22.7 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Rekodi zinazomsubiri Messi kabla ya kustaafu

MIAMI, MarekaniKUWEKA na kuvunja rekodi si jambo geni kwa Lionel Messi. Amefanya hivyo kwa miaka mingi, tangu akiwa Barcelona, hadi alipokuwa PSG, na sasa...

Makocha wanaovizia kibarua Liverpool

MERSEYSIDE, EnglandLIVERPOOL imepoteza mechi sita kati ya saba za Ligi Kuu ya England (EPL) ilizocheza hivi karibuni. Mwenendo huo umeibua presha kubwa kwa kocha...

Mama jela maisha kwa kuua, kuficha miili ya watoto

WELLINGTON, New ZealandMWANAMKE mmoja nchini New Zealand amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani baada ya kukutwa na hatia katika mashitaka ya kuua watoto wake wawili,...

Mastaa hawa Bundesliga kukimbilia EPL?

MUNICH, UjerumaniKWA miaka ya hivi karibuni, Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga) ni kama imepoteza ushawishi wake mbele ya Ligi Kuu ya England (EPL). Kivipi?Iko...

Benki ya Dunia: DRC, Msumbiji zinaongoza kwa umasikini Afrika

Na mwandishi wetu, GazetiniUMASIKINI umeendelea kuwa changamoto kubwa kwa Afrika, huku takwimu zikionesha kuwa mamilioni ya watu barani humu wanaishi chini ya Dola tatu...

‘Mashemeji Derby’ bado kizungumkuti Kenya

NAIROBI, KenyaKUNA uwezekano mkubwa wa 'derby' kubwa zaidi Ligi Kuu ya Kenya kati ya Gor Mahia na AFC Leopards ikapigwa kalenda kwa mara nyingine.'Mashemeji...

Ronaldo ndani mechi ya kwanza Kombe la Dunia

LISBON, UrenoLICHA ya kadi nyekundu, nahodha wa timu ya taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo, hatakosa mechi ya kwanza ya fainali zijazo za Kombe la...

Estevao, Yamal na vita ya ufalme

LONDON, UingerezaWAKATI Chelsea ikiitandika Barcelona mabao 3-0 katika mchezo wa usiku wa jana wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Estevao alikuwa mwiba mchungu kwa Wacatalunya...

Vinicius kuvunja rekodi Arsenal?

LONDON, UingerezaKLABU ya Arsenal imeripotiwa kupiga hatua kubwa katika harakati zake za kuinasa saini ya mshambuliaji wa Real Madrid na timu ya taifa ya...

Kocha Bafana Bafana aita kikosi cha AFCON

PRETORIA, Afrika KusiniKOCHA wa timu ya taifa ya Afrika Kusini 'Bafana Bafana', Hugo Broos, ameitakikosi cha awali cha wachezaji 54 kwa ajili ya fainali...

Makocha waliotimuliwa wakiwa na siku chache kazini

LONDON, UingerezaMWEZI uliopita, Ange Postecoglou aliweka rekodi ya kuwa kocha aliyefukuzwa ndani ya muda mfupi zaidi katika historia ya Ligi Kuu ya England (EPL).Mabosi...

Haaland, Mbappe, Kane na kufuru ya mishahara Ulaya

LONDON, UingerezaKLABU za Ulaya zinaendelea kumwaga mishahara minono kwa nyota wao, huku zile za Ligi Kuu ya England zikitajwa kuongoza.Katika makala haya, hawa ni...

Recent articles

spot_img