27 C
Dar es Salaam

Featured

Rais Samia: Serikali itachukua hatua yaliyopendekezwa na CAG

Na Mwandishi Wetu RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itachukua hatua kama ilivyoelekezwa na sheria na kama ilivyopendekezwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali...

Maandalizi Ligi Kuu soka kwa watu wenye ulemavu yashika kasi, Unyanyembe waanzisha timu

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MKURUGENZI wa ufundi Shirikisho la Mpira wa Miguu kwa Watu wenye Ulemavu (TAFF), Shaban Msangi ameitembelea timu mpya ya soka kwa...

Bwege afariki dunia

Na Mwandishi Wetu MBUNGE wa zamani wa Jimbo la Kilwa Kusini, Mkoani Lindi, Selemani Bungara maarufu Bwege amefariki  leo mchana Machi 30,2026 wakati akipatiwa matibabu...

Ripoti ya CAG yaibua mazito ujenzi wa uwanja wa AFCON Arusha

Na Mwandishi Wetu RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere imeanika mapungufu katika mchakato wa ununuzi na ujenzi wa...

Deni la Serikali lafikia trilioni 110

Na Mwandishi Wetu MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amesema deni la Serikali limeongezeka na kufikia sh.  trilioni 110, hali...

Uingereza: “Hii sio vita yetu, hatutajiingiza”

LONDON, Uingereza Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, amesema wazi kuwa nchi yake haitapeleka wanajeshi nchini Iran, akisisitiza kuwa Uingereza haitajiingiza moja kwa moja katika...

Hasara ATCL yaongezeka maradufu, yafikia Sh Bilioni 191.19

Na mwadishi wetu, Gazetini RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imebaini kuwa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limeendelea kupata hasara...

Makaa ya mawe injini mpya ya mageuzi ya viwanda

Na mwandishi wetu, Gazetini WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde, amesema makaa ya mawe yana nafasi ya kimkakati katika kuharakisha mageuzi ya uchumi wa Tanzania kuelekea...

TAKUKURU yafichua wizi wa Sh bilioni 147.5 kupitia kadi za benki

Na mwandishi wetu, Gazetini MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Crispin Chalamila, amesema uchunguzi wa awali umebaini kuwapo kwa mtandao...

Jengo la kanisa laua watatu, waziri afunguka

ACCRA, Ghana WATU watatu, wakiwamo wanawake wawili, wameripotiwa kupoteza maisha baada ya jengo la ghorofa mbili la kanisa kuporomoka mjini Accra. Waziri wa Mambo ya Ndani,...

Wawili wanyongwa Iran

TEHRAN, Iran WANAUME wawili nchini Iran wamekumbana na adhabu ya kunyongwa baada ya kubainika kujihusisha na upinzani dhidi ya Serikali. Wawili hao waligundulika kuwa sehemu ya...

Huyu ndiye Katibu Mkuu mpya CAF, aanza na rekodi

CAIRO, Misri SAMSON Adamu raia wa Nigeria ndiye aliyeteuliwa kukalia kwa muda kiti cha Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF). Uteuzi wake ndani ya...

Recent articles

spot_img