LAGOS, Nigeria
JINA alilopewa na wazazi wake ni David Adedeji Adeleke, ingawa mashabiki wa sanaa ya muziki wanamfahamu kwa jina la Davido.
Tofauti na wanamuziki wengi,...
LOS ANGELES, Marekani
STORI inayobamba kwa sasa kwenye tasnia ya burudani nchini Marekani ni hii ya mrembo Kim Kardashian kuanika penzi lake jipya na staa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KUTOKA mitaani, majukwaani, hadi mbele ya kamera na sasa wamejijengea heshima kubwa kupitia sanaa ya uchekeshaji ndani ya Bongo.
Hata hivyo, wapo...
Na mwandishi wetu, Gazetini
HISTORIA ya maisha ya Bob Nesta Marley ina mengi ya kusisimua, ikiwa ni safari iliyoanzia Februari 6, 1945 na kufikia tamati...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MSANII wa muziki nchini Rwanda, Bruce Melodie ametoa kibao kikali kinachokwenda kwa jina la POM POM.
Katika wimbo huo, Bruce Melodie amepiga...
LAGOS, Nigeria
POLISI wanamshikilia mtu mmoja, huku wakiendelea na uchunguzi juu ya kifo cha mwanamuzi wa Nigeria, Destiny Boy.
Destiny Boy, ambaye jina lake halisi ni...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WASANII wa muziki wa Nigeria wamezibeba kwa wingi tuzo za Afrima, ambazo hafla yake ilifanyika Januari 11, 2026.
Wakati huo huo, usiku...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MWAKA 2025 tayari umemalizika, huku ukiacha kumbukumhu nzuri katika tasnia ya burudani duniani kote.
Kwa upande mwingine, kumbukumhu hizo ni pamoja na...
JOHANNESBURG, Afrika Kusini
DJ maarufu wa Afrika Kusini, Warrick Stock, akifahamika zaidi kwa jina 'DJ Warras', ameuawa kwa kupigwa risasi mjini Johannesburg.
Polisi wamesema Dj Warras...
LOS ANGELES, Marekani
MWANAMUZIKI ambaye pia ni mshindi mara tano wa tuzo za Grammy, Mariah Carey, atakuwa miongoni mwa watumbuizaji wakati wa hafla ya ufunguzi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MSANII wa Bongo Fleva anayefanya kazi zake nchini Afrika Kusini, Mau Music, ameendelea kutamba mitandaoni na kwenye majukwaa ya muziki baada...