Ads: info@gazetini.co.tz |
23.1 C
Dar es Salaam

Afcon

LOS ANGELES, Marekani MOJA ya makundi yaliyoacha katika mapinduzi ya muziki wa Hip hop nchini Marekani na duniani kwa ujumla ni N.W.A lililoasisiwa mwishoni mwa miaka ya 1980. Kundi lililoundwa mwaka 1978 na marapa Arabian Prince, Dr. Dre,...
Na Mwandishi Wetu,Gazetini WAKATI maelfu ya vijana wa Kitanzania wakiendelea kuingia katika soko la ajira kila mwaka huku nafasi rasmi za ajira zikibaki finyu, wataalamu wa masuala ya kazi na ajira wameonya kuwa uhamiaji wa wafanyakazi umeendelea...

Serengeti Boys v Senegal: Ni fainali ya aina gani AFCON?

Na mwandishi wetu, Gazetini TIMU ya soka ya Taifa ya U-17 ya Tanzania, Serengeti Boys, itashuka dimbani wikiendi hii, Juni 2, 2026, kumenyana na Senegal...

Uchambuzi Kundi la Stars kufuzu AFCON 2027

Na mwandishi wetu, Gazetini WENYEJI wa fainali za Mataifa ya Afrika za mwakani (AFCON 2027), Taifa Stars, wameangukia Kundi L wakati wa droo ya upangaji...

Eritrea wana historia yao AFCON 2027

CAIRO, Misri BAADA ya miaka 19 kupita, timu ya soka ya taifa ya Eritrea imerejea katika hatua ya makundi ya kufuzu fainali zijazo za AFCON...

Senegal walifikisha jambo lao CAS

NYON, Uswis MAHAKAMA ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) imekiri kupokea malalamiko ya Shirikisho la Soka la Senegal. FSF wamefikisha ombi la kupinga kile kilichofanywa...

Kama Senegal, timu hizi nazo zilipokonywa ubingwa

LONDON, Uingereza HABARI kubwa iliyotikisa soka la Afrika ni timu ya taifa ya Senegal kuvuliwa ubingwa wa fainali za AFCON zilizomalizika miezi michache iliyopita. Na badala...

Morocco yatwaa ubingwa wa AFCON 2025 baada ya CAF kubatilisha matokeo ya fainali

Na mwandishi wetu, Gazetini TIMU ya taifa ya Morocco imetangazwa kuwa mabingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) kufuatia uamuzi wa Shirikisho la...

CAF yaipa Kenya siku 90 tu

NAIROBI, Kenya TIMU ya wakaguzi ya Shirikisho la Soka l Afrika (CAF) haijaridhishwa na kiwango cha maandalizi yaliyofanyika kwa ajili ya fainali zijazo za AFCON...

Morocco yakimbilia FIFA kisa fainali ya AFCON

RABAT, MoroccoSHIRIKISHO la Soka la Morocco (FRMF) limeweka wazi mpango wake wa kuiandikia barua ya malalamiko Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), kupinga kile...

Visual| A-Z yaliyojiri fainali za AFCON 2025

RABAT, Morocco BAO pekee la staa wa Villarreal ya Hispania, Pape Gueye, limehitimisha msimu huu wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) kwa kuipa...

Sadio Mane anavyoibeba mabegani Senegal

DAKAR, Senegal WAKATI timu ya taifa ya Senegal inatwaa ubingwa wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) kwa kuifunga Misri mwaka 2021, Sadio Mane ndiye...

Makonda akabidhi barua ya Rais Samia CAF

Na mwandishi wetu, Gazetini WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Christian Makonda amekutana na Rais wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) Dk....

Senegal mabingwa wa AFCON baada ya fainali tata dhidi ya Morocco

RABAT, Morocco TIMU ya taifa ya Senegal imetwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) baada ya kuifunga Morocco bao 1-0 katika fainali ya...

Recent articles