Ads: info@gazetini.co.tz |
30.3 C
Dar es Salaam

Alejandro Betancourt; ‘Dalali’ wa Marekani mkataba wa mafuta Venezuela

CARACAS, Venezuela KWA sasa, Alejandro Betancourt anatarajiwa kama mtu muhimu katika mkataba wa mafuta ulioingiwa kati ya nchi yake ya Venezuela na Marekani, kwa mujibu...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na mwandishi wetu, Gazetini KULALA kwa saa moja au mbili za ziada katika siku za mapumziko ya wiki (wikiendi) kunapunguza hatari ya kupata shinikizo la damu, utafiti umebaini. Katika hatua nyingine, wataalamu wameenda mbali zaidi wakishauri kuwa ni...

DC Chato: Huduma za OSHA ni muhimu kwa ukuaji wa uchumi

Na mwandishi wetu, Gazetini Mkuu wa Wilaya ya Chato, mkoani Geita, Louis Bura, amesema kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi katika Mkoa wa Geita imepelekea uhitaji wa huduma za usalama na afya mahali pa kazi kuongezeka ambapo...

Kamati ya Bunge yaishauri Serikali kuiongeza wataalam OSHA

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeishauri Serikali kuiongezea wataalam Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ili Taasisi hiyo iweze kuimarisha afya, usalama na ustawi...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

CARACAS, Venezuela KWA sasa, Alejandro Betancourt anatarajiwa kama mtu muhimu katika mkataba wa mafuta ulioingiwa kati ya nchi yake ya Venezuela na Marekani, kwa mujibu wa Rais Donald Trump. Katika mkataba huo, ambao Trump anauita wa kihistoria duniani,...

Tunisia ‘jehanamu’ ya wakosoaji wa serikali?

TUNIS, Tunisia "WALE wanaozikosoa mamlaka au mambo yanavyokwenda nchini Tunisia wanakumbana na ukandamizaji." Ni kauli ya Messaoud Romdhani, mwanaharakati wa haki za binadamu katika nchi hiyo ya Afrika ya Kaskazini. Romdhani anaongeza kuwa wakosoaji wa serikali wamejikuta wakibambikiwa...

Utafiti: Vijana Nigeria hawana imani na Uchaguzi

LAGOS, Nigeria UTAFITI uliohusisha wanafunzi 222 kutoka vyuo vikuu 34 nchini Nigeria umebaini kuwa asilimia 52.1 hawajajiandikisha kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu ujao . Aidha, katika utafiti huo wa Campus Reporter, asilimia 31 walisema kukosekana kwa uwazi katika...

Elimu

Msigwa atoa onyo kutumia vibaya vitambulisho vya NIDA

Na Esther Mnyika, Gazetini MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amewaonya wananchi dhidi ya kukabidhi vitambulisho au namba zao za Taifa kwa watu wengine kwa ajili ya kusajili laini za simu, akisema matumizi hayo yanaweza kuwaweka wamiliki...
Na Esther Mnyika, Gazetini BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imewataka wasanii, waandaaji wa burudani, watayarishaji wa maudhui na wadau wengine wenye ushawishi kwa jamii kutumia majukwaa yao kuwa mabalozi wa elimu ya fedha, ikiwemo kuhamasisha utunzaji sahihi...

Afrika na kigezo cha ‘digrii’ kuwania urais

Na mwandishi wetu, Gazetini KENYA imetangaza kuondosha kigezo cha kuwa na Shahada ya chuo kikuu kama kigezo cha mgombea wa kiti cha urais. Hii ni pamoja pia na wagombea wa Ugavana na Ubunge kuanzia Uchaguzi Mkuu ujao...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Alejandro Betancourt; ‘Dalali’ wa Marekani mkataba wa mafuta Venezuela

CARACAS, Venezuela KWA sasa, Alejandro Betancourt anatarajiwa kama mtu muhimu katika mkataba wa mafuta ulioingiwa kati ya nchi yake ya Venezuela na Marekani, kwa mujibu...

Geita kufuta ‘uteja’ kwa Yanga?

Na Hassan Mwasha, Gazetini GEITA Gold ina kibarua kigumu mbele ya Yanga katika mchezo ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu wa 2026-27, na...

Tunisia ‘jehanamu’ ya wakosoaji wa serikali?

TUNIS, Tunisia "WALE wanaozikosoa mamlaka au mambo yanavyokwenda nchini Tunisia wanakumbana na ukandamizaji." Ni kauli ya Messaoud Romdhani, mwanaharakati wa haki za binadamu katika nchi...

Utafiti: Vijana Nigeria hawana imani na Uchaguzi

LAGOS, Nigeria UTAFITI uliohusisha wanafunzi 222 kutoka vyuo vikuu 34 nchini Nigeria umebaini kuwa asilimia 52.1 hawajajiandikisha kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu ujao . Aidha, katika...

Makamu wa Rais anasota gerezani

PAYNESVILLE, Liberia HIVI karibuni, Mahakama nchini Liberia ilimpa ruhusa ya kutoka gerezani Makamu wa Rais wa zamani, Jewel Howard-Taylor, ili kwenda kupata matibabu ya nje,...

Modric arudi mzigoni, agoma kustaafu

LONDON, Uingereza KIUNGO mkongwe, Luka Modric, ataendelea kuitumikia timu yake ya Taifa ya Croatia, licha ya umri wake mkubwa wa miaka 41. Chama cha Soka cha...

Kiungo ateuliwa kocha mpya Algeria

ALGIERS, Algeria KIUNGO wa zamani wa Rangers ya Ligi Kuu ya Scotland, Brahim Hemdani, ameteuliwa kuwa kocha mpya wa timu ya soka ya Taifa ya...

Mashabiki Fulham wazomea wachezaji

LONDON, Uingereza UZALENDO uliwashinda mashabiki wa Fulham na kuamua kuwazomea wachezaji wao baada ya timu hiyo kufungwa mabao 3-2 na Crystal Palace jana Septemba 5,...

Sikia hii ya Bayern, noma sana!

MUNICH, Ujerumani KWA mara ya kwanza baada ya mechi 59, Bayern Munich wamelazimishwa kumaliza dakika 90 bila kupata bao. Ni katika mchezo wa Bundesliga uliochezwa jana...

Mlipuko wa Volcano wazuia safari za ndege

JAKARTA, Indonesia MLIPUKO wa Volcano katika Mlima Anak Krakatau umesababisha kusitishwa kwa safari za ndege katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Soekarno-Hatta mjini Jakarta,...

Mtangazaji ahukumiwa kifo kisa dawa za kulevya

CAIRO, Misri MTANGAZAJI maarufu wa vipindi vya televisheni nchini Misri, Sarah Khalifa, ni miongoni mwa watuhumiwa 11 walihukumiwa kifo kwa makosa ya kujihusisha na mtandao...

Simeone afunguka kilichoiua Atletico Madrid

MADRID, Hispania KOCHA wa Atletico Madrid, Diego Simeone, amesema wapinzani wao, Athletic Bilbao, walikuwa wazuri kwenye ulinzi na ndiyo maana ikawa ngumu kwa vijana wake...