27.2 C
Dar es Salaam

Bussiness

PRETORIA, Afrika Kusini KWA sasa, Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini anakabiliwa na tishio la kupigiwa kura ya kutokuwa na imani na rais. Amekuwa madarakani tangu mwaka 2018. Ramaphosa, kiongozi wa zamani wa Chama cha Wachimbaji wa Madini cha...
LONDON, Uingereza FAINALI za Kombe la Dunia za mwaka huu ziko njiani. Zitaanza Juni 11 na kufanyika kwa mwezi mmoja hadi Julai 19, 2026, huku mechi ya ufunguzi ikizikutanisha Mexico na Afrika Kusini. Timu ya Taifa ya England...

Nyuma ya pazia ‘bifu’ zito la Peter, Paul wa P-SQUARE

LAGOS, Nigeria MAMBO yamezidi kuwa mabaya kwa mapacha waliowahi kutikisa soko la muziki barani Afrika kupitia Kundi la P-Square, Peter na Paul Okoye. Okoye ametangaza rasmi...

Changamoto zinazomsubiri bosi mpya wa Apple

NEW YORK, Marekani KAMPUNI kubwa ya teknolojia dunini ya Apple Inc. imetangaza kuwa mtendaji wake wa muda mrefu, John Ternus, atachukua nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji...

Makaa ya mawe injini mpya ya mageuzi ya viwanda

Na mwandishi wetu, Gazetini WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde, amesema makaa ya mawe yana nafasi ya kimkakati katika kuharakisha mageuzi ya uchumi wa Tanzania kuelekea...

EAIF 2026 kufanyika kesho ikilenga kutoa fursa kwa vijana

Na mwandishi wetu, Gazetini KONGAMANO la Uwekezaji Afrika Mashariki la mwaka 2026 (East Africa Investment Forum – EAIF 2026) linatarajiwa kufanyika kesho na kesho kutwa...

HaloPesa yahitimisha kampeni ya “Tamba na Bonasi”, yawakabidhi zawadi

Na Imani Nathaniel, Gazetini HaloPesa imehitimisha rasmi kampeni yake ya 'Tamba na Bonasi' baada ya kuwazawadia wateja wake zawadi mbalimbali zikiwemo bonasi na fedha taslimu...

Mo’ Dewji bado yumo, Dangote aongoza tena utajiri Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini RIPOTI mpya ya jarida maarufu la Forbes inamtaja mfanyabiashara wa Tanzania, Mohamed 'Mo' Dewji, kuwa nafasi ya 12 katika orodha ya...

Serikali yawekeza Tril. 13.5 kuboresha umeme, yazindua mita janja

Na Mwandishi Wetu, Gazetini SERIKALI imeendelea kuimarisha sekta ya nishati kupitia uwekezaji mkubwa wa zaidi ya Sh trilioni 13.5 katika miradi 41 ya umeme nchini,...

Zaidi ya washindi 400 wazawadiwa kupitia kampeni ya ‘Tamba na Bonasi’

Na Iman Nathaniel, Gazetini Zaidi ya washindi 400 wamejishindia zawadi mbalimbali kupitia kampeni inayoendeshwa HaloPesa inayoitwa Tamba na Bonasi'. Kupitia kampeni hiyo wateja wa HaloPesa wanapata...

Utafiti waonesha mafuta yanaweza kupatikana ndani ya Tanzania Bara

Na Mwandishi Wetu, Gazetini, Arusha UTAFITI unaofanyika katika mradi wa kimkakati wa Eyasi Wembere, unaolenga kutafuta mafuta na gesi katika Bonde la Ufa la Afrika...

TCCIA: Rostam Aziz ni mfano bora wa kuigwa kwa wawekezaji nchini

*Yagusia suala la Tancoal Na Mwandishi Wetu, Gazetini CHEMBA ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) imetoa rai kwa Serikali kuweka sera madhubuti zitakazowawezesha Watanzania kushiriki...

Halopesa yaja na kampeni ‘Tamba na Bonasi’

Na Imani Nathaniel, Gazetini Kampuni ya Halotel kupitia huduma yake ya kifedha Halopesa imezindua kampeni mpya inayokwenda kwa jina la “Tamba na Bonasi”, ili kuwazawadia...

Rais wa Finland atembelea Machinga Complex

Na Mwandishi Wetu Rais wa Finland, Alexander Stubb leo Mei 16, 2025 akiwa katika muendelezo wa ziara yake hapa nchini ametembelea Soko la Machinga Complex...

Recent articles

spot_img