Ads: info@gazetini.co.tz |
23.6 C
Dar es Salaam

Bussiness

LONDON, Uingereza NANI kutinga fainali ya msimu huu wa Kombe la Dunia katika mchezo huo wa Julai 15, 2026? Ni Argentina ya Lionel Messi au England ya Harry Kane? Achana na Messi dhidi ya Kane au mshambuliaji huyo...
PARIS, Ufaransa BAADA ya ubingwa wa mwaka 2018, safari hii timu ya soka ya Taifa ya Ufaransa ipo tena kwenye nafasi ya kutwaa taji hilo katika fainali za Kombe la Dunia zinazoendelea. Timu hiyo imeshinda mechi zote sita...

Halotel, Samsung wazindua huduma mikopo ya simu janja yenye vifurushi

Na Imani Nathaniel, Gazetini Kampuni ya Mawasiliano ya Halotel Tanzania kwa kushirikiana na Samsung Electronics, imezindua huduma ya mikopo ya simu janja inayokwenda sambamba na...

Halotel yatinga Sabasaba na ubunifu wa kiteknolojia

Na Imani Nathaniel, Gazetini Kampuni ya Mawasiliano ya Halotel Tanzania imezindua rasmi ushiriki wake katika maonyesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es...

Aisha Mohamed: Kutoka Mhasibu hadi kuiongoza GSM Group

Na Mwandishi Wetu, Gazetini KUNA msemo unaosema, "Viongozi wakubwa hawazaliwi, hujengwa." Katika ulimwengu wa biashara, kauli hiyo inajidhihirisha kupitia watu wanaoanza katika nafasi za kawaida,...

Mabeberu, majirani wanavyopishana ‘kuchota utajiri’ wa DRC

Na mwandishi wetu, Gazetini WAKATI wengine wakiamini DRC imefeli katika diplomasia na ulinzi, vita vinavyoendelea nchini humo vinahusishwa pia na hila za mataifa makubwa duniani. Kwamba...

Asali sasa dili Marekani, uzalishaji wapungua

NEW YORK, Marekani KUNA uhitaji mkubwa wa asali nchini Marekani baada ya kiwango cha uzalishaji kushika kwa kiwango kikubwa zaidi kuwahi kutokea, kwa mujibu wa...

Mapinduzi ya sekta ya reli nchini Tanzania

Na Hassan Mwasha, Gazetini MOJA ya hatua kubwa zilizopigwa na Shirika la Reli nchini (TRC) ni kuondokana na utegemezi kwa Serikali, ambapo katika Mwaka wa...

Nini chanzo UAE kujitoa OPEC? Ni ushindi kwa Rais Trump?

WASHINGTON DC, Marekani UMOJA wa Falme za Kiarabu (UAE) umetangaza kujitoa katika Umoja wa nchi zinazozalisha mafuta duniani (OPEC), hatua inayotafsiriwa kuwa ni ushindi mkubwa...

Sekta ya Madini Tanzania; bajeti 2026/2027

Na mwandishi wetu, Gazetini BUNGE la Jamhuru ya Muungano wa Tanzania, limeridhia na kupitisha bajeti ya Wizara ya Madini ya sh bilioni 174.9 kwa Mwaka...

Nyuma ya pazia ‘bifu’ zito la Peter, Paul wa P-SQUARE

LAGOS, Nigeria MAMBO yamezidi kuwa mabaya kwa mapacha waliowahi kutikisa soko la muziki barani Afrika kupitia Kundi la P-Square, Peter na Paul Okoye. Okoye ametangaza rasmi...

Changamoto zinazomsubiri bosi mpya wa Apple

NEW YORK, Marekani KAMPUNI kubwa ya teknolojia dunini ya Apple Inc. imetangaza kuwa mtendaji wake wa muda mrefu, John Ternus, atachukua nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji...

Makaa ya mawe injini mpya ya mageuzi ya viwanda

Na mwandishi wetu, Gazetini WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde, amesema makaa ya mawe yana nafasi ya kimkakati katika kuharakisha mageuzi ya uchumi wa Tanzania kuelekea...

EAIF 2026 kufanyika kesho ikilenga kutoa fursa kwa vijana

Na mwandishi wetu, Gazetini KONGAMANO la Uwekezaji Afrika Mashariki la mwaka 2026 (East Africa Investment Forum – EAIF 2026) linatarajiwa kufanyika kesho na kesho kutwa...

Recent articles