Ads: info@gazetini.co.tz |
26.2 C
Dar es Salaam

Godbless Lema na kivuli cha ‘usaliti’ CHADEMA

Na Hassan Mwasha, Gazetini KWA nyakati na nyakati, jina la Gobless Lema limekuwa likiingia na kutoka katika shutuma za usaliti ndani ya Chama cha Demokrasia...

Habari Kuu

Jamii

Afya

LOS ANGELES, Marekani FIGO ya nguruwe iliyopandikizwa kwa mgonjwa imemsaidia kuishi siku 271, kwa mujibu wa madaktari nchini Marekani. Kwa mujibu wa mgonjwa huyo aliyefahamika kwa jina la Tim Andrews, figo hiyo ya nguruwe ilimpa tumaini la kuishi...

Maajabu ya kulala wikiendi kwa afya yako

Na mwandishi wetu, Gazetini KULALA kwa saa moja au mbili za ziada katika siku za mapumziko ya wiki (wikiendi) kunapunguza hatari ya kupata shinikizo la damu, utafiti umebaini. Katika hatua nyingine, wataalamu wameenda mbali zaidi wakishauri kuwa ni...

DC Chato: Huduma za OSHA ni muhimu kwa ukuaji wa uchumi

Na mwandishi wetu, Gazetini Mkuu wa Wilaya ya Chato, mkoani Geita, Louis Bura, amesema kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi katika Mkoa wa Geita imepelekea uhitaji wa huduma za usalama na afya mahali pa kazi kuongezeka ambapo...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

Na Hassan Mwasha, Gazetini KWA nyakati na nyakati, jina la Gobless Lema limekuwa likiingia na kutoka katika shutuma za usaliti ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo . Haikuanza jana na huenda hata hii ya sasa isiwe...

Charles Taylor; Alitoroka gerezani kulipiza kisasi kwa Rais ‘aliyemtumbua’

Na mwandishi wetu, Gazetini HISTORIA ya siasa za Afrika itaendelea kumkumbuka kama kielelezo cha viongozi wachache waliowahi kutumia vibaya nafasi zao. Alikuwa rais wa Liberia kuanzia Agosti 2, 1977, hadi alipojiuzulu Agosti 11, 2003, kisha kuhukumiwa kifungo cha...

Alejandro Betancourt; ‘Dalali’ wa Marekani mkataba wa mafuta Venezuela

CARACAS, Venezuela KWA sasa, Alejandro Betancourt anatarajiwa kama mtu muhimu katika mkataba wa mafuta ulioingiwa kati ya nchi yake ya Venezuela na Marekani, kwa mujibu wa Rais Donald Trump. Katika mkataba huo, ambao Trump anauita wa kihistoria duniani,...

Elimu

Msigwa atoa onyo kutumia vibaya vitambulisho vya NIDA

Na Esther Mnyika, Gazetini MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amewaonya wananchi dhidi ya kukabidhi vitambulisho au namba zao za Taifa kwa watu wengine kwa ajili ya kusajili laini za simu, akisema matumizi hayo yanaweza kuwaweka wamiliki...
Na Esther Mnyika, Gazetini BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imewataka wasanii, waandaaji wa burudani, watayarishaji wa maudhui na wadau wengine wenye ushawishi kwa jamii kutumia majukwaa yao kuwa mabalozi wa elimu ya fedha, ikiwemo kuhamasisha utunzaji sahihi...

Afrika na kigezo cha ‘digrii’ kuwania urais

Na mwandishi wetu, Gazetini KENYA imetangaza kuondosha kigezo cha kuwa na Shahada ya chuo kikuu kama kigezo cha mgombea wa kiti cha urais. Hii ni pamoja pia na wagombea wa Ugavana na Ubunge kuanzia Uchaguzi Mkuu ujao...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Godbless Lema na kivuli cha ‘usaliti’ CHADEMA

Na Hassan Mwasha, Gazetini KWA nyakati na nyakati, jina la Gobless Lema limekuwa likiingia na kutoka katika shutuma za usaliti ndani ya Chama cha Demokrasia...

Zidane agoma Benzema kurudi kikosini

PARIS, Ufaransa KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Zinedine Zidane, amefunga mlango kwa straika mkongwe, Karim Benzema, kurejea kikosini, licha ya kukiri...

Kinda United agombewa Ulaya

MANCHESTER, Uingereza MSHAMBULIAJI chipukizi wa Manchester United, JJ Gabriel, ameingia kwenye rada za klabu kubwa nne barani Ulaya, ikiwamo Barcelona. Kwa mujibu wa kituo cha televisheni...

Tottenham majanga tupu

LONDON, Uingereza BAADA ya kufungwa mabao 3-2 na Aston Villa, Tottenham imefikisha mechi tano za msimu huu wa Ligi Kuu ya England bila kupata ushindi. Kwa...

Gyokeres kutimkia Serie A?

LONDON, Uingereza MSHAMBULIAJI wa Arsenal, Viktor Gyokeres, anahusishwa na klabu nne za Ulaya, zikiwamo za Ligi Kuu ya Italia . Katika msimu wake wa kwanza Emirates,...

Rick Ross aliiba jina la muuzaji ‘unga’, aliacha soka kisa Hip Hop

LOS ANGELES, Marekani KAMA utataja wasanii wa Hip hop wakubwa nchini Marekani na duniani kwa ujumla, basi hutoacha kulitaja jina la William Leonard Roberts II,...

Mashabiki United walipomshangilia straika aliyewatungua ‘hat trick’

MANCHESTER, Uingereza STRAIKA mwenyewe ni huyu; Ronaldo Nazario, ambaye ametimiza umri wa miaka 50. Mshambuliaji mwenye historia ya kubeba tuzo mbili za Ballons d'Or na...

TRA United wao hata sare ‘freshi’ tu

Na Hassan Mwasha, Gazetini SIKIA hii! Usichokijua ni kwamba TRA United ya mkoani Tabora ndiyo timu inayoongoza kwa idadi kubwa ya sare kufikia hatua hii...

Hizi hazijaonja ushindi msimu huu Ligi Kuu Bara

Na Hassan Mwasha, Gazetini MAMBO magumu! Kagera Sugar na Pamba Jiji ndizo timu mbili pekee ambazo hadi kufikia hatua hii hazibahatika kupata ushindi, licha ya...

Pamba Jiji, Namungo kiboko kwa kugawa pointi

Na Hassan Mwasha, Gazetini HOI kabisa! Kufikia hatua hii ya msimu wa 2026-27 wa Ligi Kuu Bara, Pamba Jiji na Namungo ndizo zinazoongoza kwa kufungwa...

Mabao 127 yamefungwa Ligi Kuu Bara 2026-27

Na Hassan Mwasha, Gazetini MWENDO wa mabao tu! Kwa sasa ni mapumziko ya kupisha kalenda ya FIFA na kufikia hatua hii tayari mechi 98...

Yanga nyumbani, Simba wao ugenini

Na mwandishi wetu, Gazetini KILA mtu ashinde zake! Katika mechi nne walizocheza wakiwa nyumbani msimu huu wa Ligi Kuu Bara, mabingwa watetezi, Yanga, wameshinda zote,...