Ads: info@gazetini.co.tz |
25.2 C
Dar es Salaam

Barcelona yaendelea kumkomalia Haaland

CATALUNYA, Hispania KLABU ya Barcelona haijachana na mpango wake wa kumsajili mpachikaji mabao hatari wa Manchester City na timu ya Taifa ya Norway, Erling Haaland. Barcelona,...

Habari Kuu

Jamii

Afya

LOS ANGELES, Marekani FIGO ya nguruwe iliyopandikizwa kwa mgonjwa imemsaidia kuishi siku 271, kwa mujibu wa madaktari nchini Marekani. Kwa mujibu wa mgonjwa huyo aliyefahamika kwa jina la Tim Andrews, figo hiyo ya nguruwe ilimpa tumaini la kuishi...

Maajabu ya kulala wikiendi kwa afya yako

Na mwandishi wetu, Gazetini KULALA kwa saa moja au mbili za ziada katika siku za mapumziko ya wiki (wikiendi) kunapunguza hatari ya kupata shinikizo la damu, utafiti umebaini. Katika hatua nyingine, wataalamu wameenda mbali zaidi wakishauri kuwa ni...

DC Chato: Huduma za OSHA ni muhimu kwa ukuaji wa uchumi

Na mwandishi wetu, Gazetini Mkuu wa Wilaya ya Chato, mkoani Geita, Louis Bura, amesema kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi katika Mkoa wa Geita imepelekea uhitaji wa huduma za usalama na afya mahali pa kazi kuongezeka ambapo...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

Na Hassan Mwasha, Gazetini KWA nyakati na nyakati, jina la Gobless Lema limekuwa likiingia na kutoka katika shutuma za usaliti ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo . Haikuanza jana na huenda hata hii ya sasa isiwe...

Charles Taylor; Alitoroka gerezani kulipiza kisasi kwa Rais ‘aliyemtumbua’

Na mwandishi wetu, Gazetini HISTORIA ya siasa za Afrika itaendelea kumkumbuka kama kielelezo cha viongozi wachache waliowahi kutumia vibaya nafasi zao. Alikuwa rais wa Liberia kuanzia Agosti 2, 1977, hadi alipojiuzulu Agosti 11, 2003, kisha kuhukumiwa kifungo cha...

Alejandro Betancourt; ‘Dalali’ wa Marekani mkataba wa mafuta Venezuela

CARACAS, Venezuela KWA sasa, Alejandro Betancourt anatarajiwa kama mtu muhimu katika mkataba wa mafuta ulioingiwa kati ya nchi yake ya Venezuela na Marekani, kwa mujibu wa Rais Donald Trump. Katika mkataba huo, ambao Trump anauita wa kihistoria duniani,...

Elimu

Msigwa atoa onyo kutumia vibaya vitambulisho vya NIDA

Na Esther Mnyika, Gazetini MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amewaonya wananchi dhidi ya kukabidhi vitambulisho au namba zao za Taifa kwa watu wengine kwa ajili ya kusajili laini za simu, akisema matumizi hayo yanaweza kuwaweka wamiliki...
Na Esther Mnyika, Gazetini BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imewataka wasanii, waandaaji wa burudani, watayarishaji wa maudhui na wadau wengine wenye ushawishi kwa jamii kutumia majukwaa yao kuwa mabalozi wa elimu ya fedha, ikiwemo kuhamasisha utunzaji sahihi...

Afrika na kigezo cha ‘digrii’ kuwania urais

Na mwandishi wetu, Gazetini KENYA imetangaza kuondosha kigezo cha kuwa na Shahada ya chuo kikuu kama kigezo cha mgombea wa kiti cha urais. Hii ni pamoja pia na wagombea wa Ugavana na Ubunge kuanzia Uchaguzi Mkuu ujao...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Barcelona yaendelea kumkomalia Haaland

CATALUNYA, Hispania KLABU ya Barcelona haijachana na mpango wake wa kumsajili mpachikaji mabao hatari wa Manchester City na timu ya Taifa ya Norway, Erling Haaland. Barcelona,...

Madueke awaniwa Juventus, Atletico

LONDON, Uingereza WINGA wa Arsenal, Noni Madueke, anawindwa na klabu za Juventus na Atletico Madrid kuelekea dirisha dogo la usajili hapo Januari, 2027. Madueke aliyesajiliwa na...

Liverpool, City zamtolea macho Aramburu

LONDON, Uingereza BEKI wa Real Sociedad ya La Liga, Jon Aramburu, ameingia kwenye rada za klabu kubwa mbili za Ligi Kuu ya England , Liverpool...

Apongezwa kwa kulimwa kadi nyekundu

LONDON, Uingereza KATIKA dakika ya 89 ya mchezo wa Championship dhidi ya Millwall, kiungo wa West Ham United, Mohamadou Kante, alifanya aliwakosha mashabiki na wachezaji...

Wirtz kulamba mkataba mpya Anfield

MERSEYSIDE, Uingereza KLABU ya Liverpool iko mbioni kumpa mkataba mpya kiungo wake raia wa Ujerumani, Florian Wirtz, licha ya kusuasua kwa kiwango chake. Nyota huyo hajafunga...

Arsenal macho kwa staa Madrid

MADRID, Hispania WASHIKA Bunduki wa London, Arsenal, wanamtolea macho mshambuliaji wa Real Madrid, Endrick, wakipanga kumfuata wakati wa usajili wa dirisha dogo la Januari, 2026. Endrick...

Huyu Raphinha ni moto wa kuotea mbali

CATALUNYA, Hispania MSHAMBULIAJI wa Barcelona, Raphinha, amefunga 'hat-trick' yake ya pili katika michezo miwili mfululizo, safari hii akifnya hivyo dhidi ya Sevilla. Barcelona wakiwa ugenini kwenye...

Osimhen kuzikosa Madagascar, Guinea-Bissau

LAGOS, Nigeria TIMU ya soka ya Taifa ya Nigeria 'Super Eagles' itamkosa straika wake tishio, Victor Osimhen, katika mechi mbili zijazo za kufuzu fainali za...

Arteta apewa onyo kali

MANCHESTER, Uingereza MSHAMBULIAJI wa zamani wa Manchester City, Sergio Aguero, amempa onyo kocha wa Arsenal, Mikel Arteta, akimtaka kuwa makini na mtindo wake wa kubadili...

Godbless Lema na kivuli cha ‘usaliti’ CHADEMA

Na Hassan Mwasha, Gazetini KWA nyakati na nyakati, jina la Gobless Lema limekuwa likiingia na kutoka katika shutuma za usaliti ndani ya Chama cha Demokrasia...

Zidane agoma Benzema kurudi kikosini

PARIS, Ufaransa KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Zinedine Zidane, amefunga mlango kwa straika mkongwe, Karim Benzema, kurejea kikosini, licha ya kukiri...

Kinda United agombewa Ulaya

MANCHESTER, Uingereza MSHAMBULIAJI chipukizi wa Manchester United, JJ Gabriel, ameingia kwenye rada za klabu kubwa nne barani Ulaya, ikiwamo Barcelona. Kwa mujibu wa kituo cha televisheni...