Ads: info@gazetini.co.tz |
23.4 C
Dar es Salaam

Michezo

WASHINGTON DC, Marekani INAFAHAMIKA kuwa bado uhusiano kati ya Marekani na Iran haujakaa sawa. Mataifa hayo yanaendelea kushambuliana kijeshi, licha ya makubaliano ya hivi karibuni ya kusitisha vita vyao vilivyoanza Februari 28, 2026. Sasa, 'bifu' la nchi hizo...
Na Hassan Mwasha HATIMAYE Yanga wamethibitisha ubabe wao Ligi Kuu Bara baada ya kumaliza msimu huu wa 2025-26 kwa kutwaa ubingwa wao wa tano mfululizo. Yanga wamenyakua taji hilo leo Juni 30, 2026, kwa kuitandika JKT Tanzania mabao...

Fei Toto apigwa bao ufungaji bora

Na Hassan Mwasha, Gazetini NI rasmi sasa kiungo wa Azam, Feisal Salum 'Fei Toto' amekikosa kiatu cha mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu wa...

Kocha Ujerumani agoma kujiuzulu

MUNICH, Ujerumani BAADA ya timu ya soka ya Taifa ya Ujerumani kutolewa kwenye michuano ya Kombe la Dunia, kocha wake, Julian Nagelsmann, amesema hana mpango...

Kombe la Dunia 2026: Canada yaingia anga za Morocco

MIAMI, Marekani WENYEJI wa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu, Canada, ambao wanashirikiana na Mexico na Marekani, watakwana na Morocco katika hatua inayofuata...

Ancelotti aonywa Brazil ikitinga 16 Bora

RIO, Brazil LICHA ya timu ya soka ya Taifa ya Brazil kutinga hatua ya 16 Bora ya fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu...

Kocha mwingine aachia ngazi Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani MIROSLAV Koubek wa timu ya soka ya Taifa ya Czech amekuwa kocha wa tatu kupoteza kibarua msimu huu wa fainali za Kombe la...

Song bado anaishi na rekodi yake Kombe la Dunia

YOUNDE, Cameroon TIMU ya soka ya Taifa ya Cameroon haikufuzu fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) lakini lejendari wake, Rigobert Song, ana...

Ligi Kuu Bara 2025-26 kufungwa kwa staili hii

Na Hassan Mwasha, Gazetini MSIMU huu wa 2025-26 wa Ligi Kuu Bara utafikia ukomo wake kesho Juni 30,2026, kwa timu zote 16 kushuka dimbani. Kwamba viwanja...

VAR ilivyozua utata Kombe la Dunia 2026

MIAMI, Marekani TEKNOLOJIA ya kumsaidia mwamuzi kwa marudio ya video (VAR) imeibua sintofahamu kwa baadhi ya maamuzi yake wakati huu wa fainali za Kombe la...

Iran ilivyokosa bahati Kombe la Dunia 2026

MIAMI, Marekani NI kama haikuwa na bahati. Baada ya sare dhidi ya New Zealand na Ubelgiji, timu ya soka ya Taifa ya Iran ilihitaji ushindi...

Canada yatua 16 Bora ikiitoa Afrika Kusini

TORONTO, Canada TIMU ya soka ya Taifa ya Canada imekuwa ya kwanza kuingia hatua ya 16 Bora baada ya kuitoa Afrika Kusini 'Bafana Bafana'. Katika mchezo...

Yanga, Simba hesabu zimegoma msimu huu

Na Hassan Mwasha, Gazetini ACHANA na ishu ya ubingwa. Ni wazi si Yanga wala Simba inayoweza kufikia idadi ya pointi ilizokusanya msimu uliopita (2024-25) wa...

‘Top 4’ ya Ligi Kuu Bara haigusiki

Na Hassan Mwasha, Gazetini MSIMU wa 2025-26 wa Ligi Kuu Bara uko ukingoni, huku timu nne za juu zikitarajiwa kubaki vilevile kama ilivyokuwa msimu uliopita...

Recent articles