Ads: info@gazetini.co.tz |
24 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Marekani yashambulia tena meli ya mafuta

TEHRAN, Iran Mvutano kati ya Marekani na Iran umechukua sura mpya baada ya jeshi la Marekani kushambulia meli ya mafuta katika Ghuba ya Uajemi, huku...

Akon afunguka kumtema Drake kisa Wizkid

LOS ANGELES, Marekani SUPASTAA wa muziki raia wa Marekani mwenye asili ya Senegal, Akon, amefichua sababu ya kuachana na Drake na kumsaini Wizkid kwenye lebo...

Mshindi Big Brother Naija kulamba Mil. 305/-

LAGOS, Nigeria WARATIBU wa Shindano la Big Brother Naija wametangaza msimu mpya wa 2026, huku wakitaja zawadi iliyovunja rekodi ya miaka iliyopita. Kwa msimu huu wa...

Kim, Eminem walianza utotoni, ndoa ikawashinda

LOS ANGELES, Marekani  MOJA ya stori zilizotikisa tasnia ya burudani nchini Marekani ni hii ya mke wa zamani wa rapa Eminem, Kim Scott, kukimbizwa hospitali. Katika tukio hilo...

Mabosi wapya wa Msuva hawacheki na makocha

Na mwandishi wetu, Gazetini SIYO habari mpya kwamba mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva, amejiunga na Newroz SC akitokea Al-Talaba, zote za Ligi Kuu...

Vita ya Ballon d’Or imenoga Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani NYOTA wanne kwa sasa ndiyo wanaokabana koo katika kuiwania tuzo ya mwaka 2026 ya Ballon d’Or kuelekea mchezo wa fainali ya Kombe la...

Marekani, Iran: Dunia bado gizani bei ya mafuta

WASHINGTON DC, Marekani MAREKANI imefanya shambulizi la usiku kwa mara ya tatu huko Iran. Katika shambulizi la mwisho, watu wawili wamefariki huko Kusini-Magharibi mwa Iran,...

WHO yaanza majaribio ya dawa ya kuzuia maambukizi ya ebola

DRC, Congo SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuanza kwa majaribio ya kwanza ya kitabibu ya dawa inayolenga kuzuia maambukizi ya Ebola kwa watu waliokaribiana...

Bangi yamzimisha mbwa, azinduka siku ya pili

LONDON, Uingereza TIMU ya waokoaji wa Mlima Ben Nevis imelazimika kumuokoa mbwa aliyepoteza fahamu baada ya kutumia kilevi aina ya bangi. Tukio hilo lilitokea wikiendi iliyopita,...

Japan silaha ya Urusi dhidi ya Ukraine?

NEW YORK, Marekani URUSI imekuwa ikiitegemea Japan katika teknolojia na udukuzi wakati huu wa vita vyake na Ukraine, kwa mujibu wa ripoti ya Gazeti la...

Wachambuzi wanasemaje kuhusu Hormuz?

TEHRAN, Iran MASHAMBULIZI yanayoendelea kati ya Marekani na Iran yameripotiwa kupunguza kwa asilimia 50 idadi ya meli za mafuta na gesi zinazopita katika Mlango-Bahari wa...

Iran yaweka tena ‘kufuli’ Hormuz

TEHRAN, Iran MAMLAKA za Iran zimetangaza rasmi kuufunga Mlango-Bahari wa Hormuz wakati huu jeshi lake likiendelea kushambuliana na Marekani. Hatua hiyo inaweza kuathiri bei ya mafuta,...

Recent articles