Ads: info@gazetini.co.tz |
24.4 C
Dar es Salaam

Sports

LOS ANGELES, Marekani GUMZO kubwa katika tasnia ya burudani nchini Marekani ni ndoa ya bibiye Taylor Swift na mpenzi wake, Travis Kelce, huku mashabiki wa 'kapo' hiyo wakibaki njiapanda juu ya siku ya sherehe hiyo. Swift, mwanamuziki tajiri...
PYONGYANG, Korea ya Kaskazini RAIS wa China, Xi Jinping, yuko Korea ya Kaskazini kwa ziara ya siku mbili, Juni 8-9, 2026, ikilenga kutanua mahusiano mazuri yaliyopo kati ya mataifa hayo ya barani Asia. Hii ni ziara yake ya...

Neuer afika ‘levo’ za Messi

MUNICH, Ujerumani MLINDA mlango wa Bayern Munich, Manuel Neuer, amefikisha mechi 136 akiwa kikosi cha kwanza cha timu hiyo. Idadi hiyo ni sawa na aliyokuwa nayo...

Beckham amtolea uvivu Tuchel

LONDON, Uingereza KIUNGO wa zamani wa timu ya taifa ya England, David Beckham, amesema haelewi sababu ya kocha Thomas Tuchel kutomuita kikosini beki Trent Alexander-Arnold. Tuchel...

Gattuso kuirejesha Italia fainali za Kombe la Dunia?

LONDON, Uingereza TANGU walipotwaa ubingwa mwaka 2006, timu ya taifa ya Italia haijavuka hatua ya makundi katika fainali za Kombe la Dunia. Na badala yake, imeishia...

Unabeti kama starehe au na wewe umeshaigeuza ajira?

Na mwandishi wetu, Gazetini SHIDA kubwa tuliyonayo ngozi nyeusi ni kushindwa kutofautisha kati ya jambo la starehe na lile la lazima/muhimu. Hao ndipo tunapofeli. Huwa tunaanza...

Anguko la Leicester City kutoka ubingwa EPL hadi ‘mchangani’

LONDON, Uingereza MIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliushangaza ulimwengu wa soka walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL). Walifanya hivyo msimu wa 2015-16. Kwa sasa,...

Enrique hana mpango na Man United

PARIS, Ufaransa KOCHA wa PSG raia wa Hispania, Luis Enrique, havutiwi na mpango wa kuinoa Manchester United, licha ya kuhusishwa na klabu hiyo kwa ajili...

Sterling kutimkia Leeds au Palace

LONDON, Uingereza HUENDA kiungo wa pembeni wa Chelsea, Raheem Sterling, akaondoka klabuni hapo na kujiunga na Leeds United au Crystal Palace za Ligi Kuu ya...

Safari ya Patrick Kluivert; soka, makosa na mafanikio

Na Mwandishi Wetu, Gazetini PATRICK Kluivert, mzaliwa wa jiji la Amsterdam nchini Uholanzi, alikulia katika familia yenye mapenzi makubwa kwa mchezo wa soka. Baba yake...

Chart| Nchi zilizotwaa kombe la AFCON hadi sasa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Michezo ya hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) inatarajiwa kupigwa leo Februari 7, 2024. Katika...

Recent articles