Ads: info@gazetini.co.tz |
22.1 C
Dar es Salaam

Elimu

    MIAMI, Marekani STRAIKA wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Kyian Mbappe, ndiye aliyeibua na tuzo ya Mfungaji Bora wa msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia (2026). Licha ya Ufaransa kuishia nusu fainali, Mbappe amebeba...
    MIAMI, Marekani NYOTA wawili wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Lisandro Martinez na Cristian Romero, walionekana wakikwepa kupeana mikono na Rais wa Marekani, Donald Trump. Ni wakati wa kukabidhiwa medali ya kufika fainali ya msimu huu...

    Ajali ya basi yaua wanafunzi 20, mmiliki wa shule 

    KAMPALA, Uganda AJALI ya basi la shule imesababisha vifo vya wanafunzi 20, pamoja na mtu mzima mmoja, katika eneo la Kapchorwa, Mashariki mwa Uganda. Taarifa ya polisi imeeleza...

    Gazetini, Iwpg waingia makubaliano ya kukuza elimu ya amani Tanzania

    Na mwandishi wetu, Gazetini GAZETINI Communication, kupitia chombo chake cha habari cha Gazetini, imeingia makubaliano ya ushirikiano na International Women's Peace Group (IWPG) ya Korea...

    Wanafunzi 36 bado wanashikiliwa na watekaji

    LAGOS, Nigeria WANAFUNZI 36, pamoja na mfanyakazi wa shule, bao hawajaachiwa na kikundi cha waasi, kwa mujibu wa Polisi nchini Nigeria. Mapema wiki hii, waasi hao...

    Unamsaidiaje mtoto wako kuchagua tahasusi Kidato cha Tano?

    Na Hassan Mwasha, Gazetini HIKI ni kipindi ambacho wazazi wako 'bize' na maandalizi ya shule kwa wanafunzi wanaokwenda kuianza safari ya elimu kwa masomo ya...

    Mkenda: Hakuna mtoto atakayeachwa nyuma katika elimu

    Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Serikali itaendelea kuhakikisha hakuna mtoto anayekosa haki ya kupata elimu, ikiwemo...

    Unajua kwa nini huajiriwi licha ya ‘interview’ nyingi?

    Na Hassan Mwasha, Gazetini UNAJIULIZA kwanini hujapigiwa simu ya kuitwa kazini licha ya kuhisi ulifanya vizuri Siku ya usahili (interview)? Tulia. Huenda tatizo si uwezo wako...

    Uholanzi ilivyofanikiwa mfumo wa elimu, ajira kwa vijana

    AMSTERDAM, Uholanzi KWA mujibu wa sheria za Uholanzi, ni lazima kwa watoto wenye umri kati ya miaka mitano hadi 16 kuwa shuleni. Pia, ni lazima...

    Samia aitahadharisha Afrika kuhusu mapinduzi ya AI

    Na mwandishi wetu, Gazetini Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema hakuna taifa linaloweza kubaki nyuma katika dunia ya sasa inayotawaliwa na teknolojia, akili bandia...

    Usiyoyajua kuhusu matumizi ya mirungi

    Na mwandishi wetu, Gazetini MATUMIZI ya mirungi yana historia ndefu barani Afrika, yakitajwa kuanza miaka mingi iliyopita katika nchi za Ethiopia, Eritrea, Kenya na Somalia. Mirungi...

    Kilimo cha bangi, uvutaji na madhara yake

    Na mwandishi wetu, Gazetini KWA tafsiri ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya hapa nchini (DCEA), bangi ni aina ya dawa ya...

    Viongozi 16,000 wa elimu kunufaika na mafunzo ya uongozi

    Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Mwanza Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais-TAMISEMI imezindua rasmi programu ya mafunzo ya uongozi...

    Moto shule ya wasichana wasababisha vifo 16

    GILGIL, Kenya MOTO ambao chanzo chake hakijafahamika umeripotiwa kusababisha vifo vya watu 16, wengi wao wakiwa ni wanafunzi, katika shule ya bweni ya Sekondari ya...

    Recent articles