Na mwandishi wetu, Gazetini
Licha ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kuendelea kujadiliwa katika ngazi mbalimbali, bado wananchi wengi hawajaielewa kwa kina, jambo linaloonyesha umuhimu wa kuendelea kutoa elimu kwa umma.
Mchumi kutoka Tume ya Taifa ya...
Na Esther Mnyika, Gazetini
MFUMO wa fedha ulio salama na unaoaminika ni nguzo muhimu ya ukuaji wa uchumi na kuvutia uwekezaji. Hata hivyo, mafanikio hayo yanaweza kuhatarishwa ikiwa taasisi za kifedha zitatumiwa kutakatisha fedha haramu au kufadhili...
BANGKOK, Thailand
TUKIO la baa kuwaka moto na kuua watu 27, sambamba na kujeruhi wengine kadhaa, mjini Bangkok, Thailand, limeteka vichwa vya habari duniani.
Wakati huo...
LONDON, Uingereza
NJE ya soka, Erling Haaland ni baba wa mtoto mmoja wa kiume aliyezaliwa Desemba, 2024. Pia, mwanasoka huyo ni mpenzi wa mrembo Isabel...
Na mwandishi wetu, Gazetini
GAZETINI Communication, kupitia chombo chake cha habari cha Gazetini, imeingia makubaliano ya ushirikiano na International Women's Peace Group (IWPG) ya Korea...
NASSAU, Bahamas
AJALI ya ndege ndogo nchini Bahamas imesababisha vifo vya abiria tisa, pamoja na rubani wao, mamlaka za nchi hiyo zimeeleza.
Ndege hiyo ilikuwa ikifanya...
LOS ANGELES, Marekani
ZIMEIBUKA ripoti zinazodai kuwa kipa wa kimataifa wa Nigeria, Maduka Okoye, 'anatoka' na bibiye mwenye jina kubwa katika muziki wa Hip hop...
LAGOS, Nigeria
POLISI nchini Nigeria wanamshikilia Dj maarufu, Chicken, akitajwa kumtishia maisha mtoto wa Rais Bola Tinubu, Seyi.
Kabla ya kukamatwa kwake, Dj Chicken alitumia siku...
NEW YORK, Marekani
MWANAUME mmoja amejiua kwa kujichoma moto nje ya Ofisi za Umoja wa Mataifa (UN) jijini New York.
Kwa upande wao, wanaharakati wamemtaja mtu...
LOS ANGELES, Marekani
GUMZO kubwa katika tasnia ya burudani nchini Marekani ni ndoa ya bibiye Taylor Swift na mpenzi wake, Travis Kelce, huku mashabiki wa...
CARACAS, Venezuela
MTOTO wa kiume mwenye umri wa miaka mitatu ni miongoni mwa waliookolewa katika operesheni inayoendelea baada ya tetemeko la ardhi lililoikumba Venezuela.
Taarifa za...
LOS ANGELES, Marekani
WHATSAPP ni miongoni mwa mitandao ya kijamii yenye ushawishi mkubwa, ukitajwa kuwa na watumiaji zaidi ya bilioni tatu duniani kote.
Sasa, imezoeleka kuona...