HAVANA, Cuba
SERIKALI ya Marekani imetangaza vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Rais wa Cuba, Miguel Diaz-Canel, pamoja na familia yake.
Taarifa ya vikwazo hivyo pia inaihusu familia ya Rais wa zamani wa Cuba, Raul Castro, licha ya kwamba...
MERSEYSIDE, Uingereza
LIVERPOOL imemtangaza Andoni Iraola kuwa kocha wake mpya kwa ajili ya msimu ujao, akichukua nafasi iliyoachwa wazi na Arne Slot.
Ripoti zinaeleza kuwa Iraola aliyefanya Bournemouth kuwa moja ya timu tishio kwa vigogo msimu uliomalizika wa...
LONDON, Uingereza
MIAKA ya hivi karibuni imewashuhudia makocha waliokabidhiwa mikoba ya kuzinoa timu kubwa za Ligi Kuu ya England (EPL) wakipitia nyakati ngumu, wengi wakishindwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema hakuna taifa linaloweza kubaki nyuma katika dunia ya sasa inayotawaliwa na teknolojia, akili bandia...
LONDON, Uingereza
NI siku 10 tu zimebaki kabla ya kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu zitakazofanyika Marekani, Canada na Mexico.
Wakati Argentina...
LONDON, Uingereza
HATIMAYE kiungo mkongwe Ligi Kuu ya England (EPL), James Milner, alitangaza kustaafu soka hivi karibuni. Ni baada ya miaka 24 ya kucheza kwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MATUMIZI ya mirungi yana historia ndefu barani Afrika, yakitajwa kuanza miaka mingi iliyopita katika nchi za Ethiopia, Eritrea, Kenya na Somalia.
Mirungi...
Na Hassan Mwasha
MAISHA ya Juma Mgota, mkazi wa Mtaa wa Muhalitan, Tandale jijini Dar es Salaam, yanaweza kuwa sehemu ndogo tu ya madhila wanayopitia...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MWISHONI mwa mwaka 2025, Madagascar ilitikiswa na maandamano makubwa ya vijana wa Gen-Z walioingia barabarani wakipinga hali mbaya ya kiuchumi, wakati...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MJADALA wa kiwango cha mashambuliaji wa kimataifa wa Angola, Depu, tangu asajiliwe na Yanga umeshika kasi mitandaoni na hata vijiweni, wengi...