TORONTO, Canada
HERVE Renard ametangaza kujiuzulu katika kibarua chake cha kuinoa timu ya soka ya Taifa ya Tunisia.
Mfaransa huyo ametema kibarua zikiwa ni siku 18 tu tangu alipoajiriwa kuchukua nafasi ya Sabri Lamouchi.
Lamouchi alifungashiwa virago baada ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
UKWELI ulio wazi ni kwamba vita kati ya Marekani na Iran vimekuwa na athari kubwa katika uchumi wa dunia.
Vita hivyo vimesababisha uhaba wa mafuta, hivyo kupanda kwa bei ya nishati hiyo katika soko...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MSIMU wa 2025/26 ulifikia tamati Juni 30, 2026, na habari kubwa ni Yanga kutwaa taji kwa mara ya tano mfululizo.
Kwa ufupi,...
LAGOS, Nigeria
WANAFUNZI 36, pamoja na mfanyakazi wa shule, bao hawajaachiwa na kikundi cha waasi, kwa mujibu wa Polisi nchini Nigeria.
Mapema wiki hii, waasi hao...
LONDON, Uingereza
KWA fedha nyingi na umaarufu mkubwa walionao, wangeweza kuifanya siku ya ndoa zao kufahamika duniani kote.
Hata hivyo, waliona mambo yasiwe mengi. Wakaamua kufunga...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
MSIMU huu wa 2025-26 wa Ligi Kuu Bara utafikia ukomo wake kesho Juni 30,2026, kwa timu zote 16 kushuka dimbani.
Kwamba viwanja...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
HIKI ni kipindi ambacho wazazi wako 'bize' na maandalizi ya shule kwa wanafunzi wanaokwenda kuianza safari ya elimu kwa masomo ya...
TORONTO, Canada
BOSNIA and Herzegovina ni miongoni mwa timu zilizokata tiketi ya kucheza hatua inayofuata ya 32 Bora ya fainali za Kombe la Dunia za...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA toleo la kwanza lililopita, tuliona Lungu akikaimu urais baada ya Michael Sata kwenda nje ya nchi kwa ajili ya matibabu....
LOS ANGELES, Marekani
UMARURU wake ulianza mwaka 2008 baada ya kutumika kama mrembo wa video katika ngoma ya rapa Young Jeezy iitwayo 'Put On'.
Ni wimbo...
Na mwandishi wetu, Gazetini
HATIMAYE Mahakama Kuu nchini Afrika Kusini imeitangazia ushindi familia ya Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu, katika rufaa yake dhidi...
LOS ANGELES, Marekani
JINA la Angelina Jolie haliwezi kuwa geni masikioni mwa wapenzi wa filamu duniani. Ni mwigizaji na prodyuza maarufu katika soko la Hollywood,...
LONDON, Uingereza
BAADA ya Keir Starmer kujiuzulu siku chache zilizopita, majina kadhaa ndani ya Chama tawala cha Labour yameanza kuhusishwa na kiti cha Waziri Mkuu...