29.2 C
Dar es Salaam

Heavenly Voice Gospel Band kuwafikia mashabiki

Na Mwandishi Wetu Heavenly Voice Gospel ambayo ni bendi ya muziki wa injili yenye maskani yake Marekani, imesema imeandaa nyimbo nyingi za kuwabariki mashabiki duniani...

Habari Kuu

Jamii

spot_img

Afya

TEHRAN, Iran WIZARA ya Afya ya Iran imeeleza kuwa watu zaidi ya 1,300 wamefariki na wengine zaidi ya 9,000 kujeruhiwa tangu nchi hiyo ilipoingia kwenye vita na Marekani na Israel. Kwa upande wa Lebanon, ambayo wapiganaji wake wa...

Hatua za Tanzania katika kutokomeza Malaria

Na mwandishi wetu, Gazetini TANZANIA imepiga hatua kubwa katika kupunguza athari za malaria, huku takwimu za hivi karibuni zikionyesha kupungua kwa vifo, maambukizi na wagonjwa wa ugonjwa huo katika kipindi cha miaka mitano iliyopita. Kwa mujibu wa Mganga...

Siku ya Usalama kazini 2026: Mambo muhimu kujua

Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI imesema jumla ya watu 3,557 wamepata ajali wakiwa kazini katika kipindi cha miaka mitatu kuanzia 2023 hadi 2025, huku watu 169 wakipoteza maisha kutokana na matukio hayo, hali inayoonesha ukubwa wa changamoto...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini RAIS wa Kenya, William Ruto, anatarajiwa kuhutubia Bunge la Tanzania Mei 5, 2026, hotuba itakayofuatliwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa. Akisoma tangazo la Katibu wa Bunge leo Aprili 29, 2026 Bungeni jijini Dodoma, Naibu...

Upinzani kumng’oa madarakani Benjamin Netanyahu?

JERUSALEM, Israel WAZIRI Mkuu wa Israel, Banjamin Netanyahu, anakabiliwa na upinzani mkali katika Uchaguzi Mkuu ujao utakaofanyika mwishoni mwa Oktoba, 2026. Ni baada ya vyama vikubwa viwili vya upinzani nchini humo kuungana, lengo likiwa ni kumng'oa madarakani. Vyama vilivyounganisha...

Aliyetaka kumuua Trump aliacha ujumbe kwa familia

WASHINGTON DC, Marekani SAKATA la mtuhumiwa wa tukio la kufyatua risasi katika halfa aliyokuwemo Rais Donald Trump limechukua sura mpya. Mwanaume huyo mwenye umri wa miaka 31, Cole Tomas Allen, alifanya tukio hilo jirani na walinzi wa Rais...
spot_imgspot_img

Elimu

Sehemu 10 pesa zilikojificha

Na Benjamin Madaha KATIKA kipindi hiki cha tatizo la ajira, watu wanatafuta pesa kila kukicha -wengine usiku na mchana na wengine hujaribu kuhama eneo moja kwenda eneo jingine kutafuta pesa. Wengine wamekuwa ombaomba, wengine wanalalamikia Serikali kubana hela...
spot_img
Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale SHERIA ya Tanzania haitambui kila kifo cha mtoto tumboni kama murder. Ili kosa la murder lisimame, lazima marehemu awe ametambulika kisheria kama mtu aliyezaliwa hai. Hapo ndipo kifungu cha 204 kinaingia. Kifungu cha...

Mambo usiyoyajua kisheria kuhusu kesi za mauaji-5

Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale KWA mujibu wa kifungu cha 15, mtoto aliye chini ya umri wa miaka 18 hawezi kushikiliwa kikamilifu kwa adhabu zinazohusiana na uhalifu mkubwa, ikiwa ni pamoja na adhabu ya kifo. Kifungu cha 26(2)...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Heavenly Voice Gospel Band kuwafikia mashabiki

Na Mwandishi Wetu Heavenly Voice Gospel ambayo ni bendi ya muziki wa injili yenye maskani yake Marekani, imesema imeandaa nyimbo nyingi za kuwabariki mashabiki duniani...

Rais Ruto kuhutubia Bunge la  Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini RAIS wa Kenya, William Ruto, anatarajiwa kuhutubia Bunge la Tanzania Mei 5, 2026, hotuba itakayofuatliwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa. Akisoma tangazo...

Adaiwa kumuua ‘EX’ kwa panga kisa nguvu za kiume

Na Mwandishi Wetu JESHI la Polisi mkoani Lindi linamshikilia Hassan Athuman Mpogo (46), mvuvi na mkazi wa Kata ya Somanga wilayani Kilwa, kwa tuhuma za...

Sekta ya Madini Tanzania; bajeti 2026/2027

Na mwandishi wetu, Gazetini BUNGE la Jamhuru ya Muungano wa Tanzania, limeridhia na kupitisha bajeti ya Wizara ya Madini ya sh bilioni 174.9 kwa Mwaka...

Changamoto ya afya ya akili kwa wajawazito

Na mwandishi wetu, Gazetini CHANGAMOTO ya afya ya akili ni moja ya maeneo nyeti kwa sasa, ikipewa umuhimu mkubwa kutokana na athari zake si tu...

Upinzani kumng’oa madarakani Benjamin Netanyahu?

JERUSALEM, Israel WAZIRI Mkuu wa Israel, Banjamin Netanyahu, anakabiliwa na upinzani mkali katika Uchaguzi Mkuu ujao utakaofanyika mwishoni mwa Oktoba, 2026. Ni baada ya vyama vikubwa...

Arsenal, Atletico kumaliza ubishi nusu fainali Ligi ya Mabingwa

LONDON, Uingereza ARSENAL watakuwa ugenini nchini Hispania kuwakabili Atletico Madrid katika mchezo wa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya utakaochezwa kesho Aprili 29, 2026. Baada...

PSG, Bayern ni ‘weka tuweke’ nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya

LONDON, Uingereza PSG wataikaribisha Bayern Munich katika nusu fainali ya kwanza msimu huu wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, mchezo utakaochezwa kesho Aprili 28, 2026 mjini...

Aliyetaka kumuua Trump aliacha ujumbe kwa familia

WASHINGTON DC, Marekani SAKATA la mtuhumiwa wa tukio la kufyatua risasi katika halfa aliyokuwemo Rais Donald Trump limechukua sura mpya. Mwanaume huyo mwenye umri wa miaka...

Rooney: Saka amerudi kuipa ubingwa Arsenal

LONDON, Uingereza MKONGWE wa Manchester United, Wayne Rooney, anaamini kurejea dimbani kwa Bukayo Saka kutaipa nguvu kubwa Arsenal katika mbio zake za ubingwa wa Ligi...

Becker akaribia kutua Juventus

MERSEYSIDE, England MLINDA mlango wa Liverpool, Alisson Becker, yuko kwenye hatua nzuri ya kujiunga na vigogo wa Serie A, Juventus. Juventus wanampigia hesabu Mbrazil huyo mwenye...

Yanga v Simba: Nani ‘ataacha ndala’ huko Visiwani?

Na mwandishi wetu, Gazetini WATOTO wa mjini wakikwambia ‘utaacha ndala’, huwa wanamaanisha utakutana na kitu kizito. Je, ni mashabiki wa Yanga au Simba watakaokutwa na...