Ads: info@gazetini.co.tz |
22.9 C
Dar es Salaam

Featured

NIAMEY, Niger WANASHERIA wa Rais wa zamani wa Niger, Mohamed Bazoum, wameomba kiongozi huyo aachiwe huru, ikiwa ni miaka mitatu tangu aliposhikiliwa na jeshi. Bazoum mwenye umri wa miaka 66, alichaguliwa mwaka 2021, kabla ya mapinduzi ya kijeshi...
NEW DELHI, India MAANDAMANO makubwa ya vijana wa Gen-Z nchini India yamemlazimisha Waziri wa Elimu, Dharmendra Pradhan, kuachia ngazi. Hatua ya vijana, wengi wao wakiwa ni wanafunzi, kuingia barabarani ilikuja baada ya Wizara ya Elimu kufuta mitihani kwa...

Simba yaipiga bao Yanga, yamtambulisha Keletso

Na mwandishi wetu, Gazetini BAO la kisigino! Ndivyo unavyoweza kuita baada ya Simba kumtanbulisha winga wa kimataifa wa Afrika Kusini, Keletso Makgalwa. Nyota huyo aliyecheza Sekhukhune...

Simba Queens yafyeka ‘maproo’ wanne

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA kujipanga kwa ajili ya msimu ujao wa 2026-27, benchi la ufundi la Simba Queens limewapa mkono kwa kwaheri nyota wake...

Kiungo kukimbia benchi Arsenal

LONDON, Uingereza KIUNGO wa Arsenal raia wa Ureno, Fabio Vieira, anajiandaa kuondoka klabuni hapo kipindi hiki cha usajili wa dirisha kubwa. Nyota huyo mwenye umri wa...

Madrid, PSG, Liver kazi ipo kwa Diomande

MADRID, Hispania KLABU ya Real Madrid imewasilisha ofa yake ya Pauni milioni 85 kwa RB Leipzig wakiitaka saini ya winga wa klabu hiyo ya Bundesliga,...

Wagombea sita, nani Katibu Mkuu UN?

NEW YORK, Marekani BAADA ya miaka 10 ya kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Antonio Guterres, atakabidhi kijiti hicho kwa mtu mwingine ifikapo...

Sikia hii ya Arteta na makocha EPL

LONDON, Uingereza KATI ya makocha 20 wa Ligi Kuu ya England (EPL) kwa msimu ujao wa 2026-27, ni watatu tu walioziongoza timu zao kwa zaidi...

Unamkumbuka Sam Allardyce? Ana heshima yake EPL

LONDON, Uingereza WAKATI Alex Ferguson akiwa ndiye kocha aliyehudumu kwa muda mrefu mrefu Ligi Kuu ya England (EPL), Sam Allardyce naye ana historia yake kwenye...

Hawa hapa makocha wa makombe EPL

LONDON, Uingereza MPAKA sasa, Alex Ferguson anabaki katika historia ya soka la Ulaya kama kocha mwenye mataji mengi ya Ligi Kuu ya England (EPL). Alistaafu...

Kwa makocha hawa, mambo yalikuwa magumu Kombe la Dunia 2026

BOSTON, Marekani RUDI GARCIA wa Ubelgiji ni miongoni mwa makocha waliojikuta kwenye wakati mgumu katika fainali zilizopita za Kombe la Dunia. Itakumbukwa kuwa Garcia aliondoka kwenye...

Kigogo ICC ang’olewa kisa unyanyasaji wa kingono

HAGUE, Uswis ALIYEKUWA Mwendesha Mashitaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), Karim Khan, ameondoshwa kwenye nafasi hiyo. Ni baada ya nchi wanachama kukutana jana...

Yanga yamnasa winga Albert Kangwanda

Na mwandishi wetu, Gazetini MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga SC, wamekamilisha usajili wa winga wa kimataifa kutoka Zambia, Albert Kangwanda, kwa mkataba wa miaka miwili...

Dk. Nchimbi: Utawala bora katika nchi ni katiba, pambaneni

Na mwandishi wetu, Gazetini MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Emmanuel Nchimbi, amewataka Watanzania kuendelea kudai kupatikana kwa Katiba mpya yenye...

Recent articles