MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester United imekamilisha usajili wa kiungo wa kimataifa wa Cameroon, Carlos Baleba baada ya kukubali ada ya Pauni milioni 70.
Kwa mujibu wa ripoti, Man United wameitangulizia Brighton kiasi cha Pauni milioni 65 kumnasa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA sehemu ya tisa, tuliishia pale bi. Madina alipomuomba Yoweri Museveni amruhusu Idi Amin kurudi Uganda. Rais huyo akasema ‘Idi Amin atalipia dhambi zote alizofanya’, akimaanisha kuwa angefunguliwa mashitaka na kufungwa. Endelea …
Baada...
Na mwandishi wetu, Gazetini
BAO la kisigino! Ndivyo unavyoweza kuita baada ya Simba kumtambulisha winga wa kimataifa wa Afrika Kusini, Keletso Makgalwa.
Nyota huyo aliyecheza Sekhukhune...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA kujipanga kwa ajili ya msimu ujao wa 2026-27, benchi la ufundi la Simba Queens limewapa mkono kwa kwaheri nyota wake...
LONDON, Uingereza
KIUNGO wa Arsenal raia wa Ureno, Fabio Vieira, anajiandaa kuondoka klabuni hapo kipindi hiki cha usajili wa dirisha kubwa.
Nyota huyo mwenye umri wa...
MADRID, Hispania
KLABU ya Real Madrid imewasilisha ofa yake ya Pauni milioni 85 kwa RB Leipzig wakiitaka saini ya winga wa klabu hiyo ya Bundesliga,...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga SC, wamekamilisha usajili wa winga wa kimataifa kutoka Zambia, Albert Kangwanda, kwa mkataba wa miaka miwili...
LONDON, Uingereza
KABLA ya kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026), hawakuwa na majina makubwa, lakini sasa wanawindwa na klabu kubwa...
LONDON, Uingereza
KLABU ya Chelsea imetangaza usajili wa kiungo kutoka Wigan Athletic, Harrison Bettoni, ambaye amesaini mkataba wa miaka minne.
Bettoni (18), alikuwa mchezaji muhimu katika...
LONDON, Uingereza
MSHAMBULIAJI mpya wa Arsenal, Christos Tzolis, amekabidhiwa jezi namba 17 kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya England (EPL) na michuano...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester City inakazania mpango wa kumsajili mshambuliaji anayetaka kuondoka PSG, Ibrahim Mbaye.
Kwa sasa, taarifa zinaeleza kuwa Man City imeanza mazungumzo na...
PARIS, Ufaransa
MATAJIRI wa klabu ya Al-Hilal ya Saudi Arabia wanapambana kuinasa saini ya mshambuliaji wa PSG raia wa Ufaransa, Ousmane Dembele.
Al-Hilal wameibuka wakati huu...
MANCHESTER, Uingereza
KLABU ya Manchester United haijaacha kuipigania saini ya beki wa kati wa timu ya soka ya Taifa ya Colombia, Jhon Lucumi.
Nyota huyo wa...
LONDON, Uingereza
KLABU ya Arsenal imekamilisha usajili wa nahodha wa timu ya wanawake ya klabu ya Real Madrid, Misa Rodriguez.
Nyota huyo mwenye umri wa miaka...