LOS ANGELES, Marekani
MOJA ya makundi yaliyoacha katika mapinduzi ya muziki wa Hip hop nchini Marekani na duniani kwa ujumla ni N.W.A lililoasisiwa mwishoni mwa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
FEBRUARI 19, 2025, aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wakati huo, Palamaganda Kabudi, alisema Serikali imeamua kuutambua rasmi muziki...
LOS ANGELES, Marekani
GUMZO kubwa katika tasnia ya burudani nchini Marekani ni ndoa ya bibiye Taylor Swift na mpenzi wake, Travis Kelce, huku mashabiki wa...
LONDON, Uingereza
POLISI nchini Uingereza wamewakamata watu watatu wanaohusishwa na tukio la kuuawa kwa staa wa muziki mwenye asili ya Nigeria, Mark Orabiyi.
Orabiyi aliyeuawa akiwa...
ACCRA, Ghana
WAKATI dunia ikitambua kuwa Michael Jackson (sasa marehemu) ndiye 'King of Pop', ameibuka msanii mwingine mwenye mtazamo tofauti.
Ndiyo, nyota wa muziki nchini Marekani,...
MADRID, Hispania
MWANAMUZIKI maarufu wa Pop raia wa Colombia, Shakira, ameeleza alivyopitia wakati mgumu baada ya kuachana na mwanasoka Gerrard Pique mwaka 2022.
Katika mahojiano ya...
LOS ANGELES, Marekani
SUPASTAA wa muziki raia wa Marekani mwenye asili ya Senegal, Akon, amesema wasanii wengi wa sanaa hiyo wana majina makubwa lakini hawana...
LOS ANGELES, Marekani
TIMU ya mawakili wa Sean Combs 'Diddy' inapambana kupinga hukumu aliyopewa rapa huyo anayeendelea kusota gerezani tangu Oktoba, 2025, akitumikia kifungo cha...
LAGOS, Nigeria
MWANAMUZIKI maarufu wa Nigeria, Remi Aluko, amefichua kuwa macho yake yamepoteza uwezo wa kuona.
Katika mahojiano yake na kituo cha runinga cha Oyinmomo, amesema...
LAGOS, Nigeria
STAA wa muziki nchini Nigeria, Chinedu Okoli, maarufu kwa jina la Mr Flavour, ameweka wazi kuwa ni ngumu kwake kuwa kwenye mahusiano na...
LAGOS, Nigeria
IVY Ifeoma ambaye ni mke wa pacha wa P-Square, Paul Okoye, amesema hakufuata pesa kwa staa huyo wa muziki.
Ifeoma ameyasema hayo, huku akiwataka...