Na mwandishi wetu, Gazetini
HIVI karibuni, mwanamuziki nyota kutoka Wasafi Classic Baby (WCB), Zuchu, alifichua kuachana na supastaa wa Bongo Fleva na bosi wa Lebo hiyo, Diamond Platnumz.
Zuchu alianika hayo kupitia Instagram, akiandika: “Mimi na aliyekuwa mwenzangu...
LOS ANGELES, Marekani
BONDIA wa ngumi za uzito wa juu ambaye pia ni mshindi wa medali ya dhahabu katika michuano ya Olimpiki, Anthony Joshua, atapanda ulingoni Julai 25, 2026.
Joshua, bingwa wa dunia mara mbili, atavaana na Kristian...
LONDON, Uingereza
KIUNGO wa pembeni wa Club Brugge ya Ubelgiji, Christos Tzolis, anataka kujiunga na Arsenal kupitia usajili wa majira haya ya kiangazi.
Mwandishi wa habari...
CATALUNYA, Barcelona
BADO mabosi wa Barcelona wanaumiza vichwa kujua ni straika yupi sahihi kati ya Julian Alvarez wa Atletico Madrid na Harry Kane wa Bayern...
LONDON, Uingereza
NAHODHA wa Sunderland na timu ya soka ya Taifa ya Uswis, Granit Xhaka, huenda akajiunga na Chelsea kupitia dirisha kubwa ma majira haya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
TETESI zimezidi kushika kasi juu ya uwezekano wa kiungo wa kimataifa wa Burkina Faso, Stephanie Aziz Ki, kurudi Yanga kwa ajili...
MERSEYSIDE, Uingereza
KLABU ya Liverpool imemwambia winga wake, Federico Chiesa, kwamba anaweza kuondoka majira haya ya kiangazi na kutafuta timu nyingine.
2025-26 ulikuwa msimu mbaya kwa...
LONDON, Uingereza
STRAIKA wa Atletico Madrid, Julian Alvarez, ameweka wazi kuwa anataka kuondoka klabuni hapo majira haya ya kiangazi.
Wakati Barcelona wakiwa wanapewa nafasi kubwa, zipo...
MADRID, Hispania
REAL Madrid imemnasa nyota raia wa Sweden, Felicia Schroeder, na anakuwa mchezaji mwenye umri mdogo zaidi kusajiliwa kwa dau kubwa katika historia ya...
LONDON, Uingereza
KLABU za Arsenal na Manchester United zimeingia kwenye vita ya kuiwania saini ya kiungo wa Bournemouth, Alex Scott, ambaye ana thamani ya Pauni...