Ads: info@gazetini.co.tz |
24.3 C
Dar es Salaam

Chanzo, hukumu ya Kanisa Katoliki kwa maaskofu sita

ROMA, Italia KANISA Katoliki lina wafuasi bilioni 1.4 duniani kote, hivyo kulifanya kuwa moja ya taasisi zenye nguvu na ushawishi mkubwa. Kama zilivyo taasisi zingine, Kanisa...

Habari Kuu

Jamii

Afya

MADRID, Hispania WATU zaidi ya 1,000 wamepoteza maisha kutokana na magonjwa yanayohusiana na kuongezeka kwa joto nchini Hispania. Taarifa hiyo inakuja wakati Hispania ikiwa imepata ongezeko kubwa zaidi la joto kuwahi kutokea kwa miaka ya hivi karibuni. Kwa mujibu...

Huyu ndiye tapeli hatari zaidi sekta ya Afya

LOS ANGELES, Marekani HIVI karibuni, Shirika la Ujasusi la Marekani (FBI) lilimtia mkononi mfanyabiashara maarufu, Ibrahim Khaldoon Hilmi, aliyekuwa akikimbia kukamatwa kwa miaka mingi. Khaldoom Hilmi aliyekamatwa akiwa Uturuki, anatajwa kujiingizia mabilioni ya fedha kwa njia za utapeli...

Ufaransa yatangaza daktari wake kupata Ebola

PARIS, Ufaransa MAMLAKA za afya nchini Ufaransa zimetangaza kisa cha kwanza cha maambukizi ya Ebola kwa daktari wake aliyetokea DRC. Daktari hyo alikuwa DRC katika programu ya Ufaransa kutoa msaada wa kibinadamu katika kukabiliana na ugonjwa huo. Kwa mujibu...

Makala

spot_img

Infographics

Siasa

DAKAR, Senegal MAPEMA wiki hii, Bunge la Senegal lilipitisha mabadiliko ya Katiba yaliyozua utata, yakimuondoshea madaraka makubwa aliyonayo Rais. Hatua hiyo iliibua mgogoro mkubwa, hata polisi kulazimika kutumia mabomunya machozi kurejesha hali ya utulivu nje ya ofisi za...

Urafiki uliogeuka uadui Trump, Waziri Mkuu wa Italia

WASHINGTON DC, Marekani UHUSIANO kati ya Rais wa Marekani, Donald Trump, na Waziri Mkuu wa Italia, Giorgia Meloni, umeendelea kuwa gumzo na hata kuibua mjadala wa aina yake kwenye duru za kisiasa ulimwenguni. Trump na Meloni walikuwa marafiki...

Israel, Marekani ‘zimechafua’ Uchaguzi Colombia?

BOGOTA, Colombia RAIS aliyeondoka madarakani nchini Colombia, Gustavo Petro, ameendelea kutokuyatambua matokeo yaliyompa ushindi Abelardo de la Espriella. De la Espriella (47), ameingia Ikulu akimpiku Ivan Cepeda katika Uchaguzi ulioanza Mei 31, 2026, na kurudiwa siku chache zilizopita...

Elimu

Wanafunzi 36 bado wanashikiliwa na watekaji

LAGOS, Nigeria WANAFUNZI 36, pamoja na mfanyakazi wa shule, bao hawajaachiwa na kikundi cha waasi, kwa mujibu wa Polisi nchini Nigeria. Mapema wiki hii, waasi hao wakiwa na silaha waliwateka wanafunzi na mwalimu wa Shule ya Sekondari ya...
Na Hassan Mwasha, Gazetini HIKI ni kipindi ambacho wazazi wako 'bize' na maandalizi ya shule kwa wanafunzi wanaokwenda kuianza safari ya elimu kwa masomo ya Kidato cha Tano nchini. Mwaka wa Masomo utaanza Julai, 2026. Ubize unatofautiana kati...

Mkenda: Hakuna mtoto atakayeachwa nyuma katika elimu

Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Serikali itaendelea kuhakikisha hakuna mtoto anayekosa haki ya kupata elimu, ikiwemo mabinti waliopata ujauzito, kama sehemu ya juhudi za kuimarisha usawa na ujumuishi...

Stay tuned

Subscribe to our latest newsletter and never miss the latest news!
Our newsletter is sent once a week, every Monday.

Michezo

Latest news

Chanzo, hukumu ya Kanisa Katoliki kwa maaskofu sita

ROMA, Italia KANISA Katoliki lina wafuasi bilioni 1.4 duniani kote, hivyo kulifanya kuwa moja ya taasisi zenye nguvu na ushawishi mkubwa. Kama zilivyo taasisi zingine, Kanisa...

Mahrez aibwaga rasmi Algeria

MIAMI, Marekani WINGA Riyad Mahrez ametangaza kustaafu kuitumikia timu yake ya soka ya Taifa ya Algeria. Kwa mujibu wa mwandishi wa habari maarufu wa Italia, Fabrizio...

Zilizotinga 16 Bora Kombe la Dunia

TORONTO, Canada TIMU 13 zimeshakata tiketi ya kucheza hatua inayofuata ya 16 Bora msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia. Ni baada ya Uswis nayo...

Mama yake Burna Boy ataka mkwe, wajukuu

LAGOS, Nigeria MAMA yake Burna Boy ambaye pia ndiye meneja wake, Bose Ogulu, amemtaka staa huyo wa muziki kuoa na kupata watoto. Ujumbe huo umekuja baada...

Waziri Mkuu: Sheria ya kutaifisha mifugo itafutwa Agosti

Na Malima Lubasha, Serengeti WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali imeanza mchakato wa kufuta sheria inayoruhusu kutaifishwa kwa mifugo inayokamatwa ndani ya maeneo ya...

Ajiua kwa kujichoma moto

NEW YORK, Marekani MWANAUME mmoja amejiua kwa kujichoma moto nje ya Ofisi za Umoja wa Mataifa (UN) jijini New York. Kwa upande wao, wanaharakati wamemtaja mtu...

Jaji Mkuu: Kazi tunazofanya hazipaswi kuhatarisha maisha

Na mwandishi wetu, Gazetini Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, George Masaju, ameshauri Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuendelea kufanya ukaguzi...

LeBron kutua wapi msimu ujao NBA?

LOS ANGELES, Marekani NI rasmi kwamba supastaa wa Ligi Kuu ya mpira wa Kikapu ya Marekani (NBA), LeBron James, hatakuwa na kikosi cha Los Angeles...

Halotel, Samsung wazindua huduma mikopo ya simu janja yenye vifurushi

Na Imani Nathaniel, Gazetini Kampuni ya Mawasiliano ya Halotel Tanzania kwa kushirikiana na Samsung Electronics, imezindua huduma ya mikopo ya simu janja inayokwenda sambamba na...

Drake kwa ‘kubeti’ humwambii kitu

TORONTO, Canada NJE ya kazi ya muziki, rapa Drake ana dunia yake nyingine. Ni miongoni mwa 'walevi' wa kamari ya kubashiri matokeo ya michezo (kubeti). Hivi...

Urusi, Ukraine piga nikupige inaendelea

KYIV, Ukraine VIKOSI vya jeshi la Urusi vimetekeleza shambulizi la ndege zisizo na rubani nchini Ukraine na kusababisha vifo vya watu 13. Mamlaka za Ukraine zimethibitisha...

Ni England au Mexico tiketi ya robo fainali?

MEXICO CITY, Mexico FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zinaendelea kuchanja mbuga, huku baadhi ya timu zikiwa zimeshatinga hatua ya 16 Bora. Baadhi...