Na Hassan Mwasha, Gazetini
NI mwanamuziki? Ndiyo. Hiyo ndiyo sura yake ya kwanza iliyomtambulisha Baba Levo mbele ya walio wengi.
Achana na maisha binafsi, ambayo ndugu,...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
KAMA ilivyokuwa msimu uliopita (2024-25), safari hii TRA United na JKT zimerudi kwenye 'bato' yao ya Ligi Kuu Bara.
Msimu uliopita, TRA...
MERSEYSIDE, Uingereza
KLABU ya Liverpool imemwambia winga wake, Federico Chiesa, kwamba anaweza kuondoka majira haya ya kiangazi na kutafuta timu nyingine.
2025-26 ulikuwa msimu mbaya kwa...
WASHINGTON DC, Marekani
UHUSIANO kati ya Rais wa Marekani, Donald Trump, na Waziri Mkuu wa Italia, Giorgia Meloni, umeendelea kuwa gumzo na hata kuibua mjadala...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
SASA ni wazi Yanga na Simba zitasubiri hadi keshokutwa Juni 30, 2026, ili kujua utakakoelekea ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu...
MIAMI, Marekani
MWAKA 2022, Morocco ilikuwa timu ya kwanza ya Afrika kufikia nusu fainali katika historia ya michuano ya Kombe la Dunia.
Safari hii, kwa maana...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA sehemu ya pili ya makala haya,tuliona Lungu akipoteza kiti cha urais mbele ya mpinzani wake, Hichilema, ambaye awali alimshinda mara...
MEXICO CITY, Mexico
KOCHA wa timu ya soka ya Taifa ya Argentina, Lionel Scaloni, amethibitisha kuwa atampumzisha nahodha wake, Lionel Messi, katika mchezo wao dhidi...
Na Hassan Mwasha, Gazetini
SIMBA ikiwa nyumbani katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamhuyo, imeondoka na pointi zote tatu baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi...