Ads: info@gazetini.co.tz |
24.4 C
Dar es Salaam

Mazingira

Na mwandishi wetu, Gazetini MATUMIZI ya mirungi yana historia ndefu barani Afrika, yakitajwa kuanza miaka mingi iliyopita katika nchi za Ethiopia, Eritrea, Kenya na Somalia. Mirungi ni aina ya dawa ya kulevya inayotokana na mmea unaoitwa 'Catha edulis',...
KYIV, Ukraine WATU saba wameripotiwa kupoteza maisha na wengine 11 kujeruhiwa baada ya ndege isiyo na rubani (drone) kugonga basi la abiria nchini Ukraine. Kwa mujibu wa kiongozi wa Mkoa wa Donetsk, Mashariki mwa Ukraine, ajali hiyo imetokea...

Salome: Nyumba 2,512 zimeunganishwa na miundombinu ya gesi asilia

Na Mwandishi Wetu, Gazetini NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba amesema hadi Aprili 2026, jumla ya nyumba 2,512 zimeunganishwa na miundombinu ya gesi asilia katika...

Siku ya Kimataifa ya kuthamini Popo yaadhimishwa, Tanzania yaaswa kuwalinda

Na mwandishi wetu, Gazetini APRILI 17, ya kila mwaka Tanzania inaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kuthamini Popo, huku wadau wa...

AGENDA yahimiza mapinduzi ya uhifadhi misitu Tanzania, uharibifu wazidi…

Na mwandishi wetu, Gazetini MACHI 21 kila mwaka, dunia huadhimisha Siku ya Misitu Duniani kwa lengo la kuhamasisha jamii kutambua mchango mkubwa wa misitu katika...

WWF yaongoza kampeni ya kuulinda mlima Kilimanjaro

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA jitihada za kulinda mustakabali wa mazingira na vyanzo vya maji, wadau wa mazingira wakishirikiana na jamii ya Moshi wameanzisha kampeni...

Raia wa China akamatwa JKIA akijaribu kusafirisha zaidi ya siafu 2,000

NAIROBI, Kenya       Kwa mujibu wa mamlaka za Kenya, Zhang alikamatwa wakati wa ukaguzi wa usalama uwanjani hapo baada ya maafisa kugundua shehena kubwa ya siafu...

JET: Wanawake wana wajibu wa kuhifadhi mazingira

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Katika kuadhimisha kilele cha Siku ya Wanawake Duniani inayoadhimishwa Machi 8 kila mwaka, Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania...

Morocco kutumia Bil. 858/- kukabiliana na mafuriko

CASABLANCA, Morocco SERIKALI ya Morocco imepanga kutumia kiasi cha Dola milioni 330 (zaidi ya Sh bil. 858 za Tanzania) kukabiliana na uharibifu uliosababishwa na mafuriko. Hatua...

Mataifa yenye ng’ombe wengi kuliko watu

Na mwandishi wetu, Gazetini HII inaweza kushangaza lakini takwimu zinathibitisha kuwa yapo mataifa ambayo idadi ya ng'ombe ni kubwa kuliko ile ya watu wake. Kupitia mtandao...

Uchafuzi wa mazingira janga la dunia

Na mwandishi wetu, Gazetini TAKWIMU za sasa, kwa mujibu wa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP), uchafuzi wa mazingira umeongezeka kwa kasi katika...

Mtaalamu: Saidieni jamii kutambua manufaa ya bahari

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAANDISHI wa habari nchini wameaswa kuwa mstari wa mbele katika kusaidia jamii, hususan ile inayoishi kandokando ya ukanda wa pwani, kutambua...

Papa Leo XIV ahimiza hatua thabiti kukabili mabadiliko ya tabianchi

Belem, BRAZIL PAPA Leo XIV amehimiza viongozi kuchukua hatua thabiti dhidi ya mabadiliko ya tabianchi na kulalamika kuwa baadhi ya viongozi hawana mapenzi ya kutenda,...

Tanzania yaanza kuchukua hatua kukabili mabadiliko ya tabianchi

Belem, BRAZIL Serikali ya Tanzania kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeanza kuchukua hatua madhubuti kuhakikisha wananchi hawakatizwi tena na mafuriko yanayosababishwa...

Recent articles