CARDIFF, Wales
WASHIKA Bunduki wa London, Arsenal, wametwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Manchester City.
Mechi hiyo ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
HISTORIA inakumbusha, kwamba kwa amri ya Obote, Idi Amin aliongoza jeshi kuvamia makazi ya Kabaka, vurugu zilizosababisha vifo vya raia zaidi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA siasa za Afrika na dunia kwa ujumla, Idi Amin ni mfano mzuri wa marais walioamua kuipuuza misingi ya demokrasia na...
KABUL, Afghanistan
KWA wananchi wa Afghanistan, miaka mitano ya utawala wa Kundi la Taliban imekuwa ya mafanikio makubwa katika kurejesha amani nchini humo.
Hata hivyo, wanalitaka...
PARIS, Ufaransa
PSG imekamilisha usajili wa mshambuliaji kutoka Barcelona, Ferran Torres, na kumkabidhi jezi namba 9 klabuni hapo.
Mhispania huyo mwenye umri wa miaka 26, amesaini...
JAKARTA, Indonesia
WATU takribani 47 wameripotiwa kupoteza maisha katika tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 7.7 lililotokea asubuhi ya leo Agosti 15, 2026, nchini Indonesia.
Kupitia...
TEHRAN, Iran
HATIMAYE Serikali ya Iran imeibuka na ujumbe wa kusisitiza kuwa bado ndiyo inayodhibiti safari zote za meli katika Mlango-Bahari wa Hormuz.
Kuibuka kwa Iran...
LONDON, Uingereza
ARSENAL na Manchester City zitakwana kesho Agosti 16, 2026, mchezo wa Ngao ya Jamii utakaochezwa katika Uwanja wa Principality mjini Cardiff, Wales.
Ni mchezo...
RABAT, Morocco
MSIMU huu wa fainali za Mataifa ya Afrika kwa soka la Wanawake utafikia ukomo Jumapili hii, yaani Agosti 16, 2026. Michuano hiyo inafanyika...
PARIS, Ufaransa
MECHI ya kwanza ya Ligi Kuu hiyo ya Ufaransa kwa msimu wa 2026-27 itachezwa Ijumaa ya Agosti 21, 2026. Marseille watakuwa nyumbani kuivaa...