Na Mwandishi Wetu, Gazetini
Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imesema kuwa jumla ya watu 518 walipoteza maisha katika ghasia zilizotokea kipindi hicho.Akizungumza wakati...
LONDON, Uingereza
CHELSEA haina kocha mkuu baada ya kumfungashia virago Liam Rosenior, ambaye aliajiriwa Januari, 2026 kuchukua nafasi ya Enzo Maresca.
Rosenior amefutwa kazi akiwa ameiongoza timu hiyo katika mechi 23 pekee. Hatua ya kufukuzwa imekuja baada ya...
TOKYO, Japan
TETSUYA Yamagami ambaye ni mshitakiwa wa mauaji ya Waziri Mkuu wa zamani wa Japan, Shinzo Abe, amehukumiwa kifungo cha maisha.
Yamagami amekuwa chini ya...
NEW YORK, Marekani
RAIS wa Venezuela, Nicolás Maduro, aliyekamatwa katika operesheni ya kijeshi ya Marekani, amefikishwa katika mahakama ya Manhattan, New York, ambako leo Jumatatu...
PARIS, Ufaransa
Mahakama ya Paris imewatia hatiani watu kumi kwa tuhuma za unyanyasaji wa mtandaoni dhidi ya mke wa Rais wa Ufaransa, Brigitte Macron, baada...
Na Imani Nathaniel, Gazetini
MKURUGENZI Mashitaka nchini (DPP), amewafutia kesi washtakiwa wawili kati ya sita waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya kuua bila kukusudia.
Waliofutiwa mashtaka na...
Na Imani Nathaniel, Gazetini
SHAURI la kuporomoka kwa ghorofa la Kariakoo limekwama kusomewa maelezo ya mashahidi na vielelezo kwa washitakiwa wa kesi ya mauaji bila...
SUCRE, Bolivia
MWEZI mmoja tu baada ya kutoka madarakani, polisi nchini Bolivia wamemtia nguvuni Rais mstaafu, Luis Arce, ili kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za rushwa.
Luis...
SEOUL, Korea ya Kusini
WAENDESHA mashitaka wa Korea Kusini wameiomba Mahakama imuhukumu kifungo cha miaka 15 gerezani aliyekuwa mke wa Rais wa zamani, Yoon Suk...
Na Mwandishi Wetu, Gezetini
Watuhumiwa 20 kati ya 22 waliokuwa wanashtakiwa kwa makosa ya uhaini wameachiwa huru, huku mfanyabiashara wa vipodozi Jenifer Jovin (26) maarufu...
Na Mwandishi Wetu
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilemela imewaachia huru watuhumiwa 57 kati 61 wa kesi ya uhaini waliokuwa wakishikiliwa kufuatia maandamano na matukio ya...
Na Mwandishi Wetu
Mahakama ya Wilaya ya Kisarawe, mkoani Pwani, imemhukumu Said Nawanje (20) mkazi wa Yombo Lukinga, wilayani humo, kifungo cha miaka 30 jela...
Na Mwandishi Wetu
Mahakama ya Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam imemhukumu Faridi Mohamedi maarufu Sungusungu kifungo cha miaka 60 jela, kuchapwa viboko sita...