Ads: info@gazetini.co.tz |
22.1 C
Dar es Salaam

Elimu

    Na mwandishi wetu, Gazetini MWANDISHI wa habari wa kituo cha televisheni cha ABC cha Marekani, John Miller, anasimulia mahojiano aliyofanya Mei, 1998, na aliyekuwa kiongozi wa Al-Qaeda wakati huo, Osama Bin Laden. Mahojiano yaliyofanyika kwa dakika 60 baada...
    Na mwandishi wetu, Gazetini PAUL Biya wa Cameroon ana umri wa miaka 93. Amekuwa Ikulu tangu mwaka 1982 na sasa anatumikia muhula wake wa nane aliouanza mwaka 2025. Atamaliza Novemba 6, 2032, miezi michache kabla ya kusherehekea...

    UDOM yang’ara Nanenane kwa ubunifu, teknolojia

    Na mwandishi wetu, Gazetini CHUO Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeendelea kuthibitisha nafasi yake kama kitovu cha utafiti, ubunifu na teknolojia nchini baada ya kuwasilisha bunifu...

    WMA yawafundisha watoto vipimo, Naibu waziri apongeza

    na mwandishi wetu, Gazetini NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Chande, amefurahishwa na uelewa mkubwa ulioonyeshwa na wanafunzi waliopata elimu ya vipimo katika banda...

    PBPA yatoa elimu kuhusu mfumo wa uagizaji mafuta kwa pamoja

    Na mwandishi wetu, Gazetini WAKALA wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) unasimamia Mfumo wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja, ambao umeisaidia Serikali kuhakikisha bidhaa za mafuta...

    Binti aliyefaulu Kidato cha Tano aokolewa kabla ya kuozeshwa Shinyanga

    Na Mwandishi Wetu, Shinyanga JUHUDI za Serikali za kupambana na ndoa za utotoni zimezaa matunda mkoani Shinyanga baada ya operesheni maalumu kumuokoa binti aliyekuwa amefaulu...

    Watekaji wa wanafunzi Nigeria wafungwa maisha

    LAGOS, Nigeria MAHAKAMA nchini Nigeria imewahukumu kifungo cha maisha jela wanaume watatu baada ya kupatikana na hatia ya makosa yanayohusiana na utekaji wa makumi ya...

    Wananchi wengi wanaisikia Dira 2050, lakini…

    Na mwandishi wetu, Gazetini Licha ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kuendelea kujadiliwa katika ngazi mbalimbali, bado wananchi wengi hawajaielewa kwa kina, jambo linaloonyesha...

    BoT inavyolinda mfumo wa fedha dhidi ya utakatishaji

    Na Esther Mnyika, Gazetini MFUMO wa fedha ulio salama na unaoaminika ni nguzo muhimu ya ukuaji wa uchumi na kuvutia uwekezaji. Hata hivyo, mafanikio hayo...

    Ajali ya basi yaua wanafunzi 20, mmiliki wa shule 

    KAMPALA, Uganda AJALI ya basi la shule imesababisha vifo vya wanafunzi 20, pamoja na mtu mzima mmoja, katika eneo la Kapchorwa, Mashariki mwa Uganda. Taarifa ya polisi imeeleza...

    Gazetini, Iwpg waingia makubaliano ya kukuza elimu ya amani Tanzania

    Na mwandishi wetu, Gazetini GAZETINI Communication, kupitia chombo chake cha habari cha Gazetini, imeingia makubaliano ya ushirikiano na International Women's Peace Group (IWPG) ya Korea...

    Wanafunzi 36 bado wanashikiliwa na watekaji

    LAGOS, Nigeria WANAFUNZI 36, pamoja na mfanyakazi wa shule, bao hawajaachiwa na kikundi cha waasi, kwa mujibu wa Polisi nchini Nigeria. Mapema wiki hii, waasi hao...

    Unamsaidiaje mtoto wako kuchagua tahasusi Kidato cha Tano?

    Na Hassan Mwasha, Gazetini HIKI ni kipindi ambacho wazazi wako 'bize' na maandalizi ya shule kwa wanafunzi wanaokwenda kuianza safari ya elimu kwa masomo ya...

    Mkenda: Hakuna mtoto atakayeachwa nyuma katika elimu

    Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Serikali itaendelea kuhakikisha hakuna mtoto anayekosa haki ya kupata elimu, ikiwemo...

    Recent articles