Ads: info@gazetini.co.tz |
23.5 C
Dar es Salaam

Burudani

Drake na mastaa wengine waliokataa watoto

LOS ANGELES, MarekaniMWAKA 2018, staa wa muziki wa Hip hop nchini Marekani, Drake, alitikisa vichwa vya habari za burudani zilipoibuka taarifa kuwa ametelekeza mtoto.Nyota...

P. Diddy rasmi ahukumiwa miaka minne gerezani

LOS ANGELES, MarekaniHATIMAYE staa wa muziki wa Hip hop, Sean Combs 'P. Diddy', atatumikia kifungo cha miezi 50 gerezani, sawa na miaka minne na...

Dogo Red, Wiz Designer kutikisa Afrika Mashariki

Na Mwandishi Wetu, Gazetini MSANII wa kizazi kipya mwenye makazi yake Atlanta, Marekani, Dogo Red, ametamba kutikisa Afrika Mashariki na video ya wimbo Vanessa aliowashirikisha...

Staa Marekani jela kwa wizi wa TV

LOS ANGELES, MarekaniMWANAMUZIKI maarufu nchini Marekani, Sean Kingston, amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu na nusu gerezani katika kesi yake ya wizi.Kingston, pamoja na mama...

‘Met You’ ya Director P yapenya Afrika

Na Mwandishi Wetu Mwimbaji na mwandaaji wa filamu mwenye asili ya Zambia na DR Congo anayeishi nchini Canada, Director P, amesema nyimbo yake mpya...

Shetta ashinda kura za maoni Mchikichini

Na Mwandishi Wetu Msanii Nurdin Bilal maarufu Shetta, ameshinda kwenye kura za maoni ya kugombea udiwani Kata ya Mchikichini, Ilala, Dar es Salaam kupitia CCM. Katika...

Maajabu ya Betty Malange yazidi kupaa

Na Mwandishi Wetu, Gazetini Mwimbaji anayekuja kwa juu kwenye muziki wa Injili nchini, Betty Malange, amewashukuru mashabiki kwa mapokezi makubwa ya wimbo wake unaoitwa...

Jonathan Budju kuachia ‘Ebenezer’ Julai 25

Na Christopher Msekena Mwimbaji  nyota wa Injili kutoka nchini Canada, Jonathan Budju, amefanya hafla ya kusikiliza albamu yake fupi (EP),  Ebenezer itakayotoka mapema wiki ijayo...

Usiyoyajua kuhusu penzi la Rotimi, Vanessa

LOS ANGELES, MarekaniILIKUWA ni mwaka 2019, ndipo walipokutana kwa mara ya kwanza na hapo ukafunguliwa ukurasa mpya wa mapenzi kati yao.Rotimi, ambaye ni mwanamuziki...

Diddy aanza masomo akiwa gerezani

LOS ANGELES, MarekaniRAPA mwenye jina kubwa, P. Diddy, ameanza kuhudhuria darasa maalumu akiwa anaendelea kusota gerezani kwa tuhuma za udhalilishaji wa kingono.Ripoti zinaeleza kuwa...

Watatu jela kifo cha rapa

GONTHENBURG, SwedenWANAUME watatu wamehukumiwa kifungo cha muda mrefu gerezani baada ya kukutwa na hatia katika kesi ya kumuua kwa kumpiga risasi mwanamuziki wa Hip...

Staa Hip hop ajiua

LOS ANGELES, MarekaniRAPA mkongwe wa Marekani ambaye ni memba wa Kundi wa Outlawz, Young Noble, amejiua, akiwa na umri wa miaka 47.Aliyefichua kifo cha...

Recent articles