Ads: info@gazetini.co.tz |
22.1 C
Dar es Salaam

Michezo

MIAMI, Marekani STRAIKA wa timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa, Kyian Mbappe, ndiye aliyeibua na tuzo ya Mfungaji Bora wa msimu huu wa fainali za Kombe la Dunia (2026). Licha ya Ufaransa kuishia nusu fainali, Mbappe amebeba...
MIAMI, Marekani NYOTA wawili wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Lisandro Martinez na Cristian Romero, walionekana wakikwepa kupeana mikono na Rais wa Marekani, Donald Trump. Ni wakati wa kukabidhiwa medali ya kufika fainali ya msimu huu...

Messi aacha historia Kombe la Dunia 2026

MIAMI, Marekani LICHA ya kukosa ubingwa wa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) baada ya kufungwa bao 1-0 na Hispania, nahodha wa...

Suruali ya jinzi ingekwamisha usajili staa Chelsea

LONDON, Uingereza MIONGONI mwa nyota wapya waliotua Chelsea majira haya ya kiangazi ni Geovany Quenda, ambaye amekiri kuwa ni shabiki mkubwa wa Cristiano Ronaldo. Quenda alizaliwa...

Mwalimu, mwanafunzi wake walipokutana fainali Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani SAHAU kabisa kuhusu matokeo. Fainali ya Kombe la Dunia iliyochezwa jana iliwakutanisha makocha wawili, Luis de la Fuente wa Hispania na Lionel Scaloni...

Adidas ilivyopiga bao Kombe la Dunia

Miami, Marekani KAMPUNI ya utengenezaji na usambazaji wa vifaa vya michezo ya Adidas ndiyo iliyoongoza kwa kuhudumia timu nyingi wakati wa fainali za Kombe la...

Timu zilizopigwa marufuku kucheza Kombe la Dunia

NYON, Uswis ZIPO sababu kuu tatu zinazoweza kuisukuma FIFA (Shirikisho la Soka la Kimataifa) kuipiga 'stop' timu ya taifa iliyo sehemu ya wanachama wake kushiriki...

Mabao ya nje ya boksi yaweka rekodi

MIAMI, Marekani HATA kabla ya fainali kuchezwa, tayari idadi ya mabao yaliyofungwa kwa mashuti ya nje ya boksi ilishavunja rekodi ya fainali za Kombe la...

Ken Bates: Bosi mtata aliyeiuza Chelsea kwa Abramovich

LONDON, Uingereza  SIKU chache zilizopita, ulimwengu wa soka ulimpoteza binadamu aitwaye Ken Bates, ambaye alifariki akiwa na umri wa miaka 94. Bates aliwahi kuimiliki Chelsea kwa...

Ufaransa yaweka rekodi mbaya Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani  KATIKA kipigo cha mabao 6-4 kutoka kwa England, timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa imeweka rekodi mbaya zaidi kuwahi kuwakuta katika miaka...

Leverkusen wafanya balaa ‘pre-season’ 

MUNICH, Ujerumani  BAYERN Leverkusen ya Bundesliga imeyaanza vizuri maandalizi ya msimu ujao (pre-season) kwa ushindi wa mabao 7-0 dhidi ya Sportfreunde Baumberg. Katika mchezo huo, straika...

Olise avunja rekodi ya Pele

MIAMI, Marekani MSHAMBULIAJI wa timu ya soka ya Ufaransa, Michael Olise, ameivunja rekodi ya mkongwe wa Brazil, Pele. Nyota huyo wa Bayern Munich ameandika historia mpya,...

Mastaa hawa Kombe la Dunia limewapa kiki Instagram

MIAMI, Marekani KWA kipindi cha mwezi mmoja wa michuano ya Kombe la Dunia msimu huu wa 2026, Erling Haaland ameongeza wafuasi milioni 29 katika akaunti yake...

Safari ya Hispania kutinga fainali

MIAMI, Marekani HISTORIA inarudisha kilichotokea miaka 16 iliyopita, ambapo timu ya soka ya taifa ya Hispania ilitwaa ubingwa wa Kombe la Dunia ikiwa kwenye ardhi...

Recent articles