LOS ANGELES, Marekani
FIGO ya nguruwe iliyopandikizwa kwa mgonjwa imemsaidia kuishi siku 271, kwa mujibu wa madaktari nchini Marekani.
Kwa mujibu wa mgonjwa huyo aliyefahamika kwa jina la Tim Andrews, figo hiyo ya nguruwe ilimpa tumaini la kuishi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
YANGA watashuka dimbani katika ardhi ya ugenini mjini Gaborone, Botswana, kesho Septemba 5, 2026, kwa mchezo wa hatua ya awali ya msimu huu wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Mechi yao dhidi ya Gaborone United...
LOS ANGELES, Marekani
TANGU Bill Clinton alipomaliza majukumu yake ya urais wa Marekani mwaka 2001, amekuwa akiishi Chappaqua, New York, makazi yaliyozungukwa na miti, na...
MANCHESTER, Uingereza
GUMZO kubwa wakati wa usajili wa dirisha kubwa barani Ulaya uliofungwa Septemba 1, 2026, ni uhamisho wa kiungo Enzo Fernandez kwenda Manchester City...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SERIKALI kupitia Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) imeanza utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa...
LONDON, Uingereza
MANCHESTER City imevunja rekodi yake ya usajili majira haya ya kiangazi kwa kumchukua kiungo Enzo Fernandez kwa ada ya Pauni milioni 125. Nyota...
LOS ANGELES, Marekani
HIVI karibuni, mke wa David Beckham, Victoria, alitangaza faida ya Pauni milioni 7.3 kupitia kampuni yake ya mitindo na urembo, ambapo mauzo...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WATU zaidi ya 80 walipoteza maisha kati ya Oktoba, 2025, hadi Julai, 2026, chanzo kikiwa ni uvumi wa taarifa za upotoshaji...
LONDON, Uingereza
UMESHAWAHI kusikia msemo maarufu katika soka usemao ‘usajili ni kamari?’ Si kila mchezaji anayesajiliwa, iwe hata kwa pesa nyingi, ataweza kung’ara katika klabu...
RABAT, Morocco
KUELEKEA Uchaguzi wa Wabunge wa Septemba 23, 2026, wanasiasa nchini Morocco wataanza mikutano ya kampeni ifikapo Septemba 10.
Wagombea zaidi ya 700 kutoka vyama...
TEHRAN, Iran
SIKU chache tu baada ya Marekani kutangaza vikwazo vipya kwa Iran, uhaba wa mafuta umeripotiwa kuyakabili maeneo mengi ndani ya nchi hiyo ya...
LONDON, Uingereza
DIRISHA kubwa la usajili wa kiangazi Ligi Kuu ya England lilifungwa Septemba 1, 2026, huku kiungo aliyetoka Chelsea na kutua Manchester City,...
LONDON, Uingereza
KLABU za Ligi Kuu ya England zilitumia kiasi cha Pauni bilioni 3.46 katika soko la usajili wa majira haya ya kiangazi lililofungwa...