Ads: info@gazetini.co.tz |
22.1 C
Dar es Salaam

Featured

Kigogo wa Serikali achekelea Iran kutolewa Kombe la Dunia

WASHINGTON DC, Marekani INAFAHAMIKA kuwa bado uhusiano kati ya Marekani na Iran haujakaa sawa. Mataifa hayo yanaendelea kushambuliana kijeshi, licha ya makubaliano ya hivi karibuni...

Kama ulivyosikia! Yanga wabeba tena ‘ndoo’ Ligi Kuu

Na Hassan Mwasha HATIMAYE Yanga wamethibitisha ubabe wao Ligi Kuu Bara baada ya kumaliza msimu huu wa 2025-26 kwa kutwaa ubingwa wao wa tano mfululizo. Yanga...

Fei Toto apigwa bao ufungaji bora

Na Hassan Mwasha, Gazetini NI rasmi sasa kiungo wa Azam, Feisal Salum 'Fei Toto' amekikosa kiatu cha mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu wa...

Samia aisifu TPA kwa kujitegemea, yakabidhi gawio la Sh bilioni 205.53

Na mwandishi wetu, Gazetini Rais Samia Suluhu Hassan ameisifu Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kufikia kiwango cha kujitegemea kifedha, akisema taasisi hiyo...

Kocha Ujerumani agoma kujiuzulu

MUNICH, Ujerumani BAADA ya timu ya soka ya Taifa ya Ujerumani kutolewa kwenye michuano ya Kombe la Dunia, kocha wake, Julian Nagelsmann, amesema hana mpango...

Kombe la Dunia 2026: Canada yaingia anga za Morocco

MIAMI, Marekani WENYEJI wa fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu, Canada, ambao wanashirikiana na Mexico na Marekani, watakwana na Morocco katika hatua inayofuata...

Ancelotti aonywa Brazil ikitinga 16 Bora

RIO, Brazil LICHA ya timu ya soka ya Taifa ya Brazil kutinga hatua ya 16 Bora ya fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu...

Kocha mwingine aachia ngazi Kombe la Dunia

MIAMI, Marekani MIROSLAV Koubek wa timu ya soka ya Taifa ya Czech amekuwa kocha wa tatu kupoteza kibarua msimu huu wa fainali za Kombe la...

Mambo yasiwe mengi! Mastaa hawa walifunga ndoa kimyakimya

LONDON, Uingereza KWA fedha nyingi na umaarufu mkubwa walionao, wangeweza kuifanya siku ya ndoa zao kufahamika duniani kote. Hata hivyo, waliona mambo yasiwe mengi. Wakaamua kufunga...

Song bado anaishi na rekodi yake Kombe la Dunia

YOUNDE, Cameroon TIMU ya soka ya Taifa ya Cameroon haikufuzu fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu (2026) lakini lejendari wake, Rigobert Song, ana...

Halotel yatinga Sabasaba na ubunifu wa kiteknolojia

Na Imani Nathaniel, Gazetini Kampuni ya Mawasiliano ya Halotel Tanzania imezindua rasmi ushiriki wake katika maonyesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es...

Usichokijua kuhusu mvutano wa tajiri Elon Musk na ‘ex’ wake

LOS ANGELES, Marekani BINADAMU wa kwanza kuwa trilionea, Elon Musk, alisherehekea kutimiza umri wa miaka 56 jana Juni 28, 2026. Mbali ya kusherehekea kutimiza umri huo,...

Recent articles