25.5 C
Dar es Salaam

CAF yaisogeza mbele WAFCON

CAIRO, Misri SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetangaza kuzisogeza mbele fainali za Mataifa Afrika kwa Wanawake (WAFCON). Awali, michuano hiyo ilitarajiwa kuanza Marchi 17, 2026, lakini...

Habari Kuu

Jamii

spot_img

Afya

Na mwandishi wetu, Gazetini SARATANI ya utumbo mpana inatajwa kuwa ndiyo aina ya saratani inayoongoza kwa idadi kubwa ya vifo kwa watu wenye umri chini ya miaka 50 nchini Marekani. Mbaya zaidi, watatu kati ya wagonjwa wanne wa...

Simulizi ya wanandoa wanaoishi na UKIMWI

KIGALI, Rwanda ILIKUWA ni Januari, 2020, ambapo akiwa anatoka saluni katika mitaa ya mjini Kigali, Janvier Igabe alikutana na mwanadada Josiane Tuyishimire. Baada ya mazungumzo, walikubaliana kuanzisha uhusiano wa kimapenzi, ingawa Tuyishimire alimuweka wazi Igabe kuwa ni mwathirika...

Wagonjwa wa ‘AI’ kutumika mafunzo ya udaktari

Na mwandishi wetu, Gazetini DUNIA inakwenda kasi. Maendeleo ya sayansi na teknolojia yanaibua gunduzi zinazorahisha na kuleta ufanisi wa shughuli mbalimbali. Kwa sasa, fani ya udaktari nayo nchini Uingereza imeanza kunufaika na teknolojia ya akili-mnemba (AI), ambapo ametengenezwa...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

TEL AVIV, Israel SERIKALI ya Israel imeweka wazi kuwa itamshambulia kijeshi, ikiwamo kumuua, kiongozi yeyote atakayeingia madarakani kuiongoza Iran. Ujumbe huo wa tishio unalenga kiongozi atakayechukua nafasi ya Ayatollah Ali Khamenei aliyeuawa na vikosi vya Israel kwa kushirikiana...

Clinton akana kuyajua ‘madudu’ ya Epstein

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa zamani wa Marekani, Bill Clinton, amesema hakuwahi kujua maovu ya Jeffrey Epstein hadi pale aliposikia mashitaka yake. Epstein, mmoja ya matajiri wakubwa nchini Marekani, alifariki akiwa na kashfa za udhalilishaji wa kingono, ikiwamo...

Ayatollah Ali Khamenei; Maisha, mamlaka na migogoro ya Iran

TEHRAN, Iran HABARI kubwa kwa sasa katika siasa za ulimwengu ni hatua ya Marekani na Israel kuishambulia kwa mabomu nchi ya Iran. Kubwa zaidi, ni mashambulizi hayo kumuua kiongozi wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei. Aliyetangaza kifo chake ni...
spot_imgspot_img

Elimu

Changamoto wanazopitia wanafunzi Ukanda wa Gaza

JERUSALEM, Palestina MIAKA miwili iliyopita, Sarah Qanan alikuwa miongoni mwa wanafunzi waliokuwa wakifanya vizuri darasani. Ndoto ya kuwa daktari ilikuwa kichwani kwake na kumuongezea morali ya kusoma kwa bidii. Ikiwa imebaki miezi michache kufanya mtihani wake wa mwisho...
spot_img
Na Christopher Cyrillo FIKIRIA wewe ni mtumishi wa taasisi au mamlaka fulani ya kisiasa, na zaidi ya hapo wewe ni shushushu wa kuaminiwa na taasisi hiyo. Mke wako anaugua saratani au ugonjwa mwingine hatari na nchini kwako hakuna...

Kanisa Katoliki Tanzania na historia ya majina ya maaskofu wake

Na Malisa GJ KATIKA historia ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania kumekuwa na Maaskofu Wakuu watatu (Archbishops) wenye jina Rugambwa. Wawili kati yao wakiwa Makardinali na mmoja Balozi wa Papa. Wa kwanza ni Mwadhama Laurean Kardinali Rugambwa aliyekuwa Askofu...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

CAF yaisogeza mbele WAFCON

CAIRO, Misri SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetangaza kuzisogeza mbele fainali za Mataifa Afrika kwa Wanawake (WAFCON). Awali, michuano hiyo ilitarajiwa kuanza Marchi 17, 2026, lakini...

Becker wa Liverpool awindwa Serie A

MILAN, Italia KLABU mbili za Ligi Kuu ya Italia (Serie A), Inter Milan na Juventus, zinapigana vikumbo kuiwania saini ya kipa wa Liverpool, Alisson Becker. Becker...

Rodrygo afunguka magumu anayopitia

MADRID, Hispania MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, Rodrygo Goes, amepata majeraha ya goti yatakayomweka nje ya dimba kwa miezi isiyopungua 10. Rodrygo alipata majeraha hayo katika mechi dhidi...

Sakata la Bruno, Man United limekaaje?

MANCHESTER, Uingereza KIUNGO wa Manchester United raia wa Ureno, Bruno Fernandes, hajaeleweka juu ya hatima yake klabuni hapo. Ataondoka au atabaki? Haijajulikana. Bruno amekuwa mchezaji muhimu...

Biashara haramu ya dawa tiba za kulevya, kengele mpya ya tahadhari

Na mwandishi wetu, Gazetini KUKAMATWA kwa chupa 1,795 za dawa tiba zenye asili ya kulevya katika basi la abiria lililokuwa likitokea Jamhuri ya Kidemokrasia ya...

Israel: Kiongozi yeyote wa Iran atauawa

TEL AVIV, Israel SERIKALI ya Israel imeweka wazi kuwa itamshambulia kijeshi, ikiwamo kumuua, kiongozi yeyote atakayeingia madarakani kuiongoza Iran. Ujumbe huo wa tishio unalenga kiongozi atakayechukua...

Trump aitangazia uadui Hispania

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, ametishia kusitisha uhusiano wa kibiashara na Hispania, huku Iran ikiwa chanzo cha msuguano huo. Trump ameeleza nia yake...

Kazier Chiefs yamrudia Nwabali

PRETORIA, Afrika Kusini VIGOGO wa Ligi Kuu ya Afrika Kusini, Kaizer Chiefs, imeanza tena kuifuatilia saini ya mlinda mlango wa timu ya taifa ya Nigeria...

Rais Zimbabwe aachia wafungwa 4,000

HARARE, Zimbabwe RAIS wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa, ametangaza msamaha wa wafungwa takribani 4,000, ikiwa ni hatua ya kupunguza msongamano magerezani. Hatua hiyo ni utekelezaji wa kile...

FCT yawajengea uwezo wafanyabiashara Lindi kuhusu sheria za ushindani na rufaa

Na mwandishi wetu, Gazetini ILI kuongeza uelewa wa sheria za ushindani na taratibu za rufaa katika shughuli za kibiashara, Fair Competition Tribunal (FCT) imewakutanisha wafanyabiashara...

Tsavorite; Hazina ya kijani na fahari ya Tanzania isiyojulikana

Na Wizara ya Madini, Dodoma KATIKA safu ya madini adimu ya vito yanayotambulika katika masoko ya kimataifa, Tsavorite ya Tanzania imeendelea kujijengea nafasi ya kipekee,...

Usichokijua kuhusu saratani ya utumbo mpana

Na mwandishi wetu, Gazetini SARATANI ya utumbo mpana inatajwa kuwa ndiyo aina ya saratani inayoongoza kwa idadi kubwa ya vifo kwa watu wenye umri chini...