27.2 C
Dar es Salaam

HaloPesa yawawezesha mahitaji ya Sikukuu wakazi wa Visiga

Na Iman Nathaniel, Gazetini KUELEKEA sikukuu ya Eid El Fitr, Kampuni ya Halotel kupitia HaloPesa imetoa msaada wa mahitaji muhimu kwa familia zaidi ya 60...

Habari Kuu

Jamii

spot_img

Afya

Na mwandishi wetu, Gazetini UTAFITI mpya wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) umebaini kuwa wagonjwa wapya wa saratani zaidi ya milioni saba wangeweza kuepuka ugonjwa huo. Kwa mujibu wa ripoti ya WHO, takribani asilimia 40...

Iraq: Wanaosafiri nje ya nchi wanaongeza maambukizi Ukimwi

BAGHDAD, Iraq WIZARA ya Afya ya Iraq imeripoti ongezeko la maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi, huku ikitupa lawama kwa raia wa nchi hiyo wanaosafiri kwenda nje ya nchi. Wiki za hivi karibuni zimeshuhudia maambukizi mapya nane yaliyoripotiwa Kaskazini...

Serikali yaviagiza viwanda Pwani kuboresha mazingira ya kazi

Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI imeziagiza menejimenti za viwanda mkoani Pwani kuboresha mazingira ya kazi na maslahi ya wafanyakazi ili kuongeza uzalishaji wenye tija na endelevu. Agizo hilo limetolewa juzi na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

Washington, D.C. MKUU wa Kituo cha Taifa cha Kupambana na Ugaidi nchini Marekani, Joseph Kent, amejiuzulu wadhifa wake akipinga vikali vita vinavyoendelea dhidi ya Iran, akieleza kuwa havina uhalali wala manufaa kwa taifa hilo. Katika barua yake ya...

Visual| Marais ving’ang’anizi wa madaraka duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini FEBRUARI 28, 2026 imeingia kwenye kumbukumbu baada ya kuwa ndiyo siku aliyouawa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei, ambaye aliuawa katika  mashanbulizi ya kijeshi ya Marekani na Israel yanayoendelea nchini humo. Kwa upande mwingine,...

Kwa nini Urusi haiingilii kati kuisaidia Iran dhidi ya Marekani, Israel?

TEHRAN, Iran SAA chache baada ya Iran kuanza kushambuliwa makombora ya Marekani na Israel, Serikali ya Urusi ilitoa tamko zito. Mwakilishi wa Urusi ndani ya Umoja wa Mataifa (UN), Vassily Nebenzia, alilaani mashambulizi hayo akiyaita kuwa ni ubabe...
spot_imgspot_img

Elimu

Sababu 6 kubaki masikini ukiwa unapata pesa nyingi

HII ndiyo 'psychology' ya pesa ambayo watu wengi hawaielewi. Wengi wanafikiri umasikini unatokana na kukosa pesa. Lakini ukweli ni kwamba mara nyingi hunasababishwa na mtazamo wa pesa (money mindset). Unaweza kupata pesa nyingi lakini kama fikra zako hazijabadilika,...
spot_img
Na mwandishi wetu, Zanzibar WAKATI Zuhra (Si jina lake halisi) alipokuwa na umri wa miaka 17 tu, hatima ya maisha yake ilikuwa tayari imeanza kuamuliwa bila ridhaa yake. Katika jamii yake visiwani Zanzibar, mipango ya kumwozesha ilikuwa...

Mwangwi wa sheria| Mambo usiyoyajua kisheria kuhusu kesi za mauaji-4

Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale IFAHAMIKE kuwa kukiri kosa hakufungi mjadala wa kisheria. Kukiri kosa ni kitendo cha mshitakiwa kukubali kuwa alihusika katika kitendo cha jinai, lakini kukiri hakufanyi kesi kuisha au kuondoa wajibu wa mahakama kuchunguza...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

HaloPesa yawawezesha mahitaji ya Sikukuu wakazi wa Visiga

Na Iman Nathaniel, Gazetini KUELEKEA sikukuu ya Eid El Fitr, Kampuni ya Halotel kupitia HaloPesa imetoa msaada wa mahitaji muhimu kwa familia zaidi ya 60...

Morocco yatwaa ubingwa wa AFCON 2025 baada ya CAF kubatilisha matokeo ya fainali

Na mwandishi wetu, Gazetini TIMU ya taifa ya Morocco imetangazwa kuwa mabingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) kufuatia uamuzi wa Shirikisho la...

Vita ya Iran yatikisa Serikali ya Trump

Washington, D.C. MKUU wa Kituo cha Taifa cha Kupambana na Ugaidi nchini Marekani, Joseph Kent, amejiuzulu wadhifa wake akipinga vikali vita vinavyoendelea dhidi ya Iran,...

Sababu 6 kubaki masikini ukiwa unapata pesa nyingi

HII ndiyo 'psychology' ya pesa ambayo watu wengi hawaielewi. Wengi wanafikiri umasikini unatokana na kukosa pesa. Lakini ukweli ni kwamba mara nyingi hunasababishwa na mtazamo...

Mchechu: Kampuni kumbatieni uongozi uongozi wa kimkakati

Na mwandishi wetu, Gazetini MSAJILI wa Hazina, Nehemiah Mchechu, ametoa wito kwa wakurugenzi wa bodi na watendaji wakuu wa kampuni ambazo Serikali ina umiliki wa...

Unavyoweza kumkuza mtoto mwenye upendo na kujali wengine

Na mwandishi wetu, Gazetini MALEZI ya mtoto hayahusu chakula, mavazi au elimu pekee, bali pia maadili anayojifunza akiwa mdogo. Wazazi wengi hutamani kuona watoto wao...

Je, wewe unatumia teknolojia gani ya mtandao; 2G, 3G, 4G au 5G?

Na mwandishi wetu, Gazetini TANZANIA inaendelea kupiga hatua katika upatikanaji wa huduma za mawasiliano kupitia teknolojia mbalimbali za mitandao ya simu. Kwa mujibu wa ripoti ya...

Simulizi ya Zuhra na mapambano dhidi ya ndoa za utotoni

Na mwandishi wetu, Zanzibar WAKATI Zuhra (Si jina lake halisi) alipokuwa na umri wa miaka 17 tu, hatima ya maisha yake ilikuwa tayari imeanza kuamuliwa...

Kamati ya Bunge yaridhishwa na kiwanda cha nguzo za zege Tabora

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeridhishwa na maendeleo ya ujenzi na kuanza kwa uzalishaji katika Kiwanda cha...

Mwangwi wa sheria| Mambo usiyoyajua kisheria kuhusu kesi za mauaji-4

Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale IFAHAMIKE kuwa kukiri kosa hakufungi mjadala wa kisheria. Kukiri kosa ni kitendo cha mshitakiwa kukubali kuwa alihusika katika kitendo cha...

Trinity Rodman; Mchezaji ghali zaidi soka la wanawake duniani

LONDON, Uingereza MSHAMBULIAJI wa timu ya soka ya taifa ya Marekani, Trinity Rodman, amekuwa mchezaji anayelipwa mshahara mkubwa zaidi duniani kwa upande wa soka la...

Jela miaka 10 ukijihusisha na mapenzi ya jinsia moja Senegal

DAKAR, Senegal Bunge la Kitaifa la Senegal limepitisha kwa wingi muswada unaoongeza adhabu kwa watu wanaofanya mapenzi ya jinsia moja, hatua inayotarajiwa kuimarisha sheria zilizokuwepo...