Ads: info@gazetini.co.tz |
21.7 C
Dar es Salaam

Bussiness

LUSAKA, Zambia UKIWA ni mwaka mmoja tu tangu kifo cha Rais Edgar Lungu, familia yake imeshinda kesi baada ya Mahakama kuamuru ipewe mwili kwa ajili ya maziko. Hilo lilikuwa ni ombi la familia, tofauti na Serikali ya Zambia...
ISLAMABAD, Pakistan MWANAHARAKATI wa haki za binadamu nchini Pakistan, Mahrang Baloch, amehukumiwa kifungo cha maisha. Baloch ameangukiwa na hukumu hiyo katika mashitaka ya ugaidi na kusababisha kifo cha mwanajeshi katika maandamano ya mwaka 2024. Akishitakiwa sambamba na mwanaharakati mwenzake,...

Mapinduzi ya sekta ya reli nchini Tanzania

Na Hassan Mwasha, Gazetini MOJA ya hatua kubwa zilizopigwa na Shirika la Reli nchini (TRC) ni kuondokana na utegemezi kwa Serikali, ambapo katika Mwaka wa...

Nini chanzo UAE kujitoa OPEC? Ni ushindi kwa Rais Trump?

WASHINGTON DC, Marekani UMOJA wa Falme za Kiarabu (UAE) umetangaza kujitoa katika Umoja wa nchi zinazozalisha mafuta duniani (OPEC), hatua inayotafsiriwa kuwa ni ushindi mkubwa...

Sekta ya Madini Tanzania; bajeti 2026/2027

Na mwandishi wetu, Gazetini BUNGE la Jamhuru ya Muungano wa Tanzania, limeridhia na kupitisha bajeti ya Wizara ya Madini ya sh bilioni 174.9 kwa Mwaka...

Nyuma ya pazia ‘bifu’ zito la Peter, Paul wa P-SQUARE

LAGOS, Nigeria MAMBO yamezidi kuwa mabaya kwa mapacha waliowahi kutikisa soko la muziki barani Afrika kupitia Kundi la P-Square, Peter na Paul Okoye. Okoye ametangaza rasmi...

Changamoto zinazomsubiri bosi mpya wa Apple

NEW YORK, Marekani KAMPUNI kubwa ya teknolojia dunini ya Apple Inc. imetangaza kuwa mtendaji wake wa muda mrefu, John Ternus, atachukua nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji...

Makaa ya mawe injini mpya ya mageuzi ya viwanda

Na mwandishi wetu, Gazetini WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde, amesema makaa ya mawe yana nafasi ya kimkakati katika kuharakisha mageuzi ya uchumi wa Tanzania kuelekea...

EAIF 2026 kufanyika kesho ikilenga kutoa fursa kwa vijana

Na mwandishi wetu, Gazetini KONGAMANO la Uwekezaji Afrika Mashariki la mwaka 2026 (East Africa Investment Forum – EAIF 2026) linatarajiwa kufanyika kesho na kesho kutwa...

HaloPesa yahitimisha kampeni ya “Tamba na Bonasi”, yawakabidhi zawadi

Na Imani Nathaniel, Gazetini HaloPesa imehitimisha rasmi kampeni yake ya 'Tamba na Bonasi' baada ya kuwazawadia wateja wake zawadi mbalimbali zikiwemo bonasi na fedha taslimu...

Mo’ Dewji bado yumo, Dangote aongoza tena utajiri Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini RIPOTI mpya ya jarida maarufu la Forbes inamtaja mfanyabiashara wa Tanzania, Mohamed 'Mo' Dewji, kuwa nafasi ya 12 katika orodha ya...

Serikali yawekeza Tril. 13.5 kuboresha umeme, yazindua mita janja

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SERIKALI imeendelea kuimarisha sekta ya nishati kupitia uwekezaji mkubwa wa zaidi ya Sh trilioni 13.5 katika miradi 41 ya umeme nchini,...

Zaidi ya washindi 400 wazawadiwa kupitia kampeni ya ‘Tamba na Bonasi’

Na Iman Nathaniel, Gazetini Zaidi ya washindi 400 wamejishindia zawadi mbalimbali kupitia kampeni inayoendeshwa HaloPesa inayoitwa Tamba na Bonasi'. Kupitia kampeni hiyo wateja wa HaloPesa wanapata...

Utafiti waonesha mafuta yanaweza kupatikana ndani ya Tanzania Bara

Na Mwandishi Wetu, Gazetini, Arusha UTAFITI unaofanyika katika mradi wa kimkakati wa Eyasi Wembere, unaolenga kutafuta mafuta na gesi katika Bonde la Ufa la Afrika...

Recent articles