NEW YORK, Marekani
TAASISI ya Tafiti za Amani ya Stockholm nchini Sweden (SIPRI) imebaini kuwa manunuzi ya silaha za kivita duniani yamekuwa makubwa zaidi kuwahi kutokea.
Katika utafiti wake, SIPRI imebaini kuwa manunuzi ya silaha yaligharimu Dola za...
WASHINGTON DC, Marekani
UMOJA wa Falme za Kiarabu (UAE) umetangaza kujitoa katika Umoja wa nchi zinazozalisha mafuta duniani (OPEC), hatua inayotafsiriwa kuwa ni ushindi mkubwa kwa Rais wa Marekani, Donald Trump.
UAE, moja ya nchi zinazozalisha na kuuza...
WASHINGTON DC, Marekani
VITA ya maneno kati ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, na Rais wa Marekani, Donald Trump, imechukua sura mpya.
Safari...
HARARE, Zimbabwe
WANANCHI wa Zimbabwe wameonesha kutokuvutiwa na mpango wa Baraza la Mawaziri wa kuongeza muda wa rais kukaa madarakani.
Kwa mujibu wa Katiba ya sasa,...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA kuhakikisha kuwa Tanzania inaendelea kujiimarisha kama kitovu cha uwekezaji wa kimkakati barani Afrika, Serikali kupitia Wizara ya Madini imekaribisha kampuni...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WANAWAKE takribani 500,000 waliacha kazi nchini Marekani, kwa mujibu wa takwimu za Jarida la Forbes. Takwimu hizo ni kuanzia Januari hadi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MAREKANI kuishambulia Venezuela na kuondoka na Rais wake, Nicolas Maduro, ndiyo habari iliyogonga vichwa vya habari duniani kote kwa sasa.
Vikosi vya...
WAGADUGU, Burkina Faso
SERIKALI ya Burkina Faso imetangaza kuzuiwa kwa njama ya kumuua kiongozi wa kijeshi wa nchi hiyo, Kapteni Ibrahim Traoré.
Kwa mujibu wa Waziri...
BAMAKO, Mali
KAMA ambavyo Marekani iliweka marufuku kwa raia wa Mali na Burkina Faso kuingia nchini humo, mataifa hayo nayo yamejibu mapigo.
Mali na Burkina Faso...
Na mwandishi wetu, Gazetini
RIPOTI mpya ya jarida maarufu la Forbes inamtaja mfanyabiashara wa Tanzania, Mohamed 'Mo' Dewji, kuwa nafasi ya 12 katika orodha ya...
Na mwandishi wetu, GazetiniTAIFA kongwe la Afrika Magharibi, Ivory Coast, limeingia katika Uchaguzi Mkuu, huku wagombea watano wakiwania kiti cha urais. Miongoni mwao ni...
YAMOUSSOUKRO, Ivory CoastMKE wa Rais wa zamani wa Ivory Coast, Laurent Gbagbo, ni miongoni mwa wagombea urais katika Uchaguzi Mkuu ujao.Simone Gbagbo mwenye umri...
KINSHASA, DRCUMOJA wa Mataifa umezionya pande mbili zinazopigana nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ukisema zinahusika katika uhalifu wa kivita nchini humo.Licha ya...