Ads: info@gazetini.co.tz |
24.4 C
Dar es Salaam

DATA

LOS ANGELES, Marekani GUMZO kubwa katika tasnia ya burudani nchini Marekani ni ndoa ya bibiye Taylor Swift na mpenzi wake, Travis Kelce, huku mashabiki wa 'kapo' hiyo wakibaki njiapanda juu ya siku ya sherehe hiyo. Swift, mwanamuziki tajiri...
PYONGYANG, Korea ya Kaskazini RAIS wa China, Xi Jinping, yuko Korea ya Kaskazini kwa ziara ya siku mbili, Juni 8-9, 2026, ikilenga kutanua mahusiano mazuri yaliyopo kati ya mataifa hayo ya barani Asia. Hii ni ziara yake ya...

Refa aliyetoswa Kombe la Dunia kuamua fainali ya Arsenal, PSG

LONDON, Uingereza WIKIENDI hii, Washika Bunduki wa London, Arsenal, na matajiri wa Paris, PSG, watavaana katika mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Vita hiyo...

Afrika Magharibi na mtandao wa biashara ya cocaine

DAKAR, Senegal TAKWIMU zinaeleza kuwa asilimia 30 ya dawa za kulevya zinazokwenda Ulaya hupita barani Afrika, hasa katika mataifa ya Magharibi, ikiwamo Senegal. Hiyo ni kwa...

Uganda, Kenya macho yote Yanga, Simba vita ya ubingwa Ligi Kuu Bara

Na Hassan Mwasha, Gazetini WAKATI Uganda na Kenya zikiwa zimeshapata mabingwa wa msimu huu katika Ligi Kuu zao, hapa nchini bado 'ugali moto, mboga moto'...

Mabilionea wenye umri mdogo zaidi duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini TAKRIBANI nusu ya mabilionea wenye umri mdogo duniani (chini ya miaka 30) walipata utajiri huo kupitia biashara walizorithi kutoka katika familia...

Nchi zinazoongoza matumizi ya AI duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA utafiti wake, Kampuni ya Microsoft imebaini kuwa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ndiyo nchi inayoongoza kwa matumizi ya 'akili-unde'...

Mbu watajwa kuongoza vifo vya binadamu duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini HIYO ni kwa mujibu wa takwimu za tovuti ya Our World in Data, kwamba mbu ndiyo wadudu/wanyama wanaosababisha vifo vingi vya...

Maajabu ya ‘hat-trick’ za Kombe la Dunia

NYON, Uswis HIVI unafahamu kuwa zimeshafungwa 'hat-trick' 54 katika historia ya michuano ya soka ya Kombe la Dunia kwa wanaume tangu ilipoanza mwaka 1930? Chukua hiyo....

Kiti cha Katibu Mkuu UN: Nani alifaulu, nani alifeli?

NEW YORK, Marekani KATIBU Mkuu ndiyo cheo cha ngazi ya juu zaidi ndani ya Umoja wa Mataifa (UN) na kwa sasa kinashikiliwa na Waziri Mkuu...

Igor Thiago: Kutoka maisha ya msoto hadi Kombe la Dunia 2026

LONDON, Uingereza WAKATI kocha wa timu ya soka ya Taifa ya Brazil, Carlo Ancelotti, alipotangaza kikosi kitakachokwenda kwenye fainali za Kombe la Dunia za mwaka...

Klabu zenye mataji mengi ya Ligi ya Europa

LONDON, Uingereza ASTON Villa ndiyo Mabingwa wa msimu huu wa 2025-26 wa michuano ya Ligi ya Europa. Hata hivyo, kwa kuifunga Freiburg mabao 3-0 katika...

Mambo 5 yaliyoipa Arsenal ubingwa wa EPL

LONDON, Uingereza MATESO yamekwisha. Baada ya miaka 22 ya kusubiri, Arsenal imetwaa taji la Ligi Kuu ya England (EPL). Taji hilo limetua Emirates baada ya...

Waliondoka Simba, Yanga wakatwaa ubingwa wa CAF

Na Hassan Mwasha, Gazetini MC Alger kutwaa taji la michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika wikiendi iliyopita, ambapo iliifunga Zamalek kwa penalti 8-7, ni stori...

Recent articles