Ads: info@gazetini.co.tz |
29.4 C
Dar es Salaam

Madrid wao ni Zubimendi tu

LONDON, Uingereza KLABU ya Real Madrid haijaachana na mpango wake wa kumsajili kiungo wa Arsenal na timu ya soka ya Taifa ya Hispania, Martin Zubimendi. Licha...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na mwandishi wetu, Gazetini WACHIMBAJI wadogo wa Mgodi wa Namungo wameiomba Serikali kupitia Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuwapatia mafunzo ya usalama na afya mahali pa kazi mara kwa mara ili waweze kutekeleza...

Wakazi wa Nyambili walalamikia ukosefu wa zahanati

Na Malima Lubasha, Gazetini WAKAZI wa Kijiji cha Nyambili, Kata ya Sirori Simba, Wilaya ya Butiama mkoani Mara, wameiomba Serikali kujenga zahanati ya kijiji hicho na kuboresha huduma za afya katika Zahanati ya Rwasereta ili kupunguza adha...

Marekani ilivyoiweka ‘ICU’ sekta ya afya Cuba

HAVANA, Cuba KWA miaka mingi, Cuba imekuwa ikisifika kwa ubora wa sekta yake ya afya, huku raia wake wakifurahia huduma ya matibabu bila malipo kwa Serikali kubeba gharama zote. Hata hivyo, kwa sasa mambo yamebadilika na sekta ya...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

BAMAKO, Mali WANAJESHI zaidi ya 10 wameripotiwa kuuawa baada ya kambi yao kushambuliwa na kikundi cha waasi wikiendi iliyopita. Jama'at Nusrat al-Islam wal-Muslimin (JNIM), ambalo ni kundi la kigaidi lenye ukaribu na al-Qaeda limethibitisha kuhusika katika shambulizi hilo. Kwa...

Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Zambia

LUSAKA, Zambia UCHAGUZI Mkuu nchini Zambia utafanyika Alhamisi ya wiki hii, yaani Agosti 13, 2026, na macho ya wengi yameeelekezwa katika kinyang'anyiro cha urais. Ifahamike kuwa Rais wa sasa, Hakainde Hichilema, anawania muhula wake wa pili na akikabiliana...

Papa Leo alia na amani Sudan

VATICAN CITY, Vatican KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, amehimiza kupatikana kwa amani nchini Sudan katika hotuba yake ya jana Agosti 9, 2026, mjini Vatican. Kupitia hotuba yake hiyo, Leo aliutaja Mji wa El-Obeid ulioko Kaskazini...

Elimu

UDOM yang’ara Nanenane kwa ubunifu, teknolojia

Na mwandishi wetu, Gazetini CHUO Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeendelea kuthibitisha nafasi yake kama kitovu cha utafiti, ubunifu na teknolojia nchini baada ya kuwasilisha bunifu mbalimbali zinazolenga kutatua changamoto za jamii katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea jijini...
na mwandishi wetu, Gazetini NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Chande, amefurahishwa na uelewa mkubwa ulioonyeshwa na wanafunzi waliopata elimu ya vipimo katika banda la Wakala wa Vipimo - (WMA), kwenye Maonesho ya 33 ya Wakulima...

PBPA yatoa elimu kuhusu mfumo wa uagizaji mafuta kwa pamoja

Na mwandishi wetu, Gazetini WAKALA wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) unasimamia Mfumo wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja, ambao umeisaidia Serikali kuhakikisha bidhaa za mafuta ya petroli, zinapatikana nchini kwa uhakika, kwa wakati na kwa gharama shindani. Mwanasheria...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Madrid wao ni Zubimendi tu

LONDON, Uingereza KLABU ya Real Madrid haijaachana na mpango wake wa kumsajili kiungo wa Arsenal na timu ya soka ya Taifa ya Hispania, Martin Zubimendi. Licha...

Kane agombewa Barcelona, Tottenham

MUNICH, Ujerumani KLABU mbili za Barcelona na Tottenham zimeingia kwenye vita ya kuiwania saini ya mpachikaji mabao hatari wa Bayern Munich, Harry Kane. Kane (33), anatarajiwa...

Kenya yataka uenyeji mashindano ya Riadha ya Dunia

NAIROBI, Kenya KENYA imetupa karata yake katika mbio za kuwania tiketi ya kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Riadha ya Dunia yatakayofanyika mwaka 2029. Endapo Kenya itafanikiwa...

Waasi waua wanajeshi Mali

BAMAKO, Mali WANAJESHI zaidi ya 10 wameripotiwa kuuawa baada ya kambi yao kushambuliwa na kikundi cha waasi wikiendi iliyopita. Jama'at Nusrat al-Islam wal-Muslimin (JNIM), ambalo ni...

Benki ya Dunia, Serikali kukamilisha mpango wa kuongeza ajira kwa vijana

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SERIKALI ya Tanzania na Benki ya Dunia zimefanya kikao cha pamoja cha kuhitimisha maandalizi ya kitaalamu ya Programu ya Uendelezaji wa...

Infantino anachota mshahara wa bil. 12/-

NYON, Uswis HIVI karibuni, kiongozi huyo wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) alikuwa Colombia kuhudhuria hafla ya kuapishwa kwa Rais mpya wa Taifa hilo...

Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Zambia

LUSAKA, Zambia UCHAGUZI Mkuu nchini Zambia utafanyika Alhamisi ya wiki hii, yaani Agosti 13, 2026, na macho ya wengi yameeelekezwa katika kinyang'anyiro cha urais. Ifahamike kuwa...

Gari moja huibiwa kila baada ya sekunde 48

LOS ANGELES, Marekani MAGARI zaidi ya 650,000 yaliibiwa nchini Marekani mwaka 2025, licha ya kwamba idadi ya matukio hayo imepungua katika miaka ya hivi karibuni. Wakati...

Mata Hari: Dansa aliyenyongwa kisa ukachero, njaa ya pesa ilimponza

Na mwandishi wetu, Gazetini ALIZALIWA Agosti 7, 1876 mjini Leeuwarden, Uholanzi. Akitokea katika familia tajiri, Mata Hari akiwa mdogo aliweza kupata kila alichokitaka kutoka kwa...

Tume yabainisha matamanio ya Serikali kulinda afya na usalama wa watumishi wa umma

Na mwandishi wetu, Gazetini TUME ya Utumishi wa Umma imesema serikali ina nia ya dhati ya kuhakikisha watumishi wa umma wanakuwa salama na wenye afya...

Ndejembi awasha umeme Mwanubi

Na mwandishi wetu, Gazetini WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amewasha umeme katika Kitongoji cha Mwanubi mkoani Shinyanga na kusema kuwa huduma ya umeme ni hitaji...

Papa Leo alia na amani Sudan

VATICAN CITY, Vatican KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, amehimiza kupatikana kwa amani nchini Sudan katika hotuba yake ya jana Agosti 9, 2026,...