Ads: info@gazetini.co.tz |
24.2 C
Dar es Salaam

Yanga mwendo mdundo, yaikaanga Coastal Union

Na mwandishi wetu, Gazetini MABINGWA watetezi msimu huu wa Ligi Kuu Bara, Yanga, wameshinda mechi yao ya pili kwa kuifunga Coastal Union mabao 4-1. Matokeo hayo...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na mwandishi wetu, Gazetini TUME ya Utumishi wa Umma imesema serikali ina nia ya dhati ya kuhakikisha watumishi wa umma wanakuwa salama na wenye afya njema na hivyo kutekeleza wajibu wao wa kuwahudumia wananchi ipasavyo. Kauli hiyo imeelezwa...

Wachimbaji Namungo waomba mafunzo ya OSHA

Na mwandishi wetu, Gazetini WACHIMBAJI wadogo wa Mgodi wa Namungo wameiomba Serikali kupitia Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuwapatia mafunzo ya usalama na afya mahali pa kazi mara kwa mara ili waweze kutekeleza...

Wakazi wa Nyambili walalamikia ukosefu wa zahanati

Na Malima Lubasha, Gazetini WAKAZI wa Kijiji cha Nyambili, Kata ya Sirori Simba, Wilaya ya Butiama mkoani Mara, wameiomba Serikali kujenga zahanati ya kijiji hicho na kuboresha huduma za afya katika Zahanati ya Rwasereta ili kupunguza adha...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

BEIRUT, Lebanon MAMLAKA za Lebanon zimemkamata na kumkabidhi nchini Syria aliyekuwa jenerali wa jeshi wakati wa utawala wa Rais Bashar al-Assad. Meja Jenerali huyo, Adel Issa, anashitakiwa nchini Syria kwa makosa ya uhalifu wakati wa vita vya wenyewe...

Marekani, ICC bado mambo magumu

NEW YORK, Marekani MAPEMA wiki hii, Katibu Mkuu wa Marekani, Marco Rubio, aliijia juu Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), akiita kuwa ni yenye kuendeshwa kwa misingi ya rushwa na siasa. Rubio alienda mbali zaidi na kutangaza hatua...

Mpinzani wa Putin aliyehukumiwa miaka 11 gerezani

MOSCOW, Urusi MWANASIASA mwandamizi wa upinzani kupitia Chama cha Yabloko, Lev Shlosberg, anafahamika kwa matamko yake ya kuikosoa Serikali ya Rais Vladimir Putin. Kati ya mambo mengi aliyoyapazia sauti ya juu ni hatua ya Rais Putin kuagiza jeshi...

Elimu

UNESCO: Watoto wa kike wanazuiwa kwenda sekondari Afghanistan

NEW YORK, Marekani  SHIRIKA la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limeeleza katika ripoti yake kuwa wasichana takribani milioni 2.4 nchini Afghanistan wamenyimwa haki ya kupata elimu ya sekondari. Kwa mujibu wa UNESCO, kizingiti hicho kwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini CHUO Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeendelea kuthibitisha nafasi yake kama kitovu cha utafiti, ubunifu na teknolojia nchini baada ya kuwasilisha bunifu mbalimbali zinazolenga kutatua changamoto za jamii katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea jijini...

WMA yawafundisha watoto vipimo, Naibu waziri apongeza

na mwandishi wetu, Gazetini NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Chande, amefurahishwa na uelewa mkubwa ulioonyeshwa na wanafunzi waliopata elimu ya vipimo katika banda la Wakala wa Vipimo - (WMA), kwenye Maonesho ya 33 ya Wakulima...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Yanga mwendo mdundo, yaikaanga Coastal Union

Na mwandishi wetu, Gazetini MABINGWA watetezi msimu huu wa Ligi Kuu Bara, Yanga, wameshinda mechi yao ya pili kwa kuifunga Coastal Union mabao 4-1. Matokeo hayo...

Walcott: Liverpool itaisumbua Arsenal

LONDON, Uingereza MSHAMBULIAJI wa zamani wa Arsenal, Theo Walcott, ameitaja Liverpool kama timu anayoona itawapa ushindani mkali katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya...

Lebanon yamkabidhi mshirika wa Al-Assad

BEIRUT, Lebanon MAMLAKA za Lebanon zimemkamata na kumkabidhi nchini Syria aliyekuwa jenerali wa jeshi wakati wa utawala wa Rais Bashar al-Assad. Meja Jenerali huyo, Adel Issa,...

Marekani, ICC bado mambo magumu

NEW YORK, Marekani MAPEMA wiki hii, Katibu Mkuu wa Marekani, Marco Rubio, aliijia juu Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), akiita kuwa ni yenye kuendeshwa...

Mpinzani wa Putin aliyehukumiwa miaka 11 gerezani

MOSCOW, Urusi MWANASIASA mwandamizi wa upinzani kupitia Chama cha Yabloko, Lev Shlosberg, anafahamika kwa matamko yake ya kuikosoa Serikali ya Rais Vladimir Putin. Kati ya mambo...

Nchi zinazoshirikiana na Iran zaonywa

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amezitaka kujiandaa na kibano nchi zitakazoipa ushirikiano Iran. Kauli hiyo ni mwendelezo wa uhusiano mbaya uliopo kati...

Marekani yavunja rekodi ya Deni la Taifa

WASHINGTON DC, Marekani DENI la Taifa la Marekani limefikia Dola trilioni 40, kiasi kikubwa zaidi cha fedha katika historia ya nchi hiyo, huku lawama zikielezwa...

Lewandowski kurudi Barcelona

CATALUNYA, Hispania IMEFICHUKA kuwa uongozi wa klabu ya Barcelona unaangalia uwezekano wa kumrejesha kundini mshambuliaji wake tishio, Robert Lewandowski. Lewandowksi aliyeondoka Barcelona majira haya ya kiangazi,...

Uratibu wa maafa sasa kidijitali zaidi, Serikali yawaita wadau

Na Hassan Mwasha, Gazetini AGOSTI 19 ya kila mwaka, Tanzania, kama zilivyo nchi zingine duniani, huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Misaada ya Kibinadamu. Kwa kuyataja...

PSSSF yawaandaa waandishi wa habari kuijenga jamii

Na mwandishi wetu, Gazetini MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umeendesha mafunzo maalum kwa waandishi wa habari kuhusu masuala ya hifadhi...

Wadau watakiwa kuwawezesha wanawake wajasiriamali Serengeti

Na Malima Lubasha, Gazetini WADAU mbalimbali wa maendeleo pamoja na taasisi wilayani Serengeti, mkoani Mara, wametakiwa kuwawezesha wanawake wajasiriamali wanaofanya biashara katika Soko Kuu la...

DATA CHECK: Tangazo la “Uajiri TANAPA 2026” ni la uongo

Na mwandishi wetu, Gazetini DAI: Tangazo linalosambaa mitandaoni likiwaalika wananchi kuomba ajira TANAPA mwaka 2026 kupitia kiunganishi kinachodaiwa kuwa cha uajiri wa Shirika ni tangazo...