Ads: info@gazetini.co.tz |
22.2 C
Dar es Salaam

Burudani

Siku 365 tangu Singeli ilipopewa ‘ushujaa’

Na mwandishi wetu, Gazetini FEBRUARI 19, 2025, aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo wakati huo, Palamaganda Kabudi, alisema Serikali imeamua kuutambua rasmi muziki...

Watatu wakamatwa mauaji ya mwanamuziki

LONDON, Uingereza POLISI nchini Uingereza wamewakamata watu watatu wanaohusishwa na tukio la kuuawa kwa staa wa muziki mwenye asili ya Nigeria, Mark Orabiyi. Orabiyi aliyeuawa akiwa...

Akataa Michael Jackson kuitwa Mfalme wa Pop

ACCRA, Ghana WAKATI dunia ikitambua kuwa Michael Jackson (sasa marehemu) ndiye 'King of Pop', ameibuka msanii mwingine mwenye mtazamo tofauti. Ndiyo, nyota wa muziki nchini Marekani,...

Mel B kuirudisha Spice Girls miaka 30 ya ngoma yao

LOS ANGELES, Marekani MEMBA wa Kundi la Spice Girls, Mel B, amesema watafanya jambo kwa ajili ya kumbukizi ya miaka 30 ya wimbo wao uliowahi...

Shakira afunguka alivyoachana na Pique

MADRID, Hispania MWANAMUZIKI maarufu wa Pop raia wa Colombia, Shakira, ameeleza alivyopitia wakati mgumu baada ya kuachana na mwanasoka Gerrard Pique mwaka 2022. Katika mahojiano ya...

Akon: Wanamuziki wana majina, hawana pesa

LOS ANGELES, Marekani SUPASTAA wa muziki raia wa Marekani mwenye asili ya Senegal, Akon, amesema wasanii wengi wa sanaa hiyo wana majina makubwa lakini hawana...

Maisha ya Diddy gerezani yanasikitisha, rufaa bado kizungumkuti

LOS ANGELES, Marekani TIMU ya mawakili wa Sean Combs 'Diddy' inapambana kupinga hukumu aliyopewa rapa huyo anayeendelea kusota gerezani tangu Oktoba, 2025, akitumikia kifungo cha...

Staa Nigeria apoteza uwezo wa kuona

LAGOS, Nigeria MWANAMUZIKI maarufu wa Nigeria, Remi Aluko, amefichua kuwa macho yake yamepoteza uwezo wa kuona. Katika mahojiano yake na kituo cha runinga cha Oyinmomo, amesema...

Mr Flavour: Siwezi kutulia na mwanamke mmoja

LAGOS, Nigeria STAA wa muziki nchini Nigeria, Chinedu Okoli, maarufu kwa jina la Mr Flavour, ameweka wazi kuwa ni ngumu kwake kuwa kwenye mahusiano na...

Mke wa Paul wa P-Square afunguka, asema hakufuata pesa

LAGOS, Nigeria IVY Ifeoma ambaye ni mke wa pacha wa P-Square, Paul Okoye, amesema hakufuata pesa kwa staa huyo wa muziki. Ifeoma ameyasema hayo, huku akiwataka...

Mrembo aliyekaribia kuvunja ndoa ya Jay Z, Beyonce

LOS ANGELES, Marekani RAPA Jay Z na staa wa Malkia wa muziki wa R&B na Pop, Beyonce Knowles, ni moja ya 'kapo' za muda mrefu...

Rema afunguka sababu ya kumkimbia mpenzi wake

LAGOS, Nigeria MWANAMUZIKI wa Afrobeats, Divine Ikubor, maarufu kwa jina la Rema, amesema mpenzi wake alikuwa mkorofi na msumbufu, hivyo akaamua kuachana naye na kubaki...

Recent articles