Ads: info@gazetini.co.tz |
23.1 C
Dar es Salaam

Michezo

Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma WAZIRI wa Fedha, Khamis Mussa Omar, amesema Serikali itaendelea kutegemea mapato ya ndani kama chanzo kikuu cha kugharamia matumizi ya kawaida na utekelezaji wa miradi ya maendeleo, huku ikiweka mkazo katika kuimarisha ukusanyaji...
LOS ANGELES, Marekani MOJA ya makundi yaliyoacha katika mapinduzi ya muziki wa Hip hop nchini Marekani na duniani kwa ujumla ni N.W.A lililoasisiwa mwishoni mwa miaka ya 1980. Kundi lililoundwa mwaka 1978 na marapa Arabian Prince, Dr. Dre,...

Azam itaweza kuilinda rekodi ya ‘ukuta’ wake?

Na mwandishi wetu, Gazetini KUFIKIA hatua hii ya msimu wa 2025-26 wa Ligi Kuu Bara, matajiri wa Chamazi, Azam FC, wameruhusu nyavu zao kutikiswa mara...

Kwa makocha hawa, mbona kazi ipo Kombe la Dunia 2026!

LONDON, Uingereza UPEKEE wa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu ni namna zitakavyohusisha makocha wa daraja la juu, pengine kuliko ilivyowahi kutokea katika...

Kombe la Dunia 2026: Harry Kane alivyobeba matumaini ya England

LONDON, Uingereza KUFANIKIWA au kufeli kwa timu ya Taifa ya England 'Three Lions' katika fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) kutategemea na...

Ebola kuzitikisa fainali za Kombe la Dunia 2026?

KINSHASA, DRC MLIPUKO wa ugonjwa wa Ebola umeendelea kuwa gumzo si tu DRC ulikoanzia, bali pia nchi jirani za Afrika, ikiwamo Uganda, na sasa unatishia...

Usajili dirisha kubwa Ulaya: Nani aondoke, nani abaki? – MAN UNITED

MANCHESTER, Uingereza WALIMALIZA msimu wa 2025-26 wakiwa nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya England (EPL) na kukata tiketi ya kwenda Ligi ya...

Mabeki wa kati wa bei mbaya Kombe la Dunia 2026

LONDON, Uingereza FAINALI za Kombe la Dunia zitaanza Juni 11, 2026, zikitarajiwa kufikia mwezi mmoja baadaye (Julai 19), safari hii zikifanyika Marekani, Mexico na Canada. Nyota...

Kombe la Dunia 2026: Hawa hapa viungo wa kati wa bei kubwa sokoni

LONDON, Uingereza KUELEKEA fainali za Kombe la Dunia, yapo mengi ya kuvutia lakini kubwa ni kuona viungo wa kati (namba 8) wa viwango vya juu...

Usajili dirisha kubwa Ulaya: Nani aondoke, nani abaki? – MAN CITY

MANCHESTER, Uingereza MANCHESTER City itauanza msimu ujao (2026-27) bila kocha raia wa Hispania, Pep Guardiola. Enzo Maresca aliyewahi kuinoa Chelsea ndiye atakayekuwa kwenye benchi la...

Usajili dirisha kubwa Ulaya: Nani aondoke, nani abaki? – ARSENAL

LONDON, Uingereza BAADA ya ubingwa wao wa kwanza wa Ligi Kuu ya England tangu mwaka 2004, Arsenal wataingia msimu ujao wa 2026-27 wakiwa mabingwa watetezi. Pia,...

Usajili dirisha kubwa Ulaya: Nani aondoke, nani abaki? – CHELSEA

LONDON, Uingereza MSIMU wa 2025-26 haukuwa mzuri kwao. Chelsea walimaliza mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya England wakiwa nafasi ya 10 kwenye msimamo. Hawatoshiriki...

Perez v Riquelme: Ni jeuri ya pesa, tambo za usajili mbio za urais Madrid

MADRID, Hispania WANACHAMA takribani 700,000 wa klabu ya Real Madrid watapiga kura leo Juni 7, 2026 kuchagua Rais atakayeongoza kwa miaka minne ijayo. Kwa sasa, vita...

Vikosi vya Kombe la Dunia 2026: TUNISIA

TUNIS, Tunisia MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada. Kuelekea michuano...

Recent articles