26 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Baada ya Venezuela, mataifa haya hatarini kuvamiwa na Marekani

Na mwandishi wetu, Gazetini TANGU aliporejea madarakani kwa awamu yake ya pili, Rais Donald Trump amekuwa na sera zake ngumu dhidi ya mataifa ya kigeni....

Delcy Rodríguez aapishwa rais wa mpito, aitaka Marekani imwachilie Maduro

CARACAS, Venezuela DELCY Rodríguez ameapishwa kuwa rais wa mpito wa Venezuela katika kikao cha Bunge kilichoanza kwa wito wa kumwachilia huru rais aliyeondolewa madarakani na...

Trump hajapoa! Asisitiza: ‘Tunaitaka Greenland’

NEW YORK, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amependekeza kwa mara nyingine mpango wa kuichukua Greenland, hatua iliyozua mvutano wa kidiplomasia baada ya uongozi wa...

Siku 34 za msako wa Maduro, hatimaye Marekani imemtia mkononi

WASHINGTON DC, Marekani BAADA ya miezi mingi ya Marekani kuzishambulia kwa risasi na mabonu boti za Venezuela kwa madai ya kusafirisha dawa za kulevya, hatimaye...

Tembo aliyekuwa balozi wa bia afariki

MOMBASA, Kenya TEMBO maarufu nchini Kenya amefariki akiwa na umri wa miaka 54, akikumbukwa kwa heshima aliyokuwa nayo ya ubalozi wa kampuni ya bia ya...

Iran: Hatuogopi, Marekani isitutishe

TEHRAN, Iran WAZIRI wa Mambo ya Nje ya Iran, Abbas Araghchi, ameitaka Marekani kuacha kusitishia nchi yake akisema vitisho pekee havitoshi. Hivi karibuni, Rais wa Marekani,...

Wakazi Venezuela wakimbilia madukani baada ya Maduro kukamatwa

CARACAS, Venezuela  SAA chache baada ya Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, kukamatwa, Jumamosi Januari 3, 2026, na majeshi ya Marekani, wakazi wa mji mkuu Caracas...

Marekani yaishambulia Venezuela, yamdaka Maduro

WASHINGTON DC, Marekani RAIS Donald Trump amethibitisha kuwa wanajeshi wake wameishambulia Venezuela na kumkamata kiongozi wa Taifa hilo, Nicolas Maduro. Wakati huo huo, Rais Trump amedai...

Trump atishia kuivamia Iran

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameionya Iran akiiambia ataingilia kati, ikiwamo kuivamia kijeshi, endapo itaendelea kuua waandamanaji. Watu nane wameripotiwa kupoteza maisha kwa...

Tetemeko la ardhi laua watu wawili Mexico

MEXICO CITY, Mexico WATU wawili wameripotiwa kupoteza maisha kutokana na tetemeko la ardhi lililotokea Kusini mwa Mexico jana Januari 2, 2026. Kwa mujibu wa kile kikichoelezwa...

Trump: Niko fiti, umri namba tu

WASHINGTON DC, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, hababaishwi na taarifa zinazodai kuwa afya yake haiko madhubuti kwa sasa, ikichagizwa na umri mkubwa alionao. Akiwa na...

Rais Taiwan aitangazia vita China

TAIPEI, Taiwan KATIKA salamu zake za Mwaka Mpya wa 2026, Rais wa Taiwan, Lai Ching-te, amejiapiza kuilinda nchi yake dhidi ya uvamizi wa China. China imekuwa...

Recent articles

spot_img