Ads: info@gazetini.co.tz |
22.8 C
Dar es Salaam

Wananchi wengi wanaisikia Dira 2050, lakini…

Na mwandishi wetu, Gazetini Licha ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kuendelea kujadiliwa katika ngazi mbalimbali, bado wananchi wengi hawajaielewa kwa kina, jambo linaloonyesha...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na mwandishi wetu, Gazetini MTANZANIA, Gloria Majule, ameendelea kuiwakilisha vyema Tanzania katika jukwaa la kimataifa la sanaa baada ya kuibuka mshindi wa tuzo ya uandishi bora wa filamu inayohusu ugonjwa wa malaria nchini Marekani. Gloria, ambaye ni mwanafunzi...

WHO yaanza majaribio ya dawa ya kuzuia maambukizi ya ebola

DRC, Congo SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuanza kwa majaribio ya kwanza ya kitabibu ya dawa inayolenga kuzuia maambukizi ya Ebola kwa watu waliokaribiana na wagonjwa walioambukizwa virusi hivyo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC)...

WHO yaonya kuhusu kasi ya saratani

NEW YORK, Marekani SARATANI ni ugonjwa unaosababisha vifo 26,000 kila mwaka lakini idadi hiyo inatarajiwa kuongezeka mara mbili ifikapo mwaka 2050. Hiyo ni kwa mujibu wa ripoti mpya iliyotolea hivi karibuni na Shirika la Afya la Umoja wa...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

BEIRUT, Lebanon KUNDI linalohusishwa na ugaidi la Hezbollah limeionya Serikali ya Lebanon, likisema inaipeleka pabaya nchi hiyo ya Mashariki ya Kati. Mbunge mwandamizi wa Hezbollah, Ali Fayyad, amesema hayo akieleza kutokufurahishwa na hatua ya Serikali kukaa mezani na...

Rais Trump ailipua China kisa Uchaguzi 2020

WASHINGTON DC, Marekani RAIS Donald Trump ameibuka na madai kuwa wapinzani wao wakubwa kiuchumi, China, walitia mkono katika Uchaguzi Mkuu wa Marekani wa mwaka 2020. Kwa mujibu wa Rais Trump, China iliweza kunasa rekodi za wapiga kura zaidi ya...

Iran inatishia au italipiza kisasi kifo cha Khamenei?

TEHRAN, Iran TANGU Iran ilipomzika Ayatollah Ali Khamenei siku chache zilizopita, mamlaka za nchi hiyo zimeahidi kulipiza kisasi kwa wahusika wa mauaji ya kiongozi wao huyo. Mtoto wake, Mojtaba Khamenei, ambaye ndiye kiongozi aliyechukua nafasi ya baba yake, alisema: "Tunaapa kulipiza...

Elimu

Wananchi wengi wanaisikia Dira 2050, lakini…

Na mwandishi wetu, Gazetini Licha ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kuendelea kujadiliwa katika ngazi mbalimbali, bado wananchi wengi hawajaielewa kwa kina, jambo linaloonyesha umuhimu wa kuendelea kutoa elimu kwa umma. Mchumi kutoka Tume ya Taifa ya...
Na Esther Mnyika, Gazetini MFUMO wa fedha ulio salama na unaoaminika ni nguzo muhimu ya ukuaji wa uchumi na kuvutia uwekezaji. Hata hivyo, mafanikio hayo yanaweza kuhatarishwa ikiwa taasisi za kifedha zitatumiwa kutakatisha fedha haramu au kufadhili...

Ajali ya basi yaua wanafunzi 20, mmiliki wa shule 

KAMPALA, Uganda AJALI ya basi la shule imesababisha vifo vya wanafunzi 20, pamoja na mtu mzima mmoja, katika eneo la Kapchorwa, Mashariki mwa Uganda. Taarifa ya polisi imeeleza kuwa basi hilo lilibeba wanafunzi wa Shule ya King David, ikisadiki kuwa...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Wananchi wengi wanaisikia Dira 2050, lakini…

Na mwandishi wetu, Gazetini Licha ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kuendelea kujadiliwa katika ngazi mbalimbali, bado wananchi wengi hawajaielewa kwa kina, jambo linaloonyesha...

BoT inavyolinda mfumo wa fedha dhidi ya utakatishaji

Na Esther Mnyika, Gazetini MFUMO wa fedha ulio salama na unaoaminika ni nguzo muhimu ya ukuaji wa uchumi na kuvutia uwekezaji. Hata hivyo, mafanikio hayo...

Kakurwa: OSHA ni taasisi muhimu katika kuchochea maendeleo ya Taifa

Na mwandishi wetu, Gazetini OFISI ya Msajili wa Hazina imesema Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ni miongoni mwa Taasisi muhimu kwa...

Hezbollah waionya Serikali ya Lebanon

BEIRUT, Lebanon KUNDI linalohusishwa na ugaidi la Hezbollah limeionya Serikali ya Lebanon, likisema inaipeleka pabaya nchi hiyo ya Mashariki ya Kati. Mbunge mwandamizi wa Hezbollah, Ali...

Rais Trump ailipua China kisa Uchaguzi 2020

WASHINGTON DC, Marekani RAIS Donald Trump ameibuka na madai kuwa wapinzani wao wakubwa kiuchumi, China, walitia mkono katika Uchaguzi Mkuu wa Marekani wa mwaka 2020. Kwa mujibu...

Guardiola humwambii kitu kwa Neymar

LONDON, Uingereza  KOCHA wa zamani wa Manchester City, Pep Guardiola, amemtaja Neymar kuwa ndiye mchezaji aliyetamani zaidi kufanya naye kazi. Wawili hao walipishana Barcelona kwani wakati Guardiola...

Zidane apigiwa chapuo kuinoa Ufaransa

LONDON, Uingereza  MKONGWE wa soka, Zlatan Ibrahimovic, amemtaka Zinedine Zidane kutua katika benchi la ufundi la timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa endapo atarudi kazini. Ibrahimovic...

Ajali ya basi yaua wanafunzi 20, mmiliki wa shule 

KAMPALA, Uganda AJALI ya basi la shule imesababisha vifo vya wanafunzi 20, pamoja na mtu mzima mmoja, katika eneo la Kapchorwa, Mashariki mwa Uganda. Taarifa ya polisi imeeleza...

‘Usikimbilie kuoa kama huna pesa’

LAGOS, Nigeria HUO ni ushauri wa staa wa mtandao wa TikTok nchini Nigeria, Amadou Elizabeth Aminata, maarufu kwa jina la Jarvis. Jarvis amekuja na ujumbe huo kwa...

Davido afichua kuhusu watoto wake

LAGOS, Nigeria  STAA wa Afrobeats, David Adeleke, maarufu Davido, amesema watoto wake wamemuuliza kwanini hawakupatikana kwa mama mmoja. Mwanamuziki huyo ana watoto sita katika mahusiano yake na...

Video ya Diamond yazua gumzo hatima ya Zuchu

Na mwandishi wetu, Gazetini SIKU chache tu baada ya taarifa za Diamond Platnumz kuachana na Zuchu, imeibuka video ya bosi huyo wa Lebo ya Wasafi...

Mwandishi mkongwe zaidi Kombe la Dunia 2026

MIAMI, Marekani AKIWA na umri wa miaka 91 kwa sasa, Enrique Macaya Marquez ni miongoni mwa waandishi wa habari walioko Marekani wakisubiri kuripoti mechi ya...