Ads: info@gazetini.co.tz |
20.2 C
Dar es Salaam

Uhaba wa mafuta wazua balaa Iran

TEHRAN, Iran SIKU chache tu baada ya Marekani kutangaza vikwazo vipya kwa Iran, uhaba wa mafuta umeripotiwa kuyakabili maeneo mengi ndani ya nchi hiyo ya...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na mwandishi wetu, Gazetini Mkuu wa Wilaya ya Chato, mkoani Geita, Louis Bura, amesema kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi katika Mkoa wa Geita imepelekea uhitaji wa huduma za usalama na afya mahali pa kazi kuongezeka ambapo...

Kamati ya Bunge yaishauri Serikali kuiongeza wataalam OSHA

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeishauri Serikali kuiongezea wataalam Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ili Taasisi hiyo iweze kuimarisha afya, usalama na ustawi...

Tume yabainisha matamanio ya Serikali kulinda afya na usalama wa watumishi wa umma

Na mwandishi wetu, Gazetini TUME ya Utumishi wa Umma imesema serikali ina nia ya dhati ya kuhakikisha watumishi wa umma wanakuwa salama na wenye afya njema na hivyo kutekeleza wajibu wao wa kuwahudumia wananchi ipasavyo. Kauli hiyo imeelezwa...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

TEHRAN, Iran SIKU chache tu baada ya Marekani kutangaza vikwazo vipya kwa Iran, uhaba wa mafuta umeripotiwa kuyakabili maeneo mengi ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu. Hilo limethibitishwa na foleni kubwa katika vituo vya mafuta katika mitaa nchini...

Waliouawa Gaza wafikia 900, watoto 301

JERUSALEM, Palestina WATU zaidi ya 900, wakiwamo watoto 301, wameuawa katika Ukanda wa Gaza na idadi hiyo ni kwa mwaka 2026 pekee. Takwimu hizo zimetolewa na Wizara ya Afya ya inayoongozwa na Serikali ya Kundi la Hamaz. Kwa ujumla,...

Usiyoyajua kuhusu mauaji ya halaiki ya Rwanda 1994 (4)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya tatu ya makala haya, tuliona kilichotokea Aprili 8, 1994, ambapo Spika wa Bunge, Theodore Sindikubwabo, alitangazwa kuwa Rais wa Mpito, kabla ya kuapishwa siku iliyofuata. Endelea … Miezi michache iliyofuata, vikundi...

Elimu

Msigwa atoa onyo kutumia vibaya vitambulisho vya NIDA

Na Esther Mnyika, Gazetini MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amewaonya wananchi dhidi ya kukabidhi vitambulisho au namba zao za Taifa kwa watu wengine kwa ajili ya kusajili laini za simu, akisema matumizi hayo yanaweza kuwaweka wamiliki...
Na Esther Mnyika, Gazetini BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imewataka wasanii, waandaaji wa burudani, watayarishaji wa maudhui na wadau wengine wenye ushawishi kwa jamii kutumia majukwaa yao kuwa mabalozi wa elimu ya fedha, ikiwemo kuhamasisha utunzaji sahihi...

Afrika na kigezo cha ‘digrii’ kuwania urais

Na mwandishi wetu, Gazetini KENYA imetangaza kuondosha kigezo cha kuwa na Shahada ya chuo kikuu kama kigezo cha mgombea wa kiti cha urais. Hii ni pamoja pia na wagombea wa Ugavana na Ubunge kuanzia Uchaguzi Mkuu ujao...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Uhaba wa mafuta wazua balaa Iran

TEHRAN, Iran SIKU chache tu baada ya Marekani kutangaza vikwazo vipya kwa Iran, uhaba wa mafuta umeripotiwa kuyakabili maeneo mengi ndani ya nchi hiyo ya...

Enzo alivyoweka rekodi mpya usajili EPL

LONDON, Uingereza DIRISHA kubwa la usajili wa kiangazi Ligi Kuu ya England lilifungwa Septemba 1, 2026, huku kiungo aliyetoka Chelsea na kutua Manchester City,...

EPL siyo mchezo kwa matumizi soko la usajili

LONDON, Uingereza KLABU za Ligi Kuu ya England zilitumia kiasi cha Pauni bilioni 3.46 katika soko la usajili wa majira haya ya kiangazi lililofungwa...

Simba, Yanga ‘afe kipa, afe beki’ wikiendi hii CAF

Na mwandishi wetu, Gazetini MSIMU huu wa 2026-27 wa michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika utaanza wikiendi hii, Septemba 4-6, 2026, ambapo zitachezwa mechi za...

Dili za ‘bei mbaya’ usajili wa kiangazi Ulaya 2026

LONDON, Uingereza HATIMAYE usajili wa majira ya kiangazi kwa mwaka 2026 ulifungwa rasmi juzi, Septemba 1, huku Enzo Fernandez aliyeondoka Chelsea akiwa ndiye mchezaji ghali...

Usajili umefungwa, simu za ‘mafundi’ hawa hazijaita

LONDON, Uingereza USAJILI wa dirisha kubwa barani Ulaya ulifungwa rasmi juzi, Septemba 1, 2026, huku baadhi ya wanasoka wenye majina makubwa wakibaki hawana klabu za...

Walioingia, waliotoka usajili kiangazi England – TOTTENHAM

LONDON, Uingereza DIRISHA kubwa la usajili wa kiangazi lilifungwa usiku wa juzi, Septemba 1, 2026 baada ya miezi zaidi ya mitatu tangu klabu mbalimbali za...

Walioingia, waliotoka usajili kiangazi England – NEWCASTLE UNITED

LONDON, Uingereza DIRISHA kubwa la usajili wa kiangazi lilifungwa usiku wa juzi, Septemba 1, 2026 baada ya miezi zaidi ya mitatu tangu klabu mbalimbali za...

Walioingia, waliotoka usajili kiangazi England – MAN UNITED

LONDON, Uingereza DIRISHA kubwa la usajili wa kiangazi lilifungwa usiku wa juzi, Septemba 1, 2026 baada ya miezi zaidi ya mitatu tangu klabu mbalimbali za...

Walioingia, waliotoka usajili kiangazi England – MAN CITY

LONDON, Uingereza DIRISHA kubwa la usajili wa kiangazi lilifungwa usiku wa juzi, Septemba 1, 2026 baada ya miezi zaidi ya mitatu tangu klabu mbalimbali za...

Walioingia, waliotoka usajili kiangazi England – LIVERPOOL

LONDON, Uingereza DIRISHA kubwa la usajili wa kiangazi lilifungwa usiku wa juzi, Septemba 1, 2026 baada ya miezi zaidi ya mitatu tangu klabu mbalimbali za...

Walioingia, waliotoka usajili kiangazi England – CHELSEA

LONDON, Uingereza DIRISHA kubwa la usajili wa kiangazi lilifungwa usiku wa juzi, Septemba 1, 2026 baada ya miezi zaidi ya mitatu tangu klabu mbalimbali za...