Ads: info@gazetini.co.tz |
25.4 C
Dar es Salaam

Uchumi wazidi kupaa, umasikini wapungua nchini

Na mwandishi wetu, Gazetini LICHA ya changamoto za kidunia, ukiwamo mgogoro wa Mashariki ya Kati unaozihuisha Marekani na Israel dhidi ya Iran, uchumi wa Tanzania...

Habari Kuu

Jamii

Afya

LONDON, Uingereza TANGU alipoanguka uwanjani wakati wa fainali za EURO 2020, straika wa timu ya Taifa ya Denmark, Christian Eriksen, amekuwa akivaa kifaa maalumu cha kusaidia mapigo ya moyo (implantable cardioverter defibrillator - ICD). Eriksen amekuwa na kifaa...

‘Nilitumia dawa za kulevya kuongeza nguvu za kiume, nikaishia pabaya’

Na Hassan Mwasha MAISHA ya Juma Mgota, mkazi wa Mtaa wa Muhalitan, Tandale jijini Dar es Salaam, yanaweza kuwa sehemu ndogo tu ya madhila wanayopitia vijana wengi walio kwenye urahibu wa dawa za kulevya 'unga'. Mgota (36), amebeba...

Wanawake hatarini zaidi Ebola, maambukizi yafika Brazil

KINSHASA, DRC WATAALAMU wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) wameonya kuwa wanawake ndilo kundi lililo hatarini zaidi kupata maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Ebola nchini DRC. Wakati huo huo, zipo taarifa kuwa visa viwili...

Makala

Infographics

Siasa

JERUSALEM, Israel WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, atawania tena nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu ujao, Chama chake cha Likud kimeeleza. Kwamba mwanasiasa huyo mwenye umri wa miaka 76, ambaye ameiongoza Israel tangu mwaka 2009, atawania kiti hicho...

Siasa za Afrika na kitendawili cha demokrasia

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA miaka ya hivi karibuni, baada ya kufuatilia chaguzi za Afrika, wachambuzi wa siasa wameibua kile wanachokiita mdororo wa afya ya demokrasia barani humu. Chaguzi zilizoharibiwa na sura za vitendo vya rushwa, hali ya...

Marekani yamwekea vikwazo Rais wa Cuba, familia yake

HAVANA, Cuba SERIKALI ya Marekani imetangaza vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Rais wa Cuba, Miguel Diaz-Canel, pamoja na familia yake. Taarifa ya vikwazo hivyo pia inaihusu familia ya Rais wa zamani wa Cuba, Raul Castro, licha ya kwamba...

Elimu

Uholanzi ilivyofanikiwa mfumo wa elimu, ajira kwa vijana

AMSTERDAM, Uholanzi KWA mujibu wa sheria za Uholanzi, ni lazima kwa watoto wenye umri kati ya miaka mitano hadi 16 kuwa shuleni. Pia, ni lazima kubaki shule au kwenye mafunzo ya ufundi hadi watakapotunukiwa vyeti au kutimiza...
Na mwandishi wetu, Gazetini Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema hakuna taifa linaloweza kubaki nyuma katika dunia ya sasa inayotawaliwa na teknolojia, akili bandia (AI), sayansi ya data, roboti na ubunifu wa kisasa. Akizungumza Juni 4, 2026...

Usiyoyajua kuhusu matumizi ya mirungi

Na mwandishi wetu, Gazetini MATUMIZI ya mirungi yana historia ndefu barani Afrika, yakitajwa kuanza miaka mingi iliyopita katika nchi za Ethiopia, Eritrea, Kenya na Somalia. Mirungi ni aina ya dawa ya kulevya inayotokana na mmea unaoitwa 'Catha edulis',...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Uchumi wazidi kupaa, umasikini wapungua nchini

Na mwandishi wetu, Gazetini LICHA ya changamoto za kidunia, ukiwamo mgogoro wa Mashariki ya Kati unaozihuisha Marekani na Israel dhidi ya Iran, uchumi wa Tanzania...

Bafana Bafana waitangazia vita Czech

MEXICO CITY, Mexico BAADA ya kufungwa mabao 2-0 na wenyeji Mexico, beki wa timu ya soka ya Taifa ya Afrika Kusini 'Bafana Bafana', Ime Okon,...

Iran: Trump anajidanganya, vita bado mbichi

TEHRAN, Iran BAADA ya Rais wa Marekani, Donald Trump, kudai kuwa mazungumzo ya kumaliza vita yao na Iran yako kwenye hatua za mwisho, uongozi wa...

Mradi wa maziwa waiongezea tija Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Tanga SERIKALI imeomba kuendelezwa kwa ushirikiano kati ya Tanzania na Ireland kupitia Awamu ya Pili ya Mradi wa Maziwa Faida kuanzia mwaka...

Thomas Tuchel: Kutoka uhudumu wa baa hadi ukocha Kombe la Dunia

LONDON, Uingereza WAKATI timu ya soka ya Taifa ya England inacheza Kombe la Dunia mwaka 1998, kocha wao wa sasa, Thomas Tuchel, alikuwa muhudumu wa...

Netanyahu kurejea au kung’oka madarakani Oktoba?

JERUSALEM, Israel WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, atawania tena nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu ujao, Chama chake cha Likud kimeeleza. Kwamba mwanasiasa huyo mwenye umri...

Aliyetokea benchi aiokoa Korea Kusini mbele ya Czech

ZAPOPAN, Mexico TIMU ya soka ya Taifa ya Korea ya Kusini imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Jamhuri ya Czech katika mchezo wa alfajiri...

Airtel Africa inavyochochea uchumi na kutunza mazingira Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMPUNI ya Airtel Africa imeendelea kuimarisha mchango wake katika maendeleo ya kijamii, kiuchumi na mazingira barani Afrika baada ya kuongeza upatikanaji...

Mexico yaizima Afrika, yaitandika Bafana Bafana

MEXICO City, Mexico TIMU ya soka ya Taifa ya Afrika Kusini 'Bafana Bafana' imeanza na mguu mbaya fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu...

‘Special One’ atambulishwa Santiago Bernabeu

MADRID, Hispania KLABU ya Real Madrid imemtambulisha rasmi Jose Mourinho kuwa kocha wao. Mreno huyo mwenye umri wa miaka 63 amesaini mkataba wa miaka mitatu...

UEFA yamkabidhi PSG refa aliyebaniwa Kombe la Dunia

MOGADISHU, Somalia ZIKIWA ni siku chache tu tangu alipozuiwa kuingia Marekani, hivyo kukosa nafasi ya kuchezesha Kombe la Dunia, mwamuzi raia wa Somalia, Omar Artan,...

Shabiki afariki akiingia uwanjani Kombe la Dunia

MEXICO CITY, Mexico SHABIKI wa soka mwenye umri wa miaka 80 amefariki muda mfupi kabla ya kuingia uwanjani kuitazama Mexico ikivaana na Afrika Kusini katika...