Ads: info@gazetini.co.tz |
26.2 C
Dar es Salaam

Urafiki uliogeuka uadui Trump, Waziri Mkuu wa Italia

WASHINGTON DC, Marekani UHUSIANO kati ya Rais wa Marekani, Donald Trump, na Waziri Mkuu wa Italia, Giorgia Meloni, umeendelea kuwa gumzo na hata kuibua mjadala...

Habari Kuu

Jamii

Afya

PARIS, Ufaransa MAMLAKA za afya nchini Ufaransa zimetangaza kisa cha kwanza cha maambukizi ya Ebola kwa daktari wake aliyetokea DRC. Daktari hyo alikuwa DRC katika programu ya Ufaransa kutoa msaada wa kibinadamu katika kukabiliana na ugonjwa huo. Kwa mujibu...

Ebola DRC yaua ndugu watano wa Mwimbaji Jonathan Budju

Na Christopher Msekena, Gazetini JANGA la ugonjwa wa Ebola limeendelea kuwa tishio nchini Kongo baada ya ndugu wa watano wa mwimbaji wa Injili Jonathan Budju, kupoteza maisha mapema mwezi huu. Jonathan Budju ambaye kwasasa anaishi nchini Canada, ameweka...

Huyu ndiye Dk. Suzanne wa Kombe la Dunia 2026

CALIFORNIA, Marekani FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zimeshuhudia historia nyingi zikiandikwa lakini moja ya hizo ni uwepo wa Dk. Suzanne Huurman. Katika mabenchi ya timu zote 48 zinazoshiriki michuano ya msimu huu, Dk. Suzanne...

Makala

Infographics

Siasa

WASHINGTON DC, Marekani UHUSIANO kati ya Rais wa Marekani, Donald Trump, na Waziri Mkuu wa Italia, Giorgia Meloni, umeendelea kuwa gumzo na hata kuibua mjadala wa aina yake kwenye duru za kisiasa ulimwenguni. Trump na Meloni walikuwa marafiki...

Israel, Marekani ‘zimechafua’ Uchaguzi Colombia?

BOGOTA, Colombia RAIS aliyeondoka madarakani nchini Colombia, Gustavo Petro, ameendelea kutokuyatambua matokeo yaliyompa ushindi Abelardo de la Espriella. De la Espriella (47), ameingia Ikulu akimpiku Ivan Cepeda katika Uchaguzi ulioanza Mei 31, 2026, na kurudiwa siku chache zilizopita...

Huyu ndiye Waziri Mkuu mpya wa Uingereza?

LONDON, Uingereza BAADA ya Keir Starmer kujiuzulu siku chache zilizopita, majina kadhaa ndani ya Chama tawala cha Labour yameanza kuhusishwa na kiti cha Waziri Mkuu wa Uingereza. Miongoni mwao ni Andy Burnham, ambaye amewahi mara mbili kuwania na...

Elimu

Mkenda: Hakuna mtoto atakayeachwa nyuma katika elimu

Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Serikali itaendelea kuhakikisha hakuna mtoto anayekosa haki ya kupata elimu, ikiwemo mabinti waliopata ujauzito, kama sehemu ya juhudi za kuimarisha usawa na ujumuishi...
Na Hassan Mwasha, Gazetini UNAJIULIZA kwanini hujapigiwa simu ya kuitwa kazini licha ya kuhisi ulifanya vizuri Siku ya usahili (interview)? Tulia. Huenda tatizo si uwezo wako wa kufiti katika nafasi uliyoomba. Unaweza kuwa ni mtaalamu mzuri tu wa...

Uholanzi ilivyofanikiwa mfumo wa elimu, ajira kwa vijana

AMSTERDAM, Uholanzi KWA mujibu wa sheria za Uholanzi, ni lazima kwa watoto wenye umri kati ya miaka mitano hadi 16 kuwa shuleni. Pia, ni lazima kubaki shule au kwenye mafunzo ya ufundi hadi watakapotunukiwa vyeti au kutimiza...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Urafiki uliogeuka uadui Trump, Waziri Mkuu wa Italia

WASHINGTON DC, Marekani UHUSIANO kati ya Rais wa Marekani, Donald Trump, na Waziri Mkuu wa Italia, Giorgia Meloni, umeendelea kuwa gumzo na hata kuibua mjadala...

Yanga, Simba zasubiriana kwenye kona ubingwa NBC

Na Hassan Mwasha, Gazetini SASA ni wazi Yanga na Simba zitasubiri hadi keshokutwa Juni 30, 2026, ili kujua utakakoelekea ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu...

Afrika siyo kinyonge safari hii Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani MWAKA 2022, Morocco ilikuwa timu ya kwanza ya Afrika kufikia nusu fainali katika historia ya michuano ya Kombe la Dunia. Safari hii, kwa maana...

Maisha, utata wa kifo, maziko ya Rais Edgar Lungu (3)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya pili ya makala haya,tuliona Lungu akipoteza kiti cha urais mbele ya mpinzani wake, Hichilema, ambaye awali alimshinda mara...

Fei Toto hatanii, atupia tena kubaki kileleni

NA Hassan Mwasha NI kama kiungo wa Azam, Feisal Salum 'Fei Toto', amepania kuondoka na kiatu cha ufungaji bora msimu huu wa 2025-26 wa Ligi...

Jordan wabahatika kupishana na Messi

MEXICO CITY, Mexico KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Lionel Scaloni, amethibitisha kuwa atampumzisha nahodha wake, Lionel Messi, katika mchezo wao dhidi...

Simba yajipigia Singida, Mpanzu afikisha ‘asisti’ 10

Na Hassan Mwasha, Gazetini SIMBA ikiwa nyumbani katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamhuyo, imeondoka na pointi zote tatu baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi...

Yanga yaifumua TRA, Okello ana balaa zito

Na Hassan Mwasha KATIKA mwendelezo wa kujiimarisha kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara, Yanga imeibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya TRA...

Cape Verde wanasa kwa Argentina; watatoboa kweli?

MEXICO CITY, Mexico BAADA ya kuvuka hatua ya makundi, sasa timu ya soka ya Taifa ya Cape Verde imeangukia kwa mabingwa watetezi wa msimu huu...

32 Bora: Morocco kuendeleza ‘uteja’ kwa Uholanzi?

TORONTO, Canada NI mtihani kwa timu zote mbili katika kuwania tiketi ya kwenda hatua inayofuata ya 16 Bora ya msimu huu wa fainali za Kombe...

32 Bora: Paraguay siyo kinyonge kwa Ujerumani

MEXICO CITY, Ujerumani ZITAKUTANA katika mchezo wa hatua ya 32 Bora msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia. Mechi itachezwa keshokutwa (Juni 29, 2026). Licha...

Marekani, Iran ‘kimenuka’ tena

WASHINGTON DC, Marekani JESHI la Marekani limeishambulia Iran, zikiwa ni saa chache tu tangu Rais Donald Trump aliposema wenzao hao wamekiuka makubaliano ya Juni 17,...