Ads: info@gazetini.co.tz |
30.2 C
Dar es Salaam

Kitaifa

LONDON, Uingereza KATIKA dakika ya 89 ya mchezo wa Championship dhidi ya Millwall, kiungo wa West Ham United, Mohamadou Kante, alifanya aliwakosha mashabiki na wachezaji wenzake baada ya kucheza rafu iliyomsababishia kadi nyekundu. Ikiwa ni 'derby ya London',...
MERSEYSIDE, Uingereza KLABU ya Liverpool iko mbioni kumpa mkataba mpya kiungo wake raia wa Ujerumani, Florian Wirtz, licha ya kusuasua kwa kiwango chake. Nyota huyo hajafunga bao katika mechi 12 alizocheza hivi karibuni akiwa na Liverpool na timu...

Hizi hazijaonja ushindi msimu huu Ligi Kuu Bara

Na Hassan Mwasha, Gazetini MAMBO magumu! Kagera Sugar na Pamba Jiji ndizo timu mbili pekee ambazo hadi kufikia hatua hii hazibahatika kupata ushindi, licha ya...

Pamba Jiji, Namungo kiboko kwa kugawa pointi

Na Hassan Mwasha, Gazetini HOI kabisa! Kufikia hatua hii ya msimu wa 2026-27 wa Ligi Kuu Bara, Pamba Jiji na Namungo ndizo zinazoongoza kwa kufungwa...

Mabao 127 yamefungwa Ligi Kuu Bara 2026-27

Na Hassan Mwasha, Gazetini MWENDO wa mabao tu! Kwa sasa ni mapumziko ya kupisha kalenda ya FIFA na kufikia hatua hii tayari mechi 98...

Yanga nyumbani, Simba wao ugenini

Na mwandishi wetu, Gazetini KILA mtu ashinde zake! Katika mechi nne walizocheza wakiwa nyumbani msimu huu wa Ligi Kuu Bara, mabingwa watetezi, Yanga, wameshinda zote,...

Timu hizi ‘ukuta’ mbovu Ligi Kuu Bara 2026-27

Na Hassan Mwasha, Gazetini KAZI ipo! Kagera Sugar ndiyo timu iliyoruhusu mabao mengi hadi sasa, ikiwa imecheza mechi sita msimu huu wa Ligi Kuu Bara...

Manqoba ‘atapindua meza’ kubaki Yanga?

Na Hassan Mwasha, Gazetini KWA upande wa matokeo, ni ngumu kukubaliana na wanaomkosoa. Ameshinda mechi zote sita kwenye Ligi Kuu msimu huu wa 2026-27. Hajafungwa...

Shehena Kigoma yapaa, TPA yawekeza zaidi ya bilioni 100

Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI imesema katika kuongeza ufanisi katika sekta za Bandari nchini kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imetekeleza miradi mbalimbali...

Viuatilifu hatarishi vyawaathiri wakulima milioni 433 Duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini UTAFITI mpya wa kimataifa umebaini kuwa kati ya wakulima na wafanyakazi wa mashambani milioni 402 hadi 433 duniani wanaathiriwa na viuatilifu...

Shilingi bilioni 198.67 kuimarisha umeme Songwe, Mbeya

Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI imesaini mkataba wa Sh bilioni 198.67 kwa ajili ya ujenzi wa njia mpya ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovoti...

Simba yatamba ugenini, Wamalawi hawaamini!

Na mwandishi wetu, Gazetini SIMBA imeuanza vizuri msimu huu wa Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuinyuka Mighty Wanderers bao 1-0 katika mchezo uliochezwa katika...

Geita kufuta ‘uteja’ kwa Yanga?

Na Hassan Mwasha, Gazetini GEITA Gold ina kibarua kigumu mbele ya Yanga katika mchezo ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu wa 2026-27, na...

Simba kuzima moto, rekodi ya Mighty Wanderers?

Na mwandishi wetu, Gazetini SIMBA iko ugenini mjini Blantyre, Malawi, ambako kesho Septemba 6, 2026, itaumana na Mighty Wanderers katika mchezo wa hatua ya awali...

Recent articles