Ads: info@gazetini.co.tz |
30.2 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Messi atozwa faini kwa kumpiga mtu kofi

MIAMI, Marekani SUPASTAA wa Inter Miami, Lionel Messi, ametozwa faini kwa kosa la kumpiga kofi nyota wa Philadelphia Union, Quinn Sullivan. Mbali na Messi, Ian Fray...

Infantino aambiwa akae mbali na watoto

NYON, Uswis RAIS wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, ametakiwa kutokuhudhuria michuano ya soka ya U-14 inayofanyika nchini Jamhuri ya Dominica. Ushauri huo...

Goretzka anukia Aston Villa

LONDON, Uingereza KLABU ya Aston Villa iko kwenye hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa kiungo aliyeondoka Bayern Munich raia wa Ujerumani, Leon Goretzka. Goretzka anapatikana...

Khan arudi jela akitokea hospitali

ISLAMABAD, Pakistan WAZIRI Mkuu wa zamani wa Pakistan, Imran Khan, amerejeshwa gerezani akitokea hospitali alikokuwa akifanyiwa matibabu. Taarifa zinadai kuwa Khan amerudi jela mjini Islamabad asubuhi...

Ronaldinho arudi uwanjani, atua Italia

MILAN, Italia MKONGWE wa soka la Brazil, Ronaldinho, amejiunga na klabu ya Ravenna inayoshiriki Ligi Daraja la Tatu nchini Italia. Ronaldinho (46), alistaafu mwaka 2015 lakini...

Maajabu ya mfungwa mzee zaidi, aliwahi kutoroka gerezani

NEW YORK, Marekani ANAITWA Francis Clifford Smith. Alipofariki Juni, 2026, alikuwa ndiye mfungwa mwenye umri mkubwa zaidi nchini Marekani. Miaka 101. Smith alihukumiwa kwa makosa ya...

Idi Amin; Utata wa ‘birthday’, usaliti, na udikteta wake (5)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu iliyopita, aliyekuwa Waziri wa Afya katika uongozi wa Idi Amin, Henry Kyemba, alisimulia kupitia Kitabu chake cha 'State of...

Idi Amin; Utata wa ‘birthday’, usaliti, na udikteta wake (4)

Na mwandishi wetu, Gazetini KATIKA sehemu ya tatu ya mfululizo wa makala haya, tuliona namna Idi Amin akiwa Mkuu wa Majeshi alivyopindua Serikali ya Rais...

Walcott: Liverpool itaisumbua Arsenal

LONDON, Uingereza MSHAMBULIAJI wa zamani wa Arsenal, Theo Walcott, ameitaja Liverpool kama timu anayoona itawapa ushindani mkali katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya...

Lebanon yamkabidhi mshirika wa Al-Assad

BEIRUT, Lebanon MAMLAKA za Lebanon zimemkamata na kumkabidhi nchini Syria aliyekuwa jenerali wa jeshi wakati wa utawala wa Rais Bashar al-Assad. Meja Jenerali huyo, Adel Issa,...

Marekani, ICC bado mambo magumu

NEW YORK, Marekani MAPEMA wiki hii, Katibu Mkuu wa Marekani, Marco Rubio, aliijia juu Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), akiita kuwa ni yenye kuendeshwa...

Mpinzani wa Putin aliyehukumiwa miaka 11 gerezani

MOSCOW, Urusi MWANASIASA mwandamizi wa upinzani kupitia Chama cha Yabloko, Lev Shlosberg, anafahamika kwa matamko yake ya kuikosoa Serikali ya Rais Vladimir Putin. Kati ya mambo...

Recent articles