Na Ramadhan Hassan, Gazetini-Dodoma
WAZIRI wa Fedha, Khamis Mussa Omar, amesema Serikali itaendelea kutegemea mapato ya ndani kama chanzo kikuu cha kugharamia matumizi ya kawaida na utekelezaji wa miradi ya maendeleo, huku ikiweka mkazo katika kuimarisha ukusanyaji...
LOS ANGELES, Marekani
MOJA ya makundi yaliyoacha katika mapinduzi ya muziki wa Hip hop nchini Marekani na duniani kwa ujumla ni N.W.A lililoasisiwa mwishoni mwa miaka ya 1980.
Kundi lililoundwa mwaka 1978 na marapa Arabian Prince, Dr. Dre,...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KUFIKIA hatua hii ya msimu wa 2025-26 wa Ligi Kuu Bara, matajiri wa Chamazi, Azam FC, wameruhusu nyavu zao kutikiswa mara...
LONDON, Uingereza
UPEKEE wa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu ni namna zitakavyohusisha makocha wa daraja la juu, pengine kuliko ilivyowahi kutokea katika...
LONDON, Uingereza
KUFANIKIWA au kufeli kwa timu ya Taifa ya England 'Three Lions' katika fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) kutategemea na...
KINSHASA, DRC
MLIPUKO wa ugonjwa wa Ebola umeendelea kuwa gumzo si tu DRC ulikoanzia, bali pia nchi jirani za Afrika, ikiwamo Uganda, na sasa unatishia...
MANCHESTER, Uingereza
WALIMALIZA msimu wa 2025-26 wakiwa nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya England (EPL) na kukata tiketi ya kwenda Ligi ya...
LONDON, Uingereza
FAINALI za Kombe la Dunia zitaanza Juni 11, 2026, zikitarajiwa kufikia mwezi mmoja baadaye (Julai 19), safari hii zikifanyika Marekani, Mexico na Canada.
Nyota...
MANCHESTER, Uingereza
MANCHESTER City itauanza msimu ujao (2026-27) bila kocha raia wa Hispania, Pep Guardiola. Enzo Maresca aliyewahi kuinoa Chelsea ndiye atakayekuwa kwenye benchi la...
LONDON, Uingereza
BAADA ya ubingwa wao wa kwanza wa Ligi Kuu ya England tangu mwaka 2004, Arsenal wataingia msimu ujao wa 2026-27 wakiwa mabingwa watetezi.
Pia,...
LONDON, Uingereza
MSIMU wa 2025-26 haukuwa mzuri kwao. Chelsea walimaliza mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya England wakiwa nafasi ya 10 kwenye msimamo. Hawatoshiriki...
MADRID, Hispania
WANACHAMA takribani 700,000 wa klabu ya Real Madrid watapiga kura leo Juni 7, 2026 kuchagua Rais atakayeongoza kwa miaka minne ijayo.
Kwa sasa, vita...
TUNIS, Tunisia
MATAIFA 48 ndani ya fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika kuanzia Juni 11 - Julai 19, 2026 huko Marekani, Mexico na Canada.
Kuelekea michuano...