Ads: info@gazetini.co.tz |
30.2 C
Dar es Salaam

Africa

LONDON, Uingereza BADO mashabiki wa Arsenal hawajamaliza furaha yao. Ukame wa miaka 22 wa kulikosa taji la Ligi Kuu ya England (EPL) umefikia ukomo msimu huu wa 2025-26 na sasa ni mabingwa wapya wakiwa na mechi moja...
LONDON, Uingereza MATESO yamekwisha. Baada ya miaka 22 ya kusubiri, Arsenal imetwaa taji la Ligi Kuu ya England (EPL). Taji hilo limetua Emirates baada ya washindani wao wakubwa msimu huu, Manchester City, kulazimishwa sare ya bao 1-1...

Vita vya Iran vilivyotikisa usafiri wa anga Afrika

CAIRO, Misri WIKI sita za vita kati ya Marekani na Israel zinazoishambulia Iran imesababisha mtikisiko mkubwa katika sekta ya usafiri wa anga barani Afrika. Makala...

Nyuma ya pazia ‘bifu’ zito la Peter, Paul wa P-SQUARE

LAGOS, Nigeria MAMBO yamezidi kuwa mabaya kwa mapacha waliowahi kutikisa soko la muziki barani Afrika kupitia Kundi la P-Square, Peter na Paul Okoye. Okoye ametangaza rasmi...

Papa Leo XIV amkwepa Trump

WASHINGTON DC, Marekani VITA ya maneno kati ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, na Rais wa Marekani, Donald Trump, imechukua sura mpya. Safari...

Rais kuongezewa muda yazua jambo Zimbabwe

HARARE, Zimbabwe WANANCHI wa Zimbabwe wameonesha kutokuvutiwa na mpango wa Baraza la Mawaziri wa kuongeza muda wa rais kukaa madarakani. Kwa mujibu wa Katiba ya sasa,...

Tanzania yajipanga kuwa kitovu cha uwekezaji wa madini Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA kuhakikisha kuwa Tanzania inaendelea kujiimarisha kama kitovu cha uwekezaji wa kimkakati barani Afrika, Serikali kupitia Wizara ya Madini imekaribisha kampuni...

Visual| Wanawake 6 wenye ushawishi zaidi Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini WANAWAKE takribani 500,000 waliacha kazi nchini Marekani, kwa mujibu wa takwimu za Jarida la Forbes. Takwimu hizo ni kuanzia Januari hadi...

Afrika imejifunza nini kilichomkuta Maduro?

Na mwandishi wetu, Gazetini MAREKANI kuishambulia Venezuela na kuondoka na Rais wake, Nicolas Maduro, ndiyo habari iliyogonga vichwa vya habari duniani kote kwa sasa. Vikosi vya...

Njama ya kumuua Kapteni Ibrahim Traoré yagonga mwamba

WAGADUGU, Burkina Faso SERIKALI ya Burkina Faso imetangaza kuzuiwa kwa njama ya kumuua kiongozi wa kijeshi wa nchi hiyo, Kapteni Ibrahim Traoré. Kwa mujibu wa Waziri...

Mali, Burkina Faso ‘zaivimbia’ Marekani

BAMAKO, Mali KAMA ambavyo Marekani iliweka marufuku kwa raia wa Mali na Burkina Faso kuingia nchini humo, mataifa hayo nayo yamejibu mapigo. Mali na Burkina Faso...

Mo’ Dewji bado yumo, Dangote aongoza tena utajiri Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini RIPOTI mpya ya jarida maarufu la Forbes inamtaja mfanyabiashara wa Tanzania, Mohamed 'Mo' Dewji, kuwa nafasi ya 12 katika orodha ya...

Uchaguzi Mkuu Ivory Coast na hofu ya machafuko

Na mwandishi wetu, GazetiniTAIFA kongwe la Afrika Magharibi, Ivory Coast, limeingia katika Uchaguzi Mkuu, huku wagombea watano wakiwania kiti cha urais. Miongoni mwao ni...

Simone Gbagbo: Mwanamama anayemtikisa Ouattara kiti cha urais Ivory Coast

Na mwandishi wetu, GazetiniMOJA ya vivutio vikubwa vya Uchaguzi Mkuu ujao wa Ivory Coast ni jina la mgombea wa urais, Simone Gbagbo, ambaye ni...

Recent articles

spot_img