Ads: info@gazetini.co.tz |
30.2 C
Dar es Salaam

Featured

Mosimane kupewa mikoba Bafana Bafana

CAPE TOWN, Afrika Kusini MWANDISHI wa habari maarufu wa Afrika Kusini, Robert Marawa, amefichua kuwa kocha mkongwe, Pitso Mosimane, ndiye atakayeinoa timu ya soka ya...

Arteta afika ‘levo’ za Ferguson, Wenger

LONDON, Uingereza KOCHA Mikel Arteta ameingia kwenye orodha ya makocha wachache waliowahi kufikisha mechi 250 za Ligi Kuu ya England wakiwa na klabu moja. Orodha hiyo...

Kigogo wa jeshi Marekani ajiuzulu

WASHINGTON DC, Marekani KATIBU wa jeshi la Marekani, Dan Driscoll, amewasilisha barua ya kujiuzulu nafasi hiyo ikiwa ni miezi 18 tu imepita tangu alipoteuliwa. Taarifa za...

Mawaziri Iran, China wakutana

BEIJING, China MATAIFA ya Iran na China yameendeleza uhusiano wao mzuri wa kidiplomasia baada ya viongozi wake wa ngazi za juu serikalini kukutana mjini Bishkek. Waziri...

Maajabu ya kulala wikiendi kwa afya yako

Na mwandishi wetu, Gazetini KULALA kwa saa moja au mbili za ziada katika siku za mapumziko ya wiki (wikiendi) kunapunguza hatari ya kupata shinikizo la...

Ngalula, Mahindra wafungua fursa mpya za teknolojia kwa wakulima Tanzania

MUMBAI, India Rais wa Shirikisho la Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) na Afisa Mtendaji Mkuu wa Bravo Group Tanzania, Angelina Ngalula, amesema mazungumzo yake na uongozi...

Malisa akamatwa Namanga, hajulikani alipo-Wakili

Na mwandshi wetu, Gazetini WAKILI Dickson Matata amedai kuwa mwanaharakati mtanzania Malisa GJ amekamatwa baada ya kuwasili katika mpaka wa Namanga akitokea Kenya, huku hadi...

Messi aaga timu ya Taifa Argentina baada ya miaka…

BUENOS AIRES, Argentina LIONEL Messi ametangaza rasmi kustaafu kuichezea timu ya taifa ya Argentina, akisema amefikia wakati wa kuachana na jezi hiyo baada ya safari...

BoT yawataka wasanii kuwa mabalozi wa elimu ya fedha

Na Esther Mnyika, Gazetini BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imewataka wasanii, waandaaji wa burudani, watayarishaji wa maudhui na wadau wengine wenye ushawishi kwa jamii kutumia...

Gari la watalii latumbukia mtoni Serengeti, wageni watoka salama

Na mwandishi wetu, Gazetini GARI la watalii limetumbukia mtoni katika eneo la Kogatende, Kivuko cha Nyumbu Namba Moja, ndani ya Hifadhi ya Taifa Serengeti, huku...

Dolly azikwa jirani na mumewe

LOS ANGELES, Marekani MKONGWE wa muziki wa Country, Dolly Parton, amezikwa Ijumaa ya wiki iliyopita, Agosti 29, 2026 mjini Tennessee, Marekani. Taarifa zinaeleza kuwa Dolly aliyefariki...

Liverpool yakamilisha usajili wa Barcola

MERSEYSIDE, Uingereza HATIMAYE mshambuliaji raia wa Ufaransa, Bradley Barcola, amejiunga na Liverpool akitokea PSG, usajili huo ukigharimu kitita cha Pauni milioni 123. PSG walitaka Pauni milioni...

Recent articles