Ads: info@gazetini.co.tz |
23.4 C
Dar es Salaam

Games

WASHINGTON DC, Marekani INAFAHAMIKA kuwa bado uhusiano kati ya Marekani na Iran haujakaa sawa. Mataifa hayo yanaendelea kushambuliana kijeshi, licha ya makubaliano ya hivi karibuni ya kusitisha vita vyao vilivyoanza Februari 28, 2026. Sasa, 'bifu' la nchi hizo...
Na Hassan Mwasha HATIMAYE Yanga wamethibitisha ubabe wao Ligi Kuu Bara baada ya kumaliza msimu huu wa 2025-26 kwa kutwaa ubingwa wao wa tano mfululizo. Yanga wamenyakua taji hilo leo Juni 30, 2026, kwa kuitandika JKT Tanzania mabao...

Sinner atinga fainali Miami Open

MIAMI, Marekani NYOTA anayeshika nafasi ya pili kwa ubora duniani, Jannik Sinner, ameingia fainali ya michuano ya Miami Open baada ya kumtandika Alexander Zverev. Sinner ameshinda...

Unabeti kama starehe au na wewe umeshaigeuza ajira?

Na mwandishi wetu, Gazetini SHIDA kubwa tuliyonayo ngozi nyeusi ni kushindwa kutofautisha kati ya jambo la starehe na lile la lazima/muhimu. Hao ndipo tunapofeli. Huwa tunaanza...

Messi agoma kuondoka Inter Miami

MIAMI, Marekani SUPASTAA wa timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi, hana mpango wa kuondoka katika klabu ya Inter Miami ya Ligi Kuu nchini Marekani...

Mabondia matajiri zaidi duniani

LOS ANGELES, Marekani UKIWEKA kando soka, masumbwi ni mchezo mwingine unaofuatiliwa zaidi, ukifuatiwa na mpira wa kikapu. Takwimu zinaonesha hivyo. Kutokana na ushawishi wake duniani, mchezo...

Safari ya Patrick Kluivert; soka, makosa na mafanikio

Na Mwandishi Wetu, Gazetini PATRICK Kluivert, mzaliwa wa jiji la Amsterdam nchini Uholanzi, alikulia katika familia yenye mapenzi makubwa kwa mchezo wa soka. Baba yake...

Utafiti wafichua kemikali hatarishi iliyojificha katika plastiki zilizorejelezwa

*Wataalamu waeleza kuwa ni chanzo cha majanga makubwa matatu *Serikali yatakiwa kuwa macho kuhakikisha wapunguza madhara Na Faraja Masinde, Gazetini Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizojiunga...

Infographic| Makundi Afrika, ni vita ya kibabe

JUMAPILI Januari 9, 2022 kivumbi cha Fainali za AFCON 2021 kiaanza kutimua vumbi nchini Cameroon. Jina ‘Afcon 2021’ limetokana na ukweli kwamba michuano hii ilitarajiwa...

Visualization| Serikali inavyovuna fedha kwenye michezo ya kubahatisha

UKWELI usio na shaka ni kwamba sekta ya Michezo ya Kubahatisha nchini imeonekana kupiga hatua kubwa katika miaka ya hivi karibuni. Hata hivyo, ukuaji huo...

‘El Classico’ in Dar| Uhondo wa Mataifa 14 ya Afrika

WATANI wa jadi, Simba na Yanga wanakutana Jumamamosi Desemba 11, 2021 katika mchezo wa mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara(NBC Primier...

Recent articles