Ads: info@gazetini.co.tz |
24 C
Dar es Salaam

Utajiri wa Musk unatosha kila mtu duniani kupewa 300,000/-

LOS ANGELES, Marekani ACHANA na milionea. Sahau pia kuhusu bilionea. Mfanyabiashara maarufu wa Marekani, Elon Musk, amekuwa trilionea kwa kwanza hapa duniani. Musk amefikia hadhi hiyo...

Habari Kuu

Jamii

Afya

KINSHASA, DRC MLIPUKO wa ugonjwa wa Ebola umeendelea kuwa gumzo si tu DRC ulikoanzia, bali pia nchi jirani za Afrika, ikiwamo Uganda, na sasa unatishia fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu. Michuano hiyo itaanza Juni 11,...

Hii ndiyo ICD, mashine ya moyo anayovaa Eriksen akiwa uwanjani

LONDON, Uingereza TANGU alipoanguka uwanjani wakati wa fainali za EURO 2020, straika wa timu ya Taifa ya Denmark, Christian Eriksen, amekuwa akivaa kifaa maalumu cha kusaidia mapigo ya moyo (implantable cardioverter defibrillator - ICD). Eriksen amekuwa na kifaa...

‘Nilitumia dawa za kulevya kuongeza nguvu za kiume, nikaishia pabaya’

Na Hassan Mwasha MAISHA ya Juma Mgota, mkazi wa Mtaa wa Muhalitan, Tandale jijini Dar es Salaam, yanaweza kuwa sehemu ndogo tu ya madhila wanayopitia vijana wengi walio kwenye urahibu wa dawa za kulevya 'unga'. Mgota (36), amebeba...

Makala

Infographics

Siasa

TEHRAN, Iran MAMLAKA za Iran zimetangaza kuwa kiongozi wake Mkuu aliyeuawa Februari, 2026, Ali Khamenei, atazikwa mwezi ujao, Julai 9, mjini Mashhad. Awali, Ali Khamenei alitarajiwa kuzikwa Machi, 2026 lakini ilishindikana kutokana na vita vinavyoendelea kati ya Iran...

Netanyahu kurejea au kung’oka madarakani Oktoba?

JERUSALEM, Israel WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, atawania tena nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu ujao, Chama chake cha Likud kimeeleza. Kwamba mwanasiasa huyo mwenye umri wa miaka 76, ambaye ameiongoza Israel tangu mwaka 2009, atawania kiti hicho...

Siasa za Afrika na kitendawili cha demokrasia

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA miaka ya hivi karibuni, baada ya kufuatilia chaguzi za Afrika, wachambuzi wa siasa wameibua kile wanachokiita mdororo wa afya ya demokrasia barani humu. Chaguzi zilizoharibiwa na sura za vitendo vya rushwa, hali ya...

Elimu

Uholanzi ilivyofanikiwa mfumo wa elimu, ajira kwa vijana

AMSTERDAM, Uholanzi KWA mujibu wa sheria za Uholanzi, ni lazima kwa watoto wenye umri kati ya miaka mitano hadi 16 kuwa shuleni. Pia, ni lazima kubaki shule au kwenye mafunzo ya ufundi hadi watakapotunukiwa vyeti au kutimiza...
Na mwandishi wetu, Gazetini Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema hakuna taifa linaloweza kubaki nyuma katika dunia ya sasa inayotawaliwa na teknolojia, akili bandia (AI), sayansi ya data, roboti na ubunifu wa kisasa. Akizungumza Juni 4, 2026...

Usiyoyajua kuhusu matumizi ya mirungi

Na mwandishi wetu, Gazetini MATUMIZI ya mirungi yana historia ndefu barani Afrika, yakitajwa kuanza miaka mingi iliyopita katika nchi za Ethiopia, Eritrea, Kenya na Somalia. Mirungi ni aina ya dawa ya kulevya inayotokana na mmea unaoitwa 'Catha edulis',...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Utajiri wa Musk unatosha kila mtu duniani kupewa 300,000/-

LOS ANGELES, Marekani ACHANA na milionea. Sahau pia kuhusu bilionea. Mfanyabiashara maarufu wa Marekani, Elon Musk, amekuwa trilionea kwa kwanza hapa duniani. Musk amefikia hadhi hiyo...

Ancelotti afunguka kilichoiponza Brazil kwa Morocco

NEW YORK, Marekani KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Brazil, Carlo Ancelotti, amesema sare ya bao 1-1 waliyoipata mbele ya Morocco ilitokana na...

Mtazamo wangu kuhusu uteuzi wa Haji Manara kwa soka la Tanzania

Na Hassan Mwasha Gazetini WIKI kadhaa zilizopita Ofisa habari wa zamani wa klabu za Simba na Yanga, Haji Manara, ameteuliwa na Waziri wa Habari, Sanaa,...

Mjamzito anusurika kuuawa na tembo

Na Malima Lubasha, Gazetini- Serengeti MWANAMKE mmoja mjamzito, Bhoke Mahumo (28), mkazi wa Kijiji cha Mbirikili, Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, amenusurika kufa baada ya...

Siri ugomvi wa Van Gaal, Di Maria wakiwa Old Trafford

MANCHESTER, Uingereza ANGEL di Maria alitua Manchester United mwaka 2014 akitokea Real Madrid, usajili wake wa Pauni milioni 59.7 ukivunja rekodi katika soka la Uingereza. Chanzo...

Mateso waliyopitia Liverpool msimu wa 2025-26

MERSEYSIDE, Uingereza LIVERPOOL waliuanza msimu huu wa 2025-26 wakiwa na matarajio makubwa ya kufanya vizuri baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL)...

Nchi zinazoongoza matumizi makubwa ya umeme duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini CHINA ndiyo nchi inayoongoza kwa matumizi ya kiwango kikubwa cha umeme duniani, ikifuatiwa na Marekani, India na Urusi, kwa mujibu wa...

Miezi mitatu baada ya kifo, Khamenei kuzikwa Julai

TEHRAN, Iran MAMLAKA za Iran zimetangaza kuwa kiongozi wake Mkuu aliyeuawa Februari, 2026, Ali Khamenei, atazikwa mwezi ujao, Julai 9, mjini Mashhad. Awali, Ali Khamenei alitarajiwa...

Haiti: Soka lilivyorejesha tabasamu la muda katikati ya vilio, simanzi

PORT-AU-PRINCE, Haiti HAITI ni Kisiwa kilichopo Caribbean, kikifahamika kwa hali yake mbaya ya usalama kutokana na machafuko yanayosababishwa na utitiri wa magenge ya uhalifu yaliyotapakaa...

Nani anayezalisha ‘wanyonge’ wanaomsumbua Waziri Mkuu?

Na Hassan Mwasha, Gazetini NIMEKUWA nikifuatilia kwa karibu ziara za Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt....

Mastaa wa soka wenye elimu kubwa duniani

LONDON, Uingereza KIUNGO wa zamani wa klabu za Valencia, Manchester United na Chelsea, Juan Mara, yumo kwenye orodha hii, akiwa na Shahada (Digrii) mbili. Digrii yake...

Vinicus Jr: Tutarudi kivingine, bado mapema

MEXICO CITY, Mexico WINGA wa timu ya Taifa ya Brazil, Vinicius, amesema sare ya bao 1-1 waliyopata katika mchezo wa kwanza dhidi ya Morocco umewapa...