JERUSALEM, Israel
MAMLAKA za Israel zimepitisha utaratibu wa kutumia mamba katika magereza yake, lengo likiwa ni kudhibiti wafungwa wanaotaka kutoroka.
Awali, Waziri wa Ulinzi wa Israel, Itamar...
LOS ANGELES, Marekani
MAMA mzazi wa mrembo anayetokea familia ya Kardashian, Kris Jenner, Mary Jo, amefariki akiwa na umri wa miaka 91.
Kris (70), ndiye aliyetangaza...
MIAMI, Marekani
HISTORIA inarudisha kilichotokea miaka 16 iliyopita, ambapo timu ya soka ya taifa ya Hispania ilitwaa ubingwa wa Kombe la Dunia ikiwa kwenye ardhi...
MIAMI, Argentina
ARGENTINA ya kocha Lionel Scaloni itaingia katika mchezo huo wa fainali dhidi ya Hispania ikiwa bingwa mtetezi kwa taji lake la miaka minne...
MIAMI, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump, amekosoa mbinu za kocha Thomas Tuchel akisema ndizo zilizoigharimu timu ya soka ya taifa ya England katika nusu...
MADRID, Hispania
STRAIKA wa zamani wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang, amejiunga na Deportivo La Coruna ya Ligi Kuu ya Hispania (La Liga).
Nyota huyo raia wa Gabon...
MERSEYSIDE, Uingereza
WAKALA wa Mohamed Salah, Ramy Abbas Issa, ameibuka na kukanusha taarifa zinazodai kuwa mshambuliaji huyo amekubali kujiunga na Besiktas ya Ligi Kuu nchini...
KYIV, Ukraine
HATUA ya Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, kumuweka kando aliyekuwa Waziri wa Ulinzi, Mykhailo Fedorov, imezua mjadala ndani ya jeshi la nchi hiyo.
Baadhi...
TEHRAN, Iran
JESHI la Marekani limetibitisha kufanya shambulizi la usiku kwa mara ya saba mfululizo nchini Iran.
Huo ni mwendelezo wa Iran kushambuliwa usiku tangu Rais...
MIAMI, Marekani
ANAITWA Slavko Vincic, mwamuzi wa kati aliyeteuliwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kucheza mechi ya fainali msimu huu wa Kombe la...
BOSTON, Marekani
MSIMU huu wa Kombe la Dunia unaelekea ukingoni. Fainali itachezwa kesho Jumapili, Julai 19, 2026, katika Uwanja wa MetLife nchini Marekani, ikizikutanisha Argentina...