Na mwandishi wetu, Gazetini
MWANDISHI wa habari wa kituo cha televisheni cha ABC cha Marekani, John Miller, anasimulia mahojiano aliyofanya Mei, 1998, na aliyekuwa kiongozi wa Al-Qaeda wakati huo, Osama Bin Laden.
Mahojiano yaliyofanyika kwa dakika 60 baada...
Na mwandishi wetu, Gazetini
PAUL Biya wa Cameroon ana umri wa miaka 93. Amekuwa Ikulu tangu mwaka 1982 na sasa anatumikia muhula wake wa nane aliouanza mwaka 2025. Atamaliza Novemba 6, 2032, miezi michache kabla ya kusherehekea...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
HATUA ya Dk. Emmanuel Nchimbi kujiuzulu nafasi ya Makamu wa Rais, na kisha kuvulishwa uanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) imemuibua...
Na mwandishi wetu, Gazetini
HATIMAYE kiatu cha Dk. Emmanuel Nchimbi katika nafasi ya Makamu wa Rais kimevaliwa na Deogratius John Ndejembi. Ni uamuzi uliotangazwa jana...
Na Faraja Mulungu Gazetini
HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), chini ya Mwenyekiti wake, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Asharose Migiro, amesema Halmashauri Kuu ya CCM imeamua kumfukuza uanachama aliyekuwa Makamu wa...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
HISTORA inaweza kuzitaja skendo za ufisadi za ESCROW na RICHMOND kama nyakati mbaya zaidi katika utawala wa Serikali ya Awamu ya...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
HOJA ya maridhiano ina umuhimu mkubwa. Ukweli ulio wazi ni kwamba nchi ipo kwenye mkwamo unaohitaji meza ya mazungumzo. Tuzungumze kweli...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, ametangaza kustaafu siasa na utumishi wa umma,...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
KWA miaka mitatu mfululizo tangu aliposajiliwa mwaka 2023, amekuwa kwenye kiwango kile kile kutoka mechi moja hadi nyingine. Na inapotokea siku...