WASHINGTON DC, Marekani
VYOMBO vya habari vya Marekani vimeripoti taarifa inayoashiria kuwapo kwa hali ya kutokuamiana kati ya Taifa hilo na Israel, ambao ni washirika...
WASHINGTON DC, Marekani
JUNI 7, 2026) zilitimia siku 100 tangu Marekani kwa kushirikiana na Israel zilipoanzisha mashambulizi dhidi ya Iran, vita vilivyosababisa kupanda kwa bei...
PYONGYANG, Korea ya Kaskazini
RAIS wa China, Xi Jinping, yuko Korea ya Kaskazini kwa ziara ya siku mbili, Juni 8-9, 2026, ikilenga kutanua mahusiano mazuri...
LONDON, Uingereza
POLISI nchini Uingereza wamewakamata watu watatu wanaohusishwa na tukio la kuuawa kwa staa wa muziki mwenye asili ya Nigeria, Mark Orabiyi.
Orabiyi aliyeuawa akiwa...
BOGOTA, Colombia
RAIS aliyemaliza muda wake nchini Colombia, Gustavo Petro, amemnyooshea kidole Donald Trump wa Marekani kwa hatua yake ya kumuunga mkono mgombea wa urais Abelardo...
TRIPOLI, Libya
WANANCHI wa Libya walioingia barabarani kupinga taarifa za nchi yao kupokea wahamiaji kutoka Marekani wameingia na kufanya vurugu katika ofisi za Umoja wa...
NABATIEH, Lebanon
Pande mbili hizo zimeingia kwenye mapigano ya muda mrefu sasa, hasa tangu Hezbollah ilipoamua kuisaidia Iran ilipoanza kushambuliwa na Marekani na Israel mwanzoni...
KYIV, Ukraine
RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amemuomba mwenzake wa Urusi, Vladimir Putin, wakutane na kuzungumza juu ya kumaliza vita vinavyoendelea kati ya mataifa mawili...
LONDON, Uingereza
KUELEKEA fainali za Kombe la Dunia zitakazoanza Juni 11, 2026, umekuwapo wasiwasi mkubwa juu ya uwezekano wa kutokea kwa mashambulizi ya kigaidi viwanjani.
Michuano...
KYIV, Ukraine
WATU saba wameripotiwa kupoteza maisha na wengine 11 kujeruhiwa baada ya ndege isiyo na rubani (drone) kugonga basi la abiria nchini Ukraine.
Kwa mujibu...
BEIRUT, Lebanon
HIVI karibuni, vikosi vya jeshi la Israel viliitaja kuwa ni mafanikio makubwa hatua ya kuiteka Ngome ya Beaufort iliyoko Lebanon.
Kwamba ni hatua kubwa...