Ads: info@gazetini.co.tz |
27.2 C
Dar es Salaam

Watatu wakamatwa mauaji ya mwanamuziki

LONDON, Uingereza POLISI nchini Uingereza wamewakamata watu watatu wanaohusishwa na tukio la kuuawa kwa staa wa muziki mwenye asili ya Nigeria, Mark Orabiyi. Orabiyi aliyeuawa akiwa...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na Hassan Mwasha MAISHA ya Juma Mgota, mkazi wa Mtaa wa Muhalitan, Tandale jijini Dar es Salaam, yanaweza kuwa sehemu ndogo tu ya madhila wanayopitia vijana wengi walio kwenye urahibu wa dawa za kulevya 'unga'. Mgota (36), amebeba...

Wanawake hatarini zaidi Ebola, maambukizi yafika Brazil

KINSHASA, DRC WATAALAMU wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) wameonya kuwa wanawake ndilo kundi lililo hatarini zaidi kupata maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Ebola nchini DRC. Wakati huo huo, zipo taarifa kuwa visa viwili...

Virusi hivi vya Ebola vimeshindikana, havina chanzo wala tiba

Na mwandishi wetu, Gazetini MAAMBUKIZI ya virusi vya Ebola yameendelea kuripotiwa huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kama ilivyo kwa majirani zao, Uganda, huku wataalamu wa afya wakizitahadharisha nchi zingine za Afrika. Idadi ya vifo kwa upande...

Makala

Infographics

Siasa

HAVANA, Cuba SERIKALI ya Marekani imetangaza vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Rais wa Cuba, Miguel Diaz-Canel, pamoja na familia yake. Taarifa ya vikwazo hivyo pia inaihusu familia ya Rais wa zamani wa Cuba, Raul Castro, licha ya kwamba...

Kiongozi wa upinzani Guinea aendelea kushikiliwa

BISSAU, Guinea Bissau MAHAKAMA ya kijeshi ya Guinea Bissau imeagiza kiongozi wa siasa za upinzani nchini humo, Domingos Simoes Pereira, kuendelea kushikiliwa. Mwanasiasa huyo anayetumikia kifungo cha ndani anakabiliwa na mashitaka ya kusuka mpango wa kuipindua Serikali. Pereira, kiongozi...

Rais mstaafu Colombia amjia juu Trump

BOGOTA, Colombia RAIS aliyemaliza muda wake nchini Colombia, Gustavo Petro, amemnyooshea kidole Donald Trump wa Marekani kwa hatua yake ya kumuunga mkono mgombea wa urais Abelardo de la Espriella. De la Espriella (47), amemzidi kura Seneta Ivan Cepeda katika...

Elimu

Uholanzi ilivyofanikiwa mfumo wa elimu, ajira kwa vijana

AMSTERDAM, Uholanzi KWA mujibu wa sheria za Uholanzi, ni lazima kwa watoto wenye umri kati ya miaka mitano hadi 16 kuwa shuleni. Pia, ni lazima kubaki shule au kwenye mafunzo ya ufundi hadi watakapotunukiwa vyeti au kutimiza...
Na mwandishi wetu, Gazetini Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema hakuna taifa linaloweza kubaki nyuma katika dunia ya sasa inayotawaliwa na teknolojia, akili bandia (AI), sayansi ya data, roboti na ubunifu wa kisasa. Akizungumza Juni 4, 2026...

Usiyoyajua kuhusu matumizi ya mirungi

Na mwandishi wetu, Gazetini MATUMIZI ya mirungi yana historia ndefu barani Afrika, yakitajwa kuanza miaka mingi iliyopita katika nchi za Ethiopia, Eritrea, Kenya na Somalia. Mirungi ni aina ya dawa ya kulevya inayotokana na mmea unaoitwa 'Catha edulis',...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Watatu wakamatwa mauaji ya mwanamuziki

LONDON, Uingereza POLISI nchini Uingereza wamewakamata watu watatu wanaohusishwa na tukio la kuuawa kwa staa wa muziki mwenye asili ya Nigeria, Mark Orabiyi. Orabiyi aliyeuawa akiwa...

Staa wa filamu afunguka mazito aliyofanyiwa na mkewe

LAGOS, Nigeria MWIGIZAJI mkongwe wa Nigeria, Tioruju Mondusi, amefichua kuwa aliwahi kuambiwa na mkewe, kwamba kati ya watoto wao watano kwenye ndoa yao, wawili wana...

Akataa Michael Jackson kuitwa Mfalme wa Pop

ACCRA, Ghana WAKATI dunia ikitambua kuwa Michael Jackson (sasa marehemu) ndiye 'King of Pop', ameibuka msanii mwingine mwenye mtazamo tofauti. Ndiyo, nyota wa muziki nchini Marekani,...

Usajili dirisha kubwa Ulaya: Nani aondoke, nani abaki? – MAN UNITED

MANCHESTER, Uingereza WALIMALIZA msimu wa 2025-26 wakiwa nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya England (EPL) na kukata tiketi ya kwenda Ligi ya...

Mabeki wa kati wa bei mbaya Kombe la Dunia 2026

LONDON, Uingereza FAINALI za Kombe la Dunia zitaanza Juni 11, 2026, zikitarajiwa kufikia mwezi mmoja baadaye (Julai 19), safari hii zikifanyika Marekani, Mexico na Canada. Nyota...

Kombe la Dunia 2026: Hawa hapa viungo wa kati wa bei kubwa sokoni

LONDON, Uingereza KUELEKEA fainali za Kombe la Dunia, yapo mengi ya kuvutia lakini kubwa ni kuona viungo wa kati (namba 8) wa viwango vya juu...

Usajili dirisha kubwa Ulaya: Nani aondoke, nani abaki? – MAN CITY

MANCHESTER, Uingereza MANCHESTER City itauanza msimu ujao (2026-27) bila kocha raia wa Hispania, Pep Guardiola. Enzo Maresca aliyewahi kuinoa Chelsea ndiye atakayekuwa kwenye benchi la...

Usajili dirisha kubwa Ulaya: Nani aondoke, nani abaki? – ARSENAL

LONDON, Uingereza BAADA ya ubingwa wao wa kwanza wa Ligi Kuu ya England tangu mwaka 2004, Arsenal wataingia msimu ujao wa 2026-27 wakiwa mabingwa watetezi. Pia,...

Usajili dirisha kubwa Ulaya: Nani aondoke, nani abaki? – CHELSEA

LONDON, Uingereza MSIMU wa 2025-26 haukuwa mzuri kwao. Chelsea walimaliza mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya England wakiwa nafasi ya 10 kwenye msimamo. Hawatoshiriki...

Hii ndiyo ICD, mashine ya moyo anayovaa Eriksen akiwa uwanjani

LONDON, Uingereza TANGU alipoanguka uwanjani wakati wa fainali za EURO 2020, straika wa timu ya Taifa ya Denmark, Christian Eriksen, amekuwa akivaa kifaa maalumu cha...

Wananchi wa Iran walia vita kupaisha bei ya vyakula

TEHRAN, Iran KUPANDA kwa gharama za maisha ni moja ya changamoto kubwa wanazopitia raia wa Iran kipindi hiki nchi yao ikiwa kwenye vita dhidi ya...

Uholanzi ilivyofanikiwa mfumo wa elimu, ajira kwa vijana

AMSTERDAM, Uholanzi KWA mujibu wa sheria za Uholanzi, ni lazima kwa watoto wenye umri kati ya miaka mitano hadi 16 kuwa shuleni. Pia, ni lazima...