Ads: info@gazetini.co.tz |
24.2 C
Dar es Salaam

Ndejembi aapishwa, Rais Samia ampa jukumu zito

Na Faraja Mulungu, Gazetini DEOGRATIUS John Ndejembi ameanza rasmi majukumu yake mapya ya kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imeishauri Serikali kuiongezea wataalam Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ili Taasisi hiyo iweze kuimarisha afya, usalama na ustawi...

Tume yabainisha matamanio ya Serikali kulinda afya na usalama wa watumishi wa umma

Na mwandishi wetu, Gazetini TUME ya Utumishi wa Umma imesema serikali ina nia ya dhati ya kuhakikisha watumishi wa umma wanakuwa salama na wenye afya njema na hivyo kutekeleza wajibu wao wa kuwahudumia wananchi ipasavyo. Kauli hiyo imeelezwa...

Wachimbaji Namungo waomba mafunzo ya OSHA

Na mwandishi wetu, Gazetini WACHIMBAJI wadogo wa Mgodi wa Namungo wameiomba Serikali kupitia Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuwapatia mafunzo ya usalama na afya mahali pa kazi mara kwa mara ili waweze kutekeleza...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

LUSAKA, Zambia KIONGOZI wa siasa za upinzani nchini Zambia, Brian Mundubile, na mgombea mwenzake wake katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika hivi karibuni, Makebi Zulu, wameshikiliwa na polisi na kuhojiwa kwa tuhuma za uhaini. Mundubile, mwanasheria mwenye umri wa miaka...

Kivuli cha Lungu kinamfuata Rais Hichilema?

LUSAKA, Zambia LICHA ya kutangazwa mshindi katika Uchaguzi Mkuu wa hivi karibuni, Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema, anakabiliwa na presha kubwa ya ‘kumtuliza’ mpinzani wake, Brian Muntayalwa Mundubile. Mundubile hajakubali matokeo ya Tume yaliyompa Hichilema ushindi wa asilimia...

Rais Trump atangaza hatua mpya Venezuela

WASHINGTON DC, Marekani RAIS Donald Trump amesema Marekani imefikia makubaliano ya kudhibiti mapipa zaidi ya bilioni 65 ya mafuta ghafi kutoka Venezuela. Kwa mujibu wa Rais Trump, ametamba kuwa mapipa hayo yataongeza mara mbili akiba ya mafuta nchini...

Elimu

Afrika na kigezo cha ‘digrii’ kuwania urais

Na mwandishi wetu, Gazetini KENYA imetangaza kuondosha kigezo cha kuwa na Shahada ya chuo kikuu kama kigezo cha mgombea wa kiti cha urais. Hii ni pamoja pia na wagombea wa Ugavana na Ubunge kuanzia Uchaguzi Mkuu ujao...
NEW YORK, Marekani  SHIRIKA la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limeeleza katika ripoti yake kuwa wasichana takribani milioni 2.4 nchini Afghanistan wamenyimwa haki ya kupata elimu ya sekondari. Kwa mujibu wa UNESCO, kizingiti hicho kwa...

UDOM yang’ara Nanenane kwa ubunifu, teknolojia

Na mwandishi wetu, Gazetini CHUO Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeendelea kuthibitisha nafasi yake kama kitovu cha utafiti, ubunifu na teknolojia nchini baada ya kuwasilisha bunifu mbalimbali zinazolenga kutatua changamoto za jamii katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea jijini...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Ndejembi aapishwa, Rais Samia ampa jukumu zito

Na Faraja Mulungu, Gazetini DEOGRATIUS John Ndejembi ameanza rasmi majukumu yake mapya ya kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya...

Kesi ya uhaini inavyowatesa wanasiasa wa upinzani Afrika

LUSAKA, Zambia KIONGOZI wa siasa za upinzani nchini Zambia, Brian Mundubile, na mgombea mwenzake wake katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika hivi karibuni, Makebi Zulu, wameshikiliwa na...

Kivuli cha Lungu kinamfuata Rais Hichilema?

LUSAKA, Zambia LICHA ya kutangazwa mshindi katika Uchaguzi Mkuu wa hivi karibuni, Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema, anakabiliwa na presha kubwa ya ‘kumtuliza’ mpinzani wake,...

Selena Gomez na mkasa wa utapeli

LOS ANGELES, Marekani UNAMFAFAMU Selena Gomez? Bibiye anayefanya vizuri kwenye soko la muziki nchini Marekani, pia akiwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na staa wa...

Afrika na kigezo cha ‘digrii’ kuwania urais

Na mwandishi wetu, Gazetini KENYA imetangaza kuondosha kigezo cha kuwa na Shahada ya chuo kikuu kama kigezo cha mgombea wa kiti cha urais. Hii ni...

Jesus sasa kutimkia Atletico

LONDON, Uingereza MPACHIKAJI mabao wa Arsenal raia wa Brazil, Gabriel Jesus, yuko mbioni kujiunga na wakongwe wa La Liga, Atletico Madrid. Mtaalamu wa habari za usajili...

Ronaldo mfungaji bora wa muda wote Al-Nassr

RIYADH, Saudi Arabia NAHODHA wa Al-Nassr, Cristiano Ronaldo, ameweka rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa klabu hiyo. Ronaldo ameandika historia hiyo jana Agosti...

Rais Trump atangaza hatua mpya Venezuela

WASHINGTON DC, Marekani RAIS Donald Trump amesema Marekani imefikia makubaliano ya kudhibiti mapipa zaidi ya bilioni 65 ya mafuta ghafi kutoka Venezuela. Kwa mujibu wa Rais...

Milio ya risasi, mabomu yarindima Niger

NIAMEY, Niger WANANCHI wa Niger wamelala usiku wa kuamkia leo wakiwa na hofu baada ya milio ya risasi na risasi na bunduki kusikika mjini Niamey. Washambuliaji...

Haiti yarejesha raia 200,000 waliokimbia wahalifu

NEW YORK, Marekani RAIA wa Haiti takribani 200,000 wameUmoja rejea nchini humo baada ya kukimbia mapigano ya magenge ya uhalifu yaliyotamalaki nchini humo. Takwimu hizo ni...

Babu wa miaka 81 jela maisha kwa ubakaji, mauaji

BERLIN, Ujerumani MAHAKAMA Kuu nchini Ujerumani imemuhukumu kifungo cha maisha mwanaume mwenye umri wa miaka 81 kwa mashitaka ya kubaka na kuua. Kwa mujibu wa taarifa,...

Kumekucha Ligi ya Mabingwa Ulaya 2026-27

MONACO, Ufaransa DROO ya ratiba ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu wa 2026-27 ilichezeshwa jana, Agosti 27, 2026 mjini Monaco, Ufaransa. Ligi hiyo kwa...