Ads: info@gazetini.co.tz |
23.1 C
Dar es Salaam

Kris Jenner atangaza kifo cha ‘bi mkubwa’ wake

LOS ANGELES, Marekani MAMA mzazi wa mrembo anayetokea familia ya Kardashian, Kris Jenner, Mary Jo, amefariki akiwa na umri wa miaka 91. Kris (70), ndiye aliyetangaza...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na mwandishi wetu, Gazetini MTANZANIA, Gloria Majule, ameendelea kuiwakilisha vyema Tanzania katika jukwaa la kimataifa la sanaa baada ya kuibuka mshindi wa tuzo ya uandishi bora wa filamu inayohusu ugonjwa wa malaria nchini Marekani. Gloria, ambaye ni mwanafunzi...

WHO yaanza majaribio ya dawa ya kuzuia maambukizi ya ebola

DRC, Congo SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuanza kwa majaribio ya kwanza ya kitabibu ya dawa inayolenga kuzuia maambukizi ya Ebola kwa watu waliokaribiana na wagonjwa walioambukizwa virusi hivyo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC)...

WHO yaonya kuhusu kasi ya saratani

NEW YORK, Marekani SARATANI ni ugonjwa unaosababisha vifo 26,000 kila mwaka lakini idadi hiyo inatarajiwa kuongezeka mara mbili ifikapo mwaka 2050. Hiyo ni kwa mujibu wa ripoti mpya iliyotolea hivi karibuni na Shirika la Afya la Umoja wa...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

KYIV, Ukraine HATUA ya Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, kumuweka kando aliyekuwa Waziri wa Ulinzi, Mykhailo Fedorov, imezua mjadala ndani ya jeshi la nchi hiyo. Baadhi ya wanajeshi hawajavutiwa na kukubaliana na uamuzi huo wa kumwacha Fedorov katika...

Marekani yaipiga Iran kwa mara ya saba

TEHRAN, Iran JESHI la Marekani limetibitisha kufanya shambulizi la usiku kwa mara ya saba mfululizo nchini Iran. Huo ni mwendelezo wa Iran kushambuliwa usiku tangu Rais Donald Trump alipotangaza kuwa hakuna tena usitishaji wa vita. Katika taarifa yake baada...

Hezbollah waionya Serikali ya Lebanon

BEIRUT, Lebanon KUNDI linalohusishwa na ugaidi la Hezbollah limeionya Serikali ya Lebanon, likisema inaipeleka pabaya nchi hiyo ya Mashariki ya Kati. Mbunge mwandamizi wa Hezbollah, Ali Fayyad, amesema hayo akieleza kutokufurahishwa na hatua ya Serikali kukaa mezani na...

Elimu

Wananchi wengi wanaisikia Dira 2050, lakini…

Na mwandishi wetu, Gazetini Licha ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kuendelea kujadiliwa katika ngazi mbalimbali, bado wananchi wengi hawajaielewa kwa kina, jambo linaloonyesha umuhimu wa kuendelea kutoa elimu kwa umma. Mchumi kutoka Tume ya Taifa ya...
Na Esther Mnyika, Gazetini MFUMO wa fedha ulio salama na unaoaminika ni nguzo muhimu ya ukuaji wa uchumi na kuvutia uwekezaji. Hata hivyo, mafanikio hayo yanaweza kuhatarishwa ikiwa taasisi za kifedha zitatumiwa kutakatisha fedha haramu au kufadhili...

Ajali ya basi yaua wanafunzi 20, mmiliki wa shule 

KAMPALA, Uganda AJALI ya basi la shule imesababisha vifo vya wanafunzi 20, pamoja na mtu mzima mmoja, katika eneo la Kapchorwa, Mashariki mwa Uganda. Taarifa ya polisi imeeleza kuwa basi hilo lilibeba wanafunzi wa Shule ya King David, ikisadiki kuwa...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Kris Jenner atangaza kifo cha ‘bi mkubwa’ wake

LOS ANGELES, Marekani MAMA mzazi wa mrembo anayetokea familia ya Kardashian, Kris Jenner, Mary Jo, amefariki akiwa na umri wa miaka 91. Kris (70), ndiye aliyetangaza...

Safari ya Hispania kutinga fainali

MIAMI, Marekani HISTORIA inarudisha kilichotokea miaka 16 iliyopita, ambapo timu ya soka ya taifa ya Hispania ilitwaa ubingwa wa Kombe la Dunia ikiwa kwenye ardhi...

Safari ya Argentina kutinga fainali

MIAMI, Argentina ARGENTINA ya kocha Lionel Scaloni itaingia katika mchezo huo wa fainali dhidi ya Hispania ikiwa bingwa mtetezi kwa taji lake la miaka minne...

Rais Trump ageuka mchambuzi, amvaa Tuchel

MIAMI, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amekosoa mbinu za kocha Thomas Tuchel akisema ndizo zilizoigharimu timu ya soka ya taifa ya England katika nusu...

Aubameyang arudi La Liga, atua Deportivo

MADRID, Hispania STRAIKA wa zamani wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang, amejiunga na Deportivo La Coruna ya Ligi Kuu ya Hispania (La Liga). Nyota huyo raia wa Gabon...

Wakala afunguka Salah kutimkia Uturuki

MERSEYSIDE, Uingereza WAKALA wa Mohamed Salah, Ramy Abbas Issa, ameibuka na kukanusha taarifa zinazodai kuwa mshambuliaji huyo amekubali kujiunga na Besiktas ya Ligi Kuu nchini...

Burna Boy, Shakira kinawaka tena

MIAMI, Marekani MKALI wa Afrobeats, Burna Boy, amekutana kwa mara nyingine na staa wa muziki wa Pop, Shakira, kwa ajili ya shoo yao nyingine msimu...

Mpasuko jeshini baada ya Waziri ‘kutumbuliwa’

KYIV, Ukraine HATUA ya Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, kumuweka kando aliyekuwa Waziri wa Ulinzi, Mykhailo Fedorov, imezua mjadala ndani ya jeshi la nchi hiyo. Baadhi...

Marekani yaipiga Iran kwa mara ya saba

TEHRAN, Iran JESHI la Marekani limetibitisha kufanya shambulizi la usiku kwa mara ya saba mfululizo nchini Iran. Huo ni mwendelezo wa Iran kushambuliwa usiku tangu Rais...

Huyu hapa refa wa fainali Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani  ANAITWA Slavko Vincic, mwamuzi wa kati aliyeteuliwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kucheza mechi ya fainali msimu huu wa Kombe la...

Mechi 10 za kiume Kombe la Dunia 2026

BOSTON, Marekani MSIMU huu wa Kombe la Dunia unaelekea ukingoni. Fainali itachezwa kesho Jumapili, Julai 19, 2026, katika Uwanja wa MetLife nchini Marekani, ikizikutanisha Argentina...

Wananchi wengi wanaisikia Dira 2050, lakini…

Na mwandishi wetu, Gazetini Licha ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kuendelea kujadiliwa katika ngazi mbalimbali, bado wananchi wengi hawajaielewa kwa kina, jambo linaloonyesha...