Na mwandishi wetu, Gazetini
YAMEKUWAPO maandamano makubwa nchini Iran, ikikumbukwa kuwa yalianza Desemba 28, 2025 mjini Tehran. Wachambuzi wa siasa wanayataja maandamano hayo kuwa makubwa...
BAMAKO, Mali
KAMA ambavyo Marekani iliweka marufuku kwa raia wa Mali na Burkina Faso kuingia nchini humo, mataifa hayo nayo yamejibu mapigo.
Mali na Burkina Faso...
HONG KONG, China
BINTI wa bilionea Jimmy Lai amesema baba yake anayesota gerezani anakabiliwa na changamoto kubwa ya kiafya, ikiwamo kung'oka meno na kucha.
Lai mwenye...
MOSCOW, Urusi
UMOJA wa Ulaya (EU) umekanusha madai ya Urusi iliyolalamikia ofisi zake za umma kushambuliwa na vikosi vya Ukraine.
Kwa mujibu wa mwanadiplomasia mwandamizi wa...
FLORIDA, Marekani
RAIS wa Marekani Donald Trump na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky wamesema kuna maendeleo makubwa yamepatikana katika mazungumzo ya kumaliza vita vya Ukraine,...
OAXACA, Mexico
TAKRIBAN watu 13 wamefariki dunia na wengine karibu 100 kujeruhiwa baada ya treni ya abiria kuacha njia ya reli katika jimbo la Oaxaca,...
MOSCOW, Urusi
Idadi ya mabilionea nchini Urusi imeongezeka kwa kasi na kufikia kiwango cha juu zaidi, hususan katika kipindi cha vita vya Ukraine. Hata hivyo,...
LAGOS, Nigeria
WATOTO wengine 130 waliokuwa wametekwa na waasi mwezi uliopita nchini Nigeria wameachiwa na kuungana na familia zao.
Ikumbukwe, watoto hao ni miongoni mwa wanafunzi...
KUALA Lumpur, Malaysia
NI wazi sasa Waziri Mkuu wa zamani wa Malaysia, Najib Razak, ataendelea kusota gerezani baada ya Mahakama Kuu kukataa ombi lake la...
Na mwandishi wetu, Gazetini
LICHA ya mataifa mengi duniani kutambua na Serikali zake kuendeshwa kwa misingi ya demokrasia, yapo baadhi yasiyotambua utaratibu huo.
Kwa takwimu za...
Na mwandishi wetu, Gazetini
DUNIA imewahi kushuhudia matukio mengi ya waandamanaji wakipinga viongozi na hata serikali zao pale walipoona mambo hayaendi kama wanavyotaka au walivyotarajia.
Lakini,...
DHAKA, Bangladesh
VURUGU kubwa zimeibuka nchini Bangladesh baada ya kifo cha aliyekuwa kiongozi wa mandamano ya mwaka jana yaliyomng'oa madarakani Waziri Mkuu, Sheikh Hasina.
Sharif Osman...