WASHINGTON DC, Marekani
INAFAHAMIKA kuwa bado uhusiano kati ya Marekani na Iran haujakaa sawa. Mataifa hayo yanaendelea kushambuliana kijeshi, licha ya makubaliano ya hivi karibuni ya kusitisha vita vyao vilivyoanza Februari 28, 2026.
Sasa, 'bifu' la nchi hizo...
Na Hassan Mwasha
HATIMAYE Yanga wamethibitisha ubabe wao Ligi Kuu Bara baada ya kumaliza msimu huu wa 2025-26 kwa kutwaa ubingwa wao wa tano mfululizo.
Yanga wamenyakua taji hilo leo Juni 30, 2026, kwa kuitandika JKT Tanzania mabao...
MIAMI, Marekani
WENYEJI wa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu, Canada, ambao wanashirikiana na Mexico na Marekani, watakwana na Morocco katika hatua inayofuata...
YOUNDE, Cameroon
TIMU ya soka ya Taifa ya Cameroon haikufuzu fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) lakini lejendari wake, Rigobert Song, ana...
MIAMI, Marekani
TEKNOLOJIA ya kumsaidia mwamuzi kwa marudio ya video (VAR) imeibua sintofahamu kwa baadhi ya maamuzi yake wakati huu wa fainali za Kombe la...
TORONTO, Canada
TIMU ya soka ya Taifa ya Canada imekuwa ya kwanza kuingia hatua ya 16 Bora baada ya kuitoa Afrika Kusini 'Bafana Bafana'.
Katika mchezo...
MIAMI, Marekani
MWAKA 2022, Morocco ilikuwa timu ya kwanza ya Afrika kufikia nusu fainali katika historia ya michuano ya Kombe la Dunia.
Safari hii, kwa maana...
MEXICO CITY, Mexico
KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Lionel Scaloni, amethibitisha kuwa atampumzisha nahodha wake, Lionel Messi, katika mchezo wao dhidi...