Ads: info@gazetini.co.tz |
22.5 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Uadui unaozaliwa katikati ya urafiki wa Marekani, Israel

WASHINGTON DC, Marekani VYOMBO vya habari vya Marekani vimeripoti taarifa inayoashiria kuwapo kwa hali ya kutokuamiana kati ya Taifa hilo na Israel, ambao ni washirika...

Siku 100 tangu vita vya Marekani, Iran vilipoanza

WASHINGTON DC, Marekani JUNI 7, 2026) zilitimia siku 100 tangu Marekani kwa kushirikiana na Israel zilipoanzisha mashambulizi dhidi ya Iran, vita vilivyosababisa kupanda kwa bei...

Nini nyuma ya pazia ziara ya Xi Jinping nchini Korea Kaskazini?

PYONGYANG, Korea ya Kaskazini RAIS wa China, Xi Jinping, yuko Korea ya Kaskazini kwa ziara ya siku mbili, Juni 8-9, 2026, ikilenga kutanua mahusiano mazuri...

Watatu wakamatwa mauaji ya mwanamuziki

LONDON, Uingereza POLISI nchini Uingereza wamewakamata watu watatu wanaohusishwa na tukio la kuuawa kwa staa wa muziki mwenye asili ya Nigeria, Mark Orabiyi. Orabiyi aliyeuawa akiwa...

Wananchi wa Iran walia vita kupaisha bei ya vyakula

TEHRAN, Iran KUPANDA kwa gharama za maisha ni moja ya changamoto kubwa wanazopitia raia wa Iran kipindi hiki nchi yao ikiwa kwenye vita dhidi ya...

Rais mstaafu Colombia amjia juu Trump

BOGOTA, Colombia RAIS aliyemaliza muda wake nchini Colombia, Gustavo Petro, amemnyooshea kidole Donald Trump wa Marekani kwa hatua yake ya kumuunga mkono mgombea wa urais Abelardo...

Waandamanaji Libya wavamia, wafanya fujo ofisi za UN

TRIPOLI, Libya WANANCHI wa Libya walioingia barabarani kupinga taarifa za nchi yao kupokea wahamiaji kutoka Marekani wameingia na kufanya vurugu katika ofisi za Umoja wa...

Hezbollah yasema haiko tayari kusitisha vita

NABATIEH, Lebanon Pande mbili hizo zimeingia kwenye mapigano ya muda mrefu sasa, hasa tangu Hezbollah ilipoamua kuisaidia Iran ilipoanza kushambuliwa na Marekani na Israel mwanzoni...

Zelensky amuomba Putin wayamalize

KYIV, Ukraine RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amemuomba mwenzake wa Urusi, Vladimir Putin, wakutane na kuzungumza juu ya kumaliza vita vinavyoendelea kati ya mataifa mawili...

Tishio la ugaidi kuelekea Kombe la Dunia 2026

LONDON, Uingereza KUELEKEA fainali za Kombe la Dunia zitakazoanza Juni 11, 2026, umekuwapo wasiwasi mkubwa juu ya uwezekano wa kutokea kwa mashambulizi ya kigaidi viwanjani. Michuano...

Saba wafariki baada ya ‘drone’ kugonga basi la abiria

KYIV, Ukraine WATU saba wameripotiwa kupoteza maisha na wengine 11 kujeruhiwa baada ya ndege isiyo na rubani (drone) kugonga basi la abiria nchini Ukraine. Kwa mujibu...

Israel kuiteka Ngome ya Beaufort kuna maana gani kwa Hezbollah?

BEIRUT, Lebanon HIVI karibuni, vikosi vya jeshi la Israel viliitaja kuwa ni mafanikio makubwa hatua ya kuiteka Ngome ya Beaufort iliyoko Lebanon. Kwamba ni hatua kubwa...

Recent articles