Na mwandishi wetu, Gazetini
SERIKALI imesaini mkataba wa Sh bilioni 198.67 kwa ajili ya ujenzi wa njia mpya ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovoti 220 (220kV) kutoka Iganjo mkoani Mbeya hadi Saza mkoani Songwe, pamoja na...
CATALUNYA, Hispania
KOCHA wa Barcelona, Hansi Flick, amefichua kuwa kiungo wake, Frenkie de Jong, atakuwa fiti wiki chache zijazo.
Flick amezungumzia hayo kuelekea mchezo wao wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Feyenoord ya Uholanzi.
De Jong...
BEIJING, China
ZIARA ya Vladmir Putin nchini China inakuja zikiwa ni siku chache tu tangu Donald Trump wa Marekani alipomaliza mkutano wake na Rais Xi...
LUSAKA, Zambia
ZAMBIA iko mbioni kuingia katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Agosti, 2026, huku wanaharati wa haki za binadamu wakitilia shaka hali ya uhuru wa kutoa...