Ads: info@gazetini.co.tz |
23.1 C
Dar es Salaam

Awamu ya I uvutaji nyaya Chalinze-Dodoma yakamilika

Na mandishi wetu, Gazetini SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema Mkandarasi  amekamilisha  kwa mafanikio awamu ya kwanza ya kazi za uvutaji wa nyaya katika eneo...

Habari Kuu

Jamii

Afya

HAVANA, Cuba KWA miaka mingi, Cuba imekuwa ikisifika kwa ubora wa sekta yake ya afya, huku raia wake wakifurahia huduma ya matibabu bila malipo kwa Serikali kubeba gharama zote. Hata hivyo, kwa sasa mambo yamebadilika na sekta ya...

Wajawazito DRC na changamoto ya Ebola

BUNIA, DRC MLIPUKO wa ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) umeathiri kwa kiasi kikubwa utaratibu wa wajawazito kwenda kliniki, kama anavyoeleza mmoja wao, Esther Lutula. Esther (26), mama wa watoto wanne na sasa ana...

Vijana wa Liberia na urahibu wa bangi

MONROVIA, Liberia KATIKA mitaa ya Mji Mkuu, Monrovia, utumizi wa dawa za kulevya aina ya bangi si jambo linalohitaji utafiti mkubwa kulibaini, na badala yake linaonekana wazi, hasa kwa vijana. Kwa wazazi, uvutaji wa 'kush' umesababisha vijana wao...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

WASHINGTON DC, Marekani WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, alikuwa nchini Marekani kwa ziara ya kikazi, ambapo alikutana na kufanya mazungumzo na Rais Donald Trump. Kwa upande mwingine, ziara hiyo imetafsiriwa kuwa ni jitihada zake za 'kufufua' uhusiano...

Lula kushinda tena kiti cha urais Brazil?

RIO, Brazil RAIS wa Brazil, Luiz Inacio Lula da Silva, ameanza rasmi kampeni zake za kuwania muhula wa nne kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao wa Oktoba, 2026. Kupitia Workers' Party (Chama cha Wafanyakazi), Lula mwenye umri wa miaka 80...

Haya ndiyo maajabu ya nchi iliyobadili jina

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA miaka mingi, iliitwa Nauru, kabla ya kubadili jina hivi karibuni na kujiita Jamhuri ya Naoero. Inafahamika kuwa ni nchi ya tatu kwa udogo duniani, ikiwa na ukubwa wa kilometa za mraba 21...

Elimu

PBPA yatoa elimu kuhusu mfumo wa uagizaji mafuta kwa pamoja

Na mwandishi wetu, Gazetini WAKALA wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) unasimamia Mfumo wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja, ambao umeisaidia Serikali kuhakikisha bidhaa za mafuta ya petroli, zinapatikana nchini kwa uhakika, kwa wakati na kwa gharama shindani. Mwanasheria...
Na Mwandishi Wetu, Shinyanga JUHUDI za Serikali za kupambana na ndoa za utotoni zimezaa matunda mkoani Shinyanga baada ya operesheni maalumu kumuokoa binti aliyekuwa amefaulu kujiunga na Kidato cha Tano, lakini akawa ameozeshwa kabla ya kuanza masomo. Operesheni...

Watekaji wa wanafunzi Nigeria wafungwa maisha

LAGOS, Nigeria MAHAKAMA nchini Nigeria imewahukumu kifungo cha maisha jela wanaume watatu baada ya kupatikana na hatia ya makosa yanayohusiana na utekaji wa makumi ya wanafunzi na walimu katika Jimbo la Oyo, kusini-magharibi mwa nchi. Watuhumiwa hao walikiri...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Awamu ya I uvutaji nyaya Chalinze-Dodoma yakamilika

Na mandishi wetu, Gazetini SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema Mkandarasi  amekamilisha  kwa mafanikio awamu ya kwanza ya kazi za uvutaji wa nyaya katika eneo...

Rais Samia: Vijana wa Afrika wasiwe watumiaji wa teknolojia pekee

Na mwandishi wetu, Gazetini RAIS wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan amesema Afrika inapaswa kuwekeza zaidi katika elimu, ujuzi wa ufundi na uwezo wa kidijitali...

Wakazi wa Nyambili walalamikia ukosefu wa zahanati

Na Malima Lubasha, Gazetini WAKAZI wa Kijiji cha Nyambili, Kata ya Sirori Simba, Wilaya ya Butiama mkoani Mara, wameiomba Serikali kujenga zahanati ya kijiji hicho...

Netanyahu kurejesha uhusiano wake na Marekani?

WASHINGTON DC, Marekani WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, alikuwa nchini Marekani kwa ziara ya kikazi, ambapo alikutana na kufanya mazungumzo na Rais Donald Trump. Kwa...

Marekani ilivyoiweka ‘ICU’ sekta ya afya Cuba

HAVANA, Cuba KWA miaka mingi, Cuba imekuwa ikisifika kwa ubora wa sekta yake ya afya, huku raia wake wakifurahia huduma ya matibabu bila malipo kwa...

Lula kushinda tena kiti cha urais Brazil?

RIO, Brazil RAIS wa Brazil, Luiz Inacio Lula da Silva, ameanza rasmi kampeni zake za kuwania muhula wa nne kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao wa Oktoba,...

Haya ndiyo maajabu ya nchi iliyobadili jina

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA miaka mingi, iliitwa Nauru, kabla ya kubadili jina hivi karibuni na kujiita Jamhuri ya Naoero. Inafahamika kuwa ni nchi ya...

Wajawazito DRC na changamoto ya Ebola

BUNIA, DRC MLIPUKO wa ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) umeathiri kwa kiasi kikubwa utaratibu wa wajawazito kwenda kliniki, kama anavyoeleza...

Vijana wa Liberia na urahibu wa bangi

MONROVIA, Liberia KATIKA mitaa ya Mji Mkuu, Monrovia, utumizi wa dawa za kulevya aina ya bangi si jambo linalohitaji utafiti mkubwa kulibaini, na badala yake...

Arsenal bado wamkomalia Guimaraes

LONDON, Uingereza ARSENAL hawajarudi nyuma katika mpango wao wa kumsajili nahodha wa kikosi cha Newcastle United, Bruno Guimaraes. Taarifa zinaeleza kuwa Washika Bunduki wako kwenye meza...

Barcelona yaambiwa imchukue Osimhen

CATALUNYA, Hispania NI ushauri wa mkongwe Andres Iniesta, akiitaka klabu yake ya zamani ya Barcelona kumsajili straika wa Galatasaray, Victor Osimhen. Kwa mujibu wa Iniesta, nyota...

Wenger amkana Infantino, asema asihusishwe

NYON, Uswis MKONGWE wa Arsenal, Arsene Wenger, amekana kuhusika katika uliokuwa mpango wa Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, kuuza hisa...