Na mwandishi wetu, Gazetini
RAIS wa Chama cha Mawakili wa Serikali Tanzania, Wakili Boniventure Mwambaja, amesema anaiona Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kuwa ni miongoni mwa taasisi bora za maendeleo ya miundombinu barani Afrika...
na mwandishi wetu, Gazetini
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Chande, amefurahishwa na uelewa mkubwa ulioonyeshwa na wanafunzi waliopata elimu ya vipimo katika banda la Wakala wa Vipimo - (WMA), kwenye Maonesho ya 33 ya Wakulima...
Na Mwandishi Wetu, Shinyanga
JUHUDI za Serikali za kupambana na ndoa za utotoni zimezaa matunda mkoani Shinyanga baada ya operesheni maalumu kumuokoa binti aliyekuwa amefaulu...
LOS ANGELES, Marekani
ANAITWA El Mayo. Ndilo jina maarufu zaidi kuliko Ismael Zambada alilopewa na wazazi wake, akiwa pia ndiye muasisi wa genge hatari la...
BEIJING, China
MELI ya mizigo ya Vietnam imeripotiwa kuzama jirani na Mwamba wa Yongshu katika Bahari ya South China.
Vyombo vya habari vya China vimeripotiwa taarifa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
VIONGOZI wa wanawake kutoka Afrika, Ulaya na maeneo mengine duniani wametoa wito wa kuimarishwa kwa juhudi za kujenga amani duniani, wakisisitiza...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KWA mwaka 2025, idadi ya wahamiaji nchini Marekani ilipungua kutoka milioni 2.7 hadi milioni 1.3, idadi ndogo zaidi katika historia ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
UTAFITI wa Shirika la Takwimu za Kazi la Marekani umefichua namna watu nchini humo wanavyozitumia siku zao mbili za mapumziko ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Mbeya, Mhashamu Gervas John Mwasikwabhila Nyaisonga, amechaguliwa kuwa Rais mpya wa Shirikisho la Mabaraza ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
TATIZO la ajira kwa vijana limeendelea kuzalisha maandamano katika nchi mbalimbali duniani, safari hii India ikichukua nafasi.
Hamasa ya vijana wa Chama...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MKUU wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda, amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama kufanya uchunguzi katika showroom za magari wilayani humo...
NEW YORK, Marekani
MIAKA 10 iliyopita, Umoja wa Mataifa ulipitisha azimio la kumaliza aina zote za umasikini, kuhakikisha usawa katika jamii, pamoja na kudhibiti majanga...
TOKYO, Japan
MAMLAKA za Tokyo zimewashauri wafanyakazi wa ofisini kuachana na suti, na badala yake kuvaa kaptula kipindi hiki cha joto kali.
Kwa mujibu wa mamlaka,...
BEIJING, China
KATIKA nchi nyingi duniani, maeneo ya mijini yameonekana kuwa ndiyo fursa ya kukimbilia, hasa kwa vijana wenye ndoto za kuishi maisha mazuri.
Kwa Beijing,...