LONDON, Uingereza
TOTTENHAM imepoteza mechi zote mbili ilizocheza msimu huu wa Ligi Kuu ya England. Ilifungua pazia kwa kufungwa mabao 3-0 na Brighton, kabla ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
Mkuu wa Wilaya ya Chato, mkoani Geita, Louis Bura, amesema kasi kubwa ya ukuaji wa uchumi katika Mkoa wa Geita imepelekea...
CAIRO, Misri
AFRIKA hutumia zaidi ya Dola za Marekani bilioni 100 kila mwaka kuagiza vyakula kutoka nje, huku wataalamu wakihimiza juhudi za makusudi za kupunguza...
MADRID, Hispania
KOCHA wa Real Madrid, Jose Mourinho, amesema mshambuliaji wake raia wa Ufaransa, Kylian Mbappe, anastahili tuzo ya mwaka huu ya Ballon d’Or.
Akizungumza kuelekea...
LONDON, Uingereza
KOCHA wa Tottenham, Roberto De Zerbi, amefichua kuwa mastaa wake watatu kikosini wameomba kuondoka klabuni hapo.
Zerbi raia wa Italia, ameenda mbali zaidi na...
MIAMI, Marekani
NAHODHA wa Inter Miami ya Ligi Kuu ya Marekani (MLS), Lionel Messi, ameingia kambani mara nne katika ushindi wa mabao 7-1 walioupata dhidi...
HARARE, Zimbabwe
WAUMINI wa Kikiristo takribani 27 waliokuwa wanakwenda kanisani wamepoteza maisha baada ya basi lao dogo kupata ajali nchini Zimbabwe.
Kwa mujibu wa taarifa ya...
LONDON, Uingereza
WASHIKA Bunduki wa London, Arsenal, wameingia kwenye mazungumzo ya kumsajili staa wa Lille ya Ufaransa, Matias Fernandez-Pardo.
Licha ya Arsenal kuitaka saini yake, pia...
LONDON, Uingereza
KLABU ya Sunderland imeanza kuiwinda saini ya winga wa kimataifa wa England, Jack Grealish, kwa mujibu wa mtandao wa Football Insider.
'Black Cats' wanaitaka...
MERSEYSIDE, Uingereza
KOCHA wa Everton, David Moyes, ameungana na mashabiki wa timu hiyo akisema walikuwa sahihi kwa kile walichokifanya wakati wa mchezo wao wa sare...
QUITO, Ecuador
RAIS wa zamani wa Ecuador, Lenín Moreno, amehukumiwa kifungo cha miaka mitano gerezani baada ya kukutwa na hatia katika mashitaka ya rushwa.
Mwanasiasa huyo...