Ads: info@gazetini.co.tz |
21.8 C
Dar es Salaam

Featured

Mastaa hawa wameyakataa mataifa waliyozaliwa Kombe la Dunia 2026

MEXICO CITY Mexico FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zimeshuhudia idadi kubwa zaidi kuwahi kutokea ya wachezaji walioyapa kisogo mataifa waliyozaliwa. Takwimu zinaonesha...

Israel, Marekani ‘zimechafua’ Uchaguzi Colombia?

BOGOTA, Colombia RAIS aliyeondoka madarakani nchini Colombia, Gustavo Petro, ameendelea kutokuyatambua matokeo yaliyompa ushindi Abelardo de la Espriella. De la Espriella (47), ameingia Ikulu akimpiku Ivan...

Klopp: Hakuna kama Ronaldo, Messi

MUNICH, Ujerumani KOCHA wa zamani wa Liverpool, Jurgen Klopp, amewataja Lionel Messi na Cristiano Ronaldo kuwa ndiyo wachezaji bora duniani kwa sasa. Klopp amesema siyo ishu...

Baba yake Haaland: Hakuna kama Guardiola

MANCHESTER, Uingereza BABA mzazi wa Erling Haaland, Alfie Haaland, amesema hakuna kocha wa kufikia daraja la Pep Guardiola. Alfie ametoa kauli hiyo baada ya Man City...

Huyu ndiye tapeli hatari zaidi sekta ya Afya

LOS ANGELES, Marekani HIVI karibuni, Shirika la Ujasusi la Marekani (FBI) lilimtia mkononi mfanyabiashara maarufu, Ibrahim Khaldoon Hilmi, aliyekuwa akikimbia kukamatwa kwa miaka mingi. Khaldoom Hilmi...

Yanayowakuta Wapalestina magereza ya Israel yanatisha

JERUSALEM, Israel WANAHARAKATI wa haki za binadamu duniani wanataka kuona Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) ikiichunguza Israel juu ya uhalifu dhidi ya...

Shearer apanga kikosi cha ubingwa England

LONDON, Uingereza MKONGWE Alan Shearer ametaja 'first eleven' inayoweza kuipa ubingwa wa msimu wa Kombe la Dunia timu ya soka ya Taifa ya England. England chini...

Uholanzi kuivaa Morocco, Brazil mikononi mwa Japan

MEXICO CITY, Mexico KATIKA hatua ya 32 Bora ya msimu huu wa Kombe la Dunia, timu ya soka ya Taifa ya Uholanzi itakuwa na kibarua...

Hizi hapa zilizoaga Kombe la Dunia 2026

MEXICO CITY, Mexico JUMLA ya timu 10 zimeshaaga michuano ya msimu huu wa Kombe la Dunia baada ya Curacao kutolewa kwa kichapo cha mabao 2-0...

Huyu ndiye Mourinho, atoa kauli tata Kombe la Dunia

MADRID, Hispania KAMA kawaida yake. Kocha Jose Mourinho ni mtu wa kauli zenye utata, kama ambayo ameitoa safari hii juu ya fainali za Kombe la...

Mfumo wa E-Delivery kutathmini matokeo ya miradi utekelezaji wa Dira 2050

Na mwanishi wetu, Gazetini KATIKA utekelezaji wa Dira 2050, Mfumo mpya wa Kitaifa wa kusimamia Mipango na Miradi ya Maendeleo wa e-Delivery wa Tume ya...

Bandari ya Dar es Salaam yapaa duniani, yaongeza ufanisi

Na mwandishi wetu, Gazetini BANDARI ya Dar es Salaam imeibuka kinara wa ufanisi wa huduma za bandari katika ukanda wa Afrika Mashariki baada ya kupanda...

Recent articles