30.2 C
Dar es Salaam

Mazingira

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imesema kuwa jumla ya watu 518 walipoteza maisha katika ghasia zilizotokea kipindi hicho.Akizungumza wakati...
LONDON, Uingereza CHELSEA haina kocha mkuu baada ya kumfungashia virago Liam Rosenior, ambaye aliajiriwa Januari, 2026 kuchukua nafasi ya Enzo Maresca. Rosenior amefutwa kazi akiwa ameiongoza timu hiyo katika mechi 23 pekee. Hatua ya kufukuzwa imekuja baada ya...

WWF yaongoza kampeni ya kuulinda mlima Kilimanjaro

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA jitihada za kulinda mustakabali wa mazingira na vyanzo vya maji, wadau wa mazingira wakishirikiana na jamii ya Moshi wameanzisha kampeni...

Raia wa China akamatwa JKIA akijaribu kusafirisha zaidi ya siafu 2,000

NAIROBI, Kenya       Kwa mujibu wa mamlaka za Kenya, Zhang alikamatwa wakati wa ukaguzi wa usalama uwanjani hapo baada ya maafisa kugundua shehena kubwa ya siafu...

JET: Wanawake wana wajibu wa kuhifadhi mazingira

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Katika kuadhimisha kilele cha Siku ya Wanawake Duniani inayoadhimishwa Machi 8 kila mwaka, Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania...

Morocco kutumia Bil. 858/- kukabiliana na mafuriko

CASABLANCA, Morocco SERIKALI ya Morocco imepanga kutumia kiasi cha Dola milioni 330 (zaidi ya Sh bil. 858 za Tanzania) kukabiliana na uharibifu uliosababishwa na mafuriko. Hatua...

Mataifa yenye ng’ombe wengi kuliko watu

Na mwandishi wetu, Gazetini HII inaweza kushangaza lakini takwimu zinathibitisha kuwa yapo mataifa ambayo idadi ya ng'ombe ni kubwa kuliko ile ya watu wake. Kupitia mtandao...

Uchafuzi wa mazingira janga la dunia

Na mwandishi wetu, Gazetini TAKWIMU za sasa, kwa mujibu wa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP), uchafuzi wa mazingira umeongezeka kwa kasi katika...

Mtaalamu: Saidieni jamii kutambua manufaa ya bahari

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAANDISHI wa habari nchini wameaswa kuwa mstari wa mbele katika kusaidia jamii, hususan ile inayoishi kandokando ya ukanda wa pwani, kutambua...

Papa Leo XIV ahimiza hatua thabiti kukabili mabadiliko ya tabianchi

Belem, BRAZIL PAPA Leo XIV amehimiza viongozi kuchukua hatua thabiti dhidi ya mabadiliko ya tabianchi na kulalamika kuwa baadhi ya viongozi hawana mapenzi ya kutenda,...

Tanzania yaanza kuchukua hatua kukabili mabadiliko ya tabianchi

Belem, BRAZIL Serikali ya Tanzania kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeanza kuchukua hatua madhubuti kuhakikisha wananchi hawakatizwi tena na mafuriko yanayosababishwa...

Serikali yaboresha mfumo wa kukabiliana na majanga ya msimu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MKURUGENZI wa Idara ya Menejimenti ya Maafa, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Brigedia Jenerali Hosea Ndagala, amewataka washiriki...

Dk. Mpango: “Sauti ya NEMC isiwe ya mtu aliye nyikani”

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MAKAMU wa Rais mstaafu wa Tanzania, Dk. Philip Mpango, ametoa wito kwa Serikali kuongeza nguvu na mamlaka zaidi kwa Baraza la...

Serikali yasisitiza taasisi kuhamia matumizi ya nishati safi ya kupikia

Na Mwandishi Wetu, Gazetini-Mwanza  Wakati dunia ikikabiliwa na changamoto ya uharibifu wa mazingira na afya unaosababishwa na moshi wa kuni na mkaa, Serikali imeendelea kusukuma...

Recent articles

spot_img