LONDON, Uingereza
BADO mashabiki wa Arsenal hawajamaliza furaha yao. Ukame wa miaka 22 wa kulikosa taji la Ligi Kuu ya England (EPL) umefikia ukomo msimu huu wa 2025-26 na sasa ni mabingwa wapya wakiwa na mechi moja...
LONDON, Uingereza
MATESO yamekwisha. Baada ya miaka 22 ya kusubiri, Arsenal imetwaa taji la Ligi Kuu ya England (EPL). Taji hilo limetua Emirates baada ya washindani wao wakubwa msimu huu, Manchester City, kulazimishwa sare ya bao 1-1...
LONDON, Uingereza
HABARI kubwa iliyotikisa soka la Afrika ni timu ya taifa ya Senegal kuvuliwa ubingwa wa fainali za AFCON zilizomalizika miezi michache iliyopita.
Na badala...
Na mwandishi wetu, Gazetini
TIMU ya taifa ya Morocco imetangazwa kuwa mabingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) kufuatia uamuzi wa Shirikisho la...
NAIROBI, Kenya
TIMU ya wakaguzi ya Shirikisho la Soka l Afrika (CAF) haijaridhishwa na kiwango cha maandalizi yaliyofanyika kwa ajili ya fainali zijazo za AFCON...
RABAT, MoroccoSHIRIKISHO la Soka la Morocco (FRMF) limeweka wazi mpango wake wa kuiandikia barua ya malalamiko Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), kupinga kile...
RABAT, Morocco
BAO pekee la staa wa Villarreal ya Hispania, Pape Gueye, limehitimisha msimu huu wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) kwa kuipa...
DAKAR, Senegal
WAKATI timu ya taifa ya Senegal inatwaa ubingwa wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) kwa kuifunga Misri mwaka 2021, Sadio Mane ndiye...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Christian Makonda amekutana na Rais wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Dk....
CASABLANCA, Morocco
TIMU ya taifa ya Nigeria 'Super 'Eagles' imeshika nafasi ya tatu msimu huu wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) baada ya...
RABAT, Morocco
LICHA ya kuondoshwa katika fainali za Mataifa ya Afrika zinazoendelea huko Morocco, timu ya taifa ya Misri 'Mafarao' imeacha historia ya aina yake.
Misri...
RABAT, Morocco
USHINDI wa bao 1-0 waliopata Senegal dhidi ya Misri imeendeleza mkosi kwa Mohamed Salah katika ndoto yake ya kutwaa ubingwa wa fainali za...