Ads: info@gazetini.co.tz |
24.9 C
Dar es Salaam

Mrembo aliyekaribia kuvunja ndoa ya Jay Z, Beyonce

LOS ANGELES, Marekani RAPA Jay Z na staa wa Malkia wa muziki wa R&B na Pop, Beyonce Knowles, ni moja ya 'kapo' za muda mrefu...

Habari Kuu

Jamii

Afya

Na mwandishi wetu, Gazetini Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu ameitaka Bodi Mpya ya Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuendeleza mafanikio yaliyofikiwa na Taasisi hiyo katika kutekeleza...

Nchi 10 hatarini kuathiriwa na ebola wakati mlipuko ukizidi DRC na Uganda

KINSHASA, DRC WAKATI Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Uganda zikiendelea kuripoti ongezeko la visa vya maambukizi ya Ebola, nchi 10 za Afrika zimetakiwa kuimarisha ufuatiliaji na mikakati ya kuzuia kuenea kwa ugonjwa huo. Shirika la Afya...

Mama mzazi wa Hayati Magufuli afariki dunia Chato

Na mwandishi wetu, Gazetini MAMA mzazi wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dk. John Pombe Magufuli, Mama Suzana Magufuli, kufariki dunia akiwa nyumbani kwake Chato mkoani Geita baada ya...

Makala

Infographics

Siasa

CARACAS, Venezuela ALIYEWAHI kuwa mgombea wa urais wa upinzani nchini Venezuela, Edmundo Gonzalez Urrutia, ametaka kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu ikiwa ni miezi mitano imepita tangu Rais Nicolas Maduro alipoondoshwa madarakani na jeshi la Marekani. Gonzalez ni mwanasiasa maarufu...

Historia inavyomuuliza maswali Mchungaji Msigwa

Na Hassan Mwasha, Gazetini KUONDOKA Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) haikutosha kwa Mchungaji Peter Msigwa. Akahamia kwa washindani wao wakubwa katika siasa za Tanzania, CCM. Kama hiyo haitoshi, Mchungaji Msigwa akajipa kazi ya kuishughulikia CHADEMA. Akavaa mabomu...

Urafiki uliogeuka uadui kati ya Rais, Waziri Mkuu Senegal

DAKAR, Senegal IJUMAA ya wiki hii, Mei 22, 2026, Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, alimfuta kazi Waziri Mkuu wake, Ousmane Sonko, hatua iliyoambatana na kulivunja Baraza la Maawziri. Taarifa ya Sonko 'kutumbuliwa' haikuwashitua wengi, pia ikipokelewa kwa...

Elimu

Viongozi 16,000 wa elimu kunufaika na mafunzo ya uongozi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Mwanza Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais-TAMISEMI imezindua rasmi programu ya mafunzo ya uongozi kwa viongozi wa elimu katika shule za sekondari nchini. Programu hiyo inayotekelezwa na...
GILGIL, Kenya MOTO ambao chanzo chake hakijafahamika umeripotiwa kusababisha vifo vya watu 16, wengi wao wakiwa ni wanafunzi, katika shule ya bweni ya Sekondari ya Wasichana ya Utumishi mjini Gilgil. Kwa mujibu wa Shirika la Habari la AFP,...

Usiyoyajua kuhusu Siku ya Fistula itokanayo na uzazi

Na mwandishi wetu, Gazetini MEI 23, kama ambavyo hufanyika kila mwaka, Dunia inaadhimisha Siku ya Fistula itokanayo na uzazi, ambayo husababisha kwa asilimia 90 visa vya watoto wanaozaliwa wakiwa wameshafariki. Aidha, fistula ya uzazi huchangia asilimia 8% ya...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Mrembo aliyekaribia kuvunja ndoa ya Jay Z, Beyonce

LOS ANGELES, Marekani RAPA Jay Z na staa wa Malkia wa muziki wa R&B na Pop, Beyonce Knowles, ni moja ya 'kapo' za muda mrefu...

Depu na kivuli cha Dube: Yanga inahitaji straika mpya?

Na mwandishi wetu, Gazetini MJADALA wa kiwango cha mashambuliaji wa kimataifa wa Angola, Depu, tangu asajiliwe na Yanga umeshika kasi mitandaoni na hata vijiweni, wengi...

Shangwe la ubingwa lawaponza mashabiki wa PSG

PARIS, Ufaransa POLISI nchini Ufaransa wanawashikikia mashabiki zaidi ya 400 wa PSG waliosababisha vurugu katika maeneo mbalimbali nchini humo baada ya timu yao kutwaa taji...

Rema afunguka sababu ya kumkimbia mpenzi wake

LAGOS, Nigeria MWANAMUZIKI wa Afrobeats, Divine Ikubor, maarufu kwa jina la Rema, amesema mpenzi wake alikuwa mkorofi na msumbufu, hivyo akaamua kuachana naye na kubaki...

Mgombea urais wa zamani Venezuela ataka Uchaguzi Mkuu

CARACAS, Venezuela ALIYEWAHI kuwa mgombea wa urais wa upinzani nchini Venezuela, Edmundo Gonzalez Urrutia, ametaka kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu ikiwa ni miezi mitano imepita tangu...

Wilshere awashusha presha mashabiki Arsenal

LONDON, Uingereza KIUNGO wa zamani wa Arsenal, Jack Wilshere, anaamini klabu hiyo haitosubiri tena miaka 20 kufika fainali na kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa...

Davido: Wasanii simameni na wananchi, siyo wanasiasa

LAGOS, Nigeria SUPASTAA wa muziki wa Afrobeats, David Adeleke, maarufu Davido, amekiri kuwa wasanii, akiwamo yeye, hawajafanya vya kutosha kusimama na wananchi katika changamoto zinazowakabili. Wakati...

Maelfu waandamana Uturuki kupinga uamuzi wa Mahakama

ANKARA, Uturuki MAELFU ya wananchi wa Uturuki wameingia barabarani kupinga uamuzi wa Mahakama kutokumtambua kiongozi wa upinzani,  Ozgur Ozel. Ozel ameondoshwa katika nafasi yake ya uongozi...

Carrick, Man United na safari ya matumaini 2025-26

MANCHESTER, Uingereza RUBEN Amorim alitimuliwa kwenye benchi Januari, 2026, na nafasi yake kuchukuliwa na kocha Michael Carrick, ambaye ameiwezesha Manchester United kurejea Ligi ya Mabingwa. Ni...

Udhibiti wa mitumba umekwama wapi Afrika Mashariki?

NAIROBI, Kenya MUONGO mmoja uliopita, Jumuhiya ya Afrika Mashariki (EAC), ilikiri kuwapo kwa utitiri wa nguo za mitumba na kutangaza mkakati wa kuweka mazingira magumu...

Eminem; Kutoka maisha magumu mtaani hadi ustaa

LOS ANGELES, Marekani ANAITWA Marshall Bruce Mathers III lakini mashabiki wake wanamfahamu kwa jina la Eminem, ambaye ni mmoja ya mastaa wakubwa na wa muda...

Sheria ya malezi ya watoto inayotesa ‘ma-ex’ Japan

TOKYO, Japan KABLA ya kufanyiwa marekebisho Aprili Mosi, 2026, Sheria ya Malezi nchini Japan ilimtaka mzazi mmoja pekee kumiliki mtoto/watoto pale ilipotokea ndoa au mahusiano...