28.2 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Helikopta ya watalii yapotea Japan

TOKYO, Japan HELIKOPTA iliyoripotiwa kubeba watalii wawili imepotea karibu na Mlima wa Aso nchini Japan. Ni moja ya milima yenye volkano hai nchini humo. Taarifa ya...

Jela maisha kwa kumuua Waziri Mkuu

TOKYO, Japan TETSUYA Yamagami ambaye ni mshitakiwa wa mauaji ya Waziri Mkuu wa zamani wa Japan, Shinzo Abe, amehukumiwa kifungo cha maisha. Yamagami amekuwa chini ya...

Anayeshutumiwa kusuka mauaji ya Traore akamatwa

OUAGADOUGOU, Burkina Faso RAIS wa zamani wa Burkina Faso, Paul-Henri Sandaogo Damiba, amekamatwa na vyombo vya dola vya Togo, na kisha kurejeshwa nchini kwake, ambako...

Magaidi 1,500 watoroka gerezani

DAMASCUS, Syria WAPIGANAJI wa kundi la kigaidi la IS nchini Syria wametoroka gerezani wakati vikosi vya jeshi la Serikali vikipigana na waasi wa SDF. Taarifa zinaeleza...

Japan kuvunja bunge, kusimamisha kodi ya chakula kwa miaka miwili

TOKYO, Japan WAZIRI Mkuu wa Japan, Sanae Takaichi, Jumatatu ametangaza kuitisha uchaguzi mkuu wa ghafla, akiahidi kusimamisha kwa miaka miwili ushuru wa matumizi wa asilimia...

Aliyezaliwa juu ya mti afariki

MAPUTO, Msumbiji JINA lake ni Rosita Salvador Mabuiango lakini wengi nchini Msumbiji wanamwita 'Mtoto wa Muujiza' kutokana na alivyozaliwa wakati mama yake akiwa juu ya...

Marekani yaishambulia IS

WASHINGTON DC, Marekani VIKOSI vya Marekani vimeyashambulia yaliyotajwa na Rais Donald Trump kuwa ni makazi ya magaidi wa Kundi la IS nchini Syria. Kwa mujibu wa...

Afrika imejifunza nini kilichomkuta Maduro?

Na mwandishi wetu, Gazetini MAREKANI kuishambulia Venezuela na kuondoka na Rais wake, Nicolas Maduro, ndiyo habari iliyogonga vichwa vya habari duniani kote kwa sasa. Vikosi vya...

Njama ya kumuua Kapteni Ibrahim Traoré yagonga mwamba

WAGADUGU, Burkina Faso SERIKALI ya Burkina Faso imetangaza kuzuiwa kwa njama ya kumuua kiongozi wa kijeshi wa nchi hiyo, Kapteni Ibrahim Traoré. Kwa mujibu wa Waziri...

Kwa nini Trump anakitaka Kisiwa cha Greenland?

Na mwandishi wetu, Gazetini RAIS Donald Trump ameweka wazi kuwa Marekani inakihitaji kwa namna yoyote ile kukiweka chini ya himaya yake Kisiwa cha Greenland. Kauli hiyo...

Bobi Wine; Nguvu ya ‘Gen Z’ itampeleka Ikulu?

Na mwandishi wetu, Gazetini KUTOKA maisha ya 'kuungaunga' katika makazi ya watu wa kipato cha chini mjini Kampala, na sasa ni mwanasiasa maarufu na anayempa...

Wapinzani wagomea matokeo Uchaguzi Mkuu CAR

Na mwandishi wetu, Gazetini WAGOMBEA wa vyama vya upinzani katika Uchaguzi Mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) uliofanyika hivi karibuni wameyakataa matokeo yaliyotangazwa...

Recent articles

spot_img