MUNICH, Ujerumani
BAYERN Munich itakuwa nyumbani kuikaribisha VfB Stuttgart katika mechi ya ufunguzi wa Bundesliga msimu mpya wa 2026-27. Hiyo itakuwa Ijumaa ya Agosti 28,...
MADRID, Hispania
MSIMU mpya wa La Liga (2026-27) utaanza kesho, yaani Jumamosi ya Agosti 15, ambapo Alaves itafungua pazia kwa kuikaribisha Getafe.
Gumzo ni kurejea kwa...
RABAT, Morocco
TIMU ya soka ya Taifa ya Nigeria ya Wanawake 'Super Falcons' haitoshiriki fainali zijazo za Kombe la Dunia zitakazofanyika mwaka 2027.
Super Falcons wamepoteza...
MADRID, Hispania
VIGOGO wa Ligi Kuu ya Hispania (La Liga), Real Madrid, wako mbioni kuwapiga bei mastaa wao wawili, Ferland Mendy na Raul Asencio.
Madrid wamepoteza...
LONDON, Uingereza
ZIPO taarifa zinazodai kuwa Victor Osimhen wa Galatasaray ni miongoni mwa mastraika walio kwenye orodha ya kocha wa Arsenal, Mikel Arteta.
Gazeti la UK...
LONDON, Uingereza
KIUNGO wa zamani wa Chelsea, Ruud Gullit, amemtabiria makubwa Marcus Rashford akisema straika huyo atafanya makubwa msimu ujao (2026-27) wa Ligi Kuu ya...
CAIRO, Misri
RAIS wa Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF), Patrice Motsepe, amesema hakuna namna ya kumng'oa Gianni Infantino ndani ya FIFA zaidi ya kusubiri...
INSTANBUL, Uturuki
KAMA hujawahi kufuatilia Ligi Kuu ya Uturuki, basi hebu jaribu kufanya hivyo msimu ujao (2026-27) kwani kuna uhondo wa 'kufa mtu' kutokana na...