23.4 C
Dar es Salaam

Jamii

Na mwandishi wetu, Gazetini TANZANIA imepiga hatua kubwa katika kupunguza athari za malaria, huku takwimu za hivi karibuni zikionyesha kupungua kwa vifo, maambukizi na wagonjwa wa ugonjwa huo katika kipindi cha miaka mitano iliyopita. Kwa mujibu wa Mganga...
Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI imesema jumla ya watu 3,557 wamepata ajali wakiwa kazini katika kipindi cha miaka mitatu kuanzia 2023 hadi 2025, huku watu 169 wakipoteza maisha kutokana na matukio hayo, hali inayoonesha ukubwa wa changamoto...

Mantra Tanzania LTD Empowers Local Talent, Inspires Hope with New Workforce for Mkuju River Project

Mantra Tanzania Limited has proudly welcomed ten newly trained equipment operators to support the next phase of development at the Mkuju River Project in...

Tume yaanika idadi walipoteza maisha Oktoba 29

Na Mwandishi Wetu, Gazetini TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imesema kuwa...

Papa Leo XIV amkwepa Trump

WASHINGTON DC, Marekani VITA ya maneno kati ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, na Rais wa Marekani, Donald Trump, imechukua sura mpya. Safari...

Wapenzi wa jinsia moja sasa jela miaka 10

DAKAR, Senegal RAIA wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, ametia saini kupitisha sheria mpya inayohukumu kifungo cha hadi miaka 10 gerezani kwa wanaojihusisha na mapenzi ya...

Jengo la kanisa laua watatu, waziri afunguka

ACCRA, Ghana WATU watatu, wakiwamo wanawake wawili, wameripotiwa kupoteza maisha baada ya jengo la ghorofa mbili la kanisa kuporomoka mjini Accra. Waziri wa Mambo ya Ndani,...

Wawili wanyongwa Iran

TEHRAN, Iran WANAUME wawili nchini Iran wamekumbana na adhabu ya kunyongwa baada ya kubainika kujihusisha na upinzani dhidi ya Serikali. Wawili hao waligundulika kuwa sehemu ya...

Tiger Woods aachiwa kwa dhamana

LOS ANGELES, Marekani STAA wa mchezo wa gofu, Tiger Woods, amerejea uraiani tangu alipokamatwa kwa kesi ya kuendesha gari akiwa amelewa pombe. Woods, bingwa wa dunia...

Basi laingia mtoni, watu 24 wafariki

DHAKA, Bangladesh WATU takribani 24 wamepoteza maisha baada ya basi walilokuwamo kupinduka na kuingia mtoni mjini Dhaka, Bangladesh. Ajali hiyo imetokea leo Machi 26, 2026 wakati...

Usawa wa kijinsia: Tumejipanga kwa vita nyingine ya miaka 30 ijayo?

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMPENI nyingi zinazoendelea kwa sasa zimejikita kumpa nguvu mtoto wa kike/mwanamke. Jamii inampambania kweli kweli. Wanaharakati wanafanya kila linalowekezana kumuweka binti/mwanamke katika...

Watu 15 wakamatwa Nigeria tuhuma za unyanyasaji wa wanawake

Watu 15 wamekamatwa nchini Nigeria kufuatia tuhuma za unyanyasaji wa wanawake katika tamasha la kitamaduni lililofanyika jimbo la Delta. ABUJA, Nigeria POLISI nchini Nigeria wamewakamata watu...

Dk. Yonazi ateta na bosi mpya TACAIDS, Tanzania yaendelea kudhibiti UKWIMWI

Na mwandishi wetu, Gazetini Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Dk. Jim Yonazi, amekutana na kufanya...

Mambo usiyoyajua kisheria kuhusu kesi za mauaji-6

Na Wakili Baraka Asajile Gwakabale SHERIA ya Tanzania haitambui kila kifo cha mtoto tumboni kama murder. Ili kosa la murder lisimame, lazima marehemu awe ametambulika...

Recent articles

spot_img