WASHINGTON DC, Marekani
MAHAKAMA Kuu ya Marekani imezuia jaribio la Rais Donald Trump aliyetaka kufuta uraia wa kuzaliwa, ambao umekuwa ukitambulika katika sheria za nchi...
ACCRA, Ghana
WATU 12 wameripotiwa kupoteza maisha katika mafuriko yaliyotokea katika maeneo mbalimbali nchini Ghana, ukiwamo Mji Mkuu wa Accra.
Mvua iliyonyesha ni ya kiwango cha...
MUNICH, Ujerumani
WAENDESHA mashitaka wa Ujerumani wamethibitisha kukamatwa kwa mwanaume anayehusishwa na mauaji ya halaiki yaliyotokea Rwanda mwaka 1994.
Mwaka huo, Rwanda iliingia kwenye machafuko ya...
MIAMI, Marekani
WAKATI huu fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) zikiendelea, moja ya vipaumbele katika nchi wenyeji - Marekani, Mexico na Canada...
LOS ANGELES, Marekani
BINADAMU wa kwanza kuwa trilionea, Elon Musk, alisherehekea kutimiza umri wa miaka 56 jana Juni 28, 2026.
Mbali ya kusherehekea kutimiza umri huo,...
LAGOS, Nigeria
LICHA ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kuipa onyo, Serikali ya Nigeria imepiga hatua moja mbele katika mpango wake wa kukopa kiasi...
WASHINGTON DC, Marekani
JESHI la Marekani limeishambulia Iran, zikiwa ni saa chache tu tangu Rais Donald Trump aliposema wenzao hao wamekiuka makubaliano ya Juni 17,...
DRC, Congo
JAMHURI ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imefungua kesi dhidi ya Rwanda katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) iliyoko The Hague, Uholanzi, ikiitaka...
JERUSALEM, Israel
WANAHARAKATI wa haki za binadamu duniani wanataka kuona Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) ikiichunguza Israel juu ya uhalifu dhidi ya...
NAIROBI, Kenya
JIJI la Nairobi limeingia katika tahadhari kubwa ya kiusalama huku polisi wakiweka vizuizi katika barabara kuu na maeneo muhimu ya kuingia katikati ya...
WASHINGTON, Marekani
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema ameridhishwa na mwenendo wa mazungumzo ya maelewano kati ya Marekani na Iran, akidai kuwa Tehran inaonesha ushirikiano...
CARACAS, Venezuela
MJI mkuu wa Venezuela, Caracas, mapema leo umetikiswa na matetemeko mawili makubwa ya ardhi yaliyotokea kwa tofauti ya sekunde chache, hali iliyozua taharuki...