22.6 C
Dar es Salaam

Usiyoyajua kuhusu ugonjwa wa Ebola unaoitesa DRC

Na mwandishi wetu, Gazetini SHIRIKA la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) limetangaza hali ya dharura inayohitaji uangalizi wa kimataifa baada ya mlipuko wa ugonjwa...

Habari Kuu

Jamii

spot_img

Afya

Na Hassan Mwasha, Gazetini KATIKA moja ya nukuu zake maarufu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliwahi kutaja maradhi kuwa ni moja ya maadui watatu wa Taifa hili, akigusia pia umasikini na ujinga. Kwa kulitambua hilo, Serikali ya Awamu ya...

WHO: Virusi vya Hanta si sawa na vya Covid-19

GENEVA, Uswiz Hofu imeendelea kuongezeka duniani kufuatia mlipuko wa virusi vya Hanta (Hantavirus) ulioripotiwa ndani ya meli ya kifahari ya kitalii ya MV Hondius, baada ya watu watatu kupoteza maisha na wengine kadhaa kuendelea kupata matibabu. Hata...

Changamoto ya afya ya akili kwa wajawazito

Na mwandishi wetu, Gazetini CHANGAMOTO ya afya ya akili ni moja ya maeneo nyeti kwa sasa, ikipewa umuhimu mkubwa kutokana na athari zake si tu kwa mtu binafsi, bali pia kwa jamii na Taifa kwa ujumla. Katika mataifa...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

BEIJING, China RAIS Donald Trump aliwasili mjini Beijing Mei 13, 2026 kwa mkutano wa siku mbili na mwenyeji wake, Xi Jinping. Ni ziara ya kwanza ya Rais wa Marekani nchini China tangu Trump alipofanya hivyo katika awamu yake...

Ramaphosa alivyowekwa kwenye kona kashfa ya ‘Farmgate’

PRETORIA, Afrika Kusini KWA sasa, Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini anakabiliwa na tishio la kupigiwa kura ya kutokuwa na imani na rais. Amekuwa madarakani tangu mwaka 2018. Ramaphosa, kiongozi wa zamani wa Chama cha Wachimbaji wa Madini cha...

Museveni amekana kivuli chake akiwa amesahau au makusudi?

Na Hassan Mwasha, Gazetini RAIS Yoweri Museveni ameapishwa kuanza awamu yake ya saba baada ya ushindi katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Januari, 2026, akiandika historia ya kuwa mmoja ya viongozi waliodumu Ikuku kwa miaka mingi. Hafla ya kuapishwa kwake...
spot_imgspot_img

Elimu

Mbunge ataka shule jumuishi kila mkoa

Na Ramadhan Hassan, Gazetini Mbunge wa Viti Maalum anayewakilisha kundi la watu wenye ulemavu, Nasria Nasri Ally, ameishauri Serikali kujenga shule jumuishi katika kila mkoa ili kurahisisha upatikanaji wa elimu kwa watoto wenye ulemavu. Akichangia mjadala wa bajeti...
spot_img
Na Ramadhan Hassan, Gazetini WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imepanga kujenga madarasa 1,360 ili kuimarisha utekelezaji wa sera ya elimu ya miaka 10 ya lazima, sambamba na kuongeza miundombinu ya kufundishia na kujifunzia katika shule za...

Bajeti ya Elimu 2026/27 Sh trilioni 2.39, yaweka mkazo ubora na ujuzi

Na Ramadhan, Hassan, Gazetini SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeiomba Bunge kuidhinisha jumla ya Sh trilioni 2.39 kwa mwaka wa fedha 2026/27 ili kutekeleza vipaumbele vitano vinavyolenga kuinua ubora wa elimu na kuendana na...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Usiyoyajua kuhusu ugonjwa wa Ebola unaoitesa DRC

Na mwandishi wetu, Gazetini SHIRIKA la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) limetangaza hali ya dharura inayohitaji uangalizi wa kimataifa baada ya mlipuko wa ugonjwa...

Ufalme wa Chama: Jinsi alivyotawala soka la Bongo

Na Hassan Mwasha, Gazetini MJADALA mkubwa kwa sasa katika soka la Tanzania, hasa Ligi Kuu Bara, ni kiwango bora alichonacho kiungo wa kimataifa wa Zambia,...

Misimu 5 KMC ikiwindwa kushuka daraja Ligi Kuu Bara

Na Hassan Mwasha, Gazetini KWA misimu mitano ya hivi karibuni, KMC imekuwa ikinusurika kwenye mtego wa kushuka daraja lakini huenda safari hii ikashindwa kujinasua na...

Mbeya City na ‘ICU’ inayotishia kuwarudisha Championship

Na Hassan Mwasha, Gazetini BAADA ya kukosekana kwa misimu miwili mfululizo, safari hii Mbeya City bado inapitia wakati ngumu msimu huu wa Ligi Kuu Bara...

Dangote aishukuru Serikali ya Dk. Samia

Na mwandishi wetu, Gazetini MWENYEKITI na Mtendaji Mkuu wa Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote, ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dk. Samia...

Lewandowski kukipiga wapi msimu ujao?

CATALUNYA, Hispania MSHAMBULIAJI mkongwe wa Barcelona, Robert Lewandowski, ataondoka klabuni hapo mwishoni mwa Juni, 2026. Lewandowski (37), alijiunga na Barcelona mwaka 2022 akitokea Bayern Munich na...

Man City ilivyovunja rekodi kwa Chelsea

MANCHESTER, Uingereza BAADA ya kuifunga Chelsea bao 1-0, Manchester City si tu imetwaa ubingwa wa Kombe la FA, bali pia imeandika historia mpya kwenye michuano...

Kocha Chelsea aitangazia vita Man City

LONDON, Uingereza KOCHA wa muda wa Chelsea, Calum McFarlane, amesema hawana cha kuambulia msimu huu zaidi ya Kombe la FA, hivyo lazima wapambane kuifunga Manchester...

Rio: United mpeni kazi Luis Enrique

LONDON, Uingereza LEJENDARI wa Ligi Kuu ya England (EPL), Rio Ferdinand, amesema kama si Michael Carrick, basi Luis Enrique wa PSG ndiye kocha sahihi wa...

Dakika 20,70 za Ibenge ndani ya ligi kuu bara

Na Hassan Mwasha, Gazetini KOCHA mwenye 'CV' kubwa katika soka la Afrika, Florent Ibenge, ametimiza dakika dakika 20,70 tangu alipoanza kuisimamia Azam katika mechi za...

Azam, TRA United zilivyoshikilia ubingwa wa Yanga

Na Hassan Mwasha, Gazetini YANGA iko kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara ikiwa na pointi 54, wakati Simba iko nafasi ya pili kwa tofauti...

Simba kazi ipo hapa kutwaa ubingwa ligi kuu bara

Na Hassan Mwasha, Gazetini SIMBA ikiwa nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara, haipaswi kupoteza hata mchezo mmoja, huku ikiiombea dua mbaya Yanga...