28.2 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Simulizi ya maisha ya ajuza wa miaka 101

BEIJING, China LICHA ya umri wake wa miaka 101, Jiang Yueqin haonekani ni mtu mwenye afya iliiyodhohofika. Bado ana meno yake yote 32 na amekuwa...

Afrika Kusini yaondosha wanajeshi wake DRC

PRETORIA, Afrika Kusini SERIKALI ya Afrika Kusini imetangaza kuwarudisha nyumbani wanajeshi wake waliokuwa kwenye operesheni ya kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Ikumbukwe,...

Lai wa Hong Kong ahukumiwa miaka 20 gerezani

HONG KONG, China MFANYABIASHARA tajiri mjini Hong Kong, Jimmy Lai, amehukumiwa kifungo cha miaka 20 gerezani baada ya Mahakama kumkuta na hatia. Awali, lilikuwepo tishio la...

Polisi washikilia watu sita maandamano Italia

MILAN, Italia IMERIPOTIWA kuwa watu sita wako kwenye mikono ya polisi katika maandamano ya kupinga michuano ya Olimpiki mjini Milan. Milan ni moja ya miji sita...

Watatu wakamatwa mauaji ya jenerali wa jeshi

MOSCOW, Urusi MAMLAKA nchini Urusi zimetangaza kuwashikilia watu watatu wanaohisiwa kuhusika katika mauaji ya aliyekuwa kiongozi wa juu wa jeshi, Luteni Jenerali Vladimir Alexeyev. Kwa mujibu...

Wakimbilia Bima ya Mazishi wakikwepa gharama ya Afya

HARARE, Zimbabwe WANANCHI wa Zimbabwe wamepokea kwa mwitiko mkubwa Bima ya Mazishi, ikiwa ni baada ya kushindwa kumudu gharama za Bima ya Afya. Ifahamike kuwa Bima...

Elon Musk avunja rekodi: Awa mtu wa kwanza duniani kumiliki zaidi ya dola bilioni 800

NEW YORK, Marekani Bilionea maarufu duniani, Elon Musk, ameweka historia mpya baada ya kuwa mtu wa kwanza kumiliki utajiri unaozidi dola bilioni 800, kufuatia hatua...

Kiongozi Boko Haram auawa

LAGOS, Nigeria JESHI nchini Nigeria limefanikiwa kumuua aliyekuwa kiongozi wa Kundi la kigaidi la Boko Haram, Abu Khalid, katika operesheni iliyofanyika katika Msitu wa Sambisa...

UAE yachangia chakula Sudan

DUBAI, UAE UMOJA wa Falme za Kiarabu (UAE) umechangia kiasi cha Dola za Marekani milioni 20 kwa ajili ya chakula nchini Sudan, ambako vita vya...

Israel yaua Wapalestina 32

JERUSALEM, Palestina WANAJESHI wa Israel wameua jumla ya raia wa Palestina wanaotajwa kufikia 32 katika mashambulizi yao ya wiki chache za hivi karibuni. Taarifa hiyo imeelezwa...

Marekani yajitoa WHO

WASHINGTON DC, Marekani SERIKALI ya Marekani imetangaza rasmi kujiondoa katika Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO). Rais Donald Trump alisaini agizo la kujitoa WHO...

Polisi wakanusha waasi kuvamia kanisa

LAGOS, Nigeria POLISI nchini Nigeria wamekanusha taarifa zinazodai kuwa kikundi cha waasi kimevamia kanisa na kuteka waumini huko maeneo ya Kaskazini. Akikanusha uvumi huo, Kamishna wa...

Recent articles

spot_img