Ads: info@gazetini.co.tz |
24.2 C
Dar es Salaam

Carrick afunguka kufukuzwa Man United

MANCHESTER, Uingereza KOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amefunguka juu ya tetesi zinazodai kuwa mabosi wa klabu hiyo watamfungashia virago. Taarifa zilizopo, ambazo hata hivyo hazijathibitishwa...

Habari Kuu

Jamii

Afya

LOS ANGELES, Marekani FIGO ya nguruwe iliyopandikizwa kwa mgonjwa imemsaidia kuishi siku 271, kwa mujibu wa madaktari nchini Marekani. Kwa mujibu wa mgonjwa huyo aliyefahamika kwa jina la Tim Andrews, figo hiyo ya nguruwe ilimpa tumaini la kuishi...

Maajabu ya kulala wikiendi kwa afya yako

Na mwandishi wetu, Gazetini KULALA kwa saa moja au mbili za ziada katika siku za mapumziko ya wiki (wikiendi) kunapunguza hatari ya kupata shinikizo la damu, utafiti umebaini. Katika hatua nyingine, wataalamu wameenda mbali zaidi wakishauri kuwa ni...

DC Chato: Huduma za OSHA ni muhimu kwa ukuaji wa uchumi

Na mwandishi wetu, Gazetini Mkuu wa Wilaya ya Chato, mkoani Geita, Louis Bura, amesema kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi katika Mkoa wa Geita imepelekea uhitaji wa huduma za usalama na afya mahali pa kazi kuongezeka ambapo...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

Na mwandishi wetu, Gazetini HISTORIA ya siasa za Afrika itaendelea kumkumbuka kama kielelezo cha viongozi wachache waliowahi kutumia vibaya nafasi zao. Alikuwa rais wa Liberia kuanzia Agosti 2, 1977, hadi alipojiuzulu Agosti 11, 2003, kisha kuhukumiwa kifungo cha...

Alejandro Betancourt; ‘Dalali’ wa Marekani mkataba wa mafuta Venezuela

CARACAS, Venezuela KWA sasa, Alejandro Betancourt anatarajiwa kama mtu muhimu katika mkataba wa mafuta ulioingiwa kati ya nchi yake ya Venezuela na Marekani, kwa mujibu wa Rais Donald Trump. Katika mkataba huo, ambao Trump anauita wa kihistoria duniani,...

Tunisia ‘jehanamu’ ya wakosoaji wa serikali?

TUNIS, Tunisia "WALE wanaozikosoa mamlaka au mambo yanavyokwenda nchini Tunisia wanakumbana na ukandamizaji." Ni kauli ya Messaoud Romdhani, mwanaharakati wa haki za binadamu katika nchi hiyo ya Afrika ya Kaskazini. Romdhani anaongeza kuwa wakosoaji wa serikali wamejikuta wakibambikiwa...

Elimu

Msigwa atoa onyo kutumia vibaya vitambulisho vya NIDA

Na Esther Mnyika, Gazetini MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amewaonya wananchi dhidi ya kukabidhi vitambulisho au namba zao za Taifa kwa watu wengine kwa ajili ya kusajili laini za simu, akisema matumizi hayo yanaweza kuwaweka wamiliki...
Na Esther Mnyika, Gazetini BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imewataka wasanii, waandaaji wa burudani, watayarishaji wa maudhui na wadau wengine wenye ushawishi kwa jamii kutumia majukwaa yao kuwa mabalozi wa elimu ya fedha, ikiwemo kuhamasisha utunzaji sahihi...

Afrika na kigezo cha ‘digrii’ kuwania urais

Na mwandishi wetu, Gazetini KENYA imetangaza kuondosha kigezo cha kuwa na Shahada ya chuo kikuu kama kigezo cha mgombea wa kiti cha urais. Hii ni pamoja pia na wagombea wa Ugavana na Ubunge kuanzia Uchaguzi Mkuu ujao...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Carrick afunguka kufukuzwa Man United

MANCHESTER, Uingereza KOCHA wa Manchester United, Michael Carrick, amefunguka juu ya tetesi zinazodai kuwa mabosi wa klabu hiyo watamfungashia virago. Taarifa zilizopo, ambazo hata hivyo hazijathibitishwa...

Marcelo: Ronaldo noma kuliko Messi

RIO, Brazil MKONGWE wa soka la Brazil, Marcelo, amemchagua tena Cristiano Ronaldo alipoulizwa ni nani mkali wa muda wote kati ya Mreno huyo na Lionel...

Mbappe awataja ‘CR7’, Zidane

MADRID, Hispania STAA wa Real Madrid, Kylian Mbappe, amesema Cristiano Ronaldo 'CR7', Zinedine Zidane na Ronaldo Nazario ni wachezaji ambao angeweza kuwasajili hata leo hii. Nyota...

Arteta hajui hatima yake Arsenal

LONDON, Uingereza KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, amedai kuwa hajui lolote kuhusu kusaini mkataba mpya klabuni hapo. Arteta raia wa Hispania aliyewahi kucheza eneo la kiungo...

Mnanda; muziki mzuri uliovaa vazi la uhuni

Na Hassan Mwasha, Gazetini KATIKA miaka ya 1990, muziki wa mnanda, maarufu pia kwa jina la mchiriku, uliwahi kujizolea umaarufu mkubwa hapa nchini, hasa katika...

Tumeisahau jana, tunaiishi leo, tunaitaka kesho!

Na Hassan Mwasha, Gazeini KAMA kuna kosa kubwa analoweza kulifanya binadamu katika uso wa dunia ni kujipumbaza kuhusu jana yake. Kusahau kila kitu. Kufuta kumbukumbu...

Umelipia lakini bado hujaunganishiwa umeme?

Na Hassan Mwasha, Gazetini WAKATI mwingine, malalamiko ya kuchelewa kuunganishiwa huduma ya umeme kutoka TANESCO yanaweza kusababishwa na uelewa mdogo wa wateja juu ya muda...

Lipia kwa awamu ili uunganishiwe umeme

Na Hassan Mwasha, Gazetini WAKATI mwingine, kama inavyoanishwa katika Mkataba wa Huduma kwa Wataje, TANESCO inatoa nafasi wa wananchi wenye uchumi mdogo kumudu gharama za...

Hujapata ‘control number’ baada ya maombi ya umeme?

Na Hassan Mwasha, Gazetini KWA mujibu wa Mkataba wa Huduma kwa Wateja, Shirika la Umeme nchini linatoa elimu ya kutosha kwa mteja wake juu...

Charles Taylor; Alitoroka gerezani kulipiza kisasi kwa Rais ‘aliyemtumbua’

Na mwandishi wetu, Gazetini HISTORIA ya siasa za Afrika itaendelea kumkumbuka kama kielelezo cha viongozi wachache waliowahi kutumia vibaya nafasi zao. Alikuwa rais wa Liberia kuanzia...

Shehena Kigoma yapaa, TPA yawekeza zaidi ya bilioni 100

Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI imesema katika kuongeza ufanisi katika sekta za Bandari nchini kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imetekeleza miradi mbalimbali...

Viuatilifu hatarishi vyawaathiri wakulima milioni 433 Duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini UTAFITI mpya wa kimataifa umebaini kuwa kati ya wakulima na wafanyakazi wa mashambani milioni 402 hadi 433 duniani wanaathiriwa na viuatilifu...