22.7 C
Dar es Salaam

KIMATAIFA

Kane kuibukia wapi akiondoka Bayern?

MUNICH, UjerumaniTANGU aliyojiunga na Bayern Munich akitokea Tottenham, mshambuliaji wa kimataifa wa England, Harry Kane, amefungia timu hiyo tangu Bundesliga jumla ya mabao 109...

Arsenal ya Arteta na takwimu za kibabe

LONDON, UingerezaUSHINDI wa mabao 3-1 dhidi ya Bayern Munich ni ujumbe mzito wa Arsenal kwa wapinzani wao msimu huu wa Ligi ya Mabingwa Ulaya...

Kenya yaongoza nguo za mitumba Afrika

Na mwandishi wetu, GazetiniUTAFITI wa Taasisi ya Teknolojia ya Massachusetts (MIT) umebaini kuwa Kenya kwa sasa ndilo taifa linaloagiza kwa kiasi kikubwa zaidi nguo...

Kampuni ya Apple na utata wa madini, vita DRC

Na mwandishi wetu, GazetiniKAMPUNI maarufu ya teknolojia ya Apple inakabiliwa na kashfa nzito ikitajwa kunufaika na mgogoro wa muda mrefu unaoendelea Jamhuri ya Kidemokrasia...

Guinea-Bissau na historia ya mapinduzi ya kijeshi

Na mwandishi wetu, GazetiniSIKU chache zilizopita, maofisa waandamizi wa jeshi nchini Guinea-Bissau walitangaza kuipindua Serikali ya Rais Umaro Sissoco Embalo. Ni hatua iliyofuatiwa na...

Sobhi afungiwa miaka minne kucheza soka

CAIRO, MisriKIUNGO wa zamani wa Stoke City na Huddersfield Town, Ramadan Sobhi, amefungiwa kucheza kandanda kwa kipindi cha miaka minne.Nyota huyo raia wa Misri...

Kocha Al Ahly aitaka VAR makundi Ligi ya Mabingwa

CAIRO, MisriKOCHA wa Al Ahly, Jess Thorup, amekosoa kitendo cha kukosekana kwa teknolojia ya kumsaidia mwamuzi kwa marudio ya video (VAR) katika mechi za...

Rais wa zamani Peru atupwa jela miaka 11

LIMA, PeruMAHAKAMA Kuu nchini Peru imemuhukumu kifungo cha miaka 11 gerezani rais wa zamani, Pedro Castillo, akituhumiwa kwa uasi.Mashitaka yaliyokuwa yakimkabili Castillo ni jaribio...

Polisi wapekua nyumba ya rais wakitafuta mbwa walioibiwa

LILONGWE, MalawiPOLISI nchini Malawi wameanza uchunguzi juu ya tukio la mbwa wake wanne kupotea katika makazi ya rais mjini Lilongwe.Ni katika uchunguzi huo, polisi...

Baada ya kupindua Serikali, Jenerali aingia Ikulu Guinea-Bisau

BISSAU, Guinea-BissauNI rasmi sasa Jenerali wa jeshi nchini Guinea-Bissau ameapishwa kuwa Rais wa nchi hiyo, ikiwa ni siku moja tu baada ya mapinduzi.Jenerali Horta...

‘Wazee’ watakaokipiga Kombe la Dunia 2026

LONDON, UingerezaWALIKUWEPO Kombe la Dunia mwaka 2006 na sasa wanajiandaa kushiriki fainali za mwakani wakiwa miongoni mwa wachezaji wenye umri mkubwa zaidi. Ni miaka...

Wachezaji wa bei mbaya waliofeli EPL

LONDON, UingerezaWAKATI mwingine, mambo huwa hayaendi kama yalivyotarajiwa, hasa katika soko la usajili wa wachezaji wa soka barani Ulaya.Kwa ufupi, wapo wanasoka waliosajiliwa kwa...

Recent articles

spot_img