Ads: info@gazetini.co.tz |
22.2 C
Dar es Salaam

Mazingira

Na mwandishi wetu, Gazetini SERIKALI imesaini mkataba wa Sh bilioni 198.67 kwa ajili ya ujenzi wa njia mpya ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovoti 220 (220kV) kutoka Iganjo mkoani Mbeya hadi Saza mkoani Songwe, pamoja na...
CATALUNYA, Hispania KOCHA wa Barcelona, Hansi Flick, amefichua kuwa kiungo wake, Frenkie de Jong, atakuwa fiti wiki chache zijazo. Flick amezungumzia hayo kuelekea mchezo wao wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Feyenoord ya Uholanzi. De Jong...

Lake Gas yaongeza kasi safari ya Tanzania ya Nishati Safi

Na Mwandishi Wetu, Gazetini TANZANIA imeweka lengo la kuhakikisha asilimia 80 ya Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034, huku Serikali ikisisitiza ushiriki...

Msando: JET iendelee kuibua uharibifu wa vyanzo vya maji

Na mwandishi wetu, Gazetini MKUU wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando, amekipongeza Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) kwa kuendelea kuandika na...

Norway yatoa Sh bilioni 8 kuchochea matumizi ya nishati safi nchini

Na mwandishi wetu, Gazetini Tanzania imepata nyongeza ya nguvu katika jitihada za kuhamia kwenye matumizi ya nishati safi baada ya TaTEDO – Sustainable Energy Services...

JET: Asasi za kiraia ni nguzo ya kupambana na jangwa

Na mwandishi wetu, Gazetini MKURUGENZI Mtendaji wa Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET), John Chikomo, amesema asasi za kiraia zina nafasi muhimu...

Mjamzito anusurika kuuawa na tembo

Na Malima Lubasha, Gazetini- Serengeti MWANAMKE mmoja mjamzito, Bhoke Mahumo (28), mkazi wa Kijiji cha Mbirikili, Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, amenusurika kufa baada ya...

Airtel Africa inavyochochea uchumi na kutunza mazingira Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini KAMPUNI ya Airtel Africa imeendelea kuimarisha mchango wake katika maendeleo ya kijamii, kiuchumi na mazingira barani Afrika baada ya kuongeza upatikanaji...

Temeke yaanzisha “ukanda wa kijani” Mandela, miti 500 yapandwa

Na wandishi wetu, Gazetini Mpango huo umetajwa kuwa sehemu ya mkakati wa Green Corridor Initiative unaolenga kuunganisha njia za kijani katika maeneo ya mijini ili...

JET yatoa wito wa hatua za haraka kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi

Na mwandishi wetu, Gazetini CHAMA cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) kimetoa wito kwa jamii, Serikali na wadau mbalimbali kuongeza kasi ya hatua...

Serikali yatambua mchango wa JET katika uhifadhi wa mazingira

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SERIKALI kupitia Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetunuku Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) tuzo...

Maeneo 9 ya kujivunia Wizara ya Maliasili na Utalii

Na Hassan Mwasha, Gazetini BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jumatatu, Mei 18, 2026 limepitisha Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa Mwaka...

Salome: Nyumba 2,512 zimeunganishwa na miundombinu ya gesi asilia

Na Mwandishi Wetu, Gazetini NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba amesema hadi Aprili 2026, jumla ya nyumba 2,512 zimeunganishwa na miundombinu ya gesi asilia katika...

Siku ya Kimataifa ya kuthamini Popo yaadhimishwa, Tanzania yaaswa kuwalinda

Na mwandishi wetu, Gazetini APRILI 17, ya kila mwaka Tanzania inaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kuthamini Popo, huku wadau wa...

Recent articles