Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA chapisho lililopita, ambalo ni sehemu ya kwanza ya Simulizi ya maisha ya gwiji wa muziki wa Reggae, Bob Marley, tuliona...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MIAKA ya hivi karibuni imeshuhudia migogoro mingi ya wanamuziki wa Bongo Fleva na mabosi wa lebo zao.
Mfano wa hivi karibuni ni...
Na mwandishi wetu, Gazetini
NI rahisi kuona watu wakikuwekea chuki na wivu kwa vile tu umefanikiwa, bila kujua umepitia shida nyingi kufika hapo ulipo. Wanachukulia...
KINSHASA, DRC
BAADA ya miaka 20 ya kuwa kwenye mahusiano, hatimaye lejendari wa muziki nchini DRC, Koffi Olomide, amefunga ndoa na Cindy Le Coeur
Koffi ana...
LOS ANGELES, Marekani
BIBIYE mwenye jina na mafanikio makubwa katika muziki wa Pop duniani, Britney Spears, kwa sasa hamiliki haki zozote za kazi alizofanya baada...
LAGOS, Nigeria
STAA wa Afrobeat, Wizkid, amemjibu mkongwe wa muziki huo, 2Baba, akimwita 'babu' kutokana na maoni yake ya hivi karibuni.
2Baba aliulizwa maoni yake juu...
LAGOS, Nigeria
JINA alilopewa na wazazi wake ni David Adedeji Adeleke, ingawa mashabiki wa sanaa ya muziki wanamfahamu kwa jina la Davido.
Tofauti na wanamuziki wengi,...
LOS ANGELES, Marekani
STORI inayobamba kwa sasa kwenye tasnia ya burudani nchini Marekani ni hii ya mrembo Kim Kardashian kuanika penzi lake jipya na staa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KUTOKA mitaani, majukwaani, hadi mbele ya kamera na sasa wamejijengea heshima kubwa kupitia sanaa ya uchekeshaji ndani ya Bongo.
Hata hivyo, wapo...
Na mwandishi wetu, Gazetini
HISTORIA ya maisha ya Bob Nesta Marley ina mengi ya kusisimua, ikiwa ni safari iliyoanzia Februari 6, 1945 na kufikia tamati...