Ads: info@gazetini.co.tz |
23.4 C
Dar es Salaam

ICC yakomalia uhalifu dhidi ya binadamu Sudan

HAGUE, Uholanzi MAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) imeendelea kulaani kinachoendelea Sudan, ikisema upo ushahidi wa uwepo wa matukio ya uhalifu dhidi ya...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na mwandishi wetu, Gazetini UTAFITI uliochapishwa katika Jarida la JAMA unaoonesha kuwa mmoja kati ya watu watano nchini Marekani wanafanya maamuzi ya kinga na tiba kwa kufuata taarifa wanazopata mitandaoni. Mtaalamu wa afya na mhadhiri wa Chuo Kikuu...

Ebola katikati ya Serikali, waasi wa M23

KINSHASA, DRC KUNDI la waasi la M23 linajivunia idadi ndogo ya maambukizi ya Ebola katika maeneo yake, likidai kuwa hilo linathibitisha uwezo wake mkubwa wa kuongoza. M23 wanashikilia maeneo mengi ya Kaskazini na Kusini mwa majimbo ya Kivu,...

Kakurwa: OSHA ni taasisi muhimu katika kuchochea maendeleo ya Taifa

Na mwandishi wetu, Gazetini OFISI ya Msajili wa Hazina imesema Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ni miongoni mwa Taasisi muhimu kwa maendeleo ya Tanzania kutokana na jukumu lake la msingi la kusimamia masuala...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

HAGUE, Uholanzi MAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) imeendelea kulaani kinachoendelea Sudan, ikisema upo ushahidi wa uwepo wa matukio ya uhalifu dhidi ya binadamu katika vita vinavyoendelea nchini humo. Mmoja ya vigogogo wa ICC, Nazhat Shameem...

Kiwango cha umasikini duniani

NEW YORK, Marekani MIAKA 10 iliyopita, Umoja wa Mataifa ulipitisha azimio la kumaliza aina zote za umasikini, kuhakikisha usawa katika jamii, pamoja na kudhibiti majanga yatokanayo na mabadiliko ya hali ya hewa. Kupitia Mpango wake wa Maendeleo Endelevu,...

‘Mende’ wa India wanavyompasua kichwa Waziri Mkuu

NEW DELHI, India MAANDAMANO makubwa ya vijana nchini India yanaipa wakati mgumu Serikali ya Waziri Mkuu, Narendra Modi. Gen-Z hao kupitia Chama chao cha 'Vijana wa Mende' (CJP) wameingia barabarani na maandamano yao yamesababisha majeruhi zaidi ya 200,...

Elimu

Wananchi wengi wanaisikia Dira 2050, lakini…

Na mwandishi wetu, Gazetini Licha ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kuendelea kujadiliwa katika ngazi mbalimbali, bado wananchi wengi hawajaielewa kwa kina, jambo linaloonyesha umuhimu wa kuendelea kutoa elimu kwa umma. Mchumi kutoka Tume ya Taifa ya...
Na Esther Mnyika, Gazetini MFUMO wa fedha ulio salama na unaoaminika ni nguzo muhimu ya ukuaji wa uchumi na kuvutia uwekezaji. Hata hivyo, mafanikio hayo yanaweza kuhatarishwa ikiwa taasisi za kifedha zitatumiwa kutakatisha fedha haramu au kufadhili...

Ajali ya basi yaua wanafunzi 20, mmiliki wa shule 

KAMPALA, Uganda AJALI ya basi la shule imesababisha vifo vya wanafunzi 20, pamoja na mtu mzima mmoja, katika eneo la Kapchorwa, Mashariki mwa Uganda. Taarifa ya polisi imeeleza kuwa basi hilo lilibeba wanafunzi wa Shule ya King David, ikisadiki kuwa...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

ICC yakomalia uhalifu dhidi ya binadamu Sudan

HAGUE, Uholanzi MAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) imeendelea kulaani kinachoendelea Sudan, ikisema upo ushahidi wa uwepo wa matukio ya uhalifu dhidi ya...

Guardiola atarejesha ufalme wa Italia?

LONDON, Uingereza SHIRIKISHO la Soka la Italia (FIGC) limeanza mazungumzo na kocha aliyeondoka Manchester City, Pep Guardiola, likijaribu kumshawishi kuchukua nafasi ya Gennaro Gattuso aliyeondoka...

A-Z ya mashuti, asisti, mabao Kombe la Dunia 2026

BOSTON, Marekani FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zilizochezwa kwa siku 39, kwenye viwanja 16, zikishirikisha wachezaji 1,039 kutoka timu 48, zilishuhudia...

‘Kufuru’ ya fedha Kombe la Dunia 2026

MIAMI, Marekani KWA kutwaa ubingwa wa Kombe la Dunia mwaka huu (2026), timu ya soka ya Taifa ya Hispania imelamba kitita cha Dola za Marekani...

Anthony Taylor amestaafu kwa heshima, alinusurika kichapo

LONDON, Uingereza BAADA ya miaka 20 ya kufanya kazi, akichezesha mechi 831, mwamuzi wa kati raia wa England, Anthony Taylor, alitangaza kustaafu hivi karibuni. Mechi yake...

Dawa za kulevya ‘zamaliza’ vijana Ujerumani

MUNICH, Ujerumani IDADI ya vifo vya vijana vitokanavyo na utumizi wa dawa za kulevya imeripotiwa kuongezeka kwa kipindi kifupi cha mwaka mmoja nchini Ujerumani. Kwa mwaka...

Kiwango cha umasikini duniani

NEW YORK, Marekani MIAKA 10 iliyopita, Umoja wa Mataifa ulipitisha azimio la kumaliza aina zote za umasikini, kuhakikisha usawa katika jamii, pamoja na kudhibiti majanga...

Hii kiboko! Marais hawaendi uwanjani Argentina ikicheza

BUENOS AIRES, Argentina HIVI unafahamu kuwa marais wa Argentina wamekuwa makini kuhudhuria viwanjani na wengine hubaki nyumbani pindi timu yao ya soka ya Taifa inapocheza...

‘Mende’ wa India wanavyompasua kichwa Waziri Mkuu

NEW DELHI, India MAANDAMANO makubwa ya vijana nchini India yanaipa wakati mgumu Serikali ya Waziri Mkuu, Narendra Modi. Gen-Z hao kupitia Chama chao cha 'Vijana wa...

Arsenal yang’oa nahodha Madrid

LONDON, Uingereza KLABU ya Arsenal imekamilisha usajili wa nahodha wa timu ya wanawake ya klabu ya Real Madrid, Misa Rodriguez. Nyota huyo mwenye umri wa miaka...

Staa mpya Chelsea apewa jezi ya Hazard

LONDON, Uingereza MSHAMBULIAJI mpya wa Chelsea, Morgan Rogers, atavaa jezi namba 17 msimu ujao, ambayo iliwahi kuvaliwa na lejendari wa timu hiyo, Eden Hazard. Nyota huyo...

Wanaume washauriwa kuvaa kaptula ofisini

TOKYO, Japan MAMLAKA za Tokyo zimewashauri wafanyakazi wa ofisini kuachana na suti, na badala yake kuvaa kaptula kipindi hiki cha joto kali. Kwa mujibu wa mamlaka,...