TORONTO, Canada
HERVE Renard ametangaza kujiuzulu katika kibarua chake cha kuinoa timu ya soka ya Taifa ya Tunisia.
Mfaransa huyo ametema kibarua zikiwa ni siku 18 tu tangu alipoajiriwa kuchukua nafasi ya Sabri Lamouchi.
Lamouchi alifungashiwa virago baada ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
UKWELI ulio wazi ni kwamba vita kati ya Marekani na Iran vimekuwa na athari kubwa katika uchumi wa dunia.
Vita hivyo vimesababisha uhaba wa mafuta, hivyo kupanda kwa bei ya nishati hiyo katika soko...
MIAMI, Marekani
FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zimeandaliwa na nchi tatu; Marekani, Mexico na Canada.
Tangu michuano hiyo ianze mwaka 1930, nchi...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
HIVI karibuni, Yanga iliachana na mshambuliaji wake raia wa Zimbabwe, Prince Dube, ambaye amejiunga na Hardrock ya Ligi Kuu nchini humo....
MIAMI, Marekani
AKITOKEA benchi, aliukuta mchezo ukiwa sare ya bao 1-1, kisha akafunga na kuiwezesha timu ya soka ya Taifa ya Ureno kupata ushindi wa...
MIAMI, Ujerumani
NUKSI ya timu ya soka ya Taifa ya Ujerumani katika fainali za Kombe la Dunia imeendelea. Safari hii, waliishia hatua ya 32 Bora.
Ni...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MKURUGENZI Mtendaji wa Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET), John Chikomo, amesema asasi za kiraia zina nafasi muhimu...
ROMA, Italia
KANISA Katoliki lina wafuasi bilioni 1.4 duniani kote, hivyo kulifanya kuwa moja ya taasisi zenye nguvu na ushawishi mkubwa.
Kama zilivyo taasisi zingine, Kanisa...
MIAMI, Marekani
WINGA Riyad Mahrez ametangaza kustaafu kuitumikia timu yake ya soka ya Taifa ya Algeria.
Kwa mujibu wa mwandishi wa habari maarufu wa Italia, Fabrizio...
LAGOS, Nigeria
MAMA yake Burna Boy ambaye pia ndiye meneja wake, Bose Ogulu, amemtaka staa huyo wa muziki kuoa na kupata watoto.
Ujumbe huo umekuja baada...
Na Malima Lubasha, Serengeti
WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali imeanza mchakato wa kufuta sheria inayoruhusu kutaifishwa kwa mifugo inayokamatwa ndani ya maeneo ya...