Ads: info@gazetini.co.tz |
22.1 C
Dar es Salaam

Kitaifa

Na mwandishi wetu, Gazetini MWANDISHI wa habari wa kituo cha televisheni cha ABC cha Marekani, John Miller, anasimulia mahojiano aliyofanya Mei, 1998, na aliyekuwa kiongozi wa Al-Qaeda wakati huo, Osama Bin Laden. Mahojiano yaliyofanyika kwa dakika 60 baada...
Na mwandishi wetu, Gazetini PAUL Biya wa Cameroon ana umri wa miaka 93. Amekuwa Ikulu tangu mwaka 1982 na sasa anatumikia muhula wake wa nane aliouanza mwaka 2025. Atamaliza Novemba 6, 2032, miezi michache kabla ya kusherehekea...

‘Uchawa’, fitina vyatajwa Dk. Nchimbi kujiuzulu, kufutwa CCM

Na Hassan Mwasha, Gazetini HATUA ya Dk. Emmanuel Nchimbi kujiuzulu nafasi ya Makamu wa Rais, na kisha kuvulishwa uanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) imemuibua...

Safari ya Ndejembi kurithi mikoba ya Dk. Nchimbi

Na mwandishi wetu, Gazetini HATIMAYE kiatu cha Dk. Emmanuel Nchimbi katika nafasi ya Makamu wa Rais kimevaliwa na Deogratius John Ndejembi. Ni uamuzi uliotangazwa jana...

Ndejembi apitishwa na CCM kuwa Makamu wa Rais

Na Faraja Mulungu Gazetini HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), chini ya Mwenyekiti wake, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu...

DK. Nchimbi afutwa uanachama CCM

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Asharose Migiro, amesema Halmashauri Kuu ya CCM imeamua kumfukuza uanachama aliyekuwa Makamu wa...

Siasa zinawahitaji Kikwete, Mbowe na Heche

Na Hassan Mwasha, Gazetini HISTORA inaweza kuzitaja skendo za ufisadi za ESCROW na RICHMOND kama nyakati mbaya zaidi katika utawala wa Serikali ya Awamu ya...

Siku 14 za Rais Samia kufanya uamuzi, ‘utata’ wa Dk. Nchimbi

Na Hassan Mwasha, Gazetini RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, ana siku 14, kwa mujibu wa Ibara ya 50(4) ya...

Tume ya Madini yatoa siku 30 kwa miradi 128

Na mwandishi wetu, Gazetini TUME ya Madini imetoa muda wa siku 30 kwa wamiliki na wawezeshaji wa miradi ya uchimbaji mdogo yenye Mikataba ya Msaada...

Nani amekalia ‘siti’ ya wananchi katika gari la maridhiano?

Na Hassan Mwasha, Gazetini HOJA ya maridhiano ina umuhimu mkubwa. Ukweli ulio wazi ni kwamba nchi ipo kwenye mkwamo unaohitaji meza ya mazungumzo. Tuzungumze kweli...

Nchimbi ajiuzulu nafasi ya Makamu wa Rais

Na mwandishi wetu, Gazetini MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, ametangaza kustaafu siasa na utumishi wa umma,...

Yanga yaipigisha kwata JKT, yaitandika ‘4G’

Na mwandishi wetu, Gazetini USHINDI wa tatu mfululizo. Yanga imeibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa leo Agosti 24,...

Jaji Lila: Tume yetu imepewa jukumu la kubaini wahusika wa ghasia

MWENYEKITI wa Tume ya Uchunguzi wa Wahusika wa Ghasia na Ukiukwaji wa Sheria Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, Jaji Mstaafu...

Maxi Nzengeli ndiye ‘x-factor’ Yanga

Na Hassan Mwasha, Gazetini KWA miaka mitatu mfululizo tangu aliposajiliwa mwaka 2023, amekuwa kwenye kiwango kile kile kutoka mechi moja hadi nyingine. Na inapotokea siku...

Recent articles