NEW YORK, Marekani
TAASISI ya Tafiti za Amani ya Stockholm nchini Sweden (SIPRI) imebaini kuwa manunuzi ya silaha za kivita duniani yamekuwa makubwa zaidi kuwahi kutokea.
Katika utafiti wake, SIPRI imebaini kuwa manunuzi ya silaha yaligharimu Dola za...
WASHINGTON DC, Marekani
UMOJA wa Falme za Kiarabu (UAE) umetangaza kujitoa katika Umoja wa nchi zinazozalisha mafuta duniani (OPEC), hatua inayotafsiriwa kuwa ni ushindi mkubwa kwa Rais wa Marekani, Donald Trump.
UAE, moja ya nchi zinazozalisha na kuuza...
LONDON, Uingereza
PSG wataikaribisha Bayern Munich katika nusu fainali ya kwanza msimu huu wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, mchezo utakaochezwa kesho Aprili 28, 2026 mjini...
LONDON, Uingereza
MKONGWE wa Manchester United, Wayne Rooney, anaamini kurejea dimbani kwa Bukayo Saka kutaipa nguvu kubwa Arsenal katika mbio zake za ubingwa wa Ligi...
MERSEYSIDE, England
MLINDA mlango wa Liverpool, Alisson Becker, yuko kwenye hatua nzuri ya kujiunga na vigogo wa Serie A, Juventus.
Juventus wanampigia hesabu Mbrazil huyo mwenye...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WATOTO wa mjini wakikwambia ‘utaacha ndala’, huwa wanamaanisha utakutana na kitu kizito. Je, ni mashabiki wa Yanga au Simba watakaokutwa na...
BERLIN, Ujerumani
TIMU ya soka ya wanawake ya Arsenal ndiyo mabingwa watetezi na sasa wataivaa Lyon katika hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa...
LONDON, Uingereza
BEKI wa kati wa zamani wa Chelsea, William Gallas, anaamini Diego Simeone ndiye kocha sahihi wa kupewa mikoba ya kuinoa timu hiyo.
Chelsea wanahitaji...
LONDON, Uingereza
BAADA ya mfululizo wa matokeo mabaya na kiwango kisichoridhisha cha timu yao, mabosi wa Chelsea walimfuta kazi kocha Liam Rosenior hivi karibuni.
Alifukuzwa baada...
LONDON, Uingereza
LEICESTER City imeshuka kutoka Championship (Daraja la Kwanza England) hadi League One (Daraja la Pili). Hali ni tete kwao.
Hata hivyo, licha ya mwenendo...
LONDON, Uingereza
CHELSEA haina kocha mkuu baada ya kumfungashia virago Liam Rosenior, ambaye aliajiriwa Januari, 2026 kuchukua nafasi ya Enzo Maresca.
Rosenior amefutwa kazi akiwa ameiongoza...
LONDON, Uingereza
HUENDA kocha wa zamani wa Manchester United, Ruben Amorim, akawa na timu nyingine msimu ujao wa Ligi Kuu ya England (EPL).
Mreno huyo alifungashiwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MPANGO wa Simba kumsajili kipa wa timu ya Taifa ya Nigeria 'Super Eagles', Stanley Nwabali, umeifikia Kaizer Chiefs na sasa klabu...