Ads: info@gazetini.co.tz |
24.1 C
Dar es Salaam

Vijana ndio wahusika wakuu wa Dira 2050, washauriwa kujipanga sasa

Na mwandishi wetu, Gazetni VIJANA wa Tanzania wametajwa kuwa kundi litakalobeba mafanikio makubwa ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, huku wakihimizwa kuanza kujijengea uwezo...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na Ramadhan Hassan, Dodoma HOSPITALI ya Benjamin Mkapa (BMH), kwa kushirikiana na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), imeandika historia kwa kufanikisha kwa mara ya kwanza kambi maalumu ya upasuaji wa moyo kwa watoto kutoka Burundi, hatua...

Huyu hapa daktari anayeua wagonjwa

BERLIN, Ujerumani MAHAKAMA nchini Ujerumani imemuhukumu kifo cha maisha gerezani daktari aliyebainika kuua wagonjwa wake 15, wakiwamo wanawake 12. Mwanaume huyo aliyefahamika kwa jina la Johannes M. ana umri wa miaka 41 na ametajwa na Mahakama kufanya kosa...

Jaji Mkuu: Kazi tunazofanya hazipaswi kuhatarisha maisha

Na mwandishi wetu, Gazetini Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, George Masaju, ameshauri Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuendelea kufanya ukaguzi wa mifumo ya usalama na afya katika maeneo ya kazi nchini yakiwemo...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

DAKAR, Senegal MAPEMA wiki hii, Bunge la Senegal lilipitisha mabadiliko ya Katiba yaliyozua utata, yakimuondoshea madaraka makubwa aliyonayo Rais. Hatua hiyo iliibua mgogoro mkubwa, hata polisi kulazimika kutumia mabomunya machozi kurejesha hali ya utulivu nje ya ofisi za...

Urafiki uliogeuka uadui Trump, Waziri Mkuu wa Italia

WASHINGTON DC, Marekani UHUSIANO kati ya Rais wa Marekani, Donald Trump, na Waziri Mkuu wa Italia, Giorgia Meloni, umeendelea kuwa gumzo na hata kuibua mjadala wa aina yake kwenye duru za kisiasa ulimwenguni. Trump na Meloni walikuwa marafiki...

Israel, Marekani ‘zimechafua’ Uchaguzi Colombia?

BOGOTA, Colombia RAIS aliyeondoka madarakani nchini Colombia, Gustavo Petro, ameendelea kutokuyatambua matokeo yaliyompa ushindi Abelardo de la Espriella. De la Espriella (47), ameingia Ikulu akimpiku Ivan Cepeda katika Uchaguzi ulioanza Mei 31, 2026, na kurudiwa siku chache zilizopita...

Elimu

Wanafunzi 36 bado wanashikiliwa na watekaji

LAGOS, Nigeria WANAFUNZI 36, pamoja na mfanyakazi wa shule, bao hawajaachiwa na kikundi cha waasi, kwa mujibu wa Polisi nchini Nigeria. Mapema wiki hii, waasi hao wakiwa na silaha waliwateka wanafunzi na mwalimu wa Shule ya Sekondari ya...
Na Hassan Mwasha, Gazetini HIKI ni kipindi ambacho wazazi wako 'bize' na maandalizi ya shule kwa wanafunzi wanaokwenda kuianza safari ya elimu kwa masomo ya Kidato cha Tano nchini. Mwaka wa Masomo utaanza Julai, 2026. Ubize unatofautiana kati...

Mkenda: Hakuna mtoto atakayeachwa nyuma katika elimu

Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Serikali itaendelea kuhakikisha hakuna mtoto anayekosa haki ya kupata elimu, ikiwemo mabinti waliopata ujauzito, kama sehemu ya juhudi za kuimarisha usawa na ujumuishi...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Vijana ndio wahusika wakuu wa Dira 2050, washauriwa kujipanga sasa

Na mwandishi wetu, Gazetni VIJANA wa Tanzania wametajwa kuwa kundi litakalobeba mafanikio makubwa ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, huku wakihimizwa kuanza kujijengea uwezo...

Kisa Haaland, Beckham atua kambini England

MIAMI, Marekani KUELEKEA robo fainali yao ya kesho dhidi ya Norway ya Erling Haaland, kambi ya timu ya soka ya Taifa ya England imetembelewa na...

Dira 2050 siyo ya Serikali pekee, kila Mtanzania ana nafasi ya kuijenga

Na mwandishi wetu, Gazetini WANANCHI wametakiwa kutambua kuwa utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 hauitegemei Serikali pekee, bali unahitaji ushiriki wa kila Mtanzania...

Haya sasa! Kocha mpya Yanga kupita njia za Guardiola, Klopp, Arteta

Na mwandishi wetu, Gazetini HATIMAYE mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-26, Yanga, wamempa kazi raia huyo wa Afrika Kusini kuwa kocha wao mpya. Taarifa...

Winga wa Ubelgiji aisikiliza Arsenal

LONDON, Uingereza KIUNGO wa pembeni wa Club Brugge ya Ubelgiji, Christos Tzolis, anataka kujiunga na Arsenal kupitia usajili wa majira haya ya kiangazi. Mwandishi wa habari...

Katie Price; Alikaribia kujinyonga baada ya kubakwa

LOS ANGELES, Marekani MAKALA ya maisha ya mwanamitindo Katie Price imejaa simulizi yenye huzuni juu ya maisha ya bibiye huyo mwenye jina kubwa katika tasnia...

Hispania, Ufaransa kuvaana nusu fainali

BOSTON, Marekani TIMU ya soka ya Taifa ya Hispania imeifuata Ufaransa katika hatua inayofuata ya nusu fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia. Hispania wamevuka...

Tanzania haijashuka, haijapanda viwango FIFA

Na mwandishi wetu, Gazetini TANZANIA imebaki katika nafasi yake ya 112 kwenye viwango vipya vya ubora wa soka duniani vya Shirikisho la Soka la Kimataifa...

Marekani yaitumia ujumbe mzito Iran

WASHINGTON DC, Marekani SERIKALI ya Marekani imeitaka Iran kuacha mara moja kuendeleza udhibiti wake katika Mlango-Bahari wa Hormuz. Katika agizo hilo, Marekani imezitaka mamlaka za Iran...

Abiria, rubani wafariki ajali ya ndege

NASSAU, Bahamas AJALI ya ndege ndogo nchini Bahamas imesababisha vifo vya abiria tisa, pamoja na rubani wao, mamlaka za nchi hiyo zimeeleza. Ndege hiyo ilikuwa ikifanya...

Mastaa wa soka na ‘ulevi’ wa mbio za magari

LONDON, Uingereza KWA miaka mingi, wachezaji wa kandanda wamekuwa na ukaribu mkubwa na mchezo wa mashindano ya mbio za magari. Mbali na mambo mengine, mara kadhaa...

Maresca atua na watu saba Man City

MANCHESTER, Uingereza KOCHA mpya wa Manchester City, Enzo Maresca, atatua na watu wapya saba kwenye benchi la ufundi la timu hiyo. Maresca ameajiriwa Etihad na kusaini...