LOS ANGELES, Marekani
MWANAMUZIKI ambaye pia ni mshindi mara tano wa tuzo za Grammy, Mariah Carey, atakuwa miongoni mwa watumbuizaji wakati wa hafla ya ufunguzi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MSANII wa Bongo Fleva anayefanya kazi zake nchini Afrika Kusini, Mau Music, ameendelea kutamba mitandaoni na kwenye majukwaa ya muziki baada...
LAGOS, NigeriaZIPO taarifa zinazodai kuwa kwa sasa mama mzazi hataendelea kuwa meneja wa staa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy.Minong'ono ya Burna Boy kumsitishia...
Na Mwandishi Wetu
Mexico imeibuka mshindi wa taji la Miss Universe 2025 kupitia mrembo wake Fatima Bosch, mwenye umri wa miaka 24.Fatima, anafahamika kwa uthubutu wake...
Na Mwandishi Wetu
Mchekeshaji na mshereheshaji maarufu nchini, Emmanuel Mathias 'MC Pilipili' amefariki dunia leo, Novemba 16, 2025.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma,...
LAGOS, Nigeria
KAMA ilivyo duniani kote, tasnia ya burudani, likiwamo soko la muziki, imeendelea kuwa chanzo kikubwa cha utajiri kwa mastaa nchini Nigeria. Kwa wanamuziki,...
Na MWANDISHI WETU
MWIMBAJI anayekuja kwa kasi kwenye muziki wa Injili nchini Kongo, Nana Miriam ameachia kionjo cha wimbo mpya, C'est Jésus, alioshirikiana na Sylvain...
LOS ANGELES, MarekaniMWAKA 2018, staa wa muziki wa Hip hop nchini Marekani, Drake, alitikisa vichwa vya habari za burudani zilipoibuka taarifa kuwa ametelekeza mtoto.Nyota...
Na Mwandishi Wetu, Gazetini
MSANII wa kizazi kipya mwenye makazi yake Atlanta, Marekani, Dogo Red, ametamba kutikisa Afrika Mashariki na video ya wimbo Vanessa aliowashirikisha...
LOS ANGELES, MarekaniMWANAMUZIKI maarufu nchini Marekani, Sean Kingston, amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu na nusu gerezani katika kesi yake ya wizi.Kingston, pamoja na mama...