Na mwandishi wetu, Gazetini
KOCHA wa Simba, Steve Barker, amesema vijana wake wamejiandaa kimwili na kisaikolojia kukabiliana na Mtibwa Sugar.
Simba wako mkoani Morogoro kwa ajili ya mchezo huo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa leo Juni 24, 2026.
Akizungumza...
JERUSALEM, Palestina
KATIKATI ya maisha magumu wanayopitia raia wa Palestina katika Ukanda wa Gaza, burudani ya fainali za Kombe la Dunia imepenya na kupata nafasi yake.
Wakati wa mchezo kati ya Hispania na Saudi Arabia, wengi kati ya...