TEHRAN, Iran
WIZARA ya Afya ya Iran imeeleza kuwa watu zaidi ya 1,300 wamefariki na wengine zaidi ya 9,000 kujeruhiwa tangu nchi hiyo ilipoingia kwenye vita na Marekani na Israel.
Kwa upande wa Lebanon, ambayo wapiganaji wake wa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
DUNIA inaendelea kushuhudia mageuzi makubwa ya teknolojia yanayobadilisha namna shughuli mbalimbali zinavyotekelezwa kila siku, huku sehemu kubwa ya maendeleo hayo ikilenga kurahisisha kazi ambazo kwa muda mrefu zimekuwa zikifanywa na binadamu.
Ingawa hapo awali...
Na mwandishi wetu, Gazetini
JUMLA ya watoto na vijana wapatao 75,500 wanatarajiwa kufanyiwa uchunguzi wa ugonjwa wa selimundu (sikoseli) ili kubaini mapema hali zao za...
LAGOS, Nigeria
MAMBO yamezidi kuwa mabaya kwa mapacha waliowahi kutikisa soko la muziki barani Afrika kupitia Kundi la P-Square, Peter na Paul Okoye.
Okoye ametangaza rasmi...
MUNICH, Ujerumani
BAYERN Munich wameendeleza ubingwa wao Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga) baada ya kutwaa taji hilo kwa msimu wa pili mfululizo.
Bayern wamebaki na taji...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Crispin Chalamila, amesema uchunguzi wa awali umebaini kuwapo kwa mtandao...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MACHI 21 kila mwaka, dunia huadhimisha Siku ya Misitu Duniani kwa lengo la kuhamasisha jamii kutambua mchango mkubwa wa misitu katika...
Na mwandishi wetu, Gazetini
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Dk. Jim Yonazi, amekutana na kufanya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
TANZANIA imeendelea kuimarisha nafasi yake kama kivutio kikubwa cha uwekezaji wa kimataifa katika sekta ya madini, baada ya kuorodheshwa miongoni mwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
TANZANIA inaendelea kupiga hatua katika upatikanaji wa huduma za mawasiliano kupitia teknolojia mbalimbali za mitandao ya simu.
Kwa mujibu wa ripoti ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
FEBRUARI 28, 2026 imeingia kwenye kumbukumbu baada ya kuwa ndiyo siku aliyouawa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei, ambaye aliuawa katika ...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MIAKA ya hivi karibuni imeshuhudia migogoro mingi ya wanamuziki wa Bongo Fleva na mabosi wa lebo zao.
Mfano wa hivi karibuni ni...
Na mwandishi wetu, Gazetini
NI rahisi kuona watu wakikuwekea chuki na wivu kwa vile tu umefanikiwa, bila kujua umepitia shida nyingi kufika hapo ulipo. Wanachukulia...