Ads: info@gazetini.co.tz |
23.9 C
Dar es Salaam

Peter Shalulile amekuja na viatu vyake vya mabao?

Na Hassan Mwasha KATIKATI ya ushindani wa Kaizer Chiefs, Orlando Pirates, Scottland FC na Pyramids, Yanga imeweza kumnyakua straika aliyeondoka Mamelodi Sundowns, Peter Shalulile. Yanga wameishitua...

Habari Kuu

Jamii

Afya

KINSHASA, DRC WATU zaidi ya 1,000 wameshapoteza maisha ndani ya miezi miwili ya ugonjwa wa Ebola nchini DRC, idadi kubwa zaidi, ikilinganishwa na mlipuko wa mwaka 2014 na 2016. Katika ripoti ya Wizara ya Afya ya DRC, visa...

Tanzania yaidhinisha ombi la Sh trilioni 1.5 kupambana na UKIMWI…

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMATI ya Kitaifa ya Kuratibu na Kusimamia Fedha za Mfuko wa Dunia nchini Tanzania (TNCM) imeidhinisha rasmi ombi la Tanzania la ufadhili wa Mzunguko wa Nane wa Mfuko wa Dunia (Global Fund Grant...

Dc Temeke avitaka vyombo vya dola kuchunguza showroom za magari

Na mwandishi wetu, Gazetini MKUU wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda, amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama kufanya uchunguzi katika showroom za magari wilayani humo ili kubaini kama baadhi yake zinatumika kutakatisha fedha zinazotokana na biashara haramu...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

TUNIS, Tunisia BADO hakuna taarifa rasmi za mamlaka juu ya anakotibiwa mwanasiasa maarufu wa upinzani nchini Tunisia, Rached Ghannouchi. Wapo wanaosema yuko hospitali ya umma na wengine wanadai alipelekwa hospitali ya jeshi. Serikali haijathibitisha wala kukanusha taarifa yoyote...

Jeshi la Mali dhidi ya waaasi walioungana

BAMAKO, Mali KWA sasa, jeshi la Serikali ya Mali liko kwenye wakati mgumu kupigana na muungano wa vikundi viwili vya kigaidi,Azawad Liberation Front (FLA) na Jama’at Nusrat al-Islam wal-Muslimin (JNIM). FLA na JNIM viliungana Aprili 25, 2026, lengo...

Mlima wa Iran unaoipasua kichwa Marekani

TEHRAN, Iran UNAITWA Mlima Pickaxe. Unapatikana Kusini mwa Iran katika Jimbo la Isfahan, umbali wa maili 1.24 kutoka kilipo kinu cha nyuklia cha Natanz. Ulinzi ni wa hali ya juu, huku ujenzi wa barabara ya kuingia na...

Elimu

Watekaji wa wanafunzi Nigeria wafungwa maisha

LAGOS, Nigeria MAHAKAMA nchini Nigeria imewahukumu kifungo cha maisha jela wanaume watatu baada ya kupatikana na hatia ya makosa yanayohusiana na utekaji wa makumi ya wanafunzi na walimu katika Jimbo la Oyo, kusini-magharibi mwa nchi. Watuhumiwa hao walikiri...
Na mwandishi wetu, Gazetini Licha ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kuendelea kujadiliwa katika ngazi mbalimbali, bado wananchi wengi hawajaielewa kwa kina, jambo linaloonyesha umuhimu wa kuendelea kutoa elimu kwa umma. Mchumi kutoka Tume ya Taifa ya...

BoT inavyolinda mfumo wa fedha dhidi ya utakatishaji

Na Esther Mnyika, Gazetini MFUMO wa fedha ulio salama na unaoaminika ni nguzo muhimu ya ukuaji wa uchumi na kuvutia uwekezaji. Hata hivyo, mafanikio hayo yanaweza kuhatarishwa ikiwa taasisi za kifedha zitatumiwa kutakatisha fedha haramu au kufadhili...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Peter Shalulile amekuja na viatu vyake vya mabao?

Na Hassan Mwasha KATIKATI ya ushindani wa Kaizer Chiefs, Orlando Pirates, Scottland FC na Pyramids, Yanga imeweza kumnyakua straika aliyeondoka Mamelodi Sundowns, Peter Shalulile. Yanga wameishitua...

Familia inayomlilia mwanasiasa wa upinzani anayesota gerezani

TUNIS, Tunisia BADO hakuna taarifa rasmi za mamlaka juu ya anakotibiwa mwanasiasa maarufu wa upinzani nchini Tunisia, Rached Ghannouchi. Wapo wanaosema yuko hospitali ya umma na...

Jeshi la Mali dhidi ya waaasi walioungana

BAMAKO, Mali KWA sasa, jeshi la Serikali ya Mali liko kwenye wakati mgumu kupigana na muungano wa vikundi viwili vya kigaidi,Azawad Liberation Front (FLA) na...

Utafiti: Ugumu wa maisha huathiri ubongo

Na mwandishi wetu, Gazetini NI utafiti uliofanywa na wanasayansi nchini Uingereza, ukibaini kuwa changamoto za kiuchumi zina athari kubwa katika afya ya ubongo. Utafiti huo umefanywa...

Harmonize, Kajala wanaelea anga za Cardi B, Offset

Na Hassan Mwasha MIONGONI wa strori zinazoshika nafasi kubwa mitandaoni ni hii ya staa wa Bongo Fleva, Rajab Abdul Kahali 'Harmonize', kuachana na bibiye wa...

Shatta Wale afunguka ugomvi wake na Burna Boy

ACCRA, Ghana STAAA wa muziki nchini Ghana, Shatta Wale, ameeleza kilichosababisha uhusiano wake mbaya na mkali wa Afrobeats, Burna Boy. Wawili hao waliwahi kuwa washikaji wakubwa,...

Alonso afunga mjadala kuhusu Welbeck

LONDON, Uingereza KOCHA wa Chelsea, Xabi Alonso, amezipotezea taarifa zinazoihusisha klabu hiyo na usajili wa straika wa zamani wa Arsenal, Danny Welbeck. Wakati huo huo, Mhispania...

Chicharito atua Daraja la Kwanza

DALAS, Marekani UNAMKUMBUKA straika wa zamani wa Real Madrid, Manchester United na timu ya soka ya Taifa ya Mexico, Javier Hernandez ‘Chicharito’? Mwamba bado anakipiga. Akiwa...

Megawati 2,115 za Bwawa la Nyerere mbioni, Tanesco yatoa ratiba

Na Faraja Mulungu, Gazetini SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limetangaza kuwa ujenzi wa njia mpya ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovolti 400 kutoka Chalinze...

Arsenal, Vinicius Jr dili lao liko hivi

LONDON, Uingereza WAKATI huu Real Madrid ikijaribu kumshawishi Vinicius JR kusaini mkataba mpya, Arsenal wanaangalia uwezekano wa kumsajili mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Brazil. Huu ni...

YouTube inavyolibeba soko la tamthilia Bongo

Na Hassan Mwasha KAMA ni mfuatiliaji wa tamthilia za Tanzania zinazorushwa kupitia vituo vya televisheni pekee, basi ni wazi unapitwa na mengi. Jiongeze! Kwa sasa, mtandao...

Mwamba wa ‘unga’ aliyeisumbua Marekani kwa miaka 40

LOS ANGELES, Marekani ANAITWA El Mayo. Ndilo jina maarufu zaidi kuliko Ismael Zambada alilopewa na wazazi wake, akiwa pia ndiye muasisi wa genge hatari la...