LUSAKA, Zambia
UKIWA ni mwaka mmoja tu tangu kifo cha Rais Edgar Lungu, familia yake imeshinda kesi baada ya Mahakama kuamuru ipewe mwili kwa ajili ya maziko.
Hilo lilikuwa ni ombi la familia, tofauti na Serikali ya Zambia...
ISLAMABAD, Pakistan
MWANAHARAKATI wa haki za binadamu nchini Pakistan, Mahrang Baloch, amehukumiwa kifungo cha maisha.
Baloch ameangukiwa na hukumu hiyo katika mashitaka ya ugaidi na kusababisha kifo cha mwanajeshi katika maandamano ya mwaka 2024.
Akishitakiwa sambamba na mwanaharakati mwenzake,...
Na wandishi wetu, Gazetini
Mpango huo umetajwa kuwa sehemu ya mkakati wa Green Corridor Initiative unaolenga kuunganisha njia za kijani katika maeneo ya mijini ili...
Na mwandishi wetu, Gazetini
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) kimetoa wito kwa jamii, Serikali na wadau mbalimbali kuongeza kasi ya hatua...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
SERIKALI kupitia Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetunuku Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET) tuzo...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jumatatu, Mei 18, 2026 limepitisha Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa Mwaka...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba amesema hadi Aprili 2026, jumla ya nyumba 2,512 zimeunganishwa na miundombinu ya gesi asilia katika...
Na mwandishi wetu, Gazetini
APRILI 17, ya kila mwaka Tanzania inaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kuthamini Popo, huku wadau wa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MACHI 21 kila mwaka, dunia huadhimisha Siku ya Misitu Duniani kwa lengo la kuhamasisha jamii kutambua mchango mkubwa wa misitu katika...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA jitihada za kulinda mustakabali wa mazingira na vyanzo vya maji, wadau wa mazingira wakishirikiana na jamii ya Moshi wameanzisha kampeni...
NAIROBI, Kenya
Kwa mujibu wa mamlaka za Kenya, Zhang alikamatwa wakati wa ukaguzi wa usalama uwanjani hapo baada ya maafisa kugundua shehena kubwa ya siafu...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Katika kuadhimisha kilele cha Siku ya Wanawake Duniani inayoadhimishwa Machi 8 kila mwaka, Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania...
CASABLANCA, Morocco
SERIKALI ya Morocco imepanga kutumia kiasi cha Dola milioni 330 (zaidi ya Sh bil. 858 za Tanzania) kukabiliana na uharibifu uliosababishwa na mafuriko.
Hatua...
Na mwandishi wetu, Gazetini
HII inaweza kushangaza lakini takwimu zinathibitisha kuwa yapo mataifa ambayo idadi ya ng'ombe ni kubwa kuliko ile ya watu wake.
Kupitia mtandao...