27.2 C
Dar es Salaam

Mahakamani

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imesema kuwa jumla ya watu 518 walipoteza maisha katika ghasia zilizotokea kipindi hicho.Akizungumza wakati...
LONDON, Uingereza CHELSEA haina kocha mkuu baada ya kumfungashia virago Liam Rosenior, ambaye aliajiriwa Januari, 2026 kuchukua nafasi ya Enzo Maresca. Rosenior amefutwa kazi akiwa ameiongoza timu hiyo katika mechi 23 pekee. Hatua ya kufukuzwa imekuja baada ya...

Jela maisha kwa kumuua Waziri Mkuu

TOKYO, Japan TETSUYA Yamagami ambaye ni mshitakiwa wa mauaji ya Waziri Mkuu wa zamani wa Japan, Shinzo Abe, amehukumiwa kifungo cha maisha. Yamagami amekuwa chini ya...

Maduro afikishwa mahakamani New York, washirika wake wapinga

NEW YORK, Marekani RAIS wa Venezuela, Nicolás Maduro, aliyekamatwa katika operesheni ya kijeshi ya Marekani, amefikishwa katika mahakama ya Manhattan, New York, ambako leo Jumatatu...

Watu 10 wahukumiwa Paris kwa kumdhalilisha mke wa rais

PARIS, Ufaransa Mahakama ya Paris imewatia hatiani watu kumi kwa tuhuma za unyanyasaji wa mtandaoni dhidi ya mke wa Rais wa Ufaransa, Brigitte Macron, baada...

Dereva wa Joshua ashitakiwa

LAGOS, Nigeria DEREVA, Adeniyi Mobolaji Kayode (46) aliyekuwa akiendesha gari lililopata ajali iliyomjeruhi bondia wa uzito wa juu duniani, Anthony Joshua, amefunguliwa mashitaka. Akiwa Nigeria kwa...

DPP awafutia kesi washtakiwa wawili wa kesi ya kuua bila kukusudia

Na Imani Nathaniel, Gazetini MKURUGENZI Mashitaka nchini (DPP), amewafutia kesi washtakiwa wawili kati ya sita waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya kuua bila kukusudia. Waliofutiwa mashtaka na...

Shauri la kuporomoka kwa ghorofa Kariakoo upande wa Jamhuri wakwama nyaraka

Na Imani Nathaniel, Gazetini SHAURI la kuporomoka kwa ghorofa la Kariakoo limekwama kusomewa maelezo ya mashahidi na vielelezo kwa washitakiwa wa kesi ya mauaji bila...

Rais akamatwa, kushitakiwa kwa shutuma za rushwa

SUCRE, Bolivia MWEZI mmoja tu baada ya kutoka madarakani, polisi nchini Bolivia wamemtia nguvuni Rais mstaafu, Luis Arce, ili kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za rushwa. Luis...

Mke wa rais kutupwa jela miaka 15?

SEOUL, Korea ya Kusini WAENDESHA mashitaka wa Korea Kusini wameiomba Mahakama imuhukumu kifungo cha miaka 15 gerezani aliyekuwa mke wa Rais wa zamani, Yoon Suk...

Niffer arudishwa rumande, 20 kesi ya uhaini waachiwa huru

Na Mwandishi Wetu, Gezetini Watuhumiwa 20 kati ya 22 waliokuwa wanashtakiwa kwa makosa ya uhaini wameachiwa huru, huku mfanyabiashara wa vipodozi Jenifer Jovin (26) maarufu...

Watuhumiwa 57 wa uhaini waachiwa huru

Na Mwandishi Wetu MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilemela imewaachia huru watuhumiwa 57 kati 61 wa kesi ya uhaini waliokuwa wakishikiliwa kufuatia  maandamano na matukio ya...

Kijana ahukumiwa jela miaka 30 kwa kubaka mzee wa miaka 80 kichakani

Na Mwandishi Wetu Mahakama ya Wilaya ya Kisarawe, mkoani Pwani, imemhukumu Said Nawanje (20) mkazi wa Yombo Lukinga, wilayani humo, kifungo cha miaka 30 jela...

Sungusungu kwenda jela miaka 60 kwa kumpa mimba mwanafunzi

Na Mwandishi Wetu Mahakama ya Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam imemhukumu Faridi Mohamedi maarufu  Sungusungu  kifungo cha miaka 60 jela, kuchapwa viboko sita...

Recent articles

spot_img