WASHINGTON DC, Marekani
JUNI 7, 2026) zilitimia siku 100 tangu Marekani kwa kushirikiana na Israel zilipoanzisha mashambulizi dhidi ya Iran, vita vilivyosababisa kupanda kwa bei ya mafuta na kutikisa kwa kiasi kikubwa uchumi wa dunia.
Kuongeza hali tete...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KWA miaka ya hivi karibuni, baada ya kufuatilia chaguzi za Afrika, wachambuzi wa siasa wameibua kile wanachokiita mdororo wa afya ya demokrasia barani humu.
Chaguzi zilizoharibiwa na sura za vitendo vya rushwa, hali ya...
KIGALI, Rwanda
ILIKUWA ni Januari, 2020, ambapo akiwa anatoka saluni katika mitaa ya mjini Kigali, Janvier Igabe alikutana na mwanadada Josiane Tuyishimire.
Baada ya mazungumzo, walikubaliana...
KIGALI, Rwanda
KWA miaka ya hivi karibuni, Rwanda imewekeza vya kutosha katika kukabiliana na ugonjwa wa Ukimwi, takwimu zinaeleza.
Kwa mwaka 2024, maambukizi mapya ya virusi...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Dunia leo Desemba 1, 2025, inaadhimisha Siku ya UKIMWI Duniani, huku Umoja wa Mataifa ukitoa onyo kali kuhusu mustakabali wa mapambano...
Suva, FIJI
Fiji sasa inakabiliwa na mlipuko mkubwa wa Virusi vya Ukimwi (VVU), huku wataalamu wakionya kuwa nchi hiyo iko katika “dhoruba kamili” ya kiafya...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) kwa kushirikiana na Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Marekani (CDC) nchini Tanzania wamekutana...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) imeeleza dhamira yake ya kutokomeza UKIMWI ifikapo mwaka 2030, kupitia mikakati madhubuti ya kupunguza maambukizi...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) imewakutanisha wadau wa taasisi zinazofanya tafiti kuhusu VVU na UKIMWI nchini kujadili matokeo ya tafiti...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imeitaka Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) kuongeza juhudi katika...
Na Mwandishi Wetu, GazetiniMamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) na Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI (TACAIDS), Septemba 23, 2024, wamesaini...
Na Nadhifa Omary, TACAIDS
Kamisheni ya Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) imepongeza Menejimenti ya Tume hiyo kwa kujiwekea malengo yanayotekelezeka yenye lengo la kumaliza...
Na Nora Damian, Gazetini
Utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) umebaini asilimia 15 ya wagonjwa wenye Virusi vya UKIMWI...
*....yadhamiria kupunguza zaidi
Na Faraja Masinde, Gazetini
Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU) kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto yamepungua kutoka asilimia 7 hadi kufikia asilimia...