Ads: info@gazetini.co.tz |
30.2 C
Dar es Salaam

Featured

Iran, Marekani zashambuliana tena

TEHRAN, Iran KWA mara ya kwanza baada ya wiki mbili, Iran na Marekani zimeshambuliana katika Mlango-Bahari wa Hormuz. Kwa mujibu wa taarifa, vikosi vya kijeshi vya...

Watkins: Sikutaka kuondoka Villa

LONDON, Uingereza STRAIKA Ollie Watkins ameeleza masikitiko yake ya kuondoka klabuni hapo, akisema hakupenda kuachana nayo kwa staili hiyo. Watkins (30), amejiunga na Al-Hilal ya Ligi...

Duh! Djokovic ang’olewa US Open

NEW YORK, Marekani STAA wa tenesi raia wa Serbia, Novak Djokovic, ameishia raundi ya kwanza ya michuano ya US Open. Safari yake kwenye michuano hiyo imeishia...

Utata wa kifo, uhai wa Mojtaba Khamenei

TEHRAN, Iran NI miezi sita sasa tangu Mojtaba Khamenei alipoteuliwa kuwa kiongozi mpya wa Iran baada ya baba yake kuuawa katika shambulizi la kwanza lililofanywa...

Mambo 5 kuhusu vita vya Iran, Marekani

WASHINGTON DC, Marekani IKIWA ni miezi sita imepita tangu vilipoanza vita kati ya Iran na Marekani inayoshirikiana na Israel, mambo yamezidi kuwa magumu kwa pande...

Mwandishi aliyemfuata mafichoni Osama bin Laden (3)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya pili ya makala haya, tuliona Osama akihojiwa na Miller akieleza chanzo cha uhusiano wake mbaya na Marekani, ambapo...

Mwandishi aliyemfuata mafichoni Osama bin Laden (2)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya kwanza, tuliona mwandishi wa habari wa Marekani, Miller, akimuuliza Osama kilichomsukuma kuacha utajiri wake na kuingia kwenye uwanja...

Mwandishi aliyemfuata mafichoni Osama bin Laden (1)

Na mwandishi wetu, Gazetini MWANDISHI wa habari wa kituo cha televisheni cha ABC cha Marekani, John Miller, anasimulia mahojiano aliyofanya Mei, 1998, na aliyekuwa kiongozi...

Marais ‘wazee’ waliogoma kuachia madaraka Afrika

Na mwandishi wetu, Gazetini PAUL Biya wa Cameroon ana umri wa miaka 93. Amekuwa Ikulu tangu mwaka 1982 na sasa anatumikia muhula wake wa nane...

Aziz Ki, Mobetto kama mastaa hawa tu

Na Hassan Mwasha, Gazetini MOJA ya ‘kapo’ zenye nguvu na ushawishi mkubwa mitandaoni ni hii ya kiungo wa Yanga raia wa Burkina Faso, Stephanie Aziz...

Safari ngumu ya maisha ya bilionea Cherng

CALIFORNIA, Marekani UNAMFAHAMU Andrew Cherng? Ndiye mmiki wa kampuni maarufu ya Panda Express, ambayo ina migahawa yake mingi katika maeneo mbalimbali duniani. Kwa sasa, Cherng...

Mkataba wa mafuta na Marekani; faida au hasara kwa Venezuela?

WASHINGTON DC, Marekani MAREKANI imeuita kuwa ni ‘mkataba bora zaidi wa mafuta katika historia ya dunia’. Ni mkataba unaoipa Marekani sehemu ya akiba ya mafuta...

Recent articles