesema hayo...

Ronaldo de Lima amvaa Ancelotti kisa sare

TORONTO, Canada MKONGWE wa timu ya soka ya Taifa ya Brazil, Ronaldo Nazario, amekosoa mbinu za kocha Carlo Ancelotti baada ya sare yao ya bao...

Hawa hapa mastaa wapya Arsenal

LONDON, Uingereza MAPEMA tu! Kwa taarifa yako, Arsenal wameashaanza mipango ya kuutetea ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL) msimu ujao (2026-27). Wakati huu fainali za...

Tunisia ya Herve Renard kuishangaza dunia?

MEXICO CITY, Mexico BAADA ya kumtimua Sabri Lamouchi, timu ya soka ya Taifa ya Tunisia iko chini ya kocha maarufu raia wa Ufaransa, Herve Renard. Lamouchi...