LONDON, Uingereza
SERIKALI ya Uingereza imemtaka mmiliki wa zamani wa Chelsea, Roman Abramovich, kuchagua kati ya kuichangia Ukraine kiasi cha Pauni bilioni 2.5 au kukubali...
WASHINGTON DC, Marekani
MAKAMU Mkurugenzi wa Shirika la Ujasusi la Marekani (FBI), Dan Bongino, amesema atajiuzulu wadhifa huo ifikapo Januari, mwakani.
Katika taarifa yake aliyochapisha katika...
CANBERRA, Australia
SERIKALI ya Australia imepanga kukazia zaidi sheria zinazopiga marufuku umiliki wa silaha za moto kwa wananchi wake.
Hatua hiyo inakuja baada ya shambulizi la...
MUNICH, Ujerumani
VIGOGO wa soka la Ujerumani, Bayern Munich, wanavutiwa na mpango wa kumsajili nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandes.
Fernandes mwenye umri wa miaka 31,...
JOHANNESBURG, Afrika Kusini
DJ maarufu wa Afrika Kusini, Warrick Stock, akifahamika zaidi kwa jina 'DJ Warras', ameuawa kwa kupigwa risasi mjini Johannesburg.
Polisi wamesema Dj Warras...
LONDON, Uingereza
MATOKEO ya kufungwa mabao 3-0 na Nottingham Forest katika mchezo uliopita yameifanya Tottenham kushika nafasi ya 11 kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya...
NEW YORK, Marekani
TASWIRA iliyojitokeza jijini New York, ndani ya Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, inakumbusha nyakati ambazo hazijapita sana, lakini ambazo sasa zinajionyesha...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump, amemtaka mwenzake wa China, Xi Jinping, kumwachia huru mwanaharakati wa demokrasia mjini Hong Kong, Jimmy Lai.
Lai, ambaye...
BEIJING, China
MWANAHARAKATI wa demokrasia wa Hong Kong, Jimmy Lai, atahukumiwa kifungo cha maisha gerezani endapo atakutwa na hatia katika mashitaka yanayomkabili.
Lai (78), anashutumiwa kwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
UTAFITI wa Deutsche Bank umefuatilia maisha ya miji 69 duniani na kubaini tofauti iliyopo katika mishahara wanayolipwa wafanyakazi kila mwezi. Aidha,...
Na mwandishi wetu, Gazetini
SARATANI ya mapafu ni miongoni mwa magonjwa tishio ulimwenguni, ukitajwa kusababisha vifo zaidi ya milioni 1.8 kwa mwaka.
Takwimu hizo ni za...