29.2 C
Dar es Salaam

Burudani

Davido; ‘Mtoto wa kishua’ aliyeacha shule kisa muziki

LAGOS, Nigeria JINA alilopewa na wazazi wake ni David Adedeji Adeleke, ingawa mashabiki wa sanaa ya muziki wanamfahamu kwa jina la Davido. Tofauti na wanamuziki wengi,...

Kim Kardashian na wanaume 14 aliotoka nao kimapenzi

LOS ANGELES, Marekani STORI inayobamba kwa sasa kwenye tasnia ya burudani nchini Marekani ni hii ya mrembo Kim Kardashian kuanika penzi lake jipya na staa...

‘Pacha’ za wachekeshaji zilizotamba Bongo

Na mwandishi wetu, Gazetini KUTOKA mitaani, majukwaani, hadi mbele ya kamera na sasa wamejijengea heshima kubwa kupitia sanaa ya uchekeshaji ndani ya Bongo. Hata hivyo, wapo...

Mashabiki milioni 10 wamkimbia Beyonce

LOS ANGELES, Marekani BIBIYE mwenye jina kubwa katika muziki wa R&B nchini Marekani, Beyonce, ambaye pia ni mke wa rapa Jay Z, amekutwa na kitu...

Maisha, mikasa ya Bob Marley (1)

Na mwandishi wetu, Gazetini HISTORIA ya maisha ya Bob Nesta Marley ina mengi ya kusisimua, ikiwa ni safari iliyoanzia Februari 6, 1945 na kufikia tamati...

Bruce Melodie agonga kolabo na Diamond Platnumz

Na mwandishi wetu, Gazetini MSANII wa muziki nchini Rwanda, Bruce Melodie ametoa kibao kikali kinachokwenda kwa jina la POM POM. Katika wimbo huo, Bruce Melodie amepiga...

Polisi wachunguza kilichomuua Destiny Boy

LAGOS, Nigeria POLISI wanamshikilia mtu mmoja, huku wakiendelea na uchunguzi juu ya kifo cha mwanamuzi wa Nigeria, Destiny Boy. Destiny Boy, ambaye jina lake halisi ni...

Mastaa Nigeria wang’ara Afrima, Jux aibeba Bongo Fleva

Na mwandishi wetu, Gazetini WASANII wa muziki wa Nigeria wamezibeba kwa wingi tuzo za Afrima, ambazo hafla yake ilifanyika Januari 11, 2026. Wakati huo huo, usiku...

Ndoa za mastaa zilizobamba 2025

Na mwandishi wetu, Gazetini MWAKA 2025 tayari umemalizika, huku ukiacha kumbukumhu nzuri katika tasnia ya burudani duniani kote. Kwa upande mwingine, kumbukumhu hizo ni pamoja na...

Dj auawa kwa kupigwa risasi

JOHANNESBURG, Afrika Kusini DJ maarufu wa Afrika Kusini, Warrick Stock, akifahamika zaidi kwa jina 'DJ Warras', ameuawa kwa kupigwa risasi mjini Johannesburg. Polisi wamesema Dj Warras...

Maria Carey kutumbuiza Olimpiki

LOS ANGELES, Marekani MWANAMUZIKI ambaye pia ni mshindi mara tano wa tuzo za Grammy, Mariah Carey, atakuwa miongoni mwa watumbuizaji wakati wa hafla ya ufunguzi...

‘Still Mshua EP’ ya Mau Music yazidi kupenya

Na mwandishi wetu, Gazetini MSANII wa Bongo Fleva anayefanya kazi zake nchini Afrika Kusini, Mau Music, ameendelea kutamba mitandaoni na kwenye majukwaa ya muziki baada...

Recent articles

spot_img