MUNICH, UjerumaniTANGU aliyojiunga na Bayern Munich akitokea Tottenham, mshambuliaji wa kimataifa wa England, Harry Kane, amefungia timu hiyo tangu Bundesliga jumla ya mabao 109...
Na mwandishi wetu, GazetiniUTAFITI wa Taasisi ya Teknolojia ya Massachusetts (MIT) umebaini kuwa Kenya kwa sasa ndilo taifa linaloagiza kwa kiasi kikubwa zaidi nguo...
Na mwandishi wetu, GazetiniKAMPUNI maarufu ya teknolojia ya Apple inakabiliwa na kashfa nzito ikitajwa kunufaika na mgogoro wa muda mrefu unaoendelea Jamhuri ya Kidemokrasia...
Na mwandishi wetu, GazetiniSIKU chache zilizopita, maofisa waandamizi wa jeshi nchini Guinea-Bissau walitangaza kuipindua Serikali ya Rais Umaro Sissoco Embalo. Ni hatua iliyofuatiwa na...
CAIRO, MisriKIUNGO wa zamani wa Stoke City na Huddersfield Town, Ramadan Sobhi, amefungiwa kucheza kandanda kwa kipindi cha miaka minne.Nyota huyo raia wa Misri...
CAIRO, MisriKOCHA wa Al Ahly, Jess Thorup, amekosoa kitendo cha kukosekana kwa teknolojia ya kumsaidia mwamuzi kwa marudio ya video (VAR) katika mechi za...
LIMA, PeruMAHAKAMA Kuu nchini Peru imemuhukumu kifungo cha miaka 11 gerezani rais wa zamani, Pedro Castillo, akituhumiwa kwa uasi.Mashitaka yaliyokuwa yakimkabili Castillo ni jaribio...
LILONGWE, MalawiPOLISI nchini Malawi wameanza uchunguzi juu ya tukio la mbwa wake wanne kupotea katika makazi ya rais mjini Lilongwe.Ni katika uchunguzi huo, polisi...
BISSAU, Guinea-BissauNI rasmi sasa Jenerali wa jeshi nchini Guinea-Bissau ameapishwa kuwa Rais wa nchi hiyo, ikiwa ni siku moja tu baada ya mapinduzi.Jenerali Horta...
LONDON, UingerezaWALIKUWEPO Kombe la Dunia mwaka 2006 na sasa wanajiandaa kushiriki fainali za mwakani wakiwa miongoni mwa wachezaji wenye umri mkubwa zaidi. Ni miaka...
LONDON, UingerezaWAKATI mwingine, mambo huwa hayaendi kama yalivyotarajiwa, hasa katika soko la usajili wa wachezaji wa soka barani Ulaya.Kwa ufupi, wapo wanasoka waliosajiliwa kwa...