Ads: info@gazetini.co.tz |
29 C
Dar es Salaam

Jamii

Na mwandishi wetu, Gazetini Licha ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kuendelea kujadiliwa katika ngazi mbalimbali, bado wananchi wengi hawajaielewa kwa kina, jambo linaloonyesha umuhimu wa kuendelea kutoa elimu kwa umma. Mchumi kutoka Tume ya Taifa ya...
Na Esther Mnyika, Gazetini MFUMO wa fedha ulio salama na unaoaminika ni nguzo muhimu ya ukuaji wa uchumi na kuvutia uwekezaji. Hata hivyo, mafanikio hayo yanaweza kuhatarishwa ikiwa taasisi za kifedha zitatumiwa kutakatisha fedha haramu au kufadhili...

Majanga ya moto tishio maeneo ya starehe

BANGKOK, Thailand TUKIO la baa kuwaka moto na kuua watu 27, sambamba na kujeruhi wengine kadhaa, mjini Bangkok, Thailand, limeteka vichwa vya habari duniani. Wakati huo...

Isabel wa Haaland naye siyo kinyonge

LONDON, Uingereza NJE ya soka, Erling Haaland ni baba wa mtoto mmoja wa kiume aliyezaliwa Desemba, 2024. Pia, mwanasoka huyo ni mpenzi wa mrembo Isabel...

Gazetini, Iwpg waingia makubaliano ya kukuza elimu ya amani Tanzania

Na mwandishi wetu, Gazetini GAZETINI Communication, kupitia chombo chake cha habari cha Gazetini, imeingia makubaliano ya ushirikiano na International Women's Peace Group (IWPG) ya Korea...

Abiria, rubani wafariki ajali ya ndege

NASSAU, Bahamas AJALI ya ndege ndogo nchini Bahamas imesababisha vifo vya abiria tisa, pamoja na rubani wao, mamlaka za nchi hiyo zimeeleza. Ndege hiyo ilikuwa ikifanya...

Maduka Okoye: Kipa Nigeria ‘anayejirusha’ na Cardi B

LOS ANGELES, Marekani ZIMEIBUKA ripoti zinazodai kuwa kipa wa kimataifa wa Nigeria, Maduka Okoye, 'anatoka' na bibiye mwenye jina kubwa katika muziki wa Hip hop...

Dj akamatwa kisa kumtishia maisha mtoto wa Rais

LAGOS, Nigeria POLISI nchini Nigeria wanamshikilia Dj maarufu, Chicken, akitajwa kumtishia maisha mtoto wa Rais Bola Tinubu, Seyi. Kabla ya kukamatwa kwake, Dj Chicken alitumia siku...

Ajiua kwa kujichoma moto

NEW YORK, Marekani MWANAUME mmoja amejiua kwa kujichoma moto nje ya Ofisi za Umoja wa Mataifa (UN) jijini New York. Kwa upande wao, wanaharakati wamemtaja mtu...

Mwili wa Khamenei wazua gumzo

TEHRAN, Iran MAMLAKA za Iran zimetangaza Julai 9, 2026 kuwa ndiyo siku za maziko ya Kiongozi wa zamani wa Taifa hilo, Ali Khamenei, huku ukiibuka...

Ndoa ya Taylor Swift inavyoitikisa Marekani

LOS ANGELES, Marekani GUMZO kubwa katika tasnia ya burudani nchini Marekani ni ndoa ya bibiye Taylor Swift na mpenzi wake, Travis Kelce, huku mashabiki wa...

Mtoto wa miaka mitatu aokolewa kwenye kifusi

CARACAS, Venezuela MTOTO wa kiume mwenye umri wa miaka mitatu ni miongoni mwa waliookolewa katika operesheni inayoendelea baada ya tetemeko la ardhi lililoikumba Venezuela. Taarifa za...

Soma hapa kama unatumia WhatsApp

LOS ANGELES, Marekani WHATSAPP ni miongoni mwa mitandao ya kijamii yenye ushawishi mkubwa, ukitajwa kuwa na watumiaji zaidi ya bilioni tatu duniani kote. Sasa, imezoeleka kuona...

Unaifahamu Siku ya Mitandao ya Kijamii duniani?

LOS ANGELES, Marekani JUNI 30 ya kila mwaka ni Siku ya Mitandao ya Kijamii duniani. Ni siku iliyoasisiwa mwaka 2010 na tovuti ya Mashable kwa...

Recent articles