Ads: info@gazetini.co.tz |
23.4 C
Dar es Salaam

Kitaifa

WASHINGTON DC, Marekani INAFAHAMIKA kuwa bado uhusiano kati ya Marekani na Iran haujakaa sawa. Mataifa hayo yanaendelea kushambuliana kijeshi, licha ya makubaliano ya hivi karibuni ya kusitisha vita vyao vilivyoanza Februari 28, 2026. Sasa, 'bifu' la nchi hizo...
Na Hassan Mwasha HATIMAYE Yanga wamethibitisha ubabe wao Ligi Kuu Bara baada ya kumaliza msimu huu wa 2025-26 kwa kutwaa ubingwa wao wa tano mfululizo. Yanga wamenyakua taji hilo leo Juni 30, 2026, kwa kuitandika JKT Tanzania mabao...

Watoto wa mitaani, ‘mateja’, machangudoa; mfupa uliozishinda mamlaka?

Na Hassan Mwasha, Gazetini UKIKATIZA mitaa miwili hadi mitatu, hasa katika majiji makubwa kama ilivyo kwa hapa Dar es Salaam, ni jambo lisilowezekana kukutana na...

Kamanda wa polisi Mkoa wa Tabora afariki dunia

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Tabora, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Abwao, amefariki dunia leo Juni 20, 2026 akiwa...

Ibenge aficha silaha za kuibana Yanga

Na mwandishi wetu, Gazetini KOCHA wa Azam FC, Florent Ibenge, amegoma kuanika mbinu za kiufundi atakazozitumia katika mchezo wao dhidi ya Yanga. Timu hizo zitakutana kesho...

Serikali yawekeza Sh Bilioni 10.5 kuimarisha umeme wilaya tano

Na mwandishi wetu, Gazetini WANANCHI wa Wilaya za Gairo, Mpwapwa, Kongwa, Chamwino na Kiteto wanatarajiwa kunufaika na huduma ya umeme wa uhakika zaidi kufuatia kukamilika...

Nani anayezalisha ‘wanyonge’ wanaomsumbua Waziri Mkuu?

Na Hassan Mwasha, Gazetini NIMEKUWA nikifuatilia kwa karibu ziara za Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt....

Uchumi wazidi kupaa, umasikini wapungua nchini

Na mwandishi wetu, Gazetini LICHA ya changamoto za kidunia, ukiwamo mgogoro wa Mashariki ya Kati unaozihuisha Marekani na Israel dhidi ya Iran, uchumi wa Tanzania...

Uhamiaji wa kazi waibua fursa, hofu kwa wafanyakazi

Na Mwandishi Wetu,Gazetini WAKATI maelfu ya vijana wa Kitanzania wakiendelea kuingia katika soko la ajira kila mwaka huku nafasi rasmi za ajira zikibaki finyu, wataalamu...

OWM kuimarisha ushirikiano na WFP katika usimamizi wa maafa

Na mwandishi wetu, Gazetini MKURUGENZI wa Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Brigedia Jenerali Hosea Ndagala...

Samia aitahadharisha Afrika kuhusu mapinduzi ya AI

Na mwandishi wetu, Gazetini Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema hakuna taifa linaloweza kubaki nyuma katika dunia ya sasa inayotawaliwa na teknolojia, akili bandia...

Zungu awakaanga wabunge walioifuata Serengeti Boys

Na mwandishi wetu, Gazetini SPIKA wa Bunge, Mussa Zungu, amewapa siku nne za kujieleza wabunge waliokwenda Morocco kuitazama timu ya soka ya Taifa ya vijana...

Petroli yashuka Dar, dizeli yapanda

Na mwandishi wetu, Gazetini HATIMAYE bei ya mafuta ya petroli imeshuka wa Shilingi 29 kwa Dar es Salaam, ambapo sasa lita moja itauzwa kwa Shilingi...

Tume ya Taifa ya Mipango yaongoza mjadala wa Afrika kujitegemea kiuchumi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini TUME ya Taifa ya Mipango imeongoza mjadala wa wanazuoni na wadau mbalimbali kuhusu mustakabali wa maendeleo na kujitegemea kiuchumi kwa nchi...

Recent articles