Ads: info@gazetini.co.tz |
22.3 C
Dar es Salaam

Burudani

Dunia haijasahau urafiki, uadui wa Dr. Dre, Eazy E

LOS ANGELES, Marekani MOJA ya makundi yaliyoacha katika mapinduzi ya muziki wa Hip hop nchini Marekani na duniani kwa ujumla ni N.W.A lililoasisiwa mwishoni mwa...

Siku 365 tangu Singeli ilipopewa ‘ushujaa’

Na mwandishi wetu, Gazetini FEBRUARI 19, 2025, aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wakati huo, Palamaganda Kabudi, alisema Serikali imeamua kuutambua rasmi muziki...

Ndoa ya Taylor Swift inavyoitikisa Marekani

LOS ANGELES, Marekani GUMZO kubwa katika tasnia ya burudani nchini Marekani ni ndoa ya bibiye Taylor Swift na mpenzi wake, Travis Kelce, huku mashabiki wa...

Watatu wakamatwa mauaji ya mwanamuziki

LONDON, Uingereza POLISI nchini Uingereza wamewakamata watu watatu wanaohusishwa na tukio la kuuawa kwa staa wa muziki mwenye asili ya Nigeria, Mark Orabiyi. Orabiyi aliyeuawa akiwa...

Akataa Michael Jackson kuitwa Mfalme wa Pop

ACCRA, Ghana WAKATI dunia ikitambua kuwa Michael Jackson (sasa marehemu) ndiye 'King of Pop', ameibuka msanii mwingine mwenye mtazamo tofauti. Ndiyo, nyota wa muziki nchini Marekani,...

Mel B kuirudisha Spice Girls miaka 30 ya ngoma yao

LOS ANGELES, Marekani MEMBA wa Kundi la Spice Girls, Mel B, amesema watafanya jambo kwa ajili ya kumbukizi ya miaka 30 ya wimbo wao uliowahi...

Shakira afunguka alivyoachana na Pique

MADRID, Hispania MWANAMUZIKI maarufu wa Pop raia wa Colombia, Shakira, ameeleza alivyopitia wakati mgumu baada ya kuachana na mwanasoka Gerrard Pique mwaka 2022. Katika mahojiano ya...

Akon: Wanamuziki wana majina, hawana pesa

LOS ANGELES, Marekani SUPASTAA wa muziki raia wa Marekani mwenye asili ya Senegal, Akon, amesema wasanii wengi wa sanaa hiyo wana majina makubwa lakini hawana...

Maisha ya Diddy gerezani yanasikitisha, rufaa bado kizungumkuti

LOS ANGELES, Marekani TIMU ya mawakili wa Sean Combs 'Diddy' inapambana kupinga hukumu aliyopewa rapa huyo anayeendelea kusota gerezani tangu Oktoba, 2025, akitumikia kifungo cha...

Staa Nigeria apoteza uwezo wa kuona

LAGOS, Nigeria MWANAMUZIKI maarufu wa Nigeria, Remi Aluko, amefichua kuwa macho yake yamepoteza uwezo wa kuona. Katika mahojiano yake na kituo cha runinga cha Oyinmomo, amesema...

Mr Flavour: Siwezi kutulia na mwanamke mmoja

LAGOS, Nigeria STAA wa muziki nchini Nigeria, Chinedu Okoli, maarufu kwa jina la Mr Flavour, ameweka wazi kuwa ni ngumu kwake kuwa kwenye mahusiano na...

Mke wa Paul wa P-Square afunguka, asema hakufuata pesa

LAGOS, Nigeria IVY Ifeoma ambaye ni mke wa pacha wa P-Square, Paul Okoye, amesema hakufuata pesa kwa staa huyo wa muziki. Ifeoma ameyasema hayo, huku akiwataka...

Recent articles