Na mwandishi wetu, Gazetini
WENYEJI wa fainali za Mataifa ya Afrika za mwakani (AFCON 2027), Taifa Stars, wameangukia Kundi L wakati wa droo ya upangaji wa makundi ya mechi za kufuzu iliyochezeshwa hivi karibuni mjini Cairo, Misri.
Mechi...
BEIJING, China
ZIARA ya Vladmir Putin nchini China inakuja zikiwa ni siku chache tu tangu Donald Trump wa Marekani alipomaliza mkutano wake na Rais Xi Jinping mjini Beijing.
Tangu Urusi ilipojitenga na nchi za Magharibi baada ya kuivamia...
BUJUMBURA, Burundi
MVUTANO wa kisiasa umeanza kuongezeka nchini Burundi baada ya vyama vikuu vya upinzani kutangaza kusitisha ushiriki wao katika uchaguzi wa rais wa mwaka...
CAIRO, Misri
WIKI sita za vita kati ya Marekani na Israel zinazoishambulia Iran imesababisha mtikisiko mkubwa katika sekta ya usafiri wa anga barani Afrika. Makala...
LAGOS, Nigeria
MAMBO yamezidi kuwa mabaya kwa mapacha waliowahi kutikisa soko la muziki barani Afrika kupitia Kundi la P-Square, Peter na Paul Okoye.
Okoye ametangaza rasmi...
WASHINGTON DC, Marekani
VITA ya maneno kati ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, na Rais wa Marekani, Donald Trump, imechukua sura mpya.
Safari...
LONDON, Uingereza
TANGU walipotwaa ubingwa mwaka 2006, timu ya taifa ya Italia haijavuka hatua ya makundi katika fainali za Kombe la Dunia.
Na badala yake, imeishia...
HARARE, Zimbabwe
WANANCHI wa Zimbabwe wameonesha kutokuvutiwa na mpango wa Baraza la Mawaziri wa kuongeza muda wa rais kukaa madarakani.
Kwa mujibu wa Katiba ya sasa,...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA kuhakikisha kuwa Tanzania inaendelea kujiimarisha kama kitovu cha uwekezaji wa kimkakati barani Afrika, Serikali kupitia Wizara ya Madini imekaribisha kampuni...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WANAWAKE takribani 500,000 waliacha kazi nchini Marekani, kwa mujibu wa takwimu za Jarida la Forbes. Takwimu hizo ni kuanzia Januari hadi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MAREKANI kuishambulia Venezuela na kuondoka na Rais wake, Nicolas Maduro, ndiyo habari iliyogonga vichwa vya habari duniani kote kwa sasa.
Vikosi vya...
WAGADUGU, Burkina Faso
SERIKALI ya Burkina Faso imetangaza kuzuiwa kwa njama ya kumuua kiongozi wa kijeshi wa nchi hiyo, Kapteni Ibrahim Traoré.
Kwa mujibu wa Waziri...
TEHRAN, Iran
WAZIRI wa Mambo ya Nje ya Iran, Abbas Araghchi, ameitaka Marekani kuacha kusitishia nchi yake akisema vitisho pekee havitoshi.
Hivi karibuni, Rais wa Marekani,...