Ads: info@gazetini.co.tz |
29.3 C
Dar es Salaam

Usajili

2–3 September 2026 | Mwalimu J.K. Nyerere Trade Fair Grounds, Dar es Salaam, Tanzania Africa's agriculture, livestock, and food processing sectors are entering a new era of growth and this September, the industry's biggest players will gather...
Na mwandishi wetu, Gazetini KATIBu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema, John Mnyika, amesema chama hicho pamoja na Mwenyekiti wake, Tundu Lissu, hadi sasa hawajafanya mazungumzo yoyote na Serikali, akipinga kauli iliyotolewa na Rais Dkt....

Simba yaipiga bao Yanga, yamtambulisha Keletso

Na mwandishi wetu, Gazetini BAO la kisigino! Ndivyo unavyoweza kuita baada ya Simba kumtambulisha winga wa kimataifa wa Afrika Kusini, Keletso Makgalwa. Nyota huyo aliyecheza Sekhukhune...

Simba Queens yafyeka ‘maproo’ wanne

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA kujipanga kwa ajili ya msimu ujao wa 2026-27, benchi la ufundi la Simba Queens limewapa mkono kwa kwaheri nyota wake...

Kiungo kukimbia benchi Arsenal

LONDON, Uingereza KIUNGO wa Arsenal raia wa Ureno, Fabio Vieira, anajiandaa kuondoka klabuni hapo kipindi hiki cha usajili wa dirisha kubwa. Nyota huyo mwenye umri wa...

Madrid, PSG, Liver kazi ipo kwa Diomande

MADRID, Hispania KLABU ya Real Madrid imewasilisha ofa yake ya Pauni milioni 85 kwa RB Leipzig wakiitaka saini ya winga wa klabu hiyo ya Bundesliga,...

Yanga yamnasa winga Albert Kangwanda

Na mwandishi wetu, Gazetini MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga SC, wamekamilisha usajili wa winga wa kimataifa kutoka Zambia, Albert Kangwanda, kwa mkataba wa miaka miwili...

Nyota zao zimewaka kupitia Kombe la Dunia 2026

LONDON, Uingereza KABLA ya kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026), hawakuwa na majina makubwa, lakini sasa wanawindwa na klabu kubwa...

Chelsea yashusha kiungo, asaini minne

LONDON, Uingereza KLABU ya Chelsea imetangaza usajili wa kiungo kutoka Wigan Athletic, Harrison Bettoni, ambaye amesaini mkataba wa miaka minne. Bettoni (18), alikuwa mchezaji muhimu katika...

Nyota mpya Arsenal apewa jezi yake

LONDON, Uingereza MSHAMBULIAJI mpya wa Arsenal, Christos Tzolis, amekabidhiwa jezi namba 17 kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya England (EPL) na michuano...

Man City yamfungia kazi Mbaye

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester City inakazania mpango wa kumsajili mshambuliaji anayetaka kuondoka PSG, Ibrahim Mbaye. Kwa sasa, taarifa zinaeleza kuwa Man City imeanza mazungumzo na...

Al-Hilal yatua kwa Dembele

PARIS, Ufaransa MATAJIRI wa klabu ya Al-Hilal ya Saudi Arabia wanapambana kuinasa saini ya mshambuliaji wa PSG raia wa Ufaransa, Ousmane Dembele. Al-Hilal wameibuka wakati huu...

Man United yamvalia njuga beki Colombia

MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester United haijaacha kuipigania saini ya beki wa kati wa timu ya soka ya Taifa ya Colombia, Jhon Lucumi. Nyota huyo wa...

Arsenal yang’oa nahodha Madrid

LONDON, Uingereza KLABU ya Arsenal imekamilisha usajili wa nahodha wa timu ya wanawake ya klabu ya Real Madrid, Misa Rodriguez. Nyota huyo mwenye umri wa miaka...

Recent articles