Na mwandishi wetu, Gazetini
TANGU aliporejea madarakani kwa awamu yake ya pili, Rais Donald Trump amekuwa na sera zake ngumu dhidi ya mataifa ya kigeni....
CARACAS, Venezuela
DELCY Rodríguez ameapishwa kuwa rais wa mpito wa Venezuela katika kikao cha Bunge kilichoanza kwa wito wa kumwachilia huru rais aliyeondolewa madarakani na...
NEW YORK, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump, amependekeza kwa mara nyingine mpango wa kuichukua Greenland, hatua iliyozua mvutano wa kidiplomasia baada ya uongozi wa...
WASHINGTON DC, Marekani
BAADA ya miezi mingi ya Marekani kuzishambulia kwa risasi na mabonu boti za Venezuela kwa madai ya kusafirisha dawa za kulevya, hatimaye...
MOMBASA, Kenya
TEMBO maarufu nchini Kenya amefariki akiwa na umri wa miaka 54, akikumbukwa kwa heshima aliyokuwa nayo ya ubalozi wa kampuni ya bia ya...
TEHRAN, Iran
WAZIRI wa Mambo ya Nje ya Iran, Abbas Araghchi, ameitaka Marekani kuacha kusitishia nchi yake akisema vitisho pekee havitoshi.
Hivi karibuni, Rais wa Marekani,...
CARACAS, Venezuela
SAA chache baada ya Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, kukamatwa, Jumamosi Januari 3, 2026, na majeshi ya Marekani, wakazi wa mji mkuu Caracas...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS Donald Trump amethibitisha kuwa wanajeshi wake wameishambulia Venezuela na kumkamata kiongozi wa Taifa hilo, Nicolas Maduro.
Wakati huo huo, Rais Trump amedai...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameionya Iran akiiambia ataingilia kati, ikiwamo kuivamia kijeshi, endapo itaendelea kuua waandamanaji.
Watu nane wameripotiwa kupoteza maisha kwa...
MEXICO CITY, Mexico
WATU wawili wameripotiwa kupoteza maisha kutokana na tetemeko la ardhi lililotokea Kusini mwa Mexico jana Januari 2, 2026.
Kwa mujibu wa kile kikichoelezwa...
WASHINGTON DC, Marekani
RAIS wa Marekani, Donald Trump, hababaishwi na taarifa zinazodai kuwa afya yake haiko madhubuti kwa sasa, ikichagizwa na umri mkubwa alionao.
Akiwa na...
TAIPEI, Taiwan
KATIKA salamu zake za Mwaka Mpya wa 2026, Rais wa Taiwan, Lai Ching-te, amejiapiza kuilinda nchi yake dhidi ya uvamizi wa China.
China imekuwa...