LUSAKA, Zambia
UKIWA ni mwaka mmoja tu tangu kifo cha Rais Edgar Lungu, familia yake imeshinda kesi baada ya Mahakama kuamuru ipewe mwili kwa ajili ya maziko.
Hilo lilikuwa ni ombi la familia, tofauti na Serikali ya Zambia...
ISLAMABAD, Pakistan
MWANAHARAKATI wa haki za binadamu nchini Pakistan, Mahrang Baloch, amehukumiwa kifungo cha maisha.
Baloch ameangukiwa na hukumu hiyo katika mashitaka ya ugaidi na kusababisha kifo cha mwanajeshi katika maandamano ya mwaka 2024.
Akishitakiwa sambamba na mwanaharakati mwenzake,...
LUSAKA, Zambia
ZAMBIA iko mbioni kuingia katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Agosti, 2026, huku wanaharati wa haki za binadamu wakitilia shaka hali ya uhuru wa kutoa...