Ads: info@gazetini.co.tz |
28.8 C
Dar es Salaam

Trump atishia kuishambulia tena Iran leo usiku

WASHINGRON, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema Marekani inaweza kuanzisha mashambulizi mengine makubwa dhidi ya Iran, akidai kuwa operesheni za kijeshi zilizofanyika usiku uliopita...

Habari Kuu

Jamii

Afya

MADRID, Hispania WATU zaidi ya 1,000 wamepoteza maisha kutokana na magonjwa yanayohusiana na kuongezeka kwa joto nchini Hispania. Taarifa hiyo inakuja wakati Hispania ikiwa imepata ongezeko kubwa zaidi la joto kuwahi kutokea kwa miaka ya hivi karibuni. Kwa mujibu...

Huyu ndiye tapeli hatari zaidi sekta ya Afya

LOS ANGELES, Marekani HIVI karibuni, Shirika la Ujasusi la Marekani (FBI) lilimtia mkononi mfanyabiashara maarufu, Ibrahim Khaldoon Hilmi, aliyekuwa akikimbia kukamatwa kwa miaka mingi. Khaldoom Hilmi aliyekamatwa akiwa Uturuki, anatajwa kujiingizia mabilioni ya fedha kwa njia za utapeli...

Ufaransa yatangaza daktari wake kupata Ebola

PARIS, Ufaransa MAMLAKA za afya nchini Ufaransa zimetangaza kisa cha kwanza cha maambukizi ya Ebola kwa daktari wake aliyetokea DRC. Daktari hyo alikuwa DRC katika programu ya Ufaransa kutoa msaada wa kibinadamu katika kukabiliana na ugonjwa huo. Kwa mujibu...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

DAKAR, Senegal MAPEMA wiki hii, Bunge la Senegal lilipitisha mabadiliko ya Katiba yaliyozua utata, yakimuondoshea madaraka makubwa aliyonayo Rais. Hatua hiyo iliibua mgogoro mkubwa, hata polisi kulazimika kutumia mabomunya machozi kurejesha hali ya utulivu nje ya ofisi za...

Urafiki uliogeuka uadui Trump, Waziri Mkuu wa Italia

WASHINGTON DC, Marekani UHUSIANO kati ya Rais wa Marekani, Donald Trump, na Waziri Mkuu wa Italia, Giorgia Meloni, umeendelea kuwa gumzo na hata kuibua mjadala wa aina yake kwenye duru za kisiasa ulimwenguni. Trump na Meloni walikuwa marafiki...

Israel, Marekani ‘zimechafua’ Uchaguzi Colombia?

BOGOTA, Colombia RAIS aliyeondoka madarakani nchini Colombia, Gustavo Petro, ameendelea kutokuyatambua matokeo yaliyompa ushindi Abelardo de la Espriella. De la Espriella (47), ameingia Ikulu akimpiku Ivan Cepeda katika Uchaguzi ulioanza Mei 31, 2026, na kurudiwa siku chache zilizopita...

Elimu

Wanafunzi 36 bado wanashikiliwa na watekaji

LAGOS, Nigeria WANAFUNZI 36, pamoja na mfanyakazi wa shule, bao hawajaachiwa na kikundi cha waasi, kwa mujibu wa Polisi nchini Nigeria. Mapema wiki hii, waasi hao wakiwa na silaha waliwateka wanafunzi na mwalimu wa Shule ya Sekondari ya...
Na Hassan Mwasha, Gazetini HIKI ni kipindi ambacho wazazi wako 'bize' na maandalizi ya shule kwa wanafunzi wanaokwenda kuianza safari ya elimu kwa masomo ya Kidato cha Tano nchini. Mwaka wa Masomo utaanza Julai, 2026. Ubize unatofautiana kati...

Mkenda: Hakuna mtoto atakayeachwa nyuma katika elimu

Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Serikali itaendelea kuhakikisha hakuna mtoto anayekosa haki ya kupata elimu, ikiwemo mabinti waliopata ujauzito, kama sehemu ya juhudi za kuimarisha usawa na ujumuishi...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Trump atishia kuishambulia tena Iran leo usiku

WASHINGRON, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema Marekani inaweza kuanzisha mashambulizi mengine makubwa dhidi ya Iran, akidai kuwa operesheni za kijeshi zilizofanyika usiku uliopita...

Baadhi ya maneno Morogoro na Tanga kukosa umeme

Na mwandishi wetu, Gazetini SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limetangaza kukatika kwa huduma ya umeme katika baadhi ya maeneo ya mikoa ya Morogoro na Tanga...

Kane, Alvarez nani kuziba pengo la Lewandowski?

CATALUNYA, Barcelona BADO mabosi wa Barcelona wanaumiza vichwa kujua ni straika yupi sahihi kati ya Julian Alvarez wa Atletico Madrid na Harry Kane wa Bayern...

Mahrez saini yake dili Serie A

MILAN, Italia JINA la winga wa kimataifa wa Algeria, Riyad Mahrez, limeingia kwenye rada za mabosi wa klabu kubwa za Ligi Kuu ya Italia (Serie...

Maajabu ya uwanja huu wa Kombe la Dunia 2026

MEXICO CITY, Mexico UWANJA wa Azteca unaopatikana Kusini mwa Mji Mkuu wa Mexico, Mexico City. Ni moja ya viwanja vya soka vyenye historia ya aina...

Nani haogopi kuchukua fomu ya urais Yanga?

Na Hassan Mwasha, Gazetini YANGA wanaelekea katika Uchaguzi Mkuu, ambapo mchakato huo wa kidemokrasia unatarajiwa kufanyika Agosti 2, 2026. Ukiwa ni mwezi mmoja kabla ya Uchaguzi,...

PPAA yashughulikia rufaa 58 kati ya 60 mwaka wa fedha 2025/26

-Yaiwezesha Serikali kupata thamani halisi ya fedha-Wadau ununuzi wa umma 2,600 wafikiwa mafunzo matumizi ya moduli Na Mwandishi wetu, Gazetini Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za...

Samatta astaafu kuichezea Taifa Stars

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Mbwana Samatta ametangaza kustaafu kuichezea timu hiyo aliyoitumikia kwa zaidi ya miaka...

Kane, Haaland kutunishia misuli robo fainali

LONDON, Uingereza NI rasmi sasa timu ya soka ya Taifa ya England itavaana na Norway katika hatua inayofuata ya robo fainali. Ni michuano ya Kombe la...

Mastaa wa soka wenye elimu kubwa duniani

LONDON, Uingereza KIUNGO wa zamani wa klabu za Valencia, Manchester United na Chelsea, Juan Mara, yumo kwenye orodha hii, akiwa na Shahada (Digrii) mbili. Digrii yake...

Pato: Baada ya kustaafu, siku hizi anakula maisha ukweni

RIO, Brazil UNAMKUMBUKA Alexandre Pato, kiungo wa zamani wa timu ya soka ya Taifa ya Brazil 'Selecao'? Alianza safari yake ya soka la kulipwa akiwa Internacional...

Beckham na mitego yake ya pesa inayompa maisha ya kibosi

LONDON, Uingereza MEI, 2026, Gazeti la Sunday Times lilimtaja David Beckham kuwa ndiye mwanamichezo pekee wa Uingereza aliyefikia hadhi ya kuitwa bilionea. Kwa mujibu wa chanzo...