Ads: info@gazetini.co.tz |
22.3 C
Dar es Salaam

Burudani

Mrembo aliyekaribia kuvunja ndoa ya Jay Z, Beyonce

LOS ANGELES, Marekani RAPA Jay Z na staa wa Malkia wa muziki wa R&B na Pop, Beyonce Knowles, ni moja ya 'kapo' za muda mrefu...

Rema afunguka sababu ya kumkimbia mpenzi wake

LAGOS, Nigeria MWANAMUZIKI wa Afrobeats, Divine Ikubor, maarufu kwa jina la Rema, amesema mpenzi wake alikuwa mkorofi na msumbufu, hivyo akaamua kuachana naye na kubaki...

Davido: Wasanii simameni na wananchi, siyo wanasiasa

LAGOS, Nigeria SUPASTAA wa muziki wa Afrobeats, David Adeleke, maarufu Davido, amekiri kuwa wasanii, akiwamo yeye, hawajafanya vya kutosha kusimama na wananchi katika changamoto zinazowakabili. Wakati...

Eminem; Kutoka maisha magumu mtaani hadi ustaa

LOS ANGELES, Marekani ANAITWA Marshall Bruce Mathers III lakini mashabiki wake wanamfahamu kwa jina la Eminem, ambaye ni mmoja ya mastaa wakubwa na wa muda...

Búlamu ya Sela Mulonda yazidi kupeta

Na Christopher Msekena, Gazetini MSANII wa muziki wa Injili anayeishi Ireland, Sela Mulonda, amewashukuru mashabiki kwa mapokezi makubwa wimbo wake mpya ya Búlamu. Sela Mulonda mwenye...

Miaka 17 baada ya kifo, filamu ‘yamrudisha’ Michael Jackson

LOS ANGELES, Marekani NI miaka 17 imepita tangu staa wa muziki wa Pop, Michael Jackson, alipofariki Juni 25, 2009, lakini sasa ni kama amezaliwa upya...

50 Cent, Diddy uadui wao tangu kitambo!

LOS ANGELES, Marekani SIO jambo geni kwamba mastaa wa Hip hop nchini Marekani, Curtis Jackson '50 Cent' na Sean Combs 'Diddy', wamekuwa kwenye uhusiano mbaya...

Lil Wayne anasa kwa ‘kitoto cha 2000’

LOS ANGELES, Marekani BAADA ya Lil Wayne kuachana na mpenzi wake wa muda mrefu, Denise Bidot, staa huyo wa muziki wa Hip hop ameripotiwa kuangukia...

Staa Nigeria afunguka kuvuta bangi za Mil. 630/-

LAGOS, Nigeria MWANAMUZIKI wa Afrobeats nchini Nigeria, Ice Prince Zamani, amedai kuwa alitumia Naira milioni 340 (zaidi ya Sh mil. 630 za Tanzania) kununua bangi. Akihojiwa...

Mjadala wa nani mkali kati ya Tupac, Eminem unavyokosa majibu

DETROIT, Marekani NI miaka zaidi ya 30 tangu Tupac Shakur alipofariki. Ni miaka zaidi ya hiyo tangu Eminem alipoanza kuwika katika soko la muziki wa...

Israel kumpokea Kanye West?

LOS ANGELES, Marekani RAPA asiyeishiwa matukio, Kanye West, anaendelea na ziara yake ya muziki katika maeneo mbalimbali duniani na sasa amepanga kuibukia Israel. Kanye anaendeleza ziara...

Heavenly Voice Gospel Band kuwafikia mashabiki

Na Mwandishi Wetu Heavenly Voice Gospel ambayo ni bendi ya muziki wa injili yenye maskani yake Marekani, imesema imeandaa nyimbo nyingi za kuwabariki mashabiki duniani...

Recent articles