Ads: info@gazetini.co.tz |
30.2 C
Dar es Salaam

Africa

LONDON, Uingereza KATIKA dakika ya 89 ya mchezo wa Championship dhidi ya Millwall, kiungo wa West Ham United, Mohamadou Kante, alifanya aliwakosha mashabiki na wachezaji wenzake baada ya kucheza rafu iliyomsababishia kadi nyekundu. Ikiwa ni 'derby ya London',...
MERSEYSIDE, Uingereza KLABU ya Liverpool iko mbioni kumpa mkataba mpya kiungo wake raia wa Ujerumani, Florian Wirtz, licha ya kusuasua kwa kiwango chake. Nyota huyo hajafunga bao katika mechi 12 alizocheza hivi karibuni akiwa na Liverpool na timu...

Wapiga kura milioni 15 kuamua hatima ya wagombea 700

RABAT, Morocco KUELEKEA Uchaguzi wa Wabunge wa Septemba 23, 2026, wanasiasa nchini Morocco wataanza mikutano ya kampeni ifikapo Septemba 10. Wagombea zaidi ya 700 kutoka vyama...

Usiyoyajua kuhusu mauaji ya halaiki ya Rwanda 1994 (4)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya tatu ya makala haya, tuliona kilichotokea Aprili 8, 1994, ambapo Spika wa Bunge, Theodore Sindikubwabo, alitangazwa kuwa Rais...

Usiyoyajua kuhusu mauaji ya halaiki ya Rwanda 1994 (3)

Na mwandishi wetu, Gazetini UHASAMA mkubwa wa jamii ya Wahutu na Watutsi ulishuhudiwa tena mwaka 1990. Ni baada ya kundi la Rwandan Patriotic Front (RPF)...

Usiyoyajua kuhusu mauaji ya halaiki ya Rwanda 1994 (1)

Na mwandishi wetu, Gazetini SIKU chache zilizopita, Mahakama mjini The Hague, Uholanzi, ilimuhukumu kifungo cha maisha mwanaume aliyetambulika kwa jina la Eugene N baada ya...

Mosimane kupewa mikoba Bafana Bafana

CAPE TOWN, Afrika Kusini MWANDISHI wa habari maarufu wa Afrika Kusini, Robert Marawa, amefichua kuwa kocha mkongwe, Pitso Mosimane, ndiye atakayeinoa timu ya soka ya...

Marais ‘wazee’ waliogoma kuachia madaraka Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini PAUL Biya wa Cameroon ana umri wa miaka 93. Amekuwa Ikulu tangu mwaka 1982 na sasa anatumikia muhula wake wa nane...

Kwanini bado Afrika inaagiza vyakula kutoka nje?

CAIRO, Misri AFRIKA hutumia zaidi ya Dola za Marekani bilioni 100 kila mwaka kuagiza vyakula kutoka nje, huku wataalamu wakihimiza juhudi za makusudi za kupunguza...

Ajali ya basi yaua watu 27 wakienda kanisani

HARARE, Zimbabwe WAUMINI wa Kikiristo takribani 27 waliokuwa wanakwenda kanisani wamepoteza maisha baada ya basi lao dogo kupata ajali nchini Zimbabwe. Kwa mujibu wa taarifa ya...

Kesi ya uhaini inavyowatesa wanasiasa wa upinzani Afrika

LUSAKA, Zambia KIONGOZI wa siasa za upinzani nchini Zambia, Brian Mundubile, na mgombea mwenzake wake katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika hivi karibuni, Makebi Zulu, wameshikiliwa na...

Afrika na kigezo cha ‘digrii’ kuwania urais

Na mwandishi wetu, Gazetini KENYA imetangaza kuondosha kigezo cha kuwa na Shahada ya chuo kikuu kama kigezo cha mgombea wa kiti cha urais. Hii ni...

Milio ya risasi, mabomu yarindima Niger

NIAMEY, Niger WANANCHI wa Niger wamelala usiku wa kuamkia leo wakiwa na hofu baada ya milio ya risasi na risasi na bunduki kusikika mjini Niamey. Washambuliaji...

Serikali, M23 na safari ya kutafuta amani DRC

KINSHASA, DRC WAWAKILISHI wa Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Kundi la waasi la M23 wamekutana mjini Geneva, Uswis, na kukubaliana kuweka...

Recent articles