Ads: info@gazetini.co.tz |
26 C
Dar es Salaam

DATA

WASHINGTON DC, Marekani INAFAHAMIKA kuwa bado uhusiano kati ya Marekani na Iran haujakaa sawa. Mataifa hayo yanaendelea kushambuliana kijeshi, licha ya makubaliano ya hivi karibuni ya kusitisha vita vyao vilivyoanza Februari 28, 2026. Sasa, 'bifu' la nchi hizo...
Na Hassan Mwasha HATIMAYE Yanga wamethibitisha ubabe wao Ligi Kuu Bara baada ya kumaliza msimu huu wa 2025-26 kwa kutwaa ubingwa wao wa tano mfululizo. Yanga wamenyakua taji hilo leo Juni 30, 2026, kwa kuitandika JKT Tanzania mabao...

Utajiri wa Musk unatosha kila mtu duniani kupewa 300,000/-

LOS ANGELES, Marekani ACHANA na milionea. Sahau pia kuhusu bilionea. Mfanyabiashara maarufu wa Marekani, Elon Musk, amekuwa trilionea kwa kwanza hapa duniani. Musk amefikia hadhi hiyo...

Nchi zinazoongoza matumizi makubwa ya umeme duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini CHINA ndiyo nchi inayoongoza kwa matumizi ya kiwango kikubwa cha umeme duniani, ikifuatiwa na Marekani, India na Urusi, kwa mujibu wa...

Airtel Africa inavyochochea uchumi na kutunza mazingira Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMPUNI ya Airtel Africa imeendelea kuimarisha mchango wake katika maendeleo ya kijamii, kiuchumi na mazingira barani Afrika baada ya kuongeza upatikanaji...

Perez v Riquelme: Ni jeuri ya pesa, tambo za usajili mbio za urais Madrid

MADRID, Hispania WANACHAMA takribani 700,000 wa klabu ya Real Madrid watapiga kura leo Juni 7, 2026 kuchagua Rais atakayeongoza kwa miaka minne ijayo. Kwa sasa, vita...

Simba inavyoziburuza Yanga, Azam huko Instagram, Facebook

Na mwandishi wetu, Gazetini MAJUKWAA ya kidigitali yamekuwa na faida kubwa kwa klabu za soka kuitangaza 'brand' yake, kama ilivyo muhimu kwa biashara zingine. Aidha, si...

Refa aliyetoswa Kombe la Dunia kuamua fainali ya Arsenal, PSG

LONDON, Uingereza WIKIENDI hii, Washika Bunduki wa London, Arsenal, na matajiri wa Paris, PSG, watavaana katika mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Vita hiyo...

Afrika Magharibi na mtandao wa biashara ya cocaine

DAKAR, Senegal TAKWIMU zinaeleza kuwa asilimia 30 ya dawa za kulevya zinazokwenda Ulaya hupita barani Afrika, hasa katika mataifa ya Magharibi, ikiwamo Senegal. Hiyo ni kwa...

Uganda, Kenya macho yote Yanga, Simba vita ya ubingwa Ligi Kuu Bara

Na Hassan Mwasha, Gazetini WAKATI Uganda na Kenya zikiwa zimeshapata mabingwa wa msimu huu katika Ligi Kuu zao, hapa nchini bado 'ugali moto, mboga moto'...

Mabilionea wenye umri mdogo zaidi duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini TAKRIBANI nusu ya mabilionea wenye umri mdogo duniani (chini ya miaka 30) walipata utajiri huo kupitia biashara walizorithi kutoka katika familia...

Nchi zinazoongoza matumizi ya AI duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA utafiti wake, Kampuni ya Microsoft imebaini kuwa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ndiyo nchi inayoongoza kwa matumizi ya 'akili-unde'...

Mbu watajwa kuongoza vifo vya binadamu duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini HIYO ni kwa mujibu wa takwimu za tovuti ya Our World in Data, kwamba mbu ndiyo wadudu/wanyama wanaosababisha vifo vingi vya...

Maajabu ya ‘hat-trick’ za Kombe la Dunia

NYON, Uswis HIVI unafahamu kuwa zimeshafungwa 'hat-trick' 54 katika historia ya michuano ya soka ya Kombe la Dunia kwa wanaume tangu ilipoanza mwaka 1930? Chukua hiyo....

Recent articles