29.9 C
Dar es Salaam

Afcon

NEW YORK, Marekani TAASISI ya Tafiti za Amani ya Stockholm nchini Sweden (SIPRI) imebaini kuwa manunuzi ya silaha za kivita duniani yamekuwa makubwa zaidi kuwahi kutokea. Katika utafiti wake, SIPRI imebaini kuwa manunuzi ya silaha yaligharimu Dola za...
WASHINGTON DC, Marekani UMOJA wa Falme za Kiarabu (UAE) umetangaza kujitoa katika Umoja wa nchi zinazozalisha mafuta duniani (OPEC), hatua inayotafsiriwa kuwa ni ushindi mkubwa kwa Rais wa Marekani, Donald Trump. UAE, moja ya nchi zinazozalisha na kuuza...

Kama Senegal, timu hizi nazo zilipokonywa ubingwa

LONDON, Uingereza HABARI kubwa iliyotikisa soka la Afrika ni timu ya taifa ya Senegal kuvuliwa ubingwa wa fainali za AFCON zilizomalizika miezi michache iliyopita. Na badala...

Morocco yatwaa ubingwa wa AFCON 2025 baada ya CAF kubatilisha matokeo ya fainali

Na mwandishi wetu, Gazetini TIMU ya taifa ya Morocco imetangazwa kuwa mabingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) kufuatia uamuzi wa Shirikisho la...

CAF yaipa Kenya siku 90 tu

NAIROBI, Kenya TIMU ya wakaguzi ya Shirikisho la Soka l Afrika (CAF) haijaridhishwa na kiwango cha maandalizi yaliyofanyika kwa ajili ya fainali zijazo za AFCON...

Morocco yakimbilia FIFA kisa fainali ya AFCON

RABAT, MoroccoSHIRIKISHO la Soka la Morocco (FRMF) limeweka wazi mpango wake wa kuiandikia barua ya malalamiko Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), kupinga kile...

Visual| A-Z yaliyojiri fainali za AFCON 2025

RABAT, Morocco BAO pekee la staa wa Villarreal ya Hispania, Pape Gueye, limehitimisha msimu huu wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) kwa kuipa...

Sadio Mane anavyoibeba mabegani Senegal

DAKAR, Senegal WAKATI timu ya taifa ya Senegal inatwaa ubingwa wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) kwa kuifunga Misri mwaka 2021, Sadio Mane ndiye...

Makonda akabidhi barua ya Rais Samia CAF

Na mwandishi wetu, Gazetini WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Christian Makonda amekutana na Rais wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Dk....

Senegal mabingwa wa AFCON baada ya fainali tata dhidi ya Morocco

RABAT, Morocco TIMU ya taifa ya Senegal imetwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) baada ya kuifunga Morocco bao 1-0 katika fainali ya...

Nigeria yaipiga Misri mshindi wa tatu AFCON 2025

CASABLANCA, Morocco TIMU ya taifa ya Nigeria 'Super 'Eagles' imeshika nafasi ya tatu msimu huu wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) baada ya...

Nani kuibuka mfungaji bora AFCON 2025?

RABAT, Morocco KUELEKEA mchezo wa fainali wikiendi hii, Januari 18, 2026, vita ya kuiwania tuzo ya mfungaji bora wa msimu huu wa fainali za Mataifa...

AFCON 2025 … Misri yang’oka ikiacha rekodi 5

RABAT, Morocco LICHA ya kuondoshwa katika fainali za Mataifa ya Afrika zinazoendelea huko Morocco, timu ya taifa ya Misri 'Mafarao' imeacha historia ya aina yake. Misri...

AFCON … Salah na ‘mkosi’ wa kupishana na Kombe

RABAT, Morocco USHINDI wa bao 1-0 waliopata Senegal dhidi ya Misri imeendeleza mkosi kwa Mohamed Salah katika ndoto yake ya kutwaa ubingwa wa fainali za...

Recent articles

spot_img