Ads: info@gazetini.co.tz |
28 C
Dar es Salaam

Sports

LONDON, Uingereza CHELSEA walimaliza msimu wa 2025-26 wakiwa na machungu ya kukosa tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya (2026-27). Sasa, baada ya kumaliza msimu huo wakiwa nafasi ya 10 kwenye msimamo wa Ligi, kocha wao mpya, Xabi...
LONDON, Uingereza BAADA ya kunusurika kushuka daraja msimu wa 2025-26 wa Ligi Kuu ya England uliomalizika hivi karibuni, Tottenham imeanza maandalizi ya kuja kivingine. Chini ya kocha aliyeajiriwa dakika za mwisho na kuiokoa isishuke daraja, Roberto Derbi, Tottenham...

Neuer afika ‘levo’ za Messi

MUNICH, Ujerumani MLINDA mlango wa Bayern Munich, Manuel Neuer, amefikisha mechi 136 akiwa kikosi cha kwanza cha timu hiyo. Idadi hiyo ni sawa na aliyokuwa nayo...

Beckham amtolea uvivu Tuchel

LONDON, Uingereza KIUNGO wa zamani wa timu ya taifa ya England, David Beckham, amesema haelewi sababu ya kocha Thomas Tuchel kutomuita kikosini beki Trent Alexander-Arnold. Tuchel...

Gattuso kuirejesha Italia fainali za Kombe la Dunia?

LONDON, Uingereza TANGU walipotwaa ubingwa mwaka 2006, timu ya taifa ya Italia haijavuka hatua ya makundi katika fainali za Kombe la Dunia. Na badala yake, imeishia...

Unabeti kama starehe au na wewe umeshaigeuza ajira?

Na mwandishi wetu, Gazetini SHIDA kubwa tuliyonayo ngozi nyeusi ni kushindwa kutofautisha kati ya jambo la starehe na lile la lazima/muhimu. Hao ndipo tunapofeli. Huwa tunaanza...

Anguko la Leicester City kutoka ubingwa EPL hadi ‘mchangani’

LONDON, Uingereza MIAKA 10 iliyopita, Leicester City waliushangaza ulimwengu wa soka walipotwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England (EPL). Walifanya hivyo msimu wa 2015-16. Kwa sasa,...

Enrique hana mpango na Man United

PARIS, Ufaransa KOCHA wa PSG raia wa Hispania, Luis Enrique, havutiwi na mpango wa kuinoa Manchester United, licha ya kuhusishwa na klabu hiyo kwa ajili...

Sterling kutimkia Leeds au Palace

LONDON, Uingereza HUENDA kiungo wa pembeni wa Chelsea, Raheem Sterling, akaondoka klabuni hapo na kujiunga na Leeds United au Crystal Palace za Ligi Kuu ya...

Safari ya Patrick Kluivert; soka, makosa na mafanikio

Na Mwandishi Wetu, Gazetini PATRICK Kluivert, mzaliwa wa jiji la Amsterdam nchini Uholanzi, alikulia katika familia yenye mapenzi makubwa kwa mchezo wa soka. Baba yake...

Chart| Nchi zilizotwaa kombe la AFCON hadi sasa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Michezo ya hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) inatarajiwa kupigwa leo Februari 7, 2024. Katika...

Recent articles