28.2 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Marekani, Israel zamuua Ali Khamenei

TEHRAN, Iran NI rasmi sasa, kwamba kiongozi wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ameuawa na vikosi vya Marekani vinavyoshirikiana na Israel. Marekani na washirika wake, Israel, wameanzisha...

Mwandishi aliyeingia kazini akiwa amelewa aomba radhi

MILAN, Italia MWANDISHI wa habari raia wa Italia, Danika Mason, ameomba radhi baada ya video iliyosambaa mitandaoni kumuonesha akiwa amelewa pombe. Mason ni miongoni mwa waandishi...

Vatican yakataa mwaliko wa Trump

WASHINGTON DC, Marekani VATICAN imeweka wazi kuwa haitakuwa sehemu ya Bodi ya Amani ya Rais Donald Trump, licha ya kukiri kupokea mwaliko. Awali, Bodi hiyo ililenga...

Raia Urusi walia ugumu wa maisha

MOSCOW, Urusi "MAISHA yamekuwa ghali mno." Ni kauli ya Alexander, mkazi wa mjini Moscow, ambaye ni mtaalamu wa moja ya kampuni kubwa za matangazo nchini...

Mgomo wa wafanyakazi wachelewesha safari za ndege

NAIROBI, Kenya MGOMO wa wafanyakazi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta umesababisha kuchelewa kwa baadhi ya safari. Kama itakumbukwa, wiki iliyopita Mamlaka ya...

Waziri wa Nishati adakwa akijaribu kutoroka

KYIV, Ukraine ALIYEWAHI kuwa Waziri wa Nishati wa Ukraine, German Galushchenko, anashikiliwa na vyombo vya dola baada ya jaribio lake la kutorokea ughaibuni kugonga mwamba. Galushchenko...

Merkel akanusha kutaka urais Ujerumani

MUNICH, Ujerumani OFISI ya aliyekuwa Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel, imekanusha taarifa zinazodai kuwa mwanamama huyo atagombea kiti cha urais katika Uchaguzi Mkuu ujao. Kuelekea Uchaguzi...

Waziri Mkuu Pakistan hali mbaya gerezani

ISLAMABAD, Pakistan WAZIRI Mkuu wa zamani wa Pakistan, Imran Khan, anaelekea kupoteza uwezo wake wa kuona, wakati huu akiendelea kutumikia kifungo cha gerezani. Khan, ambaye alishika...

Kim amteua binti yake kuwa mrithi

SEOUL, Korea Kaskazini RAIS wa Korea ya Kaskazini, Kim Jong Un, ameripotiwa kumteua binti yake kuwa mrithi wake katika siku za usoni. Binti huyo, Kim Ju...

Raia wa Syria hawataki kuondoka Ujerumani

MUNICH, Ujerumani LICHA ya jitihada za Serikali ya Ujerumani, raia wengi wa Syria hawataki kuondoka nchini humo ili kurejea makwao. Raia wa Syria takribani 6,000 waliomba...

Polisi: Aliyeua watu nane ana changamoto ya afya ya akili

TORONTO, Canada POLISI nchini Canada wamebaini kuwa mshukiwa wa mauaji ya watu nane, ambaye ni mwanamke, ana changamoto ya afya ya akili. Mwanamke huyo mwenye umri...

Rais kuongezewa muda yazua jambo Zimbabwe

HARARE, Zimbabwe WANANCHI wa Zimbabwe wameonesha kutokuvutiwa na mpango wa Baraza la Mawaziri wa kuongeza muda wa rais kukaa madarakani. Kwa mujibu wa Katiba ya sasa,...

Recent articles

spot_img