Ads: info@gazetini.co.tz |
26.2 C
Dar es Salaam

Uganda, Kenya macho yote Yanga, Simba vita ya ubingwa Ligi Kuu Bara

Na Hassan Mwasha, Gazetini WAKATI Uganda na Kenya zikiwa zimeshapata mabingwa wa msimu huu katika Ligi Kuu zao, hapa nchini bado 'ugali moto, mboga moto'...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na mwandishi wetu, Gazetini HIYO ni kwa mujibu wa takwimu za tovuti ya Our World in Data, kwamba mbu ndiyo wadudu/wanyama wanaosababisha vifo vingi vya binadamu. Vifo 760,000 kwa mwaka. Kwa mujibu Our World in Data, mbu hueneza...

Usiyoyajua kuhusu ugonjwa wa mkwe wa Rais Trump

WASHINGTON DC, Marekani ALIYEWAHI kuwa mke wa mtoto wa Rais Donald Trump aitwaye Donald Trump Jr, Vanessa, amegundulika kuwa na ugonjwa wa saratani ya matiti. Vanessa amesema alifanyiwa vipimo mapema wiki hii na ndipo alipogundulika kuwa na ugonjwa...

WHO: Unywaji wa pombe chanzo cha vifo milioni 2 kila mwaka

NEW YORK, Marekani SHIRIKA la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) limeeleza katika ripoti yake ya hivi karibuni, kwamba unywaji wa pombe husababisha vifo milioni 2.6 kila mwaka. WHO imeeleza hayo, huku utumiaji wa kilevi hicho ukiendelea kushika...

Makala

Infographics

Siasa

DAKAR, Senegal IJUMAA ya wiki hii, Mei 22, 2026, Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, alimfuta kazi Waziri Mkuu wake, Ousmane Sonko, hatua iliyoambatana na kulivunja Baraza la Maawziri. Taarifa ya Sonko 'kutumbuliwa' haikuwashitua wengi, pia ikipokelewa kwa...

Rais wa Senegal ‘amtumbua’ Waziri Mkuu

DAKAR, Senegal RAIS WA Senegal, Bassirou Diomaye Faye, amemfuta kazi Waziri Mkuu wake, Ousmane Sonko, sambamba na kulivunja Baraza la Mawaziri. Aidha, taarifa za Waziri Mkuu kufutwa kazi zinakuja wakati Serikali ya Senegal ikitajwa kuelemewa na madeni ya...

Kwa nini Putin, Trump wanapishana angani kuikimbilia China?

BEIJING, China ZIARA ya Vladmir Putin nchini China inakuja zikiwa ni siku chache tu tangu Donald Trump wa Marekani alipomaliza mkutano wake na Rais Xi Jinping mjini Beijing. Tangu Urusi ilipojitenga na nchi za Magharibi baada ya kuivamia...

Elimu

Usiyoyajua kuhusu Siku ya Fistula itokanayo na uzazi

Na mwandishi wetu, Gazetini MEI 23, kama ambavyo hufanyika kila mwaka, Dunia inaadhimisha Siku ya Fistula itokanayo na uzazi, ambayo husababisha kwa asilimia 90 visa vya watoto wanaozaliwa wakiwa wameshafariki. Aidha, fistula ya uzazi huchangia asilimia 8% ya...
Na Hassan Mwasha MEI 27, 2026, waumini wa Dini ya Uislam wa Tanzania Bara na Visiwani Zanzibar wataungana na wenzao duniani kote kusherehekea Sikukuu ya 'Al-Adha'. Wengi wanaifahamu kwa jina la 'Sikukuu ya Kuchinja' kutokana na asili yake,...

Mbunge ataka shule jumuishi kila mkoa

Na Ramadhan Hassan, Gazetini Mbunge wa Viti Maalum anayewakilisha kundi la watu wenye ulemavu, Nasria Nasri Ally, ameishauri Serikali kujenga shule jumuishi katika kila mkoa ili kurahisisha upatikanaji wa elimu kwa watoto wenye ulemavu. Akichangia mjadala wa bajeti...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Uganda, Kenya macho yote Yanga, Simba vita ya ubingwa Ligi Kuu Bara

Na Hassan Mwasha, Gazetini WAKATI Uganda na Kenya zikiwa zimeshapata mabingwa wa msimu huu katika Ligi Kuu zao, hapa nchini bado 'ugali moto, mboga moto'...

Mabilionea wenye umri mdogo zaidi duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini TAKRIBANI nusu ya mabilionea wenye umri mdogo duniani (chini ya miaka 30) walipata utajiri huo kupitia biashara walizorithi kutoka katika familia...

Arsenal yatabiriwa kipigo fainali ya UEFA

LONDON, Uingereza BEKI wa zamani wa Manchester United, Gary Neville, ameitabiria ushindi PSG katika fainali yao ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Washika Bunduki...

Xabi Alonso apewa ushauri Chelsea

LONDON, Uingereza MKONGWE wa Ligi Kuu ya England (EPL), Paul Merson, amemtaka kocha mpya wa Chelsea, Xabi Alonso, kumrudisha kikosini straika Nicolas Jackson. Baada ya kushindwa...

Mabosi United wamrudisha mezani Bruno

MANCHESTER, Uingereza UONGOZI wa Manchester United umesitisha mpango wake wa kumpiga bei Bruno Fernandes baada ya kiwango kizuri alichokionesha kiungo huyo raia wa Ureno msimu...

Olise: Ureno haimtegemei tena Ronaldo

MUNICH, Ujerumani WINGA wa Bayern Munich, Michael Olise, amesema kwa sasa timu ya Taifa ya Ureno haimtegemei nahodha wake, Cristiano Ronaldo. Na badala yake, Olise raia...

Mama mzazi wa Hayati Magufuli afariki dunia Chato

Na mwandishi wetu, Gazetini MAMA mzazi wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dk. John Pombe Magufuli, Mama...

Nchi zinazoongoza matumizi ya AI duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA utafiti wake, Kampuni ya Microsoft imebaini kuwa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ndiyo nchi inayoongoza kwa matumizi ya 'akili-unde'...

Urafiki uliogeuka uadui kati ya Rais, Waziri Mkuu Senegal

DAKAR, Senegal IJUMAA ya wiki hii, Mei 22, 2026, Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, alimfuta kazi Waziri Mkuu wake, Ousmane Sonko, hatua iliyoambatana na...

Yanga yaibamiza Namungo, yarudi kileleni ikiisubiri Mashujaa

Na Hassan Mwasha, Gazetini YANGA imerejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara bada ya ushindi mnono wa mabao 3-1 walioupata mbele ya Namungo katika...

Mbu watajwa kuongoza vifo vya binadamu duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini HIYO ni kwa mujibu wa takwimu za tovuti ya Our World in Data, kwamba mbu ndiyo wadudu/wanyama wanaosababisha vifo vingi vya...

Ni kweli Iran inafadhili ugaidi au ni propaganda za Marekani?

TEHRAN, Iran MAREKANI inaitaja Iran kama mfadhili wa vikundi vyote vya kigaidi vilivyopo Mashariki ya Kati. Kwamba tangu ilipofanya mapinduzi mwaka 1979, imekuwa chanzo cha...