Ads: info@gazetini.co.tz |
30.2 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Arsenal yabeba Ngao ya Jamii ikiitandika Man City

CARDIFF, Wales WASHIKA Bunduki wa London, Arsenal, wametwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Manchester City. Mechi hiyo ya...

Idi Amin; Utata wa ‘birthday’, usaliti, na udikteta wake (3)

Na mwandishi wetu, Gazetini HISTORIA inakumbusha, kwamba kwa amri ya Obote, Idi Amin aliongoza jeshi kuvamia makazi ya Kabaka, vurugu zilizosababisha vifo vya raia zaidi...

Idi Amin; Utata wa ‘birthday’, usaliti, na udikteta wake (2)

Na mwandishi wetu, Gazetini MWAKA 1932, wakati huo Idi Amin akiwa na umri wa miaka minne, kaka na dada yake walifariki. Ni kipindi hicho pia,...

Idi Amin; Utata wa ‘birthday’, usaliti, na udikteta wake (1)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA siasa za Afrika na dunia kwa ujumla, Idi Amin ni mfano mzuri wa marais walioamua kuipuuza misingi ya demokrasia na...

Miaka mitano ya utawala wa Taliban nchini Afghanistan

KABUL, Afghanistan KWA wananchi wa Afghanistan, miaka mitano ya utawala wa Kundi la Taliban imekuwa ya mafanikio makubwa katika kurejesha amani nchini humo. Hata hivyo, wanalitaka...

Torres apewa jezi yake PSG

PARIS, Ufaransa PSG imekamilisha usajili wa mshambuliaji kutoka Barcelona, Ferran Torres, na kumkabidhi jezi namba 9 klabuni hapo. Mhispania huyo mwenye umri wa miaka 26, amesaini...

Tetemeko la ardhi laua watu 47 Indonesia

JAKARTA, Indonesia WATU takribani 47 wameripotiwa kupoteza maisha katika tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 7.7 lililotokea asubuhi ya leo Agosti 15, 2026, nchini Indonesia. Kupitia...

Mkwe wa Jux azua mjadala mitandaoni

LAGOS, Nigeria ANAITWA Iyabo Ojo. Ni mwigizaji maarufu nchini Nigeria na mama mzazi wa bibiye Priscilla, ambaye ni mke wa staa wa Bongo Fleva, Juma...

Iran yasema bado inadhibiti Hormuz

TEHRAN, Iran HATIMAYE Serikali ya Iran imeibuka na ujumbe wa kusisitiza kuwa bado ndiyo inayodhibiti safari zote za meli katika Mlango-Bahari wa Hormuz. Kuibuka kwa Iran...

Arsenal, Man City nani kubeba Ngao ya Jamii kesho?

LONDON, Uingereza ARSENAL na Manchester City zitakwana kesho Agosti 16, 2026, mchezo wa Ngao ya Jamii utakaochezwa katika Uwanja wa Principality mjini Cardiff, Wales. Ni mchezo...

Ni Cameroon, Malawi fainali WAFCON 2026

RABAT, Morocco MSIMU huu wa fainali za Mataifa ya Afrika kwa soka la Wanawake utafikia ukomo Jumapili hii, yaani Agosti 16, 2026. Michuano hiyo inafanyika...

Mambo ni moto msimu mpya Ligi Kuu za Ulaya: Ligue 1

PARIS, Ufaransa MECHI ya kwanza ya Ligi Kuu hiyo ya Ufaransa kwa msimu wa 2026-27 itachezwa Ijumaa ya Agosti 21, 2026. Marseille watakuwa nyumbani kuivaa...

Recent articles