26 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Nini kiko nyuma ya pazia maandamano Iran?

Na mwandishi wetu, Gazetini YAMEKUWAPO maandamano makubwa nchini Iran, ikikumbukwa kuwa yalianza Desemba 28, 2025 mjini Tehran. Wachambuzi wa siasa wanayataja maandamano hayo kuwa makubwa...

Mali, Burkina Faso ‘zaivimbia’ Marekani

BAMAKO, Mali KAMA ambavyo Marekani iliweka marufuku kwa raia wa Mali na Burkina Faso kuingia nchini humo, mataifa hayo nayo yamejibu mapigo. Mali na Burkina Faso...

Bilionea atajwa kung’oka meno, kucha gerezani

HONG KONG, China BINTI wa bilionea Jimmy Lai amesema baba yake anayesota gerezani anakabiliwa na changamoto kubwa ya kiafya, ikiwamo kung'oka meno na kucha. Lai mwenye...

EU wakanusha Ukraine kuishambulia Urusi

MOSCOW, Urusi UMOJA wa Ulaya (EU) umekanusha madai ya Urusi iliyolalamikia ofisi zake za umma kushambuliwa na vikosi vya Ukraine. Kwa mujibu wa mwanadiplomasia mwandamizi wa...

Trump, Zelensky watangaza maendeleo ya mazungumzo ya amani

FLORIDA, Marekani RAIS wa Marekani Donald Trump na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky wamesema kuna maendeleo makubwa yamepatikana katika mazungumzo ya kumaliza vita vya Ukraine,...

Watu 13 wafariki, zaidi ya 90 wajeruhiwa baada ya treni kuacha njia Mexico

OAXACA, Mexico TAKRIBAN watu 13 wamefariki dunia na wengine karibu 100 kujeruhiwa baada ya treni ya abiria kuacha njia ya reli katika jimbo la Oaxaca,...

Jinsi Putin alivyowadhibiti Oligarchs wa Urusi

MOSCOW, Urusi Idadi ya mabilionea nchini Urusi imeongezeka kwa kasi na kufikia kiwango cha juu zaidi, hususan katika kipindi cha vita vya Ukraine. Hata hivyo,...

Watoto waliotekwa waachiwa

LAGOS, Nigeria WATOTO wengine 130 waliokuwa wametekwa na waasi mwezi uliopita nchini Nigeria wameachiwa na kuungana na familia zao. Ikumbukwe, watoto hao ni miongoni mwa wanafunzi...

Mahakama yataka Waziri Mkuu abaki gerezani

KUALA Lumpur, Malaysia NI wazi sasa Waziri Mkuu wa zamani wa Malaysia, Najib Razak, ataendelea kusota gerezani baada ya Mahakama Kuu kukataa ombi lake la...

Mataifa 7 yasiyotambua demokrasia

Na mwandishi wetu, Gazetini LICHA ya mataifa mengi duniani kutambua na Serikali zake kuendeshwa kwa misingi ya demokrasia, yapo baadhi yasiyotambua utaratibu huo. Kwa takwimu za...

Waandamanaji walichoma moto, wakaula mwili wa Waziri Mkuu

Na mwandishi wetu, Gazetini DUNIA imewahi kushuhudia matukio mengi ya waandamanaji wakipinga viongozi na hata serikali zao pale walipoona mambo hayaendi kama wanavyotaka au walivyotarajia. Lakini,...

Kifo cha kiongozi wa maandamano chazua vurugu Bangladesh

DHAKA, Bangladesh VURUGU kubwa zimeibuka nchini Bangladesh baada ya kifo cha aliyekuwa kiongozi wa mandamano ya mwaka jana yaliyomng'oa madarakani Waziri Mkuu, Sheikh Hasina. Sharif Osman...

Recent articles

spot_img