LONDON, Uingereza
BADO mashabiki wa Arsenal hawajamaliza furaha yao. Ukame wa miaka 22 wa kulikosa taji la Ligi Kuu ya England (EPL) umefikia ukomo msimu huu wa 2025-26 na sasa ni mabingwa wapya wakiwa na mechi moja...
LONDON, Uingereza
MATESO yamekwisha. Baada ya miaka 22 ya kusubiri, Arsenal imetwaa taji la Ligi Kuu ya England (EPL). Taji hilo limetua Emirates baada ya washindani wao wakubwa msimu huu, Manchester City, kulazimishwa sare ya bao 1-1...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
MC Alger kutwaa taji la michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika wikiendi iliyopita, ambapo iliifunga Zamalek kwa penalti 8-7, ni stori...
LOS ANGELES, Marekani
WAKATI urefu ukionekana kuwa moja ya vigezo muhimu kwenye mchezo wa mpira wa kikapu, Muggsy Bogues anabaki kuwa mchezaji mfupi zaidi kuwahi...
MANCHESTER, Uingereza
NI suala la muda tu kabla ya Manchester United kumtangaza Michael Carrick kuwa kocha wao wa msimu ujao (2026-27) baada ya kazi nzuri...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
MJADALA mkubwa kwa sasa katika soka la Tanzania, hasa Ligi Kuu Bara, ni kiwango bora alichonacho kiungo wa kimataifa wa Zambia,...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
KWA misimu mitano ya hivi karibuni, KMC imekuwa ikinusurika kwenye mtego wa kushuka daraja lakini huenda safari hii ikashindwa kujinasua na...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
BAADA ya kukosekana kwa misimu miwili mfululizo, safari hii Mbeya City bado inapitia wakati ngumu msimu huu wa Ligi Kuu Bara...
CATALUNYA, Hispania
MSHAMBULIAJI mkongwe wa Barcelona, Robert Lewandowski, ataondoka klabuni hapo mwishoni mwa Juni, 2026.
Lewandowski (37), alijiunga na Barcelona mwaka 2022 akitokea Bayern Munich na...
MANCHESTER, Uingereza
BAADA ya kuifunga Chelsea bao 1-0, Manchester City si tu imetwaa ubingwa wa Kombe la FA, bali pia imeandika historia mpya kwenye michuano...
LONDON, Uingereza
KOCHA wa muda wa Chelsea, Calum McFarlane, amesema hawana cha kuambulia msimu huu zaidi ya Kombe la FA, hivyo lazima wapambane kuifunga Manchester...
LONDON, Uingereza
LEJENDARI wa Ligi Kuu ya England (EPL), Rio Ferdinand, amesema kama si Michael Carrick, basi Luis Enrique wa PSG ndiye kocha sahihi wa...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
KOCHA mwenye 'CV' kubwa katika soka la Afrika, Florent Ibenge, ametimiza dakika dakika 20,70 tangu alipoanza kuisimamia Azam katika mechi za...