Ads: info@gazetini.co.tz |
25.2 C
Dar es Salaam

Makala

HAVANA, Cuba SERIKALI ya Marekani imetangaza vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Rais wa Cuba, Miguel Diaz-Canel, pamoja na familia yake. Taarifa ya vikwazo hivyo pia inaihusu familia ya Rais wa zamani wa Cuba, Raul Castro, licha ya kwamba...
MERSEYSIDE, Uingereza LIVERPOOL imemtangaza Andoni Iraola kuwa kocha wake mpya kwa ajili ya msimu ujao, akichukua nafasi iliyoachwa wazi na Arne Slot. Ripoti zinaeleza kuwa Iraola aliyefanya Bournemouth kuwa moja ya timu tishio kwa vigogo msimu uliomalizika wa...

Andoni Iraola kuepuka ‘jehanamu’ ya makocha wa vigogo EPL?

LONDON, Uingereza MIAKA ya hivi karibuni imewashuhudia makocha waliokabidhiwa mikoba ya kuzinoa timu kubwa za Ligi Kuu ya England (EPL) wakipitia nyakati ngumu, wengi wakishindwa...

Samia aitahadharisha Afrika kuhusu mapinduzi ya AI

Na mwandishi wetu, Gazetini Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema hakuna taifa linaloweza kubaki nyuma katika dunia ya sasa inayotawaliwa na teknolojia, akili bandia...

Serengeti Boys kuandika historia nyingine Kombe la Dunia?

Na mwandishi wetu, Gazetini BAADA ya kufika fainali ya AFCON kwa vijana wa U-17, Serengeti Boys itashiriki michuano ya Kombe la Dunia kwa vijana wa...

‘Fuso’ ana mlima mrefu kuinasua Prisons isipotee Ligi Kuu Bara

Na Hassan Mwasha, Gazetini MOJA ya timu zinazopumulia mashine msimu huu wa Ligi Kuu Bara ni Tanzania Prison inayonolewa na beki wa kulia wa zamani...

Makocha hawa ‘out’ baada ya Kombe la Dunia 2026

LONDON, Uingereza NI siku 10 tu zimebaki kabla ya kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu zitakazofanyika Marekani, Canada na Mexico. Wakati Argentina...

James Milner: Miaka 24 ya mataji, rekodi za aina yake EPL

LONDON, Uingereza HATIMAYE kiungo mkongwe Ligi Kuu ya England (EPL), James Milner, alitangaza kustaafu soka hivi karibuni. Ni baada ya miaka 24 ya kucheza kwa...

Usiyoyajua kuhusu matumizi ya mirungi

Na mwandishi wetu, Gazetini MATUMIZI ya mirungi yana historia ndefu barani Afrika, yakitajwa kuanza miaka mingi iliyopita katika nchi za Ethiopia, Eritrea, Kenya na Somalia. Mirungi...

Kilimo cha bangi, uvutaji na madhara yake

Na mwandishi wetu, Gazetini KWA tafsiri ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya hapa nchini (DCEA), bangi ni aina ya dawa ya...

‘Nilitumia dawa za kulevya kuongeza nguvu za kiume, nikaishia pabaya’

Na Hassan Mwasha MAISHA ya Juma Mgota, mkazi wa Mtaa wa Muhalitan, Tandale jijini Dar es Salaam, yanaweza kuwa sehemu ndogo tu ya madhila wanayopitia...

Sura mpya siasa za Madagascar baada ya maandamano ya Gen-Z

Na mwandishi wetu, Gazetini MWISHONI mwa mwaka 2025, Madagascar ilitikiswa na maandamano makubwa ya vijana wa Gen-Z walioingia barabarani wakipinga hali mbaya ya kiuchumi, wakati...

Mrembo aliyekaribia kuvunja ndoa ya Jay Z, Beyonce

LOS ANGELES, Marekani RAPA Jay Z na staa wa Malkia wa muziki wa R&B na Pop, Beyonce Knowles, ni moja ya 'kapo' za muda mrefu...

Depu na kivuli cha Dube: Yanga inahitaji straika mpya?

Na mwandishi wetu, Gazetini MJADALA wa kiwango cha mashambuliaji wa kimataifa wa Angola, Depu, tangu asajiliwe na Yanga umeshika kasi mitandaoni na hata vijiweni, wengi...

Recent articles