MIAMI, Marekani
SUPASTAA wa Inter Miami, Lionel Messi, ametozwa faini kwa kosa la kumpiga kofi nyota wa Philadelphia Union, Quinn Sullivan.
Mbali na Messi, Ian Fray...
NYON, Uswis
RAIS wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, ametakiwa kutokuhudhuria michuano ya soka ya U-14 inayofanyika nchini Jamhuri ya Dominica.
Ushauri huo...
LONDON, Uingereza
KLABU ya Aston Villa iko kwenye hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa kiungo aliyeondoka Bayern Munich raia wa Ujerumani, Leon Goretzka.
Goretzka anapatikana...
ISLAMABAD, Pakistan
WAZIRI Mkuu wa zamani wa Pakistan, Imran Khan, amerejeshwa gerezani akitokea hospitali alikokuwa akifanyiwa matibabu.
Taarifa zinadai kuwa Khan amerudi jela mjini Islamabad asubuhi...
MILAN, Italia
MKONGWE wa soka la Brazil, Ronaldinho, amejiunga na klabu ya Ravenna inayoshiriki Ligi Daraja la Tatu nchini Italia.
Ronaldinho (46), alistaafu mwaka 2015 lakini...
NEW YORK, Marekani
ANAITWA Francis Clifford Smith. Alipofariki Juni, 2026, alikuwa ndiye mfungwa mwenye umri mkubwa zaidi nchini Marekani. Miaka 101.
Smith alihukumiwa kwa makosa ya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA sehemu iliyopita, aliyekuwa Waziri wa Afya katika uongozi wa Idi Amin, Henry Kyemba, alisimulia kupitia Kitabu chake cha 'State of...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KATIKA sehemu ya tatu ya mfululizo wa makala haya, tuliona namna Idi Amin akiwa Mkuu wa Majeshi alivyopindua Serikali ya Rais...
LONDON, Uingereza
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Arsenal, Theo Walcott, ameitaja Liverpool kama timu anayoona itawapa ushindani mkali katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya...
BEIRUT, Lebanon
MAMLAKA za Lebanon zimemkamata na kumkabidhi nchini Syria aliyekuwa jenerali wa jeshi wakati wa utawala wa Rais Bashar al-Assad.
Meja Jenerali huyo, Adel Issa,...
NEW YORK, Marekani
MAPEMA wiki hii, Katibu Mkuu wa Marekani, Marco Rubio, aliijia juu Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), akiita kuwa ni yenye kuendeshwa...
MOSCOW, Urusi
MWANASIASA mwandamizi wa upinzani kupitia Chama cha Yabloko, Lev Shlosberg, anafahamika kwa matamko yake ya kuikosoa Serikali ya Rais Vladimir Putin.
Kati ya mambo...