LONDON, Uingereza
NANI kutinga fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia katika mchezo huo wa Julai 15, 2026? Ni Argentina ya Lionel Messi au England ya Harry Kane?
Achana na Messi dhidi ya Kane au mshambuliaji huyo...
PARIS, Ufaransa
BAADA ya ubingwa wa mwaka 2018, safari hii timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa ipo tena kwenye nafasi ya kutwaa taji hilo katika fainali za Kombe la Dunia zinazoendelea.
Timu hiyo imeshinda mechi zote sita...