Ads: info@gazetini.co.tz |
23.1 C
Dar es Salaam

Africa

LOS ANGELES, Marekani MOJA ya makundi yaliyoacha katika mapinduzi ya muziki wa Hip hop nchini Marekani na duniani kwa ujumla ni N.W.A lililoasisiwa mwishoni mwa miaka ya 1980. Kundi lililoundwa mwaka 1978 na marapa Arabian Prince, Dr. Dre,...
Na Mwandishi Wetu,Gazetini WAKATI maelfu ya vijana wa Kitanzania wakiendelea kuingia katika soko la ajira kila mwaka huku nafasi rasmi za ajira zikibaki finyu, wataalamu wa masuala ya kazi na ajira wameonya kuwa uhamiaji wa wafanyakazi umeendelea...

Afrika Magharibi na mtandao wa biashara ya cocaine

DAKAR, Senegal TAKWIMU zinaeleza kuwa asilimia 30 ya dawa za kulevya zinazokwenda Ulaya hupita barani Afrika, hasa katika mataifa ya Magharibi, ikiwamo Senegal. Hiyo ni kwa...

WB: Vita vya Iran vinayaachia madeni Afrika

NEW YORK, Marekani BENKI ya Dunia (WB) imeeleza kuwa vita vya Iran vimezifanya nchi nyingi za Afrika kukopa fedha ili kukabiliana na dharura ya kiuchumi. Vita...

Kiti cha Katibu Mkuu UN: Nani alifaulu, nani alifeli?

NEW YORK, Marekani KATIBU Mkuu ndiyo cheo cha ngazi ya juu zaidi ndani ya Umoja wa Mataifa (UN) na kwa sasa kinashikiliwa na Waziri Mkuu...

Rais wa Senegal ‘amtumbua’ Waziri Mkuu

DAKAR, Senegal RAIS WA Senegal, Bassirou Diomaye Faye, amemfuta kazi Waziri Mkuu wake, Ousmane Sonko, sambamba na kulivunja Baraza la Mawaziri. Aidha, taarifa za Waziri Mkuu...

Hali ya vyombo vya habari kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Zambia

LUSAKA, Zambia ZAMBIA iko mbioni kuingia katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Agosti, 2026, huku wanaharati wa haki za binadamu wakitilia shaka hali ya uhuru wa kutoa...

Maeneo 9 ya kujivunia Wizara ya Maliasili na Utalii

Na Hassan Mwasha, Gazetini BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jumatatu, Mei 18, 2026 limepitisha Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa Mwaka...

Upinzani Burundi watishia kutoshiriki uchaguzi wa rais

BUJUMBURA, Burundi MVUTANO wa kisiasa umeanza kuongezeka nchini Burundi baada ya vyama vikuu vya upinzani kutangaza kusitisha ushiriki wao katika uchaguzi wa rais wa mwaka...

Vita vya Iran vilivyotikisa usafiri wa anga Afrika

CAIRO, Misri WIKI sita za vita kati ya Marekani na Israel zinazoishambulia Iran imesababisha mtikisiko mkubwa katika sekta ya usafiri wa anga barani Afrika. Makala...

Nyuma ya pazia ‘bifu’ zito la Peter, Paul wa P-SQUARE

LAGOS, Nigeria MAMBO yamezidi kuwa mabaya kwa mapacha waliowahi kutikisa soko la muziki barani Afrika kupitia Kundi la P-Square, Peter na Paul Okoye. Okoye ametangaza rasmi...

Papa Leo XIV amkwepa Trump

WASHINGTON DC, Marekani VITA ya maneno kati ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, na Rais wa Marekani, Donald Trump, imechukua sura mpya. Safari...

Rais kuongezewa muda yazua jambo Zimbabwe

HARARE, Zimbabwe WANANCHI wa Zimbabwe wameonesha kutokuvutiwa na mpango wa Baraza la Mawaziri wa kuongeza muda wa rais kukaa madarakani. Kwa mujibu wa Katiba ya sasa,...

Tanzania yajipanga kuwa kitovu cha uwekezaji wa madini Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA kuhakikisha kuwa Tanzania inaendelea kujiimarisha kama kitovu cha uwekezaji wa kimkakati barani Afrika, Serikali kupitia Wizara ya Madini imekaribisha kampuni...

Recent articles