TEHRAN, Iran
KWA mara ya kwanza baada ya wiki mbili, Iran na Marekani zimeshambuliana katika Mlango-Bahari wa Hormuz.
Kwa mujibu wa taarifa, vikosi vya kijeshi vya...
LONDON, Uingereza
STRAIKA Ollie Watkins ameeleza masikitiko yake ya kuondoka klabuni hapo, akisema hakupenda kuachana nayo kwa staili hiyo.
Watkins (30), amejiunga na Al-Hilal ya Ligi...
NEW YORK, Marekani
STAA wa tenesi raia wa Serbia, Novak Djokovic, ameishia raundi ya kwanza ya michuano ya US Open.
Safari yake kwenye michuano hiyo imeishia...
TEHRAN, Iran
NI miezi sita sasa tangu Mojtaba Khamenei alipoteuliwa kuwa kiongozi mpya wa Iran baada ya baba yake kuuawa katika shambulizi la kwanza lililofanywa...
WASHINGTON DC, Marekani
IKIWA ni miezi sita imepita tangu vilipoanza vita kati ya Iran na Marekani inayoshirikiana na Israel, mambo yamezidi kuwa magumu kwa pande...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA sehemu ya pili ya makala haya, tuliona Osama akihojiwa na Miller akieleza chanzo cha uhusiano wake mbaya na Marekani, ambapo...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA sehemu ya kwanza, tuliona mwandishi wa habari wa Marekani, Miller, akimuuliza Osama kilichomsukuma kuacha utajiri wake na kuingia kwenye uwanja...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MWANDISHI wa habari wa kituo cha televisheni cha ABC cha Marekani, John Miller, anasimulia mahojiano aliyofanya Mei, 1998, na aliyekuwa kiongozi...
CALIFORNIA, Marekani
UNAMFAHAMU Andrew Cherng? Ndiye mmiki wa kampuni maarufu ya Panda Express, ambayo ina migahawa yake mingi katika maeneo mbalimbali duniani. Kwa sasa, Cherng...
WASHINGTON DC, Marekani
MAREKANI imeuita kuwa ni ‘mkataba bora zaidi wa mafuta katika historia ya dunia’. Ni mkataba unaoipa Marekani sehemu ya akiba ya mafuta...