29.2 C
Dar es Salaam

Burudani

Burna Boy amemfuta kazi mama yake?

LAGOS, NigeriaZIPO taarifa zinazodai kuwa kwa sasa mama mzazi hataendelea kuwa meneja wa staa wa muziki wa Afrobeat, Burna Boy.Minong'ono ya Burna Boy kumsitishia...

Mexico yatwaa taji la Miss Universe 2025, Ivory Coast namba tano

Na Mwandishi Wetu Mexico imeibuka mshindi wa taji la Miss Universe 2025 kupitia mrembo wake Fatima Bosch, mwenye umri wa miaka 24.Fatima, anafahamika kwa uthubutu wake...

MC Pilipili afariki dunia

Na Mwandishi Wetu Mchekeshaji na mshereheshaji maarufu nchini, Emmanuel Mathias 'MC Pilipili' amefariki dunia leo, Novemba 16, 2025. Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya  Mkoa wa Dodoma,...

Mastaa wa muziki Nigeria tishio pesa za shoo

LAGOS, Nigeria KAMA ilivyo duniani kote, tasnia ya burudani, likiwamo soko la muziki, imeendelea kuwa chanzo kikubwa cha utajiri kwa mastaa nchini Nigeria. Kwa wanamuziki,...

Nana Miriam awaonjesha mashabiki ‘C’est Jesus’

Na MWANDISHI WETU MWIMBAJI anayekuja kwa kasi kwenye muziki wa Injili nchini Kongo, Nana Miriam ameachia kionjo cha wimbo mpya, C'est Jésus, alioshirikiana na Sylvain...

Drake na mastaa wengine waliokataa watoto

LOS ANGELES, MarekaniMWAKA 2018, staa wa muziki wa Hip hop nchini Marekani, Drake, alitikisa vichwa vya habari za burudani zilipoibuka taarifa kuwa ametelekeza mtoto.Nyota...

P. Diddy rasmi ahukumiwa miaka minne gerezani

LOS ANGELES, MarekaniHATIMAYE staa wa muziki wa Hip hop, Sean Combs 'P. Diddy', atatumikia kifungo cha miezi 50 gerezani, sawa na miaka minne na...

Dogo Red, Wiz Designer kutikisa Afrika Mashariki

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MSANII wa kizazi kipya mwenye makazi yake Atlanta, Marekani, Dogo Red, ametamba kutikisa Afrika Mashariki na video ya wimbo Vanessa aliowashirikisha...

Staa Marekani jela kwa wizi wa TV

LOS ANGELES, MarekaniMWANAMUZIKI maarufu nchini Marekani, Sean Kingston, amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu na nusu gerezani katika kesi yake ya wizi.Kingston, pamoja na mama...

‘Met You’ ya Director P yapenya Afrika

Na Mwandishi Wetu Mwimbaji na mwandaaji wa filamu mwenye asili ya Zambia na DR Congo anayeishi nchini Canada, Director P, amesema nyimbo yake mpya...

Shetta ashinda kura za maoni Mchikichini

Na Mwandishi Wetu Msanii Nurdin Bilal maarufu Shetta, ameshinda kwenye kura za maoni ya kugombea udiwani Kata ya Mchikichini, Ilala, Dar es Salaam kupitia CCM. Katika...

Maajabu ya Betty Malange yazidi kupaa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mwimbaji anayekuja kwa juu kwenye muziki wa Injili nchini, Betty Malange, amewashukuru mashabiki kwa mapokezi makubwa ya wimbo wake unaoitwa...

Recent articles

spot_img