Na mwandishi wetu, Gazetini
WIZARA ya Madini imetangaza mafanikio makubwa katika utekelezaji wa ahadi na maelekezo ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ndani ya siku...
Na mwandishi wetu, Gazetini
WANAWAKE takribani 500,000 waliacha kazi nchini Marekani, kwa mujibu wa takwimu za Jarida la Forbes. Takwimu hizo ni kuanzia Januari hadi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KWA miaka ya hivi karibuni, wamiliki wa vituo vya redio na runinga hapa nchini wameshuhudiwa wakitunishia msuli wa fedha kwa kunyang'anganya...
Na mwandishi wetu, Gazetini
PIKIPIKI ni chombo cha matairi matau kilichojizolea umaarufu mkubwa katika sekta ya usafirishaji.
Wengi wanapoziita 'bodaboda' hulenga pikipiki za biashara, ingawa msingi...
LONDON, Uingereza
KWA miaka zaidi ya 33, Ligi Kuu ya England (EPL) imeshuhudia makocha wakiingia na kutoka, wachache tu wakimudu ushindani uliopo na kujijengea heshima...
Na mwandishi wetu, Gazetini
MAISHA katika miji yote barani Afrika yanatofautiana, hiyo ikitokana na gharama za maisha, ikiwamo uwezo wa watu wake kufanya manunuzi.
Haiishii hapo....
RABAT, Morocco
BAO pekee la staa wa Villarreal ya Hispania, Pape Gueye, limehitimisha msimu huu wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) kwa kuipa...
Na mwandishi wetu, Gazetini
VENEZUELA inaendelea kushika nafasi ya kwanza duniani kwa utajiri wa akiba ya rasilimali ya mafuta, licha ya changamoto kubwa za kiuchumi...
Na mwandishi wetu, Gazetini
KWA mujibu wa Jarida maarufu la Forbes, mfanyabiashara wa Marekani, Elon Musk, ndiye binadamu mwenye fedha nyingi zaidi duniani. Utajiri wake...
Na mwandishi wetu, Gazetini
NDOA za utotoni, zinazofafanuliwa kama ndoa inayohusisha mmoja au wote wawili walio chini ya umri wa miaka 18, bado ni tatizo...
RABAT, Morocco
KARNE hii ya 21 imeshuhudia vipaji vikubwa vya soka barani Afrika na sasa wanaoneshana kazi katika fainali za Mataifa ya Afrika za mwaka...