Ads: info@gazetini.co.tz |
21.2 C
Dar es Salaam

‘Uchawa’, fitina vyatajwa Dk. Nchimbi kujiuzulu, kufutwa CCM

Na Hassan Mwasha, Gazetini HATUA ya Dk. Emmanuel Nchimbi kujiuzulu nafasi ya Makamu wa Rais, na kisha kuvulishwa uanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) imemuibua...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeishauri Serikali kuiongezea wataalam Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ili Taasisi hiyo iweze kuimarisha afya, usalama na ustawi...

Tume yabainisha matamanio ya Serikali kulinda afya na usalama wa watumishi wa umma

Na mwandishi wetu, Gazetini TUME ya Utumishi wa Umma imesema serikali ina nia ya dhati ya kuhakikisha watumishi wa umma wanakuwa salama na wenye afya njema na hivyo kutekeleza wajibu wao wa kuwahudumia wananchi ipasavyo. Kauli hiyo imeelezwa...

Wachimbaji Namungo waomba mafunzo ya OSHA

Na mwandishi wetu, Gazetini WACHIMBAJI wadogo wa Mgodi wa Namungo wameiomba Serikali kupitia Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuwapatia mafunzo ya usalama na afya mahali pa kazi mara kwa mara ili waweze kutekeleza...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

Na Hassan Mwasha, Gazetini HATUA ya Dk. Emmanuel Nchimbi kujiuzulu nafasi ya Makamu wa Rais, na kisha kuvulishwa uanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) imemuibua mchambuzi wa siasa na Mhadhiri wa Siasa na Uchumi kutoka Chuo Kikuu...

Safari ya Ndejembi kurithi mikoba ya Dk. Nchimbi

Na mwandishi wetu, Gazetini HATIMAYE kiatu cha Dk. Emmanuel Nchimbi katika nafasi ya Makamu wa Rais kimevaliwa na Deogratius John Ndejembi. Ni uamuzi uliotangazwa jana Agosti 26, 2026 na Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM). Ndejembi (43),...

Sekta nyeti ‘walizofunga’ Marekani uchumi wa Iran

TEHRAN, Iran KATIBU Mkuu wa Hazina ya Marekani, Scott Bessent, amesema si tu Iran, bali hata nchi, taasisi na mashirika yatakayofanya biashara na Iran yataingia kwenye vikwazo vya kiuchumi ilivyowekewa nchi hiyo. Akizungumza hivi karibuni, Agosti 24, 2026,...

Elimu

UNESCO: Watoto wa kike wanazuiwa kwenda sekondari Afghanistan

NEW YORK, Marekani  SHIRIKA la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limeeleza katika ripoti yake kuwa wasichana takribani milioni 2.4 nchini Afghanistan wamenyimwa haki ya kupata elimu ya sekondari. Kwa mujibu wa UNESCO, kizingiti hicho kwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini CHUO Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeendelea kuthibitisha nafasi yake kama kitovu cha utafiti, ubunifu na teknolojia nchini baada ya kuwasilisha bunifu mbalimbali zinazolenga kutatua changamoto za jamii katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea jijini...

WMA yawafundisha watoto vipimo, Naibu waziri apongeza

na mwandishi wetu, Gazetini NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Chande, amefurahishwa na uelewa mkubwa ulioonyeshwa na wanafunzi waliopata elimu ya vipimo katika banda la Wakala wa Vipimo - (WMA), kwenye Maonesho ya 33 ya Wakulima...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

‘Uchawa’, fitina vyatajwa Dk. Nchimbi kujiuzulu, kufutwa CCM

Na Hassan Mwasha, Gazetini HATUA ya Dk. Emmanuel Nchimbi kujiuzulu nafasi ya Makamu wa Rais, na kisha kuvulishwa uanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) imemuibua...

Safari ya Ndejembi kurithi mikoba ya Dk. Nchimbi

Na mwandishi wetu, Gazetini HATIMAYE kiatu cha Dk. Emmanuel Nchimbi katika nafasi ya Makamu wa Rais kimevaliwa na Deogratius John Ndejembi. Ni uamuzi uliotangazwa jana...

Chelsea na mkosi wa jezi namba 9

LONDON, Uingereza ILIMCHUKUA sekunde 31 pekee straika wa Kibrazil, Joao Pedro, kuifungia bao Chelsea katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Fulham, mchezo wa Ligi Kuu...

Sekta nyeti ‘walizofunga’ Marekani uchumi wa Iran

TEHRAN, Iran KATIBU Mkuu wa Hazina ya Marekani, Scott Bessent, amesema si tu Iran, bali hata nchi, taasisi na mashirika yatakayofanya biashara na Iran yataingia...

Dolly Parton; Mtoto wa mkulima anayeliliwa na dunia ya muziki

LOS ANGELES, Marekani MAMILIONI ya wapenzi wa muziki wa Country kutoka pande zote za dunia wameguswa na kifo cha nguli Dolly Parton aliyefariki hivi karibuni...

China inavyoua biashara ya magari Ujerumani

BERLIN, Ujerumani BMW imekuwa kampuni ya tano ya utengenezaji magari nchini Ujerumani kutangaza kupunguza wafanyakazi. Kampuni zilizotangulia kuchukua hatua hiyo ni VW, Porsche na Mercedes-Benz. Hatua...

Nchi zenye ‘sura ya ugaidi’ mbele ya Marekani

LOS ANGELES, Marekani MAREKANI imeiondoa Syria katika orodha ya nchi inazoamini zinafadhili vitendo vya kigaidi (SSOT). Hatua hiyo ni mwendelezo wa uhusiano mzuri wa mataifa...

Miji yenye watu wengi zaidi duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini MWAKA 1950, Tokyo (Japan) na New York (Marekani) ndiyo miji iliyokuwa na idadi kubwa ya watu duniani. Tokyo ilikuwa na watu...

Uchumi wa dunia kufikia trilioni 150 mwaka 2030

Na mwandishi wetu, Gazetini UCHUMI wa dunia unatarajiwa kufikia Dola za Marekani trilioni 150 ifikapo mwaka 2030, kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Fedha...

Nchi zinazoongoza kwa uzalishaji wa dhahabu duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini CHINA ndiyo nchi inayoongoza kwa uzalishaji wa madini ya dhahabu duniani. Uzalishaji wake umeongezeka kwa asilimia 9 kutoka tani 351 mwaka...

Ndejembi apitishwa na CCM kuwa Makamu wa Rais

Na Faraja Mulungu Gazetini HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), chini ya Mwenyekiti wake, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu...

DK. Nchimbi afutwa uanachama CCM

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Asharose Migiro, amesema Halmashauri Kuu ya CCM imeamua kumfukuza uanachama aliyekuwa Makamu wa...