TEHRAN, Iran
WIZARA ya Afya ya Iran imeeleza kuwa watu zaidi ya 1,300 wamefariki na wengine zaidi ya 9,000 kujeruhiwa tangu nchi hiyo ilipoingia kwenye vita na Marekani na Israel.
Kwa upande wa Lebanon, ambayo wapiganaji wake wa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
DUNIA inaendelea kushuhudia mageuzi makubwa ya teknolojia yanayobadilisha namna shughuli mbalimbali zinavyotekelezwa kila siku, huku sehemu kubwa ya maendeleo hayo ikilenga kurahisisha kazi ambazo kwa muda mrefu zimekuwa zikifanywa na binadamu.
Ingawa hapo awali...
MIAMI, Marekani
SUPASTAA wa timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi, hana mpango wa kuondoka katika klabu ya Inter Miami ya Ligi Kuu nchini Marekani...
LOS ANGELES, Marekani
UKIWEKA kando soka, masumbwi ni mchezo mwingine unaofuatiliwa zaidi, ukifuatiwa na mpira wa kikapu. Takwimu zinaonesha hivyo.
Kutokana na ushawishi wake duniani, mchezo...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
PATRICK Kluivert, mzaliwa wa jiji la Amsterdam nchini Uholanzi, alikulia katika familia yenye mapenzi makubwa kwa mchezo wa soka. Baba yake...
*Wataalamu waeleza kuwa ni chanzo cha majanga makubwa matatu
*Serikali yatakiwa kuwa macho kuhakikisha wapunguza madhara
Na Faraja Masinde, Gazetini
Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizojiunga...
JUMAPILI Januari 9, 2022 kivumbi cha Fainali za AFCON 2021 kiaanza kutimua vumbi nchini Cameroon.
Jina ‘Afcon 2021’ limetokana na ukweli kwamba michuano hii ilitarajiwa...
UKWELI usio na shaka ni kwamba sekta ya Michezo ya Kubahatisha nchini imeonekana kupiga hatua kubwa katika miaka ya hivi karibuni.
Hata hivyo, ukuaji huo...