WASHINGTON DC, Marekani
INAFAHAMIKA kuwa bado uhusiano kati ya Marekani na Iran haujakaa sawa. Mataifa hayo yanaendelea kushambuliana kijeshi, licha ya makubaliano ya hivi karibuni ya kusitisha vita vyao vilivyoanza Februari 28, 2026.
Sasa, 'bifu' la nchi hizo...
Na Hassan Mwasha
HATIMAYE Yanga wamethibitisha ubabe wao Ligi Kuu Bara baada ya kumaliza msimu huu wa 2025-26 kwa kutwaa ubingwa wao wa tano mfululizo.
Yanga wamenyakua taji hilo leo Juni 30, 2026, kwa kuitandika JKT Tanzania mabao...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
UKIKATIZA mitaa miwili hadi mitatu, hasa katika majiji makubwa kama ilivyo kwa hapa Dar es Salaam, ni jambo lisilowezekana kukutana na...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Abwao, amefariki dunia leo Juni 20, 2026 akiwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KOCHA wa Azam FC, Florent Ibenge, amegoma kuanika mbinu za kiufundi atakazozitumia katika mchezo wao dhidi ya Yanga.
Timu hizo zitakutana kesho...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WANANCHI wa Wilaya za Gairo, Mpwapwa, Kongwa, Chamwino na Kiteto wanatarajiwa kunufaika na huduma ya umeme wa uhakika zaidi kufuatia kukamilika...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
NIMEKUWA nikifuatilia kwa karibu ziara za Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt....
Na mwandishi wetu, Gazetini
LICHA ya changamoto za kidunia, ukiwamo mgogoro wa Mashariki ya Kati unaozihuisha Marekani na Israel dhidi ya Iran, uchumi wa Tanzania...
Na Mwandishi Wetu,Gazetini
WAKATI maelfu ya vijana wa Kitanzania wakiendelea kuingia katika soko la ajira kila mwaka huku nafasi rasmi za ajira zikibaki finyu, wataalamu...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MKURUGENZI wa Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Brigedia Jenerali Hosea Ndagala...
Na mwandishi wetu, Gazetini
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema hakuna taifa linaloweza kubaki nyuma katika dunia ya sasa inayotawaliwa na teknolojia, akili bandia...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SPIKA wa Bunge, Mussa Zungu, amewapa siku nne za kujieleza wabunge waliokwenda Morocco kuitazama timu ya soka ya Taifa ya vijana...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
TUME ya Taifa ya Mipango imeongoza mjadala wa wanazuoni na wadau mbalimbali kuhusu mustakabali wa maendeleo na kujitegemea kiuchumi kwa nchi...