Ads: info@gazetini.co.tz |
23.5 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Sheikh Hamad wa Qatar afariki

DOHA, Qatar KIONGOZI wa zamani wa Taifa la Qatar, Sheikh Hamad bin ⁠Khalifa Al Thani, ‌amefariki leo Julai 12, 2026, akiwa na umri wa miaka...

Marekani yaitumia ujumbe mzito Iran

WASHINGTON DC, Marekani SERIKALI ya Marekani imeitaka Iran kuacha mara moja kuendeleza udhibiti wake katika Mlango-Bahari wa Hormuz. Katika agizo hilo, Marekani imezitaka mamlaka za Iran...

Uhaba wa mafuta wamfikisha pabaya Rais Putin

MOSCOW, Urusi HALI ni mbaya mjini Moscow juu ya upatikanaji wa nishati ya mafuta. Foleni katika vituo vya mafuta (sheli) imeshuhudiwa kwenye maeneo mengi. Mrundikano huo...

Huyu hapa daktari anayeua wagonjwa

BERLIN, Ujerumani MAHAKAMA nchini Ujerumani imemuhukumu kifo cha maisha gerezani daktari aliyebainika kuua wagonjwa wake 15, wakiwamo wanawake 12. Mwanaume huyo aliyefahamika kwa jina la Johannes...

Trump atishia kuishambulia tena Iran leo usiku

WASHINGRON, Marekani RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema Marekani inaweza kuanzisha mashambulizi mengine makubwa dhidi ya Iran, akidai kuwa operesheni za kijeshi zilizofanyika usiku uliopita...

Waasi washambulia kambi ya jeshi

BAMAKO, Mali KIKUNDI cha waasi nchini Mali kimeishambulia kambi ya jeshi, pamoja na gereza, katika maeneo ya Kaskazini, Kati na Kusini, jirani na Mji Mkuu...

Chanzo, hukumu ya Kanisa Katoliki kwa maaskofu sita

ROMA, Italia KANISA Katoliki lina wafuasi bilioni 1.4 duniani kote, hivyo kulifanya kuwa moja ya taasisi zenye nguvu na ushawishi mkubwa. Kama zilivyo taasisi zingine, Kanisa...

Urusi, Ukraine piga nikupige inaendelea

KYIV, Ukraine VIKOSI vya jeshi la Urusi vimetekeleza shambulizi la ndege zisizo na rubani nchini Ukraine na kusababisha vifo vya watu 13. Mamlaka za Ukraine zimethibitisha...

Iran: Marekani itakiona cha moto

TEHRAN, Iran MAKAO Makuu ya Jeshi la Iran yamekuja na tamko zito, kwamba Marekani itaingia kwenye shida endapo itaendelea kuingilia udhibiti wa Mlango-Bahari wa Hormuz. Kauli...

Syria yawaita mezani Hezbollah

BEIRUT, Lebanon WAZIRI wa Mambo ya Nje ya Syria, Asaad al-Shaibani, yuko nchini Lebanon, ambapo amesema wako tayari kukaa mwezani na wapiganaji wa Kundi la...

Mwili wa Khamenei wazua gumzo

TEHRAN, Iran MAMLAKA za Iran zimetangaza Julai 9, 2026 kuwa ndiyo siku za maziko ya Kiongozi wa zamani wa Taifa hilo, Ali Khamenei, huku ukiibuka...

Miaka 250 ya Uhuru: Rais Trump alivyoigawa Marekani

WASHINGTON DC, Marekani JULAI 4, 2026, Marekani itasherehekea miaka 250 tangu ilipopata uhuru wake mwaka 1776 kutoka kwa Uingereza. Hata hivyo, 'birthday' inakuja wakati Taifa hilo...

Recent articles