Ads: info@gazetini.co.tz |
26 C
Dar es Salaam

Fei Toto apigwa bao ufungaji bora

Na Hassan Mwasha, Gazetini NI rasmi sasa kiungo wa Azam, Feisal Salum 'Fei Toto' amekikosa kiatu cha mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu wa...

Habari Kuu

Jamii

Afya

PARIS, Ufaransa MAMLAKA za afya nchini Ufaransa zimetangaza kisa cha kwanza cha maambukizi ya Ebola kwa daktari wake aliyetokea DRC. Daktari hyo alikuwa DRC katika programu ya Ufaransa kutoa msaada wa kibinadamu katika kukabiliana na ugonjwa huo. Kwa mujibu...

Ebola DRC yaua ndugu watano wa Mwimbaji Jonathan Budju

Na Christopher Msekena, Gazetini JANGA la ugonjwa wa Ebola limeendelea kuwa tishio nchini Kongo baada ya ndugu wa watano wa mwimbaji wa Injili Jonathan Budju, kupoteza maisha mapema mwezi huu. Jonathan Budju ambaye kwasasa anaishi nchini Canada, ameweka...

Huyu ndiye Dk. Suzanne wa Kombe la Dunia 2026

CALIFORNIA, Marekani FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zimeshuhudia historia nyingi zikiandikwa lakini moja ya hizo ni uwepo wa Dk. Suzanne Huurman. Katika mabenchi ya timu zote 48 zinazoshiriki michuano ya msimu huu, Dk. Suzanne...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

WASHINGTON DC, Marekani UHUSIANO kati ya Rais wa Marekani, Donald Trump, na Waziri Mkuu wa Italia, Giorgia Meloni, umeendelea kuwa gumzo na hata kuibua mjadala wa aina yake kwenye duru za kisiasa ulimwenguni. Trump na Meloni walikuwa marafiki...

Israel, Marekani ‘zimechafua’ Uchaguzi Colombia?

BOGOTA, Colombia RAIS aliyeondoka madarakani nchini Colombia, Gustavo Petro, ameendelea kutokuyatambua matokeo yaliyompa ushindi Abelardo de la Espriella. De la Espriella (47), ameingia Ikulu akimpiku Ivan Cepeda katika Uchaguzi ulioanza Mei 31, 2026, na kurudiwa siku chache zilizopita...

Huyu ndiye Waziri Mkuu mpya wa Uingereza?

LONDON, Uingereza BAADA ya Keir Starmer kujiuzulu siku chache zilizopita, majina kadhaa ndani ya Chama tawala cha Labour yameanza kuhusishwa na kiti cha Waziri Mkuu wa Uingereza. Miongoni mwao ni Andy Burnham, ambaye amewahi mara mbili kuwania na...

Elimu

Unamsaidiaje mtoto wako kuchagua tahasusi Kidato cha Tano?

Na Hassan Mwasha, Gazetini HIKI ni kipindi ambacho wazazi wako 'bize' na maandalizi ya shule kwa wanafunzi wanaokwenda kuianza safari ya elimu kwa masomo ya Kidato cha Tano nchini. Mwaka wa Masomo utaanza Julai, 2026. Ubize unatofautiana kati...
Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Serikali itaendelea kuhakikisha hakuna mtoto anayekosa haki ya kupata elimu, ikiwemo mabinti waliopata ujauzito, kama sehemu ya juhudi za kuimarisha usawa na ujumuishi...

Unajua kwa nini huajiriwi licha ya ‘interview’ nyingi?

Na Hassan Mwasha, Gazetini UNAJIULIZA kwanini hujapigiwa simu ya kuitwa kazini licha ya kuhisi ulifanya vizuri Siku ya usahili (interview)? Tulia. Huenda tatizo si uwezo wako wa kufiti katika nafasi uliyoomba. Unaweza kuwa ni mtaalamu mzuri tu wa...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Fei Toto apigwa bao ufungaji bora

Na Hassan Mwasha, Gazetini NI rasmi sasa kiungo wa Azam, Feisal Salum 'Fei Toto' amekikosa kiatu cha mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu wa...

Samia aisifu TPA kwa kujitegemea, yakabidhi gawio la Sh bilioni 205.53

Na mwandishi wetu, Gazetini Rais Samia Suluhu Hassan ameisifu Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kufikia kiwango cha kujitegemea kifedha, akisema taasisi hiyo...

Kocha Ujerumani agoma kujiuzulu

MUNICH, Ujerumani BAADA ya timu ya soka ya Taifa ya Ujerumani kutolewa kwenye michuano ya Kombe la Dunia, kocha wake, Julian Nagelsmann, amesema hana mpango...

Kombe la Dunia 2026: Canada yaingia anga za Morocco

MIAMI, Marekani WENYEJI wa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu, Canada, ambao wanashirikiana na Mexico na Marekani, watakwana na Morocco katika hatua inayofuata...

Ancelotti aonywa Brazil ikitinga 16 Bora

RIO, Brazil LICHA ya timu ya soka ya Taifa ya Brazil kutinga hatua ya 16 Bora ya fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu...

Kocha mwingine aachia ngazi Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani MIROSLAV Koubek wa timu ya soka ya Taifa ya Czech amekuwa kocha wa tatu kupoteza kibarua msimu huu wa fainali za Kombe la...

Mambo yasiwe mengi! Mastaa hawa walifunga ndoa kimyakimya

LONDON, Uingereza KWA fedha nyingi na umaarufu mkubwa walionao, wangeweza kuifanya siku ya ndoa zao kufahamika duniani kote. Hata hivyo, waliona mambo yasiwe mengi. Wakaamua kufunga...

Song bado anaishi na rekodi yake Kombe la Dunia

YOUNDE, Cameroon TIMU ya soka ya Taifa ya Cameroon haikufuzu fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) lakini lejendari wake, Rigobert Song, ana...

Halotel yatinga Sabasaba na ubunifu wa kiteknolojia

Na Imani Nathaniel, Gazetini Kampuni ya Mawasiliano ya Halotel Tanzania imezindua rasmi ushiriki wake katika maonyesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es...

Usichokijua kuhusu mvutano wa tajiri Elon Musk na ‘ex’ wake

LOS ANGELES, Marekani BINADAMU wa kwanza kuwa trilionea, Elon Musk, alisherehekea kutimiza umri wa miaka 56 jana Juni 28, 2026. Mbali ya kusherehekea kutimiza umri huo,...

Ligi Kuu Bara 2025-26 kufungwa kwa staili hii

Na Hassan Mwasha, Gazetini MSIMU huu wa 2025-26 wa Ligi Kuu Bara utafikia ukomo wake kesho Juni 30,2026, kwa timu zote 16 kushuka dimbani. Kwamba viwanja...

Nigeria ilivyopuuzia onyo la IMF kuhusu madeni

LAGOS, Nigeria LICHA ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kuipa onyo, Serikali ya Nigeria imepiga hatua moja mbele katika mpango wake wa kukopa kiasi...