Ads: info@gazetini.co.tz |
23.2 C
Dar es Salaam

Jamii

Na Faraja Mulungu Gazetini HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), chini ya Mwenyekiti wake, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, imempendekeza Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, mwenye umri wa miaka 43,...
Na mwandishi wetu, Gazetini KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Asharose Migiro, amesema Halmashauri Kuu ya CCM imeamua kumfukuza uanachama aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Emmanuel Nchimbi, baada ya...

Uratibu wa maafa sasa kidijitali zaidi, Serikali yawaita wadau

Na Hassan Mwasha, Gazetini AGOSTI 19 ya kila mwaka, Tanzania, kama zilivyo nchi zingine duniani, huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Misaada ya Kibinadamu. Kwa kuyataja...

PSSSF yawaandaa waandishi wa habari kuijenga jamii

Na mwandishi wetu, Gazetini MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umeendesha mafunzo maalum kwa waandishi wa habari kuhusu masuala ya hifadhi...

Wadau watakiwa kuwawezesha wanawake wajasiriamali Serengeti

Na Malima Lubasha, Gazetini WADAU mbalimbali wa maendeleo pamoja na taasisi wilayani Serengeti, mkoani Mara, wametakiwa kuwawezesha wanawake wajasiriamali wanaofanya biashara katika Soko Kuu la...

Mikakati, udhibiti wa dawa za kulevya nchini

Na mwandishi wetu, Gazetini UDHIBITI wa tatizo la dawa za kulevya hufuata Sheria ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya namba 5 ya mwaka...

Wanafunzi na matumizi ya dawa za kulevya

Na mwandishi wetu, Gazetini TAARIFA ya Dawa za Kulevya ya Dunia ya mwaka 2025 inaonesha kuwa matumizi ya dawa za kulevya katika umri mdogo yana...

Matumizi ya dawa za kulevya yaongezeka kwa 28% duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini TAARIFA ya hali ya Dawa za Kulevya Duniani ya mwaka 2025 ilionesha kuwa matumizi ya dawa za kulevya yamefikia kiwango cha...

Tanesco inavyorahisisha kasi ya nishati safi ya kupikia

Na Hassan Mwasha, Gazetini ZIPO sababu nyingi za kukufanya uchukue hatua sasa ya kuachana kabisa na mkaa au kuni na kuhamia nishati safi ya kupikia...

Waziri Kabudi: Serikali itaendelea kuthamini mchango wa Lukuvi

Na mwandishi wetu, Gazetini WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi, amesema Serikali itaendelea kuheshimu...

Prof. Kabudi aongoza ibada ya kumaliza msiba wa Lukuvi

WAZIRIi wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Prof. Palamagamba Kabudi, ameongoza viongozi mbalimbali katika Ibada ya Misa Takatifu...

Tetemeko la ardhi laua watu 47 Indonesia

JAKARTA, Indonesia WATU takribani 47 wameripotiwa kupoteza maisha katika tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 7.7 lililotokea asubuhi ya leo Agosti 15, 2026, nchini Indonesia. Kupitia...

Mvua ya kihistoria yaua wanne Japan

TOKYO, Japan MVUA kubwa iliyonyesha usiku wa jana Agosti 13, 2026, huko Chiba, jirani na Mji Mkuu wa Tokyo, imesababisha vifo vya watu wanne, huku...

Hizi ndizo nchi zinazoendeleza hukumu ya kifo

BEIRUT, Lebanon LEBANON imekuwa nchi ya kwanza ya Mashariki ya Kati kufuta sheria ya hukumu ya kifo kwa wafungwa wake. Hatua hiyo ilifikiwa hivi karibuni...

Recent articles