24.5 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Serikali yamkalia kooni bilionea Chelsea

LONDON, Uingereza SERIKALI ya Uingereza imemtaka mmiliki wa zamani wa Chelsea, Roman Abramovich, kuchagua kati ya kuichangia Ukraine kiasi cha Pauni bilioni 2.5 au kukubali...

Yaliyojiri tuzo za FIFA, Dembele abeba tena

DOHA, Qatar MSHAMBULIAJI wa PSG na timu ya taifa ya Ufaransa, Ousmane Dembele, ameibuka mshindi wa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka huu wa Shirikisho...

Bosi FBI atangaza kujiuzulu

WASHINGTON DC, Marekani MAKAMU Mkurugenzi wa Shirika la Ujasusi la Marekani (FBI), Dan Bongino, amesema atajiuzulu wadhifa huo ifikapo Januari, mwakani. Katika taarifa yake aliyochapisha katika...

Australia kudhibiti zaidi umiliki wa silaha

CANBERRA, Australia SERIKALI ya Australia imepanga kukazia zaidi sheria zinazopiga marufuku umiliki wa silaha za moto kwa wananchi wake. Hatua hiyo inakuja baada ya shambulizi la...

Bayern hesabu zote kwa Fernandes

MUNICH, Ujerumani VIGOGO wa soka la Ujerumani, Bayern Munich, wanavutiwa na mpango wa kumsajili nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandes. Fernandes mwenye umri wa miaka 31,...

Dj auawa kwa kupigwa risasi

JOHANNESBURG, Afrika Kusini DJ maarufu wa Afrika Kusini, Warrick Stock, akifahamika zaidi kwa jina 'DJ Warras', ameuawa kwa kupigwa risasi mjini Johannesburg. Polisi wamesema Dj Warras...

Takwimu zinazomkaba kocha Spurs

LONDON, Uingereza MATOKEO ya kufungwa mabao 3-0 na Nottingham Forest katika mchezo uliopita yameifanya Tottenham kushika nafasi ya 11 kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya...

Ban Ki-moon: Ni wakati wa mageuzi UN kutatua migogoro ya Dunia

NEW YORK, Marekani TASWIRA iliyojitokeza jijini New York, ndani ya Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, inakumbusha nyakati ambazo hazijapita sana, lakini ambazo sasa zinajionyesha...

Trump aomba mwanaharakati aachiwe

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amemtaka mwenzake wa China, Xi Jinping, kumwachia huru mwanaharakati wa demokrasia mjini Hong Kong, Jimmy Lai. Lai, ambaye...

Jimmy Lai; Mwanaharakati, bilionea anayesubiri kifungo cha maisha

BEIJING, China MWANAHARAKATI wa demokrasia wa Hong Kong, Jimmy Lai, atahukumiwa kifungo cha maisha gerezani endapo atakutwa na hatia katika mashitaka yanayomkabili. Lai (78), anashutumiwa kwa...

Miji inayoongoza kwa mishahara minono duniani

Na mwandishi wetu, Gazetini UTAFITI wa Deutsche Bank umefuatilia maisha ya miji 69 duniani na kubaini tofauti iliyopo katika mishahara wanayolipwa wafanyakazi kila mwezi. Aidha,...

Dhana potofu juu ya saratani ya mapafu

Na mwandishi wetu, Gazetini SARATANI ya mapafu ni miongoni mwa magonjwa tishio ulimwenguni, ukitajwa kusababisha vifo zaidi ya milioni 1.8 kwa mwaka. Takwimu hizo ni za...

Recent articles

spot_img