Ads: info@gazetini.co.tz |
32.2 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Yamal hatihati kuivaa Valencia

CATALUNYA, Hispania MSHAMBULIAJI wa Barcelona, Lamine Yamal, amekosekana katika mazoezi ya mwisho ya timu hiyo kuelekea mchezo wao dhidi ya Valencia. Timu hizo zitakwaana kesho Septemba...

Aliyeondoka Bayern kutua AS Roma

ROMA, Italia ZIPO taarifa zinazodai kuwa klabu ya AS Roma iko mbioni kumchukua beki aliyeachana na Bayern Munich, Raphael Guerreiro. Kwa mujibu wa ripoti, kocha wa...

PSG majanga yanaendelea huko

PARIS, Ufaransa VIGOGO wa soka la Ufaransa, PSG, hawajaonja ushindi katika mechi zote tatu za msimu huu wa Ligi Kuu ya Ufaransa . Wakiwa nyumbani jana...

Apandikiziwa figo ya nguruwe, yamsogeza siku 271

LOS ANGELES, Marekani FIGO ya nguruwe iliyopandikizwa kwa mgonjwa imemsaidia kuishi siku 271, kwa mujibu wa madaktari nchini Marekani. Kwa mujibu wa mgonjwa huyo aliyefahamika kwa...

Bill Clinton na nyumba zake za bei mbaya Marekani

LOS ANGELES, Marekani TANGU Bill Clinton alipomaliza majukumu yake ya urais wa Marekani mwaka 2001, amekuwa akiishi Chappaqua, New York, makazi yaliyozungukwa na miti, na...

Enzo; Kutoka kununua mitumba hadi mchezaji ghali

MANCHESTER, Uingereza GUMZO kubwa wakati wa usajili wa dirisha kubwa barani Ulaya uliofungwa Septemba 1, 2026, ni uhamisho wa kiungo Enzo Fernandez kwenda Manchester City...

Klabu zilizovunja rekodi usajili wa kiangazi 2026

LONDON, Uingereza MANCHESTER City imevunja rekodi yake ya usajili majira haya ya kiangazi kwa kumchukua kiungo Enzo Fernandez kwa ada ya Pauni milioni 125. Nyota...

Wizi wa nyeti ulisababisha vifo 80, aliyenusurika afunguka

Na mwandishi wetu, Gazetini WATU zaidi ya 80 walipoteza maisha kati ya Oktoba, 2025, hadi Julai, 2026, chanzo kikiwa ni uvumi wa taarifa za upotoshaji...

Usisahau kuhusu dili hizi za usajili EPL

LONDON, Uingereza UMESHAWAHI kusikia msemo maarufu katika soka usemao ‘usajili ni kamari?’ Si kila mchezaji anayesajiliwa, iwe hata kwa pesa nyingi, ataweza kung’ara katika klabu...

Uchaguzi kuinasua Libya iliyopasuka vipande viwili?

TRIPOLI, Libya BAADA ya mvutano wa muda mrefu kati ya kati ya serikali mbili, walau wananchi wa Libya wameanza kuona mwanga wa kurejea kwa amani...

Wapiga kura milioni 15 kuamua hatima ya wagombea 700

RABAT, Morocco KUELEKEA Uchaguzi wa Wabunge wa Septemba 23, 2026, wanasiasa nchini Morocco wataanza mikutano ya kampeni ifikapo Septemba 10. Wagombea zaidi ya 700 kutoka vyama...

Uhaba wa mafuta wazua balaa Iran

TEHRAN, Iran SIKU chache tu baada ya Marekani kutangaza vikwazo vipya kwa Iran, uhaba wa mafuta umeripotiwa kuyakabili maeneo mengi ndani ya nchi hiyo ya...

Recent articles