23.6 C
Dar es Salaam

Bungeni

Na Hassan Mwasha,Gazetini KWA mashabiki wa soka wa Tanzania, macho na masikio yao yameelekezwa katika vita mbili kubwa. Ubingwa wa Ligi Kuu Bara na ile ya Ligi Kuu ya England (EPL). Kote huko, tofauti ni pointi mbili tu...
Na Hassan Mwasha, Gazetini KATIKA moja ya nukuu zake maarufu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliwahi kutaja maradhi kuwa ni moja ya maadui watatu wa Taifa hili, akigusia pia umasikini na ujinga. Kwa kulitambua hilo, Serikali ya Awamu ya...

Senegal yakaza kamba kwa wabunge wanaosusia bunge

DAKAL, Senegal BUNGE la Senegal limepitisha sheria mpya inayolenga kudhibiti tabia ya baadhi ya wabunge wanaosusia vikao vya Bunge bila sababu za msingi, hatua ambayo...

Salome: Nyumba 2,512 zimeunganishwa na miundombinu ya gesi asilia

Na Mwandishi Wetu, Gazetini NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba amesema hadi Aprili 2026, jumla ya nyumba 2,512 zimeunganishwa na miundombinu ya gesi asilia katika...

Mbunge ataka shule jumuishi kila mkoa

Na Ramadhan Hassan, Gazetini Mbunge wa Viti Maalum anayewakilisha kundi la watu wenye ulemavu, Nasria Nasri Ally, ameishauri Serikali kujenga shule jumuishi katika kila mkoa...

Rais Ruto kuhutubia Bunge la Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Gazetini RAIS wa Kenya, William Ruto, anatarajiwa kuhutubia Bunge la Tanzania Mei 5, 2026, hotuba itakayofuatliwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa. Akisoma tangazo...

Serikali yakusanya trilioni 26, Ofisi ya Waziri Mkuu yaomba trilioni 12.5 kwa mwaka 2026/2027

Na Mwandishi Wetu, Gazetini WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imekusanya Sh.trilioni 26.63 katika kipindi cha July 2025 hadi February, 2026 kati ya lengo...

Hiki ndicho kilichomuua Lukuvi

Na mwandishi wetu, Gazetini RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, ametangaza kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri...

Bunge lataka Rais apunguziwe kifungo

RIO Brazil BUNGE la Brazil limewasilisha mswada wa kuomba Rais wa zamani wa Taifa hilo, Jair Bolsonaro, kupunguziwa adhabu ya kifungo cha gerezani. Bolsonaro mwenye umri...

Waziri Mkuu mpya kujulikana kesho

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kesho Alhamisi Novemba 13, 2025 katika Kikao cha tatu cha Mkutano wa kwanza wa...

Mbunge kupitia ACT Wazalendo aeleza mtazamo wake bunge la 13

Na Mwandishi Wetu,Gazetini Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini wa Chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu, amesema watanzania wanalitazama kwa umakini mkubwa Bunge la 13...

Rais Samia alitaka Jeshi la Polisi  kukomesha matukio ya watu kupotea, ataja sababu  ongezeko la deni la Taifa

Na Mwandishi Wetu Rais  Samia Suluhu Hassan, ameliagiza  Jeshi la Polisi nchini kuongeza  jitihada katika  kupambana na matukio ya uhalifu, hususan vitendo vya kupotea kwa...

Waziri Mkuu awapongeza watendaji wa Serikali kutekeleza kwa vitendo maono ya Rais Samia

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri mkuu  Kassim Majaliwa amesema kuwa Rais  Samia Suluhu Hassan amekuwa nguzo ya kuimarisha mshikamano na umoja wa kitaifa na kufanikisha maendeleo katika...

Bunge  laridhia marekebisho mpaka wa  Hifadhi ya Nyerere

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Bunge limeridhia ombi la Serikali la kumega sehemu ya Hifadhi ya Taifa ya Nyerere kwa lengo la kutatua migogoro ya mipaka...

Recent articles

spot_img